Mungu mmoja ni Bwana Yesu Mungu hajajifunua kwa nafsi tatu maana Mungu ni Roho. Utatu ni utapeli nitajie jina la Mungu baba, jina la Mungu mwana, pia nipe jina la Roho mtakatifu.
Mwalimu Daniel hongera Sana Kwa huduma njema. Kwa kweli unaeleweka vizuri Sana, Ila wengine wamejizima data wanajifanya hawataki kuelewa, Mungu akubariki
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao - Quran 18:1 -6 Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri. Wakae humo milele. Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana. Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao - Quran 18:1 -6 Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri. Wakae humo milele. Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana. Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa na ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD. Uwongo huo ni wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu. UWONGO huu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "MAKANISA" ya kibabeli yanayoendesha IBADA kwa Mungu katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Kupitia nabii Ezekiel alituambia ibada hizi za kiwazimu zimeshamfanya Mungu wa Mbinguni kuyakimbia makanisa yao. Soma Ezekiel 8: 4-16
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao - Quran 18:1 -6 Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri. Wakae humo milele. Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana. Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Yaani Mimi namuelewa Danieli,Mungu ni mmoja ndani ya mmoja ndio iyo kuna mgawanyiko. Kila MKRISTO anajua Mungu baba ni akiwa Mbinguni, akija duniani ni Yesu ambae ni Mungu mwana, baada ya kufa aliwaambia wanafunzi,nitakuja kwenu tutakaa pamoja. Na ulimwengu hauta niona Roho Mtakatifu. Ila ni mmoja yuleyule. Danieli hasemi Kuna miungu watatu hapana. Mnashindwaje kuelewa
Kwanza husomi biblia ndugu yohana 3:16 Inasema Mungu alimtoa mwana wake wa pekee sasa swali huyu Mungu aliye mtoa mwanawe ni nani Yohana 17:3 Uzima wa milele ni kumjua Mungu na YESU na YESU aliye tumwa na Mungu swali hili andiko unalipeleka wap Ukweli ni kwamba Kuna Mungu mmoja aliye baba na bwana mmoja YESU kristo mwana wa MUNGU na Roho wa Mungu
Karbun ktk uislam aise uko mmepotea ndomana amuelewani njoon kwa muhammad uku hata yesu yupo na utamkuta ila kwetu ni nabii wala cyo mwana wala cyo mungu
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao - Quran 18:1 -6 Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri. Wakae humo milele. Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana. Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
@@AbelAlsen hapana uliza kaka - ndio tunajifunza - kila mtu anaomba apate radhi za Mwenyezi Mungu ndio tunajaribu kulinganiana huenda tukafaulu - ila lengo sio kiburi lengo ni kujifunza na kumtukuza Mungu wa pekee Mungu wa Ibrahim
Wote mnazungumza kile kile, mnachopingana ni matumiz ya lugha. Kila mmoja anataka aonekane sahihi kwa sentence zake na kwa maneno anayosema yeye. Mungu ni tasisi.(Mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa na watendaji na rais mwenyewe ni rais wa nchi licha ya kwamba rais yupo) kwa jina la baba, la mwana na la roho mtakatifu (uo utatu katika kazi za kimungu)
@@GospelTimeTV-gtv Nimetazama Video .. Haina mahusiano na nilichokihoji hapo.. Yesu kuwa ni Neno na Roho kutoka kwa Mungu (kama tulivyo sote) haipingwi. HOJA YA MSINGI; NDACHA & MWANKEMWA Wanajing'ata wote katika maelezo yao. Kwanini isitoshe kusema; " .. MUNGU NI MMOJA ASIE NA MSHIRIKA .." 🤔
Gospel Time TV kwa kutoweka clips za maswali hamjawatendea haki wasikilizaji. Nilimuuliza maswali Mwl Ndacha ambayo hakuyajibu kuhusu Utatu. Na wewe kwa makusudi umeyaacha kwa lengo ovu lisilo la kufundisha bali kupotosha Je, uko tayari nije nifafanue ambacho nilikifundisha na wewe umekuacha hapa? Nijibu- Mwalimu Daniel
@@GospelTimeTV-gtv Yesu Asipokua kua ndie Mungu basi ukristo wetu sio kitu , nenda kasome injiri ya yohana vizuri na ufunuo ndo utajua kua Yesu ndie Mungu ndomana ukristo uko tofauti na dini nyingine ,Yesu alikua binadam asilimia 💯 na NI Mungu asilimia Mia, hata siku za mwisho Yesu anaporudi duniani lazima awe na mwili hawezi kuja na Roho anakuja kama Mwanakondoo au mwana
@@hassanjuma2772 swali zuri Sana Yesu ndie Mungu na ameamua kukaa tumbuni Kwa mariamu na Huyo Huyo Yesu ndo mtoa uhai anawezaje kutoa uhai WA kiumbe ambacho kaamua kukaa ndani yake 🤣🤣🤣 umejiona Ulivyo huna akili ,mfano wewe ni mjenzi WA nyumba na umeamua kukaa kwenye hiyo nyumba anawezaje kuibomoa na wakati umepanga uishi kwenye hiyo nyumba
