Hayo ndio mahubiri mazuri ambayo kila mtu wa imani yoyote anasikiliza na anakuunga mkono siyo ile mipasho yako ya kukashifu ukiristo pamoja na sikukuu zake huko ni kupungukiwa kwa hekma ukitaka wakusikilize watu wa dini zote unapaswa kuhubiri mahubiri kama haya
Tawheed na akeeda umefeli dr sule waelekeza makosa muislam wa kweli hana cha majini ,uchawi wala mizimu yeye utegemea mola wake tu ALLAH na yuamswalia mtume juu mwenye kuswalia mtume ,mtume u mswalia mara kumi na Allah kamuswalia mtume na malaik , Allah akamulisha waisilamu kumuswali mtu...so mambo na rizik Allah ashamuandikia mja hutopata ila alichokutayarishia.. karatasi zilifungwa kalamu kuinuliwa.... Allah pekee ndie anakupa pesa na kukunyima yote kwa mitihani yake subra ndio ufanikio kwa hali yeyote ile unaokubana nayo...
Lakini nawasikia wakisema kuna majini wema na wabaya, hawa wema ndio wanaleta hela mbona mi najua hela zinatoka kwa Mungu, uislam gani huu wa kuletewa hela majini?? Mungu wa waislam hana hela ila mashetani ??? Jaman dini nyingine lakini....,
@@AM-rr3jr Hapana sio kwamba Allah hana hela, ni kweli wapo majin wa aina hzo mbili ulzosema Kitabu cha Mungu Quran tukufu imetuzuia ss waislam kushirikiana na majini na yenyew yamezuiwa hvo kwahyo hao masheikh unaowaona wanatamba mitandaoni wakidai wenyew ni mabingwa wa majin wao niwashirkina na wanachafua sura halisi ya uislam labda nkwambie ewe ndugu@AM uislam hauusiani kabsa na majin ukimkutauislam asema hvo basi huyo ni mshirkina
@@anwary_sultan Ahaa kumbe? Na hii kitu naona huyu Shehe kaanzisha mihadhara na naadae anatangaza kuuza mafuta kama wanavyofanya mitume na manabii wa uongo je katika Uislam mafuta hayo yanakubalika? Na hayo ni yale yale ya mitume au mengine?? Sorry kwa usumbufu
@@AM-rr3jr Bila samahan me kwa ss waislam ni vizur kuelewesh mtu Pale ambapo hajaelewa ikiwa ni halal. Kuhusu mafuta ss waislam Hatujapewa tiba wala dawa ya aina yyte inayohusiana na mafuta kwahyo hyo yote ni upotoshaji wa baadh ya masheikh wenye kuchezea dini. Labda kuna baadh ya mimea kama mizaituni mafuta yake ni tiba kwahyo tuneza tumia hyo kawaida kama mitishamb mingne ya kiafrika bila kuhusish iman ya dini au nguvu flan, waislam tumepewa dua yan sala za kuomba iwapo unashida mfano kusomea maji baadh ya aya za Quran na kunywa basi so vingnevo haya mengine uyaonayo ndugu ni ushirikina kiufupi waislam tupo na miongozo inayotwambia nn cha kufanya ktk kila jambo kupitia Quran na Sunna ukikuta tiba, dawa maelezo ytte hayapo umo ni upotoshaji na ushirkina..
Jini anaefungamana na binadamu hata kama atamtaka huyo binadamu awe anafanya ibada huyo ni jini mbaya, jini mzuri hawezi kufangamana na binadamu kwa namna yoyote ile
Shehe mm nakukubali Sana ila naona biashara nyingi kuliko mawaidha unachanganya dini na biashara acha kufanya ivo watu wa mungu hawana tamaa ya utajiri
WAISLAM HATURUHUSIWI KUSHIRKIANA NA MAJINI KWA AINA YYTE YA USHIRKIANO, najua wengi mnaamini na mtapotea kwa kumsikiliza huyu Sule hlo analosema kwenye uislam hakuna...
