RAIS SAMIA AMKABIDHI MAMA MAGUFULI NYUMBA MPYA ILIYOJENGWA NA SERIKALI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 164

  • @LameckCharles-x4j
    @LameckCharles-x4j 6 місяців тому +10

    mama Mungu akubaliki sana Rais wetu

  • @Bihomebuja
    @Bihomebuja 10 місяців тому +9

    For sure I need to learn more about this country. I was born in tz mpanda but I am not Tanzanian unfortunately.
    I pray for this country.
    God save Tanzanians

  • @richardasiimwe3726
    @richardasiimwe3726 6 місяців тому +4

    Tanzania takes care of its people and leaders. Mwalimu Nyerere set the perfect example for the rest of Africa. GOD BLESS Tanzania.

  • @nyandwijeanbosco8041
    @nyandwijeanbosco8041 5 місяців тому +3

    God is in Tanzania and life starts with u I'm happy to be your neighbor. Rwandan citizens we all know that Tanzania be stars 🌟 of ourselves as Africans.

  • @florachogo243
    @florachogo243 10 місяців тому +4

    Asante sana mh Raisi kumkumbuka mpendwa wetu Mgufuli.na Mama yetu Janeth . nimefurahi sana Asante sana ❤❤❤

  • @SuleyGodwin-eg1fh
    @SuleyGodwin-eg1fh 5 місяців тому +2

    Mungu akupe maisha marefu Rais wetu mpendwa we love yu

  • @shaluamagandi2184
    @shaluamagandi2184 10 місяців тому +4

    Ni moyo wa upendo sana. Hongera sana Rais wetu. God bless you.❤❤

  • @profemmanuelmbennah5599
    @profemmanuelmbennah5599 10 місяців тому +4

    Nimeguswa kwa namna ya kipekee na tendo hili na tukio hili. Asante sana Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan. Mungu aendelee kukubariki na kuibariki nchi yetu.
    Balozi Prof Mbennah

  • @augustinsafari5699
    @augustinsafari5699 5 місяців тому +2

    Asante sana mama raisi,una roho ya upendo.from Rwanda

  • @user-kh2bm4ug9t
    @user-kh2bm4ug9t 10 місяців тому +5

    Ni jambo jema sana kwani hata Magufuli alikabidhi Kikwete nyumba iliyojengwa na serikali safi sana alianza na umeendelea safi sana ❤❤❤❤❤

  • @wanzambinya8501
    @wanzambinya8501 5 місяців тому +1

    I am not Tanzanian, but may Almighty God bless u abundantly Prezo mama Samia. Infact in the world world, I loved Dr. John Magufuli with all my heart. Mtetezi wa wanyonge, Zero corruption Man, and above all man of great faith. I pray one day to meet u on the glorious morning, the day of Resurrection.. rest in peace JPM

  • @maernov4257
    @maernov4257 5 місяців тому +5

    Mama samia naomba na mm unijengee nyumba nipate kuishi na watoto wangu ❤

  • @omwengajoseph4298
    @omwengajoseph4298 5 місяців тому +1

    Rais Samia Suluhu asante sana,your respected your boss former president Magufuli let God bless you so much.

  • @benterokuom8464
    @benterokuom8464 5 місяців тому

    Hongera sana Rais wa Tanzania 🇹🇿 you're the best 👌🏽 👍🏾

  • @mungaiwamungai7383
    @mungaiwamungai7383 5 місяців тому

    I just like how things are done in Tanzania....my eyes are tearing to see how good deeds follow them that live to serve even they are dead!!
    This reminded me of the day the Late President Magufuli gave his predecessors ( former Presidents) Peacocks bird.
    Long live my neighbor country.... from 🇰🇪

  • @Chrisjosiah-xk9ds
    @Chrisjosiah-xk9ds 5 місяців тому +1

    Hongera Mama Suluhu Hassan, huyo Shujaa aliye aga baada kutumikia nchi tukufu ya Tanzania anastahili kukumbukwa. Asante kwa tendo hili last busara, hongera. Nimebubujikwa na machozi mama asante. Nilimpenda Magufuli na ninamkosa sana.

