Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
KIREDIO ALIVYOWAIBUKIA STUDIO COUPLE YA MEET US, TAZAMA TIMBWILI LILILOTOKEA
Вставка
- Опубліковано 18 січ 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Huyu demu atakuja kupigwa na kitu kizito sana emu km umepigwa na kitu kizito gonga like hp
Ata Kuja kwetu sisi mafisi
Tena mimi nilipigwa chakutosha😂
Jaman jamanii wanaumee
Achana nae uyu haelewi
Kitamurambaaa😂
Single mother wote gonga like apa jmn man mmh tuna tetewa mno jmn
Wanalazimidha interview kujisafisha. Kiredio fanya kazi yako
Kiredio wewe ni wetu na tupo pamoja...fanya kazi yakoo❤❤
Tuko nae mpaka wamvunje kiuno 😅😅😅...
@@msagatijulius😅😅
Kabisa 👍👍👍👍
@@msagatijulius😂😂😂😂halaaa
ILO dada ni jinga Sanaa aiseee,, shenziiii sana
Hata ndoa badoooo mambo yameshakuwa moto!! Tutafika kweli?...🤠
Ni kweli uyo mkaka ni Muong kiredio yupo perfect
Una uhakika😂😂😂 yan wabongo bn
Mimi nimpe mme wangu 💯 siwezi ng,o ukisali ktk roho na kweli Mungu anatuonyesha live kwahiyo maumivu tunayajua lakini tunamshukuru Mungu kwakutuonyesha so kama usali utakutwa na kitu kizito alafu unapanik heri tunaojionea tunajua jinsi yakubeba maumivu ndoa iendelee ndugu amua kumwamini mwanaume utajinyonga ndugu acha hawa wanaume waendelee. Mungu anatutetea sana wanawake tukitulia ndie anabeba maumivu yetu
The guy anaonekana kabixa Yuko na fear kweny muonekano wake hayuko stable nimuongoo masikin we dada 😭😭💔 utakuja kumia vibaya
Dada anajikuta kakolea, bt nimemsoma huyo dada sio mjinga😢😅😅
His body and facial language speaks alot
Huyu demu ndo amependa, na hana pa kwenda akiachika. 😀😀😀 mwanamke anateseka sana huyu
Kiredio tuko pamoja naww 😅✌️
Tunasubiri tupo pamoja 😂😂😂
Huyu jamaa aise anamna kuna jambo linaendelea kwakweli ktk mahusiano yake.
Namba uliyoisevu unaweza kuiblock then utaikuta very simple. Ila huyu Dada inaonekana ni mgeni kwenye mahusiano.
Kiredio n wetuu......pambana brooo tunakukubalii sana
Wanaume hoyeeeeeee🙌🙌🙌🙌🙌 nawasalie mie huwa najua kitu kimoja chamsingi heshima na kutoa rahana
Huyu dada mpuuzi sana, Unatia huruma mwanaume unaweza lala nae ukamka nae na bd akakusaliti fatilia
Tatizo hamna mwanaume ambye acheat lkn akikuhexhm nakukutunza xhukuru mungu
Jidanganyee 😅😅😅😅 Wanaume sisi tunafanana 😂😂😂
Kabisa yan
Hawa viumbe hawaaminiki kbsaaa wapuuzi woteee🙌🙌🙌🙌
Iyo mambo ukiyawaza huez olewa dear mengine Bora uko na aman
Huyu dada anajikaza tu lkn usikute hana amani ya moyo 😂😂 na pia blacklist unaweza kuifuta usikute jamaa alifuta tu kule
😂😂😂😂😂kiredio ndugu yangu we noma yan ona sura yake haina nuru ni kweri kabisa huyo dada hana ile nuru kabisa yan ila huyu dada atakuja kulia kweri
Kiredio na Mr UK fanyeni kazi bana tunawapenda
Hahaha 😂😂😂"lazima hili penzi liharibike huyu anamdanganya huyu dada" kiredio😂😂😂
Huyu dada apewe ulinzi😂😂😂
Dida uyo mwanaume kabla ajawa na usiano na huyo dada akuwahi kuwa na husiano nyuma ?asijifanye mwaminifu huyo tunawajuwa sana wanaume ndani nje
Daaaah jamaaaaa katupigaaa 😅😅😅😅😅 kiredio watete tyuh wanawake
Wanaume waooo😊
Siku ile aligoma leo kishaweka mazingira sawa anakubari kirahisi...rahim kicheche na anaonekana tu Katika mazingira ya kawaida dada ana kazi ya ziada na anajua hilo
Jaman dida nampenda uyu dada hatak unafki
Huyu dada awajui wanaume vizuri jamani mh namuonea sana huruma mwanaume wake mwenyewe macho juu juu.
