EXCLUSIVE: STESHENI MPYA YA TRENI DSM KWA NDANI, NI KAMA AIRPORT, MIGAHAWA NA VIP
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2021
- Stesheni ya Reli ya Kisasa (SGR) ya Dar es salaam imekamilika kwa 100% na itakuwa na uwezo wa kuhudumia Watu zaidi ya 3200 kwa wakati mmoja ambapo stasheni hii imeunganishwa na barabara ya juu yenye urefu wa KM 2.5 ambapo treni zitakua zinapita juu kwa juu hivyo hata ile foleni ya magari ambayo ilikua inakuwepo kutokana na kupisha treni kupita kwenye reli ya zamani haitokuwepo tena katikati ya Jiji, Thadei Paul ni Meneja Msaidizi wa Mradi wa SGR (DSM - Morogoro) katueleza kila kitu.
Kuna watu wanakereka ni kwanini Magu hatoki akilini mwa Watanzania. Sababu moja wapo ni hii hapa. Watanzania tunampenda Magu sana, amefariki lakini nyuma ameacha jeshi kubwa kama mimi hapa. Tutamtetea siku zote.
Kwasbb alithubutu Sana huyu wa SSA mmmmh hata akifa watu watashangilia
Wote tuko pamoja
hakika magufuli 😭😭😭😭
Asante sana Ndugu Yangu comment Yako Nzuri sana
Mie bado basikitika Sana uyu mama simuelewi kabisaaaaaa ata afeleo sistuki
RIP OUR PANAFRICANIST, AFRICAN HERO AND PROPHET, MAGUFULI - YOUR ACTIONS CONTINUE TO SPEAK LOUDER THAN WORDS. IMPERIALISTS AND CAPITALISTS MANAGED TO KILL YOU, BUT THEY WILL NEVER KILL YOUR BRIGHT IDEAS…RESPECT FROM CONGO🇨🇩A LUTA CONTINUA…VIVA LUMUMBA, KWAME NKRUMA, BIKO, SANKARA, SAMORA, CHEIKH ANTA DIOP, MAGUFULI ETC.✊🏾
RIP JPM
Rest in peace dady Maguful
Prophet???
huna akili prophet
You made me cry my brother
Hii kazi ya Marehemu Rais J.P.M Mungu Mwenyezi ampumzishe kwa Amani huko aliko. Respect for you J.P.M.
Nimeyatoa maisha yangu kwa ajili ya watanzania masikini ipo siku nikifa mtajua namaanisha Nini in magufuri's voice 🎤🎤R.I.P CHAMP 😔😪😪
R. I. P Magufuri 🙏You gone but you left Tanzania in the world map for short time... Always feel proud that your have been my President. 🙏🙏👏👏👏
Rest in peace our President JPM, tunakukumbuka kwa moyo wa shukrani🙏🙏🙏pumzika kwa amani🤲🙏🌺🌺🌺🌺🌺
Tunakukumbuka daima. Hapana mwingine kama wewe
Hakika hakuna mwingine Kama JPM
RIP President Magufuli CHUMA!! Kuna wasenge flani kama wanataka kufuta historia kwamba kilichofanyika ni cha kawaida blablabla lkn HAWATOWEZA kazi ulizoacha hazikuwahi kufikiriwa toka Uhuru! Continue to Rest In Peace our Champion.
Kweli kbs
Lugha chafu ni dalili ya kukosa malezi ya wazazi.
Kijana unachafua sifa ya watanzania.
Kuwa na adabu
Magufuli mungu akulaze mahali pema baba ,tunaona vision yako..
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
ua-cam.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html
Miaka mitano tu amefanya vingi je angemaliza kumi?
Balaaa Amesima mia Kazi yake ipasavyoo coz nchi yetu Tajir kwani isipendeze Tuna ripa kod kwanin tusipendezeshee nchi yetu Tajiri Jamani Tukipata kiongoz Msimamizi Boraa Lazi nchii Ipendeze Marehemu Alivunja Record Ya Uongoz Wake .Shujaa Mungu Ampumzishe kwa Aman
Amiin
Zaidi ya 90% ya watoa comment wanamtaja Hayati Rais JP. MAGUFULI.., Hii inaonyesha ni namna gani mtoto wa Chato Geita alipendwa. Rest Easy BABA 😥😭
Yeah man
Rest in peace baba yetu JPM.mzalendo no I wa nchi hii takatifu.
