Hayati Alikuwa Mtu Mwema Na Mbele Zake Mungu Maombi Yetu Awe Mahala Pema Amiin Na Mama Yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan Uwezo Wake Mwenyezimungu Ukuongoze Daima Tunakutazama Vyema Na Kutegemea Yote Mazuri Kama Kiongonzi Wetu Hatujawa Wapweke Tusipate Kuwa Wapweke Daima Tunakuombea Yote Mazuri Amiin InshAllah 🇹🇿💯
Ulimi Hauna Mfupa Muhimu Napenda Awe Na Msamaha Wa Mungu Kwa Lolote Alilowahi Kukosea Kwakuwa Hayati Alikuwa Ni Rais Bora Kwa Sie Wananchi Tusio na Macho Ya Kujua Mengi Sana Nilimuona Mtu Mwema Sana Kwa Kurudisha Nafasi Ya Kipaumbele Kwa Wananchi Wa Kawaida Masikini Anaeweza Kuhurumia Masikini Anapendeza Kuhurumiwa Pia InshaAllah Samahani Kwa Kukukwaza Kaka Adam Daudi Shukran
Apumzike kwa Amani Rais wa Awamu ya 5 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Rais Dr John Pombe Magufuli. Mungu Ambariki Rais Samia na Mungu Ibariki Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿
Usinichote piga kazi kama ya huyo jamaa ukifkika theruth tu hata jamaa atakutembelea yeye ndotoni....tupo pamoja ila nipo kwa mbali huwa nakuzumu tu ungejua kilo ya mchele ni elfu 3 na pesa yetu haina thamani ungelia mimi nashika elfu kumi moja naninashindwa kuigawa kwa day najua wewe unashika idadi ya noti nyingi kiukweli uwezi kutambua nachokifili.
Hatuwezi kuwa kama Magufuli lakini hakuna asiyejua Magufuli alikuwa mtu wa aina gani. Mzalendo na mtanzania wa Damu kiongozi mwenye maono mpambanaji aliyejitoa bila kujua hatma ya majitoleo yake. MUNGU MPE PUMZIKO. AHSANTE MH SAMIA SULUHU HASSAN
Ombi langu binafsi Mheshimiwa Rais Samia naomba nipate nafasi katika Kitengo Cha Ulinzi na Usalama wa Taifa letu Tanzania. Mwenyezi Mungu amenijalia Uwezo wa Utambuzi (Intelligence) ya kuhisi Hatari na Salama iliyopo mbele.🇹🇿🇹🇿
Kila mtu anaenea katika viatu vyake Your doing good madame president because you are really doing as you..! Peace & Prosperity is the only focus we do aim at🤝
Naomba kuuliza ivi kwanini Raisi huwa analindwa sana akiwa Tanzania kuliko akiwa nje za nchi huko, tofauti na maraisi kama wa Marekani wao wakiwa kwanye nchi zao inakua ni rahisi sana ku interact nao tofautii na wakiwa nje ya nchi zao.
Zaidi sana Mimi binafis yangu Na Jami yangu yote jipm kamwe siwezi kuacha kumkumbuka Na kumoombea mungu ampe taji ya Mtumishi mwema ila sisi watu wa Ali ya chini tunaokula mlo mmoja kwa siku tutamlilia mungu mpaka kieleweke Na mungu atajibu
Pole sana mama jeneth wewe ni muombaji kama sis timu malumu ya Maombi macho yako kila itwapo Leo elekeza kwa mungu Na kilio chako kiwe kwa mungu usiache kumwita mungu kila itwapo Leo tambua ibilisi aliye laaaniwa Na mungu alali yuko macho ila tumepewa sila za kumteketeza
Mambo ya kaburi kujengwa AYANA mahana,kipindi katoweka mumejifaa wema sana kama mulimpenda,lakini magufuli,kifo chake akiwa Kya kawaida.atuta hukumu bali Mungu akutane nao....
Kati ya Jambo ambalo wananchi masikini watanzania waliweza umizwa ama kuumizwa baas ni kifo cha Magufuli.Ila matajiri na wachumia tumbo wao kifo cha JPM imekua furaha kwao.Uzuri Duniani tunaishi Kwa karma so ni swala la muda Tu.R.I.P JPM.
