Endelea kupumzika kwa amani Jembe letu JPM. Alama zako ulizoziacha bado zinazidi kung'aa na kuleta manufaa kwa watu wengi. Hongera Rais Wetu SSH. Endelea kuvumbua miradi mingine mingi zaidi kwa manufaa ya Watanzania
Tunawakumbuka waliosema ni kampeni tu na wengine wanasubiri kwa hamu wawe wa kwanza kupita hapo na wapo kimya kama sio wao, wabongo tuna unafiki uliopitiliza
Walden’s kampeni tuu kwenye Nyerere Dam,SGR na hilo daraja. Pia aliahidi daraja la Jangwani Dar naona mama analokamilisha hilo. This was the best duo of President and vice president.
@mimiraia2531 mimi sijauliza sehemu ya kusomea nimeuuliza jinsi zinavo wekwa unajua niambie mimi ni maskini sina uwezo wa ilo jambo ulilo litajaa ndugu yangu
Magufuli na Uhuru Kenyatta walifanya kazi sio km hawa wawili Suluhu na Ruto kazi yao ni kuendeleza na kumalizia hizo miradi na wanachukua credit for doing absolutely nothing....
😂😂😂kweli akili ni mali sana mbka umeona mtu kaanzisha kitu aliekuja ana endeleza ujue anastahili sifa sana coz alikua na uwezo wa kuanzisha mambo mengine na kuonekana alie anzisha kitu ni nothing lakin watu hamna shukurani
Ni hatua nzuri jambo la kuipongeza serikali yetu,ila tumechoka kupigwa Tarehe Mara mwezi wa Tisa,Mara mwezi wa kumi na mbili,Leo hii Tena naskia mwezi wa pili😂😂😂
Tumepoteza rais tumeachiwa mtarii muigizaj da kwel Mwanamke si kiongoz bar ni mshaiur nchi mirad yote imekufa Barbara ya gongo la mboto miaka mine sasa haiishi mbagala mwendo kas mpaka sasa da mjenz kafark kumebak wachumia matumbo dhuruma ifisad ubinafs kulindana hata kwenye uovu laan mnayo
Huyu mama aliyeomba stand nadhani kuna jambo la kufanya siyo standi Bali ni soko la samaki ambalo litakuwa fulsa kwao hasa wajasiriamali mimi mwenyewe likikamilika hunipitishi kahama haki ni mbali kuliko njia ya busisi
Nchi yetu ina maeneo mengi ya kiongozi kujenga kumbukumbu take.eh kuvunja vibanda vya magomeni na manzese na kujenga maorofa na kuwagawia wananchi ah kuwauzia.nyumba zilizoko vijijini ni Ainu sana kwawananchi ,viongozi na taiga.do something pliz
Thank you so much JPM. A patriot and a leader. 🕊🇰🇪
Asante mangu mwenyezi mungu akufanyie wepesi kwenye nyumba ya mille asante samia mwenyezi mungu akupe umli mrefu amina
Ahsante sana Magufuli Mungu aitangulie safari yako tumefurahishwa sana na juhudi zako ulizotutendea watanzania
Uncle Magu was a visionary and may his soul r.i.peace forever 🙏
Mama yetu Raisi Samia anafanya kazi nzuri Sana. Mwenyezi Mungu akuzidishie kila la kheri katika maisha.
Ila wew
Endelea kupumzika kwa amani Jembe letu JPM. Alama zako ulizoziacha bado zinazidi kung'aa na kuleta manufaa kwa watu wengi.
Hongera Rais Wetu SSH. Endelea kuvumbua miradi mingine mingi zaidi kwa manufaa ya Watanzania
Mwamba Mungu akurehem
Asante sana JPM
Kenya is slowly being overtake 😊
Bila utashi wa Magufuli lisingejengwa
Magufuli ❤
Ni mmoja tu ambaye naweza sema alikuwa anatupenda na kutujali alikuwa huyu baba tu 😢😢😢😢
Lakini kuna mjinga mmoja anaitwa Lisu kila kukicha anamsema vibaya huyu baba wa watu. Kweli CDM wanaomuunga mkono Tundu wote hawana akili timamu
j pmn mungu akulinde
Safi sana JPM R.I.P 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫡
Baba tutakukumbuka daima katika maisha yetu
Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 jpm alikuwa kaa former president mwai kibaki
Tunawakumbuka waliosema ni kampeni tu na wengine wanasubiri kwa hamu wawe wa kwanza kupita hapo na wapo kimya kama sio wao, wabongo tuna unafiki uliopitiliza
Thank you JPM
Tutakumbuka sana jpm❤
Heko mama Samia. EAC
Ahsante Mama Samia kuyaenzi majukumu mazuri na magumu kwa faida ya watanzania wote
Walden’s kampeni tuu kwenye Nyerere Dam,SGR na hilo daraja.
