CRISTINA SHUSHO apiga magoti kwa NABII MKUU atoa milioni 10, Tamasha lake na ROSE MHANDO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Nabii Mkuu Mhe Dr GEOR DAVIE amempa milion kumi muimbaji wa muziki wa injili CHRISTINA SHUSHO kaajili ya kufanikisha tamasha lililoandaliwa na muimbaji huyo akishirikiana na mwuibaji mwenzake ROSE MHANDO
    ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook

КОМЕНТАРІ • 479

  • @peninauae2309
    @peninauae2309 Рік тому +39

    Mama Rose na Christine why why mnapotea kweli when I see this clip I started 2 cry 😢 😭 😫 mbona roho wa mungu hakunena ndani yenu hizi hela rudishine please

    • @hellenagati9498
      @hellenagati9498 Рік тому

      Kweli wamepotea hawana roho mtakatifu wa kuwafunulia mambo hawaelewi watamalizwa kabisa

    • @mercyetago4020
      @mercyetago4020 Рік тому +1

      Walipotea kitambo. Tazama mavazi na maongeo Yao,SASA vitendo...

    • @peninauae2309
      @peninauae2309 Рік тому +1

      @@mercyetago4020 ukweli kabisa

    • @samwelmollel602
      @samwelmollel602 Рік тому

      Tatiso watu wengi umasikini inawasumbua mtu akifanikiwa mnaonqeya mengi wajinqa Sana njiye hata shetani anawashwa Sana baba nabii mkuu amebarikiwa Sana

    • @Eveblessed254
      @Eveblessed254 Рік тому +1

      Neema ikikuondokea hata roho wa Mungu hunyamaza na ndio maana haja Yao ni hela Wala hawaoni kupotea😢😢

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Рік тому +21

    😄😄😄Ee Mwana wa Daudi Uturehemu Sasa hivi Gospel ni biashara 📌❤️🙌

    • @joshuaayo7221
      @joshuaayo7221 Рік тому

      siyo biashara Gospel Music pia inahitaji pesa unadhani studio watu wanaingia bure au..au msanii kusafiri kwenda kwenye huduma anapaa think twice tuko kwenye kipindi ambacho pesa is more needed kufanikisha mambo

  • @ntirampebaloys8949
    @ntirampebaloys8949 Рік тому +7

    Christina nakupenda sana nakuamini napenda nyimbo zako Mungu kakutoa mbali hakuna baba hapo hakuna nguvu hapo mwambie Mungu pelke akupe😢

  • @uwezoseleman5530
    @uwezoseleman5530 Рік тому +7

    Da Tina Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu tafakari hizi comments za watakatifu wa Mungu kisha chukua hatua. Hua nawaza uimbaji unamgusa Sana Mungu ndiyomana una vita Kali, wengi wanaanza na Mungu na kumaliza vibaya, ona hata shetani naye alikua muimbaji. Mungu tupe neema yako tumalize salama🙏

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula5261 Рік тому +4

    May God have mercy.tunaanza vizuri na tunamaluza vbaya may God redeem the remnants

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 Рік тому +42

    Nitakuwa nasikiliza tenzi za Rohoni basi tu

  • @elishajoseph8291
    @elishajoseph8291 Рік тому +26

    kwa kipande hicho 2 ulichoimba nakupa milioni 10 mmmh hatari sana, mwenye masikio asikie , mwenye macho huwezi kuambiwa tazama!!

  • @neemachristopha4363
    @neemachristopha4363 Рік тому +5

    Hapa ndipo mungu anawaonyesha watumishi wakweli nawauongo kweli mungu yupo kazi

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Рік тому +26

    akili ni mali na dini ni imani mungu tusaidie kutuepushe na watumishi wale feki

    • @abuusirleh8196
      @abuusirleh8196 Рік тому +2

      Kweli

    • @hermannboniface3598
      @hermannboniface3598 Рік тому +2

      Kweli kaka tuliowaamini kiasi nao wamekuwa wapuuzi

    • @sabanajunior3243
      @sabanajunior3243 Рік тому +2

      Agiza soda

    • @masterminder4377
      @masterminder4377 Рік тому +1

      Kabisa kabisa msifumbie macho uovu katika Marko 13:22"Kwa maana wataondoka makristo wa uwongo na manabii wa uwongo watatoa ishara na maajabu wapate kuwadanganya kama yamkini hata hao wateule" ndo kama hao waimbaji tulio waamin ndugu zangu msishtuke biblia imesema yote tuombe toba Mungu airehemu Tanzania😥😭😭😭🙏

    • @nathanaelmsamba9055
      @nathanaelmsamba9055 Рік тому

      Christina umefikia huko,,na wewe ni miongoni mwa wanawake wajinga? Du nilihisi unaakili kumbe mpuuzi tu

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Рік тому +5

    Pole Christina, sijui unaelekea wapi, kama haujui tupo watu tunaofuatilia ulipotoka mpaka ulipo hatujui unaelekea wapi

  • @kelvinmandela-bt1dw
    @kelvinmandela-bt1dw Рік тому +12

    Ni Unabii wa ukweli huu -Kusema Wapinga Kristo hata sasa wapo na katika siku za mwisho Watatolewa ili waonekane Hadharani/✍️✍️✍️ Nimemkumbuka pia yule ambaye alishuhudia kwamba hata waimbaji wapo kuleeee.....

