Yaan jina la Mungu muumba wa mbingu na nchi lizidi kutukuzwa milele na milele kupitia Yesu Kristo tunao vokovu ulio mkuu Asante Mungu kwa kumuona tena Paul Makonda akiwa mzima wa afya tela umkumbuke kwa kila jema afanyalo na umuwekee ulinzi wako kwa kua hakuna muweza kama wewe Mungu wetu katika jina la Yesu Kristo Amen
Waaaao makondaaaaaaa waooooo hakika moyo wangu umepona kabisa sku yaleo kwangu nisiku njema sanaaaaaaa kuskia sauti yamh Makonda live na pia kumuona live nanmeamin baada yakua nmekuona millad ayo huwa hawaongopag,Mungu akulinde Makonda asante Mungu kwakuxidi kumlinda ndg yetu amina
Alhamdulillah, Nimefurahi kumsikia akiongea mubashara Mh.Makonda . Mwenyezi Mungu Subhaanahu Wata'ala azidi kumlibda na kila aina ya shari,Aamiin Yaa Rabbal 'Alaamiin.
makonda mtu asiyefanya kazi kwa hasira .na nimtu mwenye upendo kwenye jamii anakubalika nipo zanzibar .namfananisha sana she othman maalim .mtoa dawa bila yakutumia hasira na jazba.mungu akujhali kila la kheri makonda .
Mashaallah Muheshimiwa MAKONDA Insha Allah, Allah akulinde na kila Viumbe vilivyo viovu Ya Rabbil Alami na Ubarikiwe na Insha Allah, Allah azidi kukuongoza katika njiya iliyo nyoka. Ameen Ameen Ameen. Muheshimiwa MAKONDA na Mama Samiya HOYEEEEEE HOYEEEEEE HOYEEEEEE HOYEEEEEE
welcom again future action president of tanzania, ili tufike mbali hii nchi tunaitaji viongozi katili na wanaojali maslahi ya wananchi na nchi kwa ujumla
Mashaa Allah....yaan naona Makonda akipata muda wa kuroma hizi coment anatoa machozi ya furaha ........Sio rahisi kupendwa na watu kiasi hiki Hongera muheshimiwa......na ninavyomjua anatamani kila mtu mmoja mmoja angemfanyia wema ....lkn haiwezekani tu ila usijali wema unaowafanyia unaojaaliwa kuwaongoza au kukutana nao inatosha kabisa ....pole kwa changamoto usikate tamaa kila kazi ina changamoto kama uliumwa kqeli pole
Nimefurai sana na moyowangu umepata amani mungu aendelee kukulinda na akuepusha na mabaya yote maana bibilia inasema mtakula vyakufisha lakini havitawadhuru naiwehivyo kwakoo❤❤❤❤
Sina cha ku comment,, ila wale tulomuombea ndugu yetu PAUL MAKONDA naimani MUNGU ametujibu tena kwa wakati wake, hakika mioyo yetu imepata amani Sasa,, MUNGU azidi kumtia NGUVU kiongozi wetu na mtetezi wa wanyonge 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Yesu naamini Yehovah Mungu ni mwema jamani msimwache kweli leo mwamba ameanza kazi jamani wanyonge tumefurahi sana ila kwa imani yangu nampenda sana na naomba aende kwa watumishi wa Mungu wakazifute zile kauli zote zilizonenwa dhidi yake mimi binafsi kuanzia kesho na keshokutwa nafunga na kusali kwa ajili yake na kukataa na kufuta yote aliyonenewa kwa hiki kipindi alichotoweka kazini bila kutuaga watanzania wote na siyo Arusha tu Mh Makonda tunakupenda mno anza kazi kijana jasiri na shujaa lakini umetuliza sana wanyonge hivyo tupe pole tuliumia sana maneno kwenye mtandao yametuliza sana leo tutalala usingizi mnono kweli
Kutoka kwenye uvundo wa moyo wangu nimefarijika sana baada ya kumuona kaka Makonda kurudi kwenye masikio yangu akiwa hai maana moyo wangu ulikuwa hauna amani kabisa,Ahsante sana Mungu kwa kumlinda huyu kijana
Alhadullilah yarabilyaalamini . Yarabi eee Mola wangu mlezi wa mbingu na nchi na duniani kote yarabil tunakushukuru maana wwe ndiwe Mungu wa rehema yaarabil asante kwa kukubali maombi yetu . Umemrejesha kipenzi chetu
