MKE ATELEKEZWA UKWENI| NYUMBA AWEKWA MWANAMKE MWINGINE |VISANGA VIZITO
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2022
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Wee mwanamke uliyekaa kwenye nyumba ya mwenzio ujue kwamba ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji lako linakuja pole sana mungu atakufanyia wepesi
Kbs yy asijione kafika na yatamkuta wanaume wenyewe ndio hao wa kwenda nch za nje kitamkuta kitu
Amenn
Imeniuma sana kwakweli 😭😭mm ndio mana kwenye nyumba yangu, sitaki hata mia mwanaume, ngoja niende mdogo mdo inshallah 🤲 hiv hiv Mungu atanisaidia
Wewe kama mimi my.baadhi yao hawana wema
Pole sana dadangu hajana naye huyo mjinga sana cha msingi peleka mtoto nyumbani kwenu Kuja tungangane na maisha ya uarabuni na utakua sawa kanisaa
Utoke hapo usikae kwa wakwe kwa sababu huyo mwanaume Hana mapenzi na ww kwanini ww ukae hapo ukipata pesa toka hapo nendakapange Allah atakufanyia wepesi lnshaallah
Mbona dada mzury huyu mashallah usijali mungu atasaidia
Inaumiza sana lakini mhachie mwenyezi MUNGU atakulipa tu zidi kumuomba sana
Unamuuliza swali/ unampa ushauri wa mbaya sana. Huyu siyo mwanaume halisi aliyekimbia mtoto!
Pole sana mdogo angu 😢na huyo mwanamke ipo ck mungu atalipa ndg nenda kwa Joyce kiria fanya kz za ndn jpo kwa mwaka kisha tafuta passport wadau tutakusaidia uje nch za nje kufanya kaz ujenge nyumba yako mradi kiwanja unacho penz kwa huyo mzazi mwenzio lisha kwisha piga moyo konde utapata mwingine
Mashallah Mwenyezimngu akubariki Kwa moyo msafi ulionawo
@@lovvy854 amiin 🤲
Upo nchigani kipnz namimi unisaidie
Kitendo cha kukataa kurudi nyumbani kwenu, na kusema umeshakuwa mkubwa inaonyesha jinsi gani unajitambua.
Pole sana my tafuta kazi falume zakiarabu maisha yako yatakuendea vizur tuu utajenga na utasemesha mwanao tuu na huye mwanaume atakutaman sana zayzi ya san hap sas itakuwa zamu yako nawew yakumuvimbia
Lakini kama amekupa kiwanja inatosha Sana hapo pambana ujenge dada sikuizi wanawake tunaweza
sana kabisa
Pole dada wanawake wa nje sikuhizi wanaloga sana
Mh nicheke kwanza hajalogwa hakuna chochote wanaume wa kwetu tu tabia zao hzo wanapenda mambo ya wanawake kupindukia na yote sababu wanawake tunajishusha kwao mwanamke jipandishe cheo chako mwanaume ajue ww ni wasamani sio kujiachia akakuona wa hovyo.
Pole dd Mungu atakusaidia tutasaau tu na maisha yakaenda wacha mm nipambane na warabu alhamdullha nashukuru niko na jenga nyumba na nina viwanja vitatu sijajenga bado namshukuru allha ata nikirudi bongo ss basi nataka kukaa nyumba nina kwangu na mwanaume atonisumbua niko na bint yangu ss anamiaka kumi alhamdullha namshukuru allha kwa kira jambo
Dai Haki yako dah ...Wanaume wanaume. .ivi mnafeli wapi kupambana kote uko kisha um'bwage mwenza wako...laana itamla dada zidisha Ibada kwa muumba wako jibu atalipata hapa hapa duniani☝️
Am tz 🇹🇿💋mh pole my dada ndio safar jikaze allah atakufungulia shukur pia amekula kiwanja
WE RUDI NYUMBANI MUNGU NI MWEMA UTAKUWA NA MAISHA MAZURI.MTOE KABISA MOYONI UKIENDELEA KUWAZA MOYO UTAPANUKA UTAKUFA UTAMWACHA MTOTO. MWOMBE SANA MUNGU ATAKUJALIA. NA NYIE NDUGU WA MWANAUME WACHONGANISHI MNABOMOA NYUMBA BADALA YA KUJENGA
