Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

WEWE NDACHA NITAKUUA MIMI NATISHA //Prof MAZINGE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2023
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

КОМЕНТАРІ • 726

  • @kimanidatch6096
    @kimanidatch6096 Рік тому +9

    Mazinge Hana lengo la KUFUNDISHA,,Bali ana lengo la kukashfu....,Hawezi KUSAIDIA wale wasiojua...Ndacha ni Mwalimu wa kweli wa Neno la Mungu.,,Mazinge mpokee Yesu,vinginevyo utasaga meno jehunum.

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 2 місяці тому

      Nyinyi ndie mwasaidia watu kwakumwabudu binadamu mwenzenu

  • @user-uf4rz4hm8f
    @user-uf4rz4hm8f 4 місяці тому +9

    Ndacha umemzidi sana Mazinge.Ndacha ni profesa wa Injili

  • @hellen9056
    @hellen9056 2 місяці тому +3

    Ndacha Mungu akubariki.
    Sisi tulio soma biblia tunajua unasoma kweli
    Waislamu wanadangwanywa kweli kweli na walimu wao wachukua kakipengele wanasoma hawanalizi point
    Mimi siyo mfuatiliaji saaana lakini kwa point za Yesu ni Mungu Dah umesoma zile point muhimu sana Usisahau ile Mungu alisema huyu ni mwanangu mpendwa wangu nimependezwa nae

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Рік тому +35

    Ndacha wewe ni Mwalimu mzuri sana God bless you

    • @adarashidi8178
      @adarashidi8178 Рік тому +1

      Amen

    • @damianopetro5872
      @damianopetro5872 Рік тому

      Thanks ur one who made me embrace Islam

    • @fahadbabuy
      @fahadbabuy Рік тому +2

      Mwalimu muongo😂

    • @luluamin1388
      @luluamin1388 Рік тому +2

      Mungejua maandiko basi musingeli msikiliza huyu ndacha conman wa maandiko

    • @martoo539
      @martoo539 8 місяців тому

      ​@@ARUWAAHMADA-jz9msmumeshdwa 😁😁kila saaa nkisema mohammand who Did nothing

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 2 місяці тому +4

    😂😂😂Ila wesilamu wanahitaji neema ya Kristo ndo mahana wakipata neema yakuwa wakrsto wanaitumia vyema karibu Kwa YESU aiseeee wote waisilamu ❤

  • @phenomenalsam.5722
    @phenomenalsam.5722 8 місяців тому +6

    Paul umefunzwa na mungu kusoma ,, 😂😂God bless you dacha and paul

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Рік тому +38

    Najivunia Saana kuwa Mkristo... tuendelee sn kumuomba Mungu Baba,,,Mungu Mwana na Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏 aendelee kutubariki Milele Daima

    • @111dudi
      @111dudi Рік тому +5

      Mpaka sasa hamjui nani mungu. Kuna mungu aliyefia msalabani,kuna mungu roho hata haijulilani yuko vipi,kuna mungu baba, hamjui kama alikuwa baba vipi, nani mkewe.

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 Рік тому +4

      @@111dudi Pia Kuna Mungu Roho Mtakatifu yeye alikuja Duniani baada ya Yesu Kristo Wakati alivyokuwa akipaa Mbinguni alisema "Nitawaachieni Mrithi Wangu ambaye ni Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu nafsi ya 3...lolote zuri mtakalomuomba hakika mtaokolewa

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 Рік тому +3

      @@111dudi Soma sn Biblia Kisha anza kwenda Kanisani hususani dhehebu la Roman Catholic ndipo utajua kuwa Mwenyezi Mungu ni Mmoja ila amegawanyika nafsi 3....Mungu Baba,,, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏

    • @111dudi
      @111dudi Рік тому

      @@yohanakiyumbi4795 Dhehebu hili linajulikama kwa kuruhusu watu wa jinsia moja kuoana na kuna mapasta mashoga. Astaghfiru Llah

