Asha hadi raha kuongea nae hapo kasahau kam ni interview 😂 dah napenda sana kuona wasanii wazaman wakiishi maisha mazuri kiukwel wameteseka sana 😢hata kama kapanga ila haombi ombi anapata kodi ndo maisha hata ulaya watu wanapanga apartment wananunua nyumba wanapangisha maisha yanasonga
Hii nyumba inaoshesha ndio kwanza imemalizika ujenzi na iko mikononi mwa madalali bado haiĵapata mpangaji ila asha book kakodi kwa masaa tu ya intavuu😂😂😂😂
Hivi tatizo liko wapi basi hamna exposure ulaya mgeni akiingia anapitiliza anachukua glass anamimina wine anaendelea na stori au anatengeneza coffee wabongo ushamba tu
Dotto Magari anasema kuna waandishi walimfuata wakamwambia atafute nyumba kali wafanyie kipindi aseme ndio kwake atrend akakataa, huwa najiuliza sana ni waandishi wa channel gani
Yaani hapo kwa misosi Saleh ndo mwake lazima ale 😂😂😂😂😂
Salehe ilki kipindi kinakufaaa 😂yan umesomea kwel kwel endelea kutupa raha next time nenda kwa riyama ali au kwa vyone cherry aka monalisa❤
ua-cam.com/video/r2iEjIz-D30/v-deo.htmlsi=ihbQK3DIjWbRGLAI
Asha hadi raha kuongea nae hapo kasahau kam ni interview 😂 dah napenda sana kuona wasanii wazaman wakiishi maisha mazuri kiukwel wameteseka sana 😢hata kama kapanga ila haombi ombi anapata kodi ndo maisha hata ulaya watu wanapanga apartment wananunua nyumba wanapangisha maisha yanasonga
Sahani inaoshwa haifutwi inawekwa chakula😅😅kufuta mikono nyuma ya makalio😅😅😅tishu bei gani kwani kama taulo za kufutia huwezi nunua?..😅😅😅
@@OmanOman-dn6djmaisha halisi hayo kaka waswahili hatunaga hizo mambo za tissue wala kitambaa chankufutia vyombo
Kama Umeona asha boko anakakumfanana kajara macho 😂gonga like
Ila mshauri asher uwashaji wake wa gas ni hatari.yaani antifungal ndio anaanda kiberiti ni hatar saana.alitakiwa kuwasha kiberiti kwanza.
Mashallah asha boko ni mcheshi sna ❤
Jmn nampenda asha Boko Allah amueke nikimuona tu naskia Raha ❤❤
Wow that's awesome you're so much better ☺️😎 ooyy kutu letea mishe mishe za abari huko ulipo 🎉❤🎉❤😊 amen amen 🥰🥰
Mashaa Allah love you Asha Boko ❤️❤️❤️❤️
Salehe asante sana kwa kipiindi..unapomaliza na kumuaga interviewee kaa pembeni na utoe summary ya mahojiano ndo ufunge kipindi au sio
Mimi sipendi kuangalia bongo movies but nikiona muvi alocheza huyu mama lazima niangalie nampenda sana ashaboko❤❤❤
ua-cam.com/video/r2iEjIz-D30/v-deo.htmlsi=ihbQK3DIjWbRGLAI
Wa sita kucomment ndani ya dakika tano like zenu please 😅
Mashaallah mkongwe Dada asha❤❤❤
napenda sana hapa anapokaa..simple and so nice!
Mama kipunje nakupenda sana ❤
Nimeipenda hiyo ayaa umeme umerudi am tz from wsuzlendi
Wabongo mpk mmuchunguze mtu!! ya nn? Kuwe kwake kusiwe hallelujah!!
