Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
Live: Kutokea Nyumbani Kwa Mke Wa Dkt. Mwaka { Queen }
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 6 лют 2023
КОМЕНТАРІ • 345
Наступне
Автоматичне відтворення
പെണ്ണായാല് പൊലീസില് രക്ഷയില്ല; ലൈംഗിക ചൂഷണം, തെറി | R Sreelekha IPS | Interview | Nere ChovveManorama News
Переглядів 1,6 млн
PART 1: DR. MWAKA AIBUKA, HAJAKUBALI NDOA KUVUNJWA, AMVAA SHEIKH WA DSM "HAYA NI MATAPISHI, AIBU".Millard Ayo
Переглядів 186 тис.
"Dr Mwaka Alinipa Vitisho | Aliandika Kwenye Ukuta wa Nyumba | Aliniitia Polisi"CLOUDSMEDIA
Переглядів 130 тис.
This is not my neighbor Terrible neighbor! #funny #zoonomaly #memesWatch Me
Переглядів 15 млн
Ядерное озеро #ссср #россия #пермьПослезавтра
Переглядів 2,3 млн
ТРОЙНОЕ ПУТЕШЕСТВИЕ В КИТАЙ, ГОНКОНГ и КОРЕЮTheBrianMaps
Переглядів 5 млн
Eleftherios Petrounias helped by Arthur Zanetti = epic gala moment ❤️Olympics
Переглядів 35 млн
Part 1: Dr Mwaka na Wake zake Kwenye Leo Tena "Haikuwa Rahisi Kwao kuishi Pamoja"CLOUDSMEDIA
Переглядів 553 тис.
Pastor Anita Flo "I've a very dark past, that's why i can't judge people" This is my storyWambui wa Mwangi
Переглядів 185
Mke wa Dr Mwaka Alivyopiga Magoti na Kuangua Kilio Kuomba Msaada wa Rais SamiaCLOUDSMEDIA
Переглядів 115 тис.
"Dr Mwaka Alinifanyisha Kazi Bila Malipo | Aliniambia Nimuachie Kila Kitu"CLOUDSMEDIA
Переглядів 140 тис.
PT II: ANJELLA ATOKWA MACHOZI "NILIKUA NAZIMIA BAADA YA KUTOKA KONDE, NILIPOTEZA MATUMAINI KABISA"Millard Ayo
Переглядів 222 тис.
#PART 1: MCHUNGAJI HANANJA - ''KUZAA SIO KIGEZO CHA NDOA, NILIOA NIKIWA NA MIAKA 40'' | HARD TALKGlobal TV Online
Переглядів 109 тис.
"Dr Mwaka Ameniambia Zikipita Siku 21 Kitanikuta Kitu Kibaya"CLOUDSMEDIA
Переглядів 42 тис.
ഇറാൻ എന്തുചെയ്യും ? | അഡ്വ. ജയശങ്കർ സംസാരിക്കുന്നു | ABC MALAYALAM NEWS | JAYASANKAR VIEWABC Malayalam News
Переглядів 260 тис.
LIVE: LEOTENA | DAWATINI | ZILIZOKIKI | HEKAHEKA | CHACHANDU | SAUTI YA VIBEGACLOUDSMEDIA
Переглядів 2,3 тис.
Я обещал подарить ему самокат!Vlad Samokatchik
Переглядів 9 млн
🔥Огненный фокус с зажигалкой Zippo! #обучениефокусам #александрнапорко #напоркоАлександр Напорко
Переглядів 7 млн
ПАРТИЗАН - ДИНАМО | Ліга Чемпіонів. Кваліфікація Q2 | 31.07.2024ФК «Динамо» Київ
Переглядів 216 тис.
ТРОЙНОЕ ПУТЕШЕСТВИЕ В КИТАЙ, ГОНКОНГ и КОРЕЮTheBrianMaps
Переглядів 5 млн
Анна Трінчер - Зі смаком вишні (Official Music Video)Анна Трінчер
Переглядів 798 тис.
нельзя мучать животное!!!! мой тг «хей! это марьяна!» #шортс #марьяналокель #юморMaryana Lokel
Переглядів 2,3 млн
"СВО” довела РОССИЮ! УРА-патриоты ПРИУНЫЛИ! Гражданская оборона 2024 - 30 полный выпускТелеканал ICTV
Переглядів 833 тис.
