JPM AWABANA WAKANDARASI KWA KIMOMBO, "FANYENI KAZI USIKU NA MCHANA, MKAMILISHE KABLA YA MUDA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 252

  • @mesutnyaryanga8932
    @mesutnyaryanga8932 3 роки тому +2

    I love this Guy..(He is a prophet ) Atatufikisha sehemu nzuri kimaendeleo...

  • @pizletz540
    @pizletz540 4 роки тому +2

    My President GOD Bless You

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 4 роки тому +20

    SAFI SANA mkuu nakukubali Sana kiongozi wangu JPM hapa Kazi tu

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 4 роки тому +4

    Money is there, Contractor you are there finish on time Big up my president 👍🏼 Tumechoka sie wana mwanza kukaa kivukoni masaa 2 . I wish siku nikuone Live Mzee Wangu JPM

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 4 роки тому +7

    Allah akupe maisha marefu Rais wetu Insha Allah

  • @mwalukojohnkongola5471
    @mwalukojohnkongola5471 4 роки тому +1

    Hongera sana mkuu, kazi yako ni njema sana, Rais wetu

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc 4 роки тому +6

    Magu uko vzr English haikupi shida hahaaaaaa proud of u my president Mungu akubariki sana

  • @ndayihimbazejoel4241
    @ndayihimbazejoel4241 4 роки тому +1

    A good leader... For people Tanzania will always remember his leadership... From Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @liliansamson674
    @liliansamson674 4 роки тому +8

    Mwenyezi Mungu Muumba wetu tunakushukuru sana kwa kutujaria kiongozi bora nchini kwetu.

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 4 роки тому +41

    Rais wetu wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli na kimombo mbele kwa Mbele....Nchi hii Umeiwezea sana Mkuu..... Sihami Tanzania

  • @hakunamatata7037
    @hakunamatata7037 4 роки тому +3

    Thank you JPM Shoga Lissu analia sasa

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 4 роки тому +9

    The English of JPM is so sweet when comparing to these Chinees guys🇨🇳🇨🇳&🇹🇿🇹🇿

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 4 роки тому +3

    Love mwambaaaa akili nyingi sana jpm

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 роки тому +1

    Raisi kama huyu hatokei milele dah kwel chema hakidumu kazi ya mungu haina makosa mungu akupe kila la her uko ulipo amin

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 роки тому +1

    Kumbe mzee yupo vzr kizungu.

  • @Weplanetitsolutions
    @Weplanetitsolutions 4 роки тому +4

    Big up my President🙏🙏💪

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 4 роки тому +2

    Aisee safi sana, huku kuna kingereza cha kisukuma na kule kuna kingereza cha kichina basi mambo supa kabisa.
    Ila nimejifunza jambo kubwa sana, kumbe mtu unaweza kuwa mtaalamu mkubwa kabisa na usijue kingereza.
    Wakati ni huu sasa shule zetu zisomeshe masomo ya sayansi kwa lugha ya Kiswahili.🙏🙏🙏

  • @ericasimon9631
    @ericasimon9631 4 роки тому +10

    Dharau siyo nzuri ,rais anapiga ngeli vizuri kabisa ,hongera umewaumbua Leo wenye dharau

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 роки тому +2

      Ufahamu ya kuwa ajue asijue sio lugha dio inajenga inchi ni uzalendo

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 4 роки тому +1

      Jamani wewe mtu amesoma amekuwa waziri takribani uongozi wote Mwinyi , Mkapa, Kikwete , leo
      Rais asijue english wanachekesha

  • @salutalemeela1916
    @salutalemeela1916 4 роки тому

    Mungu akutunze rais wetu jpm

  • @rehemashabhay2205
    @rehemashabhay2205 4 роки тому +2

    Big up my President.God bless.

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 4 роки тому +13

    Everything is there dude get it done.

  • @daudipeterstephano4460
    @daudipeterstephano4460 4 роки тому +1

    Nakukubali sana RAISI wangu KIPENZI

  • @mukamanaelisabeth4331
    @mukamanaelisabeth4331 4 роки тому +8

    God bless magufuli and tanzania

  • @rweyemamrespicious975
    @rweyemamrespicious975 4 роки тому +1

    Mara ooooh Magufuli hajui kiingereza. Na hao wakorea vepeee.

  • @amidunassoro9732
    @amidunassoro9732 4 роки тому +1

    Safi sana JPM nakukubali sana

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 4 роки тому +4

    Safi sana Mkuu.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 роки тому

    Saaaaafiiiiiiii JPM.umeonyesha hitaji la kuona mradi unakamilika haraka sana.hongera mtetezi wa sisi walala hoi.

