HEKAHEKA: Mume asababisha mke kuwekwa mahabusu kisa hati ya nyumba
Вставка
- Опубліковано 28 бер 2017
- Leo Tena ya Clouds FM kupitia mtangazaji Geah Habibu ametuletea HekaHeka leo March 29 2017 inayomhusu mwanaume aliyemshtaki mke wake na kusababishwa kuwekwa mahabusu akiwa na mtoto wake mchanga wa miezi miwili.
Pole dada huyo mwanaume kwanza hana uwezo wakuowa wake wa2 kajitia kichwa kichwa tu ila bora muende mahakamani usikubali kuzalilishwa nahuyo anae kupigia sm kukukejeli Allah yupo atamuonyesha inshaallah
Maaskari walitakiwa wakubali mama apewe dhamana siku ile ile, ila inaonekana walipewa kitu ili akikaa ndani zaidi atakubali kutoa hati na kumuacha mume na hawala yake, hivyo ndugu wamke kuamua kutomchukua mtoto wana haki inawezekana wakimchukua mtoto mke atabadilishiwa kesi hivyo mtoto aachwe uko uko litakalompata baba ndiye ameamua wala si ndugu wa mke
Mwanaume uwezo wake mdogo, uwezo ungekuwa mkubwa angeweka umeme nyumbani kwake, na bi mdogo angenunuliwa kila kitu kipya siyo anachukua vitu kwa mkeo ana peleka kwa bi mdogo.
mwanamme unazuzuka nawanamke mwingine mmpuzi sana huyo na huyo mwanamke dunia duara mungu atamlipa
Haya mambo ya kutafuta pa1 na mwanaume haya daaah yananipa mashaka na was wasi kila siku
Duh jamani alafu kesho unaambiwa patana na mkee mwenzio ki ukwelii duh yataka moyo jamani ubaya uwo
Mtihani
ata police wamekosea wangesikiliza pande mbili na sio kimuingiza mtu ndani wakati Ni mumewake wandoa na anamtt mchanga kweri kwann wasisikilizwe Kwanza wote alafu mdo akaingizwa ndani mwanaume hakili Hana nawapa pole Sana
Pili kituo cha polisi kinahucka na rushwa badala ya kua na huruma ya wtto wachanga
Geah mm naungana na Dada bora waende mahakaman mke ana haki na hiyo hati yule ni mke sio awala kwann abebe vtu vya ndan? Alafu da Geah secta ya jishi la polic inakera sana wana majibu mabovu sana
Mtoto wangu wakiume akimfanyia hivi mke wake aki kitu nitamfanya atajua kwanini mwanamke anabeba mimba.
Nawachukia wana ume sana maana ata mm ishaingia kwenye ndowa wanaume wakisha pata mchepuko wanabadilika ajuwi kama nimkewe wana ume mbwana dah nimeumia sana pole dada mungu yupo atakusaidia eti kisa ati jamani wanaume muwe na uluma jamani
Yani tutafute wote mwenzangu apewe kwa raha naapa nitaolewa na mganga tukose wote
Ha ha haa
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Baba ashibae dini yetu nisawa kuwana wake wawili nisawa lakini anjiweza msituletee ujinga bwana baba ashibae
Dada nimependa sana bola waende makamani
mimi hata nisge hagaika nahat ya nyumba ila cha moto agekipa
huyo baba hana uchungu wa mwanae
Kuna wanaume wapumbavu sana
akili Hana uyo mwanaume kashakula nyama ya chini nj'e wamsamehe tu🤣
Jamani mnasema wanawake atutakii kuolewa wake wenza ila wanaume hamtakii kufanya hakii ila mungu anakuona wee baba
pole dada mm nawachukia sana wanaume bola niwe msela awana shukulani wanaume utaangaaika nae kimaisha akipata kidogo ana zuzuka sana mungu anawaona
Wana wake ndio tujitambue kuwa mwanaume sio ndungu yako
Uyobwana kalogwa asomewe dua
Hanauwezo babuuuuu ...tamaaa tuuu..
hata mmi dd angu aliwekwa lokapu wiki mbili na mumewe na wakakataa kutoa dhamana. maana baba mkwe wake katoa pesa na kesi haikwenda mahakamani
Duuh kweli mume kichwa maji jamani
Tujifunze kutafuta vya kwetu
hapo ndipo anapoacha kunyonya mtoto,wabaya kweli wanawake wenyewe hatupendani
Uyo sio mwanaume tena ni hadui kam mie mapenzi basi hauwezi kutoa vitu kwa mke mkubwa upeleke kwa mke mdgo mnunurie uyo mkeo mdgo pumbafu sana uyo dume hapo mapenzi hakuna
kituo cha police kizuiani ni wala rushwa sana mtu akitoa pesa hata kama hana haki anasikilizwa na kingine wanakawaida ya kukataa mtu asichukuliwe dhamana wala rushwa wakubwa sana
mimi naona wagome tuuu mpaka
Uwezo wake mdogo mpaka anachukua vtu huyo haijui sheriaya ndoa ya kuoa wake wawili hapo mmoja kamuweka mfanyakaz wa kuchumia
pia ndio wanasababisha wanawake kukataa kuongeza mke zaidi ya mmoja kwasababu wanaume wengi awana uwadilifu
wana ume wenyi sna wanaowa kwa tamaa t awana uwezo wakutimiza vit ngezo kamili
Angemnulia yake.na vtu vpya km vle mke mpya.