"Где логика" в Камеди😁#ComedyClub #КамедиКлаб #харламов #азаматмузагалиев #демискарибидис #тнт4 #тнтТНТ4 Shorts
Переглядів 4,2 млн
Bora uolewe na masikini mwenye huruma kuliko kuolewa na tajiri jeuri
Nyumba alimuandikia na hati kampa! Ila Kama ni Mimi nabeba watoto natoka humo cz hiyo nyumba isigeuke kaburi ukafia na kuzikiwa ndani ! Muachie mungu cz hakuna atae kwenda kiyama na Mali Bali tutakwenda na Amali! Mungu atakupa mwenye rizki yako na utapata vingi zaidi ni furaha!
Kabisa Bora aondoke hlf aone sasa nini kingine chakumsumbua dada wa watu mzuri atapata wakufanana nae
@Rahma Arrington vile ni vitisho via waganga dadangu ...lazima Mama abaki kwenye nyumba yake ...kwani mbataka aende wapi?!? Lile jinga Mwaka mganga wa kienyeji hana lolote ameshakwisha anachobaki nacho ni maneno mengiii na kutmtishia dada wa watu... hawa jamaa wapiga ramuri huwaga wana roho mbaya kweli...huyu Mwaka si roho mbayatu bali katili namba moja.. hapa ndipo huwa namkumbuka marehemu Magufuri angekuwepo Mzee Naguu huyo mpiga ramuri angekipata cha moto.
Huu Rohombaya Mwaka mpiga eamuri kwa nini anajitia kuowa wake wengi na hana uwezo wa kuwamiliki ? Kinachobaki tu ni vitisho dhidi ya dada wa watu...wala huyo mwaka hana lolote maneno mengi na roho mbaya ...katili jinga hana lolote hivio vote vitisho tu ...namuomba dada Queen akomae ndani ta nyumba yake hio ni haki yake.
Kweli kabisa hata ningekuwa mimi naondoka vizuri tu
Yan kuna muda mtu unatakiwa ukubali kuanza upya
This lady is so brave. Am so proud of her for standing up for herself. Keep fighting Queen👏
Chakwanza wahisillamu unajijuwa unatakiwa kujuwa uyu ni ndugu yetu asa walaba apewe pesa apate ny
Umba
Asaidiwa taraka mama samia msaidie mwana uyo
Mh jamani walivyokua wanapendana kulikoni
Pole Sana queen!! Umeniliza Sana leo😭😭😭Allah akulinde akuepushe na chochote chenye kukuletea madhara kwa kipindi hiki kigumu kwako
Mungu atamlipa nae mwaka anamtia dhiki mwanammke aliekuwa mkewe na kuzaa nae watoto wawili duuhh ondoka muachie nyumba mungu atakupa rizki yako ishaallah
SubhanaAllah yarabb huyu dada queen ameniliza sanaa najiona kama mimi kabisa Kwenye huu mtihani Allah atusimamie Ma Single moms,Queen kua Allah atakupa malipo yalio bora hapa hapa duniani biidhniAllah be strong my sister na Mungu akutie nguvu ulee watoto wako yarabbal alameen 🤲🤲🤲
watanzania bhana sasa unawakika gani
Uyu mwaka colombia anapigwa lisasi
@@yahayagimbu4216 wewe ndio unauwakika au
@@yahayagimbu4216 acha ufala
@@tatotato506 apana huyu atakua ndo wale wanafanana Mana haoni UCHUNGU na Iman ya uyu dada
Yaani nimekupenda sana queen.Mungu hatakutupa wewe na familiya yako hata siku.moja..wewe n8 mshindiiiii
Pole sana Queen umeniliza sana kwa kweli wanawake tunapitia mengi katika ndoa Mwenyezi Mungu atakusimamia Inshaa Allah na utakaa uzuri na watoto wako na familiar yako
Muachie asome hiyo Dua kama huna makosa itamrudia ye mwenyewe we enjoy siku zako 8 dear
Pole dada,mwachie kibanda chake,nenda uanze upya Mungu,Mungu ni mwema na mwaminifu atakufuta machozi utapata vingi dadangu..pole tunajua maumivu yako Mungu akupe nguvu ya kusonga mbele...dua zake au uchawi wake anaoukusudia juu yako ukamwangukie na kumpiga mwenyewe Kwa jina la Yesu,mipango yote ya uharibifu juu yako ikashindwe,roho za mauti ikafe kwa jina la Yesu..Mungu akutunze wewe na wanao na akulinde 🙏
Queen pole sana Mungu anawasubiri waru wenye kiburi, usikste tamaa kwa Allah katika huo mtihani wako.
