Ni kweli migogo haina adabu aki 😢 wakiingia chooni kwanza waflashi wanakunya Ovyo mpaka baba angu akawafukuza usiku usiku 😂wachafu sanaa na kwakuitana sasa mmmmh
Wanakoga kwa sababu Dar joto vijijini Kuna Hewa nzuri Kuna baridi nzuri kama Bara huko Hewa safi sana miti mingi sio Dar nyumba zimebanana haswa uswahilini miti hakuna kwa hiyo Hewa inawashinda wanakoga hata mara sita wakikuta nyumba Ina maji.
Tabia zakukimbilia ndugu mjini si vizuri wengine bado wanajitafuta na fedha yenyewe wanayoipata haina thamani sasa matokeo yake nikumdidimiza mwenzako nakuzidi kuduma katika umasikini, so huyo Dada yupo sawa
Angefanya comedy huyu mama😂😂😂
Ni kweli migogo haina adabu aki 😢 wakiingia chooni kwanza waflashi wanakunya Ovyo mpaka baba angu akawafukuza usiku usiku 😂wachafu sanaa na kwakuitana sasa mmmmh
Zai Nyoka kabisa nimecheka hapo kujaza uso Kamera mm mwenyewe ninarafikiangu anapigia picha karubu bac nivituko
Team kijiwe nongwa shikamoo 😁😂😂😂
😂😂😂yani zai anagusa maisha yetu kbs
Kwahy zai unatusema wagogo 🤣🤣🤣eti Inakotoka mizabibu ,miubuyu na mikalanga
Hahahahah nacheka maana na mimi nimeolewa na Mgogo
Zai utukomee wa mizabibunii sio wote hata kabila lako wapoo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 WATU WA TANGA WANA HAJA ZAO AMBIWA KHAAAA JAMANI
Jamani huyu dada nampenda 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Zay jamani mnachunguza mpk haja za watu unajua hii ya kabila gani khaaa🙌🙌🙌kijiwenongwa mna nini lakini 🤣🤣🤣🤣🤣❤
Zaramo ppl😆😆
😆😆😆😆😆😆😆Zai kanivunja mbavu zako hapo kwenye kujua haja za watu
😀😀😀😀
@@noxlosingida2369 yaani huyu Zay wallah nimecheka hatari 😂😂😂😂🙌
😀😀😀😀😂😂😂
😮We zai unawachana laiv bila chenga na ndo Mana na❤
Nawapenda da geya zai ananifurahisha
JAMNI TEAM ZIBARA TUJUANE TUNAO MSIKILIZA ZAI UKU TUNA SEWI BASBUSA SHWARMA NA SAMBUSA🇴🇲
🤣🤣🤣
Tupo hpa my wng utasikia sewi gahaw gebi min🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣☕gbe me
Shuu sowi hadha maa helo 🤣🤣🙌
Tupo tumejaa tele
Mungu akuweke zai
Mungu akuweke zai wetu
Asante umenikoshaje wa mizabibu we acha
Hahahahha hadi haja jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣zai mungu akueke uendelee kutufuraisha
AMEEN
Nampenda huyu dada 🥰🥰🥰🥰
Wanakoga kwa sababu Dar joto vijijini Kuna Hewa nzuri Kuna baridi nzuri kama Bara huko Hewa safi sana miti mingi sio Dar nyumba zimebanana haswa uswahilini miti hakuna kwa hiyo Hewa inawashinda wanakoga hata mara sita wakikuta nyumba Ina maji.
