SIFA ZA MWANAUME SAHIHI KWAKO.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Je Upo na mwanaume sahihi?
    Usiache ku Subscribe ili uendelee kupokea masomo yangu kila nitakapo post hapa, Asante sana.

КОМЕНТАРІ • 151

  • @SabasabaSeko
    @SabasabaSeko 2 місяці тому +1

    Ahsante Kwa mafundisho mazuri

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@SabasabaSeko karibu sn

  • @RenataSulley
    @RenataSulley Місяць тому +1

    Asante nimefurahia mafundisho yako

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  28 днів тому

      @@RenataSulley heri ya mwaka mpya, nakukaribisha kutazama Somo letu jipya lakufungulia mwaka, tayari video ipo hapa karibu utazame na tuendelee kujifunza pamoja, asante.

    • @RenataSulley
      @RenataSulley 26 днів тому +1

      @mbekitv693 Asante

  • @Haji-yr9db
    @Haji-yr9db 3 місяці тому +2

    Kuanzia leo nitafuatilia video zako ni nzuri sana sana jaman kaka ubarikiwe

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@Haji-yr9db asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @selina-tm7hv
    @selina-tm7hv 5 місяців тому +2

    ASANTE kwa ushauri mzur Mr GOD bless you AMEN

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@selina-tm7hv amina mpendwa😊🙏

  • @Haji-yr9db
    @Haji-yr9db 3 місяці тому +1

    Hii video ndio kwanza nimeitazama leo tu lkn nimejifunza vingi sana we ni zaid ya mwalimu asante sana ubarikiwe

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@Haji-yr9db asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @AnastaziaEmiry
    @AnastaziaEmiry 3 місяці тому +1

    Somo zur sana jaman

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@AnastaziaEmiry asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @RahimaHamisi-z3i
    @RahimaHamisi-z3i 2 місяці тому +1

    Ubalikiwe nimependa vidio zako nami napenda niwe mwana family

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@RahimaHamisi-z3i karibu sana🤝

  • @BenimanaJeannette-b3r
    @BenimanaJeannette-b3r 3 місяці тому +1

    Napenda shauri zako ongela sana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@BenimanaJeannette-b3r asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @TilferMtiga
    @TilferMtiga 6 місяців тому +1

    Ahsante sana brouh nimejifunza

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@TilferMtiga good😊💪

  • @Yuvilath
    @Yuvilath 4 місяці тому +3

    🙏🙏🙏🙏🙏haya mafundisho ukiya sikiliza unavukaaa kbsaaa❤❤❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@Yuvilath asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@Yuvilath asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 8 місяців тому +2

    Twafaidika sana mungu akulind

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому +1

      @@fatumakale7004 amina amina mpendwa😊🙏

  • @IreneSantu-fd7kb
    @IreneSantu-fd7kb 7 місяців тому +1

    Asante Kaka Mbeki,wewe ni mwalimu mzuri sana,nabarikiwa na vipindi vyako

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому +1

      @@IreneSantu-fd7kb asante sn mpendwa. Usiache ku subscribe🤝😊

  • @mbekitv693
    @mbekitv693  8 місяців тому +20

    JE HII VIDEO IMEKUSAIDIA?

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 7 місяців тому

      Mnoo

    • @aishajuma1739
      @aishajuma1739 7 місяців тому +3

      Imenisaidia sana shukuran ❤

    • @omankafa1555
      @omankafa1555 7 місяців тому

      Vp kuhusu mwanaume ambae lakifi ake Alikutongoza ukamwambia ukweli kua wew ni mpenzi wa rafiki ake ila huyo rafiki ake alipoenda kumuuriza kua yule Dada ni mpenzi wako uyo mpenzi wako akakukana mbele za watu kua wew si mpenzi wake kisha badae akakupigia sm na kusema nakupenda sana ila nilikukana sababu jamaa aliniuriza mbele za watu wengi ivi ipoje brother

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 7 місяців тому

      @@omankafa1555 unauliza nini ndugu yangu wakati jibu lipo wazi akutaki

    • @JohaynaKhamis-sv3yg
      @JohaynaKhamis-sv3yg 7 місяців тому

      Ndiyoo san asant kwa ujumbe mzuri

  • @delinevamwakapasa6948
    @delinevamwakapasa6948 7 місяців тому +1

    Aminaaa ubarikiwe sana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@delinevamwakapasa6948 asante sana mpendwa 😊🙏