  • @lihimh9518
    @lihimh9518 4 роки тому +1

    It good to be patient Mr President

  • @Papaa_Hillary_Mrema
    @Papaa_Hillary_Mrema 4 роки тому

    Wachape kazi 2024 ni mbali kusubiria mradi ambao resources zote zipo.. Wananchi wa Mwanza, Geita, Kagera, Kigoma na nchi jirani watanufaika sana na ujenzi wa Daraja hili... Big Up Mr. President.

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 4 роки тому +1

    Wallahy Tanzania Raha

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 4 роки тому

    Good communication skills

  • @ashuraalli1561
    @ashuraalli1561 4 роки тому +6

    Working day and night yes president 😁😁😁😂😂......

  • @cadhimberec1286
    @cadhimberec1286 4 роки тому +27

    Mkorea hajui kingereza mchina hajui kingereza sasa mlitaka MAGUFULI ajue kingereza Kwan yy ni muingereza? Cc tunataka kazi

  • @andembwisyemwakalinga9351
    @andembwisyemwakalinga9351 4 роки тому

    ubarikiwe mkuu we pray for you .

  • @hamadabdullahkhamis977
    @hamadabdullahkhamis977 4 роки тому +1

    Mzee Rais wetu ulipotoa ile historia ya mtumbwi au ulikua upande na moyo akakusita na hujaupanda ule mtumbwi na ule mtumbwi ulizama na watu kupoteza maisha....Nipo Italy Hadi machozi yananitoka kusikia hiyo stori uliyo itoa ya ule mtumbwi.. M/Mungu Yuko nawe atakulinda na atawalinda watanzania wenzangu...

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 4 роки тому +1

    JPM hataki kurudishana nyuma kupitoa muda Wa kazi Ktk miradi

  • @maxwellsanga3662
    @maxwellsanga3662 4 роки тому +2

    yaonekana Tanzania ukiongea kimombo unaonekana msomi Sana 😂

  • @marvinmbugua4
    @marvinmbugua4 4 роки тому

    Please ambia Dr. Magufuli akuje kwetu kenya afanye hivi ....

  • @prospermushi1562
    @prospermushi1562 4 роки тому

    Rais umeongea kistaarabu na umehoji kiungwana sana hapo nakupa hongera sana

  • @mecksonjoseph6432
    @mecksonjoseph6432 4 роки тому +2

    Kaz kazi

  • @jullipusoe7838
    @jullipusoe7838 4 роки тому +2

    That's my President he's a good man

  • @bahatidamiani561
    @bahatidamiani561 4 роки тому +1

    Safi sana JPM

  • @ngiruwonsangamoise1086
    @ngiruwonsangamoise1086 4 роки тому +2

    Mimi sio mtanzania ila watanzania mna bahati sana kuwa na rais Ka huu

  • @luindamchwakanigee4811
    @luindamchwakanigee4811 4 роки тому +1

    Ongera mkuu

  • @nrwawanndeny7394
    @nrwawanndeny7394 4 роки тому

    Asante baba hiyo inglishi balaa kabisa Afrika nzima

  • @kaizamandike8771
    @kaizamandike8771 4 роки тому

    Wakati wakihamasiswa kumaliza kabla ya muda wakumbushwe kufanya kazi kwa umakini na ubora wa hali ya juu pia, wasije wakamaliza mapema huku wamelipua kaz ikatugharim maisha watz.

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy3860 4 роки тому +29

    Usiamini.kila linalosemwa kumbe mkuu anapiga ngeli vizuri kabisa.
    Kanifundisha namna ya kiwajibu wapumbavu kw vitendo

    • @liliansamson674
      @liliansamson674 4 роки тому

      Wale ni wehu tu, PHD holder unategemea nini?

    • @kasimulau2146
      @kasimulau2146 4 роки тому

      @@liliansamson674 h

    • @barnabasmafuru6930
      @barnabasmafuru6930 4 роки тому

      yaani hiyo ndio english level za excutive🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nenda st marrys school ukaoneee mtua aibuuu

    • @mcheshcomedy5809
      @mcheshcomedy5809 4 роки тому

      @@barnabasmafuru6930 🙄🙄🙄 at.marrys there is nothing

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 4 роки тому

      My.yupo vizuri

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 4 роки тому +4

    Billion 700??😳😳aiseeh Hao n kuwakazia tu

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 4 роки тому +12

    HONGERA KIONGOZI

  • @samwellwiza466
    @samwellwiza466 4 роки тому +1

    Duh!...

