SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 бер 2024
  • NYTV COMPANY.
    Ni channel ya habari za Injili ,Mahubiri,Miziki ya Gospel na Mahojiano na watu maarufui kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM UA-cam (@NYTV) na kwenye NYTV.CO.TZ

КОМЕНТАРІ • 156

  • @ema4968
    @ema4968 Місяць тому +3

    Karibu sana MWANZA mchungaji Magembe baraka kubwa sana kwa kizazi hiki

  • @enossimon6803
    @enossimon6803 3 місяці тому +7

    Bwana Yesu asifiwe Mchungaji.fanya ziala uje kigoma maeneo ya Mnanila tunabarikiwa na huduma yako.uje baba tutapendezwa sana

  • @johnmanase2874
    @johnmanase2874 Місяць тому +1

    Amen . Mchungaji anaongea kwa mamlaka hata vibwengo lazma viufyante... Barikiwa mtumishi wa Mungu , chapa kazi ya Mungu ulimwengu uokoke ktk Jina la Yesu

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha5428 2 місяці тому +5

    Mchungaji Magembe Mungu akubariki sana hii nchi ingekuwa na hawa watu 33 tu pangechimbika

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 3 місяці тому +5

    Halleluya! Ninaomba mtusaidie kuya-share mafundisho kamili! Shalom

  • @apostleemmanuelmabuga8148
    @apostleemmanuelmabuga8148 3 місяці тому +11

    Hii sio tu kwa TAG hii ni UAMSHO kwa Mwili wa Kristo Tanzania nzima

    • @stevenhaule6786
      @stevenhaule6786 Місяць тому

      Nafuta naandika ubarikiwe sana mzee wangu kilichopo ndani Yako ni Cha Mungu wa kweli kabisa nakupenda sana mzee nakipenda kilichopo ndani Yako niombee baba ukisoma comment yangu nakupenda😭😭

  • @user-ok4ng8st7g
    @user-ok4ng8st7g 3 місяці тому +2

    Hallelujah,haka ka bibi Yesu akatunze kwa ajili ya ushuhuda

  • @essamwaitulo6339
    @essamwaitulo6339 3 місяці тому +4

    Mungu akubariki sana baba yetu kwa injili na neno lenye nguvu za Mungu.
    Mungu akupe afya na siku tele ili kusudi la Mungu lifike kila mahali.

  • @JohnJoel-ro7lc
    @JohnJoel-ro7lc 3 місяці тому +2

    Ahsante YESU Kwa zawadi hiii katika kuujenga mwili wa krsto

  • @janemuthui6130
    @janemuthui6130 3 місяці тому +2

    Mchunganji tunahitaji hilo neno la kweli tufunguliwe na neno la Mungu
    Tafathali njo kwetu Kenya,Nakuru city

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 3 місяці тому +2

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

  • @anethphilbert229
    @anethphilbert229 5 днів тому

    Amina pastor.

  • @noelmasere1400
    @noelmasere1400 2 місяці тому +4

    ubarikiwe sana baba mchungaji natamani sana nijuwe unapatikana wapi ili nije uniwekee mikono juu ya kichwa changu nahisi kuokoka

  • @janembanga1607
    @janembanga1607 3 місяці тому +2

    Mungu atusaidie hii injili Moto kweli kweli turudi kwenye viwango

  • @matokeomwakibinga3344
    @matokeomwakibinga3344 3 місяці тому +3

    Oooh my Load nisaidie mimi niwe hodari na moyo wa ushujaa 😢😢

  • @ollestedickson8966
    @ollestedickson8966 Місяць тому

    Barikiwa sana man of God Pastor Maghembe🙌

  • @user-yl8ht7pt6d
    @user-yl8ht7pt6d 3 місяці тому +1

    Mungu wa mbingu atusaidie mm na familia yangu mume na watoto wangu tudirudi nyuma

  • @YaeliJoseph
    @YaeliJoseph Місяць тому

    Amen 🙏 Pastor 🙏

  • @JumaMwangombe
    @JumaMwangombe 3 місяці тому +1

    Amina mtumishi magembe Mungu akupe siku nyingi za kuishi

  • @mosesmbeke6137
    @mosesmbeke6137 2 місяці тому +2

    HIZI NDO INJILI THABITI,BARIKIWA SN

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 3 місяці тому +3

    Mungu nisaidie

  • @RachelMkumbo
    @RachelMkumbo Місяць тому +1

    Barikiwa baba

  • @CosmasSimon-bp9nu
    @CosmasSimon-bp9nu 2 місяці тому +1

    Naguswa sana na neno lake Mungu nisaidie niokoke kwerikweri

  • @jasperjackson8871
    @jasperjackson8871 3 місяці тому +2

    Baba yangu na Mungu wangu utusaidie tuweze kuelewa maneno haya mazito kutoka kwa baba yetu wa imani mchungaji Moses Magembe.
    Naomba tusaidie kuelewa eee Bwana wetu hili neno ambalo Roho Mtakatifu asema na kanisa lake.

