Mwanamke mjinga atavunja ndoa yake kwamikono yake ye mwenyewe...Adam mwenyewe aliingia mkenge...sembuse waname Wenu awa wa sikuiz wenye MUNGU wakubahatisha.
Kumbe mnaigiza sio uharisia..sasa leten pesa zng zimetoka wap?? Umehalibu sana watu watakuupa na utapoteza mvuto wakipindi kumbe unatutapeli ili tuangalie upate views
Ukichek hii hawa wadada waliandaliwa maana jamaa aliwapa pesa kama shukran, lkn mwsho wa kamera akadai pesa zake. Kumbe content hii iliandaliwa wala so ya kushtukiza.
Yaani madada mengine ya hovyooooo sana yaani mtu amekuulizeni tufanye challenge hivi na hivi na umemkubalia rafiki Yako tena unaanza kunchukia rafiki Yako anakosa Gani Sasa hapo?hivyo kabisa na kimini chako et ndo sketi mguu wenyewe wa kuvalia kimini huna 😂😂😂hivyo kabisaa 😏😏😏😏
Wanaume sio watu wa kuwatania hata kidogo, most of them, they are very week😮. Na wadada muache mambo ya kuongea na wapenzi wenu mbele ya marafiki zenu, kuonesha maanaume anavyokupenda na kukujali. Rafiki yako alikuwa anapenda unavyoongwleweahwa na mwanaume wako mama/ mke. Ila huyo Masud kiboko, hata huyo rafiki yako akisema waje wapendane litkuja kumgharimu. Mwanaume hajatulia hata dk 1. Unamuachiaje rafiki yako halafu anamuita mpenzi wako shem darling
Alafu mimi haya mazoeya yakumwita mpenzi wangu shem darling siyapendi
Haha😂
Hahahaha
Me too
😂😂😂😂
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Mbona hamuwanyii wanaume ni wanawake tu Mr uky
Mbona nipeni hela yangu haya ni maigizo😊
😂
Kumbe tumesikia wote😂😂
Haya ni maigizo nduguni zangu
Nikajua nimesikia pekeangu😂😂😂😂😂
Yan wameongea vizur hatar unaweza kusema mume si ndo huyu😂😂😂😂wanaume nyokooo
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂yn
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Tufike mda tuelewe kua hamna true love
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Kwakweli 😢😢
Mr uk bhn etyii nyie wanaume kwan ww mwanamke?😂😂😂😂😂😂😂
Ati Shem darling kweli wanaume
Aaaaaaah hela zako tena😢😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂
😂😂😂mbola tudanganye tu wote lkn sio kunidanganya watu wazima bado mnauzwa et mke na hajakuoa ndo hapo huwa mnafnya makosa
Shika hela dada💸
Sasa kwan mm nachekaa nn jmn au ndio maneno ya mahaba yananichekeshaa😅😂
Kaitwa mkewangu kacheka uyo hatal😂😂😂😂😂
Hii ni movie tu unamuambia kata tena unaendea do zako kwa hivyo ulikua umewandaa hapa kila kitu nimahigizo tu.
Mr Uky jaman unavunja mahusiano ya watu 😂😂😂😂
anavunja ama anasaidia kuwachomoa wapumbavu
Havunji ila ni fundisho wanawake hua hatujitambui,tatizo letu tunawaamini wanaume sana kuliko kutuliza akili na kuchukua mda ili kupata Alie Sahihi.
Basi hapo roho yako kwatu kuharibiana mood tuu😂😂
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Narinje ndiruka,ngo mwayirekuye murankoreyeko😢
Umefanya tuwajue wanaume Zaid dah!😅
Ubinadam kaz
Sijui niingie kwenye mapenzi ama nitoke 🤔🤔
Kumbe na mkosea mpenz wang kumbe kila mwanaume anaitwa baby😢
All is drama😂😂 eti naombeni ela zangu
Halafu kama mbona mnaanza kutupanga?