Sasa Mwalimu Daniel, Yesu ambae unasema ndiye yeye yule Baba, yeye yule Mwana, pia Roho mtakatifu, alipo kufa nani aliuongoza ulimwengu kwa siku tatu ?? Wakati nafsi moja ya Mungu wako unae tufundisha ilisha kufa ?? Kwani Roho ina kiti cha enzi nayo ? Sijawahi kusikia kiti cha enzi Roho,, maana ipo ndani ya Mungu Baba na Yesu Kristo. Si mtu mwingine. Tujulishe kwamba Roho anapua kivyake ama
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao - Quran 18:1 -6 Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri. Wakae humo milele. Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana. Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao - Quran 18:1 -6 Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri. Wakae humo milele. Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana. Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Hii kauli yesu ni mwana wa Mungu inawatesa sana kuitetea - japo jambo hili lina miaka zaidi ya elfu lkn ni jambo lenye ukakasi sn ikiwa unasoma na kuzingatia unachokisoma na kukisema
Mwana wa mungu ni nani mbona mm cwaelewi mazwazwa ...? Andiko gani Yesu ni mwana wa mungu ? Mm ninakumbuka andiko linasema " na pepo wachafu kila walipomuona walisema hakika wewe ni mwana wa mungu na yesu akawakataza sana wasimdhihiri "
Wacheni kujitia shinikizo ndugu zangu,ukristo sio dini ya haki na biblia sio kitabu cha mwenyezi Mungu,ni kitabu kinachomilikiwa na watu,Paulo akiwa mmiliki mkuu.
Hayo mafundisho ya ndacha niyakupotosha watu..ni nafsi inaditegemea katika uungu kama musaidizi na mwalimu...yesu naye Mungu ambaye alidhihirisha kwa hali ya undoleo ya dhambi...ni Mungu ua anatuma yesu kwa kazi maalumu
Mungu mmoja ni Bwana Yesu Mungu hajajifunua kwa nafsi tatu maana Mungu ni Roho. Utatu ni utapeli nitajie jina la Mungu baba, jina la Mungu mwana, pia nipe jina la Roho mtakatifu.
Hizo zote ni nafsi za Mungu ambazo Mungu anatuma kwa kazi maalum
Soma biblia vizuri utaelewa mpendwa
Mwalimu ndacha Mungu wa bwana wetu Yesu. Akubariki na mwangaza kubwa.kwelewa maneno unayosema ni neema.
Amen
Mungu yupi wa bwana yesu ambariki ndacha?? Si ndacha huubiria watu kuwa yesu ndiye mungu!!
Mwakemwa kuwa makini na mafundisho yako, ukipostisha roho za watu siku ya mwisho utazitolea hesabu
Ndacha mungu akubaliki sana amina
Amen
Mwalimu Daniel hongera Sana Kwa huduma njema. Kwa kweli unaeleweka vizuri Sana, Ila wengine wamejizima data wanajifanya hawataki kuelewa, Mungu akubariki
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao -
Quran 18:1 -6
Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.
Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri.
Wakae humo milele.
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Mungu ni Mmoja ambaye ni Yehova, Yesu kristo mwana wa Mungu, roho mtakatifu wa Mungu
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao -
Quran 18:1 -6
Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.
Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri.
Wakae humo milele.
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Mbona yohana 14 ukiisoma Kuna eneo wanafunzi wanauliza huyo Mungu ni yupi. Yesu akasema hadi Sasa mmemwona,anionae mimi amemuona Mungu .
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa na ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
Uwongo huo ni wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu. UWONGO huu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
"MAKANISA" ya kibabeli yanayoendesha IBADA kwa Mungu katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Kupitia nabii Ezekiel alituambia ibada hizi za kiwazimu zimeshamfanya Mungu wa Mbinguni kuyakimbia makanisa yao. Soma Ezekiel 8: 4-16
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao -
Quran 18:1 -6
Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.
Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri.
Wakae humo milele.
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Ndacha ubalikiwe Sana
Amen
Amemuona Mungu kupitia chapa ya nafsi yake..niya ya roho Mt.. na yesu ni nafsi moja na Mungu
Ndacha wewe ni mwalimu ,,,,mmmh unanyoosha mawimbi mkuu😂😂
Yaani Mimi namuelewa Danieli,Mungu ni mmoja ndani ya mmoja ndio iyo kuna mgawanyiko. Kila MKRISTO anajua Mungu baba ni akiwa Mbinguni, akija duniani ni Yesu ambae ni Mungu mwana, baada ya kufa aliwaambia wanafunzi,nitakuja kwenu tutakaa pamoja. Na ulimwengu hauta niona Roho Mtakatifu.
