MAARIFA YANAVYOWEZA KUKUSAIDIA KUZISHINDA NGUVU ZA GIZA -PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Hosea 4:6
    [6]Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
    Maarifa ni taarifa sahihi juu ya jambo fulani.Taarifa sahihi ni ufunguo ambao utakusaidia kufungua malango ambayo unapaswa kuingia.
    Watu wanaozungumziwa hapa sio watu wasiomjua Mungu,Mungu anawaita "watu wangu" maana yake ni watu wanaomjua Mungu.Na anavyosema kuwa "umeyakataa maarifa..." ni kwamba aliwapelekea hao watu maarifa lakini wakayakataa na athari yake ndio hiyo wanaangamizwa.Na Mungu anasema kwa sababu hiyo Yeye(Mungu) atawakataa wasiwe makuhani wake.
    Maarifa sahihi ni muhimu kwa sababu yatakufanya ufanye kazi yake kwa urahisi na ufanisi.
    Katika somo hili utajifunza maana halisi ya maarifa,ni maarifa gani unayopaswa kuwa nayo,kwanini Mungu anataka uwe na maarifa sahihi, na athari za kukosa maarifa.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our UA-cam: www.youtube.co....
    Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
    and Subscribe Pastor Sunbella Kyando UA-cam
    / @pastorsunbellakyando

КОМЕНТАРІ • 73

  • @patrickmwakai5545
    @patrickmwakai5545 5 місяців тому +1

    God bless you the man of God i like your teachings ,i am in kenya the way we teach it's really kabisa ,natamani nipoker upako Kama wako ,just pray for me

  • @elizabethmwamdanga7377
    @elizabethmwamdanga7377 4 місяці тому +1

    AMEEN

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 роки тому +5

    Asante poster ubarikiwe mungu azidi kukutumia nikiwa muislam umenifundisha jinsi ntaongeza maarifa ktk swala zangu Asante sanaaaa 🤲🤲🤲

  • @ruthie8466
    @ruthie8466 2 роки тому +6

    Just discovering this great man of God,he is awesome,baraka,more grace.

  • @Devotamlelwa9239
    @Devotamlelwa9239 4 місяці тому

    Nashukuru Kwa mafundisho Yako myumish

  • @mariamzambi1995
    @mariamzambi1995 2 роки тому +1

    Yesu nipe maarifa ya jinsi ya kujiombea nipate uponyaji. Najiungamanisha na madhabahu hii nipate kibali cha uponyaji wa mwili na wa roho AMEN.

  • @veronikaaugustino2258
    @veronikaaugustino2258 3 роки тому +2

    Asante MUNGU kwa Kila maarifa ktk Kila NENO lako Nisiangamie mm na family yangu AMINA

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un 9 місяців тому

    Amina

  • @mustafagehonde1154
    @mustafagehonde1154 3 роки тому +2

    Somo zuri Sana nimelipenda limenifundisha Mambo mengi ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @andrewsenyagwa
    @andrewsenyagwa 7 місяців тому +1

    Sure relationship with holy spirit is the key

  • @user-ok3gy6nc7w
    @user-ok3gy6nc7w 3 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @elvaidaernest6210
    @elvaidaernest6210 3 роки тому +2

    Aminaaaa ubalikiwe sanaa mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sanaa

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai9439 2 роки тому +2

    Mungu akueke na azidi kupanua your ministry. B blessed 🙌 😇 🙏 thanks so much

  • @ntulisuzan897
    @ntulisuzan897 Рік тому +1

    Ubarikiwe mtumishi mifano inatufanya tukuelewe sana 🙏

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 2 роки тому

    Namuomba MUNGU aniwezeshe siku moja kukutana na wewe Mtumishi Sunbella hakika naamini nami nina Jambo nahitaji kupokea kutoka kwako Mtumishi wa Bwana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.

  • @magrethsomi4318
    @magrethsomi4318 3 роки тому +2

    Ameen mtumishi. Somo zuri sana.

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Рік тому

    Ameen asante kwa hili somo sina cha kuongea zaod ya kusema asantee Yesu

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 3 роки тому +2

    Thanks so much dady🙏🙏🙏

  • @liliankeyabaraka8195
    @liliankeyabaraka8195 Рік тому

    Asante sana pastor nabarikiwa sana na MUNGU akubariki sana 🙏💕

  • @nasrakitwana4744
    @nasrakitwana4744 2 роки тому

    Ubalikiwe mtumishi kwa masomo yako hakika yananijenga sana

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 роки тому

    Asante sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananijenga sana kiroho

  • @aisiamkonyi4977
    @aisiamkonyi4977 Рік тому

    Ameen, umenibariki sana pastor sunbella.ubarikiwe

  • @wilbard3692
    @wilbard3692 3 роки тому +1

    Somo zur sana barikiwa Min Sun

  • @cocubanza1049
    @cocubanza1049 3 роки тому

    Mtumishi ,Bwana yesu asifiweee...
    Mm nahitaji maombi kwa habari ya ndoto niliyoota nikwamba niliota nimeng'atwaa mkononii na mwanangu halafu baada ya siku moja sehemu ya mkono niliyong'atwa ikaanza kuuma..

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 роки тому +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @stellanamunaba813
    @stellanamunaba813 2 роки тому

    Amen.Thankyou LORD for using your servant to help me understand well your word.

