UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR ES SALAAM...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Sometime ayo mangoma ni kama kelele sio kila mahali wanapo shuka yapo sehem moja tu inatosha kila mahali kelele😅
Ni makelele tu!!na mtu pekee aliekua na huruma na africa ni Obama pekee ila hawa nyau
@@josephatjordan2150 ;. B ,,, g ,,,,,. ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, see Dr gt fee
Mengoma inazingua kweli kashajua nipo Africa tena Tanzania kwaiyo iyo mingoma ndio nini
Tupe CV yako kwanza tujue una ongea Kama nani
🤣🤣🤣🤣🤣
Even Mr. Magufuli from heaven is not happy about this! The were not supposed to make her wait that long.
Pole Tanzania yangu rest in peace magufuli uliipenda nchi yako na watu wako tena ulikubali kujitoa kutokuwa mtumwa angalia mama yetu kipenzi kama bord guid nini kinacho sainiwa hapo je baba yetu angekuepo magufuli asimame hivi kwa mzungu? Hapana hapana Tanzania umeelekea down 😢😢😢 pole Tanzania Munguu tuokoe Tanzania
Chunga kauli zako kijana
Ndugu hicho ni kitabu Cha wageni daaaa
GOOD BROO NIMEKUBALI COMMENT YAKO
Hiki kinakuwanga kitabu cha wangeni Lazima mngeni asaini
rais mwenye moyo wa pekee mungu akulinde nakupenda Sana rais wangu raisi wa taifa langu tz
Dakika 2 kwa mama yetu Kasimama kungoja mgen wake kiusalama sio mbaya kikubwa Aman tu kwenye Nchi yetu alhamdulilah
Lazima confirm na inteligence yake kwanza kama kuna usalama wake
@@swesschao3095 kabisaaa
Apo ikulu ww hamna upuuz wala makosa
@@tittoskeysproject1967 mzee chochote kinaweza tokea na popote pale kinaweza tokea.
@@swesschao3095 Alikua anasubiri waandishi wake wa habari washuke kwenye magari ndio yy ashuke. Kumbuka waandishi gari zao zinakua nyuma ya msafara
Siungi mkono hizo ngoma jamani ndo maana sometimes wenzetu wanatuangalia kama watu wa kale kisa bado kuna vitu vya kale vipo kwa nn hatuendani na kasi ya dunia tuliopo karne hii,,hayo mangoma yalikua na ulazima gani,,,,,
Kamala Harris rais mzuri sana nata Mani ange kuwa rais (vice president wetu) jamani you got to say ana tabia nzuri nupeni likes basi have a great day wananchi
Uko serious the woman is a joke
Why keep the host -- the President of Tanzania herself -- waiting next to the guest's car (a visiting Vice President) that long? The optics aren't right. I can't understand why they'd do that.
Looks bad aisee these Americans look down upon African, what was. She doing in the car all that long?
That is the level of disrespect the have for African leaders
I say those are power games ndo mjue hao ni marekani
Scanning for any security threats.
@Antony Khamati A Vice President keeping an actual President waiting THAT long is just disrespectful! Plain and simple
Kumbe mama yetu na yeye ni jitu refu, MashaAllah
I love the way the 2 political leaders went to do what they had to do just 2 of us helping each other that natural sense of getting along is natural african gesture I loved it sometimes those hundred security around are just dramatic 😂
Me naomba tu taifa letu lisipate Lana ya ushoga kukubali misada ili tukubali ushoga no no hapana 🇹🇿💔💉
🏳️🌈🏳️🌈🏳️🌈
Simu yenyewe unayotumia imetoka kwao utakwepea wapi hiyo hali.
@@simonrichardmosha6141 simu imetoka afrika akili ndo zakwao..vyote uvionavyo hasa vya internet na mishangazo unayoijuwa vinatengenezwa kwa udongo wa makinikia toka TZ Congo Ghana South Africa na kwingineko yalipo madini Africa.
@@ototek8037 kwa hiyo una mali akili huna.
