Pole sana kaka asietaka stara usimstiri mwache angaike na dunia itamfunza We kua na subra Allah atakupa uchostahiri na sio unachokipenda maana kila likuepukalo lina sababu
Dar brother Utakuja kuwekewa sumu bule Achana nae uyoo Akufai muhombe Mungu hakupe mwenye kufa Nana nae uyo Amesha kugaili kbs kaha nae mbali mita 100 Sheitwan uyoo Mama mkwe nae lake moja na mwanae kabisa
Mhh' yaani wakati wengine wanakatwa viganja na wengine kuchomwa na mkaa' wengine wanachezea ndoa' Mungu tunusuru na majanga ya ndoa za siku hizi. Mwache aende na balaa lake atakukumbuka
Duuuh 😂😂😂Kaka Una Moyo Wallay 😢😢The Lady Betrayed You She Cheated On You Un Your Still Concern About Her You Want Her Back Infact You Still Love Her 😁😁😁Bro In This Generation It's Rare To Find Someone Like 👌👌You're One In A Milion 🙏Be Blessed Bloody
😁Gea tuombe radhi huyu hawezi kuwa wa zanzibar atakuwa wa #tanga tena mdigo😂au msambaa , mahaba haya kwa sasa zanzibar hakuna 🙌🙌😂zenji watu wanagubu mwanzo mwisho 🙌🙌
Dunia ya sasa ukimpata mwanaume anaekupenda kukujali kukuthamini na kukupa kila unachokitaka mshukuru mungu sana na umpende kwa moyo mmoja mwanaume huyo Lkn sio baadhi ya wanawake wa sasa yani sio wapoje Kweli penye miti mingi hakuna wajenzi Pole sana kakaangu mungu atakupa ataejua thamani ya mume. Na huyo atakuja kujuta
Subhanallah yatia huruma ndio mana wanawke wengi upo motoni anyway Allah Utakupa mwenye khery na wewe kaka duuh tuna shida sisi watoto wakike mama zetu wafa kutuelekeza kweny khery lakin leo hii hao ndio wana harubu ndio zetu sad story.
Tatizo ninaloliona hapa, huyu kaka kapenda sana,mwanaume akipenda sana na wewe humpendi,anakuwa anaongea sana mchana usiku,ila huuo Salama iko siku atamkumbuka kwanza ukiwa na mume ndani kisha ukazini,utajibu kwa Allah,bora angechukua talaka ndiyo akaenda kufanya uchafu wake.
Yaani mm ndo maana sipendi kwenda kwa waganga maana ukienda na mambo mengine unakutana na mengine kama mganga amekupenda hatakupa dawa sio ili hakuvuruge hakiri kwanini mnapenda ushirikina msimuamini mungu
Kwenda police ni nzuri kikimkuta kitu kibaya au Mauti lazima atajibu yeye Mume si bado hajatoa talaka Atafutwe huyo mwanamke kama kumuacha amuache kwa wema aende zake Asije akamuuwa na Maradhi noma sana Wa mama wengi sana wanaharibu ndoa za watoto wao eti mama hajui mwanae alipo she's Snitch huyo Mama Amuache tuu aende zake
Jomni watu wanachzea bahati Wenxie tunajifnyia mikazi Omani tunachoka sabbu kutfta rizki ht ndoa moja hatuijui jmn mama anampotosha Mtoto subhanallah Hkufai atakuja kukuua kakaangu dai gharama zako tu Na ww mama hujielewi kweli mwanao unajua miezi sita hayupo kwann usingewaita Watoto jmni mtihani mkubwa apo Kaka epusha Shari mm kakaangu yalimkta Ivo sassivi mwanamke kaathrika
hamjielewi na nyie mabest zng huyu gubu sikilizeni maelezo yake nyie Sisi wanawake ata mtu akikwambia uende kwao umuowe mwanamke ana mapenzi lkn kuna wanaume ukiingia ndani mtihani huyu hana siri mkeo ata km kaiba elfu 20 huwezi kuenda kuhadica rafki zako
@@zuleikhakhamis3303 ujuwe muda mwingine sisi wanawake tunapenda wenyew kiwakela wanaume zetu mume anakuvumilia siku zote mwisho wa siku mume anachoka na yy anajikuta anatoa mambo yanayo msibu yeye na mkew nje kwayo hyu kaka alishaibiwa sana pesa ndani akiuliza chumaulete sasa siku za mwizi ni arobaini ndo kajakujua kuwa mkewe ndo anaemchukulia pesa ...sasa hii sio vizri na aipendezi kiukweli...mwanaume anakuudumia mwanzo mwisho alafu unamuibia pesa ili iweje si umuombe kama unashida ya pesa....mambo mengin tunajitakia sisi wenyew