@@yusufuheri6524 Assalaam aleykum Yusuf kama waitaka people ya Allah fuata Quran, sunna na mafunzo alotuachia Rasurullah S.a.w. kama huna haja na hlo kuna jehannam pia we endeleeni kumfuata sheikh na imamu wa mskitini kwako njia za sunna na Quran achana nazo. Ila narudia kukuhsia tena na kuihusia nafsi yangu Uislam na majini hamna uhusiano wa aina yoyote mtume hakung'orewa meno, kutukanwa, kubezwa, kudharauliwa ili ww hapo yusuph uwe muumini wa kuamini katka nguvu za majini wakati ALLAH AZZAWAJAL muumba wako aliekueko, aliyeko na atakaekuwako yupo naww.
Sasa Sheikh we unataka watu waje uwafundishe kupata utajiri wa majini??? Sasa hapo Mungu yu wapi??? Msiwe ivo masheikh bhana. Inalillahi wa Ina Illeihi Rajiun
HAKUNA JINI MWEMA ANAYETUMIKA KWA HAYO UNAYOELEZA, NA HAKUNA MASHARTI MEMA.... MAANA WAKO WANAOAMRISHWA KUSWALI NA HAO MAJINI.... JE, HUYO ANAYESWALI KWA SHARTI LA MAJINI, WANAKUWA WANAMSWALIA NANI... JINI AU ALLAH??! MNAPIGA VITA USHIRIKINA KWA KUWAPA WAISLAMU USHIRIKINA MBADALA..... HIYO SIO DAAWAH YA TAWHEED KABISA.... HUO NI UJANJA UJANJA WA KUKUSANYA PESA KAMA WATU WA UPAKO.. UISLAMU HAUNA MAFUNDISHO HAYO, MNATUMIA UJINGA WA WATU NA DINI YA ALLAH KWA MASLAHI YENU.. INASIKITISHA SANA MAJINI WEMA WAPO KAMA WALIVYO WEMA KATIKA BINADAMU ILA HAWANA HAYO! MNAZITUMIA CHANGAMOTO ZA MAMA ZETU NA DADA ZETU VIBAYA... HUO SIO UADILIFU!
Huyu sheikh wetu ameanza kupotezwa na ibilisi hawa wa suti ni kina nani na mafuta na ya kufukuza majini hii haiko mbali na ukiristo. na majini kupeana utajiri ama kuizuia utajiri hii sio ukweli utajiri yote iko kwa Allah. Majini watoe utajiri wapi? Wajiadhari hivi ndio shetani hupoteza watu wa elimu
@@nahlahassan-fd6leKWAHIYO RUQYA NAYO NI BIASHARA.... AU UKAE NYUMANI USUBIRI WENYE HIYO SHIDA.. KWAHIYO KAMA DAWA NI HIYO RUQYA NA SIO HAYO MAFUTA, MSOMAJI WA RUQYA NI YEYE TU NDIYE SPECIALIST.. KAMA ANAKUSUDIA KHERI KWANINI ASIWAFUNDISHE NAMNA YAKUYASOMEA... NA AWAELEKEZE MAFUTA YANAKOPATIKANA WAPI.. WAISLAMU WASIOKUWA NA MIONGOZO HAWATOACHA KUFATA TARATBI ZA WATU MAYAHUDI NA MANASWARA KATIKA MAISHA YAO, NA MBAYA ZAIDI WAKIYAHUSIANISHA NA DINI..... MTUME WETU, SALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE KISHATUFINDISHA HIYO FITNA... YAKUFATAFATA KILA KITU KUTOKA KWA WATU HAO!
@@fridageorge2809MMESAHAU NINYI NDIO WENYE KAZI YA KUFUKUZA MAPEPO KILA SIKU MAKANISANI NA HAWAONDOKI AMA PROPAGANDA YA UISLAMU NA MAJINI, ENDELEENI KUMEZESHANA HUKO HUKO VIJIJINI.. HAKUNA KITABU KILICHOPINGA USHIRIKINA KWA NGUVU KAMA QUR AN, NA HAKUNA DINI INAYOPINGA USHIRIKINA KAMA UISLAMU, NDIO MAANA HUUKUTI UTATU KWETU.. AMA WASHIRIKANA WAPO KATIKA WAISLAMU NA WAKRISTO ITATEGEMEA NA MAENEO... JE, NI ULAYA AU UARABUNI?! NI MIKOA YA PWANI AU BARA.. KWANINI WAGANGA WA MBEYA NA RUKWA NI WAISLAMU?!