Uzalendo na Muonekano wangu wa Ukakamavu umechangia Watanzania wengi kunifananisha na Askari popote napokutana nao. Naomba kulitumikia Taifa letu Tanzania.🇹🇿🇹🇿
Anafanya Nini Sasa hivyo anaandika Nini ? Tuambieni wanahabali tukaombe nasisi.nakama walimua, nakama Yuko kwa Mungu.! magufuli tuombee wtz kwa Mungu tupate Rais mzalendo Kama wewe.Mungu tutazama tunavyozalilishwa na fezeha . Sisi wa Hali yachini hatusikilizwi kiongozi anapotusemea linamgonga kichwa linamuua
Mheshimiwa Rais Samia natumai Wasadizi wako watafikisha Ombi langu binafsi. Naitwa Hillary Daudi Mrema. Tarehe ya Kuzaliwa: 14/08/1990. Urefu Futi: 7. Uzito: Kilo 80. Elimu: Master of Arts in Environmenta Sociology. Dini: Mkristo: Kabila: Chagga. Makazi: Himo, Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoa wa Kilimanjaro.🇹🇿🇹🇿
Apumzike pema raise wetu Magufuli tulimpenda...mama, na wewe pia tunakupenda chapa kazi mama yetu Kama baba alivyofanya tuko pamoja na ww maana we n wetu pia
Mtume mohamed alikatazwa NA mungu kumobea baba yake mdogo wala hata kusimama mbele yake sisi waaslaam haifai mambo kama hayo NA kama tunaelewa thambi yake kubwa sana kwanini sisi waaslaam tunajifanya hatuelewi mulize mtoto mdogo tu atakujibu tutende mema duniani kwa kila binadamu basi kuna mipaka lazima tusimame wala tusiuze dini yetu kwa ajili ya watu ahsant
Tunaombeni Magufuli day,tulimpenda sana Rais wetu
Kweli kabsa
Kwakweli magufuli day ni muhimu mzee alikua vizuri
Rest in peace kamandaa daah.
Safi Sana Rais Mama Samia kuritemberea Kaburi ra Mtukufu Rais wa Africa Magufuri🇹🇿🇷🇼
we miss Magufuli, he was an amazing president, a true servant of God. From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Very true
Poleni sana Tanzania! Wakenya, tulimpenda sana Magafuli. Azidi kulala salama.
Tunashukuru
Never forget you my father(mtetez wa wanyonge)
Am a burundian I love late president Magu so much. Nakumbuka jinsi aliwapenda wa Tz na wa Affica in general .
He must be in heaven undoubtedly.
Na kuombea kwa mungu akusamee dhambi zako na apokee roho yako Amina.
I still remember my president,so sad that he's left us that soon
The only president ever to care for the ordinary Tanzanianians ..RIP Mzee wa jumuiya ya African mashariki...
It feels like yesterday I can't believe it's more two-years since we lost you sir am Kenyan but Magufuli forever my president
R I p baba yetu mpendwa pumzika kwa amani na mwenyezi mungu akuweke peponi amina
Asio taamka shahada NA hamtambui mtume mohamed NA wala hakutaamka shada ya kiislaam haingili peponi NA wewe jina lako ya kiislaam vipi kaka yangu
Mangufuli ni moja wa wachache sana kuwahi kutokea katika hii dunia.. Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.