Muache akayaone,hawara hukupenda ukiwa kwako mana kila kitu wapata,muachie na yeye akaanze majukumu amhudumie sio mke wa bure,mke mvivu hata kupika hataki subhanallah
Bwege huyo maraha mnapenda kuangalia wadada warembo bila kajua tabia badiliken sana bora upete mtu mwenye tabia nzur... mnafataga sura sasa kaz kwako taft mke mwingine oaa
Huyo mke hakufai, Allah atakupea aliye na kheri na wewe
Daahhh so sad wallah kupata mume km huyu nibahati bless you bro Allah atampa mwengine inshallah all the best ❤️😭
Wakongo njoivo wakipend kabisa
Watu wanapata waume cie tunawatafuta waume kama hawa hatuwapati
@@mwanalikhamis9875 weacha tu
Mungu amsaidie huyu kaka ampate mke mwingine,Sababu hakumpenda huyu kaka kidhati
Dah pole sana kk angu..mungu atakupa mke mwema in sha Allah,,mpe2 talaka aende hata akirud atakusumbua huyo
Mashaallah, kumbe Wanaume kama hawa bado wapo. Asiye habati, habahatiki.
Kweli kabisa
Kabisa ametupa mbao wallah
Mh achana nae uyo tafuta mke mwengine wanawake wapo mbona
Kheri Hiyo Mpe Talaka Yaishe,Pole Kaka Kwenye Miti Hakuna Wajenzi.Tafuta Mke Mwengine Uoe.Muache Huko Kwa Mganga Atibiwe.
kama.mtu akutaki ni heri uachane nae kaka ata kama.una ndoa iaije ikaleta shida
@@maryjonh311 Kabsaaaa Mtu Kesha Sema Hakutaki Basi,Kumng'ang'ania Nikujitafutia Case.
Mama mkwe kicheche
@@sictimbombo1121 Mama Mkwe Ndiye Mwalimu Wa Bint Yake,
Kwa nini wadada baazi mnakubali kuolewa ilihali hamna mapenzi ya dhati jamani pole kaka
likuepukalo lina heri na ww machozi yako atakulipa mungu nshallah
Wallah hili nifunzo tosha
Kbs Allah atamlipia
Hakika
Hakika
Hakik pol kak kama hakutak kak fany mambo yako asije kukua kaka angu
Salama wavunija ndoa yako kwa mkono wako mwenyewe utakua juta mumeo anakupenda pole sana kakaangu mwenyezi mungu atakupa mke wa khair in shallah
Ana Laana
Ameen
We mwanaume kweli umempenda hyo mwanamke duu janamke lenywe kahaba hilo waling,ang,ania lipe talaka hilo likome na jji
Pole sana achananae tafuta mke mungine uyosiyo uliyopangiwa na m/mungu jifunze usimpendi mwanamke asilimia 100 uyo hukuzaliwanae
Pole sana kaka asietaka stara usimstiri mwache angaike na dunia itamfunza
We kua na subra Allah atakupa uchostahiri na sio unachokipenda maana kila likuepukalo lina sababu
Dar brother Utakuja kuwekewa sumu bule Achana nae uyoo Akufai muhombe Mungu hakupe mwenye kufa Nana nae uyo Amesha kugaili kbs kaha nae mbali mita 100 Sheitwan uyoo Mama mkwe nae lake moja na mwanae kabisa
e mungu nijaalie nipate mume kama huyu.....amina
Amenaa
Duh pole Sana
Mama mtu adabu hana Allah tujaalie tuwe wazazi wema kwa watoto wetu
Daah pole njoo uniowe mm jmn 😢😢
Huyu mama mkwe angekatwa Kofi takatifu asingekua anamsapoti ujinga mwanae nimeumia sana
Kumbe unajua kupika bro daaah pole sana
Mhh' yaani wakati wengine wanakatwa viganja na wengine kuchomwa na mkaa' wengine wanachezea ndoa' Mungu tunusuru na majanga ya ndoa za siku hizi. Mwache aende na balaa lake atakukumbuka
Kweli kabisa nduguyangu haafu huyu baba anaonekana mume haswaa doh
@@vanessadahnilly8551 Tena muungwana mno' basi tuu kakutana na jini lisilo jielewa.