Assalaam alaykum. Jamani, mtakaoangalia hii video huyu mtu anawapoteza. Hakuna jinni mzuri anayeshirikiana na binadamu, jinni yeyote anayeshirikiana na binadamu ni mbaya hata kama anakupa masharti ya kuswali. Hayo masharti ya kuswali ndiyo shirki yenyewe sasa kwa kuwa utakuwa unaswali kwa kumtii jinni na sio Allah! Ametoka kusema kuwa mtu akitibiwa na mganga akasema asingekuwa yeye nisingepona ni shirki, sasa hiyo ina tofauti gani na hizo pesa za majini badala ya kumuomba Allah. Jiepusheni na hawa wanaojiita mashehe kumbe sio! Huyo anawatapeli apige pesa ya dawa zake na kuwaingiza kwenye shirki ndugu zangu. Huo anaotangaza ni ushirikina ndugu zangu.
huu ni utapeli.... mtumishi wa mungu ana lindwaje..? uuzwaji mafuta tena... kwanini asigawe bure ayo mafuta badala ya kuuza ili apate baraka kwa mungu ....kweli wakina mwamposa mpo wengi..
Ayo mafuta yakutoa bule anayaokota tu mabalabalini? Ushawai kwenda kumpa ata sabuni yakuogea? Kabla hujamshauli mtu afuate uyatakayo wewe ushawai fanya ivyo? Kashawai kukuambia hatoagi sadaka ? Kama mtumishi wa mungu atakiwi kuwa na walinzi kwanza mtumishi wa mungu hafuatwi na watu wenye fujo?
Allah Akbar allah akubariki Dr sule Mimi abubakr Mugeni Congo djimbo la Maniema kasongo nimekuombea Allah akupe umri mrefu usife MPa unifunze hata erufi modja inshaallah Allah anikubalie
Ww huna akili mbn mtume alikua na majesh Sasa mbn asi muambie mungu tu awapige makafir kama uislm unakuletea shida na ww nenda kwa yesu Cristo tuachie dini yetu
Mimi nimemsikiliza ila kwa hili hapana. Majini wema watabakia kuwa wema kwa upande wao na si kwa mafungamano na binadamu eti wakupe utajiri utajiri huo unatoka wapi ? Huyu Sure mmmm
Sheikh hapo kwenye kushirkiana na na majini nadhan uislam hauruhusu kushirkiana na majini... hapo sheikh kaongeze kisomo cha dini asee majini haturuhusiwi kushirikiana nao wawe wazur au wabaya hyo karma alipewa Nabil Suleiman pekee yake...
@@saidmadizi9152 sababu moja wapo ya sisi kutokuana majini ni kutojihusisha nao iweje mtu asema waeza omba upewe jini mzuri na akakuletea Mali..tena akastitiza kuna mafuta yapo yakuondoa majini wabaya ukaletewa wazuri
Mash Allah na Alhamdulilah Mtume wetu ni Professor wa maProfessor ni mjuzi wa wajuzi kwa uwezo wa Allah alie muwezesha kupitia Quran yetu takatifu Quran haijaacha kitu. Tusemeni Alhamdulilah kwa Neema hii ya Uislam.
@@ikabako2454 Mwenyezi Mungu atakulipa kwa hii kauli yako. Uchizi ukupate wewe kabla hujakufa. Namuomba Mwenyezi Mungu aitikie hii Dua yangu huku nimefunga leo saumu !! Hii kauli ikuridie wewe uwe chuzi kabla ya kufa kwako Amiin Rabbil Alaamin.
Mabadiliko ya MWEZI anayoeleza yalishatokea hata kabla ya mtume Muhammad,na Hadi leo mabadiliko hayo yanaendelea, mfalme Suleiman mwana WA mfalme Daudi mfalme WA TAIFA la Israel alisema HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA.
Majini tena yana urafiki na binadamu???Da hapo shekhe umedanganya umma Majini ni mashetani tu hayapo mashetani mazuri na mashetani mabaya.Unafundisha ushirikana. Njoo kwa Yesu upone.
