CHERRY MREMBO ALIYEPATA UKIMWI KWA KUBAKWA ASIMULIA MAZITO "NILICHANGANYIKIWA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 488

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 10 місяців тому +5

    Sema wewe mwandishi wa kike jitahidi kuendana na maudhui ya story! Yaani simulizi ya kusikitisha wewe unalipuka kanakwamba upo na Juma lokole mnachamba, khaaaaa? 😮

  • @latifaroro877
    @latifaroro877 10 місяців тому +6

    Me najiuliza ktu kmoja Chery walikua wawil na rfk zke kwann abakwe yeye peke ake na vjana wote ao af rfk ake aachwe??

  • @ZainabuIddy-r1o
    @ZainabuIddy-r1o 10 місяців тому +16

    Pole sana Dada Mungu yupo na hao wote walikufanyia Unyama huo Razima watapata Asabu Yao Malipo ni hapa hapa Duniani 😢 ila Mungu awasimamie katika Maisha yenu ww Pamoja na watoto wako wote na Shemeji yetu🙏🙏❤️❤️❤️❤️

  • @CNsiaMaletnlema-pr9ri
    @CNsiaMaletnlema-pr9ri 2 місяці тому +1

    Hospitali kwanini hawakumpa dawa za kuzuia maambukizi ya 1kwa1 km wanazopewa wajawazito wenye vvu ili kuzuia kuambukiza mtoto.

  • @ElizaEhsas-op2pg
    @ElizaEhsas-op2pg 7 місяців тому +1

    TTonny dah

  • @BernadetteKiwelu-kg6fv
    @BernadetteKiwelu-kg6fv 7 місяців тому +5

    ni kweli dada mimi natumia dawa kwa miaka 24 mungu ni mwema hongera sana Cherry

  • @AngelmackieCharity
    @AngelmackieCharity 10 місяців тому +8

    Haka kastory kanakasoro lkn

  • @richardkaula6847
    @richardkaula6847 Місяць тому

    Nimegundua dida haelewi vitu vingi futility vzr inteview 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @adbellar338
    @adbellar338 10 місяців тому +5

    Kwa takwimu za nchi sasahivi huyu Dada aendelee kutoa shuhuda kwakweli. Mambo ni mengi.

  • @halimaphiniasibwire9688
    @halimaphiniasibwire9688 9 місяців тому +5

    Pole dada cherry.nakutia.moyo
    Hongera kwa kujikubali

  • @jomiAfrica
    @jomiAfrica 10 місяців тому +13

    Lakini madakitari walikosea ungepewa prophylaxis usingepata pole

  • @HeroJoseph-nm8pv
    @HeroJoseph-nm8pv Місяць тому +1

    Swali langu jee mwanaume nae akiwa na HIV aka deti na dada ambae Hana HIV jee vigezo na mazingatio ni hivyo hivyo kwa mwenza au?

  • @godwinmuze3937
    @godwinmuze3937 9 місяців тому +1

    DIDA huna UTULIVU KABISAA, TULIAAAA....acha mapepe

  • @priscamushi7966
    @priscamushi7966 Місяць тому

    Mm ni mkazi wa nkuhungu saa 2 huwezi kubakwa na jee kwann mwenzio hakukimbia kupiga kelele. Wakati ulisema alikuwa nyuma?

  • @emelynensabimbona4499
    @emelynensabimbona4499 10 місяців тому +11

    Hiii story sio iyo vvu kama yuko nayo alitowa sehemu sababu ukienda hospital kitu chakwanza kama umebakwa wanakukinga ukimwi na mimba

    • @LuluFaustine
      @LuluFaustine 10 місяців тому +1

      N kweli aseee Sasa nashangaa kwann hakupewa hii uwongo

    • @ElishamMsikola
      @ElishamMsikola 10 місяців тому +1

      Yes

    • @Planet_Zong
      @Planet_Zong 7 місяців тому

      Au tunataka kuhukumu kimtindo?