Mpk hapo inaonekana km ni dili limeshakamilika, ss HV wakisoma hz komenti zetu humu watakuwa wanatucheka tu ndugu yangu. Hakuba kitu kibaya kwenye uongozi km ubinafsi lakini pia km kukosa kuwezo wa kusimamia na kuhifadhi utamaduni wetu na mila
Saa nyengine us wanajiskia sana na madharau yao haya walio nayo.. unaona vile wamemueka mama samia kumsubiri ashuke huyu makamu wa raisi kwenye gari lake! Hii ni dharau wala sikingine😊
Usikute anapita anamasisha ushoga, na kusema msipokubali awatowi support
Ndio kilochomleta
Kavunjiwa heshima raisi wetu yani mjinga huyo kafika kakaa kwenye gari dakika 10 anachat kwanza raisi naye kaka anamsubiri 😢😢😢😢
Mwenyewe nashangaa
izo no ishu za kiusalama usifir unashuka tu km unashuka porini
@ChoroTesla kweli lakini rais hafai kukaa hapo muda wote akingojea mtu wa chini yake. She is a president for sure
@@magiehermess9949 ww ndo.mtu wa protocol?
Ushazoea kuruka kwenye daladala haya mambo utayajulia wapi.
Nchi yetu ndo inauzwa ushoga ushaanza kutangazwa rasmi mama misele ya kwenda nje haishii yaan full hekaheka😭😭😭
Mama yetu akasimama kama bodyguard hatariiiii
Hivi ukipokea mgeni nyumban kwako unafanyaje
Hapana kumbuka Marekani ndio mwamba wa dunia nchi zote lazima iweke heshima hapo ndio mana hakuna mwenye mamlaka Kama yeye .
Lazima mnyenyekee wazungu ,leo kaacha wapi barakoa,maana anapokua na mawaziri wake anakua amevaa hapa siioni
Hahahaha Bibi yenu kasimama dakika tatu nzima kumsubiri mtu kushuka kwenye gari hiyo ni hatar , Kwan yeye alipo kuwa kule kwao huyo shost yake alimsubir hata?? , Waafrika tuache ujinga wa kumnyenyekea mtu anae kutumia kwa manufaa yake binafsi kwa kivuli Cha msaada , hahahaaaa haya Bibi yenu kawa mlinzi😂😂😂
@@dinnambogoye9582 Upo sahihi wapo kwamaslahi yao alafu wanatumia kivuli chamsaada!
Hivi hapo bodyguard wa SSH wanakuwa wapi?😮😮
@Jahim shahim 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umetishaaa
Ulinzi ni balaa. Shida ni kwamba adui yao anaweza wafutilizia huku kwetu Afrika akijua ulizi ni dhaifu. Tumshukuru Mungu sisi hatuna maadui
Hakuna nchi isiyokua na adui
Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, Linda Taifa letu lisimezwe na ushoga
Nani alikwambiaa Kuna ushoga
😂😂😂 huo mda wote ni wa kumngoja Kamala ashuke kwenye gari.
huu ndio ukoloni mambo leo sasa
😂😂😂😂😂
Yn ingekuwa kule uswaz unamwambia tu bibi ww em shuka nawe🤣🤣
Walikuwa wanachora ulinzi wetu na lada kutoka marekani 😅,
Ukoloni mwa mwe ata Putin anasemaga
Kamala katulipia Machungu Yetu Ya Foleni Ya Vingunguti Akiwaa Anashuka Yeye Kutoka Dodoma Maana Tunasimamaga Ata Masaa 4😂😂😂😂
Sometime ulinzi unadhalilisha,unasubir mtu hadi unachoka halafu hashuki kwenye gari haraka.
Hata Kama asingekuj na walinzi hii nchi ni ya amani tupu ilimradi usiiseme serikali vbya utaenda na maji
Nchi imeuzwa
Ukishakua kiongozi ni ngumu kutembea bila walinzi nani lazima watembee na walinzi kwasababu asilimia kubwa ya viongozi inawafundisha wanainchi wake wakosee mpaka sehemu penyewe
Samia is a very matured lady, Tanzania have a brilliant president in Suluhu ❤
She's old bro... You must be matured when you're old.