Jamani Kuna watu wana maisha yawo na huwezi kuwazania maana hawajitapi kwenye mitandao
Haileti maana mitandao
Ashaboko kila kitu amesahau kidogo😂😂😂😂
😢😢😢😢😢
Hii nyumba inaoshesha ndio kwanza imemalizika ujenzi na iko mikononi mwa madalali bado haiĵapata mpangaji ila asha book kakodi kwa masaa tu ya intavuu😂😂😂😂
Acha dharau na roho mbaya onyesha ya KWAKO na wewe
Nampenda sana asha Boko jaman
Huyu Asha nampenda sana ❤❤❤
Umemee wakatika ivyoooh aaah Tanesco mwatak laana nyie adi Mahojiano
Beat Iko juu sana
❤❤ nakupenda daasha
❤❤❤❤ Asha boko huna baya,mnao mbeza mkome
Maashaallah
Huyu anaonyesha hii nyumba si yake wala hajakodi muongo , labda kuna mtu anakuana nae kamwomba ajionyeshe ktk intavuu tu , hahahaha😊
Kwanza kunavty vnaoneshaa tu sio lake ajiamn 😂
AsHa boko na mzee senga movie ya wema😂😂😂inachekesha sana
Haha haha asa weee love you so much 😂😂
Nimeshanga sikutegemea❤❤😂
Yan saleh anawaz kula to et ubwabwa tutakulajee😊
Ichi kikaka kinapenda kula namwili hakina😂😂😂et mpk umekuja kuolewa na mashaallah😅😅😅mbonaivo
😂😂😂😂😂
Asha. Na. Mwene wanafanana sna. Had vituko
Yuko vizur in person ❤
Eti umekodi nyumba kama hiyo alafu jikon una kijiko cha kilo 5 cha genius kimoja😂😂😂😂😂
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha nimeipenda iyo dada ashaboko
huyu Asha poa sana jmni...nimempenda sana sana
Asha ❤❤❤❤❤
Hahahaha Saleh😂❤🎉Eti ubwabwa tutaula kiza😂
😅😅😅 kashajihesabia na mapemaaa yani nimechekaaa
Swalekhe uende ukamtembelee na bi Sabah muchacho 😊
Sio mkazi au mwenyeji wa hapo😂😂😂dah kweli wabongo kwa uongo tumefuzu😂😂😂😂
Asha boko jmn nampenda sauti yake haibadiriki 😅😅😅
Wangp wameenda kuangalia iyotaarabu ya dda wa asha😅sema nampenda uyu mama kipind kile anaigiza nakanumba et anagombea umis tanzania😂
Mimi 😂😂😂😂
Mashallah ❤
Nakupenda bure asha boko❤😂😅
Sele wapenda kula 😅😅😅umeme nao
Kumbe miriam amour ni mdogo wako ndio najua leo ila mmefanana kidogo sema wewe mrefu Miriam mfupi 😀
tuletee rihama ally❤❤😊😊😊
we ndo umesema
Masha allah nyumba nzr 👏👏😍🥰
Kijana anaugeuza mpunga kama kwake😅😅😅😂
Mashallahaa
Mlinzi tu kakukatalia itakua majirani😂😂😂😂muongo huyooooooo😂😂😂😂😂
Mashaa allah 🎉❤pazuri kwake jomoni ni majirani na miye tunapoishi
Sidhan kama ni kwake hapo . Kwake bagamoyo huyu mama
Samahani izii nyumba zikwapi nimezipenda
Nipe instagram yakoo unieleweshe
@@shantellemwanakombo3703Na mie nafaham hivyo
Wakialikwa kwenye enter view wanatafuta nyumba sio zao😂😂😂😂😂
Umeliona jicho la asha alivyomkatia mhudumu yaani kama anamwambia wewe usije ukasema kitu😂😂😂😂
Mashaallah
😅😅Nimecheka jmn umenipa raha
Nampenda sana sana zaid ya sana Asha boko katibu Uk 🇬🇧 mtu kama huyu unaenjoy ukikaa nae kamuwwke mungu saba mbelempeni salam zangu
Mgeni kaingia jikoni 😂😂😂😂 😅 ndo maana wanakusema kuwa unapenda kula😊
Sio kula tuu mbn wanadai ni mchicha poli jamani😢
Mchicha poli ndo nin jmn@@annakbunga8377
Hujakosea anapenda Kura siku moja arienda kwa amina dadayake dura makabira kara pirau biri kunawa mikono😂😂😂😂😃😂😃😂
@@annakbunga8377jibu unalo wewe
Hivi tatizo liko wapi basi hamna exposure ulaya mgeni akiingia anapitiliza anachukua glass anamimina wine anaendelea na stori au anatengeneza coffee wabongo ushamba tu
Aibu sana nch yetu umeme umeme
Location inasoma wapi hapo nimependa hiyo apartiment
Nimefuraia sana interview
Ok kesho mm nakuja none uko hapo hapo ila just kabisa mm sipokei rushwa nataka UKWELI tu??????