    • @DeusMsumule
      @DeusMsumule 5 місяців тому

      Mzee alompa kaz au ugumu wa maisha ulimfanya kudate na watu wenyeukimwi

    • @sailathsaidi
      @sailathsaidi 4 місяці тому

      jamn 2011 sio 2024 zingatien ilo

  • @mudiissa9653
    @mudiissa9653 10 місяців тому +1

    Kipindi kinafuje kweli utaratibu mbovu huyo dad's mtangazaji hajatuli mapepe Kama maharage yapo jikoni khaaaa

  • @FatumaHassan-gv4bi
    @FatumaHassan-gv4bi 8 місяців тому +3

    nywele za juma ukiziangalia vibaya kwajuu zimekaa kama karanga 😂😂

  • @benedictonesmo6857
    @benedictonesmo6857 10 місяців тому +6

    Dida tulia kidogo acha kuwa na mbwembwe unaongea kama unakimbizwa alafu kuna maswali unauliza ilhali tayr ameshaelezea.....

    • @Byme6434
      @Byme6434 10 місяців тому

      Ila Huyu Dida Asaivi Anaongea Vibaya Sijui Anaongeaje😂

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 3 місяці тому +1

      Mwacheni dida wangu😅😅

  • @hairatyhassan7973
    @hairatyhassan7973 19 днів тому

    Pole mungu akutie nguvu lakin ilikuwaje hao wabakaji kama walikuwa nahamu ya tendo hilo siwangewabaka wote wawili kwanini wakubake peke yako alafu pia mtu ukibakwa ukipelekwa hospital unapewa dawa za kuzuia ukimwi namimba ilikuwaje wew madaktar wakuruhusu uende nyumban bila kukupa dawa jmn

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 8 місяців тому +2

    Pole sana chery,mungu atakupa maisha mrefu,pia usiache kumeza dawa mashani kote.

  • @MasaluJackson-n5r
    @MasaluJackson-n5r 10 місяців тому +14

    Nimependa Sana cherry 🍒❤❤❤ kitendo poah Sana ulicho fanya

  • @queenpeter2013
    @queenpeter2013 10 місяців тому +4

    Cherry mungu akutunze hawakuelewi ila ipo cku watakuelewa kipenzi nakupenda

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 7 місяців тому +1

    Pole sana walikuwa wengi ila mm nimekupenda kuishi na virusi vya ukimwi sio mwisho wa fursa wala kuishi

  • @EdgaralbetoEdgr
    @EdgaralbetoEdgr 2 місяці тому +1

    Ningekuowa ila jamaa kasha niwai sio mbaya safi

  • @Laizer3
    @Laizer3 2 місяці тому

    MKIONA JAMBAZI ANACHINJWA AU ANACHOMWA MOTO USIONE HURUMA.

  • @jumamustafa1328
    @jumamustafa1328 10 місяців тому +2

    Inamaana hao madaktar walishindwa kukupa PEP wewe ........mbona kama unaongopa jaman ....mana PEP lazma upewe aisee

  • @magnusbugingo3684
    @magnusbugingo3684 10 місяців тому +4

    Mwandishi unaongea sana kuliko kusikiliza

  • @WinfridaJohn-rm6gc
    @WinfridaJohn-rm6gc 10 місяців тому +6

    Daktari kwanini hukumpa cherry PEP

  • @agnessjohn1222
    @agnessjohn1222 Місяць тому

    Waliokubaka wote tayali wameambukizwa

  • @ummukulthum1268
    @ummukulthum1268 9 місяців тому +1

    Wote wanatiktok hawa nilisikia cherry akisema mwanaume wake anaish nae mwaka wa9 sasa na kazaa nae watoto wawili how comes inakua miaka mi3 ghafla😢😢

  • @amaningonyani2775
    @amaningonyani2775 10 місяців тому +9

    Hii story kidogo inaukakas

  • @stephennjamaras7987
    @stephennjamaras7987 10 місяців тому +2

    Mbona Kama Mchongo Hivi Vyeti Vyenyewe Ajaja Navyo Wanazingua Wanatafuta Kiki tu

  • @JosephAdam-e9w
    @JosephAdam-e9w 11 днів тому

    Mbona mlembo kwani ukwimwi k2 gni ss 2natimba

  • @acobisrem2project360
    @acobisrem2project360 10 місяців тому +3

    Ukibakwa na madaktari wakathibitisha umebakwa kweli, kabla masaa 72 kupita unapewa kinga tiba dhidi ya ukimwi na mimba, ss yy hospitali walipoenda walimpa dawa gani, bhana uyu katudanganya story ila hongera kwakuweka wazi afya yako ila kwenye stori ni uongo mtupu

    • @faidhamakubi9283
      @faidhamakubi9283 10 місяців тому

      Unaosema ni kweli kun dawa zakuzuia maambukizi ya hyo hpo kun kitu nyuma but mungu amsamehe

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 10 місяців тому

      ndio vvu anayo lakini story fake

    • @_bonfaceadera
      @_bonfaceadera 9 місяців тому

      Yeah,the story is not adding up.