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 10 місяців тому +5

    Mama yangu kipenz umefanya jambo kubwa kuwakumbuka walio tia mchango wao kwa serekali yetu na nchi yetu tanzania daima kaz iendelee

  • @jackmsuya6842
    @jackmsuya6842 10 місяців тому +6

    Nimekupenda mama❤

  • @aliomar5518
    @aliomar5518 5 місяців тому +1

    Mfano mzuri sana, hongera mama, hongera watanzania wote, baraka Tele idumu

  • @judithdonald2023
    @judithdonald2023 10 місяців тому +1

    Hongera sana raisi wetu mungu akubariki na mungu akakusimamie kwa Kila unachokifanya kwa ajili ya watanzania mpaka nimesikia mwili kusisimuka mama una upendo sana

  • @desderylasway9810
    @desderylasway9810 19 днів тому

    Hongera cna mama nimelia cna kwa furaha❤

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 10 місяців тому +1

    Dah...Mama amefanya kitu Kikubwa sana.Mungu mbariki sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan

  • @zissons3696
    @zissons3696 5 місяців тому

    Tz asante kwa mfano mzuri wa maadili mema na huruma kwa Mjane wa makufuli.East Africans hope you are learning sonething from our TZ counterparts

  • @nyandwijeanbosco8041
    @nyandwijeanbosco8041 5 місяців тому

    My best country in world Tanzania mungu awarinde Tanzania Tanzania Tanzania means life

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 9 місяців тому

    Maashaallah Mungu akuzidishie upendo na hekima raisi wetu, mama yetu mlezi

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 8 місяців тому

      kwani katoa kwa moyo wake au ndio sheria ya inchi kua kila rais akitoka madarakan lazma ajengewe nyumba au mnasahau kila rais akimaliza hua anapewa nyumba ?

  • @simionbirai7851
    @simionbirai7851 10 місяців тому +1

    Hakika wetu wa Taifa hakika nakupenda!
    Mwl.Simon Birai

  • @muhetostylewilly5884
    @muhetostylewilly5884 5 місяців тому

    God bless you Miss president to please the family of Magufuli. From Rwanda❤

  • @nelsonandrew2638
    @nelsonandrew2638 10 місяців тому +1

    Ahsante mama samia! katika kulijenga Taifa ni vyema kuwakumbuka waasisi wa Taifa hili maana bila wao tusingefika hapa tulipo

  • @alphason6004
    @alphason6004 10 місяців тому +9

    Hatawaseme ila uyu ni mama mwenye upendo Kwa Kilatu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @richardbegga6679
      @richardbegga6679 10 місяців тому +3

      ACHA UJINGA hiyo ni Sheria inamtaka ajenge

    • @saidfhamad
      @saidfhamad 10 місяців тому

      ​@@richardbegga6679Sio sheria kaka

  • @thomskasong2839
    @thomskasong2839 10 місяців тому +3

    God bless tanzania🇨🇩🇹🇿

  • @KhadijaSaid-vj9kh
    @KhadijaSaid-vj9kh 5 місяців тому

    Mashawah mungu awazidishie upendo mama samia hongera sana

  • @christinadominic980
    @christinadominic980 5 місяців тому

    Mama mungu akubariki kwa tendo hili kwa mama magufuli halijawahi tokea Mungu akusimamie popote ulipo maraika saba wainde mama yetu nuru yetu tuendelee kukuombea amina

  • @JonaTaus-gb3ep
    @JonaTaus-gb3ep 7 місяців тому

    Mama munguakubaliki sana zaidi ya sana.nimekupenda sana.RAISI wetu

  • @makambosafari2746
    @makambosafari2746 10 місяців тому +3

    Imeenda ❤❤❤😊

  • @SifaBushashire
    @SifaBushashire 5 місяців тому

    Hooooongera mama samiya suluu mungu akuongezeye Siku zakuishi...🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @nyabuharajulian3306
    @nyabuharajulian3306 5 місяців тому +1

    Tanzanian swahili is sooo nice .

  • @BalboAlain
    @BalboAlain 5 місяців тому +1

    Super sana maman

  • @davidlinerevelation3427
    @davidlinerevelation3427 6 місяців тому

    Thank you maam

  • @nkurunzizafidel2026
    @nkurunzizafidel2026 4 місяці тому

    serekali yatanzania safi ❤ wanyamulenge

  • @peteretlawe6269
    @peteretlawe6269 6 місяців тому

    Ubarikiwe sana mama ndio maana nakupenda Sana kiukweli inafurahisha sana

  • @paulsavana5610
    @paulsavana5610 10 місяців тому +1

    Honngera sana Rais MSS ni vigumu Kwa wengine kutenda jambo kama Hilo.

