SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE
Вставка
- Опубліковано 19 бер 2024
- NYTV COMPANY.
Ni channel ya habari za Injili ,Mahubiri,Miziki ya Gospel na Mahojiano na watu maarufui kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM UA-cam (@NYTV) na kwenye NYTV.CO.TZ
Karibu sana MWANZA mchungaji Magembe baraka kubwa sana kwa kizazi hiki
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji.fanya ziala uje kigoma maeneo ya Mnanila tunabarikiwa na huduma yako.uje baba tutapendezwa sana
Amen . Mchungaji anaongea kwa mamlaka hata vibwengo lazma viufyante... Barikiwa mtumishi wa Mungu , chapa kazi ya Mungu ulimwengu uokoke ktk Jina la Yesu
Mchungaji Magembe Mungu akubariki sana hii nchi ingekuwa na hawa watu 33 tu pangechimbika
Halleluya! Ninaomba mtusaidie kuya-share mafundisho kamili! Shalom
Hii sio tu kwa TAG hii ni UAMSHO kwa Mwili wa Kristo Tanzania nzima
Nafuta naandika ubarikiwe sana mzee wangu kilichopo ndani Yako ni Cha Mungu wa kweli kabisa nakupenda sana mzee nakipenda kilichopo ndani Yako niombee baba ukisoma comment yangu nakupenda😭😭
Hallelujah,haka ka bibi Yesu akatunze kwa ajili ya ushuhuda
Mungu akubariki sana baba yetu kwa injili na neno lenye nguvu za Mungu.
Mungu akupe afya na siku tele ili kusudi la Mungu lifike kila mahali.
Ahsante YESU Kwa zawadi hiii katika kuujenga mwili wa krsto
Mchunganji tunahitaji hilo neno la kweli tufunguliwe na neno la Mungu
Tafathali njo kwetu Kenya,Nakuru city
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Amina pastor.
ubarikiwe sana baba mchungaji natamani sana nijuwe unapatikana wapi ili nije uniwekee mikono juu ya kichwa changu nahisi kuokoka
Njoo ndg yangu heri wamutumainio bwana
Mungu atusaidie hii injili Moto kweli kweli turudi kwenye viwango
Oooh my Load nisaidie mimi niwe hodari na moyo wa ushujaa 😢😢
Barikiwa sana man of God Pastor Maghembe🙌
Mungu wa mbingu atusaidie mm na familia yangu mume na watoto wangu tudirudi nyuma
Amen 🙏 Pastor 🙏
Amina mtumishi magembe Mungu akupe siku nyingi za kuishi
HIZI NDO INJILI THABITI,BARIKIWA SN
Mungu nisaidie
Barikiwa baba
Naguswa sana na neno lake Mungu nisaidie niokoke kwerikweri
Baba yangu na Mungu wangu utusaidie tuweze kuelewa maneno haya mazito kutoka kwa baba yetu wa imani mchungaji Moses Magembe.
Naomba tusaidie kuelewa eee Bwana wetu hili neno ambalo Roho Mtakatifu asema na kanisa lake.
Ee Mungu nisaidie niwe muijilist nifanye watu wanafunzi wake.huu ujumbe umenitisha. Ee Mungu nifundishe.
Absolutely you Yes man of God 💯%
Amen, Mubarikiwe sana. Tume barikiwa kweli
hongera baba kwakukumbusha njia ipaswayo kufuatwa
Injili isiyogushiwa ni tamu sanaaa.Amen Siogopi sirudi nyuma nakaza mwendo niifikie ile mede
Nabarikiwa sana na mafundisho
Yesu tusaidie
Amina mtumishi wa mungu magembe mungu akutunze uziponye dini
Ubarikiwe sana Baba nakuelewa msukuma mwezangu
Amina Sana barikiwa Sana Sana mtumishi Mungu akutunze Baba
Amina baba hakika ijili ya kiwango sana hadi inaogopesha Mungu akubariki sana mchungaji turudi igale
Napokea baba amina
amina mtumishi wa Mungu ni kweli ndio maana makanisa yamekufa
Mungu na akubariki sana baba Magembe sema tupone
Amina ubarikiwe sana
Nimebarikiwa na kuinuiwa kwa maneno yako ,Mungu atujalie kuinuka tena na kuihubiri injiri yenye nguvu
HAPO KWA KUMULETA WAKALA NIMEGoNGA ukiokoka na mchungaji akiwa na Nguvu za Mungu wakala wa shetani atakimbia,
Mungu akutunze Pastor, unasaidia wengi.
Naomba Namba ya Rev: Moss
Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua
Mungu akubariki sana Baba Amina kubwaababa
My pastor nakuelewa sana
Mungu akubariki sana
amina Mchungaji Magembe nakuelewa sana baba.