  • @gloriaomari2187
    @gloriaomari2187 8 місяців тому +1

    Mungu wetu wa sirini ataendelea kukutunza.
    Huyo kijana pongezi sana. Ninamshukuru Mungu kwa ajili yako kwakuwa ummfanya binti yetu kuwa na amani zaidi

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 5 місяців тому

    Mi nawashangaa sana watanzania hivi ukiwa na ukimwi unakufa au unaumwa? Wazungu wametuharibu sana na fikra potofu dhidi ya huu ugonjwa

  • @rebekamwimi1394
    @rebekamwimi1394 10 місяців тому +8

    Dada mzuri ukimkubali Yesu anaponya uachane na hizo dawa

    • @ummyayman9449
      @ummyayman9449 9 місяців тому +1

      Humtakii mema mwenzako kumkubali yesu na kuacha dawa kunahusiana nini

    • @Salma_malkia
      @Salma_malkia 9 місяців тому

      ​@@ummyayman9449😅😂😂😂

    • @rehemadaudi550
      @rehemadaudi550 9 місяців тому

      good advice

    • @PhilibertKajungu
      @PhilibertKajungu 9 місяців тому

      Acha uongo wewe mambo ya uongo toka hapa

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 9 місяців тому

      Acha kumtia ujinga wewe ..!

  • @MahmouduNdegeza
    @MahmouduNdegeza Місяць тому

    Uyu dada namfuatulia sana tiktok

  • @henribwema2778
    @henribwema2778 10 місяців тому +4

    Kwa namna storyteller anavyo sema, kuko contradictions kwenye habari hiyo, ila la msingi ni kwamba anasaidia kuwapa wengine ujasiri wapimwe wachukue dawa endapo watakutwa ni waasirika. Jambo lingne ni pale wanasema kuwa ukinywa dawa vizuri utafikia stage ya kusipo waambukiza wengine hata bila condom. Congo Kinshasa my home.

    • @tungaraza7794
      @tungaraza7794 10 місяців тому

      sure,hasa baada ya kutoka hospital siku ya kwanza

    • @Mjomba_Side
      @Mjomba_Side 9 місяців тому

      anadanganya story yake, alafu nikosa kisheria kujua unamaambukizi na kujaribu kumuambia mtu....hawezekani mtu akabakwa na madaktari wakazuia maambukizi kwa kutumia dawa ambazo zipo

    • @neemamajana3078
      @neemamajana3078 8 місяців тому

      Huyu ni muongo, mtu akibakwa akienda hosp lazima apewe ARV dose ili kuuwa virusi. Huyu kwanza hana akili nzr, kitendo cha kujinanga mtandaoni.

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 10 місяців тому +3

    Siyo kwamba madaktari walikosea,dada anasema kipindi iko anabakwa huduma ya PEP ilikua haipo Tanzania...!!

  • @nicolinahgalgalo426
    @nicolinahgalgalo426 10 місяців тому +65

    Kwa kweli nimemuonea huruma sana huyu dada,ila pia niko na furaha kwa jinsi alivyojikubali kwa kweli anatia vijana wengi moyo

    • @tahiyasaidi6532
      @tahiyasaidi6532 10 місяців тому +3

      Tutaaminije km kabakwa.
      Ah .....mauza uza mengi

    • @hora8707
      @hora8707 10 місяців тому

      😊😊😮 11:23 11:24 😅😅😅 11:25 😢😅😮😅😅😅😅😮😊

    • @ndayishimiye745
      @ndayishimiye745 10 місяців тому

      ​@@tahiyasaidi6532😊q

    • @ndayishimiye745
      @ndayishimiye745 10 місяців тому

      ​@@tahiyasaidi6532❤

    • @edithmwasulama7005
      @edithmwasulama7005 10 місяців тому

      ​@@tahiyasaidi6532ongea kwa kituo ndugu yangu
      Hata wewe unaweza kukumbwa pasipo kubakwa
      Hujamaliza safari ndugu