  • @Wattingalby
    @Wattingalby 8 місяців тому +2

    Shukuran Kwa ujumbe huu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@Wattingalby karibu sn sana😊🙏

  • @GraceSteven-qq5hn
    @GraceSteven-qq5hn 8 місяців тому +2

    Ndio imenisaidia asant

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@GraceSteven-qq5hn good😀👏

  • @Tatufadhili-ud6se
    @Tatufadhili-ud6se 4 місяці тому +1

    Shukran brother god bless u ❤❤❤❤❤❤❤tunajifunza mengi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@Tatufadhili-ud6se asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 8 місяців тому +1

    Sana tu brother 👌💯

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@fatumakale7004 safı👏😊

  • @RehemaKiswago
    @RehemaKiswago 4 місяці тому +2

    asante san kaka

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@RehemaKiswago asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @MuniraAhmed-m7o
    @MuniraAhmed-m7o 8 місяців тому +2

    Shukran sana unafahamisha vizuri .
    Kweli uliposema wanaume wengine unapohitaji kuamua jambo flani kujifundishe yeye anakuvunja moyo inauma sana maana apo maneno tele utaambiwa hujui , huwezi , utashindwa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@MuniraAhmed-m7o yaaani ni changamoto kwakweli

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 8 місяців тому +1

    Asante kwa somo 🎉

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@fathiyahmuzney7367 karibu saaana 😀🙏

  • @IreneSantu-fd7kb
    @IreneSantu-fd7kb 6 місяців тому

    Asante Kaka Mbeki,mmh nimemuacha mwanaume wangu hanisapoti kwa lolote na pesa zangu anachukua za kwake sizijui kabisa😭

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@IreneSantu-fd7kb duh😰

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 5 місяців тому

      @@IreneSantu-fd7kb jamani mm mwanaume hata asipo nipa mia ila awe na UPENDO LUKUKI KWANGU WALLAH SINAHAJA YA MIA YAKE , YAN ANIJALI TU UKO WAPI MAMBO YAKO YALIENDAJE UNAENDELEAJE, YAN WANAUME WOTE WAMEKAA KUDANGA TU SIKUHIZI UPENDO HAWANA NGUVU ZA KIUME HAWANA , HELA HAWANA SA SIJUI UNAHAMASIKAJE MTU KUTOA HELA WAKATI HANA CHOCHOTE HAHAHAHAHAHAA AAAH JAMANI

  • @rahmasuleiman7888
    @rahmasuleiman7888 5 місяців тому +1

    Imenisaidia sana....

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@rahmasuleiman7888 woow vizuri sn👏

  • @DiannaJumanne-de1kk
    @DiannaJumanne-de1kk 6 місяців тому +3

    Me mwanaume wangu ana sifa hizi sana t sema ana shida moja anapenda sana kununa kitu kidogo t kazira

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому +3

      @@DiannaJumanne-de1kk kuna matatizo mengine yanakuwa kama maumbile, kwamaana ndio wamekuwa katika tabia hiyo tangia wakiwa wadogo.

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 3 місяці тому +1

    Naomba na mimi niunge kwenye group kaka Mbeki

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@judithmwambe4767 nicheki whatsapp

  • @HawaaMkubwa
    @HawaaMkubwa 6 місяців тому +1

    Shukran cna

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@HawaaMkubwa karibu sn😊

  • @LightnessMnyanga-uj4yx
    @LightnessMnyanga-uj4yx 7 місяців тому +5

    Nilikua na mwanaume, jamani mimi ndo wakumpa zawadi, mimi ndo wakumpigia simu , nikimuhitaji mpaka nimbembeleze kaaah , niliamua kuachana nae,

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 7 місяців тому +1

      Me too

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@LightnessMnyanga-uj4yx mmh

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@joycehaule9717 eeh

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 5 місяців тому +1

      Dada Poleee

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 5 місяців тому

      @@mbekitv693 yeye ananipigia cm ila sijajua anamashaka ya nn tukionana haongei chochote ananihudhi tutaonana tutaongea hata sio vya maana then tunaagana anaondoka au kama mm ndio nilienda naondoka
      Kunasaa nikawaza au hana hela anahofia nikawa nawaza nimpe ila sasa naogopa kumpa sasa mbona haongelei mambo ya mahusiano yetu ye anajichekesha tu mmmh so nawaza naweza muacha kumbe akawa mtu powa sana....

