WANAWAKE WASIOPENDWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Kama bado haujatazama sehemu ya kwanza bonyeza video uliyopita.
    Usasahau KU SUBSCRIBE.

КОМЕНТАРІ • 280

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 10 місяців тому +7

    Shukran sana kaka ila kuna baadhi yatu wanawake tunajitahidi kwa kla jambo ttz tumeangukia pua mwanaume ajali wala huruma na mkewe hana 😢😢tunafnya kla ktu wanachotaka ama tunachokijua kitamfnya mwanaume awemwenye upendo na mkewe ila waap tunajinunulisha ata vizawadi ili akirudi apate mabadiliko lkn bdo ssa uyu cio wakuoneshwa tena kakangu maana hanatoa ata hisani ya mtu anaye fnya hayo yote mwanaume ananuna mwez mzma ata iwe kosa ni lake yaani amesikia mwanaume ndo kichwa cha familia bc anajifanya Mungumtu wallah wanawake tunavumilia mengi mengine ni siri za wanandoa c vzr kutoa inje😢😢

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому +1

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  8 місяців тому +1

      Nakuunga mkono 💯 Ndio maana kuna somo hapo linasema mambo 5 yakuzingatia kabla haujaingia katika mahusiano. Huko sasa ndio wengi mnafeli hadi mnaangukia pua. Litafute ilo somo nzuri sn lipo hapa hapa

    • @carolinekimatare7327
      @carolinekimatare7327 3 місяці тому

      Wakati mkiwa kwenye mahusiano hauyaoni ukishaingia ndani ndo yanaonekana ss​@@mbekitv693

  • @AHMADAlly-x6j
    @AHMADAlly-x6j 2 місяці тому +2

    Ahsantum kakaangu

  • @SelinaSelinal
    @SelinaSelinal 11 місяців тому +4

    Kweli mafundisho Yako ni mazuri sana hongera

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Asante sana mpemdwa, usisahau ku subscribe

  • @dorothymalambughi212
    @dorothymalambughi212 8 місяців тому +2

    Elimu nzuri Sana hii, wanawake wenzangu tubadilike, tutunze mahusiano yetu jaman.

  • @princessleonard9522
    @princessleonard9522 Рік тому +8

    Kaka asante sana jaman ila kwa upande wangu namshukuru Mungu mie sio mchafu kuanzia mwili wangu, ndani ya nyumba yangu na hata eneo nafanyia kazi pana usafi wa kutosha. Kingine mie sijawahi kunywa pombe tangu nimezaliwa na hata sina shauku nayo na kwenye mapishi nimpe sifa Mungu amenipa uelewa wa kutosha na kama kuna ninachoshindwa huwa nawauliza wamama wenye hekima na wananisaidia. Cha mwisho namshukuru Mungu mie sio mtu wa kuongea hata kama kitu kimeniumiza sana na siwezi kukiuliza huwa nachukua muda napiga magoti namweleza Mwenyezi Mungu vile naumia na yeye ni mwaminifu huwa anaondoa kile kinaniumiza na kunipa furaha ya kipekee.
    Ila kiukweli kuna baadhi ya wanawake wanawaumiza sana wanaume wao na hata mie nilikuwa na rafiki alikuwa na hiyo tabia nilimkanya akashupaza shingo nikaachana nae na ni mkubwa sana kwa umri na mpaka sahivi hajapata mtu kwasababu anamdomo wa kulaumu sana wanaume 😢 😢😢

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому +1

      Wooooow😀👏👏👏

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому +1

      Vizuri sana mpendwa huko vizuri kwakweli

    • @ummuwawili
      @ummuwawili 10 місяців тому +2

      tupe no ya mume wako tumuulze 😂 na majirani kwahyo wewe huna mapungufu😅😅

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому +3

      Karibu katika darasa langu la whatsapp tujifunze pamoja🤝 0659152333

    • @princessleonard9522
      @princessleonard9522 10 місяців тому

      @@mbekitv693 wooow nakutumia text now uniunge

  • @BenimanaJeannette-b3r
    @BenimanaJeannette-b3r 3 місяці тому +1

    Nakupenda brother unanishahuri nawunanicekesha sanaaa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@BenimanaJeannette-b3r ahahah vizuri kama unaelewa pia😀

  • @NasurAli-sx3bb
    @NasurAli-sx3bb 6 місяців тому +3

    Brother Mungu Akuzidishie hekima zaaaaidi, Shukran saana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@NasurAli-sx3bb asante sn mpendwa😊🙏