  • @ImanueliNyela
    @ImanueliNyela 5 місяців тому

    Mungu.akubariki.sana

  • @FlorideUwamaliya
    @FlorideUwamaliya 5 місяців тому

    Mungu ababarikiye mama

  • @alexsambia3046
    @alexsambia3046 5 місяців тому

    Waooooh najiskia vzr snaa

  • @agnesmangale3163
    @agnesmangale3163 10 місяців тому +1

    Upandacho ndicho uvunacho...Rip Magufuli❤

  • @user-lk5ln4fi8h
    @user-lk5ln4fi8h 10 місяців тому +1

    Kazi nzuri sana! Mama yetu.

  • @anastazialushika
    @anastazialushika 10 місяців тому

    Kwer mh rais unajal sana Hongera Kwa kumkumbk mama maguful

  • @user-in6dx2zy1b
    @user-in6dx2zy1b 10 місяців тому +1

    Rais wetu Allah akupe maisha marefu❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 6 місяців тому

    Mungu ameibariki.Tz kwa mengi tusiyoyajua.Rais anamjengea nyumba mke wa mtu !! Wanaostahili na wanaohitaji na wenye njaa hawajala achilia mbali kushiba.Mtu anampa mpita njia,bado raia hao hao wanakenua

  • @julianamwinami4739
    @julianamwinami4739 6 місяців тому +2

    sijui nimelia Nini

  • @user-sg4dc3ow5x
    @user-sg4dc3ow5x 6 місяців тому

    Maashaalah hasbilah Allah akulinde mama etu Samia suluh

  • @user-fm8dp7we6m
    @user-fm8dp7we6m 8 місяців тому

    Hakika nimekubuka baba wa taïfa la Tanzanie pôle sana wa Tanzanie n'a mungu amulinde Rais wenu🇨🇩🙏

  • @AMENMUSHI-wt4li
    @AMENMUSHI-wt4li 5 місяців тому

    Ubarikiwe

  • @GeradinaJohn
    @GeradinaJohn 7 місяців тому

    Nakupenda mama Janeth Magufuli❤❤❤❤

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 5 місяців тому

    Hongera sana mama yetu Mungu akubariki sana.

  • @user-lq6hq4jr6t
    @user-lq6hq4jr6t 10 місяців тому +2

    Kumbe magufuli alikuwa hajajenga.mimi ni nani nijenge

    • @rosejohn8494
      @rosejohn8494 5 місяців тому

      we mjiga Jenga nyumba au hujui mweny nacho huongezewa hahahaha

  • @naishiyemollel
    @naishiyemollel 10 місяців тому +2

    Mungu akubariki sana kwa kumkumbuka mama yetu mama makufuli

    • @naishiyemollel
      @naishiyemollel 10 місяців тому +1

      Mama Samia safiiiii sana songa mbele mama

  • @NumberOneProductions
    @NumberOneProductions 10 місяців тому

    Mama Mungu akubariki

  • @marthaanton6967
    @marthaanton6967 10 місяців тому

    Hakika hili jambo mama umefanya lamaana sn Asante mno

  • @naomiilikeyoursongmumgodbl6748
    @naomiilikeyoursongmumgodbl6748 5 місяців тому

    Mama mungu akubarika sana kwa kukumbuka mama

  • @user-dc1qh3nm5s
    @user-dc1qh3nm5s 10 місяців тому

    Asante mama tuko na ww ukitaja magu unaponya roho yangu

  • @Kawumah
    @Kawumah 8 місяців тому

    DKT Samia Suluhu Hassan has a good heart❤.

  • @LuisAgostinhoMonteiro
    @LuisAgostinhoMonteiro 10 місяців тому

    Mungu amubariki sana raisi Samia suluh

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 10 місяців тому +1

    Inchi yenye utu,uzalendo,asante na heshima kwa viongozi.