😂😂😂😂bora angelala nyumbniiiii.........maaan hawajui kbsa
Kuweni makini na wanaume weupe😂
@@user-sd8cq3ds7ntumefanyaje mkuu
Mambo niyapendayo 😅😅😅😅😅nyiee simuamin mtt w mama mkwe😂😂😂😂😂
Kiredio utafute baunsa maana natamani niendelee kukuona ukiwa powa siku zote 😂😂😂😂maana wasije kukupiga siku moja nitaumia sana 😅
Mmejisumbua kuangalia block Kwan kabla hajaja hapo haja futa namba Wala ku unblock?
😂😂😂dida hakwepeshi uwiiii😊😊 ila huyo dada atakuja kupigwa na kitu kizito 😂😂😂
Pia block list unaweza kumtoa mtu asie jua kutoa anipigie nimpe maelekezo kiredio yupo sawa
Utamtoa mtu number itarudi but kwenye iOS hata uki unblock number bado inabaki kwenye block list
Futa halafu nenda kwenye block list utaikuta ipo imetulia😂
Nawapenda km couple goal mmeamua kuweka online bas mm nan nipinge god bless you 🎉❤
Amna mapenzi hapo,
Humu nimempenda mama Dida nimesema mamaa bicoz miminimtoto kwake japo hajanizaa but hua akusemaa kitu jua nikweel💯👁️
Pole sana mbwa wewe😃😃we wanaume hautujui vizuri
😅😅😅😅
Sasa kama.hamjui Irene sku ile ya challenge kwa nn akimbie kuonyesha ile blocklist yake kama sio kweli
Kiredio Songa mbele achana nanhao watu Upendo unanguvu sanaaaa hawawezi kukuelewa leo
Ugombanishi tu😊
Rahimu kujisifia sifia ndo zake😂😂pole sana candy
Hahah hii ya moto mbona kama mwenetu wamemweka kitimoto 😅
Huyu jamaa amepanick thats means ni kweli alichofanya
kupanic sio kipimo cha kusema hlo jambo n kweli, hali hyo hutokea katika jambo lolote usilolitarajia
hata wew mtu akija Kwa niaba ya kukuaribia furaha yako utaniacha salama mbona mnaona mtu alifanyiwa unyama mnachukulia poa ila mkifanyiwa nyie ndio mpanik km mm uyo kiredio cmpendi kwakuwa anajifanya kuwachalenge watu je yeye katulia achit mnamuamini km ni mungu bwn
@@samaloyce6982ni Bora ulivyomjibu alafu wanamuamini Sana uyo kiredio mm cmuelew hata kidogo kwan yeye achit mpaka awafanyie wenzie ivyo mwenye akili ataelewa lkn wenzangu na mie wenye mihemko na mapenzi wanamuelewa vby ila mm cmuelew hata
huyu kaka bn kwann utengenezewe stor wew
Mwenye maneno mengi siku zote ni muongo🙌
Niko pamoja na hawa wachumba kwann kuwafuatilia kiasi hiki Kwan shida nn alafu kiredio ni mwanaume kwann anamuandama mwanaume mwenzetu kiasi hiki hapa nahisi kuna kitu tofauti na haya tunayoambiwa
Wanaytak c wametka waixhi kisanii
Ila kiujumla watu wanapenda mahusiano ya watu yavunjike.Watu hawapendi watu wakipendana.Kama huyo dada amemridhia huyo kaka pamoja na infidelity zake ni sawa tu.
Hawa ndo wale wanajifanya kwenye social media Wana enjoy lakini ukija kwenye real life inaonekana kabisa huyu dada anajifanya ana amani lakini hana amani
Kabisa anaonyesha nje ndani anajitetea tu hapo
Kiredio nitakutengenezea sanamu no one can do what u can do na kama akitokeaa kuna vitu vidogo vidgo ata kosaaaa upewe maua yakoooooooo
Hivi wapi wanatuma voice huyo candy ataumbuka vibayaa
Mdada ataumia vibaya mno 😢😢
Yaani alivyosema mtoto tutalea hiyo anaumia sana
Tena snaa anumia wanaume hawaaminiki kabisa yan kipenzi
Bomu litalipuka soon
Wanajuana hawa
😂😂😂😂kama kuna mtoto anakuja tutampokea😂😂😂kuna kitu nishashtuka
Pole Dada wadada tunatakiwa kupenda mwisho asilimia 50,80 zote hizo za nn utalia mumy na aibu juuuuuu
We nd mm
Huyu dada Ana wazazi🙄🙌, wanajiskiajeee..!
