GLOBAL TV ONLINE - LIVE: Mtazame Eric Shigongo Akifundisha Mbinu za Kufanikiwa Kimaisha (PART 2)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • GLOBAL TV ONLINE - LIVE: Mtazame Eric Shigongo Akifundisha Mbinu za Kufanikiwa Kimaisha (PART 2)
    Ni mhamasishaji Eric Shigongo akifundisha mbinu za kufanikiwa kimaisha huku akielezea ni kwajinsi gani mtu anaweza kubadilisha matatizo anayoyapata kuwa fursa inayoweza kumpatia mafanikio makubwa katika maisha.
    Pia shigongo anazungumza ni kwajinsi gani matatizo yanaweza kumpata mtu na kumpa fikra mpya yakufanya mambo mengine mkubwa katika maisha bila kujali hali aliyonayo pia bila kujionea huruma.
    Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

КОМЕНТАРІ • 47

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 років тому

    Asante san baba yetu shigongo mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 років тому

    Asante san kiongozi wetu kwa muongozo wako mwema kwetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @conkerloseven5150
    @conkerloseven5150 3 роки тому

    Asante sana

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 років тому

    Asante san heliki shingongo kwa muongozo wako kwetu mwenyez MUNGU endelee kukuongoza vyema

  • @shariffh.kisuda4789
    @shariffh.kisuda4789 2 роки тому

    Your so good brother

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba1261 3 роки тому

    Thanks my mentor

  • @ivannamsuya154
    @ivannamsuya154 6 років тому +1

    uko vizur kaka napenda sana unavyofundisha!!!!

  • @lwivah
    @lwivah 7 років тому +1

    Uko vizuri kaka kwa hayo masomo yako,
    Hebu shuka mpaka mikoani mkuu!

  • @jerasndahiriwe7963
    @jerasndahiriwe7963 6 років тому

    Nimejifunza mengi Kupitia mafundisho haya, Asante sana mungu akizidishie

  • @dionisiabarnabas96
    @dionisiabarnabas96 5 років тому

    Mwl nimekuelewa vzr mno nachukua hatua mara ,Mungu akukumbuke

  • @caroaisha2536
    @caroaisha2536 7 років тому

    Asante sana kaka mungu Azidi kuku fungulia naukazidi kutu Elimisha Ilinasi Tufunguke maishani

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 3 роки тому

    Ameen

  • @thelimitlessclass7909
    @thelimitlessclass7909 5 років тому

    My coach
    Eric i accept you

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 7 років тому +2

    Safi sana Mkubwa jitaidi ukifika Mwanza umtembelee Dave

  • @nuhuelia4478
    @nuhuelia4478 7 років тому +2

    Thax more

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 7 років тому +1

    Kaka Eric nakukubali sana ktk masuala haya! niliwahi kuhudhuria ofisini kwako miaka ya nyuma, nikafuata ushauri ulionipa.!! hakika nilifanikiwa saaaana!! lakini baada ya hiyo kasi yangu kuonekana live!! Eric nilipigwa! jamani Kaka nimepigwa nikapigika!! nimepigwa haswa...mwisho nilihama jiji LA Dar, Niko Nairobi, najaribu kwa kuumia sana, nione nitatokaje tena kimaisha.

  • @salehussi3650
    @salehussi3650 6 років тому

    Thank you brother

  • @lamardizzo3745
    @lamardizzo3745 7 років тому

    Thank you for the lesson....May God Bless

  • @godfreykaaya2344
    @godfreykaaya2344 7 років тому

    endelea kutufundisha mazuri sana

  • @maggiemwambapa900
    @maggiemwambapa900 7 років тому +2

    Nakupenda sana kaka maana kila nikusikilizapo naona akili yangu inakua love you much brother Mungu akupe miaka mingi ili tujifunze mengi zaidi

    • @superwomanmwenyeheri.1367
      @superwomanmwenyeheri.1367 7 років тому +1

      Kaka Eric nakukubali sana ktk masuala haya! niliwahi kuhudhuria ofisini kwako miaka ya nyuma, nikafuata ushauri ulionipa.!! hakika nilifanikiwa saaaana!! lakini baada ya hiyo kasi yangu kuonekana live!! Eric nilipigwa! jamani Kaka nimepigwa nikapigika!! nimepigwa haswa...mwisho nilihama jiji LA Dar, Niko Nairobi, najaribu kwa kuumia sana, nione nitatokaje tena kimaisha.

