Diamond Amgusa pabaya Alikiba/Watauwana hawa/Ametoka na Mke wa Alikiba?/Amwita Malkia
Вставка
- Опубліковано 29 лип 2023
- Ni vuta nikuvute kati ya wakali wawili wa Bongo Fleva kati ya Alikiba na Diamond Platnumz kuhusu ushindani wao kwenye muziki. Diamond amemchana Alikiba kuwa hamzidi kwa chochote hadi kwa watoto wazuri na akamwambia kuwa Hata kwa swala la Amina analijua . Kauli hii imetafsiliwa kama Diamond alishawahi kutoka kimapenzi na Amina
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
----------------------------------------------------------------------------------- - Розваги
Kwann umuongelee mke wa mtu bishana na mziki broo tumekumindi team kiba
Ww umesikia neno mke Apo Tim malikia mnajisahaurisha Sana nyinyi malikia malanyingi anamuandama Simba alaf hamusemi me nimefrahi kuona Simba kamtorea uvivu malikia wenu
wanajifanya wamjini kat bebezao tunakula chinichini
🤴🤴🤴🤴kiba for real
Diamond katishaaaaa!!!safi kabisa
Hapo Mond kafeli sana angemshambulia kiba sio familia yake
Kwahiyo Amina ni mke wa Alikiba pekee au ni ushahidi wa kishamba
Ni Kenya we say hizo ni story za Jaba sasa mwingine ako biashara na mwingine anafanya vitu kwa ku enjoy tu 🤣 tafauti sana BIĞ up 👑👑 from 🇰🇪👊🏾
aaah diamond kamaind povu Kali yey mond kaend ulay au baye nindan ty
Wa ache maneno wafanye muziki
Si kwamba diamond si msanii mzuri ila aache kushambulia watu yeye ndiye analeta vita Tanzania maana wasanii wengi hawaendelei sasa mambo ya King 👑 Kiba inamhusu nini sasa Nkt! Siku hizi huku Kenya tunachoka na kelele ya Diamond si kwamba hatumpendi ila umbea wake. Wengi KENYA tunampenda KIBA kwa sababu mziki mzuri na umbea hana
Hujui nini maana ya kuchangamsha gemu eh
Simba pekee ndo akiongea kitu nchi inatetemeka, kibakula kachanwa ukweli mtupu anabustiwa sana, bila modi tungemsikia kwa nadra sana kama akina belly black na white tuu, Na pia asiache kumshukuru aliyewatengenezeaga hii bifu..
Unajidanganya2 ww mke wa alikiba hawezi akatoka na ww nimtu na heshima zake sio mjinga yule tafuta jengine lakuzungumza
Mambo ya wanawake achana nayo huezi yajua
nisawa tena diamond ako sawa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hapo minaona chuma itembee maana kutembea namke wamtu alafu unatangaza kwenye midia dah ifanyike kama walivofanya 2pac na Natorius b i g bac heshimaitapatikana Itakua fundisho
Kiba c mtu wakujionyesha mondi wachana na kibaaa🎉
Diamond na mpend sanaaaaaaaaaaaa ❤ tena sanaaaaaaaaaaaa nikit ambacho ajuwi t ❤️
Me 2❤️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🎺🎺
Simbaaaa no1
Alikiba Atulie levo zake kwasasa ni akina mbosso na lavalava baasi nasio simba teena 🤣🤣🤣
Simba uko Juuuuu👊 achana na kimbo huyo ana jipwaaaaa 💃🏿💃🏿📢📢
Uyu sio Simba. No mbua. Mungu amimsahau.
Kwavo mshamba sana kiba is king na atabaki kuwa king kamzidi nini anakula kwake au analala kwake mond atakufa na ushamba wake
Jaman mke Wa mtu kaliwa kaliwa hahahaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Diamond uwadharau wanawake
Alkiba is the one benefit ing from this beef, sababu yeye bila Mondi he is nowhere to be talked about.
Kweli uyu simba siku zote anazungumziwa lkn leo hii kuna kenge kayakanyaga mbona hana bahati uyo😅😅😅
But much easy dears... Fateni ton ex c'est ma femme ( your ex is my wife) ya Koffi.
Ali ana mu enjoy sana bi Amina na ndio maana ameamua kumuowa. Hata kama tunaimba nonsense mara Hekima ao busara iwe na fasi yake kwenye misemo.
Ximbaaaaaa...
Kaka maji yakimwagika ayazoleki kiba kaingia cha kike😅
We unaisaidia wanawke kuweka mimba
Nahisi chuma inatakiwailie
diamond atafuta kiki hajawai mla mke wa kiba wenda akawa yuwamtamani
Kwahiyo diamond alihisha mla mke wa kiba? K, nishida Kweli Kweli 😁😁
Simba ❤
Chumailie
hii ndo ile alieuziwa cheni kapewa cheni bandia na alietoa hela katoa hela bandia...ngoma draw
Ah Wapi wewe Malkia Wote Wema, jokate Hamisa Na Wengine wamekushinda ndani wameondoka a ha za ovyo. Huwezi kiba kwa lolote Kamuoe Juma lokole mkeo yaishe acha ujinga
😂😂😂lenu hilo hangaikeni nalo na mmpe Amina talaka
MBONA ANAPENDA KUMWONGELEA SANA MAMBO YA WATU HUYU DIAMOND SIO KIBA❤ TU ALAFU MNIAMBIE HIYO SI UMBEA MARA HARMONIZE MARA WIZKID MARA MARIOO MARA BURNABOY MARA JAY MELODY MARA MBONA YEYE NDO HUSHAMBULIA WASANII WENZAKE🤔
Ivi Tim malikia mnajisahaurisha kuwa mondi hajamjibu malikia siku nyingi malikia malanyingi anamsema Simba alaf Simba hua hawajibu nice Simba mwaka huu umeamua kimtorea uvivu kunya anye kuku akinya bada kaharisha acheni umaku
@@FestoReonadi-kq8kp😂😂😂nashangaa
Teja Mond ka feli kama Jigga na Nas. Enzi zile biff ilikuwaga ya Jigga na Nas mwisho wapo Jigga ali feli kwa ku mtaja sister wa Nas. Biff la mziki na biashara ni ingine !! Ikiwa personal una feli !! KingKiba mjanja saaana anatuma Teja Mond anavuka mipaka 😂😂😂
Ila diamond ana tabia chafu kila mwanamke wa mtu anampitia
Atafurishwa pumbu bas
Diamond mpumbavu
Simba kula wote 😂😂😂😂 manina zao
Mpe lake D coz wasanii wake hawafiki kokote. 👊😄