    • @jamestocta3075
      @jamestocta3075 Рік тому

      Kamsikilize mch. Katekela ,. Haya yote kayaweka waz

    • @kelvinmandela-bt1dw
      @kelvinmandela-bt1dw Рік тому

      @@jamestocta3075 Roho Mtakatifu ndio namtaka zaidi katika siku hizi za mwisho

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 Рік тому +13

    Tumpokee roho mtakatifu na akae ndan yetu atuongoze

  • @jamestocta3075
    @jamestocta3075 Рік тому +24

    Shetan anaharakisha mambo kabla Yesu hajarud kulichukua kanisa, ee Mungu tusaidie tupate kuwajua ili tuwakwepe.

    • @medikokadilo2740
      @medikokadilo2740 Рік тому +1

      Kaka true afu hao wengne mapepo yanavaa miili yanazaliwa yanazaa yanaeza yakawa wachungaj mengne wanamuzk wengne wakawa hata wapga debe ilimrad kuipotosha dunia isifklie Utakatfu na kujiandaa na kifo bali wafkilie Mali za dunia hii nakuiona dhambi ni ktu chakawaida mwshowe wanadamu halisi kuiga matendo yao wakdhan n wanadamu wenzao kumbe mapepo.

  • @omaraonasir4361
    @omaraonasir4361 Рік тому +8

    Hii madhabahu ni feki,mungu atusaidie,Kuna mpaka madj;mbinja nazo

  • @patricianyale
    @patricianyale Рік тому +6

    Yaani ata nikitazama siamini nyimbo zake zilikuwa zimejawa roho mtakatifu ukiimba unaingia rohoni lkn sai NI tofauti ,Heri mwisho mwema wapendwa vyote tutaviacha apa duniani ata hayo nawigi hayatuinjizi mbinguni hayo be natural my sister's

  • @tukyaclassic-xm1qd
    @tukyaclassic-xm1qd Рік тому +8

    Mhhhhhhh kweli shetani Yuko seriuz! Ivi mnajua kwa kwakufanya ivo mnawapoteza watu wengi Sana wanaingia gizani!

    • @meckmbilinyi6077
      @meckmbilinyi6077 Рік тому

      Kwa nini

    • @tukyaclassic-xm1qd
      @tukyaclassic-xm1qd Рік тому

      @@meckmbilinyi6077 huyu sio nabii wa Mungu trust me

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 Рік тому

      @@meckmbilinyi6077
      1 Timothy 6:9-10
      9 But those who desire to be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and harmful lusts which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is a root of all kinds of evil, for which some have strayed from the faith in their greediness, and pierced themselves through with many sorrows.

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 Рік тому

      @@meckmbilinyi6077 Does he preach the true gospel of repentance, holiness and baptism of the Holy Spirit?

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 Рік тому +12

    Hakunaga Cha BURE Twende Mbele tu.Sadaka inanena Kwaiyo alikozitolea hizo pesa Pana kuhusu100%.ila pole sanaa😢

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Рік тому +3

    Kwa kipande hicho "ULICHONIIMBIA" nakusuport milioni kumi😭😭😭.Cha Shetani utalia nacho!

  • @jimmyalfa1694
    @jimmyalfa1694 Рік тому +2

    Pole sana Christina...Usingejiingiza huko mapema tu namna hiyo.. may God help u

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Рік тому +8

    MUNGU alijitukuza BRAZIL muda mfupi baada ya shetani kujiinua. MUNGU karibu TANZANIA. Shugulika Na manabii wa uongo watu wameacha kumsifu MUNGU anasifia manabii. Makanisa yamekua kama madangulo. Eee MUNGU tusaidie.

  • @lebeka2951
    @lebeka2951 Рік тому +4

    Ama kweli kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzake mungu tuepushe naupuzii wanamna iyo waebrania 2:3

  • @getrudamaswa6471
    @getrudamaswa6471 Рік тому +4

    Hiiii Yesu nifundishe kunyamaza nisikutende dhambi kwa hizi nyakati mbaya

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Рік тому +3

    Maandiko lazima yatimie,,,,na hizi ndizo shuhuda tunazoshuhudia Imeandikwa:siku za mwisho watu watapenda pesa, na lundo la manabii wa uwongo watatokea, na watamtoa pepo kwa jina na la Yesu naye pepo atatoka. Wakristo wasome maandiko kuwatambua hawa Nabii waongo,,,tumeambiwa tutawatambua kwa Matendo yao,,,haya ya hawa manabii ni ushahidi tosha wa maandiko kutimia. Tuamke Wakristo,,,makanisa ya leo badala la kuwa nyumba ya ibada yamegeuka manyumba ya biashara na taasisi za kipesa kwa viongozi kutakatisha pesa za waumini.