Barikiwa mtumishi
Ubarikiwe sana baba yetu
Mchungaji wetu hatujawahi kumdharau .yuko nae pamoja na anachokisema ndicho kanisa la leo linahitaji fanta kazi ya Mungu Baba Mungu hatakuacha wala kukupungukia popote
Amina Amina Amina, Mungu yuko hapa
Amin
God bless you Amen
Ee Mungu nisaidie nikupokee rohoni mwangu 😢😢😢
Sahihi kbsa nimefika igale na mazingira nineyaona na history hii nimeipata Barbara!
Amen, kumkabiri shetani hakuna kudekadeka!!,
Amina Mungu atusadie tunamuomba
Jambo baba Muchungaji naomba na mamba ya simu
Mungu tusaidie
Barikiwa Saaana Magembe Rafiki yangu acha TAG wa kudharau sisi wa madhehebu mengine tunachukua mafundisho yako na tuna jaza makanisa TAG acheni uoga
Mbona hapo ni kama yupo TAG au sijaona vizuri
Tafiti kama hizi inatakiwa afanye askofu mkuu ili ajue pakuanzia, maana yule bibi anasema aliyeingia amevaa hereni, mikufu, shanga na bangili alikutana na Roho Mt na hawakuvaa tena, kanisa la leo hivyo vitu tumehalalisha na wachungaji hawaoni kama ni uovu. Watu wasuka, wanajikilimu, wanavaa mawigi na kujinakisha. Ninachomshukuru Bwana Yesu amemsaza ili ashuhudie japo wachungaji wetu hawana mpango naye bali wanaiamini thiolojia Sana.
Mkuu mbona kama una muhemko hapo anafanya kazi ya TAG sasa wamemdharau vpi na yuko kamati kuu
@@user-ic8od4el4c hii kauli ya kudharauliwa kailudia mwenyewe mala nyingi tu hatumuwekei maneno mdomoni
Unatukosea
Mungu akutunze
ubarikiwe baba
Amina baba
Bwana akutunze pastor nimeinuliwa upya
Hallelujah
Hii historia ya Igale inabidi irekodiwe NYTV nendeni Rungwe please
Najua mazombi yatang'aka, kwakuwa ni mashabiki ya Dini badala ya kweli
Kuna watu wanatumia neno la mungu lakini hawana upako wa mungu
Mungu atusaidie kutoipenda Dunia Wala kuifuatisha Ili Roho Mtakatifu adumu ndani yetu Halleluya!
Hakika wewe ni Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo wa kizazi hiki. Yesu akubariki
Aminababa
Amina
Yeeeesuuu njooo nisaidie
Ujue kuwa wakristo tumeishia huoni hata mlipuko wa nguvu ya Mungu ndani yao, kwa injili hiyo lazima pangechimbika hapo
Amen
❤❤❤
Amina baba wewe ni hazina
Amen
Mungu akubariki sana Baba
❤❤
Kweli tunaomba Yesu akusaidie maana kizazi ni kigumu sana kinatisha mno. Hakielewi somo!
utukufu ni kwa Mungu
Tupate wapi Watumishi wa Mungu kama wewe, MUNGU AZIDI KUKUTUMIA SANA MCH , WATU TUPONE
Napokea
🙏🙏🙏🙏amen
Ameeeen
🙏🙏🙏🙏🤝
Balikiwe sana mtumishi wamungu hakika injili hii itatafutwa sana mama ulimwengu nakanisa limehalibika lakin huyu Baba hakika anamjua Mungu
Hakika Ubarikiwe zaidi
tuandae vema
Naomba namba yako mchungaji tuwasiliano napenda tuzungumze napenda kazi na mahubiri yako.
Anasema ukweli huyu baba
Uyu anatari
Jamani kwani kanisa analochunga huyu mchungaji lipo wapi?
Mimi ninamkubali huyu baba
Mimi kama vile Elisha mtarajiwa naitaja roho yake mara dufu
Watumishi kama hawa wamebaki wachache ktk Dunia hii,
Baba mi Muumin wa SDA na nayaish mafundisho Bwana akupayo & I see it's relevance, nakukubali sana Baba.
Mzee we ni Paul yani umebeba kundi kubwa sana, wachungaji wengi wanahubili injili ya mjini ya ubisho nakumbuka uliwahi kuja sehemu majo kuhubili ukahubili kuhusu kusifu kwa kunengua mauno lakini mpaka leo hawajaacha kunengua hiyo inasanabishwa na wachungaji ambao wanaona wakikazia washilika watakimbia kitu hicho kimeangamiza kanisa sehemu nyingi sana ukengeufu umetawala
Binafsi nimeshangaa --- moto wote huo unaotembea hapo kwenye ibada,halafu asilimia kubwa ya watu bado wamekaa tu kwenye viti , mpaka mhubiri awaarike kusimama na kuomba --- ina maana mpaka hapo Roho alikuwa hajawagusa ? au ni mazoea! --- binafsi kwa jinsi moto ulivyokuwa unatembea hapo " sikuiona nafasi ya kuendelea kukaa kwenye kiti " Mungu atusaidie.
Hakika hata mimi nimeshangaa sana,miyoyo migumu sana
😭😭😭