  • @shukurumaulid8515
    @shukurumaulid8515 4 роки тому +8

    Jpm ni 💥💥💥

  • @aliaboud7517
    @aliaboud7517 4 роки тому +24

    Hapa ndio naelewa kiswahili ni krioli, pijini, kiarabu. Jadili😂

  • @ahz6907
    @ahz6907 4 роки тому

    Kweli kingereza nyoko yani prezdaa hadi mishipa ya kichwa inasimama 😄

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce432 4 роки тому +2

    Amemuonea huruma jamaa anaona mshuwa ataki ujinga but mzee baba yupo njema

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 4 роки тому +3

    Mm wasije wakakoronga mara 2kaja kuongele wote. Ni bora taratibu

  • @nyamtigaibrahim530
    @nyamtigaibrahim530 4 роки тому +12

    Yaaani huyu Mkorea huyo wa kwanza unamchekea Simba angejua watumishi wake tukimuona tunatamani hata vyooo vifungwe kwenye viti maana Mhhhhhhhh cjui amepata wapi ujasiri wa kumchekea huyo Mzee MUNGU amrehemu Mkorea.

    • @mopawgaming7069
      @mopawgaming7069 4 роки тому +2

      🤣🤣🤣

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 роки тому

      Ni kwenu sio kwao.

    • @mcheshcomedy5809
      @mcheshcomedy5809 4 роки тому +2

      🤣🤣🤣🤣😝 Korean white people haijawahi kumuogopa Black at siku moja🙄🙏

    • @oman7710
      @oman7710 4 роки тому

      😁😁😁😁😁

  • @ligwemayasini3976
    @ligwemayasini3976 4 роки тому +3

    Ujuzi wajambo
    Na utendaji kazi wa mtu
    Tusiuhusishe na kuongea kingereza ona aowataalam kutoka kolea na china wanavyo ongea kingereza chao..utawafananisha na JPM.

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 4 роки тому +2

    Ngoja nicheke kwanza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂piga kelele kwa anko magu wetu wewe we wewe wewe wewe wewe wewe wewe wewe wewe 😂😂😂

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому +1

    Mchina ana ongea kuhusu mda wake. Na mzee anataka umalizike kabla

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 4 роки тому

    How is the Job

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 4 роки тому +1

    Hii kali

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 4 роки тому +3

    Korea na China, hawafundishi kingereza, hicho unnachokisikia wanaongea wameiokota kwenye kazi zao za project😁

    • @josephatmakaranga7043
      @josephatmakaranga7043 4 роки тому

      Acha wewe kingereza ni lugha ya kibiashara ya dunia hivyo hata kama hawatumii kufundishia wanakijifunza kingereza kama somo

  • @luganostewart8320
    @luganostewart8320 4 роки тому +4

    JPM👊👊

  • @khamissaid3083
    @khamissaid3083 4 роки тому +10

    LAKINI sometime ujenzi wa daraja unahitaji umakini Sana wapeni time ya jamaniiii

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 4 роки тому

      Hamna hilo daraja fupi sana,waongeze mitambo na nguvu kazi.

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 4 роки тому

      Usiku na mchana Ni kawaida sio kwamba daraja litakuwa chini ya kiwango, daraja la mfugare limejengwa hivyo na mengineyo hapo kikubwa Ni vibalua wachina waache ubahili waajili watu wapige kazi usiku na mchana.
      hakuna kinachoshindikana kikubwa Ni vifaaa kujenga usiku hiyo sio shida Ni kawaida hata wenzetu huko kazi za usiku wanafanya Sana na ndio wanazipenda na haiwezi kutengua ufanisi wao wa kazi mbona madktari wetu wanafanya upasuaji usiku na kazi zinafanyika vizuli tu au malubani wanalusha ndege usiku na mambo yanaenda bambam tu

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 4 роки тому +13

    Ona wachina wenu,hata hawajui kingereza,wabongo ndo mnashadadia lugha za wageni,huo ni utumwa,pigeni kazi

    • @Nedjadist
      @Nedjadist 4 роки тому

      Acha ujinga. Kwani ukijua lugha ya kigeni utaumwa na kichwa?

    • @japhetdaudmaneno8440
      @japhetdaudmaneno8440 4 роки тому

      @@Nedjadist Waafrica mtakuwa watumwa wa kubudu weupe hadi lini,jitambue wewe," Don't be a slave for worship white people 😬😬,"

    • @sylvesterjose3286
      @sylvesterjose3286 4 роки тому

      Kushindwa kwako kuutekenya ung'eng'e isiwe nongwa! Hivi kwa nini mtu akimudu lugha za kigeni hususani kiingereza mnakereheka? Ni wivu usio na tija!, Acheni chuki binafsi badala yake kuweni na wivu wa kinaendelea, shule zipo kajifunzeni nanyi mtamudu!