  • @gracehelbert5858
    @gracehelbert5858 Рік тому +23

    Shushooo ushauza nafsi .
    ..MUNGU akusaidie utoke huko kwa neema yake...

    • @mestonianatori7254
      @mestonianatori7254 Рік тому +6

      Hata chanjo Alichanjwa kwaiyo Huyu sio mwenzetu

    • @siamuchunguzi
      @siamuchunguzi Рік тому +2

      Kwa kweli, Mungu atusaidie tu

    • @kingdavid8800
      @kingdavid8800 Рік тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @osanamgallah4297
      @osanamgallah4297 Рік тому +1

      Mmmh Mungu naomba uturehemu utusamehe..YESU ANARUDI

    • @shinemakenzi8101
      @shinemakenzi8101 Рік тому +1

      Kwanza huyu demu ni kahaba tu anazurula ovyo ovyo mara kenya mm sisikilizi nyimbo zake tena shenz kabisa

  • @nathanaelmsamba9055
    @nathanaelmsamba9055 Рік тому +5

    Christina na wew umefika huko du!! Pole kumbe nawe ni mjinga

    • @JoyMwash-ou5bw
      @JoyMwash-ou5bw Рік тому

      Mjinga mkubwa tena sana kuahacha mumewe kuradaranda tu bila sababu pepo ya kike

  • @devidpiusi6938
    @devidpiusi6938 Рік тому +3

    Pole sana shusho taa zako zimezima

  • @christinamsoka
    @christinamsoka Рік тому +18

    Hapo kanisani Kuna watu wanalala njaa,na wanatoa kidogo walichonacho kwa kushawishiwa na nabii,mwishowe pesa wanapewa watu wengine na hao wanashangilia tuu km mazuzu..Ee Mungu tusaidie

    • @kingdavid8800
      @kingdavid8800 Рік тому

      Nimechekaa sanaaa Jmn ... Ety mazuzu😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Рік тому

      Hahaha kazi ipo

    • @japhetkavishe2347
      @japhetkavishe2347 Рік тому

      Wajinga ndo waliwao

    • @davidwatson6821
      @davidwatson6821 Рік тому

      🤣🤣🤣hii movie kali na inachekesha kweli! Inafanana na movie za kina Jackie chan

    • @marykimori8929
      @marykimori8929 Рік тому

      Ukiwa na baba na huitishi ni sawa na yule kaka yake mwana mpotevu

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Рік тому +5

    Wokovu bila Roho mtakatifu ni shida sana

  • @robertnyantile4291
    @robertnyantile4291 Рік тому +8

    NJAA MBAYA SANA PESA NDO KILA KITU HAPA DUNIANI

    • @heritier5119
      @heritier5119 Рік тому

      Mbona mume wake ana pesa

    • @robertnyantile4291
      @robertnyantile4291 Рік тому

      @@heritier5119 hiyo ni njaa iliyo mpeleka hapo hakuna cha mmewe ana pesa

  • @rizikidada9790
    @rizikidada9790 3 місяці тому

    Jamani wanamaombi naombeni tumuombee Christina kuna vile aliharibu sana kazi za Ibilisi akafika mahali akampa adui mlango akamuweza sasa tusiishie kumlaumu mtu akianguka kanisa likiomba kwa bidii ataachiwa mm sioni kama niakili yake au Roho Mtakatifufu anamuongoza hapa japo yeye anaona yupo sawa kuna wale mnanielewa!!

  • @edwinezawadi2736
    @edwinezawadi2736 Рік тому +20

    Mungu akuhurumie christine Muko radhi kwenda kwenye madhabahu ya uongo juu y’a pesa😭😭😭

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 Рік тому +3

      Mbona huyu alishaingia kwa mashetani muda mrefu sana

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Рік тому

      Kabisaa pesa mbaya

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Рік тому

      ​@@bintalmasi2393 bora umalizie

    • @evelynekomba7216
      @evelynekomba7216 Рік тому

      Kuna usichikijua, cku za mwisho kila kitu hadharani

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Рік тому

      You didn't know that she is a devil worshipper?? She is implementing her task for the salary in hell.... Nabii mkuu thats blasphemous...lets pray