  • @nurugeogri
    @nurugeogri 8 місяців тому +1

    Samahani kaka mwanaume atakiuwende popote je ni sahihi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому +1

      @@nurugeogri inategemea na maisha mliyoyachagua cos mahusiano ni ya wawili hayafanani

  • @RoseNadine-z1e
    @RoseNadine-z1e 3 місяці тому +1

    Wangu aki saidia familia yangu ugonvi kidogo basi yote yana tapikwa uta fikiri shetani kaja

  • @bettymariga
    @bettymariga 8 місяців тому +1

    Asante Sana bro

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@bettymariga karibu sn😊❤️

    • @bettymariga
      @bettymariga 7 місяців тому

      @@mbekitv693 nimekaribia bro

  • @tausimustapha1019
    @tausimustapha1019 Місяць тому +1

    Nimejifunza mengi sana katika video hii 🙏❤️

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  28 днів тому

      @@tausimustapha1019 heri ya mwaka mpya, nakukaribisha kutazama Somo letu jipya lakufungulia mwaka, tayari video ipo hapa karibu utazame na tuendelee kujifunza pamoja, asante.

  • @AnatoriaGregory
    @AnatoriaGregory 7 місяців тому +1

    Kaka unaushauli mzur ahsate

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@AnatoriaGregory karibu sn mpendwa. Usiache ku subscribe

  • @AishaMohamed-q3l
    @AishaMohamed-q3l 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa 7 місяців тому +1

    Wakora

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@AkitakaHuwa 🤣🤣🙌

  • @AnjelNgongo
    @AnjelNgongo 5 місяців тому +2

    Mtu anekuoa lakini hakushilikishi kitu chake chochote na haongelei kitu cha maisha yenu anakupa hela ya kula 2 ila anakuona kama hujitambui

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому +1

      @@AnjelNgongo basi jitathmini..

  • @Wattingalby
    @Wattingalby 8 місяців тому +4

    M Wangu mpk awe Na shida zake ndo akupigie cm Na kuhusu uaminifu no no no muongo kupitiliza Na hata umuambie hili kosa hakubali wee Bora ukaushe au useme Kisha uombe musamaha tu😅😅😅😅

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@Wattingalby mmmh hii sio nzuri

  • @JacqulinedeogratiusKahwa
    @JacqulinedeogratiusKahwa 7 місяців тому +1

    Me nina mpenzi kwanza mzinzi,pili anapenda kunihusisha mambo yake yote.ila me sijamuelewaga pia anapenda twende mahali pamoja ila tu sikuhizi apendi kunipa raha. Pia sijui hatima yetu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@JacqulinedeogratiusKahwa myb anaenjoy kampani yako tu nothing more. So endelea kuangalia masomo yangu yaliyopita hapa hapa yanaweza kukusaidia kumjua vizuri

  • @MwanaShesha
    @MwanaShesha 6 місяців тому +1

    Nimekupata kipenzi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@MwanaShesha good👏

  • @nurugeogri
    @nurugeogri 8 місяців тому +1

    Ddio nimehiyelewa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@nurugeogri vizuri sna😀👏

  • @priscerjohn5788
    @priscerjohn5788 5 місяців тому +2

    Hamna mtu muleeeee.hakuna

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@priscerjohn5788 kuna nini tena😀

  • @PaulMihayo
    @PaulMihayo 3 місяці тому +1

    Kaka naomba ushauri wako,mimi nina mume na tuna watoto watatu lakini kinachonisumbua mimi kwa mume wangu,kila kosa hata kama ni kidogo analikuza na baadaye wewe umejua yameisha kumbe kapiga simu kimya kimya anakuchongea kwa wazazi wangu na baadaye wewe ukishajua kwamba kakuchongea kwa wazaz hadi kwa marafk zako anadai huyu mtoto wenu amenishida

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@PaulMihayo pole sn, karibu whatsapp

  • @neemajumbe5802
    @neemajumbe5802 8 місяців тому +1

    ❤❤❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@neemajumbe5802 ❤️❤️❤️❤️

  • @PaulMihayo
    @PaulMihayo 3 місяці тому

    Nisaidie kwa ushaur huyu ana malengo kweli,maana mara hatak anione kwenye matukio ya jamii misiba au shereh sijui shida nini,halafu kila unachomshaur hajal anajijal mwenyew