@@reubenothuol1823 growing old isn't maturing. Some people don't behave/reason like their age
Yaani rais wetu kasimama!!!... Kampisha makamu wa rais akae!!!... Hapa sijaelewa kwani kati yao ni nani mkubwa kimadalaka ?.... kwanini wasinge weka viti viwili, Mimi binafsi sijaipenda hii.
Subiri ukiwa Rais wewe!
😂😂😂hapo alikuwa anasaini kitabu Cha wageni tu jamaniiii 😂😂😂
Yaani watu jamanii wanaropoka
Ushirikiano wa mwewe na kuku huu daah!
Ngoja tuone!
😂😂😂😂 yaani umenichekesha sana
Mm ningekua samia ningetangulia ofisini wamletageeeee halaaaa
Ila mama yetu ana hekima sana kikubwa nikulinda amani ya nchi yetu
Kweri sjapenda rais wetu kwann asimame kwan haiwezekan kuweka viti 2 kulinda heshma yake
Lazimaawempole,marekani ndio dunia wanakilakitu
Hata Mimi sijapenda kabisa mkuu wa nchi kumsogezea kiti makamu hapana siku nyingine itifaki isifanye hivyo
Amekaa kwa sababu anaandika. Hapo sio sehemu ya kukaa
Kwa kweli suaala la Rais wetu kuwa Sub Ordinate kwa makamu wa Rais wa Marekani is not a good things kwa kweli hata walioorganize na kumpa Rais wetu namna ya kumpokea huyu makamu wa Rais kwa kweli kuna mistake ndogo ndogo walizifanya lakin zinaa impact kubwa sana...hata kama ndo kumnyenyekeaa mgeni kwa kweli hapana sioo kwa style hii ... aliyetakiwa kwend kumsogezeaa kitii Kamala Harris ni Body Guard au mtu maalum aliyeqndaliwa kwa ajili ya hiyo kazi wake na sio Rais wetu hii ni dharau na kumdisvallue mkuu wa nchi.....Kwa kweli ifike mahali yale masuala ya akina chief Mangungo ya masula ya miaka ya 1900 hukoo yafikie kikomoo Mbona Rais wa Congo Juzi alimkemea mgeni wake Rais wa Ufaransa tena ni Rais sio makama alipokuwa anaongeaa uwongo tena akamkemea kwa kumnyoshea kidole....Ifike mahalii viongozii wetuu waache kunyenyekeaa sana ndo hukoo hata masuala ya kuaambiwa tuoane ndo tupewe misaada yanatoka kutokana na jinsi viongozii wetu wanavyoact kwa mamaster wao....AFRICAN LEADERS MUST WAKE UP INGAWAAJE BAADHI WAMESHAAMKA...ANGEENDA SOUTH I DON'T THINK KWAMBA ANGEPEWA IYO SUB-ORDINATE ALIYOIPATA HAPA KWETU NA TUNAHUBIRI KILA SIKU SISI NI MATAJIRI..AU NDO NNJAA YA PAPER DOLLAR 💵 😂
Very shameful indeed! Poor protocol planning 🤦🏽♀️
Sasa toka gari imeingia langoni muda wote huo hashuki maana yake kuna secret service agent alienda kukagua mpaka uvunguni kwa Samia kama hakuna illegal substances kwa Usalama wa kamala
Welcome to East Africa.
Hapa hakuna matata.
Mama Harris .
Tuna nguvu Tanzania maana alikuwa vice na sasa Rais ss ndio wa kwanza kwenye kuwaheshim wanawake kwenye uongozi hizo nchi za ulaya na marekani wanaiga kwetu
Mama anaupiqa mwinqi sana,nchi imefunquka mahusiano mazur na jamii za kimataifa siasa safi uhuru wakupeta.
Apewe tu 10 menqine tena
thats an intimidation tactic as much as its a security protocal..kueka mama hizo dakika tano na anamuona...madharau kidogo kidogogo.but love how unintimidated President Samia was.Tanzania oyee!!