  • @BenimanaJeannette-b3r
    @BenimanaJeannette-b3r 3 місяці тому +1

    You have knowledge

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@BenimanaJeannette-b3r asante sn

  • @IreneLeonard-cw3xp
    @IreneLeonard-cw3xp 10 місяців тому +1

    Thank you Soo much for the lesson, watching from kenya

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 днів тому

      @@IreneLeonard-cw3xp Oh karibu sana

  • @Sandrinedusabe-r5x
    @Sandrinedusabe-r5x 11 місяців тому +2

    Noma sana

  • @MamakeJayden-w3w
    @MamakeJayden-w3w 4 місяці тому

    Asante sana brother kwa mafundisho yako nmejifunza mengi, barikiwa🙏

  • @AishaHaji-te6dl
    @AishaHaji-te6dl 10 місяців тому

    Ahsante nakukubalii sana

  • @catherinehanje1628
    @catherinehanje1628 10 місяців тому +3

    Asante sana kijana wangu hata mimi mtu mzima nijifunza kitu kikubwa nitafanyia kazi Mungu akuongee marifa usadie wengi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Karibu sn mpendwa Mungu akuongoze pia🙏🥰

  • @MombasaKwetu-ft9ky
    @MombasaKwetu-ft9ky 10 місяців тому +3

    Kaka mawaidha mazuri sana pogezi sana

  • @gracemgeni721
    @gracemgeni721 11 місяців тому

    Asante sana kwa ushauri mzuri, lakini tunaomba za wanaume wasiopendwa na wanawake.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Karibu sn mpendwa, Zinakuja soon😅

  • @bonifasimasanja1131
    @bonifasimasanja1131 11 місяців тому +2

    Thanks so much sister, my life changed so much after I started to follow and listern to your teachings, Iam learning everyday...❤❤🙏

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Sister🤔 are you talking to me?

    • @africa7479
      @africa7479 10 місяців тому +1

      ​@@mbekitv693 😂😂😂😂😂😂 nilishtuka pia

  • @LilianMbilinyi-n9k
    @LilianMbilinyi-n9k 5 днів тому

    Asante kaka kwa hiyo kumbe hakuhpi tendo la ndoa wewe yupo anayepewa duuu

  • @jasminikaundika
    @jasminikaundika 6 днів тому +1

    Asante kakaangu mungu akubaliki

  • @AishaTrecy-t5h
    @AishaTrecy-t5h 3 місяці тому

    Asante sana mwalmu mungu akuzdishie neema n marifa zaid maana nmjifunza mengi kupitia kwako yenye skkuw nmejuw n pia guzia kule kwngne,

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@AishaTrecy-t5h soon mpendwa😀

  • @Nonobellaaaaa
    @Nonobellaaaaa Рік тому +6

    Kweli 💯 asante saaana mwalimu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 11 місяців тому +1

    Mashaallah mafundisho mazuri sana,nimejifunza mengi,from Dubai

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 10 місяців тому +2

    Mafundsho mazuri sana,MUNGU akufikishe mbali sana❤

  • @Ashamwandoto
    @Ashamwandoto 3 місяці тому +1

    Sana tuu

  • @annaanthony2850
    @annaanthony2850 11 місяців тому +1

    Ahsante sana

  • @LuccyMgaya-ex4dn
    @LuccyMgaya-ex4dn 10 місяців тому +1

    Nimazuri sana hakika asante

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 9 місяців тому +1

    Big up for your lessons Bruh unatufunza vyema🙌

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Asante sn

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu kutazama video yangu mpya

  • @adammkondya5896
    @adammkondya5896 10 місяців тому +2

    Umenisaidia asante

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Wooh 😊. Sasa usiache kusubscribe ili uendelee kupokea mafundisho mengi zaidi

  • @GraceOmari-j3u
    @GraceOmari-j3u Рік тому +7

    Napenda kujifunza kupitia ww
    Najiandaa kua mke bora

  • @luselose9944
    @luselose9944 Рік тому +1

    Napenda mafundisho yako watching from Saudi Arabia

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому

      Ooh asante sana wape salaam👋

  • @patiencesamba9467
    @patiencesamba9467 11 місяців тому +1

    Ushauri mzuri kabisaa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Kabisa mpendwa

    • @patiencesamba9467
      @patiencesamba9467 10 місяців тому

      @@mbekitv693 Nikuulize mtu akikwambia muachane kwanza eti mtafute maisha kwanza ndio mruadiane akuoe hio ni kweli ama ananicheza kwa sababu anasema anatafutia mtoto kwanza ndio ndoa ikuje