    • @akibaali1450
      @akibaali1450 Рік тому +1

      Umepotea njoo kwenye dini ya haki na ukweli

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 2 місяці тому +3

    Najivunia jina la YESU sina mashaka wala sitishiki ❤❤❤

  • @user-bx6xr6uz5l
    @user-bx6xr6uz5l 7 місяців тому +2

    Kazi nzuri ndacha mungu akubariki

  • @patrickodhiambo9341
    @patrickodhiambo9341 5 місяців тому +3

    Ndacha 🎉🎉

  • @kayeesbelewa4819
    @kayeesbelewa4819 Рік тому +6

    Mazinge comedian kweli,neno hana ila anamaneno

  • @byakomasoka988
    @byakomasoka988 2 місяці тому +1

    Kwa yesu kristo nimeshika kabisa siwezi mwacha kamwe❤❤❤❤❤❤yesu kristo namba moja 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @franckilunga2086
    @franckilunga2086 Рік тому +5

    Mazinge huyo ni comedian kabisa. Mungu hawezi kuwa mjinga, huyo mwalimu anakufuru neno lamungu.
    Nawaonea huruma atawale kina mama wapikao kelele na mkutano wote.😢

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi9964 Рік тому +23

    Mashallah tabarakallah nakupenda Sana shekhe wangu mazinge upo vizur ndacha unamgalagaza tu Ila haelew

    • @111dudi
      @111dudi Рік тому

      Tena yuko vizuri sana.kiboko ya wahubiri wa kikristo kama Ndacha wanaotimia ujaja ili washinde

    • @janenjeri9750
      @janenjeri9750 Рік тому +1

      Ngoja hukumu,utamtafa umkosee
      Unaskiza ukweli ila bado unakataa,ole wako
      U

    • @111dudi
      @111dudi Рік тому

      @@janenjeri9750 Biblia yenu imebadilishwa mara chungu nzima. Pope wenu anahalalisha ushoga. Na anataka aibadilishe biblia.na bado mnadai no neno la mungu. Wachungaji wenu na mapadri wanadai wanahubiri neno la mungu, ni wafanyakazi tuu wanalipwa mshahara na watu, siku mshahara ukisimama na kuhubiri wanaacha,kama Ndacha.sio kama waislam ambao mshahara wao unatoka kwa mungu. Mbona ham fungua akili zenu

  • @user-iz6rw6qx8w
    @user-iz6rw6qx8w 6 місяців тому +11

    Mzinge pongezi katika dini ya kiisilam mngu akulipe inshallah na akujalie maisha mrefu pia

  • @abdallaheji1269
    @abdallaheji1269 Рік тому +9

    Mazinge uko vizuri sana

  • @franknzegenuka2335
    @franknzegenuka2335 Рік тому +18

    Sheikh Mazinge unapoteza point, jibu swali kwanza. Ndacha ni fireee 🔥🔥🔥

    • @111dudi
      @111dudi Рік тому +3

      Ndacha ni muongo anabadili aya apate kushinda

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 Рік тому +2

      Shida yao hawa wanajibu bila hoja.

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 Рік тому +3

      Ni kwl kbs ndugu...Mazinge hana Point za Msingi ila anataka kubishana na Imani ya Ukweli ya Kikristo

  • @juliuslangat3970
    @juliuslangat3970 Рік тому +12

    Ndacha Mungu akuongoze my brother

    • @ismailkarani7972
      @ismailkarani7972 Рік тому +1

      Aongozwe au amepotea

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 Рік тому

      Bora umuombee maana anajithidi kupoteza watu.

