AHMED ALLY AONGEA KWA UCHUNGU CHAMA SIO MCHEZAJI WETU TENA SIWEZI KUMUONGELEA FEI NDIO MBADALA
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
Huyu jamaa yuko smart Sana siyo wale oya oya ndiyo maana halisi ya semaji la CAF nakubali semaji one love❤❤❤❤
Yuko smart anaacha kuhojiwa anaulizia kula hahahaaaa
@@cosmasmwaitete5004 kajambe 😂
Simba nguvu moja, hata mm namkubali sana Ahmed Ally🦁💪🙏
Unajua maana ya smart? Huyu si ndo alimpromote Feisali kwenye page yake? Akamhoji mayele mchezaji wa timu nyingne? Huyo ni smart ktk level ya umbumbu kwasabbu huwa anakurupuka sana ktk vitu vingi sana
Unaongea kisomi sana bro nakubali✅✅✅
Miaka 3 chama yuko simba hakufa chochote ila migongano na coacher au wachezaji bora ameenda ndo maana alitaka mkataba wa miaka 2 maana umri umeenda ale mshahara wa bure pesa aliyotaka yy tunaleta wachezaji 2 na vijana bado maana tumeondoa kirusi ktk simba utaona simba bila yy ni bora
J.mtale yupo msiwaze semaji liko sahihi.
😂😂😂😂 zima mzk semaji linaongea
Ronaldo kaondoka Madrid na bado wanatamba TU sembuse chama
Hili nalo limekuuma axee. 😂😂😂😂
Sembuse chama Hilo neno
Aondoketuu
Hahaha huna ishu
Semaji la chama langu, upo vizuri sanaaaa❤❤❤
Mi ni simba forever mie sio mshabiki wa chama mi ni shabiki wa simba
Kbsaaa
Semaji uko vizuri ila tuna omba viongozi wawa sajili fesali na fisitoni mayele fuledi Hana uwezo wa kuchezea simba naye aende au mukopeshe kwa mkopo
Ase katika hatua Simba tuliyopiga ni hii ya kumnasa Ahmed Ally aka kispika 😅😅😅ana piga shuti la kuwanyamazisha midomo wapinzani lenye spidi ya treni sgr😂😂😂
Nakukubali Sana mashine yetu ya kuongea
Acha aende kazingua sna, utaniambia mziki tulionao Simba usajili huu utafurahi mwenyewe, Kila dirisha ana oandisha dau, sasa uko alipo enda uta niambia!! Nipo palee nakaa
Ata kuandika aujui..ndo maana aueleweki
@@JoslinMwakasonda Bora wewe unae jua mungu amekubariki,
Wapo wapi kinaokwi kagere sembuse huyo chama aende tyuu
Watakuja wengene tu na mtamsahau chama, Simba nguvu moja
Simba ndio imemtengeneza chama maana chama ametambulishwa na Simba naamini tutapata mfalme mwingine km chama wangap wamepita na bado Simba ipo imara Simba nguvu moja
Mwacheni chama aende , kule yanga watu wanafuata pesa za tozo, zinazotolewa na waziri wa mshiko
Bora ameondoka kelele zipungue ndan ya simba
Simba kubwa kuliko mchezaj yeyote
Siku zote hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho tupo kwa ajili ya kutengeneza timu na si kumnufaisha mtu
ILA NYIE MNASHANGAZA SANA KWANI CHAMA NIWAKWANZA KUHAMA TIMU?WAMEHAMA AKINA MESSI NA RONALDO NA MBAPPE HAO NI BAADHI TUU CHA AJABU NNN? WACHA WAPOTEZE MUDA WAO. HAWANA KAZI HAO. SASA ANGEKUWA MBAPPE BASI WAN NI MBAPPE INGEKUWAJE? C WANGETEMBEA NCHI NZIMA TUJIFUNZE KWA WENZETU HAWANA KELELE
watu wa mtaani kwangu nimewaambi yanga kumsajili chama ni mwanzo wa kuharibika kwa yanga ni mtazamo tu maana sajili yake ni ya kisiasa hivi.
unaweza kuwa na akili sana wewe na mtazamo wa mbali sana
Hakuna kitu kibaya Kama kujikaza kwenye maumivu makolo kulia ni dawa sio majungu Kama mlimucha talabu za nini mwaka lobo
Wale walio haidi ahadi basi watekeleze ahadi zao chonde chonde
Mwache aende si kaamua mwenyewe habembeleze yeye nani ? Lakini atajuta
Kaka wewe ndio fulaa yetukwasasa unatu weza😂😂zimamziki
Mm nataka simba wahame wote wote wote libaki neno simba tu basi mm nabaki na simba
Inabidi tumuache tu kwani hata yeye alikuwa na kero zake nyingi sana
Kwangu sina shida kabisa aende tu alikuwepo umefika muda wake sasa.
