God bless you the man of God i like your teachings ,i am in kenya the way we teach it's really kabisa ,natamani nipoker upako Kama wako ,just pray for me
Namuomba MUNGU aniwezeshe siku moja kukutana na wewe Mtumishi Sunbella hakika naamini nami nina Jambo nahitaji kupokea kutoka kwako Mtumishi wa Bwana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.
wakati nafuatilia somo ulipofikia swala la kuhani kabra hujamnyanyua mimi nimeletewa picha haraka huyo mtumishi amekuja kutoa ibada kwangu na anaondoka na binti zangu kutoka nyumbani kwangu kwenda nao sehemu kwa ajili ya masomo zaidi.Naamini haya ni maarifa yanaweza kutoa kutoka sehemu fulani.
Mtumishi ,Bwana yesu asifiweee... Mm nahitaji maombi kwa habari ya ndoto niliyoota nikwamba niliota nimeng'atwaa mkononii na mwanangu halafu baada ya siku moja sehemu ya mkono niliyong'atwa ikaanza kuuma..
@@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe sana. Anauliza kama mnaweza kumpa kijana counseling na mwongozo wa kichungaji. Anachukua theology hapo Rhema bible college na hana kipato kwa hiyo anataka kukata tamaa kabisa. Naweza kumsaidia?
Halafu baada ya siku moja mkono huo huo wa kuliaa kidole cha pili baada ya kidole gumba kikanzaa kuvimbaa sehemu ya ukucha, huku maamivu ni makali saana...mdudu namsikia anatemvbea mbele mara nyuma, na ukucha unazidi kuuma...
God bless you the man of God i like your teachings ,i am in kenya the way we teach it's really kabisa ,natamani nipoker upako Kama wako ,just pray for me
Muchungaji mimi ni rev mbula Timothee from DRC nimebarikiwa sana
Pastor Sunbella you are a great teacher, may God bless you.
Asante poster ubarikiwe mungu azidi kukutumia nikiwa muislam umenifundisha jinsi ntaongeza maarifa ktk swala zangu Asante sanaaaa 🤲🤲🤲
Yesu nipe maarifa ya jinsi ya kujiombea nipate uponyaji. Najiungamanisha na madhabahu hii nipate kibali cha uponyaji wa mwili na wa roho AMEN.
AMEEN
Just discovering this great man of God,he is awesome,baraka,more grace.
Ubarikiwe mtumishi mifano inatufanya tukuelewe sana 🙏
Nimekuerewa pasta
❤❤❤❤
Asante MUNGU kwa Kila maarifa ktk Kila NENO lako Nisiangamie mm na family yangu AMINA
Sure relationship with holy spirit is the key
Somo zuri Sana nimelipenda limenifundisha Mambo mengi ubarikiwe mtumishi wa Mungu
absolute
Asante sana pastor nabarikiwa sana na MUNGU akubariki sana 🙏💕
Ubalikiwe mtumishi kwa masomo yako hakika yananijenga sana
Namuomba MUNGU aniwezeshe siku moja kukutana na wewe Mtumishi Sunbella hakika naamini nami nina Jambo nahitaji kupokea kutoka kwako Mtumishi wa Bwana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.
Aminaaaa ubalikiwe sanaa mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sanaa
wakati nafuatilia somo ulipofikia swala la kuhani kabra hujamnyanyua mimi nimeletewa picha haraka huyo mtumishi amekuja kutoa ibada kwangu na anaondoka na binti zangu kutoka nyumbani kwangu kwenda nao sehemu kwa ajili ya masomo zaidi.Naamini haya ni maarifa yanaweza kutoa kutoka sehemu fulani.
Mungu akueke na azidi kupanua your ministry. B blessed 🙌 😇 🙏 thanks so much
Ameen, umenibariki sana pastor sunbella.ubarikiwe
Amen amen man of God am blsd from Kenya,am a pastor I wish i ca meet you one day for impartation
Ameen asante kwa hili somo sina cha kuongea zaod ya kusema asantee Yesu
Efaha church
Nashukuru Kwa mafundisho Yako myumish
Mungu akubariki we baba mch
Asante sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananijenga sana kiroho
Amina sana❤
Nasukuruu kutoka Kenya
Amen mtumish
Amen mtumishi barikiwa sana
Namwomba Shetani mmoja😃😃 ... Barikiwa Mchungaji
Maarifa ni MUHIMU sanaa
Ameen mtumishi. Somo zuri sana.
Mtumishi ,Bwana yesu asifiweee...
Mm nahitaji maombi kwa habari ya ndoto niliyoota nikwamba niliota nimeng'atwaa mkononii na mwanangu halafu baada ya siku moja sehemu ya mkono niliyong'atwa ikaanza kuuma..
Amen somo lilikuwa ni moto nimelielewa
Amen barikiwa mutumishi kwa somo zuri
Somo zur sana barikiwa Min Sun
Thanks so much dady🙏🙏🙏
God bless you,but naamini waeza omba tukafunguliwa ata kama uko mbali am in kenya
Thanks
Hekima ya ajabu
Nimebarikiwa Sana na Neno zuri la maarifa.Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.
Marifa ni muhimu
Amen pastor
Amen.Thankyou LORD for using your servant to help me understand well your word.
Ubarikiwe mchungaji
Mweee umenifungua mch
🙌Mungu azidi kukuinua Pastor
Amen papa pastor
Amen Asante pastor
Amen
AMEEEN AMEEEN
Amen Ameen
Asante 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Mtumushi kwa somo
amen,God is good
👏👏👏👏👏👏👏
Jambo jina langu ni Salama Mapendo nawapata nikiwa marekani naitaji namba ya mtumushi uyu Mungu kwa musaada ya maombezi
Wasiliana na nasi kwa namba hii hapa +255 657 173 322
@@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe
@@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe sana. Anauliza kama mnaweza kumpa kijana counseling na mwongozo wa kichungaji. Anachukua theology hapo Rhema bible college na hana kipato kwa hiyo anataka kukata tamaa kabisa. Naweza kumsaidia?
sio mitatu tuuu hata ishirini
Halafu baada ya siku moja mkono huo huo wa kuliaa kidole cha pili baada ya kidole gumba kikanzaa kuvimbaa sehemu ya ukucha, huku maamivu ni makali saana...mdudu namsikia anatemvbea mbele mara nyuma, na ukucha unazidi kuuma...
Glory
Mtumishi mwezi wasita huu umefikia mwanza itakua wapi maana tunakusubiri
Amen
Amen
Glory b to God man of God
Amen
Amen
Amina
Amen
Amen
Amina
Amina