HARMONIZE aitwa kwa nabii mkuu Dr GEOR DAVIE Kisongo ARUSHA akaimbe wimbo wake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • HARMONIZE aitwa kwa nabii mkuu Dr GEOR DAVIE Kisongo ARUSHA akaimbe wimbo wake

КОМЕНТАРІ • 25

  • @WakilongoHassan
    @WakilongoHassan 9 місяців тому +3

    Yule nimuwongo bibilia inasema ya kwamba akuna usiyano kati ya giza na nuru,wala kanisa la Mungu na sanamu,yule ni muwongo kabisa shetani ni muwongo masikini tena Hana adabu,kanisa la mungu siyo mahali pa nyimbo za Armonize

  • @user-ee9ye3qt6l
    @user-ee9ye3qt6l 11 місяців тому +4

    Nini nikinaendelea makanisani lakini!!!!!😢😢😢😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mchungajisecilia8029
    @mchungajisecilia8029 2 місяці тому

    Baba Mungu akubariki sana

  • @user-dm8iw2iu6l
    @user-dm8iw2iu6l 7 місяців тому +1

    Hakuna nabii mkuu zaidi ya yesu eee mwenyez mung turehemu

  • @user-cf2df1zx9i
    @user-cf2df1zx9i 9 місяців тому +2

    Kukanyaga iyomadhabahu muokoke madhahu itawadai😮

  • @emmanuelsichula7117
    @emmanuelsichula7117 7 місяців тому +1

    YESU akukemee usihalibu Mali ya MUNGU

  • @jcsoliste
    @jcsoliste 8 місяців тому

    Neema ya Mungu ikazidi kupaa juu zaidi ya vile Mtumishi wa Mungu anavyo ongelewa huwa na wenzake watumishi ila Mungu huchambua kati ya magugu na ngano

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 10 місяців тому +3

    Makanisha ya leo shetani anaimba kwaya

  • @user-vk7lk4xc3r
    @user-vk7lk4xc3r 9 місяців тому

    Nice i like you(nabii mkuu)

  • @STAMONJA
    @STAMONJA 7 місяців тому +1

    Nabii with bodyguard on stage? I wint judge but hii ni red flag 😂

  • @user-dy9ht1on7y
    @user-dy9ht1on7y 7 місяців тому +1

    Iro nikanisa au niuwanja wa sinema

  • @ImanueliNyela
    @ImanueliNyela 10 місяців тому

    Nabii.mkuu.kazi.nzuri

  • @user-qs4bz8zj5c
    @user-qs4bz8zj5c 7 місяців тому

    Baba shikamooo

  • @yohanamp-ec7im
    @yohanamp-ec7im 7 місяців тому +1

    Kuna watu wataangamizwa milele kwa upumbavu waliouchagua

  • @jcsoliste
    @jcsoliste 8 місяців тому

    Tupate mutu kama huyu wapi Mungu aendelee kumupa upako zaidi

  • @essieprincekayce
    @essieprincekayce 10 місяців тому +2

    Shetani yupo kweli kanisani

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 10 місяців тому

    Alihamndulilahi mashala

  • @user-yq2zp2lc9c
    @user-yq2zp2lc9c 7 місяців тому +1

    Amna naabii waivoo huyo msaanii tu

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 роки тому

    Gd

  • @user-ql7to3rm3p
    @user-ql7to3rm3p 7 місяців тому

    Natamani kumuona huyu nabii akihubiri

  • @JohnSylvesterEdward
    @JohnSylvesterEdward 8 місяців тому

    Hakika sitaacha kuku fuatilia mitandaon man unaupendo kwa watu sana na unainua vipaji vya watu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 9 місяців тому

    Njaaa ya pesa hamna rorote

  • @user-oz8kq2jw4i
    @user-oz8kq2jw4i 8 місяців тому

    Kama kawida nabi mkuu naitaka number yako ya sim

  • @Tuyizerepatikay-ol7tx
    @Tuyizerepatikay-ol7tx 11 місяців тому

    😢 mtume wa Mungu wewe?

  • @petermatabwa2133
    @petermatabwa2133 10 місяців тому

    Mkumbuke yesu alikuja kwa waliopotea sasa sijui ninyi mnahukumuje huyu nabii? Mnataka awafukuze wasanii?