    • @OmanOman-yk8kl
      @OmanOman-yk8kl Рік тому +1

      ​@@mzeerajab9154 ninyi ndo mmepotea

    • @philbertkabengo7905
      @philbertkabengo7905 4 місяці тому

      NDACHA UNAUJUZ NA MARIFA YA MAANDIKO MUNGU AKUONGEZEEE MEMA YA NCHI NA UKUPE UFULME WAKE🙏🏿

  • @user-fd7jy2gf3n
    @user-fd7jy2gf3n 6 місяців тому +5

    Mimi ukristo sitoki mazinge huyu Jamaa sio rikalako maswaliyako kajibu vilivyo wewe haujajibu hadi mmoja porojo tu zako

  • @peterraphael7132
    @peterraphael7132 Рік тому +6

    Nakuamini sana mwalimu wa kisabato jina ngumu kuandika

  • @countercheck887
    @countercheck887 Рік тому +24

    Mwalimu Ndacha Mungu akubariki na akulinde wewe ni dawa ya mazinge 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @adarashidi8178
      @adarashidi8178 Рік тому +2

      AMEN 🙏🔥🙌

    • @111dudi
      @111dudi Рік тому +1

      Soma jibu langu.huyo Ndacha mpiga viraka wa aya.muongo

    • @legend9805
      @legend9805 Рік тому +3

      Hakuna duniani ana elimu ya kuwashinda waislamu. Mungu amewapa elimu

    • @orotancnelly3047
      @orotancnelly3047 11 місяців тому

      AMEN 🙏

    • @user-bt6mz8gd4x
      @user-bt6mz8gd4x 3 місяці тому

      Kabxa

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 6 місяців тому +5

    ALHAMDULILLAH and im proud to be a Muslim. Kitabu chetu Quran hakijawahi na hakitowahi kutiwa mkono, Wakristo kuna maagano kibao,

    • @researchcorner.
      @researchcorner. 6 місяців тому

      Mazinge Hana hoja

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow Місяць тому

      Mnaabudu shetani waisilamu

    • @RoseMuniss-y5q
      @RoseMuniss-y5q 15 днів тому

      Kishabadilishwa sana tuu kilichokua halisi kilikua na page 7 na pombe ilihalalishwa lakini izo Aya zilifutwa na kubadilishwaa😊😊😊😊 familia au waulize waliokuzid

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Рік тому +4

    Mazinge na huyo msomaji wKo, mwajua wasema uongo

  • @wizdannymoshi3132
    @wizdannymoshi3132 Рік тому +3

    Ndacha unafundisha kwel ila mazinge unapoteza waisilamu maznge unamkoxea mungu hufai kuw mwalimu

  • @naiknaik2816
    @naiknaik2816 Рік тому +32

    MashaAllah Sheikh mazinge Allah akupe umri refu enye ibada na baraka inshaAllah

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 Рік тому +1

      Bado kidogo tu Mazinge atakua mchungaji Mazinge

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 Рік тому +1

      @@saulidongo1865 Ndoto za Mchana Mazinge kuingia ukafiri wa Kikristo.

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 Рік тому

      @@mansooralaisri5200 Allah akufundishe hutaambia wakristo kafir tena.

  • @user-iy2rz4dx5d
    @user-iy2rz4dx5d 2 місяці тому +2

    Najivunia kua Muslim hao makafir Hawana jipya mazinge mungu akulipe insha allah

  • @philimaroa8021
    @philimaroa8021 Рік тому +3

    Namshukuru yesu juu nimewaona hao waislamu wakikimbilia iyo damu ya yesu nakuinywa

    • @estersindano3485
      @estersindano3485 Рік тому +1

      Wewe muislam wewe unaedanganywa unashabikia unamdhihaki yesu nakuhurumia sana

  • @RajabuKiedu
    @RajabuKiedu 27 днів тому

    Nashukuru mungu kwa kumpa maarifa mwalim ndacha na kuwafindisha hao waijue kweli ya mungu

  • @eliasemanuel2710
    @eliasemanuel2710 11 місяців тому +4

    Anaigiza cyo kama haelewi anasimamia anacho kuamini na siyo kilicho kweli... Mungu atamleta kwake one day

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 Рік тому +8

    Subhana Allah, maskini waimani,nawanajua

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime Місяць тому

    Ndasha nakupenda sana,unasoma mazuli

  • @user-vw4mr8mi6q
    @user-vw4mr8mi6q Рік тому +5

    Ndacha Mungu akurinde

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Рік тому +22

    Yesu Kristo ni kweli na tena njia ya kweli na uzima.

