Mke wa Alikiba amjibu hivi Diamond baada ya kusema amewahi Kutembea Nae/Amfananisha na Mnyama
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Mke wa Staa wa Muziki @officialalikiba , @aileenalora ameamua kuvunja ukimya juu ya kauli ya Staa wa Muziki @diamondplatnumz alioitoa na kumuhusisha kuwa habari za yeye na #Amina #Alikiba anazijua kauli ambayo wengi wameitafsiri kama #Diamond aliwahi kutoka kimapenzi na #Amina.
.
Kupitia insta story yake ameweka ujumbe akisema jambo ilo ni la kipuuzi huku akilaani vikali mtu kumkosea heshima Mwanamke bila heshima na kuonesha kushindwa kutofautisha Mwaname na mnyama.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Amina Rudi kwa mumeo please twapenda muwe pamoj
ata binadamu ni mnyama tofahuti akili
Itabidi amuombe msamaha mana Hiyo Siyo Kiki mzuri kabisa
Niko upande wako