    • @sylvesterjose3286
      @sylvesterjose3286 4 роки тому

      @@japhetdaudmaneno8440 Hapo unawapsha waafrika ( umeandika Africa) umechanganya lugha ya Kiswahili na kiingereza (don't be slave for worship white people) pamoja na kwamba grammar haijakawa sawa haidhuru lakini swali unachokataa ni nini, anachopinga ni nini? Sijakuelewa!

  • @ibrahimyuka3503
    @ibrahimyuka3503 4 роки тому

    Hii kiingereza gani 😂😂😂😂

  • @samwelchristopher5659
    @samwelchristopher5659 4 роки тому +9

    kwann tunawatesa hawa wana na kingereza😂😂😂😂😂😂😂

  • @expert5898
    @expert5898 4 роки тому

    Rais yupo makini sana

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 4 роки тому +2

    Alhaji kammaindi mkandarasi 😂😂😂

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 4 роки тому +22

    Kuna raia wanasema mjomba hajui kingereza asa mmeona hao wakorea wanavyohangaika kuongea🤣🤣

    • @judytabby2777
      @judytabby2777 4 роки тому +1

      Mwajipa moyo

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 4 роки тому +1

      @@judytabby2777 Basi Mchina ndo anajua 😂😂 umefurahi sasa

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 роки тому +3

      @@judytabby2777 natamani nione sura yako nijue wewe ni mwingereza wa jimbo gani😀😀

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 4 роки тому +2

      @@judytabby2777 acha ufala judy mjomba kauwa hii 🤣

    • @judytabby2777
      @judytabby2777 4 роки тому

      @@onesmojustice2348 jimbo la🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 4 роки тому

    Unaona lisu kazi inayofanyika hahaha utajiju na mabwanazako mungu yupo na jpm

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому

    Hahahahahaha hehehehehehehehehehehehehehehehehehehehehehe kwikwikwikwikwikwikwikwikwikwikwikwikwi. Wamesemaje eti. Naombeni mnao jua kimombo 😂

  • @kruverthmasanula9914
    @kruverthmasanula9914 4 роки тому +2

    Kumbe anajua kingeleza 😂

  • @theafricanprincevivecongo8632
    @theafricanprincevivecongo8632 4 роки тому +7

    Magu awe muelewa,ujenzi ukienda kiaraka unakua audum
    But he still the best African président since he became président

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 4 роки тому

      Hao jamaa wanaweza kujenga kwa miezi 36 tu,tatizo wasimamizi kama unavyowasikia wakijiumauma.

    • @athumanibakari7998
      @athumanibakari7998 4 роки тому

      Ni kweli kabisa kaka tatizo wa simamizi ndo shd

    • @stevenfabian2208
      @stevenfabian2208 4 роки тому +2

      Magufuli anataka kazi imalizike kabla hajaondoka madarakani maana inaweza ikaishia njian kama akiondoka haijaisha ndio maana anataka wamalize mapemaa

    • @mtakijohannes2255
      @mtakijohannes2255 4 роки тому +1

      Inawezekana kuisha mapema.. it's not about time it's about work schedule scope restructuring. Mr president is right but ili hili jambo ili liwezekane inabidi wakae na mkandarasi na kulijadili. Na watendaji waangaliwe upya maana kwa huyo engineer mbongo anavyojibu.. mh!

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 4 роки тому +1

      Hawa watu uwezo wao..kama pesa zipo na vifaa vipo wanashindwaje ? ILe stendi ya Mbezi rais alikuwa mkali na matokeo yake Stendi imeisha haraka..Ukiwa na vifaa na watu...There is no any excuse

  • @valentinekitogo5151
    @valentinekitogo5151 4 роки тому +8

    Kazi inaendelea.

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 4 роки тому +4

    KAKA MAGU ANALONGA KIZUNGU DUH!!!😝 NIMEKUKUBALI MAGU ULIFAULU ENGLISH COZ😝🤣🤣

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 4 роки тому

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @fememmethod8209
    @fememmethod8209 4 роки тому +1

    Sasa hapa si ndo Mchina Atatulipuria hiyo project maana wachina du !