Wewe kweli mpole sana angekutana na akina asha gedere angekima . Ila mungu atakuripia na wala hacherewi pole sana mwanamke mwenze2
Pole Sana wanaume pasua kichwa ww mwachie Mungu
Pole dada muachie mungu atakulipia hapa hapa duniani na hawezi jua hivyo vitu kavipata kupitia nyota yako mwache aende zake pambana na maisha yako utashinda mtihani
pole dada wa kwetu ndg yangu mme mwache nahilo jumba lake usije uliw bule mtt peleka nyumbani kwa bibi yake upambane unawatumia matumizi na mtt ataeda shule mayu mlekekage shemeji hafai wanawake tunaweza mwache
Kimbia dada tena ruka kama digidigi rudi nyumbani kwenu achana nao kabisa usije ukauliwa bure, kam kiwanja una hati zake uza kà mbali na hizo changamoto🙌🙌😭😭
kabisaaa kwani visa havisikiiii aruke kama swala
Natamani hata kuria pole sana dada Mungu atakulipia hutataabika ila wao watakuja kukupigia magoti haki ya Mwenye haki huwa haipotei
Pole sana dada Mungu atakufanyia wepesi upate kazi
🙆♀️🙆♀️🙆♀️🤭Acha nipite tu mie aiseee
Pole ndugu kwakweli inauma sana aisee my mungu atakulipa
Pole sana dada pambana utajenga tuu inshaallah
Mungu atakulipia wako wanaume kama hao baadae wakafirisika Kwa hiyo mungu analipa hapa hapa
Wale wanawake tunao jenga kwa nguvu zetu tujuane jaman Khaaa wanaume shikamoo
😂😂😂
Pole Sana.
Wanawake tuwe makini sana tukiwa na wanaume hii habari ya kuchangia maendeleo tuwe makini
Sana kabisa
Kbs
Pole sana dada yangu,
Daaah aiseh inauma snah Allah atakulipa dada ang wwh tafta pesaa IPO siku atakutafta
Pole sana
Mwanaume hakutaki we endelea na maisha yako wanaume zetu hawa mungu anawaona,,mshukuru mungu t kipenzi
Si mume wa ndoa ila Kama ni Ndoa unaheshimika kwakwel ndoa ni Heshima
Apewe namba zaflola nitete ataata kaz
Mh wanawake wa ndoa tunateseka San jmn,nilijua ni mm tu inaumiza sana unaanza masikin alaf mbafanikiwa anakufukuza anakula Malaya,wanaume mungu awakumbuke kwa mnayotufanyia
Dada tafuta kazi, Mungu atakujaalia utajenga yk usikubali tn kushea na mtu
Kabisa
@@maloomaalmnsj5111 😁
@@khadijahali4837 we mie yalinikuta ayo sasaivi namie nimejenga
@@maloomaalmnsj5111 pole mwaya
Dada pole ulitakiwa ukae hapohapo angeondoka yeye alovamia dadeq zake dada nenda kakae kwenye nyumba yako uyo mbona atatoka hapo
Mungu atakusaidia dada uyo shetani achananae mungu atakulipia
Pole Sana Allah akufanyie wepesi Upate Mume mwema mwingine lnshaallah
In shaa Allah
Dadangu njoo uarabuni uomoke waja kulilia mwanaume
@@josphenembunde5805 umeonaee ukiwa huku mbona heshima
Mwenye kazi jamani ampe huyu dada .wanawake wa shunyanga wastaarabu saaaana sio waswahili kabisaaaa
Pole sana dada
Wenzangu wanawake wenye bidii! Chungeni kufanya miradi na mwanaume wasio waume zenu! Mwanaume akuoe kwanza alipie na mahari, aketi na wazazi wako wajuane. Nenda kwao ujue ni mtu wapi? Olewa kwanza! Usi fungulie bidii yako yote kwa mtu asiye wako!
Kabisaa hkn kuamini mtu
hilo nalo neno
Mi hata wa ndoa shoga angu changuchangu, wanaume wenyewe wanaua
@@husnamadai7052 umeona eeh weeh changu changu hawaelewi hawa
@@user-sq7pz9ex5g kabisa
Shukuru MUNGU umepewa hata kiwanja kimoja pambana peke yako ujenge na siku nyingine utakuwa umejifunza.