Angekuwepo Magufuri uyo dada angepata hakizake zotee 😢 na mwaka angefyekwa ndani kitendo cha kumtishia maisha uyo dada na watoto wake ni kesi Tosha 😢
Mungu akusimamie Queen.Una moyo wa tofauti mno!nimesikitishwa sana na hii storry. Mama anatakiwa kuheshimiwa jamani.
Amiyn inshaallah
Huyo Dr. Mwaka mshenzi Sana na mungu akupe adhabu hapa
Roho zao mbaya na yule mkewe alokuwa nae sahivi domo kana zipu la begi huyu ndio mzuri wako Mungu atawalani mbwa wale
I agree Mwaka an idiot … stupid moron
Ana maumivu sana mwenyezi mungu amuondolee uchungu
Usiogope my dear sister hakuna dua litatakupata wala kukudhuru kama wewe ndio ulodhulumiwa be strong ungelikua Kenya hili lingetatuliwa kitambo mwanamke wa kiislamu ana haki ya kudai talaka na mume akikataa kutoa hio talaka basi kadhi anaruhusiwa kuivunja hio ndoa
Umeniliza sana dada moyo wangu umekamua sana pole sana in shaallah allah atakulinda
Daah Leo machozi yamenitoka kwa kweli. Haki itendeke!!!
Subhanallah.....queen Anza upya nyumba isikutoe uhai...Allah atakupa Tena kuzidi hicho kinachokuletea shida
Ilo mwaka analijua na ndoo maana anamtesa hivi
Daah nmeumia Sana hii sio poa mwenyezi mungu amsaidie uyo dada jaman 😢
Huyo dr Mwaka Mungu anamuona anamuumiza moyo wa huyu dada, hayo machozi uliyomliza ujue kwa Allah utayalipa...
Mungu atakufanyia wepesi ktk jambo lako inshallah na Mungu si mwanadamu atalipa Kwa yote anayo kutendea
Yani nimelia Kisa mwanamke mwenzangu Allah atakulipia hapa duniani uone malipo yko
Allah Atakusimamia Mwanamke Mwenzetuu,Naamin Allah Ni Hakim Wala Usitetereke,Wanaume Wa Aina Hii Nawachukia Sannaaa
Allah akufanyie wepesi queen mwenyezi mungu yupo pamoja nawenye kusubiri
Sema queen ni mzuri jamani
Yan mwaka angejua huyu ndo mwanamke sasa. Ila mungu atamlipia dada wa watu. Anajifany mtu mzuri machon mwa watu ona anav mliza uyo dada nimeumia sana
Watanzania wote tupo na wewe tunakuombea inshaAllah utashinda Allah yupo na wewe
Mwandishi maaadili na kazi vinaenda pamoja mavazi
Dada simama na mungu wako ana nguvu kuliko kitu chochote
Mashallah Dada ana imanii sana Allah akufanyie wepesi kila kwenye uzito na wepesi upo
Mungu akusimamie mamy! Pole sana tunayajuwa na tuna yapitia hayo. Na usirudishe mama una wtt serikali ipo itakusimamamia na mungu yupo pia. Mwanaume mpumbavuu saana masikiini wa roho mshenzi
hv mama yetu kipenzi mama samia haoni naomba mungu aone kadhia hii amsaidie mwanamke mwenzie tunakulilia mama yetu msaidie dada yetu huyu vaa kiatu chake mama yetu ni ombi mama yetu hii ni dhulma ya wazi anapitia huyu dada namuomba Allah amuone dada yetu kwa jicho la huruma na Rehma haki ipatikane na amkinge na kila shari ya wanadamu na majini na kila aina ya balaa na uchawi Thuma Ammyn🤲🤲🤲
Huyu dada Ana akili mnooo kuliko hata huyo aliyezaliwa kwenye huo uislamu.Queen huyo mwanaume ni shetani mungu aendelee kukuepusha nae
Allah atamrudishia ubaya wote atakao ufanya juu yako
Mimi namtaka uyu dada awe mke wangu wa ndoa nampeda sana uyu bint na nataka nimuongoze vizuri kwenye dini yetu ya kiislam uyo mwaka muacheni acheze na shilingi chooni uyu mwaka ukimuona kwasura na alivyo ni vitu viwili tofauti kua naamani dada tunakubiria sisi yaaa shabab
Pole sana Queen ondoka hapo sio sehemu nzuri kwako mwenyewe zimungu atakulipia Insha Allha🙏huyu dr mwaka sio mtunzuri kabisa 😭