  • @jumanzumbi1215
    @jumanzumbi1215 5 місяців тому

    Mama samia Mungu akubariki sana.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 10 місяців тому +1

    MAMA SAMIA ASANTE SANA KWA MOYO WAKO

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 5 місяців тому

    Ni raisi wa inchi mwenye huruma. Laziyada sasa ni Mama. Nimependa sasa maneno haya. President John Pombe Magufuli.kaka yangu.Mulezi wangu, boss wangu.duhhh Mama asanti kwa kujali wajane na mayatima. Ubarikiwe mama

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 7 місяців тому

    Kinacho fanyika ni sawa lakini unafiki tulio nao ni mkubwa Sana ndiyo maana chochote mnacho kifanya akitufanyi kuacha kuumia Baba yetu Jonh Pombe Magufuri alikiwa na kundi kubwa Sana la kuwasaidia wananchi na vizazi vingi vya Tanzania kwa maono yake na utendaji wake kataika Taifa lake bila kumumunya maneno Ulijitoa kwa lolote Mwenyezi Mungu amtangulie nafsi yake hi ishi milele Amen❤❤❤

  • @SifaBushashire
    @SifaBushashire 5 місяців тому

    Mama ni mama🇨🇩🇨🇩

  • @ElietSteven-cm6gc
    @ElietSteven-cm6gc 10 місяців тому

    Mungu nimwema

  • @Lydia-mz7jm
    @Lydia-mz7jm 5 місяців тому

    Hongera sanaa mama

  • @RajaburashidiKamsweka
    @RajaburashidiKamsweka 6 місяців тому +1

    Namunga mkono mama mkono kumpa nyumba mama janeti

  • @ndaskoindaskoi7811
    @ndaskoindaskoi7811 10 місяців тому

    Asante sana Mama

  • @ramadhanhamzah2804
    @ramadhanhamzah2804 5 місяців тому +1

    Yaani mmuuwe alafu mrudi kumpongeza na nyumba upuzi mtupu we need magu back stop being fooled the tanzanian people

  • @tomfoss9613
    @tomfoss9613 10 місяців тому +3

    Waouh!! Safi saana Mama Samia

  • @R0gastianEzekiel
    @R0gastianEzekiel 10 місяців тому

    Mungu ni mwema

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 5 місяців тому

    Yani Kuna watu wanaishi Kwenye nyumba za makuti juu nachini mnaenda kumjengea nyumba magufur kwahio hawana nyumba Mungu anawaona

  • @user-tf9nj3sn2z
    @user-tf9nj3sn2z 10 місяців тому

    That's all blessings to u

  • @user-ry8bx1fr7v
    @user-ry8bx1fr7v 6 місяців тому

    binadam ndiyo tunavotakiwa kukumbuka wame mungu akuweke mama😊

  • @kennedykimaiwua1938
    @kennedykimaiwua1938 5 місяців тому

    Hakika jonn pompe makufuli alikuwa mtu wa watu ...ila mola awe nae kwa kona yy aliko watanzania wote hakika mlimpoteza kiongozi bora..ila mola awe nae...

  • @user-tf9gh8iu5s
    @user-tf9gh8iu5s 6 місяців тому

    Mashalaa adi nimelia jaman

  • @AIGLE-256
    @AIGLE-256 10 місяців тому +1

    Jambo jema ❤❤

  • @peaceappolinarygahene9646
    @peaceappolinarygahene9646 10 місяців тому

    Nashukura sana Rais wetu Samia Hassan❤.umefanya mambo ya ubinadamu.

  • @kaesarka3243
    @kaesarka3243 10 місяців тому

    Aksante sana mama

  • @muhirebruno
    @muhirebruno 5 місяців тому

    Mama suluhu hassan mugu akupe Maisha malefu akumbuke mate matendo ya mikono yako ❤

  • @floriankatunzi603
    @floriankatunzi603 10 місяців тому

    Mama asante sana

  • @Edinaghkemuto
    @Edinaghkemuto 10 місяців тому +1

    🙌🙏❤️

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 5 місяців тому

    Kwa ilo Watanzania tumeshukuru sana.

  • @OscarMuzaliwa
    @OscarMuzaliwa 10 місяців тому

    hamujambo Ndugu zangu wa tanzania, mimi ninapo hongeya hapa mimi ni mkongo, nikiwa Kinshasa, jamani, kipindi ninapo hona ngisi maman mweshimiwa Raisi jambo aliyo fanyizia jamaa la Raisi
    Pombe Magufuli, machozi yame nidondoka, si famiye katika ulimwengu huu tunayo, kupata Raisi kama Pombe Magufuli, kwakweli hayupo, mimi katika maisha yangu ya hubinadamu, kuna watu wawili walio nihacha na ubovu wa moyo, 1=} Raisi John Pombe Magufuli. 2=} Stevens Kanumba. kwakweli hao watu wawili vraiment, niwatu awalio nihacha nahubovu wa moyo,. kila mara nihendapo kanisani nawahombeya msamaha kwa mwenyezi Mungu azidi kuwaremu, na roho zao zizidi kupumzika kwa Amani ya mwenyezi Mungu, je kwetu sisi wa kongo si mutuhombeye tupate Raisi kama mzee John Pombe Magufuli ? Jameni. sisi hapa Kinshasa tuna washukuruni.