Umechemka sana. Kuondoka kwa Chama unakufananisha na kufa kwa Mtume Muhammad. Acha ujinga huo.
Wewe ndiyo mjinga wamwisho kwani chama nawachezaji wengine wanautofauti gani alikuwepo mwamba okwi na alikuwepo mbwana samata na kaipa pesa nyingi sana simba kauzwa mala mbili nzima nasimba ikafaidika kuuzwa kwake
Hujamuelewa alivyo ongea na alicho kimaanisha ahmedi,msikilize vizuri.
Mbn kaongea vizur kabsaaa na katoa mfano usio na haja ya swali Wala comment
Hapo alichokosea ni kuwa alitakiwa kusema "aliyekuwa akimuabudu Muhammad (s.a.w), Muhammad amekufa na aliyekuwa akimuabudu Allah(s.w), Allah yupo na hafi milele kwa maana anayepaswa kuabudiwa kwa haki ni Allah pekee. Na msemo huu ulitolewa na Swahaba Abubakar(a.s) baada ya Mtume kufa na baadhi ya maswahaba wakitaka kukataa taarifa hiyo ya kifo.
Hivyo mfano wa Chama hauingii hapo hata kidogo, chama ni mdogo mno na hajulikani na wengi pia hajafa
Ww kumbe ni chizi chama ni nani ww au chama na Simba Nan mkubwa usiishi kwa kukalili muache akatfte masilahi yake hata kama ungekuwa ww
Asei amedi aliy unajuwa kuongea we kwali mashine
Nina imani na Simba yangu na sikuwa na imani kwa chama peke yake
Mue mnaelewa ni mfano katoa wa kidini kujenga hoja yake
😂😂😂kaaaaa emmanuelmayunga 1518 nimecheka mbaka basi chama anakomwe kama kipaa kwakweli mwamba tunampenda tusijidanganye inatuumasema kujibalaguza
Semaji uko sahihi kwani wao mayere je
Dah uyu hanamfano hapa bongo apewe maua yake
Kuweni makini yule mungine ni oya oya
Timu isiishi kwa kumtegemea mtu. Simba itakuwa bora tu hata bila chama
Kwele ndokwanzaleo umeongea p
Eilm ipo semaji ujawai kukosea
Msemaji mwenye akili timamu
Chama anaumuhimu wake Simba tumepoteza mtu sana..hata tusemeje lkn tumechemka.
Watu wanajifariji tuunila ukweli umesema na akitupiga TU hata goli Moja ndo tutakapoumia yaani wewe acha tuu. Sisi tuwabebea kichwa wao morson lakini wao wamepiga pakubwa
Chama ameisaidia nn ssc tangia arudi kutoka Rs Bekane? Mfate
Football ni biashara hizi mambo ni kawaida tu hakuna pengo wala mwanya
Maisha yanawezekana bila chama ndugu wacha kuishi kwa kukariri
Sema umepoteza sio tumepoteza.. kama vopi hameni nae
Nakukubali semaji la caf
Kumlilia chama tu kumlipa aaah😂😂
Huna lolote wewe mbona ulipokua misri ulimtafuta mayele na kuongea nae kwani yule alikua mchezaji wenu.....?????
Inawauma..
Acha siasa mpira ni sayansi vunja mikataba mliowaleta kwa pacent zenu hatumtaki Jobe ,onana,abubakarsir,,Fred,kanute,
Hakika mwaka huu ligi ni ngum,simba fanyeni usajili kweli maana bila upendeleo yanga iko vizuri,kwa safu yao,ukiangalia Aziz k,pakome,chama,gwede,mzize,max,chama,hakika inatisha,sasa pamoja na kuleta dam changa lakini kama tutataka turudi kwenye ufalume wetu lazima kutafuta wachezaji wenye uzoefu na wenye uwezo wa hali ya juu,kwa hyo nilazima ufanyike usajili wa gharama.
Kaondoka medi kageree
Jobe hatumu taki eende
Simba nguvu 1 chama ndonani
SIZITAKI MBIVU HIZI.
Acha kufuru wewe
Timu kubwa sikuzote lkitaka mchezaji sehemu yyte anachukiliwa tu unasemaje??