Kweli kabisa
Hayati Alikuwa Mtu Mwema Na Mbele Zake Mungu Maombi Yetu Awe Mahala Pema Amiin Na Mama Yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan Uwezo Wake Mwenyezimungu Ukuongoze Daima Tunakutazama Vyema Na Kutegemea Yote Mazuri Kama Kiongonzi Wetu Hatujawa Wapweke Tusipate Kuwa Wapweke Daima Tunakuombea Yote Mazuri Amiin InshAllah 🇹🇿💯
Duu, kavuka vigezo vyote vya kusamehewa?. Haijakaa sawa kauli yako
Ulimi Hauna Mfupa Muhimu Napenda Awe Na Msamaha Wa Mungu Kwa Lolote Alilowahi Kukosea Kwakuwa Hayati Alikuwa Ni Rais Bora Kwa Sie Wananchi Tusio na Macho Ya Kujua Mengi Sana Nilimuona Mtu Mwema Sana Kwa Kurudisha Nafasi Ya Kipaumbele Kwa Wananchi Wa Kawaida Masikini Anaeweza Kuhurumia Masikini Anapendeza Kuhurumiwa Pia InshaAllah Samahani Kwa Kukukwaza Kaka Adam Daudi Shukran
Rest easily my president magu you was a real leader every happen again
Apumzike kwa Amani Rais wa Awamu ya 5 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Rais Dr John Pombe Magufuli. Mungu Ambariki Rais Samia na Mungu Ibariki Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿
Hakuna kupumzika Kama mwema utalipwa kwa wema wako Kama muovu utalipwa pia kwa uovu wako
A great African statesman! Rest well Pres. J.P Magufuli
Continue singing with the angles JPM🇰🇪
AFRICAN HERO❤❤❤💔💔[R.I.P]
Kila akienda Mama Mvua lazima ishuke ni mara chache sana kama kaenda mvua haija nyesha RIP Magu
Forever missed JPM!
Kifo cha mmoja kinamfaidi mwingine RIP Magufuli
RIP JPM, we will never forget you, a TRUE SON OF AFRICA.
True son of chato
@@hassanmfaume4522 û
Hakika jembe hatupo nalo tena. Mwenyezi msamehe makosa yake kama nae alivyowasamehe waliokuwa wamemkosea
Inasaidia nn ata ukiangalia Kama matendo yake uyaenz akuna Mana nisawa na kujiangalia mwenyewe katka kioo
Tunaomba Magufuli day jaman
Iyo ni Kweli kabisa
Pumzika kwa amani mwenda zake.Tanzania we love u
My best president friend nilikupenda sana lakini Mungu akakupenda sana pumzika kwa amani
Ntuzibagirana wakunda Abaturage ruhukira mumahoro mubyeyi🇷🇼
Kuonyesha kuwa hayati MAGU alikuwa rais bora na wa ajabu sana kwa nn matukio yake yote mvua ilinyesha MUNGU we ni mkuu sana!!
Kama matukio yapi na yapi?
Chema huwa hakidumu kamwe yani moyo wangu unakukubali san magufuri lakini ndio hivo tena haupo nasi tena lakini rip
moyo unauma sana tumuachie mungu
Usinichote piga kazi kama ya huyo jamaa ukifkika theruth tu hata jamaa atakutembelea yeye ndotoni....tupo pamoja ila nipo kwa mbali huwa nakuzumu tu ungejua kilo ya mchele ni elfu 3 na pesa yetu haina thamani ungelia mimi nashika elfu kumi moja naninashindwa kuigawa kwa day najua wewe unashika idadi ya noti nyingi kiukweli uwezi kutambua nachokifili.
Aloo...weye upate sanam lako....csemi ncjechezea Ndioge bureee..but Allah ndiye hakimu wa yote haya....labda tusife...
Hatuwezi kuwa kama Magufuli lakini hakuna asiyejua Magufuli alikuwa mtu wa aina gani. Mzalendo na mtanzania wa Damu kiongozi mwenye maono mpambanaji aliyejitoa bila kujua hatma ya majitoleo yake.
MUNGU MPE PUMZIKO.
AHSANTE MH SAMIA SULUHU HASSAN
Mimi nitakuwa rais siku moja na mitafanya kama ulivyofanya wewe
MUNGU MKUBWA naamini Hill litakuwa kweli
Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan...Asante kwa Kazi nzuri Sana uifanyayo kwa Taifa letu la Tanzania.
Ombi langu binafsi Mheshimiwa Rais Samia naomba nipate nafasi katika Kitengo Cha Ulinzi na Usalama wa Taifa letu Tanzania. Mwenyezi Mungu amenijalia Uwezo wa Utambuzi (Intelligence) ya kuhisi Hatari na Salama iliyopo mbele.🇹🇿🇹🇿
Unataka utuibie pesa zetu mchaga wake Ni utambuzi wa pesa baasi😬😬😬
😃
Napita tuu
Kisa una bet na kupata pesa ndio unasema unautambuzi
Kila mtu anaenea katika viatu vyake
Your doing good madame president because you are really doing as you..!