Ngoja nipambane uwarabun wanaume hapana namlea mtoto wangu mwenyewe na najenga mungu atakusaidia dada angu
tupowengi mwaya🤣🤣🤣
Yaani akija kwangu anikute Nisha jipanga
Imeniuma pole sana dada
Pole sana malipo duniani mungu atakulipia hapa hapa duniani
Fabi vipi baba mbona vipindi vimepungua siku hizi maxmam tv inapita siku nzima hakuna chochote sio kama zamani tunaangalia mahabari mpaka tunaziacha uporo ukitaka sad moment sweet night mara homeless jenga nas daah siku izi tuko doro kabisa sisi watu wa maxmam tv kwa nini au mumechoka jamani😂na nauliza yule mama mapacha aliepasuka tumbo bado yuko hospital au keshatoka naomba jibu jamani ila kama nimewakwaza naomba mnisamehe sana 😊
Polesana dada
Pole sana hao ndo wanaume tunatakiwa tuishi nao kwa akili
Mm ningeenda sumbawanga tu kwakweli Nile dagaa tujenge halafu akae mwanamke mwingine hapana jamani
Pore sana dada mungu atakuripia
Nimefurahi ulivyosema umemwachia mungu
Hawa ndiyo wanaume bwana pole sana my
Mungu mwema sana
Mwanaume ukizaa nae tu basi wao Wa naona huna thaman Tena kumbe hajui km ww jeshi. Dada mshukru mungu tu Dunia tunapita tu
Mtihani
Mungu atakuongoza tu na kama kuna mwanamme anaangaika na mausiano tafuta mke uyo kaka yangu ndio waovyoovyo ila mke ndio uyo
Mwanamke mwenzangu unajisikiaje kuishi sehemu ambayo mwanamke mwenzako amehenyeka . Ila ujue na yy alipendwa kama ww mwanzó. Kama tudin tudan.
ACHA NIPAMBANE UARABUNI NIPATE CHANGU
Mpendwa wangu , usipeleke mtoto, Ikiwa unamtegemea Mungu hata kuacha
Tatizo wanawake sisi wa tz tumezid kujiachia na kujiraisisha mtu unakaa miaka yote bila ya ndoa wara mahari ukiwa mwanamke wa bule ndio shida hii na asirimia 9 wanaume wa tz hawana shukulan yan mtu unahaso nae kisha unamtelekeza ndioman wengi wao wanafrisika ujui nyota ya mkeo urio haza nae ndio amekusababishia na mungu amewabariki we dda usikubari dai haki yako kuishi miaka yote ukimvumiria reo hii anakuacha kiraisi
Sio wote sema baadhi hasa wabara sisi wazenji hatunaiyo tabia
Tatizo lipo kwenye kuchagua hao Wanaume. Mnachagua wanaume wa hovyo halafu mnalaumu kila Mwanamume.
Ndio maana ndoa zima masharti ndani ya uislamu.
@@alhamudyalhamudy2015 N wotee
@@hamidudongo1879 huyo hajaolewa ni wanaishitu ila wenzetu wakikatu pamoja basi wanaitana mke mume hawajuwwikama wanakosea
@@ayshamahariq6665 rabda we we dada ila mm najitowa sina ujingauwo mumewangu wandowa sijamshirikisha kwenye nyumba yangu nikamsirikishe hawara loooooo
Wanaume htr sn. Dada Dai hk yk akupe ht kiwanja
Pole dada,fata wanasheria utapata hakizako zote unazostahili
Haina haja Mungu atampigania
Aachane naye asijepoteza maisha bure,siku hizi watu hawana huruma
Also show video of your relatives with marriage issues.
Pole sana mwanamme ukiishi nae miaka mingi bilandoa atakua anakutumia tu halafu atachukua mwanamke mwengine.
Kweli dada mie niko kwenye hii hali mwanaume anataka tuishi pamoja bila ndoa
Dada pambana hata ustawi wa jamii,hata kwa mkuu wamkoa nenda
Zahir tumekumiss uko wapi kaka?
Dada pole Saana jitahidi tafuta kazi uondoke hata hapo kwa wakwe tafuta sehemu chumba wala asijuwe unapoishi usipoteze mudu nyanyukaa jikumute... pole pole utajenga na wewee
Heee eti bado nampenda saana kiruuu khee unajisaaulisha km huna ndoa are you seriously 😳😳😳
Jamani pole dad wanaume wa Sasa ivi nishida Yani dada achana nae Fanya kazi atakutafuta tu mshezi sana
Kweri tz unaetafuta nae kula anakula mwengine warai mie skubar nawatia uchizi siwezi kuka kinyonge
Hunishindi mm haki ningewaroga mbwa wote hao dada piga moyo konde njoo huku dubai tupambane mm ndio maana hii mijanamme hapana siipendi wala haiko moyoni mwangu
Kumbe tukowegi tunaomuachia mungu pole sana mpenzi mungu atakulipa
Dada usimpe mtu mtoto wako kumbuka mtoto wa Arusha aliuwawa na mama wa kambo.