Me nachekaga tu 😂😂😂
Nikuwapanga kumbe
Wanaume mambwa kweli
Yaani wanawake sisi ukitwa mkee tu yaani unabonyea
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂 au mama akili zina ama kabisa
@@AraphaChekiJIFUNZE KISWAHILI AKIRI 😂😂 ZINA AMA😂😂
😂
Wallah mapenzi yamejaa usaliti wanaume matapeli wa mapenzi 😢😢😢😢😢
Alivyosikia mke wangu kacheka mwenyew
😂😂😂
Yaan ka jinga
Sipendi kuitwa mke najitu ambalo halijanioa maana huwa ni maongo
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@@salmaalimusa6809😅😅😅😅😅😅
Mapenzi Yana wenyewe mm wacha ntafute hela mapenzi yamenishinda😂😂😂😂😂
.hhhhhhhjjjj
Mwanamke mjinga atavunja ndoa yake kwamikono yake ye mwenyewe...Adam mwenyewe aliingia mkenge...sembuse waname Wenu awa wa sikuiz wenye MUNGU wakubahatisha.
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Mimi ndo hua nacheka yaani wenye akili wanajifunza,lamsingi wanawake tu focus kwenye mambo ya msingi ,alamfu mapenzi baadae.
Tumechoka na drama zenu ww kiredio mnatumalizia bando
Halafu hawa waongo mbona yule anawaambia awape hela zake tena mwishoni?
Kumbe hawa wanatuchezea mchezo huwa sio kweli 😅😅eti nipeni hela zangu
Ila shemeji mwenyewe pis hata ningekua mimi😅😅
Umalaya tu kuoga aaaah 😂😂
Jamaa mwenyew ameona hapa hatoboi
@@AllenLeonard-k9y 😀😀😀
@@Munayya-g2p sawa malaya mwenzangu
Kama umeona mwisho anaomba nipeni ela zangu 😂😂😂
Aliwaahidi atawapan20k mwanzo sikiliza vzr
😂😂😂 nacheka kama mazurii mayuda eskarioty yako kama yote duuuu mapenz shikamoo
Kama huna D huwezi kuelewa kama huu ni mchezo umepangwa kuanzia kwa huyo mwanaume mpaka hao malaya
Kumbe mnaigiza sio uharisia..sasa leten pesa zng zimetoka wap?? Umehalibu sana watu watakuupa na utapoteza mvuto wakipindi kumbe unatutapeli ili tuangalie upate views
Mume wangu mie ukipiga simu unajiuma uma utaoga mvua ya matusi wee labda ukute hajapiga vitu vyake 😂😂😂
Ukichek hii hawa wadada waliandaliwa maana jamaa aliwapa pesa kama shukran, lkn mwsho wa kamera akadai pesa zake.
Kumbe content hii iliandaliwa wala so ya kushtukiza.
hizi video huwa ni za uongo why after challenge aseme kata afu kaomba arudishiwe na hele😒😒
Mbona tena nipeni hela zanguu😅😅😅😅😅😅😅😅😂
Kumbe na ww umeskia hahah
@@salmakasim8390 Ndiyoo wanatudanganya hawa mbwa 😂😂😂
𝐖𝐚𝐬𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐤𝐰𝐞𝐥 𝐚𝐰𝐚.
Huo si ufala, yaani kapigiwa na mpenzi wake hapo anapaguwa na shem wake anashindwa kugundua. Au mnatiigiza?