m
Brother achana na uyo kima atakuletea matatizo bure dunia yenyewe fupi hii mbona mademu kibao tafuta mke mwingine jiongeze baharia
Huyo mama Malaya mzee kinavyonuna kinanunia nn hd Salam?na angekuwa anakaa nyumba nzur cjui ingekuaje
umeona eee alivyokunja kijuso hhhh
Ninachowapenda wazanzibar wakipenda,wanapenda kweli,ninamdogo wangu mngoni hana mume,naomba umuoe Babu Ally
Nlikua nnaham nmuone uyo mwanamke anauzuri kiasi gani? Mpka bwana kuchanganyikiwa kiasi icho?
Pole sana ndg yangu hayo sio wewe tu wengi yanatukuta zaidi ya hayo wengine wanaingiza wanaingiza bwana chumba cha mtoto amehama chumbani kwake
Duuuh 😂😂😂Kaka Una Moyo Wallay 😢😢The Lady Betrayed You She Cheated On You Un Your Still Concern About Her You Want Her Back Infact You Still Love Her 😁😁😁Bro In This Generation It's Rare To Find Someone Like 👌👌You're One In A Milion 🙏Be Blessed Bloody
Kiukweli ciwezi kua mnafiki baharia unatuangusha sana yani umezingua ile mbaya
😁Gea tuombe radhi huyu hawezi kuwa wa zanzibar atakuwa wa #tanga tena mdigo😂au msambaa , mahaba haya kwa sasa zanzibar hakuna 🙌🙌😂zenji watu wanagubu mwanzo mwisho 🙌🙌
Kilamtu na upendavyo rooho
😂😂😂
Hahah yaani kama ulokuwepo gubu kwenda mbele mtu unakaa nae vizur unampikia na anakuolea au vimada jee leo hupiki na mwanamme mwengine juu.....😅
Hao wadigo huwajui vizur😄😄😄 tuulize sisi wa tanga
@@salehalbasam41 kweli ndugu yangu
Such a good man, may Allah (swt) bring a good lady who deserves you
Dunia ya sasa ukimpata mwanaume anaekupenda kukujali kukuthamini na kukupa kila unachokitaka mshukuru mungu sana na umpende kwa moyo mmoja mwanaume huyo
Lkn sio baadhi ya wanawake wa sasa yani sio wapoje
Kweli penye miti mingi hakuna wajenzi
Pole sana kakaangu mungu atakupa ataejua thamani ya mume. Na huyo atakuja kujuta
Bongo sikuizi wanawake wengi pasua kichwa
Dagea huyo Mpemba wa wapi mjinga hivyo aende nyumbani kuna watoto wazuri atapata asitutie aibu wapemba wenzake
yani anatuzalilisha sana yani
Eeh Mungu nipe mume kama huyu...
Shukuru Mungu kuna kitu amekuepusha nacho
Subhanallah yatia huruma ndio mana wanawke wengi upo motoni anyway Allah Utakupa mwenye khery na wewe kaka duuh tuna shida sisi watoto wakike mama zetu wafa kutuelekeza kweny khery lakin leo hii hao ndio wana harubu ndio zetu sad story.
Pole kaka achana naye hakufai huyo
Gea mshauli uyo kaka aendelee na maisha yake tu
Umeona bora angalie yake sio mke huyo atalost kila siku duuuu!!
@@khadijahomankweliyamjahaya7421 🤔 kama hawa mbona huku awapo alafu anapoteza bahati ya upendo .....pumzika tu panga maisha yako ndugu
Jamani mahaba haya looooo kweli pele nililimuota asiyena kuchaaa.
Yaaan kaka japo mkeo ila hapo achana naeee huyo atakusumbua hata akirudi , tafuta mke mwingine watu wapo wanaotaka kustilika ,acha kupoteza muda
Sana yaan
Pole kaka huyo mke hakufai , pia tambua hakupendi kwanini anafanya ujasiri wa kuishi na mume mwingin wakati we upo?? Achana nae atakuuwa hyo.
Pole bro yote kheri yako hiyo Allah atakupa mwengine mwenye kheri na wewe
Bora tu ampe talaka yani duhuuu atali ampe tu talaka yaishe
Tatizo ninaloliona hapa, huyu kaka kapenda sana,mwanaume akipenda sana na wewe humpendi,anakuwa anaongea sana mchana usiku,ila huuo Salama iko siku atamkumbuka kwanza ukiwa na mume ndani kisha ukazini,utajibu kwa Allah,bora angechukua talaka ndiyo akaenda kufanya uchafu wake.