  • @rassanleezedon6861
    @rassanleezedon6861 Рік тому +12

    hizi nyakat za hatari sana

  • @williamssempoli2294
    @williamssempoli2294 Рік тому +5

    Christina Shusho......dada yangu mpenzi ni nini kimekupata??😭😭😭

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Рік тому +1

      Alishalishwa Laana

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Рік тому

      Fedha fedheha

    • @pamodzi9331
      @pamodzi9331 Рік тому

      Christina,binti wa Mungu aliye hai.Mungu alikuchagua na kukufanya chombo cha sifa ili kwa kipaji chako jina lake Jehovah lihimidiwe.Ulipo leo ndio ulipotakiwa kuwa?umemwacha Mungu aliyekuokoa.Vua hizo pete zote,mrudie Mola wako

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 Рік тому

      1 Timothy 6:9-10
      9 But those who desire to be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and harmful lusts which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is a root of all kinds of evil, for which some have strayed from the faith in their greediness, and pierced themselves through with many sorrows.

  • @enocewanjara6546
    @enocewanjara6546 Рік тому +1

    Nakumbuka Kuna wakati Askofu Gamanywa alikuwa anamwombea Godwin Ombeni madhabahuni mahali Fulani halafu akasema hivi "Mungu alinisemesha niongee na waimbaji wa injili wenzako wamekataa " Naanza kuelewa maana ya Ile sentensi. Hakika mteule shika sana ulichonacho.

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 Рік тому +1

    Mark 8:36-37
    36 For what will it profit a man if he gains the whole world, and loses his own soul? 37 Or what will a man give in exchange for his soul?

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Рік тому +2

    Nabii Nakupenda sana kwa kusupport!!!!!

  • @tukyaclassic-xm1qd
    @tukyaclassic-xm1qd Рік тому +19

    Hiyo album yako sitaki hata kuiona! Mnatumika na njaa zenu mpo ladhi kuwaingiza watu gizani

    • @chritinaphilip7439
      @chritinaphilip7439 Рік тому +1

      Kwel kabisa

    • @sundawnsmedia6659
      @sundawnsmedia6659 Рік тому +2

      Hapana, usiseme hivyo ndugu, mimi na wewe hatumjui christina shusho, na wala hatujawahi kuonana naye live wala tumsikie angalau tuweze kumjua vizuri. Ogopa sana kumhukumu mtu usiyemfahamu, mimi na wewe tusiwe wepesi wa kuhukumu.

    • @tukyaclassic-xm1qd
      @tukyaclassic-xm1qd Рік тому +2

      @@sundawnsmedia6659 hko sahihi but mtu anataka kuabudiwa, kuwarubuni watu maarufu ili kuwashawishi watu wengine! Nonsense

    • @sarahwawuda5164
      @sarahwawuda5164 Рік тому +2

      Ushasema pia mm hata sitatubutu kuiona.....waimbaji waliokanyaga hapo niliacha kuwafwatilia

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Рік тому

      Kabisaaa

  • @godfreymwakijoja3452
    @godfreymwakijoja3452 Рік тому +2

    MUNGU.unaejibu kwa moto.mwenye ahadi za kweri tunaamini katika matendo Yako na neno rako ulilo sema.wanamacho rakini hawaoni Wana masikio rakini hawasikii.tusaidie.MUNGU wetu mwenye kutukomboa na huovu huu unaofanyika mbere ya macho Yako tusamehe.JEHOVA HIRE.

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Рік тому +1

    Christian shosho amepata tamaa ya pesa na ukubwa anainamie mathabahu za kishetani na sio kwamba hajui na kumsimu zaidi ya Mungu pengine ameungana na ufalme wa giza tubu Sana wewe mama

  • @chengeson
    @chengeson Рік тому +10

    Tulisema makahaba kanisani sasa ndio hayo sasa

    • @isaacchalamila
      @isaacchalamila Рік тому

      Ulitaka akaende wapi kuomba mchango wake mm binafsi nampenda sana huyu dada katimia akili nyingi tatizo mambo ya Hela so mambo ya kiroho hata sheee anaombwa iwe nabii zazima atoe hii ni kazi ya Mungu tutasikiaje huduma yake sasa kama watu wenyewe wanaojiita wapo kiroho hawachangi na mabahili sana acheni wivu kuredi studio wimbo 150000 video nzuri wimbo Moja 1000000 unataka afanyaje mwacheni dada wa watu kwahiyo kama nabii wa uongo asitoe pesaa? Hii ni nzuri nimependa anajua kucheza na watu wenye Hela

    • @chengeson
      @chengeson Рік тому

      @@isaacchalamila umasikini uta walazimu watu kufanya mambo ya hovyo

  • @oswardkabasa8503
    @oswardkabasa8503 Рік тому +2

    Kweli Hela ndo zinaabudiwa tu kweli dd huyu ninae mjua kakomaa kiloho anapiga magoti kuomba

  • @carolynekanaiza
    @carolynekanaiza Рік тому +4

    Ndio maana nilifika mahali nikachukia nyimbo zake kabisa.