Kumpa mtu namba ya mpenzi wako siyo poa wanadamu wamekuwa wanyama. Mpuuzi sana inaonyesha alikuwa anammendea siku nyingi mpuuzi huyu
Dada acha tu
Hata ingekuw mm ninge kubali 😂😂😂 ao mnasemaje wanangu 6:58
Duh yaan sitakaa niangalie videos zako tena kumbe maigizo asee 😏😏
Duuh nikisikia mapenzi nahisi kichefu chefu😂😂😂😂atakaye nipenda nitamunyoosha wanaume duuh
😂😂😂 moyo wangu unagoma kumuamini mtoto wa watu kabisa
@@jafarysoahsoah8530 Yaan wew ndo kama mm wanaume sjui nawaonajee 😅😅😅
@@maryamedi9141 poleee utapona maana asilimia 98 ya wanaofanyiwa challenge wanafeli yaani unakuta mtu anacheet sa nimuamini nani 🤣
@@maryamedi9141 malizia tu cc ni mambwa
@@FerdinandCharles-ko7de 😂😂😂😂 nawqtaftia jina
Wanaume puuùuuuh....yaani nikitoka hapo na kutia block ya nguvu paka wa kienyeji wewe
Shikamoo mapenz sitak hii challenge jman maana sina mda wakukaa single mie akaaa😅😅😅 kwaninamvyomjua yule wangu
😂😂😂😂😂😂😂
Yani hao wakupenda kuita mama angu ndio mafilauni wakubwa hao, yalisha wahi kunikuta mimi😢😢😢
😢😢km mm
😂😂😂mbn mafilauni jaman
😢Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Uwakika yaan😂😂😂😂😂
😅😅😅😅yaan duh et mama
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Kwan ni mwanaum gan apend nyama nyamaaa 😂😂
Mapenzi nyoko kudadeki😅😅😅😅
Kwamba uyo mwanaume uajajua ni mchezo yaan we mr uk bora tubaki kwa kiredio😅😅maigizo tu
Usengee huu jaman wanaumee hawaaaa wajinga sana wazaifu sanaaa puuuu aiseee
mwisho wa hii video umewadai eti "nipeni hela zangu" mweh
TUME WASHTUKIA KUMBE HUA MNAPANGANA HAYA CHUKUA HELA ZAKO
Nitabaki kuwa single hawa viumbe wanaoitwa wanaume aisee wanipishe.
Wewe single nitumie no yako nami ni single
@@ChristopherChacha-fb4oc😅😅😅😅 mbavu sana
🤣🤣🤣🤣🤣kwa hiyo huna hata mlupo.
Aliesema wanawake viumbe dhaifu sidhani kama aliwahi kuwafanyia challenge wanaume, maana hawaruki 😅😅
Fanyia Wanaume hii challenge
@@Beyonceqme Hawakatai, tena ndani ya dk 10 tu ameshapata majibu na kudanganya anasafari, lakini mwanamke hawezi kukubali ndani ya dk 10.
@@UsuiliMilangitoni-gm.c kweli kabisa
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
@@binueltinda5366apana mwanzo aliwaaidi pesa
Ata kama ni mimi nisinge acha iyo mafuta😅
Lakini sisi wanaume ni wauaji kwa kweli.
How many kills u got?
😂😂😂😂 ila kiredio mchonganishi
Sio kwamba ampendi ni tamaa tu
Yaani madada mengine ya hovyooooo sana yaani mtu amekuulizeni tufanye challenge hivi na hivi na umemkubalia rafiki Yako tena unaanza kunchukia rafiki Yako anakosa Gani Sasa hapo?hivyo kabisa na kimini chako et ndo sketi mguu wenyewe wa kuvalia kimini huna 😂😂😂hivyo kabisaa 😏😏😏😏
😅😅😅😅😅
Loveness jaman😂😂😂😂
Hujamchamba vizuri hiyo sura ina maana mi ndio naiona mwenyewe ka ngozi ya goti
😂😂😂😂MUNGU anakuona eti mguu wa kuvalia kimini😂😂😂🙌🙌
Ety jmniii apo ss
𝐀𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐧𝐲𝐢𝐞 𝐰𝐚𝐬𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐦𝐧𝐚𝐭𝐮𝐨𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐦𝐚𝐛𝐨𝐲𝐚 𝐦𝐧𝐚𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐥𝐥𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐦𝐦𝐞𝐰𝐚𝐩𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐚𝐩𝐨 𝐦𝐰𝐢𝐬𝐡𝐨𝐧 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐮𝐫𝐮𝐝𝐢𝐬𝐡𝐢𝐞 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐨.😂 𝐟𝐚𝐥𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐥 𝐧𝐲𝐢𝐞