  • @PiliMakame
    @PiliMakame 10 місяців тому +1

    Sanaaa tu tumependana

  • @bisemwabernadette
    @bisemwabernadette 11 місяців тому +1

    Mashauri mazuri

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 Рік тому +1

    Asante kwa mafundisho ubarikiwe sana ntarekebsha

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому

      Good Mpendwa Mungu akubariki sn

  • @Doreenkanario-o5u
    @Doreenkanario-o5u 3 місяці тому

    Asante sana kaka kwa mafundisho najirekebisha pale nilikuwa nikikosea

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@Doreenkanario-o5u woow good mungu azidi kukupa hekima🙏

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 9 місяців тому +1

    Atakaye fatiliya mafunzo yako hakika ayitaji kungwi.asante brother

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      😀
      Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝

  • @ChristinaGomisi
    @ChristinaGomisi 10 місяців тому +1

    Asantee kwa mafundisho yako kaka

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Karibu saana, na usiache ku subscribe🙂

  • @KhadijaSuIutan
    @KhadijaSuIutan 3 місяці тому

    Kweri kabisa kaka

  • @NasraMrisho-z4o
    @NasraMrisho-z4o 11 місяців тому +1

    Asante kwa somo Asante sana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Karirbu maana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Usisahau Ku Subscribe🙂

  • @AnishaEmmanuelKananda
    @AnishaEmmanuelKananda 5 місяців тому +2

    Asante sana baba yangu hakika umenielimisha sana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@AnishaEmmanuelKananda oh vizuri sna kama umeelimika😊🙏

  • @ireneinniss1048
    @ireneinniss1048 11 місяців тому

    Sana tena sana nimekulibali

  • @GENTRGXGENTRGX
    @GENTRGXGENTRGX 3 місяці тому +1

    waw asante san kwamaoni❤❤❤❤

  • @sein.208
    @sein.208 8 місяців тому +1

    Jazaakallah kheiry

  • @GRACEFELICIANKALUMUNA
    @GRACEFELICIANKALUMUNA 10 місяців тому +2

    Wakora waituu

  • @HawaJeremiah-s2y
    @HawaJeremiah-s2y Рік тому +1

    Mungu akujarie mwalimu ahsante Kwa masomo mzuri

  • @blandinamanongi8818
    @blandinamanongi8818 3 місяці тому

    nimependa mafundisho yako ni mazuri

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  3 місяці тому

      @@blandinamanongi8818 asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @elikamoses104
    @elikamoses104 9 місяців тому +3

    Sema basi na mwanaume ambae sisi wanawake hatuwezi kumpenda usilalie upande mmoja tu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @dashuushu6883
    @dashuushu6883 Рік тому +3

    Nice

  • @LILIANIMWASHINANI
    @LILIANIMWASHINANI 10 місяців тому +1

    Iyo nikweli kaka ang kutokuwa na heshima inatukost sana wanawake sema hatujui na ukiwwa na sifa hizi mwanaume atakupenda sana

  • @emmymwaitebele
    @emmymwaitebele 11 місяців тому +1

    Asante kwa mafundisho mazuri ,mimi nimepona kwa sehemu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Good👏👏 basi usiache ku subscribe mpendwa ili tuendelee kuwa pamoja na kujifunza pamoja.

  • @JaneNyamwihura
    @JaneNyamwihura Рік тому +1

    Asante kwa mafundisho

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Karibu sn mpendwa Usiache Kusubscribe

  • @Neydanieldaniel
    @Neydanieldaniel 6 місяців тому +2

    Naomb no tafadhali

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@Neydanieldaniel 0659152333

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 9 місяців тому +2

    Unayoyasema ni kweli kabisa,mwenye akil atayashika haya..darasa zuri kabisa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @elinazuberi2689
    @elinazuberi2689 6 місяців тому +1

    😂😂 mbona midomo kweli wanawake midomo tupunguze 😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@elinazuberi2689 😀

  • @LovenessSalewa
    @LovenessSalewa 11 місяців тому +1

    Ushaur wako mzur sana asante ila tunaomba nayawanaume

  • @SarahStanford-do2wj
    @SarahStanford-do2wj 7 місяців тому +2

    umeongea ukweli sana aiseee

  • @adammkondya5896
    @adammkondya5896 10 місяців тому +1

    Mungu akubariki sana umeniamsha kwenye ndoa yangu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Wooow vizuri sana. Sasa subscribe ili uendelee kupokea masomo mazuri zaidi