Ila sale unapenda kula wewe njoo kwangu unihoj majirani wanione😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Salehe punguza uroho😂😂😂😂😂
Salehe na kula jaman hapana 😂😂😂 umeona ugeuze na kiporo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asha jamani kilakitu umesahau kweli au umeamua tu 😂😂😂😂aah mm nakupenda mpaka basi tu from kenya 🇰🇪 ❤❤
Salehe tunaomba siku moja uwende kwa Mrs energy
TANESCO wamefanya yao katikati ya interview
Ok nimekumbuka kumbe wewe comedy😂😂😂😂😂
Oya salehe mbona Kwa CLAM VEVO auendi nenda bas tujue maisha yake anayoish
Afu kweli wamefanana na mariam amour
Nend kwa kwa wasanii wakubwa tuone nao maisha yao
Wasanii wetu ni waongo sana
Aisee mnapasha misosi kama mpo Ulaya
😂😂😂😂eti maji kwa katuni si frij😂😂😂
Nimependa mtaa anaokaa ashaboko jaman anaejua ni wapi nitafute dalali chapu
Yan inaonekana kabisa sio kwake yan km hajiamin jaman😂😂😂
Si kasema kapanga
Kwake kweli maana kwenye mpaka home alihoniwaga kipindi maisha Bado ya chini why asingefake kipindi hicho
Kwake bwana Kwan yeye hawezi kumiliki sehemu kama hiyo,half kingine anakigugumiz so unaweza kuhisi kama hajiamini 😂😂😂😂
Katanga sio nyumba yeke
Jamani yeye mwenyewe ameshasema amepanga
Labda halagi nyumbani mmmh
Cyo kwake hapo kwa mwanae, yeye kwake bagamoyo
Pata na ww mtt ukakae kwake
Hata yy kasema kapanga hapo
Panga na wewe umuite mama yako chokooo
Mi nilijua kakodi kumbe ni Kwa mwanae afadhalii
Ila tanescoo😅😅😅😅
Tuna pena uwende nyumbañi kwa alikiba harmonize daimond rayvanny
Utu oneshe maisha yawo yanyuma ya Kamera bro fanya ivo
Kwa diamond kwenda sio lahisi
Yani huyo kaka dah 😢
Wasanii wetu kuweni wakweli mnacho fanya ni kuwaharibu vijana wetu na kuwatia Tamaaa ambazo ni uongo mtupu,😮😮😮
I dont understand the languange but salehe anajua😂
Wakwanza leo😂
Ila munatabia mbaya kwani mtu mpaka aoneshe chumba anacholala sio masikizano hayo
Kanifurahisha kukataaaa chumba I kwake maana mhh si heshmaa hata kidogo
Mmesha temea mate kwenye chakula😂😂😂😂
kipindi kizr jamani ongera mtangazaji 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Namkumbuka sharo milionea daaah😢 ile video ya chuki ni bule ashaboko nomaaaa🎉🎉🎉
Hii ni nyumba yake au apartment amepanga
Dotto Magari anasema kuna waandishi walimfuata wakamwambia atafute nyumba kali wafanyie kipindi aseme ndio kwake atrend akakataa, huwa najiuliza sana ni waandishi wa channel gani
Maybe zamaradi
Ni Hawa Hawa wa Zamaradi
😂😂huo umemee sasa ..ila tanesco jmn
Raha ya kiporo maji huwez pasha kiporo bila maj kitakuwa sio kiporo
Wapili naombeni like zangu plz😂
Anunue gar jaman huku Bagamoyo akipita hakuna hata anaepepesa jicho anaipuyanga Bagamoyo nzima na miguu
😀😀😀😀😀 kumbe
😂😂😂😂 Swaleh mpka ule 😂😂😂
Watatu mimi😂😂😂
Ashaboko anaishi vizuri na wala hajisifii ila wangekua awa maslay queen sasa weee tungekoma 😂😂😂🙌🏻
Mimi nmeona ni kwake ila haishi muda mrefu binti yake ndo yupo hapo