  • @mckingu4004
    @mckingu4004 Рік тому +1

    Hakuna Mungu hapo ,shusho umeendea njaa huko unadhalilisha huduma Yako ,Bora ushindwe kutoa hyo album kuliko kwenda huko

  • @edwinezawadi2736
    @edwinezawadi2736 Рік тому +16

    Aibu saana christina naumia kwaajili yako😭😭Mungu turehemu

  • @glorymuro5411
    @glorymuro5411 Рік тому +34

    Yaaani ni siku za mwisho ..tunaambiwa mpk watumishi wa liookoka wataungana na manabii wa uwongo,kwasababu ya Tamaa ya pesa...na mbio zote kwenda madhebahu za uongo still mmeambulia milioni kumi..sasa hiyo ni pesa gani yakumfanya mtu kumsaliti Mungu wake..kiukweli nimekuwa disappointed Sana..na hata kanisani kwake asipoangalia washirika watagawanyika..mchungaji gan asiye na msimamo...huna imani na Mungu wako alie hai Dada Tina

    • @rosedamiankabesa5092
      @rosedamiankabesa5092 Рік тому +11

      Je ndio christina anamsaliti Mungu,au tayari alishatoka kwa Mungu zamani? Pengine wanajuana rohoni hao.

    • @glorymuro5411
      @glorymuro5411 Рік тому +4

      kabisaaa Mana huyu dada simwamin sikuiz

    • @pmicnairobibranch1991
      @pmicnairobibranch1991 Рік тому

      Mafarisayo nyie, yaani kila Nabii ni fake, watumishi wa Mungu wanaponyenyekea na kumtafuta Mungu kwa bidii na Mungu anawabariki kihuduma na kifedha nyie kazi yenu ni kuamini tu kila kitu kizuri ni Cha shetani. Je kwani hakuna Mungu mbinguni anayeweza kuinua watumishi na kuwabariki namna hi?? Haujapenda vile ametoa million 10 kwaajili ya kusupport kazi ya Mungu. Kumaanisha angetoa hio pesa ili ajenge ufalme wa shetani hapo wewe ungeshangilia mpaka meno yote yaonekane kwa sababu wewe sio shabiki wa kazi ya Mungu, unashabikia shetani!!!! Ushindwe na usipige watumishi wa Mungu wanapofanya kazi kwaajili ya kujenga mwili wa kristo.

    • @adjafamkungilwa1154
      @adjafamkungilwa1154 Рік тому +1

      Kweli Naungana na ww ndugu yangu ,hizi ni nyakati mwisho
      Huyu dada sijaamini kama nae aweza ungana na hawa manabii wa uongo
      Kweli mungu atunusuru

    • @sabinajuma7657
      @sabinajuma7657 Рік тому

      ss mbona hutusaidiii watoto wako

  • @joyprecious1642
    @joyprecious1642 Рік тому +1

    I used to love Muhando and her song nibebe when i was younger,But not now,Sijui hata wimbo mmoja wa huyu shusho ila jina nafahamu ni mwibaji,Mimi si fun wao hata Kidogo,Niligundua wengi wao wanamtumikia shetani na ni wanafiki,Kwa hivyo hata upako uliobembwa na nyimbo zao ni wa kishetani,.Tenzi Rohoni mpaka leo na kesho, Wengine am never a fun

  • @johnchalahani6924
    @johnchalahani6924 Рік тому +4

    hakuna jipya hapo pengine hata yeye yupo kwenye kundi lile lile. Mungu pekee ndiye anayemjua

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Рік тому +8

    Ngoja tuone Ila mungu ataonyesha manabii wa uongo ngoja tuone

  • @gracekayandakayanda3428
    @gracekayandakayanda3428 Рік тому +1

    Kweli akupe macho aiseee 😭😭😭 mahana Umepotea sana dada

  • @HappynessSebastian-l7p
    @HappynessSebastian-l7p 17 днів тому

    Mwenyezi mungu simama nasi katika hihi safari tukiyopo.unamwamini binadamu kuliko aliyo juu

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Рік тому +5

    Mmmmm! Mungu tusaidie sana

  • @nickolausmwandambo4807
    @nickolausmwandambo4807 Рік тому +4

    Lakini huu ni mfano mzuri kwa wale ambao ni mzao wa ibrahimu kwa imani. Galatia 3:29.

  • @kassebo
    @kassebo Рік тому +5

    Amesha fungwa Christina shusho. Na nguvu za giza

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 Рік тому +2

    Duuuh Mungu nifundishe kunyamaza😷😷😷😷😷😷 tamaa inatuponza walokole et baba naomba unipe nguvu 😡😡🤔 haiya bna

  • @marcelmwembo
    @marcelmwembo Рік тому +4

    Ni mwimbaji wangu number one katika maisha yangu mimi ni mukongomani apa DRC namupenda saana shshu.

