Yanga SC 1-0 Kagera Sugar | Highlights | NBC Premier League - 08/05/2024
Вставка
- Опубліковано 20 вер 2024
- Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar.
Imeshinda goli 1-0 na goli limefungwa na Mudathir Yahya akipokea pasi kutoka kwa Stephane Aziz Ki
AZAM wamedhihirisha vita yao dhidi ya YANGA hata kuonyesha goli la YANGA hawataki kweli Azam wanachuki na yanga, YANGA inapambana na Marefa ,TFF Azam TV, Azam FC na Simba duh!,
Highlight ya Kiwaki sana hii! Acheni kuonyesha basi kabisa mechi za Yanga😊
Azam nyie amna tofauti na muamzi wa Leo, sasa inamaana gani ya highlights na goli lililofungwa atuajaona lilivoingia ?
Wametoa highlits mbili nyingine washatoa fatilia chin utaona
@@Vichris2237highlits mbili sawa hii ndefu ilobeba matukio mazima ya mechi na goli likiwepo, mbona hawakulionesha?? Mnafeli padogo AZAM 😢
Wazinguaji sana ao
Ajabu kweli
Ya guede sio offside kabisaaaaaaa....kanyimwa goli mwamba.....gamond ana haki ya kupaniki inakera
Asipofunga AZIZ KI STEPHANIE BADO pia muda ankooo wa simu Leo ataipata simu yake iloibwa🎉🎉
Wajitokeze wazamini wengine waonyeshe ligi kuu azam HAPANA HATUWATAKIII WABINAFSI
Leo Yanga imecheza timu 4 na Kagera, Azam Tv, Waamuzi na TFF.
kabisa
Hivi nini maan ya highlights halafu goli halionyeshwi
Historia imeandikwaaaa highlights ya kwanza duniani kutokuonyesha the only goal in a big competition 😂😂
Nini maana ya highlights,inamaana goli lilifungwa sio tukio muhimu kwenye mchezo. Kunapoelekea kila team hiwe na tv yake,azam tumewachoka.
Shanga na Ww
Mbona makasiliko au upande wa pili
Mmekuwa wapuuz nyie Azam vp hata goli halionekan
naona leo Dua yao yanga apoteze mechi
Video sio nzuri goli lenyewe halionekani lilipatikanaje!
Congratulations to our lads, it was a tough game but it counts as usual. Keep the energy, we have unfinished business with Azam...We want to make them regret!
Highlights gani goli halijaoneshwa sasa
Sasa Hilo Gori kwenye ubao hapo mbona hatujaliona likifungwa.... Au na ninyi huwa mnapitiwaa📌
Ila TFF na waamuzi wenu hawa nawahakikishia kunasiku litawakuta jambo na mtakosa wakumlilia...2 goli na hakuna of side.??kweli hazi ipo...
Azam mmeanza mambo ya hovyo Sasa itakua mnatuonesha ujinga kama Goli amnjaonesha siwezi Tena nkafungua Azam upande wa utube🏃🏃🏃
Azam mnatuonea wivu Yanga na mnamuonea wivu Mudadhir, mtambo wa magoli, mmeficha goli la kwanza.
Hivi hii mechi iliisha bila kufungana...!? Maana sijaona goal lolote....Azam mnaliwa jitathminini
mbna goli hatujaona shds nin ety
Oya Azam acheni usenge kwani sisi tunataka kuangalia kosa kosa kenge nyinyi mnakela marusharusha sana Bado goli na mnalirusha
Akuna kitu cha nyongeza ni alhamdulillah tu mengine tunamwachia Mungu
Allaah Akbar
Goal la mudathil halijawekwa kumanina zenu🙌
Mpira Gamondi-algentina ❤️
highlight si nzur goli la kwanza vip wamepeana ?
Mie Niko mnyarwanda rakini hiii yanga hifungwe ao bs igawe mutwambie siye banyarwanda
Ok poa banyarwanda tunawapenda
@@GeradinaJohn-xh8pw asanteni sana na siye pia tunawapenda wa Tz kwa ujumala
Fresh banyarwanda nimeelewa maneno mawili tu
@@DhulkifliMkiji 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂sehemu ya goli imekatwa
Wasenge essences
mayele tv katika ubora wenu mbwa nyie futeni highlights yote haina maana yyte kwahyo mechi iliisha bila kufungana??
Mbona goli lililopatikana halionekani limefungwaje? Azam nanyi mnakuwaje?
Inakuwaje offside wakati kabla Guede hajauwahi ule mpira uliyorudi kutoka golini rebound tayari mshika kibendera alishakuwa mbele ya Guede baada ya Guede kufunga goli ndiyo yule kibendera anaonekana kurudi nyuma na kunyoosha kibendera chake juu kuashiria ni offside! Sasa kama Guede alikuwa ni offside kwanini hasionyoosha kibendera pale pale aliposimama mara ya kwanza?!!
Waamuzi wetu ni majnga
Kipa alivyoingia kwenye nyavu 😂😂
Jifunze kuweka highlights pamoja na goli
highlight haina goal sijawai ona.
Kipa wa kagera sugar yumo sana.
Inamaana goli halipo kwenye highlight?????????