Pole sana Dada 😭 ,Mwaka mungu anakuona kokote uliko wewe ukumbuke ni kiumbe tu
Pole sana sana mwanamke mwenzangu Mungu akukinge na mabaya yote jaman wahusika kutoka Serikalin tunaomba msaidien huyu mama sio mpk mtu adhulike jaman
Huyu mama ako na stress mpaka nimemuhurumia
Ila kanenepa mashaallah 🥰
Allah nakuomba ufanyie wepesi🤲 this is so sad😭😭
Ameen
Mrudie yesu wako
🙄🙄🙄
Pole qeen jamani nimejikuta naliya kwa uchungu mwenyezi mungu akupe subra lnshallah unapitiya wakati mgumu pole sana ndugu yangu
Wale Mnaachaga imani zenu kwa ajili ya wanaume..mna la kujifunza hapo
Nimelia sana leo hivi kwanini wanaume hawana huruma jamani😭😭😭😭
Samahani tenguwa kauli yako sema DK mwaka sio jumla ya wanaume au sema kati ya wanaume wenye tabia kama izo za Dk Mwaka
🤣🤣🤣🤣🤣
KWANI NYIE MNAHURUMA..,!!??
Yatapitavqueen simsms na mwenyezi Mungu, hata ipindishwe haki vipi Hakimu mkuu ni Allah, utabaki salama InshaAllah
Usiogope Dua za ajabu ajabu Mungu atakutetea
Njooni kwangu enyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami ntawapumzisha
ABSOLUTELY
Km kuna alipita hapa hajadondocha chozi basi lazima kasikia uchubgu....jmn dada umeniliza wew dada mpk basi Mungu akunusuru inshallah...ikiwezekana muachie tyu kila kitu maana maisha ni zawadi na tunaishi mara moja tu amani nduo kila kitu....simama na mola wako hatokuacha km ulivyo😭😭😭🙏
Dr mwaka wewe ni mshenzi kbs
Poke sana dada mungu akupe subra utavuka huu mtihan na atakuepusha na kila mtihan na haki yako na wanao utaipata kwa uwezo wa Àllah jaman me niliachwa na nimenunua na mtu pikpik 2 na nimesepa na mwanangu tu bila chochote nilimwachia Allah allihamdulillah now nimejenga nyumaba yangu na mwanangu namsomesha napambana huku kwa mwarabu Allihamdulillah si haba napambana kwa nguvu zangu wanaume muache kutuonea 😭😭😭😭🤲🤲🤲
This is so sad😭😭😭 I don’t know what will happen to me tomorrow in my life😭 god is with you sister and he will always stay with you don’t worry just have faith on him 😭😭ooh Allah have mercy on her 🤲🏻Have mercy on all innocent women 😭😭😭
Uyu ni mke na nusu angekua mwana mke mwingine jambo lipo hvyo angemwagika yote leo lakin yeye kaangalia kesho watt watakuja kuona interview safi sana DADA
mungu akusaidie mwanamke mungu aliyemtetezi wa haki atakuwa upande wako na kuhukumu ipasavyo.
Dahaa yani nimejikuta na mm nalia Pole dada yangu ila ucjali kila kitu kinamwisho na hili lako pia nitafikia mwisho Allah akupe subra
Pole sana dada mungu atakutetea katika hilinalo litapita, umejua kuniliza leo jaman.kama ni mm
Polesana dada kwamitihani hakika kilamwenye kusubiri yuko pamoja na Allah ikiwa kama amezamiria ubaya ili akuangamize pamoja na watoto basi Allah anzane nayeye insha Allah 😭😭😭😭😭😭😭
Pole sana dada nimeangalia mpaka nimejikuta nalia ulivyo piga magoti nikutie moyo mungu hata yasau machozi yko pia hata kama ni mali zinatafutwa utapata nyingine kupitia kwenye kizazi chako wapiganie watoto wako wasome wakifanikiwa watakufuta machozi yko pia wataona vitu vyote hivi kwenye mtandao bila wewe kutumia nguvu watajua baba alitumikaje kulinda makuzi yetu
Jaman wanasheria tunaomba msaidien huyu dada sio mpk mtu adhulike jaman Mungu akutetea ktk yote Queen
Queen, you are too beautiful for this!! You don’t deserve this kabsaa, ondoka kwenye iyo nyumba nyumba kitu gani mwachie pagale lake utapata better than all theses! fight for yourself and things will be better!