Mashost wamependeza 100%
Hio ya rais wetu kusimama na kumwachia kit haijakaa vizur
😀😀😀😀 amekuwa bodyguard wake mama yangu 😂
Ni utamaduni wetu namna ya kumlaki mgeni ingekuwa kwao tungeingia kwa hip-hop
Haaa haaa
Mwafrika/mzungu anaweka mwafrika mwenzake nyumbani? Hatia kubwa sanaaaa!
Msijali mungu yu nasi!
Ewe mwenyez mungu mpe nguvu rais wa Russia aweze kutukomboa nasisi wa tanzania maana toka ancle magu atangulie mbele za haki nnch yetu imetekwa na mafisadi ile mbaya ikiwemo kikwete na jopo lake kama ikiwezekana kiwete na samia suruhu wafe tu kabla mwaka aujaisha baba mungu tusaidie
😅😅😅😅😅😅😅
😅😅😅😅
😀😀😀 Na ni sahihi 😀😀 naishi marekani ila sipendi wakija kwa inchi zetu huko africa ma bwege hao wanafanya vitu kwa manufaaa yao
Tazaniya bad sis niwatumwatu laisiwetu Kawa kamalaiya wakawait 😭😭😭😭😭
Kelele uu 😢
Huyu mlinzi ni kiburi sana hakumsalimia hata mama km hamuoni shenz
Mtumwa asalimiwe toka lini?
Imagine having to wait 2minutes for her to come out thee car..#1961
Mama sio kitu makamu wa raisi anamsimamia kama bodyguard iliweje kweri Tanzania imeshapigwa bei na ushoga
Wazungu wazungukeni Rais wetu Anasubili mgeni kwa madakika Africa bado niwa tumwa??
Ndio sababu Bado harmonise uwashinda Kwa wimbo wake wote anapo burudisha wageni nyumbani. Mziki inapigwa hadi inakuwa kelele jameni eti makaribisho? Chanukeni na wimbo zenu za kitamaduni!
Huyo bibi anaumwa nn mbona abatembea hivyo😂😂
Aisee haumwi ila mguu wake mmoja ni mfupi hivyo tu
😂😂😂😂 nasikia sauti ya mkatolik mwenye asili ya kiyaud
Mnarecord na sim za Tecno nin. Video mbaya kama ni 12FPS
Mbona kamala kama kaandika barua ya kuomba kazi hapo.
AISEEEE!😥😥😥
Kuna mambo yanakeraaaa hivi hajajua alosimama apo ni mwanamke mwenzie na Rais mpendwaa wetuu ata aso toka kwenye gari tu
hv na viongozi wetu wakienda ulaya wanapigiwaga ngoma hv au nicc tunashobo tu
kumbe samia anauweza ubordguard🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbwembwe nyingi mwisho wa siku kazi yake mola hyna makosa
Nikweli siona maana ya ulinzi mkali mambo mengi lakini siku ya mwisho ikifika hakuna wa kuzuia
😃😃😃
Why should Kamala keep the president waiting for that long before she leaves her vehicle??
Wao
Wanzania kwa kucheza ngoma hawazidiwi
Nilichogundua watanzania wengi mna mashaka na bi mkubwa
Binafsi sina mashaka nae
Kwer
Sina shaka na Mama. Usitusemee
Mm ninamashaka nae
@@mejamiela7436 kwenye lipi una mashaka na president
Christina
Nyeusi itakua nyekundu bendera ya tanzania
Full mi karate 🥋 hapo
Kaleta ushoga tu ,endeleeni tu kukubali ushoga,pongezi kwa mseven kwa kukataa huu ujinga.
