- 297
- 615 495
Bernard Mwaipopo
Tanzania
Приєднався 2 тра 2021
My name is Bernard Moses Mwaipopo. I am a teacher of the word of God and I warn all those who use the word of God for their own benefit. The Bible or Christianity has given me permission and authority to rebuke all false teachings. This channel has been opened for the sake of the true Gospel of our Lord Jesus Christ
My WhatsApp +27676227880
My WhatsApp +27676227880
IBada Ya Kuwaombea Marehemu Walio Kufa Katika Dhambi Wasamehewe Nakupokelewa Na Mungu Ni Rushwa Na
IBada Ya Kuwaombea Marehemu Walio Kufa Katika Dhambi Wasamehewe Nakupokelewa Na Mungu Ni Rushwa Na
Переглядів: 76
Відео
Sahii Goodluck Gozbert Kuchoma Moto Gari Alilo Pewa Na Nabii Mkuu Jordevi ?
Переглядів 144День тому
Sahii Goodluck Gozbert Kuchoma Moto Gari Alilo Pewa Na Nabii Mkuu Jordevi Tazama Video hii Hapa?
Mkristo Hepukana Na Utatu Mtakatifu Ni Shetani Wala Sio Mungu Yesu Ndie Mungu Pekee
Переглядів 660День тому
Mkristo Hepukana Na Utatu Mtakatifu Ni Shetani Wala Sio Mungu Yesu Ndie Mungu Pekee
Roho Mtakatifu Ni Nani ? Biblia Inatujibu
Переглядів 204День тому
Roho Mtakatifu Ni Nani ? Biblia Inatujibu
Wana Mwonea Kijana Wivu Kisa Mafanikio?
Переглядів 48014 днів тому
Wana Mwonea Kijana Wivu Kisa Mafanikio?
Ubatizo Huu Sio Mnaopewa Vyeti Vya Ubatizo Mtavipeleka Mbinguni?
Переглядів 16914 днів тому
Ubatizo Huu Sio Mnaopewa Vyeti Vya Ubatizo Mtavipeleka Mbinguni?
Mchungaji Kibaka Ampiga Muumini Wake Kanisani
Переглядів 70214 днів тому
Mchungaji Kibaka Ampiga Muumini Wake Kanisani
Marekani Ya Pata Pigo Kubwa Chanzo chake
Переглядів 2614 днів тому
Marekani Ya Pata Pigo Kubwa Chanzo chake
Damu Ya Vijana Wa Congo Walio Uwawa😭 Ipo Juu Ya Viongozi wao Amkeni Kwaajili Ya watoto Wenu
Переглядів 62921 день тому
Damu Ya Vijana Wa Congo Walio Uwawa😭 Ipo Juu Ya Viongozi wao Amkeni Kwaajili Ya watoto Wenu
Kwanini Mna chochea Ushoga Joti Na Wenzio? kumbukumbu latorati 22:5
Переглядів 20521 день тому
Kwanini Mna chochea Ushoga Joti Na Wenzio? kumbukumbu latorati 22:5
Masanja Wewe Nawe Nipepo Wakuzimu Kama Wengine Yesu Hajatuambia Tusherekee Christmas niupuuzi
Переглядів 66921 день тому
Masanja Wewe Nawe Nipepo Wakuzimu Kama Wengine Yesu Hajatuambia Tusherekee Christmas niupuuzi
Mpuuzieni Huyu Kijana Masharti Yana Mtesa Sio Bure
Переглядів 17421 день тому
Mpuuzieni Huyu Kijana Masharti Yana Mtesa Sio Bure
Bernard Mwaipopo Amjibu Muungano Chrisannth Kuhusu Mathayo 6:16-18 Mathayo 17:20-21
Переглядів 5828 днів тому
Bernard Mwaipopo Amjibu Muungano Chrisannth Kuhusu Mathayo 6:16-18 Mathayo 17:20-21
Haikuwa Rahisi Kabisa Bila Mungu 2024 to 2025
Переглядів 53Місяць тому
Haikuwa Rahisi Kabisa Bila Mungu 2024 to 2025
Yame Kaaje Haya Mambo Ki Biblia Ravany Harmonize Kanisani ?
Переглядів 80Місяць тому
Yame Kaaje Haya Mambo Ki Biblia Ravany Harmonize Kanisani ?