Pole kwa yaliyokusibu ila usimlazimishe kuludi anza maisha yako mapya
Nikweli ila km mganga amempenda bc kageuzwa akili yamganga
Akili itakapomludi ndio ataisoma namba
Mimi nikipat mwanaume mume atakaye nipenda nitamganda Kwa mahaba yote mapenz ukipenda wew hupendwi
acha yani watu wanachezea bahati
Huwezi jua siri ya ndani ndugu
@@Amina-bq2xe mimi Namtaka (mtita girl
Kila kizuri hakikosi Kasoro. Huwenda ukikaa nae humuwezi. Kuomba mungu tuwapate wenye upendo nas tuwapende
Huyo jamaa atakuwa aliwekewq limbwata na hyo mwanamke wke haiwezekan mke akukimbie aende akaishi n mwanaume mwngn alafu bdo useme unamtaka arudi kwko muendelez maisha kwn mwanamke ypo mmoja we mpe taraka angalia maisha yako bn
Yaani mm ndo maana sipendi kwenda kwa waganga maana ukienda na mambo mengine unakutana na mengine kama mganga amekupenda hatakupa dawa sio ili hakuvuruge hakiri kwanini mnapenda ushirikina msimuamini mungu
Pole sana njoo mm nakutaka
Huyu jamaa Yani ata sielewi Ana n,maana eti waenda police kisa mke hakutaki siumuache wanawake tele wanaotaka ndoa
Rahma nipe number yako plz
Kwenda police ni nzuri kikimkuta kitu kibaya au Mauti lazima atajibu yeye Mume si bado hajatoa talaka
Atafutwe huyo mwanamke kama kumuacha amuache kwa wema aende zake
Asije akamuuwa na Maradhi noma sana
Wa mama wengi sana wanaharibu ndoa za watoto wao eti mama hajui mwanae alipo she's Snitch huyo Mama Amuache tuu aende zake
We vipi Sasa si anapenda mwanamke wake unadhani Ni mbuzi huyu atataka kila anayemuona
Umerogwa vibaya muache uoe mwngne mbn wanawake weng
Wanaume wapemba wanajua kupenda bana x wangu nilimuacha mpka leo najuta alikuwa ananihonga balaa sijui nimtafute😭☹️🤔
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jomni watu wanachzea bahati Wenxie tunajifnyia mikazi Omani tunachoka sabbu kutfta rizki ht ndoa moja hatuijui jmn mama anampotosha Mtoto subhanallah
Hkufai atakuja kukuua kakaangu dai gharama zako tu
Na ww mama hujielewi kweli mwanao unajua miezi sita hayupo kwann usingewaita Watoto jmni mtihani mkubwa apo
Kaka epusha Shari mm kakaangu yalimkta Ivo sassivi mwanamke kaathrika
Naaje aniowe mm ...pole ndugu
njoo kwangu basi
@@AbdulAbdul-pr9qe ishakua tabu naja
@@memisaphusseni7190 0786313599 haraka sana
@@AbdulAbdul-pr9qe ansante
Dageya hongera kwa kazi mzuri
Penye miti hapana wajenzi
Duh.pole.kakangu
Ww kaka umerogwaa sio bure😁 ila acha mkomeshwe mmezidi kutuonea sisi wanawake..!
🤣🤣
yaani kabisa mie nataka haswa wakomeshwe nawashangaa wanawake wengine wanaongea pumba hapa ila wanaume wamezidi manyanyaso
mtafilwa sana kwa tamaa wanawake kama nyinyi huyu jamaa yupo sahihi nyie malaya mnaongea nini
😀😀😀😀😀😀😀😀jmni nimecheka jmni
@@frankbrown6400 km imekuuma chomoa pyeee😂😂😂😂
doh si mungu unipe mie huyu mwanaume. Mashallah.