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa Місяць тому

    Mmenifundisha kitu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 9 місяців тому +1

    Jamani nani huyo ariye mbaka mtoto mrembo hvi katuaribia utamu jaman

  • @smartnyengo725
    @smartnyengo725 10 місяців тому +4

    Fake story wote wandishi mupo hapo you are not asking important questions munalukaluka tu..the important question to ask was wakati ameenda hospital the day yakubakwa kwanini hawakupa pep so that she can be protected from hivyo virusi coz that's what they do anakunia mwezi mzima and then the check you again kama uko sawa ..wote mumekodoa tu mimacho munacha kuuliza hilo swali kazi yenu umbea tu useless panel

    • @zuhurasweeth9061
      @zuhurasweeth9061 10 місяців тому

      Kama unamfatilia utajua hapo hiko kipande amekiruka ila anasema enzi hizo haikuwa hiyo Prep kwa sana hivyo hakupewa

  • @Eliya-vv1jp
    @Eliya-vv1jp 10 місяців тому +5

    Duu kumbe ulitaka umuambukize kaka wa watu, na story simalizii tena ushanichangany kwanz walokubaka we ndo uliwaambukiza

    • @GiftClement-i2j
      @GiftClement-i2j 10 місяців тому

      Duuh we mwanaume huna huruma wala akili yan ujamaliza jambo unatukan na ww watoto wako watafanyiw iv iv baba mpumbavu kabxa ww

    • @Eliya-vv1jp
      @Eliya-vv1jp 10 місяців тому

      Au wew ndo mpumbavu, husikii Kama alitaka amuambikize alaf mipango yake ikagonga mwamba

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 7 місяців тому

      Bro hebu maliza period maana naona we ni lile kundi la pop la LGBT msenge ww

  • @GiftClement-i2j
    @GiftClement-i2j 10 місяців тому +2

    daah cherry nimfano wa kuigwa she is super women ww jmn mmmmmmmmwaaaaaaaaaa

  • @MILK52899
    @MILK52899 10 місяців тому +2

    Hatari alifanyiwa unyama kweli uzuli wake umeenda hivo Allah atawalani hawo watu ila na hao watu walimfanyia wote wamesha ambukiza maana walimuingilia wote malipo ni hapa dunia

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 10 місяців тому +2

    Story hii very bad inaumiza SN hii taarifa dada pole sn.

  • @josephsokhia
    @josephsokhia 7 місяців тому

    Mmmmh ! Snarial hii mmmh! Kwani kipndi hicho hakukuwa na prep😢 kama zilikuwepo basi dactar alizingua kwenye managment ya rape

  • @donaldmpagaze9803
    @donaldmpagaze9803 10 місяців тому +1

    Mungu atamponya yeye anitafute ntamuelekeza cha kufanya na Mungu ataingilia kati na atamponyaasiogope awe na matumaini anitafute tu mimi ni mtu wa Mungu na msaada ataupata na atatoa ushuhuda wa uponyaji wa Kiungu

    • @mankahosea7400
      @mankahosea7400 9 місяців тому

      HIV si Haina dawa jamani Mimi na rafiki yangu kashajikatia tamaa anakunywaga pombe tu kila siku anasubir kufa😓

  • @mosesbarnabas3379
    @mosesbarnabas3379 10 місяців тому +4

    Huyu ni Yule dada wa tik tok nilijua anazingua anavyosimulia kuhusu kuishi na vvu

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 2 місяці тому

    Kwanini haukupewa PEP?
    Dawa wanazopewa watu ili kujikinga na maambukizi?
    Huwa wanapewa watu waliobakwa wakifika Hospital.

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 Місяць тому

    Mm nafikiri yule boss wake wa dodoma ndio kamuambukizi huwezi bakwa saa 2 nkuhungu

  • @walburgammassy2050
    @walburgammassy2050 10 місяців тому +19

    Kwa nilivyosikiliza hii story huyu Chery alitembea na yule mzee wa kwenye hyo hoteli ya dodoma.