  • @sijapendamatikiti3448
    @sijapendamatikiti3448 2 місяці тому +2

    Ee Mungu nisaidie niwe muijilist nifanye watu wanafunzi wake.huu ujumbe umenitisha. Ee Mungu nifundishe.

  • @kidainvestment7132
    @kidainvestment7132 3 місяці тому +1

    Absolutely you Yes man of God 💯%

  • @LajoiePascaline
    @LajoiePascaline 2 місяці тому

    Amen, Mubarikiwe sana. Tume barikiwa kweli

  • @emmanuelmwiturubani
    @emmanuelmwiturubani Місяць тому

    hongera baba kwakukumbusha njia ipaswayo kufuatwa

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 2 місяці тому

    Injili isiyogushiwa ni tamu sanaaa.Amen Siogopi sirudi nyuma nakaza mwendo niifikie ile mede

  • @shedracklesudai95
    @shedracklesudai95 2 місяці тому +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho

  • @BETISHEBA-ln3db
    @BETISHEBA-ln3db 3 місяці тому +3

    Yesu tusaidie

  • @rashidmtafya9075
    @rashidmtafya9075 2 місяці тому

    Amina mtumishi wa mungu magembe mungu akutunze uziponye dini

  • @LucasBundala-uw6cw
    @LucasBundala-uw6cw Місяць тому

    Ubarikiwe sana Baba nakuelewa msukuma mwezangu

  • @user-ol4zx7xd5q
    @user-ol4zx7xd5q 2 місяці тому

    Amina Sana barikiwa Sana Sana mtumishi Mungu akutunze Baba

  • @obedstaford8562
    @obedstaford8562 3 місяці тому

    Amina baba hakika ijili ya kiwango sana hadi inaogopesha Mungu akubariki sana mchungaji turudi igale

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 3 місяці тому +2

    Napokea baba amina

  • @AdolphMarenge-jd6vw
    @AdolphMarenge-jd6vw Місяць тому

    amina mtumishi wa Mungu ni kweli ndio maana makanisa yamekufa

  • @SaimonTweve
    @SaimonTweve 2 місяці тому

    Mungu na akubariki sana baba Magembe sema tupone

  • @YohnaDanieli
    @YohnaDanieli 3 місяці тому +1

    Amina ubarikiwe sana

  • @parakuchiemma3673
    @parakuchiemma3673 2 місяці тому

    Nimebarikiwa na kuinuiwa kwa maneno yako ,Mungu atujalie kuinuka tena na kuihubiri injiri yenye nguvu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Місяць тому +1

    HAPO KWA KUMULETA WAKALA NIMEGoNGA ukiokoka na mchungaji akiwa na Nguvu za Mungu wakala wa shetani atakimbia,

  • @davidbenson661
    @davidbenson661 2 місяці тому

    Mungu akutunze Pastor, unasaidia wengi.

  • @AbayumbebaRubavu
    @AbayumbebaRubavu Місяць тому

    Naomba Namba ya Rev: Moss

  • @user-px7zz3nq2p
    @user-px7zz3nq2p 3 місяці тому

    Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua

  • @EmmanuelKasike
    @EmmanuelKasike 3 місяці тому

    Mungu akubariki sana Baba Amina kubwaababa

  • @ZauloMalolage-tv7vb
    @ZauloMalolage-tv7vb 2 місяці тому

    My pastor nakuelewa sana

  • @michaelsamwelmmari9087
    @michaelsamwelmmari9087 3 місяці тому

    Mungu akubariki sana

  • @reganerasto5161
    @reganerasto5161 2 місяці тому +1

    amina Mchungaji Magembe nakuelewa sana baba.

