Mh.Salute Hio nafasi sio staili yako unatakiwa mh.Rais akupandishe cheo zaidi Hili kuwatete watanzania wote . Nilicho kipenda hapo huchunguzi hufanyike hasie na kosa ataenderea na majukumu yake kama kawaida bila kumuonea mtu. Halafu hawa wanao taka kula kwa nini wanataka kula wenyewe bila kukushirikisha? Wakumbushe kazi haendi hivyo hata wewe unaitaji kula.
Safi sana mzee Mwanri,unamsaidia vzr mh.Rais ili taifa letu lisonge mbele,hawa watu wameaminiwa na kupewa dhamana lakini hawatekelezi ipasavyo as a result wananch wanaichukia serikali yao.
Mh mwary anachekesha sana kwa maneno yake.na anapiga kazi baraa.MIMI mtu akianguka its okey,mzee njoo hapa hii haihitaji elimu ya chuo kikuuu.Usiniangalie kwa huruma dirisha umekunywa
Hapo ndipo utajua kwamba kuitendea haki kazi yako nimuhum au la!! Ambao bado wapo kwenye kiti waitumie nafasi yao vizuri maana mambo hayatabaki kuwa mazuri kilasiku, dah!! pole ako
Nakukubali kwa kuwa u muwazi japo majuzi hapa uliboronga kwa kumtaka Mungu amshukuru Magufuli ila tulikusamehe kwa kuwa tulijua kutokana na mtu akizidisha umaridadi au mgema anaposifiwa💪💉
😂🤣😂😂😂yaani huyu baba ananifurahisha sura yake tu hapo hajatumbua 🤣🤣wakomeshe wamezoea kuchakachua kila kitu wamesahau ni uzao wa magu upo kazini.magu hoyeeeeeeee💪💪👊
Ujue ukiachana na maswala ya kuwa wameajiriwa na serikali,lakin kwa Tanzania watumishi wa uma wanaongoza kua na stress,mi nahisi icho ndo kitu kinachowafanya washindwe kutimiza majukumu yao,hawana furaha na hawana confidence pia dooh
@@janestauffer111 Jane moja kati ya sifa za mfanyakazi bora ni,,,anatakiwa awe anafanya kazi without any pressure, sasa sku izi kila public servant yupo under pressure
@@joelkidunye7270 why wanakuwa na pressure what's a reason behind...... Hivi ukifuata majukumu yako kuna mtu atakuingilia I think who a are not faithful in such ndio wanakuwa under pressure sana take this example ww ni mtoto unakaa na wazazi wako ukikosea na unamjua baba yako vile alivyo ukisikuia baba Huyo anarudi nahis unaweza kuzimia all the time unawaza baba akija nn kitatokea but kama hauna kosi wala unakuwa comfortable
@@janestauffer111 a goo example but let me make it to be more relevant,,, there are different processes and procedures before terminating or demoting a public servant try to search them,but I gues I need to explain it more to you
Mama Afisa elimu kazingua unapoingia kazin unatakiwa uanze kazi immediately. Ndo JPM aliwambia kama huwez kwenda na kasi yangu jiuzulu. Miezi miwili hujaomba hata ramani ya shule
Safii sana kuu wa mkoa na upo vizuri ,nahuwa nakufatiria taarifa zako zote nakutatakia kazi njema
Eng usiniangalie kwa huruma ,dirisha umekunywa km umesikia hiyo gonga like
😂😂😂😂
Nimeiskia port. Hapa sasa sina LA kusema
😂😂😂😂😂
Nitafurahi sana Mh Mwanri akipanda cheo kuwa Waziri.Anatufaa sana katika kujenga nchi yetu,hakuna masihara hapa nyoosha tu watu.Safi sana Eeeh.