    • @jescakiswaga9682
      @jescakiswaga9682 3 місяці тому +1

      Amna kitu hapo maamuzi ni yako uendelee naye au uachane nae

  • @PaulMihayo
    @PaulMihayo 3 місяці тому +1

    Kwa mara ya mwisho kaniambia nakupa kazi tokea tuoane nani huwa ni chanzo cha migogoro wakati huo ww unjua kabisa chanzo ni yy sasa mm nimeona nikisema ni yy kitawaka,nilichomjb nikamwambia hii kazi ni ngum siwez kuifanya akakaa kmya

  • @PaulMihayo
    @PaulMihayo 3 місяці тому +1

    Akisafr yeye anachojal amekuachia matumiz,hana mda wakuwajulia hali hatakama mtu anaumwa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@PaulMihayo mh pole sn

  • @scolastikavictor
    @scolastikavictor 7 місяців тому +1

    Niunge kwenye group maana nimeipenda mafunzo yko plz niunge kwenye group

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому +1

      @@scolastikavictor 0659152333

  • @SylvierMugure
    @SylvierMugure 6 місяців тому +1

    Namna gani naweza kujoin group

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@SylvierMugure nicheki whatsapp

  • @PrisilaGwakisa-no6kx
    @PrisilaGwakisa-no6kx 6 місяців тому +1

    Kaka ninamsiba usio isha kwangu naomba n0 Yako nikutafute in box maana sina wakumwelezea maana ktk maisha yangu sinaga rafiki

  • @PaulMihayo
    @PaulMihayo 3 місяці тому +1

    Halafu kila anachokifanya lazima ashirikishe marafk wala hajal kuhusu wewe,

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@PaulMihayo dah pole sn

  • @amneally4135
    @amneally4135 6 місяців тому +1

    Bro jamaa ana kila ktu ila ndoa hataamki yaan yupo tayar kuzaa hapo inaa maana gan

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому +1

      @@amneally4135 ongea nae ili ujue

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 5 місяців тому +2

      @@mbekitv693 hahahahahahaa anakuuliza wewe utadhani ndo muoaji hahahahaha kweli watu wamevurugwa

  • @DorkasDaudi-m5k
    @DorkasDaudi-m5k 3 місяці тому +1

    Naomba uniad kwenye group la wasap

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@DorkasDaudi-m5k nicheki whatsapp

  • @EvePatrick-u7m
    @EvePatrick-u7m 5 місяців тому +1

    Nijb kka

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@EvePatrick-u7m Nicheki whatsapp 0659152333

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 7 місяців тому +1

    Brother naitaji kujiunga kwenye groupe ila nimeshindwa sijuwi nikutumiye namba zangu uniunge please. Napenda mafunzo yako kwa ulefu

    • @ommy1246
      @ommy1246 7 місяців тому +1

      Mh so kwa huo mchupi uliotoboka

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@magnibrondi3152 0659152333

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@ommy1246 🤣

  • @EvePatrick-u7m
    @EvePatrick-u7m 5 місяців тому +1

    Je mwanaume Ambye anakuambia wenzako wanajtaftia mavaz wenyewe na apo una kichnga hauwz ktafta n boraa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому +1

      @@EvePatrick-u7m sijakuelewa

  • @rizikimikidadi6879
    @rizikimikidadi6879 6 місяців тому

    vipi akisema bado kitogo

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому +1

      @@rizikimikidadi6879 kidogo nini?

  • @SharlineSidi
    @SharlineSidi 5 місяців тому +1

    𝑵𝒂𝒑𝒂𝒕𝒂 𝒘𝒂𝒑𝒊 𝒏𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒛𝒂𝒌𝒐🙏🙏

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@SharlineSidi 0659152333

  • @IreneSantu-fd7kb
    @IreneSantu-fd7kb 6 місяців тому +1

    Asante Kaka Mbeki,mmh nimemuacha mwanaume wangu hanisapoti kwa lolote na pesa zangu anachukua za kwake sizijui kabisa😭

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@IreneSantu-fd7kb pole sn😓

  • @WanjaAthuman-v2c
    @WanjaAthuman-v2c 3 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@WanjaAthuman-v2c ❤️❤️