  • @user-fz1qz3fz3q
    @user-fz1qz3fz3q 2 місяці тому

    Barikiwa mtumishi

  • @pascaldomel1551
    @pascaldomel1551 3 місяці тому

    Ubarikiwe sana baba yetu

  • @NeemaVanvitaliskallaghe
    @NeemaVanvitaliskallaghe 2 дні тому

    Mchungaji wetu hatujawahi kumdharau .yuko nae pamoja na anachokisema ndicho kanisa la leo linahitaji fanta kazi ya Mungu Baba Mungu hatakuacha wala kukupungukia popote

  • @MushagalusaLeonard-zw8rr
    @MushagalusaLeonard-zw8rr 2 місяці тому

    Amina Amina Amina, Mungu yuko hapa

  • @tesnamwamwezi
    @tesnamwamwezi Місяць тому

    Amin

  • @EuniceBukokhe
    @EuniceBukokhe 2 місяці тому

    God bless you Amen

  • @israelisponsor8755
    @israelisponsor8755 Місяць тому

    Ee Mungu nisaidie nikupokee rohoni mwangu 😢😢😢

  • @stunningtv8426
    @stunningtv8426 2 місяці тому +1

    Sahihi kbsa nimefika igale na mazingira nineyaona na history hii nimeipata Barbara!

  • @Nelltuoge
    @Nelltuoge Місяць тому

    Amen, kumkabiri shetani hakuna kudekadeka!!,

  • @jescacharles2274
    @jescacharles2274 2 місяці тому

    Amina Mungu atusadie tunamuomba

  • @MlebingeZabibu
    @MlebingeZabibu Місяць тому +1

    Jambo baba Muchungaji naomba na mamba ya simu

  • @ambonisyefungo4853
    @ambonisyefungo4853 3 місяці тому

    Mungu tusaidie

  • @apostleemmanuelmabuga8148
    @apostleemmanuelmabuga8148 3 місяці тому +20

    Barikiwa Saaana Magembe Rafiki yangu acha TAG wa kudharau sisi wa madhehebu mengine tunachukua mafundisho yako na tuna jaza makanisa TAG acheni uoga

    • @musaanthony8889
      @musaanthony8889 3 місяці тому

      Mbona hapo ni kama yupo TAG au sijaona vizuri

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf 3 місяці тому +2

      Tafiti kama hizi inatakiwa afanye askofu mkuu ili ajue pakuanzia, maana yule bibi anasema aliyeingia amevaa hereni, mikufu, shanga na bangili alikutana na Roho Mt na hawakuvaa tena, kanisa la leo hivyo vitu tumehalalisha na wachungaji hawaoni kama ni uovu. Watu wasuka, wanajikilimu, wanavaa mawigi na kujinakisha. Ninachomshukuru Bwana Yesu amemsaza ili ashuhudie japo wachungaji wetu hawana mpango naye bali wanaiamini thiolojia Sana.

    • @user-ic8od4el4c
      @user-ic8od4el4c 3 місяці тому +1

      Mkuu mbona kama una muhemko hapo anafanya kazi ya TAG sasa wamemdharau vpi na yuko kamati kuu

    • @apostleemmanuelmabuga8148
      @apostleemmanuelmabuga8148 3 місяці тому

      @@user-ic8od4el4c hii kauli ya kudharauliwa kailudia mwenyewe mala nyingi tu hatumuwekei maneno mdomoni

    • @juniorkamafa3391
      @juniorkamafa3391 3 місяці тому +1

      Unatukosea

  • @user-un9ds6kq1p
    @user-un9ds6kq1p 2 місяці тому

    Mungu akutunze

  • @marthamaembemaembe
    @marthamaembemaembe 2 місяці тому

    ubarikiwe baba

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 3 місяці тому

    Amina baba

  • @user-zd6tt2dq3k
    @user-zd6tt2dq3k 2 місяці тому

    Bwana akutunze pastor nimeinuliwa upya

  • @alex_vincent
    @alex_vincent 3 місяці тому

    Hallelujah

  • @NDISA1
    @NDISA1 3 місяці тому +1

    Hii historia ya Igale inabidi irekodiwe NYTV nendeni Rungwe please

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 2 місяці тому +1

    Najua mazombi yatang'aka, kwakuwa ni mashabiki ya Dini badala ya kweli

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 2 місяці тому

    Kuna watu wanatumia neno la mungu lakini hawana upako wa mungu

  • @berthamkamba6758
    @berthamkamba6758 3 місяці тому

    Mungu atusaidie kutoipenda Dunia Wala kuifuatisha Ili Roho Mtakatifu adumu ndani yetu Halleluya!