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 Рік тому +1

      Shusho yuafanya nini huku kwa nabii wa uongo jameni twaelekea wapi Mungu sisi watumishi wako😢 Too bad

    • @marthamasue4009
      @marthamasue4009 Рік тому +1

      Nabii mkuu kachora 4 kanisani 😳😳

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Рік тому

      @@carolinederi5690 msihukumu msije mkahukumiwa

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 Рік тому +2

      @@mwitaagness455 Hatuhukumu wajua wakati huu nikumwambia Mungu atengeneze mioyo yetu aondoe kila uchafu sasa kama utaenda kwa nabii mweny kila mtu yuajua ni nabii wa uongo atakusaidia na nn Je ni kitu gani cheny Jeodav yuafundsha cha kukusaidia kukulia wokovu 😔

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Рік тому +1

      @@carolinederi5690 ni kweli lkn imefika mahal hatujui hata mkwel ni yupi na muongo ni yupi, tumuombe Mungu atupe macho ya rohoni...ila huwa naogopa sana kuhukumu moja kwa moja.

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Рік тому +1

    Kwa moyo alionibariki Mungu, ningezaliwa mkristu, ningesilimu na kuwa muislamu nikiwa na miaka 2 yaani namaliza kunyonya tu Mungu shahidi 🙏🏽

  • @janetjordine5454
    @janetjordine5454 Рік тому

    Kuriko kuombea Mungu amupe macho nahakiri arudi kwa Yesu Christana muna matukunaka please Kama kweli umeokoka simama kwa kuombea hawa watu Shetani anatuiba.janet From Rwanda love Jesus 🙏🏼

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Рік тому +9

    Oooh oooh shusho nakupenda sana ila muulize Mungu kila Wakt niwap uende na wapi usiende

    • @mussatete2618
      @mussatete2618 Рік тому +1

      Safi sana Neema loy

    • @johnssaimon450
      @johnssaimon450 Рік тому

      Ooooh shusho shusho umeenda hapo my GOD kila kitu kitajulikana wazi

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 Рік тому +1

      ​@@johnssaimon450 I say inahuzunisha sana sana

    • @johnssaimon450
      @johnssaimon450 Рік тому

      Ni wakati wa kuwa makini na kuuliza kwa Roho mtakatifu nyombo zipi za kusikiliza is beta nyimbo za tenzi tu kuepusha nafsi zetu kuchafuliwa.

    • @chritinaphilip7439
      @chritinaphilip7439 Рік тому

      Amen

  • @michaelmbui8226
    @michaelmbui8226 Рік тому +2

    Christina shusho twakupenda saana, binafsi napenda #Shusha #Nyavu

  • @AfricansInGulf
    @AfricansInGulf Рік тому

    Why alot of security guards!!!!! There is God's protection I think, those guards should be outside, Nway

  • @tunakisiwekamnyoge8061
    @tunakisiwekamnyoge8061 Рік тому +1

    Irareo kumtafuta Mungu nikazi hadiwaimbaji wanamsujudia Mwanadam. Mungu tusamehe

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Рік тому +2

    Dhaaa hakika wewe mbaba upo kuvuna wengi, yaaani Christina sikukutegemea na wewe kuwa ungeangukia mikononi mwa ibilisi , dhaaa kweri pesa inanguvu shetani

  • @mariamukendrick757
    @mariamukendrick757 4 місяці тому

    Pesa, Pesa, Pesa Mungu uturehemu sana🙏

  • @clemence3493
    @clemence3493 Рік тому +4

    Umefeli apo shusho umeni.desapoint sana

    • @tulinavemgeni210
      @tulinavemgeni210 Рік тому +1

      Yaaan ametudisapoint wengi Sana yaana Hadi naongea pekeangu E Mungu tusaidiane tulikotoka Kuna afadhali kuliko tunakoelekea

  • @carolinechelangat9243
    @carolinechelangat9243 Рік тому

    Omba mungu akupee majo ya kweli uone sawa sawa❤

  • @GladysNjeri-sy7jp
    @GladysNjeri-sy7jp Рік тому +1

    Kwani nabii anapeanga mtu nguvu ama ni mungu anapeanga mtu nguvu

  • @paulosmbena2834
    @paulosmbena2834 Рік тому +4

    Mungu aturehemu katika maisha haya ya aibu mbele za Mungu.

  • @elizabethlaizer7985
    @elizabethlaizer7985 Рік тому

    Sishangai haya coz mimi ni mkristo lakini najua kweli Dini moja tuuh, duniani , uislamu,,. Haya mengine yote niutopolo tu usenge utaskia Yesu ni Mungu, ndio maana hata knsani kwenyewe siendagi, siku nikiacha pombe naslimu..

  • @rosemongi5241
    @rosemongi5241 Рік тому +1

    Huyo body guard wa nini tena jamani. Roho Mrakatifu aliye na kanisa mbona anatosha wapendwa? Kitu gani hiki tena Ohhhhhhhh. Mungu wangu na Bwana wangu.