Alhamdulillah❤❤❤
MashaAllah
Namkubar sna dr sule
Docta unatisha sana
Shekh nisaidie naumwa tatz kichwa tyu nikupat wap
Allah akupe maisha malefu
Hayo ndio mahubiri mazuri ambayo kila mtu wa imani yoyote anasikiliza na anakuunga mkono siyo ile mipasho yako ya kukashifu ukiristo pamoja na sikukuu zake huko ni kupungukiwa kwa hekma ukitaka wakusikilize watu wa dini zote unapaswa kuhubiri mahubiri kama haya
Tawheed na akeeda umefeli dr sule waelekeza makosa muislam wa kweli hana cha majini ,uchawi wala mizimu yeye utegemea mola wake tu ALLAH na yuamswalia mtume juu mwenye kuswalia mtume ,mtume u mswalia mara kumi na Allah kamuswalia mtume na malaik , Allah akamulisha waisilamu kumuswali mtu...so mambo na rizik Allah ashamuandikia mja hutopata ila alichokutayarishia.. karatasi zilifungwa kalamu kuinuliwa.... Allah pekee ndie anakupa pesa na kukunyima yote kwa mitihani yake subra ndio ufanikio kwa hali yeyote ile unaokubana nayo...
Subhanallah watu kama hawa ndio wanachafulia uislamu jina
Dr. Unataka kunishawishi kwamba wewe nawe ni kama wale wa chumi, na mafut? Au una tofauti gani?
Doctor sulle nitawapataje hao majini wa kiislamu
Uchumi ndo niini...?
Fundisha kabisa hawo
Mashallah singida mmefikiwa na neema hii
Asante dr. Mungu aku zidishiye elimu Sana.
Kumbe ata n biology
Hj
Uli zungu mzalo liko sahii sheh
Allah akbar
Walnz tena
و هكذا أنت ساحر
Watambue ukweli japo unauma
Mbona hakina UNABII... biblia iko juu
Singida ndo niini
Mabod gudy Tena
Alhamdulilah
Tutabisha tuu ukwer ndo uwo shekh endelea kutupa elim
Nakukubali shehe.
Nafurahi sana ninavyosikia Mungu akiitwa "Nngu"😊
@sebastianmusamali001...hujambo,nipo Kenya,naeza penda unipe nambari yako kupitia email tujadiliane nataka usaidizi na ushauri wakokuhusu mali....nahangaika sana Daktari
Ila kweli waisilamu kwa kweli,aisee,ndo maana mudi aliwambia msome Qur'an kutokea Julia kwenda kusho.majini?
Walai tena watu niwachiwi hapa inje
Kumbe mkwara ote huo nikuuza mafuta tu,nikama uko kwamwaposa tu😂😂😂
Hakuna shelkh hapa ni shetanitu ametumwa kuharibu dini la waislam uyo, mtazameni vizuri hama madili ya mungu uyo
Huy shekhe mungu ampe maisha marefu sana maana anafundisha mawaidha mazuri sana
Mashaallah Shekh Yuko vizuri
❤❤
Atamiminamukubr
Nimekuelewa Shekh upo sahihi kabisa japo mi ni mkirsito but unaongea point takatifu MUNGU akubariki ❤❤❤
Jitahidi mwenyezi mwenyezi mungu akuongeze uweze kuslim uweze kuingia kwenyee dini ya kweli ya Allah (s.w) naamin utanishukuru san ,Amiin 🙏
Ukosawa shekhe
Nitumie namba yake Dr. Sul
Queli queli sule
Waislam ndugu zangu nawahusieni jman Haturuhusiwi kua na ushirikiano na majini wawe wazur au wabaya hairuhsiwi Allah amekataza hlo jmna Hawa masheikh sjui wetoa wapi hzo elim at majini watakupa utajiri...