Naomba kwa anayejua hayo magari wanayotumia viongozi wa America ni campuni gani
Chevrolet - Tahoe
Hata mama lazima walimscan asibebe knife 😂😂😂
Very disrespectful how president in own country wait vis president sitting in the car for this time 😢😢😢 she shouldn't have to wait her more than 30 sec otherwise she will left other seniors official to welcome her and wait her in the office but in front entrance come on guy
Mbona amechukua mda mrefu hivo kushuka kutoka Kwa gari. Ama alikua anashuta mwanzo😅😅😅😅😅
TANGU NIJUWE KUWA MAREKANI WANAHAMASISHA USHOGA TANZANIA NA NCHI ZA AFRICA NAONA THAMANI YAO NI KAMA YA UMBWA.
Rahaa 😊
Nyeus itakua nyekundu bendera ya Tanzania...😅😅😅😅😅...Appreciate my brother Roma..
kweli ni aibu first lady wa tanzania amesimama na huyu bibi wa marekani amekaa kimya unyonge kwa tanzania.
Marekani ndio dunia mjomba,wanakilakitu
Kaja kwake kukagua hesabu
Rais wetu kasimamishwa hapo kama mlinzi wa ikulu vile😂😂😂😂 haki sijpnd, ila wakubwa sana hawa!!
Apo kabla hajatoka walikuwa wanaangalia usalama umo ndani kwa ndani usishangae ata rais wetu walikuwa wakimzoom kavaa nini kwa ndani asije akamdhuru uyu mama ulinz wa marekani sio mchezo.walipojilidhisha kuwa pako salama adi ndani ndo wakamfungulia sio mchezo.
Nimemsikia Roma kwa mbaliiiii
Heshima kubwa kwake mama samia suruhu
Ee,,Africa na kelelee
Tanzania na viongozi wetu ni vibaraka wa wazungu
Ulinzi lazima satellite Ziko juu ya Tanzania Manuwari jeshi hipo nje ya bandari standby. They don’t take risks
Mmmh
Wakianzisha tunakiwasha tu😎
Kaja kueneza ushoga huyu mama wa kiamerika cha umuhimu tumuulize je yeye Harris kaolewa na mwanamke? Je Biden adminstration ni mashoga? Au sisi tu waomba misaada ndio wa kupachikwa ushoga wao.
Mbona California hawataki ushoga ? Na ni american state.. tuamke watanzania
Waah, a normal Vice president being welcomed by a president....😮 kweli pesa ndio inaongea! Africa Wake Up from the slamber that you're in...
Hivi maraisi wetu wakienda kwao wanapigiwaga Ngoma hivi naomba nielimishwe toka airport mpaka ikulu?!
Why mis president kasimama like hvyo, ingekua kwao angesimama pia uyo kamala?
Muachage iyo mingoma basi .inaboa tu maskioni maana hata hawaelewi mnaimba nini zaidi ya zogo tu,hamuoni Wenzenu
Nna wasi wasi na huyu waziri hajaleta skendo za ushoga kweli? Macho yangu😢😢
Ushoga ni shindikizo la Wamarekani - kwann na kama Viongozi wasipokua Imara Tutaamuliwa kila kitu.
I can't watch this....
Magu angeenda kumgongea dirishani... "Oyaa unazingua shuka basi"
Muachage iyo mingoma basi .inaboa tu maskioni maana hata hawaelewi mnaimba nini zaidi ya zogo tu,
mama ana maana yyte uyu
Natamani siku moja tujielewe
0:07 hivi macho yenu yanaona kama mimi? Mbona kama Bodyguard wa Mama anakaguliwa kibegi chake? Msaada wenye macho yanayoona
Wanatupotezea mda sasa, watu wa dance wanachoka kupiga ngoma nayeye hashuki aaahhhhh!!!!!!!
Hapo hakuna cha bodyguard wa tz! Ni FBI na secret services mwanzo mwisho
Huyu anakuja kutangaza ushoga tu marekani Hawana lingine jipya
Amejiweka kwenye gari masaa kabla ya kushuka huku mama samia anamsubiria kwa kusimama. Sijapenda dharau yao wamarekani
Yan kugeuza geuza kichwa tu ndio umakini,, si hata baba levo anaweza hiv
Kama mzalendo lazima uumie jamani daah inaumaa
hujitambui
Hii sasa nini mama Samia unafany nini teb