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 9 місяців тому +2

    Komaaa kabisa,Wasukuma ni wastaatabu na tunaheshima,futa kauli Yako chafu

  • @Khadijahamza-o2n
    @Khadijahamza-o2n 11 місяців тому +2

    Sijaolewa na ukoo mie sitaki nichanganyikiweeeeee😂😂😂😂

  • @jumaraster5520
    @jumaraster5520 11 місяців тому +1

    Mbona msimulizi ananichekesha jmn😂 karibunipsuke asante lkn❤

  • @ChristineMwasaru
    @ChristineMwasaru 11 місяців тому +2

    Kaka nashukuru umeleta mafunzo bora kwa kweli

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Asante sna mpendwa 🙂🙏

  • @Neydanieldaniel
    @Neydanieldaniel 6 місяців тому +1

    Nashukuru kwa ushaur naomb no yako tafadhali

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому +1

      @@Neydanieldaniel 0659152333

  • @fora2009
    @fora2009 11 місяців тому +2

    Mbona malaya😂😂😂😂

  • @HudhaifaMansour
    @HudhaifaMansour 11 місяців тому

    ❤❤❤ nakubali sana kaka

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Asante sna sna mpendwa

  • @aulelichuma4114
    @aulelichuma4114 10 місяців тому +1

    Wafundeni nawao manakilasiku wanawake wanawake nanyie upeanesomo

  • @witnessrobert
    @witnessrobert 10 місяців тому +1

    Vip kwa wale wanao kublock wakiwa na hasira unapta ata mwezi hakutafti,,,,,,iv mwanaume kma uyo utaendelea nae ,,,,naomb nishauri

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Hiyo ni kesi tofauti cos kila mtu ana namna yake yakutatua matatizo yako, so wewe ndio unapaswa umfahamu zaidi ili ujue nini ufanye kulingana na unavyomjua

  • @mbekitv693
    @mbekitv693  Рік тому +22

    JE HII VIDEO IMEKUSAIDIA?

  • @ZaujiaNzitonda
    @ZaujiaNzitonda 10 місяців тому +2

    Ansate 🎉🎉🎉🙏🙏🙏

  • @gracepius1102
    @gracepius1102 9 місяців тому +1

    Wanaopendwa wenzangu hapo kuna jirani yangu kila siku saa saanane anapomfungulia mmewake,yaani anaanza kumchamba dirishani😅😅😅😅

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Ahaahahah🤣

  • @HadijaDaffo-b6q
    @HadijaDaffo-b6q 10 місяців тому +1

    Nimefurahi mafundisho yako nimejifunza mengi Allah akulipe

  • @ArafaAlly-dy3nv
    @ArafaAlly-dy3nv Рік тому +5

    Sawa ila nawao wnatakiwa wajue wake zao tabia gani awapendi kwa waume maana akuna mkamilifu chini ya jua kuna watu wanishi kwa vizur tu na waume lakini hao waume wanakuja kuyahalibu wenyewe wao ndo waanzilishi wao ndo wanakua chanzo mda mwingine

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому

      Sawa tutaongea nao pia..

    • @روز-ق6ل
      @روز-ق6ل Рік тому

      Nashukuru kwa elimu hii najianda kuwa mke bora zaidi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому

      @@روز-ق6ل Gooooood

  • @NeseriaMungay
    @NeseriaMungay 10 місяців тому +4

    😂😂😂😂😂umenichekesha umenielimisha siku nikimpata wakwangu ntajua pakuanzia

    • @janety1933
      @janety1933 10 місяців тому +1

      Kabisa 😂😂😂😂😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Vizuri sana😀

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      @@janety1933 😀

    • @MerlinaKubadesha
      @MerlinaKubadesha 5 місяців тому

      Eeeeeeee😲😲😲😲😲😲😲tena

  • @magdalenew.mwanyota5901
    @magdalenew.mwanyota5901 11 місяців тому +2

    Sijaolewa na ukooo mm😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤aki ww unaongea kama ukona mmoja huwa unamuona ama ni wife😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤭🤭🤭🤭😷😷😷😷😷😷🙈🙈🙈🙈🙈

  • @EdinaInnocent
    @EdinaInnocent 10 місяців тому +1

    ,🤣🤣🤣nmefurah san hapo kweny gubu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣haloooo nmefurah san😂😂😂😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @JulianaMbeyu
    @JulianaMbeyu 10 місяців тому +1

    Nimesaidika haki from samburu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Karibu saana, na usiache ku subscribe🙂