Wanaumeee eeeeh wanaumeeeh eeeh wanaumeee ni wapumbavu
Ali test walitegemea nini,ugonvi wengine munataka dada zangu 😅
Kwambaali naona g wagon namba A
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Waliambiwa kuna elfu 10 tufanye challenge ndio wanadai
Huy mwanamme jinga hawezi kujiongeza mpenz kampigia Shem kampigia hapo hapo hawezi kufikiria kama mchezo 😊jmn
kwani wanaume wanaakili ya kujiongeza
Hawana kbs ni mazumbukuku@@modesterjulius7625
😂😂😂hawanagà akili hawa ni mbute😂@@modesterjulius7625
😂😂😂😂@@modesterjulius7625
😂 jinga sana uyo mwanaume
Pisi za Tabata Kimanga hizi,hatari na nusu
Nipeni Hela zangu😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila sisi wanaume ni wadhaifu sana
Sio wadhaifu ni wapumbavu
Duh hatari na robo tatu
Mmh mbna mwishoni leten ela zangu tena😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 simuwe mnakataa hizi challenge
Why 😂 n nzur kujua Kam una li mdori
Wanaume sio watu wa kuwatania hata kidogo, most of them, they are very week😮.
Na wadada muache mambo ya kuongea na wapenzi wenu mbele ya marafiki zenu, kuonesha maanaume anavyokupenda na kukujali. Rafiki yako alikuwa anapenda unavyoongwleweahwa na mwanaume wako mama/ mke. Ila huyo Masud kiboko, hata huyo rafiki yako akisema waje wapendane litkuja kumgharimu. Mwanaume hajatulia hata dk 1. Unamuachiaje rafiki yako halafu anamuita mpenzi wako shem darling
Wanaume mtafika mmechoka sana
Bado hujasema
😢Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa
Marafiki shikamoo
Eeeeee shem darly🙄🙄🙄🙄
Shem darling ya nyokoooo
😂😂
biayisha😢❤😂 shika ela awa awiii😅😅
Mwanaume mjinga haswaa
Challenge hiyo staki kabisa kwa Baby wng...ntapata wazimu😂
Challenge hii nzuri san ndo ujue unapedwa am laa
@@omanoman2044 ujue unaweza ukawa unapendwa lkn ndo mwanaume wako akawa ana tamaa..ndo kma ivoo tamaa yake itakufanya ww kuumia na kuzan hupendwiii
Wewe ndo Mimi
@omanoman2044 no sitaki nitakuwa chizi
Mmh
Oya mwisho wa vidio tumesanuliwa jamaa anataka hela zake😂, oya mb zangu huzipati tena labda kiredio t😂
Kumbe haya huwa ni maigizo bhaana mwishoni hapo nimesikia nipeni hela zangu😂😂😂
😂😂😂
Twapigwa mchana kweupeee
Single tujuane 😂😂😂
Leo ndo nmeamini huwa mnawapanga😂😂😂
Bora kiredio mkwel nyie waongoo kumbe ety leten hela zangu jmn kiredio anatoa had laki 2 xwafatilii tena😂😂😂
Mwanangu Leo umeyumba sana kumbe huwa unawapanga 😅😅😅 nimesikia iyo kata wewe alafu leta ela zangu 😂😂😂😂😂
Mimi mwanaume nitapendana nae tu kawaida na kumueshimu tu vizuri lakin kumuamin hapana 😢😢
Tatizo ilo 😂
Yani mimi sinatako sura ndo aswaaaa kisha niwe narafiki anae nizidi kila kitu kweli inaingia akilini iyo weeee ndomana sitaki marafi wanao ni zidi😢😂😂😂kula chuma icho😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Ila mwisho wa video hii mbn kasema nipeni hela zangu wanatudanganya hawa