Pole mwaya😭😭
Aya mambo yakuwashika mikono wanaume kwenyemaish mung ninusur walla sio poa kbs. Kwenye ugum anakuwa nawe kwenye raha anakuona takataka. Tujifunze wanawake tuishinao kimaleng awa wanaume
Hii mwanamke hatari
Tatizo ni hiyo nyumba waliyojenga pamoja matatizo hayo yanatokea pia kwenye ndoa mume na mke wanajenga nyumba pamoja ukiisha mume anamfukuza mke anaingiza mwanamke mwingine ndani
Magdalena Mungu yupo omba mlilie sana Mungu.Yesu Kristo ni jibu
Kabisaaa munguuu atamlipa
@@aksharacosta4431 kabisa
Tatizo mnaishi bila ndoa mnakosea Sana ss utajitetea vp
hapo ndoo wanakwama wanawake
Ata ukiwa na ndoa kwa wanaume wa Tanzanian pasuwa kichwaaa
@@fatumamwantumu4081 kweli kabisa utaondoka bila kitu tena kwa matusi na dharau kma zote
@@fatumamwantumu4081 kabisa
@@heyumi2340 tena mkipata maendeleo anakwambia unanitia nuksi dah awa viumbe
Mungu atakulipia mdogo wangu.achana huyo mwanaume.
we Kaa kimya tu ila ipo siku mungu atakulipa
Pambana Dada kitaeleweka Kaa na Mwanao
Kuwa nasubra allah atakufanyia wepesi ,
Njoo huku uarabuni dada utajenga hata nyumba 3😥
🤣🤣🤣🤣
@@alfarsialfarsi2754 kwani naonhopa shoga😃😃
@@Maryam-vj1rb pambee tyuu sasaa Nina mjengo wangu nguvu za hamam💃
Mwanamke hujafunga ndoa unadai unandoa mwisho wa siku unashindwa pakuanzia, wanaume wanapenda nyumba mkishajenga upo hatiani umakini unatakiwa
Kumbe huwajui wanaume mdogo wangu mwanaume mkishafanikiwa anamtafuka mwanamke mwengine
Yaani nimeumia Sana😭😭
Usiumie ni waongo sana hawa viumbe
Hawa ndiyo mwanaume Wa mjin Kusema kwei watu tunaoga Sana Kusema kwel
Anataka akufe huyo mwanaume hatutaki ushenzi kama huo pole sanaaa 🙆🏼♀😥😥😥😥
Pole sana aise ila huyo mwanamke awe makin na yeye
Wewe mwanamke huna akili huyo mumeo hukupendi ndiyo maana amekuacha wewe mabaki na mchepuko hao ndugu zake unaowachukia unawaonea bure cha msingi wewe nenda polis uende mahakamani udai haki yako
Mmmmm!!! Leo Fabe?
Kaiwashe moto hiyo nyumba shenzii
Jamani bora tufe Omani tuu maana wanaume siyo watu kabisa
Njoo oman dada
Sametimes wanaume wanatulia na mke mmoja wakiwa hawana kitu.. Punde wanapokuwa na vijisenti Zarau kejeli wananza kutafuta wanawake wengine. Na kumsahau ni jinsi gani walivyohangaika na mke wa kwanza
Nenda dawati la watoto na jinsia polisi
Nimekuoenda vile ulivyo na imani juu ya Mungu wako
HUYO MWANAUME MPUMBAVU SANA AMEONA MMEJENGA NDIO ANAOA HUYO ANALANA SANA NA ATAFILISIKA. HUYO MPELEKE MAHAKAMANI NA HUYO MWANAMKE MJINGA ANARAHA GANI? WOTE WATAFILISIKA TUU NA HIYO NYUMBA ATAIUZA TUU
Nakushauri tatta Kaz Hama hapo panga Fanya kaz
Pengine kazidiwa na mke mwenzie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
SEMA MDADA MSTAARABU SANA, MUNGU ATAKUSAIDIA MY
Kweli kabisa nyuta ya mwanamke utafilisika wee kaka rudisha moyo wako rudi kwa mkeo na mto