  • @rukaiyafrank9043
    @rukaiyafrank9043 Рік тому +7

    Shetani kweli Ana nguvu sikutegemea huyu nae katumika na huyu nabii feki mh hatari Mungu utusamehe kwa kweli

    • @mosesjohnswilla9926
      @mosesjohnswilla9926 Рік тому +1

      Binadamu hatuna jema, Uongo wake huyu baba unatoka wapi?

    • @agustinocharles2650
      @agustinocharles2650 Рік тому +1

      Rukaiya frank ,Pray for him ukiona upo salama Mshukuru Mungu

    • @chritinaphilip7439
      @chritinaphilip7439 Рік тому

      Kwakwel Mungu atusaidie hakunq Mungu apo shetan kajichukulia mateka watu wote hao mmh

    • @sarahwawuda5164
      @sarahwawuda5164 Рік тому

      ​@@mosesjohnswilla9926alisupport tattoo waaa na Bible ilikataa

    • @newgarden8036
      @newgarden8036 Рік тому

      Umasikini unawatesa

  • @davidkainonge8153
    @davidkainonge8153 Рік тому +1

    Glory be to God again

  • @paschalekagito3507
    @paschalekagito3507 Рік тому +2

    Ivi unajua kwa nini huyo nabii wa uongo ameimba huo wimbo. Inasikitisha sana 😭😭😭

    • @janemabada3357
      @janemabada3357 Рік тому

      😭😭😭 Bwana yesu rehem ingilia kati

    • @alicemkambe5738
      @alicemkambe5738 Рік тому

      Nmelia sana 😢😢😢😢hadi amemjua hayo macho hana

  • @ruthnzilani4295
    @ruthnzilani4295 Рік тому +3

    Christina nashtuka sana kukuona hapa Aky Mungu akusaidie sana

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Рік тому

    Huyu jamaa alifaa kugombea urais wa tanzania#anasaidia sana#akiwa kiongozi wa nchi nchi itasonga mbele

    • @aaronswai6935
      @aaronswai6935 Рік тому

      Nani alikwambia Tanzania tunahitaji kuongozwa na waabudu Shetani?

  • @heritier5119
    @heritier5119 Рік тому +4

    " utawasiliana na balozi wangu atakuonyesha namna ya kuthibitishwa"
    Tayari keshasajiliwa

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Рік тому +2

    Mfalme yupi aliyemuomba christina shusho😮😮

  • @salomeivorant3266
    @salomeivorant3266 Рік тому

    Mungu atusaidie tufike salama sijawahi kuwa mfuasi wa nabii lakini Tina soma comment Mungu akuongoze wanadamu tutasema mengi.
    Mimi najua Tina kaumbiwa roho ya unyenyekevu hata mtoto mdogo aweza kumpigia goti cjaona shida kwenye hilo.
    Wanaendaga kuimba hata kwa watu wasiomjua Mungu ili wabadilike.
    Wewe unajua ulienda kufanya nini ukweli unao Mungu mwema akushike usisahau kusudi la Mungu katika huduma.

    • @salomeivorant3266
      @salomeivorant3266 Рік тому

      Lugha ya nguvu Mimi nimeelewa ni lugha ya tafsida ikimaanisha pesa.
      Jmn ni hela ngapi zinaletwa makanisani tena za uovu tunapokea kwa ni vile watu hawajui.
      Tunachofanya Ni kuzibadilisha ziwe sadaka kwa maombi
      Mungu atusaidie ndio ombi langu.
      Tumuombee shusho Mungu amsaidie kuishia kumsema hakusaidii.

  • @BahatJohn-ct1ub
    @BahatJohn-ct1ub Рік тому

    Christine mungu hazihakiwi; nikuwa nakuamini kumbuka umepotosha watungi kumsujudia mwanadamu siwezi tena hata kusikiliza nyimbo yako

  • @saidi1365
    @saidi1365 Рік тому +1

    Mkiambiw huk mnapotea hamsikii dunian din ya mungu kabisa ya kweli ni moja tu ,ni uislam ila kw wenye akili ndy wataamin hilo na walio funguliw na mungu kujua hilo na kam hutaamin hilo bc acha tuendelee kuangamia tu tukif tuishie motoni tu

  • @adjanihabose1586
    @adjanihabose1586 Рік тому

    na apo akiambiwa kama amemshujudiya mwanadamu atajieleza,Ila shusho amepoteya kwani uyo ni baba,baba ni mungu,eti naomba nguvu ,nguvu ni za mungu sio zawanadamu

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 Рік тому +6

    Kwel shetan yupo kzin dada kumbe upo hivyo

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Рік тому +1

    Ukiwa mumbaji wa injili ni lazima uwe mjanja nakusifia mtu yeyote hata kama nabii wa uongo...christina chukua pesa yako unajua huyo mwongo tu

  • @FarajaYoram-uo4ik
    @FarajaYoram-uo4ik Рік тому

    Duh mungu atukumbuke Christina umeenda huko kwel n nyakat za mwisho

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Рік тому

    Shetani hana ndugu,Hana Cha Bure!
    Christina umeangukia pua.
    Kristo Yesu akurehemu!