Asante mungu kwa kumuona mkuu wangu wa sekondari 2015 ziba sekondari pendo ndaki naombeni like zenu jamani
😆😆😆😆😆😆Engineer ww usiniangalie kwa huruma dah kama unamkubali mkuu wa mkoa wa tabora gonga like apa twende saw
🤣🤣
😀😀😀😀😀et dirisha la pili amekunywa
Yupo poa
Hapa kazi tuu hakuna chenga
Amezimia akianguka sawa tu huyu jamaaa ni hatarii gonga like
Kama unamkubali mwanri mpeni likes zake
Kuzimia lazima 😁😁😁😁na ukizinduka ukaskia tena sauti ya Mwanri unazimia ..
eliza kileo yaan atazimia ata mara kumi ;miss you eliza niceeeee
Alafu unakufa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Hahaa
Kama umeskia apsa elim gonga like tujuane
Waliomchukua na kumkimbiza kituo Cha afya wamefanya kitu Cha maana, na watu hawa wana akiri sana.
m'bunge wangu kageuka mbogo njoo uku siha mkuu waache hao hawakujui
Kwa waliosoma ipuli sec Tabora kama umemuona sir sichone gonga like
HUYU JAMAA AHAMISHIWE MTWARA AKAPAMBANAE NA KOROSHOW.. Maana Huyu ni Master
Abed nego watuachie mwanry wetu ainyooshe Tabora watoto sasa wanasoma
Safi sana huu ndiyo mpango bora kuondoa wavunja sheria sehemu zote
njoo mbeya mheshimiwa, nimekubali kazi yako tena mungu akubariki.
Hahahaaaaaaaz
Hahahahahaha kama. Umesikia. Ety. Ili jengo kuisha mpka. YESU aludi yen gonga like twende
Huyu mtu hunifurahisha sana, yaani huwatetemesha watumishi kama mzee magufuli tu. Big up kwako mh. Mwanri
Kwakweli nimshukuru mungu sipo serekalini mana ninavyo jijua ningesukumwa ndani 😂😂😂
😂😂😂😂
Yaani mie ningemskizaaaaaa kisha namuuliza umemaliza muheshimiwa?halafu namwambia nihivi baba mkundu wako wewe naaliokuleta hapa nyaga nyie yaani nitaongea haraka maana najua watanivamia
Hongela umegunduwa udhaifu wako.
Msofe Lighitrider hahahaaa
Haaahaaa
Mh.Salute
Hio nafasi sio staili yako unatakiwa mh.Rais akupandishe cheo zaidi Hili kuwatete watanzania wote .
Nilicho kipenda hapo huchunguzi hufanyike hasie na kosa ataenderea na majukumu yake kama kawaida bila kumuonea mtu.
Halafu hawa wanao taka kula kwa nini wanataka kula wenyewe bila kukushirikisha?
Wakumbushe kazi haendi hivyo hata wewe unaitaji kula.
Safi sana mzee Mwanri,unamsaidia vzr mh.Rais ili taifa letu lisonge mbele,hawa watu wameaminiwa na kupewa dhamana lakini hawatekelezi ipasavyo as a result wananch wanaichukia serikali yao.
Duuh Hongera sana Mkuu Maana huruma zaregesha nyuma,Poleni sana.
Uwaga upo rafiki
@@Philipoupdates Ndio Mi Popote pale Si Chagui Si Bagui.
Mh mwary anachekesha sana kwa maneno yake.na anapiga kazi baraa.MIMI mtu akianguka its okey,mzee njoo hapa hii haihitaji elimu ya chuo kikuuu.Usiniangalie kwa huruma dirisha umekunywa
Hapo kusimamishwa ni uongo, ndo kishaota nyasi hivo! Kama matani vile kumbe kweli!!
Eng usimwangalie mkuu wa mkoa kwa huruma kweli weee baba just love you from mbeya city
Mungu amlinde jaman rc mwanri ni jembe
Daaaah engineer ww ucnianglie kwa huruma apa
Eti Yesu atakaporudi.Hivi unajua siku atakayo rudi
Super Mwanry! Tofauti sana na hao vijana wanaoongoza kwa mihemko badala ya kutumia busara!
Engineer:🙄😌
Mwanri: usinitazame kwa jicho LA huruma hapa..!!
......................😂😂😂
waliosikia neno hiki ni kioja gonga like hapa
Hapo ndipo utajua kwamba kuitendea haki kazi yako nimuhum au la!! Ambao bado wapo kwenye kiti waitumie nafasi yao vizuri maana mambo hayatabaki kuwa mazuri kilasiku, dah!! pole ako
Mwanri Mungu anakuona kwakweli
Hizi kazi bora niangaike mwenyewe au mnasemaje wadau
Histon Ezekiel umeonaee
@@rosemshanga746 nimeona maana sasa utakufa bure na visivyo kuusu unaweza ukawa aujui chchct lkn likawa upande wako
Histon Ezekiel apo lazima niangahike mitahani kwamaneno ayo na kwahizi asira ninazo bora niangaike
Nakukubali piga kaz mungu atakuongoza
Super nwanry ww ni zawadi Kwa wanatabora.piga kazi nakuelewa Sana mkuu
Hilo dirisha amekunywaa 😂😂
Derric Deuc 😂😂😂😂😂
Nimekubali iyo
Very smart ...
