Allow kwel broo mana mi nilikuwa namkubal kwel kiba lakin kwa yeye kwenda Simba Mimi nimeamia kwa mond mjomba namwelewa mond acha na ukichanganya na ngoma zake tatu za mwisho allow mond mtu
Hv mnajua kitu tusichokijua wengi wetu ni kumshindanisha mtoto wa maskin na mtoto wa tajir. Eti unauliza nani mpambanaji. Endapo wote wana magari mazur ya kifahali, wana nyumba za kifahar, wana majina wote hata kama mtoto wa tajir atamzidi kidogo mtoto wa maskin basi ushindi anapaswa kupewa mtoto ambae wazazi wake ni maskin
Kuna wajinga wanapambanisha wizkid, davido, burnaboy kuwa diamond hawafikii hata robo. Kwangu mimi diamond ndie the real hustle kuwazid hao wote. Kwa fact zifuatazo. Nchi yetu inazidiwa sana uchumi na nigeria, inazidiwa wingi wa watu, inazidiwa hata uwezo wa kuongea kingereza, iko karibu na chi zilizoendelea zaidi kutupita sisi, iko karibu na nchi zinazojua miziki zaidi kutuzidi sisi. Haya nambieni. Ni lini nchi yetu tutaweza kuizidi nigeria japo katika, mpira, muziki, na mambo mengine. Kwa asilimia kubwa wanabagua sana ngoma zetu. Pili wao wako wengi ulaya kutuzid sisi. Ivyo ni rahisi sana kujipromote wao na kuturudisha sisi chini. Kitendo cha diamond, rayvany, eddykenzo na wengine kuwa nomineted BET. Ni ushindi tosha. Amini ndugu zangu. Hv unaweza amini kuwa dunia kwa sasa inamtambua rema kuliko diamond.😑, hamuoni kuwa huu ni ushubwada wa muziki duniani. Muziki pia fitina zipo nyingi. Tuamken tukubari wanachofanya vijana wenzangu. Honestry i appreciate them, mimi ukiniambia rema na marioo nachagua mario. Mimi naujua muziki. Ila watu ambao ni vipof wa muziki wanaweza sema rema ni bora kuliko marioo
I just love this guy.. Diamond is a big blessing to Africa.East Africa And in Tanzania..wwwooo..this guy knw hw to answer in an interview ❤❤❤❤mob love to Tanzania
Even Nigerians copy and sample from Americans...musimuingilie sana...ni ku copy na ku twist🤗🤗🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪Twampenda nyimbo za Mondi sana huku Kenya...Twaisupbiri official video ya ENJOY🎉🎉🎉🎉🎉
jina langu na lako mond ni moja so mm. na wee ni familia okay mond namjua huwa afanyi kitu kwa hasala utaona hata simba day atakuwepo bisha uone...🤣🤣🦁🦁🔥
Eti msani wa kwanza angelikua Wema sepetu bro big up sana wakuache wanao sema ume copy wafanye ngoma zao na wenyewe kwanza tuone wanafikiria kuimba ni maharage utachagua dakika chache uya tenge jikoni 😅😅😅😅😅😅😅
Kuna huyu mnyama Simba afu kuna hao wanyama wengine 😂😂 kuleni hicho chuma 😂
Kwa huu moto wa simba kuna wadogo zetu wamekosea kuchagua upande😂😂
hahahha live live
Wasikuzingue SIMBA hata kucopy nako ni sanaa,Anayesema umecopy mtume nae akacopy kisha tuone viewers wake,Waambie ivii Wacopy Afu na wewe copy kisha mtafutane kwenye Viewers 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yan washindane kuimba vya kuiba? 😂😂e
We matako2
Ujiskii unachosem ww
@@DanielAmos-eg7bh Tuliza Tako mboro haiitaji mawenge,Afu kwanini siku izi unauzaga matako huko Mombasa? Kwani sisi hatuna pesa ya kununua ama?