    • @nappekiliakiliasalimu346
      @nappekiliakiliasalimu346 10 місяців тому +3

      hapo nikweli. kwa kubakwa amedanganya Aliambukizwa na yule mzee

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 10 місяців тому +5

      @@nappekiliakiliasalimu346 Yes yule mzee alimwambukiza ila alipobakwa akajua ameambukizwa na wale wabakaji yawezekana tena yule mzee aliwatuma ili amchanganye binti!hebu fikiria kwann hawakumbaka yule mwenzie?

    • @stellasimon8306
      @stellasimon8306 10 місяців тому

      Wewe unaye bishi nakushangaa sana, kwaani watu hawabakwi? Mungu anakuona

    • @stellafurael2925
      @stellafurael2925 10 місяців тому

      Stupid mind

    • @emanuelwakawenga4023
      @emanuelwakawenga4023 10 місяців тому

      Nami nawaza itakuwa yule mzee

  • @edwintouches
    @edwintouches 9 місяців тому

    Nawaza tu, wangemuanzishia PEP siku hiyohiyo baada ya kufika Hospitali pengine asingepata HIV. Kwanini walimruhusu aende akae siku kadhaa ndo arudi tena kupima? Hapo kuna hesabu ilikosewa.

  • @petermakaumutuku9150
    @petermakaumutuku9150 7 місяців тому

    8:52 mbona hawakumpea PREP siku ya kwanza baada ya kubakwa ?.Hao madaktari fake..!

  • @ZulfaJevejeve
    @ZulfaJevejeve 2 місяці тому

    madactor walimkosea uhyu dada ,angepewa prophraxis acingepata hata

  • @rehemashikeli961
    @rehemashikeli961 2 місяці тому

    Hizi nywele za Lokole zilikichukuliwa pekeake nahisi ni sahani ya korosho.

  • @RahemaIbrahim-x3b
    @RahemaIbrahim-x3b 10 місяців тому +2

    Shukran!! Dada ww ni mfano wa kuigwa ktk jamii

  • @zachariaobama8616
    @zachariaobama8616 7 місяців тому

    Dada umesema ulikua na Rfk ako Wakati mnatoka Kazini ghafla kundi la watu wengi wakatokea Y? Wakakubaka wewe2 na Rfk ako hakubakwa na lile kundi lilikua na watu wengi huku bext ako akiendelea kupiga kelele kwani yeye hawakumuona Kuna Kitu Nyuma ya Pazia

  • @zachariaobama8616
    @zachariaobama8616 7 місяців тому

    Alafu mbona mimi najua mtu akibakwa ukienda hospital anqpewa dawa ili asipate maambukizi hapo hospital ulipoenda walizingua sana

  • @jj-iv1wm
    @jj-iv1wm 10 місяців тому +3

    Tony una moyo mgumu ila dem mkali hongeleni

  • @majidisalumu3260
    @majidisalumu3260 7 місяців тому

    Chely Ni Mzuri Sanaa, Tena Kwa Wazuri Wenzio Wenye Maambukizi Kama Wewe Mbona Hata Kama Wana Maambukizi Mapya Mbona Binafsi Naingia Mazima Kabisaa, Nimuulizie Vyeti Vyake Mimi Vinanihusu Nini??!

  • @charleslugemalila1168
    @charleslugemalila1168 10 місяців тому +9

    Hongera sana Chery na mume wako mlichokifanya ni muhimu sana kwa jamii. Huu ugonjwa inabidi tuupokee kama magonjwa mengine siyo kama ilivyosasa mgonjea kuonekana mdhambi au kunyanyapaliwa. Yeyote anaweza kuupata bila kutarajia. Kuishi kwa kutumia dawa ni sawa kama magonjwa mengine tu.
    Nina uhakika mtu akiulizwa leo achague ugonjwa mmoja wapo kati ya figo na ukimwi atachagua ukimwi

    • @naomichuri7983
      @naomichuri7983 10 місяців тому

      Kweli japo ukimwi unaweza athiri figo

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 9 місяців тому

      Ukimwi source yake kubwa ni zinaa tu

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 9 місяців тому

      ​@@musasabuu2808kweli uzinifu haswa ndio chanzo cha matatizo haya kwa vijana

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 10 місяців тому

    Icho kipindi ile sindano ya bfr 72 hrs Ilikuwa bado? Dah pole mamy MUNGU akupe Furaha yakudumu...