  • @AdamBartholomew-op8dc
    @AdamBartholomew-op8dc 29 днів тому

    Hakika wewe ni Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo wa kizazi hiki. Yesu akubariki

  • @GraceDui
    @GraceDui 2 місяці тому

    Aminababa

  • @henrysalala8818
    @henrysalala8818 2 місяці тому

    Amina

  • @ambonisyefungo4853
    @ambonisyefungo4853 3 місяці тому

    Yeeeesuuu njooo nisaidie

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 Місяць тому

    Ujue kuwa wakristo tumeishia huoni hata mlipuko wa nguvu ya Mungu ndani yao, kwa injili hiyo lazima pangechimbika hapo

  • @jaspertheonest
    @jaspertheonest 3 місяці тому

    Amen

  • @neemamsomba5946
    @neemamsomba5946 Місяць тому

    ❤❤❤

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 3 місяці тому

    Amina baba wewe ni hazina

  • @pastorheri715
    @pastorheri715 3 місяці тому

    Mungu akubariki sana Baba

  • @kidainvestment7132
    @kidainvestment7132 3 місяці тому

    ❤❤

  • @christermapunda503
    @christermapunda503 3 місяці тому

    Kweli tunaomba Yesu akusaidie maana kizazi ni kigumu sana kinatisha mno. Hakielewi somo!

  • @BavonSunday
    @BavonSunday 2 місяці тому

    utukufu ni kwa Mungu

  • @barakamwale7190
    @barakamwale7190 2 місяці тому +1

    Tupate wapi Watumishi wa Mungu kama wewe, MUNGU AZIDI KUKUTUMIA SANA MCH , WATU TUPONE

  • @JoyceMlelwa
    @JoyceMlelwa 2 місяці тому

    Napokea

  • @ayoubmwangonji2357
    @ayoubmwangonji2357 2 місяці тому

    🙏🙏🙏🙏amen

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur 3 місяці тому

    Ameeeen

  • @mmungajieanpirre4655
    @mmungajieanpirre4655 2 місяці тому

    🙏🙏🙏🙏🤝

  • @JaneMichael-sj3qb
    @JaneMichael-sj3qb 2 місяці тому

    Balikiwe sana mtumishi wamungu hakika injili hii itatafutwa sana mama ulimwengu nakanisa limehalibika lakin huyu Baba hakika anamjua Mungu

  • @SynphorienZamukul
    @SynphorienZamukul Місяць тому

    tuandae vema

  • @PeterMgimba
    @PeterMgimba 2 місяці тому

    Naomba namba yako mchungaji tuwasiliano napenda tuzungumze napenda kazi na mahubiri yako.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Місяць тому

    Anasema ukweli huyu baba

  • @jorgitolucasbaluth8903
    @jorgitolucasbaluth8903 23 години тому

    Uyu anatari

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 16 днів тому

    Jamani kwani kanisa analochunga huyu mchungaji lipo wapi?

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Місяць тому

    Mimi ninamkubali huyu baba

  • @EmmanuelKasike
    @EmmanuelKasike 3 місяці тому +1

    Mimi kama vile Elisha mtarajiwa naitaja roho yake mara dufu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Місяць тому

    Watumishi kama hawa wamebaki wachache ktk Dunia hii,

  • @mgoyekiyumbi6104
    @mgoyekiyumbi6104 3 місяці тому +2

    Baba mi Muumin wa SDA na nayaish mafundisho Bwana akupayo & I see it's relevance, nakukubali sana Baba.

  • @DavidIsaya-zn1gp
    @DavidIsaya-zn1gp 3 місяці тому

    Mzee we ni Paul yani umebeba kundi kubwa sana, wachungaji wengi wanahubili injili ya mjini ya ubisho nakumbuka uliwahi kuja sehemu majo kuhubili ukahubili kuhusu kusifu kwa kunengua mauno lakini mpaka leo hawajaacha kunengua hiyo inasanabishwa na wachungaji ambao wanaona wakikazia washilika watakimbia kitu hicho kimeangamiza kanisa sehemu nyingi sana ukengeufu umetawala

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 3 місяці тому +2

    Binafsi nimeshangaa --- moto wote huo unaotembea hapo kwenye ibada,halafu asilimia kubwa ya watu bado wamekaa tu kwenye viti , mpaka mhubiri awaarike kusimama na kuomba --- ina maana mpaka hapo Roho alikuwa hajawagusa ? au ni mazoea! --- binafsi kwa jinsi moto ulivyokuwa unatembea hapo " sikuiona nafasi ya kuendelea kukaa kwenye kiti " Mungu atusaidie.

    • @kingsonkambey1436
      @kingsonkambey1436 2 місяці тому

      Hakika hata mimi nimeshangaa sana,miyoyo migumu sana

  • @yohanaswalo4716
    @yohanaswalo4716 3 місяці тому

    😭😭😭