Peace & Prosperity is the only focus we do aim at🤝
😔😔😔 we missed him JPM mzalendo Mchapa kazi
Tunakukumbuka daima
Tz kila kitu mwafanya kwa mpango na umakini sana...👍👍👍
Naomba kuuliza ivi kwanini Raisi huwa analindwa sana akiwa Tanzania kuliko akiwa nje za nchi huko, tofauti na maraisi kama wa Marekani wao wakiwa kwanye nchi zao inakua ni rahisi sana ku interact nao tofautii na wakiwa nje ya nchi zao.
R.I.P ,magu wetu na hongera sana mama
Sad sana
Pole sana Mh Rais na Watanzania sisi sote!MUNGU Akubariki uendeleze Inshallah pale alipoishia, Mimi na Watanzania tupo pamoja na ww Mama
Zaidi sana Mimi binafis yangu Na Jami yangu yote jipm kamwe siwezi kuacha kumkumbuka Na kumoombea mungu ampe taji ya Mtumishi mwema ila sisi watu wa Ali ya chini tunaokula mlo mmoja kwa siku tutamlilia mungu mpaka kieleweke Na mungu atajibu
Pole sana mama jeneth wewe ni muombaji kama sis timu malumu ya Maombi macho yako kila itwapo Leo elekeza kwa mungu Na kilio chako kiwe kwa mungu usiache kumwita mungu kila itwapo Leo tambua ibilisi aliye laaaniwa Na mungu alali yuko macho ila tumepewa sila za kumteketeza
Mzee Magufuli na Mwai Kibaki tutawakumbuka milele,viongozi wa dhati.
Huwa Napata wakati mgumu sn mkinikumbusha jpm japo mm niko mlengo w kushoto lkn nilimpenda sn kiongoz huyu
Je kaburi la Mkapa nalo limejengewa hivi? Kama sivyo basi ifanyike haraka sana!
We miss u dady 😭😭😭🤲
Kila mkifika huko mvua inanyesha, ni jinsi gani Mzee wetu alivyokuwa wa Baraka.
Rais wetu IGA uthubutu wa kuanzisha miradi mikubwa iliyo na maslah mapana kwa Nchi.,, Kama alivokuwa na uthubutu JPM
Hayati Magufuli tutakukumbuka Baralote la Afrika
Madam president 👊👊👊
Mambo ya kaburi kujengwa AYANA mahana,kipindi katoweka mumejifaa wema sana kama mulimpenda,lakini magufuli,kifo chake akiwa Kya kawaida.atuta hukumu bali Mungu akutane nao....
He came,he saw,and he conquered.
Nishida kweli rais wa Africa
Mungu unaona kila kitu unaona moyo wa watanzania bado unamshtuko na mipasuko
Kati ya Jambo ambalo wananchi masikini watanzania waliweza umizwa ama kuumizwa baas ni kifo cha Magufuli.Ila matajiri na wachumia tumbo wao kifo cha JPM imekua furaha kwao.Uzuri Duniani tunaishi Kwa karma so ni swala la muda Tu.R.I.P JPM.
Ipo siku tena tutapata rais kama wewe mana wewe ulikuwa kama nyerere
Endelea kuichapa kazi ambayo umeachiwa na rafiki yako John. Naamini utatuvusha Rais Samia. Kazi njema Rais mpendwa
Mungu akupe pumzko la milele magufuli
Mnafki tu uyoo uzuri wake iyoo safari ya kira mtu ukisaini reo kesho wanakusaini ww maisha yanaenda
Much respect to u Mama was TAifa and R.I.P forever Hayati JPM😢😢😢
Uzalendo na Muonekano wangu wa Ukakamavu umechangia Watanzania wengi kunifananisha na Askari popote napokutana nao. Naomba kulitumikia Taifa letu Tanzania.🇹🇿🇹🇿
Kulitumikia Taifa sio lazma uwe police au mwanajeshi au mwajiriwa wa serikali, waweza kulitumikia Taifa mahali popote ulipo
Tunaomba magufuli day tumempenda sana rais wetu wa wanyonge
Pumzika kwaamani raisi. Wetu kipenzi
Anafanya Nini Sasa hivyo anaandika Nini ? Tuambieni wanahabali tukaombe nasisi.nakama walimua, nakama Yuko kwa Mungu.! magufuli tuombee wtz kwa Mungu tupate Rais mzalendo Kama wewe.Mungu tutazama tunavyozalilishwa na fezeha . Sisi wa Hali yachini hatusikilizwi kiongozi anapotusemea linamgonga kichwa linamuua
My super daddy JPM You are so missed.
