Zembwela Afunguka Ukweli Wote Mpaka Kuacha Kazi East Africa | SALAMA NA ZEMBWELA PART 1
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MSAFIRI HUFIKIRI
Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
Tafadhali enjoy,
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Afya ya Akili, afya ya kinywa na Afya ya Mwili...So Powerful. ✊🏾💯
finally someone who treats Swahili with proper respect and depth
Una maanisha nini??
Now I get the reason or reasons as to why Diamond keep mentioning Zembwela babu, this man is very wise and he is on point in almost everything question sent.respect big bro 🤝🙏💯
L
0l
Ppl
P
I use to enjoy his show at East Africa radio sometimes back from Kenya cheers
From 🇰🇪Huyu bro nilianza kumcheki zamani na maxi kwa comedy flani alikuwa mpangaji mkorofi 😅🤣
Zembwella na Gabo wakikaa meza moja wanaweza fanya kitu fulani kikapendwa na watanzania wote
Penda sana Zembwela❤❤❤👊👊👊
Juice ya awamu ya kwanza kwa zembwela 🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣
Namuelewa Zembwela nakupenda salama,so nimeinjoi sn
UMENIUA KWA JPM TU 🔥🔥🙌
Na bonge la fumbo ambalo m2 wakawaida hawezi kulijua kwa haraka R.I.P magufur
@@majidypapeny1527 Kabisa kaka
Majambazi na wezi wa mali zetu ndo tunawashangilia..
Hii interview ya leo bomba sana ila zembwela katisha sana bila kumsahau salama kwa maswali yake mazuri
Good interview ujawai kukosea kwahilo interview killer u sister nice
Bonge moja ya interview
Lessons zinapatikana kwa kufanya interview za maana kama hizi
Kari sanaaa hii interview
Mahojiano bora zaidi 2022
huyu mwamba zembwela ni fundi sana wa maneno mpka salama anabaki kucheka tu.
😂😂😂ninavompenda salama nataman ata apate copy yake💞 mtoto ,akiondoka awepo atakae chukua muonekan na tabia zake NAKUPENDAA😣😩🥰
Ana mtoto mkubwa
@@tuladavid4223 uongo
@@edwinmbugua7738 kweli anae wa kiume
@@farhatkhamis4401 mapya hayo. Kazaa lini na nani?
Nice one l love it
hongereni sana kwa hichi kipindi kinatuelimisha sana 🙏
JPM! SAFI SANA ZEMBWELA
Hapo kwa maguful nimemuelewa...hongera zmbwela...
ua-cam.com/video/3GyDw7shVsA/v-deo.html
Interview Kali Sana.. One Of The Best
Poor Me😥, namfahamu Zembwela lakini sikuwahi kutenga muda wa kumfuatilia zaidi, na kumbe nimekuwa nikikosa maneno ya busara kutoka kwa mtu mwenyewe busara na akili pana sana. Keep it up Da Salama kwa kutuletea mtu wa aina ya Zembwela...😍❤️
Iyo background music ni ngoma ya nan anaejua please
Zebwera wewe ni mkweli sana nakumbuka uliwahi kuomba mkombozi wa Tanzania ulipiga magoti ktk redio
Best episode kwa mwaka huo zembwela ana madini mengi sana
Zembwela tunaomba kwa heshima umrudishe kwenye game Mr 20%, ni mwandishi na mwimbaji mwenye mziki wa kuelimisha
Umeongea point sana
Bila kupindisha Maneno IPP Media imetoa mchango mkubwa sana kwenye tasnia ya Habari ahapa TZ... pamoja na kutoa vichwa mahiri kabisa
San sana Sanaa lazima tuwe na fadhira tuseme ukweli IPP🔥
Hyo haina mbishi mbona
💯💯💯🙌🙌
Hahahahahaha nimeipenda
Zembwela Babu Mswahili 🔥
i just comparing mkasi na hii show guest zembwela aisee zembwela ananifanya nisome nje ya syllabus ....salama nakuona kama ellen wa ellen show america
Bonge la interview🔥🔥
Kongole sana kwa kipindi kizuri.. Heshima kubwa kwa babu Zembwela
Duh Zembwela ni mtu na nusu aseee
Interview nzur sana .
Chuma cha puaaaaa❤
Mungu wetu sote mkubwa .
Joseph John Pombe Magufuri daaaah!!. R.I.P daddy 👨....