Hapo kwa Burna boy umelenga kabisa coz sio kwa sauti ile na bado miziki yake inapenya mpaka majuu.
Whatever!...
Hii nibomu halafu mwamba anaongea kwakujiamini kama zakayo wakati akipambana na goriati weeacha tu nampendaga sana
Zakayo na goliatiiii mmmmh apa umetupigaaaa😂😂😂😂😂
@@patrickmpangala3098😂😂😂😂😂😂😂
@@patrickmpangala3098tena na kitu kizito 😂 maan daudi kageuk zakayo
Hii video ya Refresh naiona ikiingia trending
Kabisa
😂😂😂😂
Balaaaa
𝙒𝙚 𝙨𝙞𝙢𝙗𝙖 𝙡𝙖 𝙢𝙖𝙨𝙞𝙢𝙗𝙖 𝙙𝙖𝙣𝙜𝙤𝙩𝙚𝙚𝙚𝙚🤣🤣
Kabisa
Amina 😂😂😂😂 Simba msalimie Amina
😂😂😂😂 Huyu ndo JAY-Z wa EA
Ukimkubali diamond basi ujue unampenda na Ali kiba
Umeongea point ya msingi Sana ndugu
Allow kwel broo mana mi nilikuwa namkubal kwel kiba lakin kwa yeye kwenda Simba Mimi nimeamia kwa mond mjomba namwelewa mond acha na ukichanganya na ngoma zake tatu za mwisho allow mond mtu
@@babuumtumaki3730 haha sindio ila tufanye hivi muziki na mpira inatuleta pamoja tufurahi tu no hard feelings
@@abdulnaseer8017 yeah bro tusiwe siriaz sana na hizi team kiba na timu mond ni ishu za kiburudani na furaha sio ugomvi
@@adolfmathew9698 yeah your very right maana at the end of the day ni entertainment tu
Diamond platinumz! Nimecheka sana
Ushamla Amina wa Kiba😂😂 Mond alijua kumshusha kiburi jamaa yetu😂😂😂
Na pia Kiba alikula Dada wa mondi so mchezo iko draw
Me bora nienjoy music ❤😂Simba 🔥
Ila diamond platinum niwaajabu sana kawatolea uvivu😂😂😂😂😂😂😂we nyokoooo wanyooosheeeeee😂😂😂😂😂😂
Nimekubali akili nyingi
Hii itaenda trending 😂😂😂😂
Mondiii atakae kupingaaa ni mchawiii hunabayaaa mjombaaaa ww ni Nuru ya mzki wa Tanzania yetu
Simba ni Simba Ata ale nyasi 🦁 hatawai badilika #diamond fans from🇰🇪🇰🇪 .
Unauhakika simba uliongea na hao wasanii wenye beats zao, mm sitaki tuaibike jamani🫣
🤦♂️ 😂😂😂Kama hana uhakika yye mwenyewe na mwenye wimbo Hashemi kitu, unataka upate wap uhakika! 😇, unaji umiza sana! 😂
Big ups Simba from DRC. Acha awo wa Nigeria wa seme. Wanakuogopa tu Simba🫡
He just called 21 savage, mzee ishirini na moja😂😂
So savage 😂
Ukweli uwa naenjoy mondi akifanya interview
Wanigeria wanaandika subtitle sahivi kwenye hii interview😂😂wakshaelewa ohoooo🔥🔥🔥
akili mingi sana hili simbaaaa
😂😂simba umenifurahisha sana
Napenda hapo kwa kula chuma hiyo😂😂😂😂
Mnyama chibu dangote tunajivunia wewe kaka kwakubeba nembo ya taifa mimi nasema hakuna tz kama wewe hongera sana kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂 broh kivumbi…!!!!!kula chuma hichooo😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂 mzee golira
Much love kwa simba
Acha waongee ila wanakukubal sana
Unyama nimwingi snaa🎉🔥🔥🔥
Utakuwa simba mpkmwisho hakuna wakukufikia watAbaki na wivu wao
Simba kama Simba dangote wanao mkubali Simba naombeni like zenu 💯💯💯
😂😂😂you take your Reign back King of the Jungle🦁🦁🦁
Nakubali Broo huboi wala huchuji sikuzote upo apo apoo Big Up broo
Oyaaaa kaka Kula chuma iyoooo kivumbi 🔥🔥🔥🔥
Hahahaah kaka kulachuma Iko kivumbi
Yan diamond usimpe nafasi akaongea😅😅hutoboooi
Zombi ndio S2keeyz?