Dada gea mwambie aje anioe mimi hyu kaka yko vizur kimjali mke
Umeonae dah
@@محمدالقايد-د6ب watu tunatafut wanaume walio tulia wao wanangaik na dunia
hamjielewi na nyie mabest zng huyu gubu sikilizeni maelezo yake nyie Sisi wanawake ata mtu akikwambia uende kwao umuowe mwanamke ana mapenzi lkn kuna wanaume ukiingia ndani mtihani huyu hana siri mkeo ata km kaiba elfu 20 huwezi kuenda kuhadica rafki zako
@@zuleikhakhamis3303 ujuwe muda mwingine sisi wanawake tunapenda wenyew kiwakela wanaume zetu mume anakuvumilia siku zote mwisho wa siku mume anachoka na yy anajikuta anatoa mambo yanayo msibu yeye na mkew nje kwayo hyu kaka alishaibiwa sana pesa ndani akiuliza chumaulete sasa siku za mwizi ni arobaini ndo kajakujua kuwa mkewe ndo anaemchukulia pesa ...sasa hii sio vizri na aipendezi kiukweli...mwanaume anakuudumia mwanzo mwisho alafu unamuibia pesa ili iweje si umuombe kama unashida ya pesa....mambo mengin tunajitakia sisi wenyew
Muache akayaone,hawara hukupenda ukiwa kwako mana kila kitu wapata,muachie na yeye akaanze majukumu amhudumie sio mke wa bure,mke mvivu hata kupika hataki subhanallah
Naaje anioe nije nimpikie hizo kunde na njugu mawe nitamshaliki mpaka ashangae🤣🤣🤣
😁😁😁
Hapo mashuzi kwenda mbele😃😃
Geya mm.namtaka uyo kaka mwabiye sawa
Masikini huyu kaka anampenda mkewe ila hapa kuna nguvu inatumika kama siyo pesa basi ni ushilikina hapo😇
Ni nani anayeitumia hiyo nguvu sasa ?
Pole jamani mitihani ya dunia utapata mwingine
Kuna watu wanajuwa kupenda mashalla mke ashaenda kwa mtu nabado wampenda mashalla jamani mungu anipe na mm nshallah
Ryoof nipo
@@abdulazizsharif2984😍😍😍
@@abdulazizsharif2984 mashalla ❤
Pl p
Gea umeenda pemba au wapi hapo?
Wamama wengi wasio na akili ndio wanaovuruga ndoa zawatu hyu mama nimnafiki anajua kila kitu huyu mama anatakiwa apelekwe kwenye vyombo husika
Pole sana .kaka..oa mke mwingine huyo si mwanamke ni changudoa .mchawi .amekuroga huyo mpe talaka na huyo mama. Sio
Jamani kupendwa raha Lakin tujinfunze wanawake
Heri tu umpe thalaka yake...umuachie dunia...Na Insha Allah atakutafuta...mwenyewe...kwa sababu Mume pia ana Rashi zake...
Sawa kbs
Jitambue ndug yang wanawak wapo wengi huyo hakutak anakupelekesha kilimbwata tu
@@salimjuma9494 kweli...tu
Huyo siyo mke atakuletea maradhi. Muache utapata mwingine mwenye hofu ya Mungu.
Mungu atakufanyia wepes ishaalla
USWAHILI SIO KITU KIZURI, HAO WASWAHILI BRO ACHANANAO SIO WATU WAZURI
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
MH mwanaume WA hivi uyo Dada akirud awe makini Sana uyu kaka ana kitu rohoni
Na mimi nilifikiria hivyo bora asiludi
Kaka njoo uniowe mimi jamani😭😭
🤣🤣🤣🤣🤣
@@tatuhongeranurushaus485 @😂😂😂😂unanicheka ndugu yangu
Hahaha ww
Heeeee
HahahahhahahahHHah
Tuache kuwapa wanaume rimbwata mwisho WA siku umtaki anakunganda 😂😂😂
Hakuna limbwata huyo mwanamme anapenda kweli
Hahhaha yan ww😅😅😅
Pole sana kwa yaliyokuta ila umependa usipopendwa. Ila umtangulize Mungu utampata mwenye upendo wa dhati na utpata faraja hayo yote utayasahau
Sio limbwata aisee ndugu yangu kapenda kweli kweli aisee ila Mungu ata mfanyia wepesi aisee
jaman mm nataman niwe na mwanaume kama huyo.mm nk tayali kwa shida na laha.joo uniowe?