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi 11 місяців тому

    Umenichekesha muelimishaji ety sjaolewa na ukoo!!😅😅😅mbavu zangu mimi

  • @rahmamohammed7707
    @rahmamohammed7707 11 місяців тому +1

    Umalaya katika dini yetu uwa ni deni, mkeo analupa bila ye kujua, au mwanao au dada au mama,kama upendi kusalitiwa usisaliti, ukimfanyia wa mwenzio na wako atafanyiwa, kujua tabia ya mme ata awe vp angalia ndugu zake wa kike au mkewe basi uampata

  • @Ummukuruthum-m1m
    @Ummukuruthum-m1m 11 місяців тому +2

    Asante kwa ukumbusho ila nmecheka kifala kwel kusikia Kulthum ndio nan 😂😂😂😂

  • @wardazamzam8463
    @wardazamzam8463 11 місяців тому +1

    Shukra sana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Karibu sana mpendwa

  • @adyeeribeatrice8136
    @adyeeribeatrice8136 8 місяців тому +2

    Wanaume wako waivio

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@adyeeribeatrice8136 wavipi

  • @MarrylinellyMshana
    @MarrylinellyMshana 11 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂Kumbe kuna wanawake wanategemewa kwenda kusuta watu nimecheka kama mazuri

  • @furahabindu2889
    @furahabindu2889 11 місяців тому

    Asante kwa shauri

  • @Zulfa-i3e
    @Zulfa-i3e 11 місяців тому +1

    Asante kakaake umetuerimisha

  • @SelinaKahonzi
    @SelinaKahonzi 11 місяців тому

    Ni kweli ❤😊

  • @MolloRupia
    @MolloRupia 9 місяців тому +1

    Asante umenipa uelewa

  • @SeverinoLuis-j1h
    @SeverinoLuis-j1h 11 місяців тому +1

    Mwanaume não uwafunde

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Sawa zamu yao inakuja

  • @ErfEff-k6w
    @ErfEff-k6w 5 місяців тому

    Jaman Kaka Mimi macho yangu ni ya aibu hata akinitambulisha kwa marafik zake siwez kuwakazia macho je na Mimi ni malaya

  • @AugustPro-f3c
    @AugustPro-f3c Рік тому +1

    Asante mwalim mzri

  • @SylvieBagirisha
    @SylvieBagirisha 10 місяців тому +1

    Asanteni kaka

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi 11 місяців тому

    Mmh

  • @MegaNasri-bv7tc
    @MegaNasri-bv7tc 8 місяців тому

    apo kwenye mdomo sasa ndio mana nimeachwa 😂😂😂😂

    • @MegaNasri-bv7tc
      @MegaNasri-bv7tc 8 місяців тому

      Kama atarudi najilekebisha😢asante Kaka May God bless you Amen

  • @maureensunguya8779
    @maureensunguya8779 Рік тому +1

    Hapa nilipo naitikia mhh mhh utadhani nimeolewa😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому

      Maandalizi ni mazuri kabla ya tukio so endelea kujifunza

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 8 місяців тому +1

    Tena ngoja nikanunue savanna zangu ninywe nilewe zangu

  • @estalinhachisina2554
    @estalinhachisina2554 10 місяців тому +1

    Hii video inafunza sana🤝

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @Winfridankalupia-t8d
    @Winfridankalupia-t8d Рік тому +2

    Asante!

  • @lyneteisaack2800
    @lyneteisaack2800 11 місяців тому

    Anaongea peke ake kam anamajini😂😂😂😂😂...

  • @SelinaKahonzi
    @SelinaKahonzi 11 місяців тому

    Yes thanks bro

  • @DiannaJumanne-de1kk
    @DiannaJumanne-de1kk 6 місяців тому

    Me kwenye kununa jamani mmh ndo tabia angu nmeacha kuanzia leo

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@DiannaJumanne-de1kk 😀

  • @JacklineMziba
    @JacklineMziba 2 місяці тому +2

    Video zako ni nzur zimenifunza kitu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@JacklineMziba ooh nashukuru kusikia hivyo😊

  • @PeterNambale-oq8ko
    @PeterNambale-oq8ko 7 місяців тому

    Asante sana

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  7 місяців тому

      @@PeterNambale-oq8ko karibu ssn

  • @davidnjile4995
    @davidnjile4995 5 місяців тому +1

    Mfano mi kaka nmekutwa kweny sim nachart na mwanamme akantumia na nauli ameona chart zote ila hajanioa apo itakuaje kweliiii ila skwenda nauli bad ipo kwa simu😢😢

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@davidnjile4995 umeharibu.. tulia na mmoja