Yah
Kula chuma iko kivumbi😂😂😂😂😂
I just love this guy with his music he's just talented sanaa tuseme tu ukweli tuache ma issue na tusema tu ukweli this guy is another level
Who?kiba ama diamond😅
Bomba sana kizazi #tellaaxistz
😂😂😂😂😂😂 MKALI WAHILI GAME
Oya weee kapita vizur na msitar wa lukamba 🔥🔥😁
Simba wetu sindiyo uyu❤❤
Acha ujnga kusifia wanaume wenzak
Ulipoa san sas umenguruma hatun maswal ya kujiuliz tena
Diamond kumpe comedian pia 😂😂 yani nime cheka 😂
Et kakaa kula chuma ikooo
Simbaaaaaaaa la ma simbaaaaaaaa gangote🎉😂
Simbaaaaaaaaa
Huyu ndio diamond 💎 ninae mjua,,tafsiri halisi ya mtoto wa kimaskini aliezipata. Full of majigambo
Bwege wew
Ukishazipata lazima utambe bwana pesa lazima iongee
Acha tu
@@MrTop-wj7nomkundu wewe
@@blessing-baraka. 😂😂
6:55 Mzee gorilla na mzee ishirini na moja😅😅😅😅
The one and only de best of Tz
Simbaa ❤❤❤simba wa masimba dangote❤❤ s2 noma baba
❤mamae bado hawajasem na watasema yan mpaka waseme😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Simba LA ma Simba dangote
😂😂😂😂 watachemaaaa tu 😂😂😂😂😂
Edward we ni kuma tu
Simba kasema 🌟
Duhhhh.........content sasa
Sanaa ni ubunif hata kucopy ni ubunif pia
Hv mnajua kitu tusichokijua wengi wetu ni kumshindanisha mtoto wa maskin na mtoto wa tajir. Eti unauliza nani mpambanaji. Endapo wote wana magari mazur ya kifahali, wana nyumba za kifahar, wana majina wote hata kama mtoto wa tajir atamzidi kidogo mtoto wa maskin basi ushindi anapaswa kupewa mtoto ambae wazazi wake ni maskin
Kuna wajinga wanapambanisha wizkid, davido, burnaboy kuwa diamond hawafikii hata robo. Kwangu mimi diamond ndie the real hustle kuwazid hao wote. Kwa fact zifuatazo. Nchi yetu inazidiwa sana uchumi na nigeria, inazidiwa wingi wa watu, inazidiwa hata uwezo wa kuongea kingereza, iko karibu na chi zilizoendelea zaidi kutupita sisi, iko karibu na nchi zinazojua miziki zaidi kutuzidi sisi. Haya nambieni. Ni lini nchi yetu tutaweza kuizidi nigeria japo katika, mpira, muziki, na mambo mengine. Kwa asilimia kubwa wanabagua sana ngoma zetu. Pili wao wako wengi ulaya kutuzid sisi. Ivyo ni rahisi sana kujipromote wao na kuturudisha sisi chini. Kitendo cha diamond, rayvany, eddykenzo na wengine kuwa nomineted BET. Ni ushindi tosha. Amini ndugu zangu. Hv unaweza amini kuwa dunia kwa sasa inamtambua rema kuliko diamond.😑, hamuoni kuwa huu ni ushubwada wa muziki duniani. Muziki pia fitina zipo nyingi. Tuamken tukubari wanachofanya vijana wenzangu. Honestry i appreciate them, mimi ukiniambia rema na marioo nachagua mario. Mimi naujua muziki. Ila watu ambao ni vipof wa muziki wanaweza sema rema ni bora kuliko marioo