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz Рік тому +24

    Broo mazinge mungu akujalie umrimrefu utujuze tusio yajua katika uisilamu inshaAllah

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado Місяць тому +1

    We mazinge aujui zaidi yaushabiki

  • @MutembeiKamathi
    @MutembeiKamathi Місяць тому

    Mazige Hana point,,

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Рік тому +12

    Pro Mazinge Safi Sana Masha Allah

  • @everlynenanjala9747
    @everlynenanjala9747 Рік тому +7

    Ubarikiwe Sana mchungaji ndacha MUNGU baba akuinue kwa kazi nzuri unayo fanya,, tunaamini mungu atawafugua macho,,

  • @manasa2449
    @manasa2449 Рік тому +5

    Mazinge Allah akulinde na shari Amiin

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Рік тому +10

    Ah ya uyu sheih mazinge ni hatari yan Legend

  • @SamuelmuneneMuthoni
    @SamuelmuneneMuthoni 21 день тому

    Ubarikiwe sana mtumishi. Ndacha

  • @MaryNjeri-ox1ry
    @MaryNjeri-ox1ry 2 місяці тому +1

    Ndacha Mungu akusaidie

  • @user-fn1df9nj4r
    @user-fn1df9nj4r 7 місяців тому +4

    Pastor Dacha you are a great teacher,,God bless you alot,,

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado Місяць тому

    Uyu Mzee ajui et yesu ni muisilm au ni mkrsto yesu ni kristo ni cheo isilam ni unyenyekevu kwaio mkisema yesu ni muislamu pia mposawa au waislm amjui tafisl

  • @adlainekamonya-ic2kq
    @adlainekamonya-ic2kq Рік тому +9

    mm Huwa sisikizi COMEDIAN MAZINGE😂😂😂... Huwa nazongeza tu mbele kumsikiza Ndacha ... Mungu akubariki Ndacha🙏🙏🙏

  • @ghyslainmulume8301
    @ghyslainmulume8301 4 місяці тому

    Ndacha,Mungu akupe maisha marefu,ili uzidi ku tuelimisha,yesu Cristo akufiche kwa damu yake.

  • @MarthaJoy-lx2qk
    @MarthaJoy-lx2qk 5 місяців тому +2

    Kwa kweli Ndacha wewe ndani kwako muna nguvuza Mungu aline hayi

  • @RamadhanAdam-up6qv
    @RamadhanAdam-up6qv Рік тому +4

    Ama kwer Dunia inafika mwisho Hawa makafiri wanapotosha sana watu mungu wasaidie viongozo wetu waweze kutoa erimu ishaaallah mungu tujalie mwisho mwema

    • @SugowFarah-up3db
      @SugowFarah-up3db Рік тому

      Hawatoshi mboga. Makafiri ni watu wasio na dini ila sisi twaenda na muongozo wa Qur'aan

    • @v_simon2677
      @v_simon2677 Рік тому

      Umefumbwa na ibilisi kaka Mungu akutoe gizan

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 10 місяців тому

      Amiiiiiiiiin yaraabiiilaalamini

    • @user-wp1wz9ew8f
      @user-wp1wz9ew8f 7 місяців тому

      Kafiri wewe unaeabudu na majini msikitini

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 Рік тому +1

    Mazinge mbabaishaji tu anajibu tofauti na swali aliloulizwa.

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Рік тому +15

    Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umri 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw Рік тому +8

    Mashallah mwalimu Mazinge ...Sisi hapa tulislimu alhamdulilah.❤❤❤

  • @thomasoloka3550
    @thomasoloka3550 Рік тому +16

    Shehk mazige pigania dini ya uislamu Allah akuwake tebeza kalima ya lailahailala muhamad rasululahi

  • @MeshackTanui-w2j
    @MeshackTanui-w2j Місяць тому

    Ndacha kept up❤

  • @Elesciahmdugo
    @Elesciahmdugo 7 днів тому

    Yesu aliingia msikitini, na ukiristo ulianza baada ya yesu kuanza kuwa na wanafunzi kumi na mbili na baada kuondoka duniani ukiristo uliendelea na makanisa yakaendelea . Ila mdahalo unazidi kutuimarisha sote katika imani iwe uislam au ukiristo.