Inauma lakini mtasahau kama Sisi tulivyoumia kuhusu mayele, lakini ilifika mda tulikubali na kuelewa kua timu Ni kubwa kuliko mchezaji ..mjipe mda mtasahau tu
Nikweli mtani Hilo neno
Kama jobe yupo Simba Amna kitu kwasasa wala sipati tabu yakushaingilia timu yetu ya wababaishaji
Wapo zaidi ya Chama Chama aliikuta Simba na ametoka atakuja mwingine atatoka mwingine tena atatoka kikubwa umakini kwenye usajiri ili kumsahau aliyepita unahitajika hatutaki kubahatisha usajiri huu
Mbona sauti Dongo .nipe like zangu kwaza ,🇨🇩🇨🇩
Simba nguv 1 Simba nikubwa kuliko chama acha aende zake mbn Simba ijayo inafurahisha
Hamna. Noma. Shehe❤😂😢😮😂❤
Kiukwel mm binafsi chama kaniuma kwenda yanga Bora angeenda Azam au biashala au nje ya nchi kulko yanga dah yaan naskitika kama vile kaaga dunia😂😂😂😂😢😅
Mimi nilisema simba ilitufke sehem nzur lazima cham aondoke amezeeka mguu mbovu kama majinjah aseeee anakimbia kama kilema na wakati n mzima
Sahivi unajishauaa tu ! Jana ulisemaje weeeee ! Hahahaha 🤣🤣 kolozidaaadi nyiee 🤣🤣
Sasa kakosea nin kwa kunukuu kauli ya saydina Abuu bakar sema yey kakosea sentence isimayo aliye kua anamubudu Allah Allah yu hai
Iila harmonize
Chama ni binadam km wengine ,, hta asingetoka ipo siku angestaaf,,
Yani mnamwachia chama kwenda kwa yanga mmenifanya nikumbuke zile gori 5 kila mda
Wale ambao walitoa ahadi tunaomba itekelezwe jamaniiiiiii!!
bila kuficha nimeumia sana na nadhani wapenzi wangu wameumia kama mm, lakini mwache aende japo tulimpenda sana, viongozi wanapaswa kulaumiwa kushindwa kumbakiza chama. yawezekana chama alichoka na kero za uongozi labda.
lakini angalizo kwa chama wachezaji waliokuwa vipenzi vya timu hz 2 ukuhamia upande wa 2 mafanikio huwa kidogo. but tumtakie kila la heri huko mbele ya safari.YAKIMSHINDA TUMWAMBIE ARUDI SIMBA NI KWAKE
Huyo nae ana usimarti gani sasa au hunataka kitulazimisha tucheke😮😮😮
Tulimpenda lakini kaamua kuondoka imetosha tutafute mubadala wa kutuvusha
Kwel
Kwenye jina langu ongeza chama jr hapn mbelen🎉🎉🎉 I love you yanga 💚💛💚💛💚
Aende Simba ni kubwa kuliko yeye so
Always simba❤
For real it's more pain Chama to go to Nyuma mwiko 😢😢but any way let us to forgot him
To forget not to forgot
Ila Ahmedally bana. Eti mashine ya kuongea😂😂
we have failed greatly Ahmed;no chama the gap is obvious;bad enough :wale uliwaita Madeni Fc wametupiga mchana peupe
Ww mshamba wa mpira
Ni kweli Kama anayempenda chama kuliko Simba ssc,amfuate Aliko hamia.
Ameingia kwenye kumi na nane ya watu😂😂😂😂
Hakika simba kubwa kuliko chama
Huyo nae ana usimarti gani sasa au hunataka kitulazimisha tucheke😮😮😮
Unahojiwa unawaza kula Daah hili kenge kweli li Amed ally
Ila huyu jamaaa 🙌🙌
Aende tu akahongwe vizuri
Msimu ujao Simba itashika nafasi ya tano
Ongera sana semaji lakafu ❤❤❤❤❤🎉🎉
Pa omar jobe bado yupo sana simba 😂😂😂 dah' simba yangu
Semaji kafurah chama kwenda yanga😂😂😊
nasibuu vipiii punguza mziki bhanaa😂😂😂😂
Ishu ipo wazi..chama kwenda Yanga ndiyo inayosumbua.not otherwise
Muache aende kama ameamua kwenda .
kabisa
Chama siokitu acha aondoke
Huyujama anaakilikubwa
Daa CHAMA NI KAMA MTUME MOHAMAD
Semaji Leo umeongea vzr San kwasababu yey ni Nani kwenye simba tuaze maisha mpy
Yyy
@@DidahsMisana wangemuacha saidoo wamutoe Chama mim nimeumia na said huyo Cham aende 2 teen namtakia safari njeem
Chama ndio kaamua kuondoka simba kuanzia viongoz, mashabiki na simba woote; hawakutaka kabisa chama aondoke kafuata mpunga mnene lkn wasijipe moyo wameumia sanaaaaa
Kila la kheriii kwake
maskin umekuw mpoleee😂😂
Simba nguvu moja
Mbape yupo free..
Jmn Nasibuuuuuu😂😂😂
😂😂😂😂mbn sion bwebwee😂😂😂😂