Mifano ya plutnum nimeelewa barnaboy,davido sautizao zakawaida ila Sasa Wana mellod
Hahahahahahaha mondi unanifuraisha sana unasema kweli kweli tupu
Mzee kapanic story ya vocals 🤣🤣🤣🤣🤣
Staili ya kuongea afu mfatilie Chris brown speech zake utaona kuna staili zinafanan yan kuongea kwa upole afu kwa hisia za ndani kongore chbu😮
Nakubari simba la masimba dangote
MONDI AKILI NYINGI SANA MUNGU AMUWEKE SANA HII VIDEO TUMEOKOTA VINGI SANA HUMU.!! 🙌🙌🙌🙌🙏🤟
simba kama simba mbana pua wao kaishiwa
Diamond ana akili sana 🔥🔥🔥🔥🔥
I just love this guy.. Diamond is a big blessing to Africa.East Africa And in Tanzania..wwwooo..this guy knw hw to answer in an interview ❤❤❤❤mob love to Tanzania
Nimekuelewa simba💥💥
Za kichwaaaa nakubaliii simbaaaaaaa
Mondi ni msenge nyie😂😂😂
Sana yaani kiba hamuwezi huyu ni mswahili ajabu
Huyu ndo diamond tunaemjua
Huyu mwamb hata kwny interview zake huw anauwa san😂😂😂
Even Nigerians copy and sample from Americans...musimuingilie sana...ni ku copy na ku twist🤗🤗🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪Twampenda nyimbo za Mondi sana huku Kenya...Twaisupbiri official video ya ENJOY🎉🎉🎉🎉🎉
💞
Sana tu
Mond Mungu akubariki sana Piga kazi achana wenye Midomo Tanzania 🇹🇿 Miaka 💯
Simba la masimba dangoteee 🥶🦁😅😂
😂😂😂😂😂 daaah noma sanaa
jina langu na lako mond ni moja so mm. na wee ni familia okay mond namjua huwa afanyi kitu kwa hasala utaona hata simba day atakuwepo bisha uone...🤣🤣🦁🦁🔥
Eti msani wa kwanza angelikua Wema sepetu bro big up sana wakuache wanao sema ume copy wafanye ngoma zao na wenyewe kwanza tuone wanafikiria kuimba ni maharage utachagua dakika chache uya tenge jikoni 😅😅😅😅😅😅😅
Majibu ya mwisho ya interview hii ni yenyewe na nimeyaelewa sana .🎉🎉🎉🎉maua yake kwa Mond
Saf sana simba la masimba dangote
Nikivumbi
Oyaaa weeeh.. SIMBA ni mmoja2😂😂
We zombie 🧟♂️
Huyu jamaa anajua mpaka anakera
Simba
Tamos juntos!
Mm naomba tu wakubali diamond ni kaka yao amewaz kila kitu😄☺😊
DIAMOND 💎 NAOMBA CHENI MOJA
Kalii sanaaa 🔥
Yan ukinikata mwili wangu kitakachotoka ni simba mnyam kaka unatixha xana namim naomba mung akupe kibali uixhi miaka mingi xana nkukubali broo
Kaka kula chuma icho kivumbi 😅😅
Wapeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeedawa
Mkorogo umekubali😅
Sumu still best song
Mshamb2 uyo kondeboy for everybody
SIMBA 🦁❤️💯🔥🌍🔥
Hhhhhhhhha 🤣😂😂😂😂😂 kaka kulachuma iko ase
wapi like @Kula chuma hcho😅
Mimi nakutambua simba.
Talanta unayo baba.
*hatali sana😅😅*