Pia aliahidi daraja la Jangwani Dar naona mama analokamilisha hilo.
This was the best duo of President and vice president.
Rip ❤️🇹🇿💪💪
We still love you although you left us alone and suddenly. We will remember you our hero JPM.
Hongera sana Tanzania. Wakenya muone mfano mzuri na nyinyi mjenge daraja la likoni haraka ili mpunguze wakati unaopotea kwenye likoni ferry
Greatest true man JPM
Niko na swali hivi hizi nguzo wanaanzaje kuweka na hali ya kuwa kuna maji yametapakaa
Nenda kasome civil engineering
@mimiraia2531 mimi sijauliza sehemu ya kusomea nimeuuliza jinsi zinavo wekwa unajua niambie mimi ni maskini sina uwezo wa ilo jambo ulilo litajaa ndugu yangu
Kwa kwelii huyu mwamba alale salama Kwa uthubutu wake
Hili daraja la magufuli lifunnguliwe tarehe 31disemba kuamkia tarehe1 mwaka 2025 yaani tuanze mwaka na mambo mapya. Mnasemaje wadau
Magufuli na Uhuru Kenyatta walifanya kazi sio km hawa wawili Suluhu na Ruto kazi yao ni kuendeleza na kumalizia hizo miradi na wanachukua credit for doing absolutely nothing....
😂😂😂kweli akili ni mali sana mbka umeona mtu kaanzisha kitu aliekuja ana endeleza ujue anastahili sifa sana coz alikua na uwezo wa kuanzisha mambo mengine na kuonekana alie anzisha kitu ni nothing lakin watu hamna shukurani
Kuweni makini na shukuran zenu nyingi mnako zitoa. Toeni shukuran zenu kwa haki, nasi kwa uwoga. Jiamini kama mtanzania usiekuwa na upendeleo.
His ideas still lives
Nice
Sixty
Hiyo ni kazi ya Magufuli si mwingine
Jpm uishi milele miyoni mwetu
Ni hatua nzuri jambo la kuipongeza serikali yetu,ila tumechoka kupigwa Tarehe Mara mwezi wa Tisa,Mara mwezi wa kumi na mbili,Leo hii Tena naskia mwezi wa pili😂😂😂
Tutakukumbuka daima Rip Kamanda Magufuri uliifia nchi yako
Mungu awabariki sana serikali ya tanganyika kwa ujenzi wa miundo mbinu
Aminia askali wangu
Samia mitano tena binafsi nimekuamini sana mama
Huo ndo ujinga badala uzungumzie jitihadda na mawazo ya Maguful unaanzisha Campan tena samia wa nini hapo
💯
Hatuta kusahau JPM
Mimi ni mmoja kati ya waliosema haiwezekani ni siasa tu.😮
Likikamilika litakuwa kitovu cha uchumi.
Bandari ya mtwara 7:20
❤
Waafrika tujitafakali sana bado fikila zetu tunawategemea wazungu
Tutaku kumbuka San baba
Tumepoteza rais tumeachiwa mtarii muigizaj da kwel Mwanamke si kiongoz bar ni mshaiur nchi mirad yote imekufa Barbara ya gongo la mboto miaka mine sasa haiishi mbagala mwendo kas mpaka sasa da mjenz kafark kumebak wachumia matumbo dhuruma ifisad ubinafs kulindana hata kwenye uovu laan mnayo
mnazingua
Milioni 3 kwa siku?
Hujasikia vizuri amesema milo mitatu sio milioni tatu
Huyu mama aliyeomba stand nadhani kuna jambo la kufanya siyo standi Bali ni soko la samaki ambalo litakuwa fulsa kwao hasa wajasiriamali mimi mwenyewe likikamilika hunipitishi kahama haki ni mbali kuliko njia ya busisi
Ivi linaisha lini mana sijuh kwanini hamuwezagi kukamilisha vitu on time
Wewe kale kanyumba kako ulimaliza on-time?😂😂
Nchi yetu ina maeneo mengi ya kiongozi kujenga kumbukumbu take.eh kuvunja vibanda vya magomeni na manzese na kujenga maorofa na kuwagawia wananchi ah kuwauzia.nyumba zilizoko vijijini ni Ainu sana kwawananchi ,viongozi na taiga.do something pliz
Tuta kukumbuka mlele
Umuhim wa hili daraja ukitaka watu wa kuwauliza bila kuleta unafiki ni wananchi wa Geita na kagera wa lindi wanaweza kuona maluelue
Viongoizi watumikie wanchi ili upate. swawabu
Kenya kaa pemben Kwanz hii Tanzania najivunia kuzaliwa uko
Nice
❤
Likikamilika litakuwa kitovu cha uchumi.