  • @marwasamwel5668
    @marwasamwel5668 6 місяців тому +1

    Amen pastor Ndacha mungu akubariki kwa ukweli wako

  • @janenjeri9750
    @janenjeri9750 Рік тому +3

    Ndacha mambo yote,ila naomba Mungu wetu mwenye nguvu awafungue waislamu macho,maana ni vipofu kabla MDA haujaisha

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Рік тому +2

    Hongera Saana Mwl. Ndacha... hakika Wewe ni genius,,, unaakili Sana unasoma sn Biblia Ubarikiwe Saana 🔥🔥🔥🔥🔥 Tumsifu Yesu Kristo 🙏🙏🙏🙏

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi9659 Рік тому +14

    Masha Allah mashehe wetu wote Mola awalipe na Janatul Firdaus

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Місяць тому

    Mungu hana chaprofesa kwakuwa profess auelimu nibahari naniyaMungupia.

  • @petermwelesa1749
    @petermwelesa1749 4 місяці тому +2

    ❤ndacha barikiwa mkuu

  • @NtirenganyaEric-bg3ye
    @NtirenganyaEric-bg3ye Місяць тому

    Mwarimu muzor ndaca!! wambie mungu agipenda wataokoka!!! Jili Yesu wet muwezayote

  • @mwoso
    @mwoso 2 місяці тому

    Hapo Mazinge alilemewa na hoja.

  • @AhmadijumaJuma-fq2td
    @AhmadijumaJuma-fq2td 7 місяців тому +1

    Namshukulu Allah kwakunijalia kua muislamu halmadulillah wakiristo tokeni uko mnapotea uislamu ndodini ya aki akuna dini inayoitwa ukiristo

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 6 місяців тому

      Mnatembea uchi siku ya Ijumaa na wakati wa kwenda msikitini hsmvai chupi😂😂😂😂

  • @kisosekatere6282
    @kisosekatere6282 11 місяців тому +1

    Huyu Sheik Mazinge yuko mbali sana na maandiko na mbona Ndacha alioneaha neno liko wazi Majina yameandikwa mbinguni Biblia ilioesha wanao hubiri Injili majina yao Yameandikwa Mbinguni, pili unakataa hutaki tafsiri ya Kanisa sasa uelezwe namna gani wakati maandiko yako wazi, Bila Ushabiki Elim na uelewa wa vitabu Ndacha yupo juu sana kuko S. Mazinge

  • @faridarahma4050
    @faridarahma4050 Рік тому +4

    Pro Mashaallah

  • @zaudaislam2120
    @zaudaislam2120 Рік тому +5

    Alhamdulillah kuzaliwa muislam n inshaallah mungu awaongoze hawa makafiri

  • @Davidjame711
    @Davidjame711 Рік тому +6

    Yaani hatari sana mazinge ameona kivumbi kikali sana hata yeye anayua ilo

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 2 місяці тому

      Hakuna anae weza muonyesha mazinge kuvumbi ata siku moja

  • @peteronjenga9954
    @peteronjenga9954 Рік тому +5

    Ndacha ndie dawa ya Mazinge...Mungu ambariki Ndacha na amuongeze maisha marefu🙏🙏

    • @111dudi
      @111dudi Рік тому

      Mazinge kiboko ya Ndacha, janja yake ya uongo inapigwa nyundo na Mazinge

    • @luqmanjabal9573
      @luqmanjabal9573 11 місяців тому

      Hakuna ubaya kueleza mawazo na matamanio yenu.Mawazo dufu.