  • @florenceflorence1170
    @florenceflorence1170 3 роки тому +1

    Amen pastor

  • @elishajailosy8346
    @elishajailosy8346 3 роки тому +1

    Maarifa ni MUHIMU sanaa

  • @erastomendamenda172
    @erastomendamenda172 Рік тому

    Mungu akubariki we baba mch

  • @leytcastle9402
    @leytcastle9402 3 роки тому +1

    Namwomba Shetani mmoja😃😃 ... Barikiwa Mchungaji

  • @lucilamushi2894
    @lucilamushi2894 3 роки тому

    Nimebarikiwa Sana na Neno zuri la maarifa.Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 3 роки тому +1

    Amen barikiwa mutumishi kwa somo zuri

  • @philipmaina9046
    @philipmaina9046 Рік тому

    Amen amen man of God am blsd from Kenya,am a pastor I wish i ca meet you one day for impartation

  • @florencemueni7598
    @florencemueni7598 3 роки тому +1

    Amen Asante pastor

  • @user-gm7pe1rd8z
    @user-gm7pe1rd8z Рік тому

    Amina sana❤

  • @hendrykingmecky3922
    @hendrykingmecky3922 3 роки тому +2

    Amen somo lilikuwa ni moto nimelielewa

  • @tatukadope7213
    @tatukadope7213 2 роки тому

    Amen mtumish

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 Рік тому

    Nimekuerewa pasta

  • @shedrack4694
    @shedrack4694 Рік тому

    absolute

  • @graceneema5569
    @graceneema5569 3 роки тому

    Amen papa pastor

  • @rahabusanga1559
    @rahabusanga1559 2 роки тому

    amen,God is good

  • @edwarddaud6785
    @edwarddaud6785 2 роки тому

    Thanks

  • @4gtradingimpex201
    @4gtradingimpex201 Рік тому

    wakati nafuatilia somo ulipofikia swala la kuhani kabra hujamnyanyua mimi nimeletewa picha haraka huyo mtumishi amekuja kutoa ibada kwangu na anaondoka na binti zangu kutoka nyumbani kwangu kwenda nao sehemu kwa ajili ya masomo zaidi.Naamini haya ni maarifa yanaweza kutoa kutoka sehemu fulani.

  • @ezekielluhas3351
    @ezekielluhas3351 3 роки тому

    🙌Mungu azidi kukuinua Pastor

  • @agnesalex4761
    @agnesalex4761 2 роки тому

    Ubarikiwe mchungaji

  • @anaaanick4187
    @anaaanick4187 3 роки тому

    Amen Ameen

  • @JamesMwiti-k4x
    @JamesMwiti-k4x 18 днів тому

    God bless you,but naamini waeza omba tukafunguliwa ata kama uko mbali am in kenya

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 роки тому

    AMEEEN AMEEEN

  • @jameskoome1607
    @jameskoome1607 Рік тому

    Nasukuruu kutoka Kenya

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 роки тому

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @estherlukawe5435
    @estherlukawe5435 Рік тому

    Efaha church

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 роки тому

    Marifa ni muhimu

  • @bettymwigune8150
    @bettymwigune8150 Рік тому

    Hekima ya ajabu

  • @yaotv360
    @yaotv360 2 роки тому

    Mweee umenifungua mch

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 роки тому

    Asante 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Mtumushi kwa somo

  • @salamamapendo6461
    @salamamapendo6461 3 роки тому

    Jambo jina langu ni Salama Mapendo nawapata nikiwa marekani naitaji namba ya mtumushi uyu Mungu kwa musaada ya maombezi

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 роки тому

      Wasiliana na nasi kwa namba hii hapa +255 657 173 322

    • @marymlewa8682
      @marymlewa8682 3 роки тому

      @@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe

    • @injili658
      @injili658 2 роки тому

      @@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe sana. Anauliza kama mnaweza kumpa kijana counseling na mwongozo wa kichungaji. Anachukua theology hapo Rhema bible college na hana kipato kwa hiyo anataka kukata tamaa kabisa. Naweza kumsaidia?

  • @estherkillango5867
    @estherkillango5867 Рік тому

    sio mitatu tuuu hata ishirini

  • @cocubanza1049
    @cocubanza1049 3 роки тому

    Halafu baada ya siku moja mkono huo huo wa kuliaa kidole cha pili baada ya kidole gumba kikanzaa kuvimbaa sehemu ya ukucha, huku maamivu ni makali saana...mdudu namsikia anatemvbea mbele mara nyuma, na ukucha unazidi kuuma...

  • @blessingyusuphu504
    @blessingyusuphu504 Рік тому

    Amina

  • @timotheomahala373
    @timotheomahala373 2 роки тому +2

    Amen

  • @priscaibrahim5660
    @priscaibrahim5660 2 роки тому

    Amen

  • @rehemakatana1137
    @rehemakatana1137 2 роки тому

    Amen

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 2 роки тому

    Amina

  • @Willyb254
    @Willyb254 3 роки тому

    Amen

  • @renaldleonard5956
    @renaldleonard5956 3 роки тому

    Amen

  • @gilbertwanje
    @gilbertwanje 3 роки тому

    Amen

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km 3 роки тому

    Amen