Amen. Nimependa comment yako kuhusu nchi yetu Takatifu ya Tanzania. Nimefurahi kuona mtu mwenye mawazo kama yangu kuhusu Tanzania
Dah...! Natamani sana JPM mwenyewe angekuwepo.
#RIPJPM
Yaan ww unawaz km mm
@@angelamarlow510 mnawaza ujinga
@@abuubilal2646 nyumbu unateseka..!!
@@abuubilal2646 wewe ndo mjinga utakua upo pamoja na hao wasio hurumia wanyonge
Amakwer makufuli ndo mtuu pee mwenye ficra zakipee sana ndugu zangu watanzania alitaka watanzania tuishi maisha mazuri nyumba kunonge bwana mweee DAAA AI MISS❣️♥️♥️♥️♥️ MAKUFULI🙏💌🤛💯 KIPEZ CHAWATU
😥😥😥😥😥😥Tunammisi mnoo MUNGU Ampunzishe kwa Amani
Ingependeza kiongozi yeyote anaye anzisha mradi apewe heshima ya bonge la picha yake ya mradi. Hii it itawafanya viongozi wajao nao kujipiga kifua ili wakumbukwe. Hii miradi mikubwa inahitaji kiongozi maono. Asante JPM!
Kama hapo kwa Mwl.Nyerere naomba hiyo picha ibadilishwe na iwekwe ya JPM haraka sana kabla sijakasirika.
@@allyhassan7522 Waweke hapo picha mbili. Ya Baba wa Taifa na JPM wakishikana mikono huku kukiwa na treni ya zamani kama ilivyo kwenye picha na treni ya kisasa .. ili kuonyesha muunganiko wa tulikotoka na tunakoenda
Rais alikuwa moja tu... Nyerere Baba wa Taifa indeed...
@@j.c.maxima816 kwani huyu alikosea kuijenga hii!!!? Au nayo niyanyerere?
Aya yote ni maisha alio take tuyajue mzee wetu hayati magufuli mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
ua-cam.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html
Very nice Kama mtoni vile RIP Magu homie kwa TZ uzarendo wako.
Tunakushukuru mama Samia kwa umaaliziaji wa ujenzi huo wa tren watakao kuchukuia wavimbe wapasuke
@@abuuramadhan8093 hakuna upinzani kati ya magu na Samiha lkn kunautofauti kati ya mzalendo na fisadi ambaye yuko tayari kupokea fungu kwaajili ya kuwakandamiza wananchi wake kwa faida yake mwenyew bila kujali watu wake. Hii ndy tofauti tu
Ahsante sana Mzee Magu ahsante sana Mwamba Africa ahsante sana Mzalendo wa Kweli ,ahsante sana mama Samia ahsante sana super WOMAN ahsante sana kwa kuendeleza miradi ya mkakati
Tukipata viongozi kama JPM 10 tu wanatosha zidisha kwa miaka 50 TZ it ill be more than abroad
Fabulous! You shall always be in our heart,.. Tutakukumbuka, Tanzania kweli ni nchi tajiri👌🏾 ✨
"Heri atendaye mema mengi bila kutazamia malipo, maana vinywa vingi vitamsifu toka pande za mashariki hata magharibi naam kizazi hata vizazi". "Uhuru na kazi, Hapa kazi tu, kazi iendelee"
Rest in peace John Pombe Magufuli "Jemadari"
Ameeen
Amen
Hakika jpm pumzika kwa amani
Kweli tutakumbuka daima kwa mema yako mungu akupe kauli thabit
Mungu mlaze Pema Magufuli Aliipenda Tanzania mzalendo nambar( 1)
Tatizo letu Tanzania ni maintenance he baada ya miaka 5 litakuwa na hali gani. Tukumbushane mwendo kasi stand zilivyokuwa na sasa zinahali gani,tukumbushane zile post zilizowekwa na makonda dar es salaam kwenye maua.sasahivi zinazidi kuisha na hazijulikani zinapokwenda.shida hatuna plan ya maintenance.