Tunaotaka ndoa hatupati wasiotaka ndo wanapat jamn mungu nijalie nipate mume bora nistirik mie
Eeeeh mungu wangu njalie mume km uyu 🙏🙏😂😂
Kabisa
Masikini maisha haya wengine tunatafuta waume wengine hawataki waume
@@azamajid9530 niuzuni kwakwer
Naomba namba zake nime kupenda huyo kk jaman geh plz naomba namba za simu ya huyo kk nime mupenda tutaendana
Dah huyo sio mke bali msanii 🤣😂
Ndio
Haha
Ila Dada Geah mitihani katika maisha ipo mingi duuh
Tunakuomba dagea tupe muendelezo
acha ubwege ww ushakuwa fala hebu achana naye bana angalia maisha yako bana
da geah nime cheka hapo ulivyo muambia mama kua mama una amkiwa uko vijana wana kuamkia😀😀😀😀😀😃😃😃😃😃😃😃😀😀😀😀
Duh pole kaka Kuna wanawake wengine wanacheza bahati jamani pole kaka
huyu kesha fanywa zumbukuku ndugu zake wamuokoe kabla ajageuzwa msukule
Jmn kweli wabawake tunavunja ndoa kwamikono ye2 wenyew 😭😭😭
Mm nakushaur msame two Ata kuletea maradhi mm mpemba mwenzio njoo uowe kwenu pemba
Kamjazia nafaka ndani ila wadada sie mungu atusaidie wa mama wasikuizi 😆😆😆😆
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣umenifurahisha kweli
😂😂😂 nimecheka kifala amekua kuku au njiwa
@@saidmohdsaid8517 mbona nafakaaa😁😁😁😁
😁😁
Uyoo dd ajielewii cijuwi kabilagani uyoo
Mbona mimi mke wangu anitoloki jamani mbona bahati kama hii mi nahi lilia mwenzenu 😆😆😆😆😆
Sasa we unataka akutoroke,ili iweje,au majukumu kaka
hhhha
Ha haha soon atatoroka ucjal
Pole sna bwana mpemba huyo mke hakufai.kila likuepukalo unaheri nalo.ishaallah allah atakupa mke mwema mwenye upendo na wewe.
Ss tunatafuta mwanaume.
Wengine wanacheza na ndoa zao
Kaka malaya alizki achana nae kuna sku utakukumbuka kaa tulia utapata atakaekupenda
Yaaan
Mh mambo ya ndoa hayoo atajuta atatafuta mume kwa tochi
KAKA WANA WAKE TUPO WENGI,
ACHANA NAE MALAYA MBOVU
HUYO, ACHANA NAE ASIJE AKAKUPA IKIMWI,
MWENYEZ MUNGU KUNAKITU
ANAKUEPUSHA HAPO...
Ndio
Nashangaa
Xhangaa
Ah masha Allah tabarakallah kakangu wala usihuzunike Allah atakupa wa kheri nawe huyo malaya thu hakuthaki
Ndio Mana Wanawake Wake Wengi Tupo Motoni Allah Atunusuru Kwa Moto Uwo..Yn Mapenz Nayo Shikamoo..
Kweli my
Ama kweli kunguru afugiki.
Hapo kwenye namuhitaji na Nampenda🤣🤣.
Alioa malaya
Likuepukalo lina kher na wewe utapata anaekupenda na kukujali dhahir familia awakutk mkwe wako ndo huyo akutk utapata mwengine madhali bado wapumua
Kweli
Bwege huyo maraha mnapenda kuangalia wadada warembo bila kajua tabia badiliken sana bora upete mtu mwenye tabia nzur... mnafataga sura sasa kaz kwako taft mke mwingine oaa
Watu Kama hao wakipata wanawake wenye mapenzi ya kweli huwa hawwataki wanataka hao kuitwa kujiremba na kukata nyumban Bila shughuli ya kufanya
Naona unalazimisha ukimwi,achana naye
🤣🤣🤣bro usimtafute hyo..kashapata ngungwa nyingine..sasa komaa eti unampenda..utapata unachokitaka..Mapenzi hayarazimishwi kaka
Kaka.mganga.wabaya.sana.akikataaa.achana.nae
Wanawake Mungu anawaona, cjui wanahitajigi nini kwenye maisha
Wengine twasali tukiililia ndoa wengine hao wanaikimbia lol!
Makubwa
Sahihi mpenzi
we acha tu
Kaka Achana Na Uyo Mtu Toa Taraka Kwani Mwanamke Yuko Peke yake Tanzania....we Muachie Mungu Utapata Mke Mzuri Kushinda Uyo Mwizi
Na atakuja kumpigia magoti kumuomba msamaha waludiane
Nimekuwa wakwanza like zenu wapendwa
Unazila😏hz like?