Dada huu ni mstaarabu sana maana hasemi ya ndani ni siri hapo nimemsifu dada
Kaa kwa Yesu wewe dada, atakutetea, hiyo dua itapotelea mbali au itamrudia. Acha kulialia.
Duhhhh imeniuma mnooh ila kwa kumpigia magoti binaadam mwenzangu big No
Eh mungu.. simama katika haki
Talaka zetu za kiislam ni rahisi. Mume anaweza kuacha hata mke pia anaweza kuacha. Sasa cha kushangaza kwenye hii ndoa imekuwa ngumu kutalakiana why??? Hapa shida kubwa ni Mwaka ana roho mbaya ya kikatili 😡 Labda atuweke wazi kama Qeen ni hirizi yake 😡
Huyu Mwaka ana sahau alivyofungaga klinik zake akakimbilia nje ya nchi? Ana bahati JPM hayupo angeisoma namba.
Kbsaaaa
Dada amka usiku swali rakaa 4 mulilie mungu kila siku na funga siku tatu majibu utapata
Kwanza pole sana dada . Pia jiifadhi unajiachawazi saana mbeleya midya mbeleya wanaume siyo poa kidini mwili mikono nwele zipo wazi lntakillah. Na pia kuwa na subra simama usiku swari lhkhala .. Lakaambili 2 muelekee Allah ukiwanaiiman takaushaulo kwa Allah juu laholiswalala talaka Allah atakujibu bila shaka ........... Ni ushaulitu nduguyangu kwaaajili ya Allah
Dada kazana kumuomba Mungu atajibu,,,ila haki nime😢😢😢😢
Dear mama president 😭 sister queen is need your support please 😭😭
Pole sn dada mwenyezimungu atakufanyia wepes
Mungu atakupigania tutasimama nawew😢😢😢yatapita
Dada pole sana..lkn Dk mwaka ujue machungu ya Bibi yako itakutesa sana..🇭🇺🇭🇺
DR MWAKA WEWE NI MBAYA SANA
Dada pole sana simama kwenye haki yako,wala usiogope hauna duwa yoyote itakayo kudhuru labda ushirikina nao kwa wenye haki hafui dafu, achana na washiriina kwani hao ni wadhalili na mwisho wao ni udhalili tu
Pole shemeji yetu mungu alete mwisho mwema kwenu nyote ,..naomba nimwambie dk J kuwa kwa mimi nliesoma cuba najua unajua sana umuhimu wa huyu mwanamke na naamini huwezi kumuacha kamwe km naongopa mungu anisameh kifupi huyu ni mwanamke ni upande mke kwako upande ni mama wa familia yako unajua unavyomtegemea na unanielewa ninachoongea hapa mimi ni mwanaume mwenzio .hivyo basi ningeweza kusema mengi hapa ila naamini hayo machache yatakupa mengi sana .Kitu ambacho nakuomba sana sana Dr J mgeukie mungu futa alichokukosea huyu mama najua pia kipo msameh japo nusu kwanza ili اللہ atie wepesi wa kuwa nae karibu yeye na watoto wako. Kifupi achana na malumbano yote ya vitisho hiyo ni familia yako usijidhalilishe naamini umeenda jando .... ni maombi na huyu shem ameshakuomba pokea tuu .Narudia kwa mtazamo wangu huwezi mpa talaja huyu hata unapitia tuu ktk barabara isiyo na taa bila tochi .Akhsante
Mwaka acha kumngangania huyu mwanamke mwache aendelee na maisha yake....qeen mungu yupo pamoja na ww utapata haki zako haya ni mapito yatapita inshallah
Huyu mwanamke ni mrembo
Daaa!ihadi chozi limenitoka😭Huyu mwaka si amwache tu!kwani mapenzi yanalazimishwa jamani Haya Mali kasema anakuachia umwache akae huru cyo vitisho km hivyo.