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 Рік тому

    Ndacha MUNGU akubariki kwa ujasiri ulionaoo.iuko pekeyako lkn uko na ujasiri lkn najua YESU yuko ndani yako ndo huo ujasiri. Barikiwa sana

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 Рік тому

      Ndacha yuwa poteza watu fatilia vizuri vitabu yye yuwaunga unga ili apate ugali wake

  • @muvurwanezaanitha742
    @muvurwanezaanitha742 Рік тому +1

    Ayo mamboyenu yatutosha mkristo abaki mkristo mwisilamu abaki mwisilamu ila ukweli wote mashee munajuwa kuwa Kristo ndiye njiya yapeke ya kwenda mbinguni

  • @oyayatimothy1290
    @oyayatimothy1290 Рік тому +9

    Pastor Ndacha elimisha hao watu, masheikh wametuchosha

  • @gabinoamanaka3444
    @gabinoamanaka3444 Рік тому +3

    We ndacha chunga sanaa hawa watu wanaweza waka kuuwa ulisema kwa jenga ulivamiwa wakapasua vioo vya gari yako hawa watu hawana imani mioyoni mwao hivi unavyo wapea dose chunga sana

    • @abuuhassani497
      @abuuhassani497 3 місяці тому

      Acha woga ndacha Elimu hana

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 2 місяці тому

      Auliwe kisa anini cha maana sana huyo Ndacha ywawapoteza kabisaa mungu alitairiwa wapi kwa wapi

    • @RoseMuniss-y5q
      @RoseMuniss-y5q 15 днів тому

      ​@@abuuhassani497 uyo mazinge ndo kilaza kabsa anajichekesha hana ata fact...ndacha anakupatia adi andiko

  • @issabella1455
    @issabella1455 Рік тому +1

    Mazinge acha kudanganya watu yesu siyo mweslamu kwanini unapoteza watu🇹🇿🇿🇲

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Рік тому +1

    Mazinge ni mbwembwe na sarakasi kuwadanganya hao waisilamu

  • @thureyazuheir293
    @thureyazuheir293 Рік тому +7

    ya allah ya maliki tupe mwisho mwema ya matini

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Рік тому

      Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому +1

    Pole sana Sh.Mazinge jumbe bado mdahalo unaendelea

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw 11 місяців тому

    Waislamu wanajua tu takbirrr. Mazinge hajajibu swali.

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 Рік тому +3

    Ndacha juu sana God bless you

  • @user-bl9uh8sw3g
    @user-bl9uh8sw3g 6 місяців тому +2

    Teacher Mazinge ❤❤❤❤❤

  • @alingoevans5026
    @alingoevans5026 4 місяці тому +2

    Wakristo 🎉nyie hatari

  • @KhairunRashid
    @KhairunRashid 4 місяці тому

    Wallah I'm proud to get a professor like you who knows the right of his religion

  • @evansjoshua-ms3mg
    @evansjoshua-ms3mg 2 місяці тому

    Mafundizo mazuri mwalimu Andacha pongezi

  • @adnanel-islam3291
    @adnanel-islam3291 Рік тому +8

    Mazinge Mungu akulinde .
    Nazani Waliokufuru pia wanakukubali

  • @princejuma-vx1zk
    @princejuma-vx1zk Рік тому +10

    Makafiri huwa wanatetema kwa hofu wakimuona mazinge 🔥 🔥 🔥

    • @akibaali1450
      @akibaali1450 Рік тому

      Kabsaaa tena sanaaa

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Рік тому +2

      .wewe una wazimu tusimuogope Muhamadi tukamogope mazinge?kumbe hujamjua mkristo vizuriNdani ya kristo kuna nguvu za ajabu.