  • @user-ty5ot4cs5m
    @user-ty5ot4cs5m 5 місяців тому

    ❤❤❤

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 5 місяців тому

    Love our president

  • @sifunimakongwa
    @sifunimakongwa 5 місяців тому

    Mama pokea baraka za yeah Mimi much Sifuni kutoka mkwawa chuo kikuu mwenyekiti uvccm mstaafu kilolo.

  • @LugelaMweya
    @LugelaMweya 9 місяців тому

    Mama ame Fanya jambo jema Kwa msaada mkubwa Kwa mama janeti magufuli ame mtoa kwenye upweke ambao alikua nao Ivo basi tuwa pende wtu walio pata shida yoyote hile tuwa thamini Sana

  • @MaureenAdhiambo-el2ks
    @MaureenAdhiambo-el2ks 5 місяців тому +1

    Huku kenya kuna chuki..sijui kama wanaeza jengea raila nyumba...

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 5 місяців тому

      Kwani Raila aliwahi kuwa Rais hizi nyumba ni kwa marais wastaafu tu sijuwi huko kenya ipo sheria ya kujengea wastaafu nyumba😅😅😅

    • @rosejohn8494
      @rosejohn8494 5 місяців тому

      mwambien ajenge mwenywe

  • @user-bi8xq9nm5x
    @user-bi8xq9nm5x 10 місяців тому

    Safi sana mama

  • @hamudseif
    @hamudseif 10 місяців тому +1

    Kwan magufuli ilikuwa hana nyumba ktk uhai wake. Ilikuwa wamepanga familia yake au nivipi

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 10 місяців тому +1

      Alikuwa nazo ila sheria inataka ajengewe yeyote anayetoka kwenye uraisi kwa namna yeyote ile

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 10 місяців тому +1

      Hii nchi ya Mabepari weusi alafu majinga kusifia ,vitu vya kushangaza sana hivi .Raisi anatunzwa hadi kifo chake na bado familia yake itatunzwa na mda wote madarakani analipwa ati kisha anajengewa nyumba. 🚮wakati kuna watanzania wazee wanataabika huduma hospitali shida maisha magumu .Tuache kujilimbikizia mimali ambayo hamtazikwa nayo kuweni na hofu ya Mungu acheni ubinafsi nyinyi.

    • @hamudseif
      @hamudseif 10 місяців тому

      @@ibel4lf Izo sheria wamejizitunga wao wenyew ili wajilimbikizie mali tu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 10 місяців тому

      Wana sheria za kibinafsi na kikandamizaji na zimeshamiri Tanzania mno .Viongozi wanatamaa kupindukia hawana shida watoto wao wanaajira Serekalini humo wengine mawaziri alafu huwezi kuona ata wanaaibu wakasema hiyo ni sheria kandamizi.Hayo mahekalu mnayotujengea jengeeni vituo vya kulea wazee au watoto yatima .Kwa ubinafsi wao na tamaa za mali wanachekelea na kuona wajinga ndio waliwao .Siku CCM ikitoka madaraka tunaomba umrudishe mlivyojilimbikizia.Na hiyo ndio sababu kubwa mnapambana msitoke kwa kuwabeba wakuu wa ulinzi ili wasiwatoe lakini ipo siku watu watachoka dhulma na dharau zenu

  • @MariaStepheno-it5jp
    @MariaStepheno-it5jp 10 місяців тому +1

    Hata iwe gorofa bado naumia sana baad ya kufarki baba mambo mengi yalivurigika

  • @rajabushaibu1068
    @rajabushaibu1068 5 місяців тому

    Yani wew mama ela za selikali ni ela zetu sasa kwann mnajengeana nyumba

  • @Edinaghkemuto
    @Edinaghkemuto 10 місяців тому

    ❤❤

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 5 місяців тому

    Kweli wewe ni mama mnzuri hao ma rais waliopita wakiwajengea waliopita labda makofuli