Lakini nawasikia wakisema kuna majini wema na wabaya, hawa wema ndio wanaleta hela mbona mi najua hela zinatoka kwa Mungu, uislam gani huu wa kuletewa hela majini?? Mungu wa waislam hana hela ila mashetani ??? Jaman dini nyingine lakini....,
@@AM-rr3jr Hapana sio kwamba Allah hana hela, ni kweli wapo majin wa aina hzo mbili ulzosema Kitabu cha Mungu Quran tukufu imetuzuia ss waislam kushirikiana na majini na yenyew yamezuiwa hvo kwahyo hao masheikh unaowaona wanatamba mitandaoni wakidai wenyew ni mabingwa wa majin wao niwashirkina na wanachafua sura halisi ya uislam labda nkwambie ewe ndugu@AM uislam hauusiani kabsa na majin ukimkutauislam asema hvo basi huyo ni mshirkina
@@anwary_sultan Ahaa kumbe? Na hii kitu naona huyu Shehe kaanzisha mihadhara na naadae anatangaza kuuza mafuta kama wanavyofanya mitume na manabii wa uongo je katika Uislam mafuta hayo yanakubalika? Na hayo ni yale yale ya mitume au mengine?? Sorry kwa usumbufu
@@AM-rr3jr Bila samahan me kwa ss waislam ni vizur kuelewesh mtu Pale ambapo hajaelewa ikiwa ni halal. Kuhusu mafuta ss waislam Hatujapewa tiba wala dawa ya aina yyte inayohusiana na mafuta kwahyo hyo yote ni upotoshaji wa baadh ya masheikh wenye kuchezea dini. Labda kuna baadh ya mimea kama mizaituni mafuta yake ni tiba kwahyo tuneza tumia hyo kawaida kama mitishamb mingne ya kiafrika bila kuhusish iman ya dini au nguvu flan, waislam tumepewa dua yan sala za kuomba iwapo unashida mfano kusomea maji baadh ya aya za Quran na kunywa basi so vingnevo haya mengine uyaonayo ndugu ni ushirikina kiufupi waislam tupo na miongozo inayotwambia nn cha kufanya ktk kila jambo kupitia Quran na Sunna ukikuta tiba, dawa maelezo ytte hayapo umo ni upotoshaji na ushirkina..
@@anwary_sultan Asante kwa ufafanuzi
Acheni uongo mtume si nabii wala mtume
Dini isitumike Kwa bishara mijadala itengwe dini pekee Niagara pekee
Jini anaefungamana na binadamu hata kama atamtaka huyo binadamu awe anafanya ibada huyo ni jini mbaya, jini mzuri hawezi kufangamana na binadamu kwa namna yoyote ile
Wewe ujui kitu msikilize shee
Allah akuongoze shekhee wanguu
Acha kupotosha watu
Hapa hatuna sheikh tena
Maa shaa allah
Huyu nae si mganga au
Shehe mm nakukubali Sana ila naona biashara nyingi kuliko mawaidha unachanganya dini na biashara acha kufanya ivo watu wa mungu hawana tamaa ya utajiri
Et kama mlokoke😂 nimeipenda iyo
WAISLAM HATURUHUSIWI KUSHIRKIANA NA MAJINI KWA AINA YYTE YA USHIRKIANO, najua wengi mnaamini na mtapotea kwa kumsikiliza huyu Sule hlo analosema kwenye uislam hakuna...
Kwaiyo nyie mnaotolewa majini na mwamposa ndo mnaelimu ya mbinguni et
@@yusufuheri6524 Assalaam aleykum Yusuf kama waitaka people ya Allah fuata Quran, sunna na mafunzo alotuachia Rasurullah S.a.w. kama huna haja na hlo kuna jehannam pia we endeleeni kumfuata sheikh na imamu wa mskitini kwako njia za sunna na Quran achana nazo. Ila narudia kukuhsia tena na kuihusia nafsi yangu Uislam na majini hamna uhusiano wa aina yoyote mtume hakung'orewa meno, kutukanwa, kubezwa, kudharauliwa ili ww hapo yusuph uwe muumini wa kuamini katka nguvu za majini wakati ALLAH AZZAWAJAL muumba wako aliekueko, aliyeko na atakaekuwako yupo naww.
Sasa Sheikh we unataka watu waje uwafundishe kupata utajiri wa majini??? Sasa hapo Mungu yu wapi??? Msiwe ivo masheikh bhana.
Inalillahi wa Ina Illeihi Rajiun
Mpole kama mlokole... mmmh haya shekhe
mungu akuweke shekhe mwenye bodyguard nakukubali sanaaaaa
Umenifurahish sheh mwenye bodygard
HAKUNA JINI MWEMA ANAYETUMIKA KWA HAYO UNAYOELEZA, NA HAKUNA MASHARTI MEMA.... MAANA WAKO WANAOAMRISHWA KUSWALI NA HAO MAJINI.... JE, HUYO ANAYESWALI KWA SHARTI LA MAJINI, WANAKUWA WANAMSWALIA NANI... JINI AU ALLAH??!