  • @PendoNyemba
    @PendoNyemba 7 місяців тому

    Dah,,vijana tukapime kama iki chuma ndio hivyo je tunazagamua wangapi kama hao.nb.tutumie kinga jamani.

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 10 місяців тому +1

    Hii move tu wsmeitengenez wasafiii,dada kaamua kujicholesha kwa ajil ya kulipwa tu hakuna lolote hapo

    • @GodfreyArtist-pz3ol
      @GodfreyArtist-pz3ol 9 місяців тому

      16:47 16:48 16:48

    • @Mjomba_Side
      @Mjomba_Side 9 місяців тому

      anadanganya dogo huyu, katengeneza script kichwani anawaaminisha watu hamna madaktari au manesi wasiojua kwamba kuna dawa unaweza tumia kama unahisi umepata maambukizi ili kuzuia mapema kwa masaa kadhaa so navyoona huyu kauza mwili wake kwa faida na kwenye hiyo akapata ngoma

  • @rinasmart5123
    @rinasmart5123 10 місяців тому +18

    Tony!!
    You are more than a man. You have a big heart and a powerful spirit. You made a decision not many men can dare to. Coming out to speak openly about your relationship with Cherry has lifted many spirit. I just like you!! Wishing you the best in life. You are great!! Ahsante sana kum-support huyo mrembo.

  • @paulanelson5394
    @paulanelson5394 10 місяців тому +5

    Kuna mijitu kama haina akili vile Eti hukubakwa sasa sawa hajabakwa inakuhusu nn? Usikute ww unao uku umejichimbia uko ila yeye kakabal kujitangaza na kuelimisha jamii ila ata pongezi Amna daah Watanzania bhana

    • @nelliegodfrey-zq5vz
      @nelliegodfrey-zq5vz 10 місяців тому +3

      Yaani wnataka aseme wanavyotaka wao, yaani binadamu kwa nini tusioneane huruma

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 10 місяців тому

      Nyie wajinga kweli mmeona wapi akili zikafanna???

  • @ElizabethMgimba-lq9iw
    @ElizabethMgimba-lq9iw 10 місяців тому +4

    Shemeji mungu akutunze

  • @angelou9928
    @angelou9928 8 місяців тому

    Ukibakwa, kuna dawa zinamezwa kabla ya siku tatu ama masaa 72 kuisha ili kuzuia ukimwi. Huku kuna maswali mengi ya kuuliza...pole lakini.

  • @giftmakwaya8374
    @giftmakwaya8374 9 місяців тому

    Hivi kizazi hiki bado kinaamini propaganda za ukimwi...tuna Safari ndefu

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 8 місяців тому

    Ivi inakuweje kira wa dada waojitokeza kusema wanaukimwi ,awe Africa awe uraya Anasema aribakwa,iyo imekaaje au

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 7 місяців тому

    Apa swali Wengi walikua wasibiri wanazagamuana vipi apo ndo kwenye elimu kwenyewe

  • @bintysele6999
    @bintysele6999 10 місяців тому +6

    Pole sana dada Cherry 😢 jaman iyo miaka vijana walikuwa waovyo sana, kulikuwa natabia kama kunamtu amekutongoza ukamkataa anakufanyia kitu cha ajabu wallah 😢kuna jirani yetu alichukuliwa mbele ya wazazi wake nahuyo mtu alikuwa amehasilika kwaiy alikuwa anabaka watu kuwaambukia jaman yule kaka Mungu amuukumu nyau yule yule dada alikuwa anajichukia kwa kile kitendo alichokuwa anafanyiwa nayule mtu 😢 pole sana dada Cherry

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 10 місяців тому +17

    Ukweli unamueeka mtu huru nimempenda kwa hilo na anaonekana ni mdada mwenye roho safi mashallah so pretty ❤

  • @agneskapwani3484
    @agneskapwani3484 10 місяців тому +1

    Mbona ukibakwa ukienda hospital wanakupa dawa za kizuia maambukiz mh apo sijaelewa

  • @dol-pnintz2503
    @dol-pnintz2503 8 місяців тому

    Jamani kwa nn awajakupatia dawa zakabla ya masaa 72 unapewa dawa ilikuwaje wasikupe dawa.