Ni kweli, lakini wanawandumaza wenzao kwenda kujijenga kimaendeleo
Jamani jamani da zai wewe nakupenda bure
Hahahaaaà huyu dada anafurahisha
yuasema ukweli...Kenya
Ila we zai ww wanapeana zamu 😂😂😂🙌🏻 kila kabila lina haja yake 🤣🤣🙌🏻
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Eti kwajili Ya ugali ila ww dada ujambo nini🤣😂😂
Wewe zai unawatafuta wagogo shauri yako
Kweri kabisa wala hujadanganya ndiyo, ilivyo
Mmi yarinikuta hayo tulikuwa tunarara namashemeji zangu chumba kimoja kunashemeji yangu uyoo mhh usiku arinipapasa nikuwana Jakayao wazigua mmh
Kwli wazigua wanaongoza
mjini pagumu sana hawa wa vijijinni wanajua ela ina patikana kirahisi
I love 💕💕💕💕 zai
Zai nakupenda sana
Kila kabila na haja zake 🤣🤣🤣🤣🙌
Uwiiiiiii akiamungu zai mungu anakuona
Jamani jamani wewe gea wewe huyu mtu ni shida sana zai mhhh hata ukiwa na maawazoyako utacheka tuu
Zai 🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤
😂😂😂 leo nimejua kuchekaaa nakupenda zai
Mizabibu na mibuyu na mikaranga mpo 😄😄😄😂😂😂zai tutake radhi bhaana🤣🤣🤣
Hahahaha Yan zai jamni 😂🤣🤣🤣katuweza
Kuyachunguza maisha ya watu hivi si vizuri jmn khaaah
Tabia zakukimbilia ndugu mjini si vizuri wengine bado wanajitafuta na fedha yenyewe wanayoipata haina thamani sasa matokeo yake nikumdidimiza mwenzako nakuzidi kuduma katika umasikini, so huyo Dada yupo sawa
Zai jamani zai daaa
😀😀😀wagogo mkuje huku tabia zenu zimeanikwa huku😀😀😀
😁😁🤣🤣
Huyu dada anaitwa nani ananifurahisha sn nampenda huyu dada
Anaitwa zai
Zai Kijiwenongwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dada zai Leo nimecheka 😀😀😀 eti mijitu imekomaaaaaa😉😉
Mtihani hawana pesa hao masikini hao nyumba ya kukodi mtihani
Salute zaiii😂😂🤣🤣
We dada nakupenda
😂😂😂 Nimecheka
Wagogo njoo mnaujembe wenu huku
Mizabibu na miubuyu
Kwel me walikujaga wifi na mjomba chumba kimoja Tena wa dodoma huko huko yakanishinda😢
Hahaha jamani zay
Teenaa usijirogeee ukawapikia ubwabwa ndio utakomaa hahahahahahha
Mbavu zangu Mimi jamani, eti naogopa katundu😂😂😂🙌🙌
Huyu dada jamaniiii 🤣🤣🤣
Hiyo tabia sio wagogo tu Kila makabila wapo sema atutaji
Wagogo wamezidi asee... MI Nimezaliwa na kukulia Dodoma na nnaishi dom
Wagogo na wasamba si kila kabila
Jmn huyu Dada jmn nampenda LOOOOO zai weeeeeh
Jamani zai
Zai umeyajuaje hayo jamani 🤣🤣🤣🤣🤣 khaa
Haha Zai et mijuso misikio
Da geh Kazi unayo jamani nacheka
Daaaa zaiiii
Naijua hyoooo😂😂😂😂wagogo
wagogo sisi ana was ruguruguru
Naogopa katundu niokotwe mbele😀😀😀
Weeee zay jamani
Zai ulipambana na Wasukuma au wanyamwezi🤣🤣🤣🤣🤣🥤🥤♥️♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ivi uyu zai ana utimamu kweli🤣🤣🤣🤣🤣
Zai🤗🥰🥰
Hahahaaa mbavu zangu jamani
Zai weye uko comedian 🤣🤣
Kwahiyo zai ni wagogo au🤓🤓
wagogo hao
Zay 🙌🙌🙌mbavu zangu😁😁
Zai unawatafuta watu wa Dodoma wewe 😂😂😂😂😂😂
Zai unatusema wagogo eeeh😂😂😂
Et tupigane labda wageni waondoke lakni wapi wamo tuuuu😊😂😂😂😂😂
Wakwanza nimepata VOCHA
Mizabibu ndo wap eti au ndo Kabila gan 🤭🤭🤭😎
We bwana nakuheshimu sana
🤣🤣🤣
😂😂🤣😅😅😃😆😆😆😆😆watu wa zabibu na haja zao
Watu wa zabibu wallah zai wagogo watani wa mama angu
,🤣🤣🤣🤣 zai nakupenda kweli
Sasa zai mbona unaongea kwa msisitizo 😂😂mm huku hoi bhna
Weweee hatari
Et kila kabila linahaja Yake hahahaaaaa uwiiiii
Zai jamani😀😀😆😆🤣🤣tupe raha
Mijitu iloshiba jembe ugali ukipigwa nao unapasuka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu zai Jaman😆😆😆mnalala wote km mbwa😂😂😂😂
Zai tupumzishe na Ramadhan hiyi 😀😀
Zai maneno unatoaga wap jamn unajua kutufurahisha
🤣🤣🤣🤣Jaman nyie acheni tuu🤣🤣
zai kama ana kitumbo ndiiiiiii
🥰🥰🥰💓💯
Hahahahahahah mijitu iliyokomaaaa
😂😂😂😂😂😂Mavi ya mgeni na mwenyeji
Naogopa katundu 🤣🤣🤣 mweeehh
❤️❤️❤️😍🤣💃💃💃much love
Yaaani zai na ujauzito huo hautaki kupumzika
Kumbe mjamzito? Mungu azidi kumpatia nguvu mama kijacho aendelee kutufutahisha
Zay huwendi mbinguni
Yaani zai balaa hadi choo cha mgeni nimecheka kizembe
🤣🤣dodoma to singida hyoooo
Zai samaleekoooo.
waghalaikum salam 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂et mm naogopa katundu
Zai utakuja niua mie🤣🤣🤣🤣
Zai Mungu anakuona 😂😂😂😂😂😂
JAMANI ZAII UNANIFURAHISHA
Hahaahahahah nimecheka leo