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
ua-cam.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html
@@patloveupdatestv1005 fungua ujionee
Wazee wa vyuma chakavu
Yaani mimi nawapa hali vyoo itakuwaje? Hygene kwa wabongo ni shida
Hapo mchezo wa nyani mitini ukienda chooni unakutana na kitu kimeganda UTI nje nje mbongo pasua kichwa
Nakubali-nakubali-nakubali, mambo ambayo nilihisi sitowahi kuyaonaga Tz kumbe yanawezekana kama hiv
Yana wezekana kwa anae dhubut mpendwa kaz ya hayat Rais Magufuli
Daaaaaah nataman hata kulia why God Hakika vizur havidumu Hkn magufuli amejua kuibadilisha Tz na kuipa heshima LALA SALAAM BABA 💔💔
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
ua-cam.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html
We kuma sio kila sehemu fungua ujionee fungua mwenyewe ujionee again kuma wee
@@shinipapaya846 😂😂😂imekuwaje Tena mbona mitus
Mungu ndio mwingi wa malipo kwa yote uliyoyafanya Magufuli, tulikuwa na kistesheni kiboovu umetuachia jumba hâta za ulaya aziingii, kwakweli msiba wako ni pengo kubwa kwetu
Ningependa sana kuona picha ya hayati Magufuli katika jengo hilo jmn, hivi kwanini baadhi ya watu hawampendi huyu hayati Magufuli??? Hili jengo na uzuri wake isingekuwa Magufuli jmn isingekuwepo.
Haswaa
Hata mimi natamani sana jengo liwe na picha kubwa ya Nguli wa Africa Hayati Magufuli
Hata Mimi natamani kuiona picha ya shujaa Magufuri akitabasamu kweli Mwendo kaumaliza!.
Angalia video yote ndo u comment
Kabisa mkuu
Stesheni linapendeza kweli. Tunaita "post-modern." Love from Kenya
Swali ni kwamba rais wasasa na hao wajao wataanzisha miradi mikubwa kama hii maana inahitaji viongoz wenye maamuz magumu
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
ua-cam.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html
Kweli kabisa
Good point
Jibu miradi ilianzishwa wakiwa wote na Anaimalizia na atazindua mingine mingi
Si lazma kila raisi anzishe miradi yake
Hongera Mama Samia unaupiga mwingi kuendeleza mazuri ya Mtangulizi wako kazi iendelee
Nje kupo exactly and even more. I’m glad to see this here in my motherland 💪🏽👌🏾👏🏼👏🏼👏🏼
Nini maana ya exactly Sara
Iv magufuli aliwazaga wapi daanh inalilah wainalilah rwajuni 😭😭
Na ao wapumbavu walio muhuwa nao watakufa tu naizo mali wanazo zihiba wataziacha na mwenyezi mungu hanawasubilia tu kwa mungu yeye ni mweye kusubilia tu
Ndg we achaaa wadhani wataishii miaka 100000000000000000000
Unauhakika aliuliwa?? Au unaongea tu mtu akimwaga mboga unamwaga ugali acje akafikilia nakumwaga maji
Covid 19 imemweza Mzee wa watu,,,
Tatizo waafrica hatunaga service na miundombinu yetu, utashangaa baada ya miaka 5-7 pamechoka mataa hayawaki, vyoo vimeharibika no maintenance
Siyo leo watu siku hizi wameelevuka lejea usafi wa miji siku hizi ni misafi.
Akili zako bado zimeganda. Daraja la kigamboni lina miaka zaid ya 5 mpaka sasa na bado pako vizuri
@@issakitallo8103 Akili wapi na anasema ukweli sasa wewe unatoa mfano wa daraja na pahala pa watu ukusanyika mbona ni mfano wa hovyo , Mbongo tangulini akatunza sehemu za mikusanyiko vizur kwani hauoni pale penye bus terminal mbezi ya kimara
@@Mpakauseme Akili zako zimeganda pia kwaiyo wewe peke ako ndo unajua kutunza mazingira.. Airports nazo ni sehemu za mikusanyiko, malls huko zinajaza watu daily na muda wote safi
@@Mpakauseme wanafunzi Udsm pale walikua hawakauki mlimani city ila pako safi muda wote. Mikusanyiko ipi unayosemea Mh. Enviromental Auditor
Tunajua Magufuli alikua Hana ubinafsi, lkn hapo ilipaswa ikae picha yake badala ya Babu...
Zingewekwa zote mbili
Mbona dalaja la kigamboni haikukaa picha ya kikwete ikakaa picha ya nyerere
@@pilirajabu6853 Ni kweli.