Hivi kwanini mtu unaamua kuolewa na mtu mpumbavu kiasi hiki??
sijui kalogwa nahuyo kimada
uyu mwanaume alaniwè na uyo dem wake
Sisi tupo wa 3 mbona wala hatujafikia huko tukikutana tunasalimiana basi ila huyo wako nilimbukeni na inaonesha alichelewa kuolewa alipo mpata ndio kaona kapata wambie baada ya kukuweka ww ndani wasubi kukàa yy namumewe mahabus
Dada anamshauri shemeji yke aoe bila kumwambia mkewe.... mwanaume mwenzangu pia kachapia sio haki ... Itakuwa mke mpya atoi tunda mpk hati apewe yeye.
hee mtihan huu libwata limemkolea huyo boy akafie mbali huko
ndio maana siku izi wanawake wengi atutaki wanaume wasio kua na pesa
Umesema kweli mijitu isiyo na hela ni misumbufu kiukweli huwa haitumii akili
Kweli ndugu maana janaume lenyewe lina upeo mdogo sijui midawa kafanyiwa
@@hawaally5869 🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna wanaume sasaiv kuna magume gume...yan manyanyaso tu haki za wanawake hakuna kbsaaa tz
Ata hao polisi hawana huruma mtu mnamfunga ikiwa haki aijatendeka nyie nyumba ndogo mungu anawaona usimfanyie mwanamke mwenzako ivyo kaangaika mpaka kajenga kufika apo unawezaje mume amishe vyombo used kwa nini asikununulie vipya muone mungu kweli sisi wanawake tuna uwezi wakuwashika wanaume na kusahau ata mama ake mzazi ila sio haki kabisa me tu sijaolewa ila is toomuch
Polisi wana makosa inawezekana wamepewa kitu kwanini hawakukubali kutoa dhamana siku aliyekamatwa na waliona ana mtoto mdogo mume atakuwa aliwaambia mke na ndugu zake hawatakubali mtoto alale maabusu hivyo atatoa hati ili asilale na atarudi kwao hapo mume na hawara watakuwa wamewin mimi nakubaliana na ndugu wa mke ingawa mtoto anateseka nyumba wamejenga wote kwahiyo ni haki yake kuchukua hati kukaa nayo na kwanini mume atake kukaa na hati tena ikakae kwa hawala ambaye hajahusika kujenga nyumba.
Kwanini mwanzo walikataaa kumpa dhamana?hata mimi nawashauri waende mahakani
Sheria masaha kumi na mbiri mtu hapewe zamana...na hapo polis washapewa rushwa
yani nihagaike nile dagaa hafu mume tu alate ujiga mimi hata hat nisige hagaika nayo ila chamoto agekipata tena wanaagalia na watu wakuchezee
Asikubal kes iende mahakaman akikubal kutoka police bila yeye kuchukuliwa maelezo ndo kes inaisha juu kwa juu
Mwanamke adui yake mwanamke mwenzie .jaman unamfanyia mwenzio kaolewa hivyo huyo kimada malipo dunianj
Ndoa ya kislam si ndoa majanga matupu
Yan kwakwel ni shida kabsa
Hahaha siku zote roho mbaya haijengi mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote
Uwezo wa kukaa na wake wawili hawana tamaa tuuu
Ilo jamaa halina uchungu na mtoto.
Mume mjinga
Mwenzenu keshazama huyo ukiona ivyo Nyumba ndogo kamwambie bila Hati sikupi nae a naogopa kunyimwa🤣🤣🤣😂😂😂
Hiro ribaba rimchukue mwanae
angeenda baraza la ardhi sio polisi mume anamakosa
Hao polisi nao vipi? Mnamwekaje vipi mke wa mtu ndani kwa sababu ya hati. Huyu dada naye si muelewa angemtoa mdogo wake. Lugola kasema mtu anatoka siku yoyote hata jmosi na jpili.
Wewe Baba mungu anakuona
Hpa shida ni kumetembea hongo.hyo mazungumzo yangeishia kwa wazee.hra Dini ya kiislamu hairuhusu cha nyumba hi kupeleka kungine.sio wivu wa mapenzi.
huyo mmeu ndiye anaetakiwa kumtoa mkeo na mwanae
huyo bwana yeye ndiye anayetakiwa amtoe mkewe alafu na kama anataka Dada wa mke ndo amtoe bas nibora waache tu kesi iende mahakamani nampa pole huyo Dada avumilie tu mungu ndiye muamuzi wa haki na huyo bi mdogo atalipwa tu mbona naye mwanamke IPO siku nae TV itaenda kwa mwingine malipo hapa hapa duniani
uyo mwanaume hana akili
ila nampa san pol uyo dda mmi pia yamenikut ayo adi sasa naish msela na talak ajatoa mtot kani pokony na mmi pia nipo oman sasa ukula maish t
Zuhura Hamisi
piga kaz dadayang zuu wazowee waarab ili ujikwamue kimaisha maan Omani napo waarab wanachosha ile mbaya
dini inasema kama mke na mume wakikubaliana kuwa aoe tena basi mke ndo huwa huridhia. na mpaka aridhie ni kwamba mwanamke aridie maadili ya mume weee.
mm nawauga mkono awamtesi wawo baba ndio anayemtesa mwanawe baba hanahuruma na mtoto ndio mana mugu kawapa dalaja moja t
huyo mme shetani mweusi
Azbita Mhonja
haaaa so shetan mwekundu
huyo kaka hovyo wangempa huyo mtoto akalee huyo shetani wake!!akitoka huyo dada akamfungulie mashtaka huyo mume we ili na yeye ajionee tamu ya maabusu!!haki itatendeka na huyo kaka atapata mshahara wa zambi alio I fanya!!huyo si islam huyo ni kafiri kama yeye kidume angemjengea.
Mariam kombo y
hyo mwanaume hajielew......naingekuwa amri yang .ningemwambia hyo mme apewe hyo mtoto wake ili aone kulea kama ni kaz nyepesi.fuala kweli