Vita Vimezidi Kupamba Moto YouTube Wanipa Onyo kisa Video Hizi Sintaacha
Переглядів 219Місяць тому
Vita Vimezidi Kupamba Moto UA-cam Wanipa Onyo kisa Video Hizi Sintaacha
Mzazi Wa Makanisa Yenu Ndio Huyu Hapa Sio Mungu Wa Mbinguni
Переглядів 380Місяць тому
Mzazi Wa Makanisa Yenu Ndio Huyu Hapa Sio Mungu Wa Mbinguni
Kanisa La Joka Wa Kuzimu Ndio Chanzo Cha Matatizo Katika Ndoa Zenu Pingeni Ukatoliki
Переглядів 329Місяць тому
Kanisa La Joka Wa Kuzimu Ndio Chanzo Cha Matatizo Katika Ndoa Zenu Pingeni Ukatoliki
Mchungaji Avunja Ndoa Ya Wake Wawili Kanisani kwake sehemu ya Kwanza 1
Переглядів 233Місяць тому
Mchungaji Avunja Ndoa Ya Wake Wawili Kanisani kwake sehemu ya Kwanza 1
Kuoa Wake Wengi Ni Tukio Takatifu Ki Maandiko Someni Yesu Anathibithisa Hili Hapa
Переглядів 143Місяць тому
Kuoa Wake Wengi Ni Tukio Takatifu Ki Maandiko Someni Yesu Anathibithisa Hili Hapa
Mchungaji Kasilimu Kisa Maswali Haya Mjibuni Wakristo
Переглядів 168 тис.2 місяці тому
Mchungaji Kasilimu Kisa Maswali Haya Mjibuni Wakristo
Wakristo Hamuifahamu Harusi Ki maandiko ; Bernard Mwaipopo.
Переглядів 902 місяці тому
Wakristo Hamuifahamu Harusi Ki maandiko ; Bernard Mwaipopo.
Ndoa Ki Biblia Ni Nini ,Wakristo wanaheimu Hilo ?
Переглядів 1562 місяці тому
Ndoa Ki Biblia Ni Nini ,Wakristo wanaheimu Hilo ?
Manabii Wa Mchongo Wa Charuana Wenyewe Tusome Neno Ndio Nuru Pekee
Переглядів 622 місяці тому
Manabii Wa Mchongo Wa Charuana Wenyewe Tusome Neno Ndio Nuru Pekee
Mkristo Ameoa Mwanamke Mchawi Afanyeje?
Переглядів 522 місяці тому
Mkristo Ameoa Mwanamke Mchawi Afanyeje?
Ajali Ya Meza Watu Kariakoo Live Chanzo Chake
Переглядів 4462 місяці тому
Ajali Ya Meza Watu Kariakoo Live Chanzo Chake
Wakristo Wote Tunaukataa Uisilamu Kwasababu Hii Kuu
Переглядів 1702 місяці тому
Wakristo Wote Tunaukataa Uisilamu Kwasababu Hii Kuu
Tukio La Utekaji Lilivo Tekelezwa Na Watu Hawa Wa Wasio julikana
Переглядів 9 тис.2 місяці тому
Tukio La Utekaji Lilivo Tekelezwa Na Watu Hawa Wa Wasio julikana
Ndacha usishangae kuna watu na viatu hataki kukubali ameshindwa Mazinge
Ndacha mungu akuongezee
🙆🙆utamkuta yuda mwenzio mbele uko
Wakati yesu anapaa kwenda mbinguni,,alituahidi kutupa roho msaidizi
@@PendoKalama-rn8pf Ndio hapo pia unachangamoto?
Ndacha 🙌🙌🙌🙌
Kaka pole sana lakini nakusikitikia maana hakuna mahali popote alipotajwa Muhammad kuwa ni njia,kweli na uzima. Kisha tusome pamoja kitabu Cha Yeremia 2:11-13 inasema, je taifa wamebbadili miungu Yao ingawa SI miungu? Lakini watu wangu wamebbadili utukufu wao kwa ajili ya kitu kisichofaidia. Enyi mbingu, staajabuni na mkaogope sana kwa ajili ya jambo hili asema Bwana. Kwa maana watu wangu hawa, wameenda maovu mawili, wameniacha Mimi, niliye chemichemi ya maji ya uzima, wamejichimbia mabirika, mabirika yavujayo yasiyoweza kuweka maji. Sasa chunga maana naona njia ya uislam na Muhammad ndio Yale mabirika yavujayo yaliyotajwa hapa. Lakini kuhusu chemichemi ya maji ya uzima iliyotajwa hapa ipate Tena kwenye Yohana mtakatifu 4:13-14 utaupata ukweli. Lakini kwa kuwa wataka kupotea, utasema huyo anayenena hapo na kujizungumzia ni Muhammad. Kaka Rudi kwa Yesu bado anakupenda.