Huyu kaka amelipa mahari, amemuoaa? 💔 Woiiii
Duuh this man 😂😂😂😂 Anjiknyngaa
Simsimamii yeyote but huyo Rahim mshamba , blacklist namb inafutwa vzuri tu . Na huy dada mwanaume so wa kumwamin kias icho apo anakuona kajinga flani tu 🤣🤣
subir kimlambe hakijamramba bado
@@ashaahmad720 Yetu macho🤣🤣
Mimi na block kila siku na ukianblock unaifuta vizuri
@@paskaziasholla7471 Yaa ndo ivo
Mwana umme anamuaa mwana umme mweziee duuh
Ila kiredio uvuja mahusiano yawatu sanaa
Yaani kiredio kakasirika kabisa
Atalia vibaya huyu dada
Kiredio hana point 😢😢😢
Duuh kiredio umepata aibu 😂😢kweli
Mmmm 🎉🎉🎉🎉❤❤
We fala Sana
NJAU unafurahisha sanaaaa, et hili penzi lazima livunjike😂😂😂😂
Wanaume weupe suukari ya warembo uyo broh uyoo ahh mchumba t uy dad unashare😂😂 mwanmme ili atulie atakiw akufee apo nd atatulia akiwa hai sahau😂😂 dydy
Huyu rahim anaongea sana ni tapeli huyu na candy atalia mnooooooo tuko hapa 😅😅😅😅😅😅😅
Mimi bwana angu nilikua nafanya nae kazi muda wote tupo wote sijui ata ali cheat saangapi nyie nakuja kushtuka mtoto ana miaka3 uyu Dada mbona kama kapenda sana
Jman mwanaume kucheat ni kawada sna kwan shida hk wp wazee wt walikuwa wanawanawake nje ya ndoa zao lkn muhimu upendo ma heshima tu jmn waache mahusiano y wtu
Kbsss
@@pendombinga3584kusema kucheat ni kawaid ndio kunawafanya wacheat
Sasa hapo mzozo wanni wahusika wanakataa mbea anashadidiaa tatizo nni kama usenge huyu kiredio
❤❤❤kiledio
Dawa ya kiredio ni kula demu wake yule mwenye shepu
Haaaaa
Yaan nataman siku nije nijue ukwel zaid ya huyo 🍭🍭🍭🍭🍭🍭🍭
Niliiiwaaaambia mm
Kaka amefurah sana baadaa ya kukosa nambaa ya airen lkn hapo kuna kaukweli hapooo
Duuuh kiredio had unakeraa
Uyu dada atalia vibaya mnooooo😂😂😂😂😂😂😂😂
Dadeki
Anajiendekeza😂
Huu mwanzo Tu atalia zaidi
Mwanangu bado haujaishi usiwaamini sana wanaume hata baba zako wametutenda sana cendi mwanangu usiwaamini utajajuta
Jmn mam unaongea Kwak uchungu
Jmn kiredio waachani watu wa watu....kama wanadanganyana watajua wenyewe
Yaan, cjui huyo kiredio anapata nn......maana amekazana
Raheem just agree kuwa unae ustake kukataa kubali candy ni muelewa mtoto ni baraka usimkatae
Inaonekan uyu kaka kafuta namba kwanini ambiwe yeeye
Pamoja kiredio
Dida mm mpk chooni nilikuwa napelekwa na nachambwa😅😅😅😅lkn mama uyo dada aweke akiba ya maneno
😂😂😂
Hii stori iliishia wapi?
Dida nakupenda bureeeeee ❤❤❤
😃
Jamn hiz comment mm nachk sanaaaaaaaa tuu ilaaa wanaumee awaa so wakuwaamkn asilomia mia mia
Huyu kiredio ni muongo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂sasa DM mbona haonyeshi…?
Imagine hao wote apo wasafi wanatumia iphone na wanatoa ushahidi wa uongo regards kublock number, eti haifutiki.. kama hamjui si mseme hamjui😅
Dada usimwamini mwanaume hivyo dear kubari nitumia nafasi yako kipenz kijanja anaweza tamani njee
Mimi cha kuwashauri mtafuteni big man stivo mwenye UA-cam channel inaitwa comrade flavor….anauwezo wa kurudisha txt zilizofutwa
Kabisa yule ni hatari😊
Duuhhh
Dada kaza wew ni mti wenye matunda lazima upigwe mawe japo wanasema hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja wasikuvurugie furaha yako kipenzi nawapenda sana inshaallah mwenyezi mungu awape maisha marefu na yenye furaha endelevu
Ai laik that dear ❤😂
Atakujaaa kuliaa uyooo
Kiredio leo kina chengaa antena imekatika🤣🤣
Waache wapendane, kiredio waache jamani.
wew kiledio wew koma unataka kutuvulugia mambo
komaa mwenyew pita kure
Kiredio Hana lengo baya
Kabisa yan
Mmmh huyu kaka muongo Ana tetemeka na pressure juu
Kiredio muongo mbona na chart hana
kufuta unaweza na haichukui ata dakika 1
kiredio aibu yako😂😂
😂😂😂😂😂😂kiredio Leo kimekulamba
Wew Dada kwann umekubali kulea mtoto akati ushasema unamwamini Rahim?