Ila ni mmoja yuleyule. Danieli hasemi Kuna miungu watatu hapana. Mnashindwaje kuelewa
Kwanza husomi biblia ndugu yohana 3:16
Inasema Mungu alimtoa mwana wake wa pekee sasa swali huyu Mungu aliye mtoa mwanawe ni nani
Yohana 17:3
Uzima wa milele ni kumjua Mungu na YESU na YESU aliye tumwa na Mungu swali hili andiko unalipeleka wap
Ukweli ni kwamba Kuna Mungu mmoja aliye baba na bwana mmoja YESU kristo mwana wa MUNGU na Roho wa Mungu
Sauti ya keyboard iko juu inatuchanganya uku kusikia mafudisho
Mungu yuwachukia watu wanao mfananosha na kitu chochote hapa duniani 😢😢😢😢nyote motoni nyinyi
Roho mtakatifu ni Mungu
Neno Mungu ni uumbaji ko Mungu ni mmoja ni muumba.mbingu na.nchi
Soma 1wakorintho 8:6
Karbun ktk uislam aise uko mmepotea ndomana amuelewani njoon kwa muhammad uku hata yesu yupo na utamkuta ila kwetu ni nabii wala cyo mwana wala cyo mungu
Ndacha ni wakala wa kuzimu tu
Ninakuelewa sana mwalim Daniel na pia najifunza sana kutoka kwako
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao -
Quran 18:1 -6
Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.
Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri.
Wakae humo milele.
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
@@konandawise4550 Kuna maswali mengi sana naweza kukuuliza juu ya Aya hio hio ukakosa majibu yake
Ukiwa ktk jukwaa la kujifunza wala usiwe mshabiki unaweza ukajua mengi sana
@@AbelAlsen hapana uliza kaka - ndio tunajifunza - kila mtu anaomba apate radhi za Mwenyezi Mungu ndio tunajaribu kulinganiana huenda tukafaulu - ila lengo sio kiburi lengo ni kujifunza na kumtukuza Mungu wa pekee Mungu wa Ibrahim
@@AbelAlsen uko sahihi- ushabiki unatukosesha Mengi - Mungu atutakase na hilo na atupe uongofu sahihi
Wote mnazungumza kile kile, mnachopingana ni matumiz ya lugha. Kila mmoja anataka aonekane sahihi kwa sentence zake na kwa maneno anayosema yeye. Mungu ni tasisi.(Mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa na watendaji na rais mwenyewe ni rais wa nchi licha ya kwamba rais yupo) kwa jina la baba, la mwana na la roho mtakatifu (uo utatu katika kazi za kimungu)
"Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?"
( Quran 3:71) 🖊 ... 😔 ...
Jibu lako angalia hii challenge
ua-cam.com/users/shortsHc8JEc7NJjc?si=g1BxPzCNFeuGPAaT
@@GospelTimeTV-gtv Nimetazama Video .. Haina mahusiano na nilichokihoji hapo.. Yesu kuwa ni Neno na Roho kutoka kwa Mungu (kama tulivyo sote) haipingwi.
HOJA YA MSINGI; NDACHA & MWANKEMWA Wanajing'ata wote katika maelezo yao. Kwanini isitoshe kusema;
" .. MUNGU NI MMOJA ASIE NA MSHIRIKA .." 🤔
Gospel Time TV kwa kutoweka clips za maswali hamjawatendea haki wasikilizaji.
Nilimuuliza maswali Mwl Ndacha ambayo hakuyajibu kuhusu Utatu. Na wewe kwa makusudi umeyaacha kwa lengo ovu lisilo la kufundisha bali kupotosha
Je, uko tayari nije nifafanue ambacho nilikifundisha na wewe umekuacha hapa? Nijibu- Mwalimu Daniel
Sauti ya keyboard iko juu kuliko wanenaji
Samahani Kwa hii tutamantain
Daniel Mungu akubariki yohana 1:14 alikuja kwa mfano wa mwili
Huo ni upotofu . Soma Waebrania 1:20-25 .
Daniel umeshindwa kabisa hii mada
Ndacha ana ajenda fiche sababu anasaport sda kanisa la lusufa shetani
Daniel yuko sawa kabisa achana na ndacha
Yaani hata wakristo wao kwa wao hawaelewi. Sifanyi dhihaka. Mimi mwenyewe siwaaelewi
Danieli kawaida yake haeleweki kabisa
Kabisa
Ndacha unable wa vibaya sio Mungu mwenzake ila ni mugawanyisho wa nafsi ya Mungu kwa ability ya kazi maalum...