Pole sana
Only a piece of interview ❤️
Hilo fumbo la jpm ni zito sana
Kuna legendary mmoja umemsahau hapo Mwamba wa kaskazini
"Gari bovu huvutwa gari zima" ha ha ha
Kwenye juice noma saaaana bro
Hapo kwa Twent aisee tupo wote
Manguli wa hizi show
👏👏
Yani wejamaa ni mshenzi sana... daaaah....😂😂
Hiyo juice ulivyo ipiga tarupeta!!!
Jouniowe babu
Next mleteee dudubaya konki master putin
Nimekupanda bure zembwela
Barrier
Akili kubwaaaa
Juice 🥤 kanywa au imepotea kwenye glasi
Kuna interview nyingine waliifanya kwenye mkasi.Niko nayo naiskiza kwa miaka
Sisi tunatska Salama na Zuchu why unatubania?
💯❤❤❤
Nimeinjoi kusikia uyo jamaa kwakweli
Fumbo alilolitumia lina tafsiri nyng mno...
Hivi zembwela na tin white Wana undungu
Tin White na Rich Mavoko ndiyo wana undugu
Zembwela ni mkweli 🤣🤣🤣
Humkumbuki Maxi, kweli?
Kabali yao zembwela
Huyu jamaa Nilikuwa namsubiri kwa hamu
ua-cam.com/video/3GyDw7shVsA/v-deo.html
hichi kweli chuma
Babu 😀😀😀😀😀
Kama naiona Mkasi 2012....."vijana wengi hatujielewi"
Ila muze😂😂😂
CMG
Jamaa akili kubwa sana uyu😅✊
Salama leo umenoga
@salama naona jamaa anamadini makali sana vipi kitabu kinaweza tengeneza hapa???
😀😀😀
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍.
Nakupenda salama🥰🥰🥰
Haha kivipi ..
Et ki tv au kama nilivyozoea😂😂😂
Salama naomba mwana id niowe
Gari bovu huvutwa na zima😂kuna gari zima linanivuta
Mwanaidi nimeambiwa nilete juice nyengine 😅
ua-cam.com/video/3GyDw7shVsA/v-deo.html
Uyu jmaa 😆😆
Gari bovu huvutwa na zima
SALAMA wwe ssa kabla hujadanja je
Duh Nimechoka ghafla 😂
zembuuuuuu babuuu
Leo mekutana na watu ninaowafatili san
Mutu mkweli mwingine
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Fanya mpango uzae Acha ukijuju " mwambie B.leve akutafasirie or mwijaku ata Mr.Pimbi He knows what I mean
Tuliza tuzi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏
ua-cam.com/video/3GyDw7shVsA/v-deo.html
Salama tunaomba utuletee Madebe Lidai 😂
Zembwela kumbe muslm mashallah
Ndugu yangu mbona umechelewa uko karne ya ngapi bado unafikiria mambo ya dini katika interview hii. Dini hapa ina umuhimu gani au ina nafasi gani pole sana badilika.
@@gordiansoko9113 ooo dini haina thamani kwako
ua-cam.com/video/QN5ACFcSBIE/v-deo.html
DAWA YA MAJIPU, HUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM*#
ZEMBWELA NA SALAMA MNAITENDEA HAKI LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI KUNA LADHA YAKIPEKEE SANA
ua-cam.com/video/QN5ACFcSBIE/v-deo.html
DAWA YA MAJIPU, HUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM*#
jamani mwambieni salama amlete MCHUNGAJI HANANJA
Ni moja ya interview niliyokuwa naisubiri kwa hamu kubwa Sana.... ☺️
Mimi pia ✌❤
Mali iliyotafutwa na mtu, na wale wasioitafuta kuja kuihitaji hata kama hawahusiki nayo... KInywa, afya ya akili na mwili. Dah.... karibu kila neno la Zembwera ni msumali wa mabadiliko kwa hata kwa wanaozipata simulizi kwa walisikiliza wenyewe. Asante Salama na....Natamani kipindi kisiishe maana hawa hakika marafiki kufa kupona, maaana si kwa cheko na furaha hizo
SALAMA KATKA MAHOJIANO YA WATU TOFAUTI NANI ALIKUWA MAJIBU YAKE YALIKUWA YA KUCHEKESH SAN NA ULICHEK KIASI KUJIKAZA?
Hii ni siku akimuhoji joti