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 3 роки тому

    RIP JPM😰

  • @azizajarwan303
    @azizajarwan303 4 роки тому +1

    kingereza si hiko hapo watanzania tunataka kingereza gani tena raisi aongee halafu leo nimeona yakuwa kumbe ule ulikuwa ni uvumi wa uwongo huo.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 4 роки тому +6

    Magufuli...mkataba ni miezi mingapi
    Contractor...ni miezi 48 sawa na miaka 4
    Magufuli...hawawezi kufanya miaka mitatu? 😁😁😁😁 hapo ndio ananifulahisha mzee

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 4 роки тому

      Pesa yote ipo,ata wakitaka leo 😂😂

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 роки тому

      Kasema miezi 36. Nae jamaa yuko makini anamwambia ni miezi 48 sawa na miaka 4. Imebidi aongee vizuri na mkorea vizuri

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 4 роки тому +1

      Kasema kama kuna uwezekano siyo amri.

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 4 роки тому +1

      @@bernardoleonard7331 Inawezekana tatizo ni wasimamizi wetu wengi wao wanapenda kukaa site muda mrefu ili waibe.

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 4 роки тому +1

      @@uledimtumwa2406 kabisa

  • @BethuelofficialTz
    @BethuelofficialTz 4 роки тому

    Wakilazimishwa kufinish before time wanaweza wakalipua kazi,,, don't force them to finish earlier. Ni Bora kuzingatia Muda wao waliopanga kumaliza,, kwa ubora zaidi.

    • @fidelischeyo483
      @fidelischeyo483 4 роки тому

      Fundi yeyote bila kumforce huchelewa kumaliza mzee,, forcement is good

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 роки тому

    Safi sana Rais lazima wambie wamalize mapema pesa watanzania tunayo sio mchezo mchezo sio mkopo wa bank za kodi zedi ubarikiwe yaani in five year tz inatkuwa singepool wazidi kutuchukia lakini tunasomga mbele Mungu ibariki Tanzania na Rais wake tunakupenda kweli kweli wewe jembe

  • @chinamichael3340
    @chinamichael3340 4 роки тому +1

    Good promise

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 4 роки тому +1

    My President ume improved lugha ya kibepari.

  • @mussajuma1736
    @mussajuma1736 4 роки тому +1

    Bgp rais kipezi magufuri walio sema hujui ngeli wawo ndio wanajifunza kwa mabeberu zao huko uberigiji lisu!!

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 роки тому +1

    Mnashobokea kingereza sijui kwa nini

  • @pancrasmwenda7307
    @pancrasmwenda7307 4 роки тому

    Kaz

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph4558 3 роки тому

    😭😭😭😭😭

  • @Davisjunga
    @Davisjunga 4 роки тому

    Cases study is Thika Road we see cracks on Bridges after the Contractor did a job under high pressure.

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 4 роки тому +6

    Wale watimwa wa ludha mbona amuumcheki mchina ajui kirezeza apo angekua mwafrika mwenzenu mngesema kwel kwel Pumbafu

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 4 роки тому +1

      Wabongo hatuna akili za kutosha

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому +1

    Mkorea ameshangaaa. Mkataba ni wa miaka 4 kulingana na ujuzi wake. Sasa mki harakisha ije ivunjike atalaumiwa Nani. Magu anataka afanye vitu vingi ila mda ni mchache Sana ukweli. Na Hakuna atakae weza kuendeleza atakapo ishia miradi yake. I swear.

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 4 роки тому

      💪🙌🙌kabisa naliona Hilo.

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 4 роки тому

      Tatizo sio muda ni pesa,project ya miaka 4 inaweza kuwa done within 2 years,Magufulu yupo sahihi kabisa

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 4 роки тому +7

    Mbona magu anajua kuongea ngeli vizuri tu

  • @tanialucas4579
    @tanialucas4579 4 роки тому +1

    Ukweli ujenzi wa daraja unaitaji muda wakutocha inatakiwa wawape muda wakutosha ili wasije kuharibu

    • @fidelischeyo483
      @fidelischeyo483 4 роки тому

      Muda huo unatosha saana ,, waongeze vifaa na wafanyakaz ili kumaliza haraka

    • @fidelischeyo483
      @fidelischeyo483 4 роки тому +1

      Muda huo unatosha saana ,, waongeze vifaa na wafanyakaz ili kumaliza haraka

  • @shangwehalisi7659
    @shangwehalisi7659 4 роки тому +3

    Wa Kwanza leo

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому

    Mki waharakisha jamani wanaweza waka haribu

  • @Movation01
    @Movation01 4 роки тому +5

    Kingereza

  • @godlovemgeni235
    @godlovemgeni235 4 роки тому

    Hao jamaa ni kuwapelekesha tu waliwatesa sana babu zetu enzi za ukoloni..

  • @maratvonline
    @maratvonline 4 роки тому +1

    Kiingereza is their, maji is their why you can finish the construct be for the time nimekuelewa mzee

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 роки тому +2

    everything is there mkuu....lol