Pole Sana nikipidi Cha mapito Dada aisee nimelia Sana 😭😭😭😭😭
Pole saana mwanya hata mie nimeyapitia nikasamehe mali nipate AMIN nipo falme za kiarabu najikoshea vyombo kwa waarabu
Pole sana Queen no situation is permanent Inshallah Mwenyezimungu atafanya wepesi ,Innallah Maaswabirina
Dada yangu Queen,wewe na Dr.Mwaka,kaeni chini na mlaani shetani. Nyie Allah kawachagueni na kazi aliyokusudia kupitia nyinyi imekamilika. MUNGU alipanga kupitia nyie,kumuondoa shetani huyu wa mkoa ktk nafasi aliyokuwa kakalia Naomba muamini nyinyi mnakheri kubwa mno kama mtatambua hilo.Hapa hamtoachana kwa kuwa haya yote yametokea kumuondoa shehe huyo aliyekuwa akidhalilisha UISLAM nchini Tunashukuru kaondolewa.Futa machozi shukuru mungu mmepata bahati Mungu kuwachagueni. Muda sasa kila muja amrudie Mungu mrudi kama Armani.
Naamiini wewe ni jasiri. Muite mumeo najua atakuja. Tumia hata wazee aitwe kazi yenu imekamilika.Rudini kwenye reli. Kumtoa Alhadi siyo jambo dogo mmefanya kazi kubwa.
Ahaa, kumbe ulimuacha Yesu kwasababu ya ndoa? Mrudie Yesu kwa toba, utakuwa na amani.
bakwata mnamsaidiaje huyu muislam mwenzetu
Dada muamini Mungu...
Inshaallah dada mungu atakusaidia mungu yupo nawe najua unapiti wakati mgumu sana usichoke kuomba kuswali swala zausiku inshaallah
Dah inauma sana pole sana dada yangu wanawake tunanyanyasika jaman waziri pamoja Rais Samia tunawaomba msaidien huyu mwanamke mwenzetu apate haki yake hiki anachofanyiwa sio haki kabisa kibinadamu nimejikuta natoa machozi Mungu akukinge na mabaya yote hakuna lisilowekana kwa Mungu wetu
Allah atakufanyia wepesi hili litapita
Walahi This make me so mad and I’m crying Tanzania pls need too do beter 💔😭😭
Mungu atakulinda dada na atakupa vizur na mume mwema sio huyo aliokutumiq na kukunyasa alitaka uwe anavyotaka yy uende atakavyo umsujudie
Kweli zile zama za unanijua mimi ni nani zimerudi tena
Yule mwamba mzee Magu kesi kama hii ingeisha mapema sana.
Someone has got to Help this woman.
Yes she really needs help aki
Only Jesus
Dk mwaka ni shetani asiyestahili kuishi huru, wanasheria wa nchi mko wapi? Nyie watu wa haki za binadamu mko wapi?
Yan nmeumia pole hili nalo litapita 🙏
Dr mwaka alikuwa anajikuta dokta wa mapenzi Leo hii yamekushinda toa talaka iyooo acha roho mbaya
Allah akutiye nguvu
Aise huyu dada kaniliza leo. Queen mrudie Yesu
Pole dada.nasema na wanaume km rizki ipo uwezo unao .pindi munaachana na kuna watoto nyumba ni yawatoto. Kiubinadamu anahaki mke na nyumba. Tuacheni uadui kuna maisha baada ya haya kuna watoto .watakuwa. mnawajengea .
Dr Mwaka kuacha nikuzito sana kwa unaempenda ikiwa alikua anakudhamini lkn mpatie talaka na pia kama mama watoto wako muachie nyumba na pia sio vizuri kua na utu umsikize huyu mkeo asante
Dah malipo yatamfika.pole sana dada
Nilidhani Mwaka ni gentleman, kumbe mpuuzi, anaitakaje nyumba wanayoishi watoto wake?
Hivi huyu mwaka ni nani hasa katika nchi hii dd muwachie kila kitu chake Anza maisha yako tafuta amani ya moyo
HUYU MAMA SI AMESHA ACHIKA YA NINI KUSUMBULIWA NA KIUMBE KAMA VIUMBE VINGINE USIJE KUACHA DINI YA KIISLAM UTAKUA UMERITAD VUMILIA NA MAISHA NA ALLAH ATAKUOKOA NA KILA SHARI
Dah.....M/Mungu msaidie huyu dada apate haki yake
Allah amfanyie wepesi maskin 😢