MNAPIGA VITA USHIRIKINA KWA KUWAPA WAISLAMU USHIRIKINA MBADALA..... HIYO SIO DAAWAH YA TAWHEED KABISA.... HUO NI UJANJA UJANJA WA KUKUSANYA PESA KAMA WATU WA UPAKO..
UISLAMU HAUNA MAFUNDISHO HAYO, MNATUMIA UJINGA WA WATU NA DINI YA ALLAH KWA MASLAHI YENU..
INASIKITISHA SANA
MAJINI WEMA WAPO KAMA WALIVYO WEMA KATIKA BINADAMU ILA HAWANA HAYO!
MNAZITUMIA CHANGAMOTO ZA MAMA ZETU NA DADA ZETU VIBAYA... HUO SIO UADILIFU!
Somo zuri...mimi ni mkristo lkn napenda sana kufuatilia mawaidha ya kiislam
Maashaallah Allah akuongoze kwauwezo wake uje kwenye Dini ya haki🤲ya uislam
@@hanifatanzania7258 inshaalah mwenyezi mungu anifanyie wepesi kwa ilo
Karimu kwenye nuru ya uislam
Shehe nakubali
MashaAllah ❤️ alhamdulillah kwa elimu
Huyu sheikh wetu ameanza kupotezwa na ibilisi hawa wa suti ni kina nani na mafuta na ya kufukuza majini hii haiko mbali na ukiristo. na majini kupeana utajiri ama kuizuia utajiri hii sio ukweli utajiri yote iko kwa Allah. Majini watoe utajiri wapi? Wajiadhari hivi ndio shetani hupoteza watu wa elimu
hayo mafuta yana visomo vya ruqyah yamesomew quran hayana tatizo ni tiba
Majini na ukristo wapi na wapi!!? Unajisahaulisha!!?
@@nahlahassan-fd6leKWAHIYO RUQYA NAYO NI BIASHARA.... AU UKAE NYUMANI USUBIRI WENYE HIYO SHIDA..
KWAHIYO KAMA DAWA NI HIYO RUQYA NA SIO HAYO MAFUTA, MSOMAJI WA RUQYA NI YEYE TU NDIYE SPECIALIST..
KAMA ANAKUSUDIA KHERI KWANINI ASIWAFUNDISHE NAMNA YAKUYASOMEA... NA AWAELEKEZE MAFUTA YANAKOPATIKANA WAPI..
WAISLAMU WASIOKUWA NA MIONGOZO HAWATOACHA KUFATA TARATBI ZA WATU MAYAHUDI NA MANASWARA KATIKA MAISHA YAO, NA MBAYA ZAIDI WAKIYAHUSIANISHA NA DINI..... MTUME WETU, SALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE KISHATUFINDISHA HIYO FITNA... YAKUFATAFATA KILA KITU KUTOKA KWA WATU HAO!
@@fridageorge2809MMESAHAU NINYI NDIO WENYE KAZI YA KUFUKUZA MAPEPO KILA SIKU MAKANISANI NA HAWAONDOKI
AMA PROPAGANDA YA UISLAMU NA MAJINI, ENDELEENI KUMEZESHANA HUKO HUKO VIJIJINI..
HAKUNA KITABU KILICHOPINGA USHIRIKINA KWA NGUVU KAMA QUR AN, NA HAKUNA DINI INAYOPINGA USHIRIKINA KAMA UISLAMU, NDIO MAANA HUUKUTI UTATU KWETU..
AMA WASHIRIKANA WAPO KATIKA WAISLAMU NA WAKRISTO ITATEGEMEA NA MAENEO...
JE, NI ULAYA AU UARABUNI?!
NI MIKOA YA PWANI AU BARA..
KWANINI WAGANGA WA MBEYA NA RUKWA NI WAISLAMU?!