Nsawa mchungaji muislamu lakini haya ni maoni Yako lakini Mimi naona umeikosa njia, hebu tutafakari mambo haya, mbona unatafuta Roho wa kweli? Roho wa kweli inamaanisha Roho anenaye na aelekezaye yaliyo kweli na huyo kweli ni Yesu; kwa mujbu wa andiko Yohana mtakatifu 14:6 . Point (2) umenena habari za isaya na arabuni hivyo unaamini Isaya ni nabii wa kweli; jibu ni kwamba wokovu wa Yesu ni kwa watu wote hata huko arabuni unakotaja, na ukisema Roho wa kweli ni Muhammad, nieleze habari za Isaya 9:6...... Kisha usome habari za Roho wa kweli kutoka kwa Yohana mtakatifu 16:12-15 update kujua SI Muhammad. Kaka kama wewe umepotea umepotea pekeyako usipoteze na wengine. malizia na matendo ya mitume 4:10-12. Rudi kwa Yesu uendako siko.
Asante❤❤
Barikiwa mpendwa
Katika safari yako YESU akusamehe
hamna shida si umesha ujua ukweli kwa hiyo umeahilisha kwenda mbinguni sasa unaenda peponi si ndiyo ninacho jua mtu hawezi potea njia ya nyumbani kwenu naona umefika unapongezwa na hela ila wakati utaongea siku moja utajua ninini ulicho kiamua YESU NI YEYE YULE JANA LEO NA MILELE YOTE HABADILIKI Nina mashaka hukuokoka ulifuata sadaka ukazikosa ukatimukia zinako patikana na umezikuta.
Jikomboe mwenyewe kwanza umkomboe nani shetani mkubwa kama unatafuta pesa tafuta kwa jina lako mwenyewe usitafute laana kwa mungu Alie hai
Mahubili yako Mazur lakin mm n mlokole uwez kunibadilisha kamwe
Yahani sikuzoote nawashangaa ninyi baada mkemee maovu mnakaa kusonta dini nyingine😂
Wapo wengi na wanajuwa vizuli kwamba dini ya mweli ni uislam.haswa wachungaji wengi ila masilai yamaisha yadunia
Waislamu mshamlishwa na mtume wenu mfuate njia ya wakristo na wayahudi. Mnabishana nini na ugumu wa moyo??. Ni Yesu pekee atawaokoa.
Pole sana mchungaji umepotea saana
Allah akuhifadhi Akudumishe
Subhannallah mchungaji ex Allah anakupenda sana
Alhamdullillah Allah amekuongoza Allah azidi kukuongoza na wote Yarab
Najivunia kuwa mu islam dini ya haki
Allah azidi kukuhifadhi Ma shaa Allah
Kaka mungu akusaidie ,biblia inasema katika kitabu mathayo 14:6,
KIWANGOCHAKONIKIDOGOSANA.CHAUELEWA
Mungu akuzidishie ulizi zaidi mtumishi
Mungu amekutendea makubwa karibu sana
MashaAllah
aamin
Aaaaaamin thumma aaaaaamin
What is the source of reflorences
Ni Isaya kifungu gani kinachotabiri ujio wa Muhammad?
❤❤❤ WOW ❤❤❤❤❤❤❤ mashallah 🙏🙏👌👌👌❤️❤️❤️❤️🕋🕋🕋❤️
Soma wew mjinga unaesema huyu nimtu wajahanam wew ndiye wajahanamu yesu ni nani soma matendo yamitume 10..20. Yesu alikuwa akiwaambia makuhani
HUYO SIO MKIRISTO
Inshallah kwa kusilim mwenyezimungu azikukupa ufahamu wa kutambuwa dini ya uislam kuwa nidini ya kweli na dini ya mungu aliye umbambingu na nchi
Udanganyifu uliokwenda shule
Ndacha umenisaidia sana kama haujui
Ndacha ni hatari. Kumbe msahafu uliliwa na mnyama wa kufuga😂😂😂😂.
Waislamu tatizo kubwa ni Elimu
Mtuaji kwa baba isipokuwa kwa mwana mapepo yanatoka kwajina la yesu Kama wewe umeamua niwewe usishawishi watu pole nakuoneauruma
Yesu akureta uesramu waraukristo yesu alireta wokovu yoana 3:16 alafu yesu. Kifochake chatofauti alikufa kafufuka sikuyatatu kafufuka
Kumkana kristo umekosea baba angu muombe Mungu akuongoze katka mapenzi yake na haki yake tumsfu kristo
Isaya ngapi inayotaja roho wa kweli anatoka uarabuni nisaidieni please 🙏
Yaani wewe hujui chochote kabisa
Hakuna mkiristo kama mkiristo wa kumuacha yesu na kwenda kwa mhamad
Amen 🙏
Huyooo mchungaji niwamchongo amengiaaa chooo chaa kikeee
Akili zako azina akili mjinga wewe
@@NduwimanaMoise mbona mnatukana Tu hamvunji hoja zangu kimaaandiko? Kati Yangu mm na Nyinyi ni nani asiye na akili?,😀
Indeed GOD alone has raised Ndacha for this occasion to bring in the mystery of God's word to the Muslims... JESUS IS LORD!!
Unankana Yesu mbele za watu naye atakukana mbele ya Mungu na malaika