Daraja la Kigamboni ilikua maono na ndoto za Nyerere. Hata Bwawa la umeme Hilo ni maono ya Nyerere so wakiweka mapicha yake poa.
Lkn SGR mamangu, hayo maono na ndoto za Mzee baba Magu, alitamani halafu hapohapo akafanya maamuzi magumu ya kibabe.
Sawa ilikua maono ya nyerere mbona hakufa kipindi chake kikwete ndo akaja kufanya kipindi yy niwaziri wa miundombinu kaja kua rahic ndo kalifungua
Pia mbn uwanja huo akaita mkapa unazani watu hawaon bhn wamefanya hivyohivyo ndo sahihi bhn
Good job Tanzania. Love and greetings from Kenya. Pamoja tusonge mbele!
You welcome our relative
Shukrani kwa Engineer kwa maelezo mazuri
Natamani Magufuli angekuwepo afungue mwenyewe 😭😭😭 Tutamkumbuka sana 😭😭😭😭R. I . P Magufuli
Hakika tutamkumbuk
Usafi ni muhimu sana wa nje na ndani katika jengo hili, tunawaomba ndugu zetu watanzania mzingatie sana usafi na kufanya check up ya kila siku, kuangalia kama mashine na vyombo vingine vyote ndani ya jengo viko salama, wizi, uaribifu, uchafu ni mwiko, hili jengo limegharimu pesa nyingi sana hela za kodi ya watanzania. Hongerani sana TRC kwa kazi kubwa sana mnayoifanya. Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Rip JPM Tutamkumbuka na tutamuenzi Daima 😭😭💔🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Magufuli nakukumbuka baba
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼
ua-cam.com/channels/BGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg.html
Juhudi zake zinaonekana japo yeye muhusika hayupo
Mpaka inatia uruma mwamb
Kweli nikimkumbuka JPM nasikia kulia tu😂😂😂😂Mungu msamehe makosa yake
Big up magufuli huko ulipo.
Kazi ya magufuli iyo
Mama Samia atafanya kubwa zaidi! Muhimu, Taifa linasonga mbele 🙏🏽
Baba umelala mema umetuachia haaa ya Allah mpe pepo mja wako huyo
J.C hapa hatushindanishi maraisi,tunawamotivate tu ili wafanye vizuri kwa ajili ya nchi.
@@j.c.maxima816 Atafanya nini hakuna ata dalili yeyote ujenzi wenyewe unasuasua
Mkapa na kikwete walituangusha sana na wizi ulikuwa mwizi sana wakati wa uongozi wao.Magufuli ametufanyia makubwa sana na kwa kipindi kifupi sana.RIP Magufuli
Hongera mama samia kwa kusimamia vizuri miradi iliyoachwa na Magufuli.
Woaw this is dope, We need more dope infrastructures like dic, Tz is gona be more better place🙏
R.i.p jpm
Hatuna budi kuwa wazalendo pindi mradi ukamilikapo🙏
Rest in peace JPM....TRUE LEADER ALWAYS PROVE HIS VISION
Rip jpm
Well done Tanzania.Keep setting the pace for African infrastructure modernization.
I’m loving these developments!! So proud to be Tanzanian ❤❤
BIG UP MAMA SAMIA KWA SPEED KUBWA YA UJENZI WA TRAIN HII.
A VERY HIGH SPEED.
Hongera serikali ya awamu ya tano chini ya Samia na Magufuli mlianza pamoja na sasa unaendelea peke yako mama yetu.
Long live in our heart.... Our honorable president Mangufulii💯💫
ewaaa pazurii sana..naona maendeleo ya nchi yanapamba..Tanzania oyeee🔥🎉🎉🙌
Tanzania mpya, najivunia kuwa mmoja kati ya mafund wanaoendelea na ujenz huu🙏
Natamani huu utaratibu uwepo kama ulivyowasilishwa na ENG. Huwa tunajisahau ,maana unakuta utaratibu unafatwa kwa mwezi mmoja tu, baada ya hapo tickets zinachanwa kwa mkono kma vile ilivyo DART (mwendokasi)
Nafikiri waziri mkuu atalitilia manani ili yastokee ya "mwendo kasi"
Hongera sana kwa Walipa kodi
Hii ni pesa ya Watanzania ndio imelala hapo..uwezo wa kufanya miladi mingi kwajili ya Watanzania upo ni swala la viongozi wetu kutambua wajibu wao na kuheshimu Mali za Umma
Tanzania ni Tajiri ila ukosefu wa uzalendo na uwajibikaji ndio unafanya Nchi inaonekana ya ovyo
MAGUFULI ndio Rais pekeee aliyefanya maajabu katika Taifa la TANZANIA.