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Рік тому +1

      Huyo mazinge yuko kimwili zaidi .mazinge kashashidwa haongozwi na roho wa Mungu

    • @user-wp1wz9ew8f
      @user-wp1wz9ew8f 7 місяців тому

      Sis c makafiri na pia hatuwezi tetemeka Kwa majini maana tunae kristo ambae na fire ya kuwalipua ninyi majini ndo maana hamna neno la mungu mna maneno ya walimwengu

    • @abiyafocus6992
      @abiyafocus6992 5 місяців тому

      YANI NYINYI MNALALA NA MAJINI NDIYO MAANA AKILI HAMANA KABISA HAKUNA WAKUMUOGOPA HUYO NDACHA TUNAISHI KWA KUHESHIMIANA TO

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA Рік тому +2

    Ndacha Anajua Dini Hapo Kunawatu wanatumia Nguvu Na Kueleweka ngumu

  • @user-ve3wu5jn1l
    @user-ve3wu5jn1l 6 місяців тому

    Mazinge unatisha sana Allah akupe maisha marefu . Unapoteza pumzi kubwa kwa faida yao lakin ipo siku watakir

    • @mitchy2219
      @mitchy2219 6 місяців тому

      Kwa kweli mmdahalo huu una maana kubwa kwani kila mshirki wa dini yake anafahamu undani wa mafunzo yanayo zungumziwa hata hivyo una dhibitisha majibu yalio na ufasaha na dhihaka jibu linapotelewa sisawa kujibu swali ukijua unawapotosha wasikilizaji fursa ya kuto ona kweli la mjadala je kuna maana gani kua na mjadal kama huu uwe funzo kwa mumini si kila dini ifunze inayo wahusu washirika wao badala ya kushutumiana uzuri wa dini yao

  • @mwilaben193
    @mwilaben193 Рік тому +9

    May our heavenly father bless you pastor Ndacha

    • @lizndunchez720
      @lizndunchez720 7 місяців тому

      ​@@ARUWAAHMADA-jz9msww ndie utakufa ujinga yko mnaswli z kitoto sna

  • @datiusludovick8469
    @datiusludovick8469 5 місяців тому

    Ndacha mungu akuweke

  • @frankkaipa8925
    @frankkaipa8925 Рік тому +3

    Ndacha Mungu nimukubwa utabatizwa wote waislam

  • @frankmpembu
    @frankmpembu Рік тому +1

    Mazinge hana hoja, Nashukuru kuona baadhi ya Waislamu wanakuja kwa Yesu na kuukimbia Uislamu.

    • @abeidpazia1720
      @abeidpazia1720 Рік тому

      Labda wa kike afuate mume,,hakuna muislam mwenye akili aliyesoma uislam wake akaujua halafu aingie kwenye ukafir hata Kwa pesa yoyote.

  • @ipyanapaulo4774
    @ipyanapaulo4774 Рік тому +2

    Yesu ni bwana na mokozi

  • @RamadhanKarim-el6tv
    @RamadhanKarim-el6tv 6 місяців тому +1

    Professor mazege mweyezimuku akuweke tupe ndawa nya Allah salamwalekum warahmatullah wabarakatu

  • @mutulaObedi
    @mutulaObedi 4 місяці тому

    acha basi nikuombeye mweshimiwa mwalimu ndacha kama profisa wa injili tunakuitaji congo mwalimu wetu

  • @sheheemsikit-bw5vx
    @sheheemsikit-bw5vx Рік тому +4

    Mazinge mashaallah wafundishe hao

  • @djumanjike3256
    @djumanjike3256 Рік тому +11

    Mazinge Mungu akulipe kheri

  • @setcoonlinetv6655
    @setcoonlinetv6655 5 місяців тому +1

    Maa shaa Allah...
    Sheikh mazinge kama kuna mkristo yoyote hakuelewi basi hatokuja kuelewa maisha yake yote.
    Barrakallah fikuh
    Allah akupe umri mrefuu sheikh wetu

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp 3 місяці тому

    Heheeeee mashaAllah Shekhe wetu mazinge mungu akupe afya njema umri mrefu inshallah

  • @japhethmbusya
    @japhethmbusya Рік тому +12

    Huyu Mazinge ana argue kama mjinga hata akijibiwa haelewi😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣

  • @elijahmaina5878
    @elijahmaina5878 Рік тому +1

    Mwalimu Ndacha na wanzako Mungu na akulinde

  • @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj
    @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj 5 місяців тому +1

    Na huyu yesu ni mungu, ni nabii au mtoto wa mungu