Wadanganye waisliam huo uongo
Na uislamu ni uchawi mtu tena ulivyo muongo pindi uislamu haukaja hapakuwepo na wataraam mbona huo ni uongo hazarani
Assalaam alaykum. Jamani, mtakaoangalia hii video huyu mtu anawapoteza. Hakuna jinni mzuri anayeshirikiana na binadamu, jinni yeyote anayeshirikiana na binadamu ni mbaya hata kama anakupa masharti ya kuswali. Hayo masharti ya kuswali ndiyo shirki yenyewe sasa kwa kuwa utakuwa unaswali kwa kumtii jinni na sio Allah! Ametoka kusema kuwa mtu akitibiwa na mganga akasema asingekuwa yeye nisingepona ni shirki, sasa hiyo ina tofauti gani na hizo pesa za majini badala ya kumuomba Allah. Jiepusheni na hawa wanaojiita mashehe kumbe sio! Huyo anawatapeli apige pesa ya dawa zake na kuwaingiza kwenye shirki ndugu zangu. Huo anaotangaza ni ushirikina ndugu zangu.
🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
huu ni utapeli.... mtumishi wa mungu ana lindwaje..? uuzwaji mafuta tena... kwanini asigawe bure ayo mafuta badala ya kuuza ili apate baraka kwa mungu ....kweli wakina mwamposa mpo wengi..
Ayo mafuta yakutoa bule anayaokota tu mabalabalini?
Ushawai kwenda kumpa ata sabuni yakuogea?
Kabla hujamshauli mtu afuate uyatakayo wewe ushawai fanya ivyo?
Kashawai kukuambia hatoagi sadaka ?
Kama mtumishi wa mungu atakiwi kuwa na walinzi kwanza mtumishi wa mungu hafuatwi na watu wenye fujo?
shehe si unamuamin allah unatembea na walinz wa nini 😂
Wamefikiwa
Nikweli huyu sule nimemuelewa
Dah,Dr.Sulle siku hizi ana ma bodyguards?
Huyu mganga ila anatumia akili sana😂
Una akili sana 🥀🎉🥀🌹🎉
Coroan came from the devil.
🤝👏👏👏
Mfanya biashala wa mafuta
Kuna tofaut gan kat ya sulle na mwamposa wote wauza mafuta wapigaji tu
Dr.sulle Mimi nikupe 🌹💐🥀 mapema maana huwa huyumbishi maneno
Allah Akbar allah akubariki Dr sule Mimi abubakr Mugeni Congo djimbo la Maniema kasongo nimekuombea Allah akupe umri mrefu usife MPa unifunze hata erufi modja inshaallah Allah anikubalie
tuachage roho mbaya kwani sule kuwa na walinzi kunaubayagani husuda tu
Walinzi wa nn ustadh?
Si anataka kuuza mafuta sasa nan atalinda pesa mnafiki huyo hana lolote, ety mtume anaelimu kubwa wkt alikua hajui kusoma wala kuandika
Majini yanyo mtii Mungu 😂😂😂nyie bwana wakaushi kweli kweli😂
Majini wanao mtii Mungu wapo. Na wasio mtii Mungu wapo. Kama Tulivyo wana adamu na majini ndiyo hivyohivyo. Kama hulijui hilo basi Uchache wa elimu.
Mashallah Alhamudulillah Dr. Al-hajj mwenyezi mungu akuweke
Sasa sheh si uwatoe hao walizi na utumie hayo mafuta kujilinda?
Ww huna akili mbn mtume alikua na majesh Sasa mbn asi muambie mungu tu awapige makafir kama uislm unakuletea shida na ww nenda kwa yesu Cristo tuachie dini yetu
@jumakatanje
Unaakili za kishamba
MZEE SULEY... UNAKATAZA SHIRK MOJA YA KUTUMIA MAJINI MABAYA...UNATANGAZA SHIRK YA KUTEGEMEA RIZK YA MAJINI WEMA...ZOTE SHIRK TU...
Mimi nimemsikiliza ila kwa hili hapana. Majini wema watabakia kuwa wema kwa upande wao na si kwa mafungamano na binadamu eti wakupe utajiri utajiri huo unatoka wapi ? Huyu Sure mmmm
Mungu ndio mwenye utajiri ila Sio majini shekha kumbuka Mungu Hana mshirika
Hakika jini ni kiumbe tu
Badili Ka uli shelhe zote shilki
Sheikh hapo kwenye kushirkiana na na majini nadhan uislam hauruhusu kushirkiana na majini... hapo sheikh kaongeze kisomo cha dini asee majini haturuhusiwi kushirikiana nao wawe wazur au wabaya hyo karma alipewa Nabil Suleiman pekee yake...