Daniel, yupo sawa Yesu ndie huyo huyo Mugu , ndacha analeta mafundisho ya ushetani,
Angalia vizuri na ueLewe na Mungu akujaarie kuelewa mpendwa
@@GospelTimeTV-gtv Yesu Asipokua kua ndie Mungu basi ukristo wetu sio kitu , nenda kasome injiri ya yohana vizuri na ufunuo ndo utajua kua Yesu ndie Mungu ndomana ukristo uko tofauti na dini nyingine ,Yesu alikua binadam asilimia 💯 na NI Mungu asilimia Mia, hata siku za mwisho Yesu anaporudi duniani lazima awe na mwili hawezi kuja na Roho anakuja kama Mwanakondoo au mwana
@@francisjoseph1074na wewe unazidi kutuviruga tusielewe kabisa
@@francisjoseph1074Kama yesu ni Mungu wakati yesu yupo katika tumbo la Mariam. ,mariamu angelikufa uzazi na yesu ymo tumboni jee tungekuwa na mungu?
@@hassanjuma2772 swali zuri Sana Yesu ndie Mungu na ameamua kukaa tumbuni Kwa mariamu na Huyo Huyo Yesu ndo mtoa uhai anawezaje kutoa uhai WA kiumbe ambacho kaamua kukaa ndani yake 🤣🤣🤣 umejiona Ulivyo huna akili ,mfano wewe ni mjenzi WA nyumba na umeamua kukaa kwenye hiyo nyumba anawezaje kuibomoa na wakati umepanga uishi kwenye hiyo nyumba
Ndacha wewe ni kiboko
Sasa Mwalimu Daniel, Yesu ambae unasema ndiye yeye yule Baba, yeye yule Mwana, pia Roho mtakatifu, alipo kufa nani aliuongoza ulimwengu kwa siku tatu ?? Wakati nafsi moja ya Mungu wako unae tufundisha ilisha kufa ?? Kwani Roho ina kiti cha enzi nayo ? Sijawahi kusikia kiti cha enzi Roho,, maana ipo ndani ya Mungu Baba na Yesu Kristo. Si mtu mwingine. Tujulishe kwamba Roho anapua kivyake ama
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao -
Quran 18:1 -6
Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.
Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri.
Wakae humo milele.
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Hakika Mwenyez Mungu hakueka kbs ugumu ktk kumtambua yeye wala hakutumia kauli yenye tungo tata kbs ktk kujielezea yy - ktk Ukristo concept ya kumuelezea Mungu ni ngumu sn hata kwa wasomi km hao -
Quran 18:1 -6
Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.
Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata ujira mzuri.
Wakae humo milele.
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu
Hii kauli yesu ni mwana wa Mungu inawatesa sana kuitetea - japo jambo hili lina miaka zaidi ya elfu lkn ni jambo lenye ukakasi sn ikiwa unasoma na kuzingatia unachokisoma na kukisema
Kama Kanisa Katoliki lilianzishwa mwaka 315, je kabla ya hapokanisa liliitwaje
Mwana wa mungu ni nani mbona mm cwaelewi mazwazwa ...? Andiko gani Yesu ni mwana wa mungu ? Mm ninakumbuka andiko linasema " na pepo wachafu kila walipomuona walisema hakika wewe ni mwana wa mungu na yesu akawakataza sana wasimdhihiri "
Ndacha unajikanyaga .....
Mwakemwa ndio mtupu kabisa wa ukweli wa neno la Mungu. Mimi namwona kama ni mpumbavu na mpuuzi tu.
Wacheni kujitia shinikizo ndugu zangu,ukristo sio dini ya haki na biblia sio kitabu cha mwenyezi Mungu,ni kitabu kinachomilikiwa na watu,Paulo akiwa mmiliki mkuu.
Heri bibilia kitabu cha paulo kuliko qaran kitabu cha majini mashetani
Acha ushabiki usio akili
Hata mmi sikubali kama Kuna miungu wa tatu
Napitia comments za watu ,,naona wanatoa kwa kufata ushabiki
I think trinity is the final thing that will unite all false christians
Daniel wajidanganya
Huyu danieli hajui lolote
Twambie wewe mjuzi wa mambo haya
Kwahiyo ndacha Kwako wewe Yesu sio MUNGU
Hayo mafundisho ya ndacha niyakupotosha watu..ni nafsi inaditegemea katika uungu kama musaidizi na mwalimu...yesu naye Mungu ambaye alidhihirisha kwa hali ya undoleo ya dhambi...ni Mungu ua anatuma yesu kwa kazi maalumu
Someni wapumbavu ninyi ...... hakuna aliyesahihi ktk hawa wote . Someni biblia acheni blablah