Punda haeindi mpaka mijeredi. safi sana. mkoa wangu umepata mtu. sahihi.
Mimi kuzimia is not an issue hahahaha kazi nzuri
Alhamdulilah ,pesa fitina
2:00 dah nimecheka sana
Watu wengi hawajaelewa hii serikali si ya miaka ile, unabembelezwa unakoroga hapa unahamishwa badilikeni fanya kazi yako kwa weledi
Daaah Shule yangu kabsaaa huko Igunga, mliosomea Ziba sec. Niwafahamu
mimi kongwa
@@mwanju3981 Michael Kongwa!?
Kila la kheri muheshimiwa InshaaAllah
Naomba CV ya Aggrey Mwanri
Robert Junior LUGE alikataa kuangalia CV
I was missing this man😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Now he has back in to contention
NAKUPENDA SANA *RC MWANRY*
Namkubali sana mzeyeee..mfano wa kuigwa kwa viongozi wengine
Du Sawa amekosea anazimia MTU amjali maisha ya MTU hayalingani na hill jengo duuu mungu tuhurumie
Huyu Km Ni Babaako Aseeeeee............Utajuta Kuzaliwa Nae🤣
Ndo maana sina mpango na ajira zao kufanya kazi kiroho juu juu duuu maisha yenyewe hayaaa
Uko vizuri mzee
pole sn mama ndo majukumu ya kazi
Kama umesikia mtu akianguka akizimia mie sijali gonga like hapa😂😂😂
Pole patricia
Wabheeja sana bhabha..bhagololage kooi
Mzee nenda nao jumla jumla
Nakukubali kwa kuwa u muwazi japo majuzi hapa uliboronga kwa kumtaka Mungu amshukuru Magufuli ila tulikusamehe kwa kuwa tulijua kutokana na mtu akizidisha umaridadi au mgema anaposifiwa💪💉
njoo mbeya mzee wa kazi maana humu hakuna kitu wamerara tuu
Tukimpa nchi Huyu mzee tumekwishaaaa aisee
Hshahaaaa
😂🤣😂😂😂yaani huyu baba ananifurahisha sura yake tu hapo hajatumbua 🤣🤣wakomeshe wamezoea kuchakachua kila kitu wamesahau ni uzao wa magu upo kazini.magu hoyeeeeeeee💪💪👊
Mwanri wewe jembe Rais akupe cheo cha juu ukuu wa mkoa haukutoshi wewe ndio unaendana na kasi ya Rais.
Mkuuu anapiga sana kazi asee
JPM mwenyewe Hatumuwezi itakuwa Huyu.. Si ndo watu watalia kabisa
Mzee hatar huyu.
Rashid Malilo Tusipate kumsifia mtu akiwa anafanya maamuzi ya paniki tujiongeze kidogo wa ndugu
Piga kazi mwaniri , i like from Italian
Mkuu wa mkoa uko vizuri mno baba
Ninavyopenda dili ningefungwa mm
Ujue ukiachana na maswala ya kuwa wameajiriwa na serikali,lakin kwa Tanzania watumishi wa uma wanaongoza kua na stress,mi nahisi icho ndo kitu kinachowafanya washindwe kutimiza majukumu yao,hawana furaha na hawana confidence pia dooh
Sio kweli ukifatwa maelekezo na sheria za kazi stress zitatoka wapi
@@janestauffer111 Jane moja kati ya sifa za mfanyakazi bora ni,,,anatakiwa awe anafanya kazi without any pressure, sasa sku izi kila public servant yupo under pressure
@@joelkidunye7270 why wanakuwa na pressure what's a reason behind...... Hivi ukifuata majukumu yako kuna mtu atakuingilia I think who a are not faithful in such ndio wanakuwa under pressure sana take this example ww ni mtoto unakaa na wazazi wako ukikosea na unamjua baba yako vile alivyo ukisikuia baba Huyo anarudi nahis unaweza kuzimia all the time unawaza baba akija nn kitatokea but kama hauna kosi wala unakuwa comfortable
@@janestauffer111 a goo example but let me make it to be more relevant,,, there are different processes and procedures before terminating or demoting a public servant try to search them,but I gues I need to explain it more to you
Maamuz mugumu siku zote yana positive impact
Maafisa Elimu ni wababe sana wanapokuwa maofisini,hawana huruma na walimu utadhani wao hawakuwahii kuwa walimu!!!sukuma ndani wote!!!