Allahumma swal'alaa Muhammadi,yah rabbi swalli alayhi wasalimu❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹
Astaghafirullah hawa masheikh hawafai waislamu
Kw nini Hawafqi
@@saidmadizi9152 sababu moja wapo ya sisi kutokuana majini ni kutojihusisha nao iweje mtu asema waeza omba upewe jini mzuri na akakuletea Mali..tena akastitiza kuna mafuta yapo yakuondoa majini wabaya ukaletewa wazuri
@@saidmadizi9152 haifai wale n viumbe wa Allah nawako wazuri lakni wazuri wanaofanya ibada lkni sio wale wakujihusisha n binadamu hao sio n wabaya
@@saidmadizi9152 leo yy asema eti sijui mke aeza kuja na jini akaleta Mali...risk atoae n Allah basi
Shehe mungu akubariki san unahubiri vizuri san unaongea vizuri sana huna upande wakuegemeya unaongea ukwerisan
Mash Allah na Alhamdulilah Mtume wetu ni Professor wa maProfessor ni mjuzi wa wajuzi kwa uwezo wa Allah alie muwezesha kupitia Quran yetu takatifu Quran haijaacha kitu. Tusemeni Alhamdulilah kwa Neema hii ya Uislam.
آمين يا رب العالمين
Alhamdulillah
Acha ujinga wewe. Mtume wako ni chizi. Si ndio alisema homa inatokana na joto la motoni 🤣😂😅 kasome Sahih Al Bukhari 3262
@@ikabako2454 Mwenyezi Mungu atakulipa kwa hii kauli yako. Uchizi ukupate wewe kabla hujakufa. Namuomba Mwenyezi Mungu aitikie hii Dua yangu huku nimefunga leo saumu !! Hii kauli ikuridie wewe uwe chuzi kabla ya kufa kwako Amiin Rabbil Alaamin.
@@ikabako2454 kauli hii ijurudie kwako labda In shaa Allah .
Ikumbuke siku ambayo utabeba mizigo yako na ya wale ambao uliwapoteza lkwa ujinga, na ni mzigo mbaya utakao beba
Mabadiliko ya MWEZI anayoeleza yalishatokea hata kabla ya mtume Muhammad,na Hadi leo mabadiliko hayo yanaendelea, mfalme Suleiman mwana WA mfalme Daudi mfalme WA TAIFA la Israel alisema HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA.
Aka kashekhe kana tafuta pesa msikalaumu😂😂😂
Intakillah
Untak atafte mkund wko uy sheikh lazim ataft hel kutafta hel n ibada
Sasa ao mabauzaa wanafanya nini hapo tena wanalinda kitu gani iko
Hakuna jini mzuri hiyo haipo jini ni jini tu,
Inno lillah wa inna ilayhi raj'uun..!!Waislam someni elim za kisheria ili kuepukana na matapeli kwenye vazi la Uislam..!! Allahu musta'aan
Sheikh anatoka katika njia ya sawa sababu ya pesa. Tunamuomba Allaah afya na salama. Elimu ya dini ndo ufunguo wa maisha
Acha ujaahil ww salafy mavi
Dunia na vyote viijavyo ni mali ya BWANA, Jini hatoi mali fanya kazi kwa bidii siku sita ya Saba fanya ibada ya mwenyezi Mungu wa kweli utabarikiwa
Sulei mbona unasema majini wanaweza kukupa utajiri, huoni kwamba hiyo ni shirki?.
Kama wewe ni mwislamu soma history ya nabii suleiman utajiri wake kaupata vip
Ni utajiri wa kutahiniwa!
@@MaalimYussuf-qy9ic
NABII Suleiman Aliomba Dua kwa Mungu Allah TABARAQA wataalah
Aliomba duwa ya nin
Mim nimekuwambia utajiri wake ameupata kupitia hao majini lakini hakuwa mshirikina kama unavyosema wew
Sasa hao wajamaa wamesimama nyuma yako ni wanini?
Naaam Dr Sule
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Majini tena yana urafiki na binadamu???Da hapo shekhe umedanganya umma
Majini ni mashetani tu hayapo mashetani mazuri na mashetani mabaya.Unafundisha ushirikana. Njoo kwa Yesu upone.