    • @isackmnazi539
      @isackmnazi539 Рік тому +1

      Pole Sana Shusho tangu ulipomuomba Mungu akupe macho uone mpaka leo bado kipofu tu.

  • @JamesJamesmayanga
    @JamesJamesmayanga 6 місяців тому

    Nilikuwa nakwamini sana kupitia nyimbo zako christina shusho lakini uliko elekea sio kuzuri unapotea

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Рік тому +7

    NAONA ANAPENDWA KWELI NA
    MANABII WA UONGO, POLE
    SANA MZEE SHUSHA MUNGU
    AKUTIYE NGUVU UWE NA MWISHO
    MWEMA, YAANI JANA KWA MWAMPOSA NIKIWA KWENYE
    SEMINA YA MWL ALIKUWA ANAIMA
    NIKAJUWA YUPO LIVU😭.

  • @lawrencengarega5440
    @lawrencengarega5440 Рік тому

    Haifai, ni vibaya kumpigia magoti na kumuinamia huyu mhubiri. Yeye ni mwanadamu pia.

  • @mourineayako9884
    @mourineayako9884 Рік тому

    It's really end time.hadi unainamia binadamu mwenzako.Mungu alikupa kipaji c binadamu jamani

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1lu Рік тому

    Hapa ni kwisha kazi yani aibu mnatia aibu Mungu kwa nini ile sheria isirudi ukiingia madhabahuni na uchafu unafia hukohuko madhabahuni Mungu simama😭😭

  • @joselyneafande6611
    @joselyneafande6611 Рік тому +1

    Mbona hawa watu huwa na walinzi kila mahali kanisani, ilhali wanasema Mungu ndiye mlinzi

  • @mestonianatori7254
    @mestonianatori7254 Рік тому +1

    Hatushangai Hata Chanjo Ya CORONA ya mpinga Kristi/KUZIMU yenye vinasaba ya Mapepo Alichanja KWAIYO TUMPE POLE. DUniani NI kwao

  • @florencenshimi9353
    @florencenshimi9353 Рік тому +1

    Ulioyaomba yote kwa mfalume umeyapata !!! Mmh hatari sana 😢

  • @magdalenajoel4409
    @magdalenajoel4409 Рік тому

    Rose na Christina mnashindwa Nini kutambua roho wa mungu na roho mdanganyifu

  • @happymushi2219
    @happymushi2219 Рік тому +1

    Yaani hela sinagawanywa madhabahuni- njaa mbaya sana

    • @godfreymwakijoja3452
      @godfreymwakijoja3452 Рік тому

      Wamepewa macho hawaoni wamepewa masikio hawasikii mungu atusaidie tuweze kuona makuu yake we JEHOVA mungu unae jibu kwa moto inuka tutetee.

  • @teddyjoseph438
    @teddyjoseph438 Рік тому +2

    Hadi Christina shusho duh?Pesa Pesa

  • @adonaiastoni1703
    @adonaiastoni1703 Рік тому +4

    Ibirisi yuko kazini naye atachora tattoo mbona yeye hajampa hapo?Ina maana atampa baadaye

    • @chritinaphilip7439
      @chritinaphilip7439 Рік тому

      Waimbqji wq nyimbo za injili hawanq Mungu kqbisa inqumq sana tumrudie Mungu jaman

  • @IbrahimKhamisi-hb7hy
    @IbrahimKhamisi-hb7hy Рік тому

    Nyie we dada mbona unapotea uyo si nimwanadam tu wakawaida kwanini unamwambia akupe nguvu, akupe nguvu yeye kama nani mweeeeee pole dada😭😭😭😭😭😭

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e Рік тому

    My sister my brother nikiwa kwetu Kenya western Ingo luyha shetani uwa akikuwona uku na kibawaa anatumiyah pesa ili akunasee mawazo yako Kisha unahanza kukuwa mtumwa kusimba juwa Sasa nimeguduwa shetani anatumiyah pesa kutunasaa sisi wanandam pad siprt eti tukiwa na shida uwonee nabii mkuu mwesho tz yote inajikutaa kwa nabii mkuu akuna tafauti na kuyetiyah kuku maidi Kisha inatiwa kisu kohoni 1tio
    Motheyo6:4:20

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Рік тому +5

    Mungu moyoni, pesa mfukoni Bwana

  • @sarahsamson-ql3hw
    @sarahsamson-ql3hw Рік тому +2

    Mungu tututee