    • @emanuelkizindo6286
      @emanuelkizindo6286 6 років тому

      excellent!

  • @judithjason8159
    @judithjason8159 2 роки тому

    When I grow up I will to be educator in street University ,good help me (a,c,c)

  • @loanpautanimwashilindi2573
    @loanpautanimwashilindi2573 6 років тому

    Asante sana kaka

  • @damsonlusano499
    @damsonlusano499 Рік тому

    kaka nimengi nimejifunza kupitia wew pia nimefanya mambo makubwa sana kupitia wewe

  • @aishaomary7384
    @aishaomary7384 5 років тому

    Kwakweli bora kupoteza muda kuangalia Eric kuliko page ya mange nafaidi mengi humu nakujipa moyo wakuongeza juhudi

  • @zephaniamunyaga6902
    @zephaniamunyaga6902 6 років тому

    Nakuelewa mkuu kweli inawezekana

  • @edisonmpangala8956
    @edisonmpangala8956 7 років тому

    kaka ongera Hakka umenipata,keep it on

  • @heriethb.chanafi5644
    @heriethb.chanafi5644 7 років тому

    Glory to God!

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 років тому

    Kweli baba

  • @bahatifabian2804
    @bahatifabian2804 6 років тому

    Kaka.asilimi.85.nimefanikiwa.kpia.hamasa.zako.hasa.katka.istor.yamaisha.yako.maisha.nikama.yang.lakini.nimekuwa.nafata.sana.maneno.ubalikiwe.sana.hakika.nimebadil.maisha.yafamily.yang..

  • @sarahsarah4919
    @sarahsarah4919 6 років тому

    Inawezekana. Asate. Kaka. Shigongo

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 років тому

    mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 років тому

    Kweli Adam alijificha swali la kujiuliza ni ntatokaje take responsibility

  • @magomamboyi35
    @magomamboyi35 7 років тому

    yes

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 років тому

    Ntanyanyukaje

  • @januarypeter4655
    @januarypeter4655 7 років тому +1

    mwalimu nko pamaja nawe ila naomba utoe mifano halisi ya mtu aliye filisika mtu anaye weza kutoa laki kwa siku kukodi gari huyo bado ana uwezo

    • @jumannekatalambula4302
      @jumannekatalambula4302 6 років тому +2

      January Peter Kufilisika kunatofautiana kaka MTU mwenye milioni 150 akiwa na Milioni 2 Huyo kafulisika ila hawezi kukosa kukodi gari ya laki ila hawezi kumiliki gari ya miliini 10 sasa ataigiza kwa kukodi ili aonekane kama bado yupo vizuri.Kufilisika kunatofautiana kutokana na mtaji(utajiri) uliokuwa nao na lazima mtofautiane.

    • @andrewfamilyandrew2470
      @andrewfamilyandrew2470 5 років тому

      unahisi alifilisika vipi? je, kama alikuwa anatumia Million 2 kwa siku harafu mwisho wa siku aanze kutumia laki 1. mfano Mo Dewji.

  • @loatalothi8784
    @loatalothi8784 7 років тому

    HAPA LAZIMA TUTOKE TUU KAKA

  • @genduseadam5815
    @genduseadam5815 6 років тому

    poa

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 6 років тому

    Hadithi za shigongo bwana, km za Abunuasi, nonsense tupu

    • @kibilawazebanga7455
      @kibilawazebanga7455 6 років тому

      Hamna ulihujumu fedha za ccm kwa kuchapisha tshirt na kofia kwa gharama ya kununulia gari

    • @habeshaqameyu8555
      @habeshaqameyu8555 3 роки тому

      @@andrewfamilyandrew2470 si kosa lako ni uwezo wako

    • @georgemuflish7298
      @georgemuflish7298 3 роки тому

      Shigogo nimekufatilia Toka 2019mpaka Sasa na kampuni mbili bigerup bro

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 4 роки тому

    Asante sana