Duuu magufuli mungu akulaze mahali pema peponi maana ulicho tufanyia Tanzania hatuna chakukulipa bali tunasema Asante t
najivunia kua mtanzania kwakweli mungu wabariki viongoz wetu uwape hekima km za mfae sulemani
Ulaya ndani ya Dar es salaaam waaoh wow
nimekuelewa sana jamaa unae guide tour, i can tell you're an intelligent and articulate person na hujameza tuu haya maelezo.
Ninaomba niwapongeze Sana wale wote walio comment kwa kumpongeza marehemu Dr.Pombe Jonh Magufuli,alisema tutamkumbua kwa mazuri wala sio mabaya.kweli amekufa tumemzika lkn matendo yk yanaishi.
Mimi huwa sipendi sn kumkumbuka huyu jpm nimefiwa na ndugu wengi sn wa damu.ila hakuna kifo kilichoniuma km magu mimi bado inaniuma sana
Tuko wengi aisee. Magu alinifanya nilie kama mtoto
Magufuli❤️r.i.p
Ila tulivyo hatujui kutunza after 2yrs pamechakaa very nice ..hongera Eng kwa maelezo mazur
Huo ni upuuzi..Tunataka kuona Picha za Magufulii ndanii hiyo Station..
Magu ndiye aliyepigania hiyo na ndiye aliyetafuta pesa za hiyo kitu..
My FAVORITE PRESIDENT DKT. JOHN MAGUFULI
Mungu akulaze peponi
Magu wetu. Ona hii miradi, mtanikumbuka kwa mazuri! Alisema Magu,
Amina Dunia Nzima walimsha ngaa kiongoz Waa Ajabuu mwenye msimamo na Nchi yake 😭
Mueliziaji una Kithethe😂😂😂😂😂. Salute kwa Magufuri tutakukumbuka sana
Eeeeeh Tanzania hapo au🙄🙄mashallaha magu weee 😪💦
Kunawatu walikasilika kipindi magu halivyo kua hanafanya hayo mambo wakafanya njama zao hili Auwawe kwa mahana nyingine wama muhuwa tena watu wenyewe ni viongozi wa CCM wengiwao walikuwa hawapendi anavyo fanya magufuli mwenyezi mungu Amleem Rais wakweli magufuli
Acha Kuropoka huku ukiwa huna uthibitisho,,,Ukisifu tuu inatosha sio uanze na mengine ile uonekane na wewe umechangia vijihabari vya kipuuzi mnavyosimulianaga huko kwenye vijiweni vyenu vya kipuuzi vya wanyoa kisaani na viduku!!
Wakati wake ulifika ndugu!ingekuwa bado Mungu wa mbinguni ange mwepusha kama kwenye sumu aliyopewa.Tusilaumu everyone dies.
Kwanza jifunze kuandika.
Pili ficha upumbavu wako kwa kutoleta taharuki kwa jamii kwa kuleta habari za kuunga unga mnazosimuliana vijiweni.
Hii haikufanyi uonekane kuwa una mapenzi makubwa kwake kwa kuleta habari za uzushi.
Magufuli alikuwa anafanya vitu vya maana na vinaoneana, mama wa kambo😕
Huyo unayemwita hivyo atawashangaza! Na mtabaki midomo wazi! 😂😂Tuombe uhai tu! Kazi iendelee!
Tutakukumbuka sana kwa mengi mazuri na heshima uliyoipa Tanzania RIP Commred Magu
VITI NAVYO MVIWEKEE PAKUJAJI SIMU KAMA UWANJA WA NDEGE ITAPENDEZA ZAIDI “hilo Ni wazo langu”
Mumemuondoa Ben Mwanantala aliyekuwa alitujulisha vilivyo ili mkae nyinyi.. hivi wote kwenu ni Zanzibar au?? Kama unaelezea ambavyo Ben alifanya vizuri zaidi.. ni kwa ninin mumemuondoa..? NIkiwa raisi.. nitawafukuza wote.. including huyu Samia wenu mzandiki..! RIP JPM rais wangu..!