Piga kazi baba wewe na Magufuri nawakubali sana kuliko viongozi wote nchini Tanzania Nyamhanga from Italian
Financial freedom is only hope...
Uko sawa mzeee
Huyu jamaa tuletewe Dar as salaaam ... Bashite apumzishe majukumu yake kupisha uchunguzi 😂🤣🤣
Bila hivi nchi haiendi
huy mkuu wa mkowa angekuw rais wet wa zanzibar mwaka 2020 yaan zanzibar ingekuw nchi imara sana
JAMANI ILA HIZI KAZI HIZI BINAFSI NAOGOPA KUAJIRIWA NAEZA KUFA KWA PRESHA JAMAN NIKIMUONA BOSS TUMBO LINAUMAGA GHAFLA😂😂😂😂😂😂😂😂
Duh kama utani vile unasimamishwa kazi kuweni makini jamn serikali ya saivi sio ili ya zaman polen sana
Mim mtu akianguka akidondoka hahaha Kma umeisikia hyo gonga like
🤣🤣😅😅😅😂😂 daaah!!!...mkuu hatari sana,anamchukua ustaadhi na swaumu njoo usigope haya mambo hayahitaji chuo kikuu
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁hata ukianguka ukazimia mm siangalii hicho
We engineer njoooooo hukuuu
jamani watu bado wanachakachua ktk hii awamu ya 5 ilivyo kuwa makini,mkuu wa mkoa anaongea kimasihara lkn kitu kipo siriazi,fanya kazi mkuu
Kwanza tangu nianze kuona krip zake sijaona anamuonea mtu ila anafuata sheria Mungu amsaidie mpaka aje kuwa raisi wa Tanzania
Kuzimia sio ishuu🤣🤣🤣nimecheka sanaa an
Maguu hoyeeeee, kweli umechagua jembe. Walishazoea ujanja ujanja tu.
Soma hiyo
RC wotewakifikia standard anayo set mzee huyu tutakaa vizuri.Hasa wale RC vijana walioota mapembe na mikia.
😃😃😃etii hata mtu akizimia azimie😃😃
Uko sawa mkuu
Hahahaha poleni sana namkubali sana huyu mwamr
Jamaaa nikuwa namkubali sanaa
Mama Afisa elimu kazingua unapoingia kazin unatakiwa uanze kazi immediately. Ndo JPM aliwambia kama huwez kwenda na kasi yangu jiuzulu. Miezi miwili hujaomba hata ramani ya shule
bora kujiajiri tuuu
Kweli brother
Ezekiel Mbazi. nice
Duuuu
Watu wengi atujui kuajiliwa ni utumwa!!
Kweli
Hapa kazi tuu 💪💪
Good Mwanli
Nimekupenda bule
INJINIA USINIANGALIE KWA HURUMAA 😂😂😂
😂😂😂😂
ema mifuko 😂😂😂
🤣🤣🤣
Utawala bora haupo hivyo
ema mifuko 😂😂😂😂
Kazi za kuajiriwa na serikari hatari bora uajiriwe na kampuni maana unakuwepo ujijui utang'olewa link ase Mimi napiga MOBISOL safi
Hajang'olewa kasimamishwa kupisha uchunguzi.
Hawa wote itabidi watupishe kwanza kazi iende
Big up
Mama wa watu pressure imepanda dah...hii speed ya awamu ya 5 mtakondaa tuuu😄😄😄😄
Aje musoma Mara
Engineer bwana 😂😂
Gonga like 🔙
Angekua babaangu ningeama nyumbani mana uyu mzee noma
Mkuwamkoa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏😀😀😀😀😀😀
Jamani Hahahahahahahaha mmmmmmm napenda kusikiliza sehemu ya kioja
From 254 for sure this guy is a good leader to follow
Mungu wangu!