  • @Manenokabwemasudi
    @Manenokabwemasudi Місяць тому

    Anamoyo sana

  • @MrBadi1979
    @MrBadi1979 10 місяців тому +1

    DAAAH DIDA BANA MSHABIKI KWELI KWELI😫

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 5 місяців тому

    Kirusi kikiingia ndani ya mwili kimeshaingia ata unywe prep haiwezi kuzuia

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 10 місяців тому +6

    Huu ugonjwa wa ukimwi😮😮 siku hizi unajitangaza mwenyewe

  • @Anamika-w1h
    @Anamika-w1h Місяць тому

    Namhurumia sana dada mungu yupo pamoja nawe na atazidi kukusaidia kwa ujasiri wako ❤❤❤

  • @elihaikamrema1693
    @elihaikamrema1693 7 місяців тому

    Pole sana na Hongera kwa kuwa muwazi kiasi hicho. Mungu anawaponya kabisa wenye haki. Wewe ulitumika ili wengine wanjue Mungu kwamba yeye ni mponyaji wa kweli.

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 8 місяців тому +3

    Ila kwa hii story ata mm sikubalianinae kama kabakwa yawezekana utafutaji wake wa kazi ndio uliomponza akaasilika

  • @olenraphael1038
    @olenraphael1038 Місяць тому

    Nimekupenda Sana dada angu na Mungu wa Mbinguni akutie nguvu kwani huo sio mwisho wa maisha nakupenda sanaaaa sanaaaa

  • @bettyruhaza2856
    @bettyruhaza2856 8 місяців тому

    Aise Mungu tuhurumie sisi wakawako , wewe kaka , huo ujasiri hapana si m sapoti mtu achukuwe uamuzi huo. Samahani lkni kama nimekosea

  • @fatumaabdi4781
    @fatumaabdi4781 7 місяців тому

    Mbona hukupewa PEP Kwa ajili ya kuzuia maambukizi

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 10 місяців тому +6

    I just feel something is missing about the rape incident, my intuition tells so, anyways, pole my

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 8 місяців тому

    Mm namtaka huyo ukimwi sio ugonjwa ogopa kansa na magonjwa mengne sio ukimwi alaf shamba lina mikorosho 2 shamba lina faida

  • @janebomet4381
    @janebomet4381 7 місяців тому

    Usitiswe na ukimwi Mungu ni mponyaji ata Mimi aliniponya wewe pia.

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 9 місяців тому

    Ubaya kama dada alijua ni mgonjwa lazima ajaribu asieneze makisudi kwa wengine akijua ni mgonjwa

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 7 місяців тому

    Haijalishi yupo na ukimwi mi nimemkubali pic kali sana ila mm nipo salama kiafya mrembo upo tyr ❤🎉

  • @godwinmuze3937
    @godwinmuze3937 9 місяців тому

    Shida ni hao wanaokuhoji, haswa huyo dada! Hajui hata kuhoji kwa utaratibu, ni mapepe

  • @FredyMatayo
    @FredyMatayo 10 місяців тому

    Sasa wewe mwandishi si umuache aongee mbona kimbelembele humuachi aongee

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 9 місяців тому

    Hii ilisha nikuta demu kaja kuniambia ana mimba yangu na pia ni mwasirika ila tulipo enda kupima akakutwa yeye ndiyo anao ila mm sina ase nili muonea sana huru yule dada na nilitamani sana kuishi naee mpaka mwisho ila ndiyo ikashindikana

  • @josephsokhia
    @josephsokhia 7 місяців тому

    Mbna snarial ilivyokaa ni kama alikuwa ni affected kabla ya tukio

  • @alainbouba5164
    @alainbouba5164 9 місяців тому

    Daaa! Mpaka naogopa kuparamia hata mke wangu. Wewe unao? Ebu njoo unieleweshe

  • @RuJkru-r9i
    @RuJkru-r9i 10 місяців тому +2

    Dida mpe nafasi bwana stori haishii unaingilia heeee😮 unatuchosha

  • @JaneObote-to1zn
    @JaneObote-to1zn 8 місяців тому

    Kwani tanzania hakuna pep kwenye mahospitali????