Mama yetu kweli una utu na unaonyesha unajali. Kwa. Watanzania
Hongera mama kwa kuthamini mchango wa mwendazake
huyu mwanamke hawezi shuka kwa gari haraka na anaona hao walinzi wananyeshewa🚮🚮🚮
miss you hayati magufuli
R I P mtoto wa allah lazima aende peponi amina
Mungu awabariki sana kwa kumbukumbu hizo za upendo
What really happened to this great leader...???
Mheshimiwa Rais Samia natumai Wasadizi wako watafikisha Ombi langu binafsi. Naitwa Hillary Daudi Mrema. Tarehe ya Kuzaliwa: 14/08/1990. Urefu Futi: 7. Uzito: Kilo 80. Elimu: Master of Arts in Environmenta Sociology. Dini: Mkristo: Kabila: Chagga. Makazi: Himo, Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoa wa Kilimanjaro.🇹🇿🇹🇿
🏋️
Inaumiza sana da chema hakidumu
"Pumzika Kwa amani Mheshimiwa Rais Magufuli...Nafsi Yako itaendelea kuishi mioyoni Mwetu "
Africa TRUE president jpm rip we will miss you
Waah 😮 Kwan alizikwa ...ikulu?sio nyumbani?😊
JPM daima✊🏾
Burian MR. Late President
Niwajibu wetu arijenga nchi kwa uchumi wakati
Mnamwangalia kama amefufuka mbona asitembelee kaburi la mkapa
Uyo mama.mshenzi Ana usika kumuuwa magufuri
Apumzike pema raise wetu Magufuli tulimpenda...mama, na wewe pia tunakupenda chapa kazi mama yetu Kama baba alivyofanya tuko pamoja na ww maana we n wetu pia
Kifo chake lazima kitalipizwa. Msaliti Samia
Hapo 7mefanya jambo la maana Mama na ni vizuri ufuate ushauri aliokupa
Nchi yetu ilibarikiwa although of shetani anaendelea kututesa ila kwa uwezo wa Mungu tutaishi
Apumuzike Kwa amani baba tumesha mukubuka😭😭
It's right on the best
Inaniuma sana me navyoona picha ya makufuri najuwa hata mungu alimempa kaz ya kuongoza malaika wake
Usilo lijua ni sawa na usiku wa Giza.
Kama lipi tusilojua
Tunashukuru kwa kila jambo💪
Rayvan mpya
R.i.p jpm 😩😩😩😩😩😩😩
Mtume mohamed alikatazwa NA mungu kumobea baba yake mdogo wala hata kusimama mbele yake sisi waaslaam haifai mambo kama hayo NA kama tunaelewa thambi yake kubwa sana kwanini sisi waaslaam tunajifanya hatuelewi mulize mtoto mdogo tu atakujibu tutende mema duniani kwa kila binadamu basi kuna mipaka lazima tusimame wala tusiuze dini yetu kwa ajili ya watu ahsant
Heshima za Dunia za muda!vema tu kumujua Mungu,utapewa full eshima lakini mda ukifika utarudi mavumbini mwanadamu uliko toka.
R.I.P mzee
As anti mama samia
Mbona ameziba mdomo huyu mama vipi?
Pole Sana Mama Janet Magufuri
My
Best president, mama🫶🏽
Asant saan mama
JPM tutakukumbuka daima
Pumzika kwa amani JPM
Tz mnatwangusha jameni Rais ndie anajifungulia mlango