Kilicho Baki ni kuitunza hii project. R.I.P Magufuli 💔
Kazi nzuri, ila sasa maintainance kwa Watanzania ndo tatizo. Wazee wa Vyuma chakavu dah sijui itakuaje the next 2 years. I hope tutalitunza Jengo. Kazi nzuri, pia nimependa kuona Mdada kashika Camera hahaha! 😀👏
Tadei paul ameelezea vizuri sana, huduma zikianza rasmi tujitahidi kutunza miundombinu hii idumu
GOD bless TANZANIA 🇹🇿
Mambo ya jpm hayo daa mungu aku leheem uko ulipo 2ta mkumbuka daima kwa uzalendo wake katka inchi na maono yako kwa taifa
That's Magu legacy
Jasiri aliumaliza mwendo, Jemedari Tingatinga Big up
Maono ya chuma kilichopita!!
R.i.p magu umeenda baba umeenda😭😭😭😭
R. I. P Magufuli mungu akulaze mahali pema peponi mwendo ukimaliza tz tunakukumbuka kwa mengi
Basi hapo Watanzania wajifunze usafi mana hapo kutakuwa kama mbagala stendi
Jamani kwa nini mbagala standing!🥲
KUSHINDA WATA ANZA NA MAMA LISHE MASUFURIA YA UGALI MAJIKO YA MIKAA MAJI YA KUOSHA VYOMBO NA MIKONO NA WAKIFUKUZWA WATASEMA WAO WANYONGE WANAONEWA NA WAMACHINGA WATAJAA HUMO NA VITU MIKONONI NA VIYO VYA KUHUDUMIA WATU 3500 SIVIONI HAPO UCHAFU UTAJAA NJE NDANI.
NA VIDOO VYA DAGAA WABICHI KTOKA FERRY VITAJAA NDANI YA TRENI NA WAKIKATAZWA KAULI YAO SISI WALIPA KODI WANYONGE TUNAONEWA NA KAULI INGINE KURA YETU HATUMPI.
@@emmailakozimana8257 TUNAPENDA UCHAFU.
Muweke picha ya magu kubwaa ili wazungu wakifka watoe chozi..
Kabisa
safi 👏👏👏👏
Hongera Mama Samia, "Kazi iendelee" 😊😊
Magufuli hakwepeki ni km kanuni za hesabu utamuchafua weeeh mwisho utamusafisha
Machozi ya Watanzania badohayajakauka!!! Pumzika kwaamani shujaa namzalendo wakweli John Magufuli Amen!!!
Mashaallah dah hadi raha❤❤👌👌kweli baba tutakukumbuka daima ulipambandia nchi vizur mno ungekuwepo sasa nawe ungekula matunda yako mung akulaze mahali pema pepon😢😢 👏👏👏
Ushauri wangu, serikali ingeweka picha ya MAGUFULI pia kwenye hii picha ya NYERERE yaani NYERERE picha yake ikakaa kulia halafu picha ya MAGUFULI ikakaa upande wa kushoto kwa sababu ya heshima yake ya kuanzisha mradi huu kwa kiwango Cha kimataifa kwa kutumia umeme. Mwanzo awamu ya 4 iliwaza hili lakini kwa kujenga reli kama ya kenya inayotumia mafuta. Ila mzee magufuli akasema hapana itumie umeme.
RIP JPM,,KAMASIO JPM INGEKUWA VIGUMU KUMPATA KIONGOZI MWENYE MAONO AINAHII..WATANZANIA TULIKUWA TAYARI TUMEJIKATIA TAMAA MIAKAMINGI...HAKIKA ULIIPENDA NCHIYAKO NA ULITAMANI KUIONA IKIBADILIKA KWAKASI LAKINI UTAKUMBUKWA MILELE
Ulipokuwa unatupeleka JPM Mungu anajua, haikuwa speed yakawaida, siamini mpaka sasa njia nane Mbezi bado kunamapipa barabarani, ungekuwepo ungekiwasha mapema tu katika safari zako kwa njia ya barabara, shujaa kweli umeondoka, sasa nimwendo wa kinyonga aisee.
Asante Mungu for our Magufuli please raise him again we will receive him with 2 hands
RIP our president MAGUFULI
RIP MAGUFULI
Jamani ni maendeleo ya mradi sio msiba … nimekuja kwa amani tu.😎