@kitenge kwanini watu wanaionea huruma Simba kwamba wamejitahidi nini kufungwa ni kufungwa tu....mambo ya kusema wamejitahidi hata Red Arrow walijitahidi, kaizerchief, pia na Galax...ki ukweli Yanga tuipe maua yake wako bora sana well organized, team work, ari ya ushindani, and well discplined....maamuzi ya kusajili wachezaji wapya wengi na wageni its not an excuse simba ni brand kubwa aliowatuma kusajili vijana ni nani si professional hao wamejaa ma MVP? huo muda upi wapewe??? Mbona Gamondi alipofika tu kikosi kipya watu wapya na akapata matokeo???......Yanga bingwaaaa💚💚💚💛💚💛💚💚💛💚💚💛
ila hawa watangazaji wengi wenu mmeshindwa kuzuia mapenzi na ushabiki wenu mkubwa kwa yanga kiasi nawatabiria wapenzi wa simba hawatawasikiliza kipindi chenu
Mwambien Ahmedi Ali kuwapa moyo mashabiki wa simba kua tume fungwa lakin tuna furaha so kwely awambie tu ukweli simba bado mbovu mbona kibu hakupanda basi la time na wachezaji wenzake
Hakuna timu ya kuizuia young African wakitaka kuamin wasubil tarehe 17 mwezi huu watauona. moto unavyoendelea kuwaka nisoma kama lamaboy au baba wa criss kutoka buchosa sengerema mwanza
Acheni ujingaaa nyiee watuu mbona manara amekuwa kama meneja wenu?? Mkumbuke nyinyi wachambuzi by professional kasoro Maulidi kitenge chawa wa manara,,, anatafuta ela ya kufungua radio yake at mwaribia diamond marketing yake ya Wasafi FM
Wanangu Wawa safi midia mm said hussein kutoka mkoa wa kaskazini Pemba wilaya ya wete shehia ya utaani ninaomba Kwa heshima mwambieni huyo dada alovaa jezi nyeusi ya yanga kapendeza ila hapo studio Kwa yeye sisehemu mziri kuvaa akiwahapo redio niyetusote ahsantenisana mukovizuri kwenyekazi
Kwa moment muhimu za kiuchambuzi kama hizi inabid ambangile awepo mwanzo mwisho.. yule ni the best of all the best
Wananchiiiiiioooh 💚💛🖤💥💯🔥
SIMBA WALISEMA YANGA TUNA WAZE ALAFU WAO WANA VIJANA, ILA WALISAHAU KWAMBA VIJANA WANA KASI KWELI LAKINI WAZEE WANAJUA NJIA
Tuko pamoja sana wasafi fm 🙌🙌
ila nasrii anajua bhana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
well said El bugati
😂😂😂munamuogopa manara rediyo sitopowa munagihuhasa sana
@kitenge kwanini watu wanaionea huruma Simba kwamba wamejitahidi nini kufungwa ni kufungwa tu....mambo ya kusema wamejitahidi hata Red Arrow walijitahidi, kaizerchief, pia na Galax...ki ukweli Yanga tuipe maua yake wako bora sana well organized, team work, ari ya ushindani, and well discplined....maamuzi ya kusajili wachezaji wapya wengi na wageni its not an excuse simba ni brand kubwa aliowatuma kusajili vijana ni nani si professional hao wamejaa ma MVP? huo muda upi wapewe??? Mbona Gamondi alipofika tu kikosi kipya watu wapya na akapata matokeo???......Yanga bingwaaaa💚💚💚💛💚💛💚💚💛💚💚💛
Manara kaishikwa sanaa
Simba oye
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii
Yanga timu bora África, kutoka Msumbiji Palma.
Redio yenu ukiwa kwenye gali na baadhi ya maeneo kama kunduchi na tegeta tunaipata kwa shida sana
😂😂😂😂
Nawaona leo lavu
Ubaya ubwege ule
Naitwa said nyabweda kitenge yanga kubwa sana kuliko timu yyt tanzania
Wasafi redio ya yanga tunajua
Huo mlango pakeni hata rangi 😅
Kitenge ewe mwe niezi muhumba arh na inchi nina imani dada yangu ata zaliwaa tuta shinda
Chuzi huyo
sote tutazeeka ila mwenzetu anazeeka vibaya😊
Kumbe manara ni shombo!
Buga mmoja 2
ila hawa watangazaji wengi wenu mmeshindwa kuzuia mapenzi na ushabiki wenu mkubwa kwa yanga kiasi nawatabiria wapenzi wa simba hawatawasikiliza kipindi chenu
Hao makolooooooo😂
Alisema akifunga chini ya goli nne atawapa miloni milioni vip mmepewa
Maulid Simba wapo vizuli ila munganiko bado
Misr mmekaa mda gn acha udunduka
Haji mlevi dakika 40
Wananchi wamotoooooo
Kwani nyie niwaanfishi wa michezotu au,raia tunahitaji kujua inchi inaendaje. Serekali inakoses wapi yapatia wspi.
Manala kasema kwer tm pekee yenye uwezo kukufunga magor na kukufunga mdomo ni yanga tu tanzania
Manara mhuni sana 🤣🤣
Hhhhhhhhhhh pacome angeuwa watu jana
Mwambien Ahmedi Ali kuwapa moyo mashabiki wa simba kua tume fungwa lakin tuna furaha so kwely awambie tu ukweli simba bado mbovu mbona kibu hakupanda basi la time na wachezaji wenzake
Ayo ni mawazo yako binafsi
Huyu mzee Kuma sana
Ma mc wa yanga wakichambua mechi ya yanga na cmba nini unategemea
Kaka yangu haki ujahona? F a Ahukukona?
Manara anaongea lkn anacho ongea hakitok moyoniii
Anahalibu ladha ya kipindi uyo
WACHAMBUZI HEWA NYINYI ETI MNAAMULISHWA NA MTU MNAONGEA UJINGA
sasi upinde tu
Hakuna timu ya kuizuia young African wakitaka kuamin wasubil tarehe 17 mwezi huu watauona. moto unavyoendelea kuwaka nisoma kama lamaboy au baba wa criss kutoka buchosa sengerema mwanza
Ila wame tunyima pasakaka sijafurahi wa atakidogo daima mbele nyuma mwiko
Acheni ujingaaa nyiee watuu mbona manara amekuwa kama meneja wenu?? Mkumbuke nyinyi wachambuzi by professional kasoro Maulidi kitenge chawa wa manara,,, anatafuta ela ya kufungua radio yake at mwaribia diamond marketing yake ya Wasafi FM
Wewe utakuwa kolo bila shaka
❤@@MasanjaMasanja-mz3ll
Wajinga watupu yaan huyo manara ndyo et mtu wa mpira ni ujinga
Wanangu Wawa safi midia mm said hussein kutoka mkoa wa kaskazini Pemba wilaya ya wete shehia ya utaani ninaomba Kwa heshima mwambieni huyo dada alovaa jezi nyeusi ya yanga kapendeza ila hapo studio Kwa yeye sisehemu mziri kuvaa akiwahapo redio niyetusote ahsantenisana mukovizuri kwenyekazi
😢hujitambui ww ndo mana uko vijijini
KAUTAKA MWENYEWE