Naona matukio ya wamzi kukataa magol halali yamezidi kuongezeka hivi kalibuni
Mpka apigwe refa mmoja ndio wakae sawa
YANI SIJAONA HUDUMA YA UDHAMINI YA KIPUUZI KAMA YA HAWA JAMAA INATAKIWA IJE KAMPUNI KULETA USHINDA NI AZAM WANAZNGUA
Goli lmefungwa na nan sasa ntakuwa siangalii tena highlight zenu tenaa😢
kafungwa mtibwa ila walio umia cyo kolo tu mpk hawa wauza icream 😁😁
MB zangu zimeenda bure kwakua target yangu ilikua ni kuona Goal
Azamu hawataki kuona mudhathir akiwapigia cm tena kwenye uwanja wao 😂😂😂
Waamuzi bhna. Sasa offside ya goli la gwede iko api?
Azam vyote mmeonesha goli ni kitu Cha kutuficha jmn
HAWA AZAM WATAKUJA KULETA MGOGORO MKUBWA SERIKALI WEKENI MTAJI KWENYE TV TUACHANE NA AZAM TV
KUMBE NIMEGUNDUA YANGA INA WAPINZANI WENGI. GOLI HALALI KAM HILO UNALIKATAAJE SASA
Lkn mungu ametulinda tumepata point tatu muhimuuu
Wekeni highlight ya kueleweka kwanza fupi sijui mkoje mbwa nyie
Yanga oyeeee..
Goli mbona halipo??
Nakodoa macho mpaka yanauma goli hakuna jamani acheni kubana,acheni chuki binafsi
Bola msinge weka highlights au? Kwakua kafunga muda
Azam acheni usenge, where is gool
Azam tunaomba mjitahidi mlete VAR na Goal line Tech. Hawa waamuzi wetu wanajificha sana kwenyw kichaka cha makosa ya kibinadamu.
Natamani DStv wapambanie waonyeshe hii ligi, maana naona kabisa kila mfanyakazi wa Azam tv anahujumu avyojuwa.
Nyie wasenge ni highlight gani hii mnashindwa kuonesha matukio muhimu, kama mikundu inawawasha si museme tu.
Azam vp mnakwama wp goli mbona haturioni jamani so haki😮😮😮😮😮😮😮
Goli haliinekani kuingia mbona
Angalieni mwamuzi wa Leo kati ya Simba na azm Kuna vituko vikubwa.mwishini mwa ligi yetu waamuzi wanapewa maelekezo kama sio basi wachunguzwe
Ndo nini sasa Gamond anafanya jamani 😢
Kwani nn jmn ilo goli letu cjaliona hapa
Mbwa nyie sasa goli lililofungwa nmeonyesha wapi
kocha anapambana mpaka inafika pahali anataka ata kurusha ngumi hlf kuna pimbi mmoja atasema yanga wananunua mechi
Highlights hii haina maana yoyote
Mmeniharibia MB zangu...washenzi nyie
Azam azam Azam mnashidaa Gani 😢😢
Kwani hawa waamuzi huwa wanaokotwa wapi
Pamoja Na yang a kufanyiwa Gigisu kwa
Yanga.vs.yanga oyee
Mnaliwa na manyani😮
Huyu kocha ua anakaza sana.
sijawahi kuuna msaidizi mwehu kama huyu, hajui kutafsiri offside
Marefa na malinseman wanajaribu kuizuia Yanga lakini wapi sasa Yanga ikishatangaza ubingwa utashangaa vitendo walivyokuwa wanaifanyia Yanga vitayeyuka. Hii inaashiria walikuwa wanafanya hivyo makusudi ili Yanga isifanikiwe na kama mbinu ya kutaka kupata kitu.
Mbona goli hamuweki
Mimi natoka kagera rakini watoto wasituchezee wache yanga iitwe yanga
Mbona goli la gwede lipo clear there was no offside
Video mmehonesha vipande 2 weka saliyo
Waaamuzi wa mchongo hao
Goli liko wap
Hta kama hamjaonyesha gor, yanga daima mbele nyuma mwiko na ndo mtaishia shirikisho tuu labda hao simba wawaachieni point
Azam tv wasengeee San 😂😂😂😂😂 goliiii halipoo kumanina zenuuuu
Highlights haina goli, kweli wahandishi hawana d mbili
Azam niwapuuzi sana
Nyie wasenge kweli azam
Kwanini hamjaweka goli ?? Azam media mnaonesha wazi kabisa mna chuki na Yanga,
Mnachelewa saana
Wasenge Hawa Bora hata wachukuen
Dst tu
yani tukio la muhimu la gori halikuonyeshwa hahaha yani mnachuki nyie azam duuu
Uyu mzee nidham haba🤣
Mnazingua bas ifuteni mnaeka ya nn
Yanga inajimudu kwa hivyo azam sio lazima kurusha mechi za yanga.rusheni za simba na zenu.
Nyiee Azam makengeee Sana kwanini amjaonyesha goal
Umeshatuona sisi vibwengo wasenge hawa
Mtaan atakufa kw haw jamaaah
Wamekula chuma pamoja na waamuzi wao
Jamani sio Azam ni awa walio chukua izi krp ndo wamezingua
Ni azam bwana uchoyo mwingi
Kwan hilo gor vp mbona sielew apa azam mmepigaje apo? Mshaanza ubinafus eeh
Zamzam mnazengua sasa hii ndo nini
Mimi nimerudia Zaidi ya Tamara tatu sijaona goli
Azam mnafeli sana San sikuizi