Mwache Mungu aitwe Mungu nimefurahi mno kumuona mh Paul makonda Asante Mungu kwa kutujibu maombi ya wengi tulipo omba usalama wa ndugu yetu Paul makonda 🙏🙏🙏
YESU KRISTO Wewe ni wa kushukuriwa asante kwa uzima wa poul makonda najua ulimlinda katika majukumu yake na bado utaendelea kumlinda kwa kila jambo asante BWANA YESU
Mungu akulinde kipenzi Cha watanzania tulisha poteana kwa mshangao makonda wetu Yuu wapi Leo tumeona yumzima Bado anaishiii Asante mungu wa mbinguni😁😁😁🙏🙏
Yaan jina la Mungu muumba wa mbingu na nchi lizidi kutukuzwa milele na milele kupitia Yesu Kristo tunao vokovu ulio mkuu
Asante Mungu kwa kumuona tena Paul Makonda akiwa mzima wa afya tela umkumbuke kwa kila jema afanyalo na umuwekee ulinzi wako kwa kua hakuna muweza kama wewe Mungu wetu katika jina la Yesu Kristo
Amen
Ameen
Waaaao makondaaaaaaa waooooo hakika moyo wangu umepona kabisa sku yaleo kwangu nisiku njema sanaaaaaaa kuskia sauti yamh Makonda live na pia kumuona live nanmeamin baada yakua nmekuona millad ayo huwa hawaongopag,Mungu akulinde Makonda asante Mungu kwakuxidi kumlinda ndg yetu amina
Mashallah, mshimiwa Mwenyezi Mungu zid kumpigania kiongozi wetu kaka Makonda azid kuwa na afya na nguvu
Alhamdulillah, Nimefurahi kumsikia akiongea mubashara Mh.Makonda .
Mwenyezi Mungu Subhaanahu Wata'ala azidi kumlibda na kila aina ya shari,Aamiin Yaa Rabbal 'Alaamiin.
amin yarab laalamin
yan ana ishara njema hyu na inshallah Allah atampa iman yakweli ambayo itafaa huko akhera
Mashaa'Allah Allah azidi kukuhifadhi mtetezi wa wanyongee Makonda ❤
makonda mtu asiyefanya kazi kwa hasira .na nimtu mwenye upendo kwenye jamii anakubalika nipo zanzibar .namfananisha sana she othman maalim .mtoa dawa bila yakutumia hasira na jazba.mungu akujhali kila la kheri makonda .
Bwana nakushukuru kwa ulinzi wako na jinsi unavyomtetea Mtumishi wako, Mungu nakuomba usimpungue aingiapo na atokapo Adui asipate nafasi kabisa Amen
Amen
Mashaallah Muheshimiwa MAKONDA Insha Allah, Allah akulinde na kila Viumbe vilivyo viovu Ya Rabbil Alami na Ubarikiwe na Insha Allah, Allah azidi kukuongoza katika njiya iliyo nyoka. Ameen Ameen Ameen.
Muheshimiwa MAKONDA na Mama Samiya HOYEEEEEE
HOYEEEEEE HOYEEEEEE HOYEEEEEE
Ameen
MashaAllah Mh Makonda Mungu akulinde akupiganie uchape kazi tulikumiss sana
🎉🎉 KARIBU MTUMISHI POLE NA MFUNGO PIA HONGERA SANA KIONGOZI🎉🎉🎉
Mwamba huyu apa . Binafsi ndio Nimeamini Sasa sababu nimemuona. God bless you kiongozi wetu 🤝 mpendwa
Mungu akulinde sana kiongozi wetu Raisi mtarajiwa Mungu ukufikishe ndoto zako zitimie ndani ya nchi yetu Tanzania
Jembe letu hilo.Chapa kazi Makonda
Asante Mungu mwenye enzi. Karibu Rc Makonda tulikumic sana mkuu wetu wa mkoa wa Arusha. Mungu akutunze zaidi Mh. Makonda❤❤❤❤❤❤❤
Nakuelewa sana Mhe.Paul Makonda Mungu aendelee kukulinda na kukujalia mema yote
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni kumuona tena Mh. Makonda akiwa hai🙏🏼
welcom again future action president of tanzania, ili tufike mbali hii nchi tunaitaji viongozi katili na wanaojali maslahi ya wananchi na nchi kwa ujumla
😮
MUNGU Asante sana mama Samia ukiondoka 2030 tuachie makonda usituache mikononi mwa kile kikosi Cha kujiuzulu
Mashaa Allah....yaan naona Makonda akipata muda wa kuroma hizi coment anatoa machozi ya furaha ........Sio rahisi kupendwa na watu kiasi hiki Hongera muheshimiwa......na ninavyomjua anatamani kila mtu mmoja mmoja angemfanyia wema ....lkn haiwezekani tu ila usijali wema unaowafanyia unaojaaliwa kuwaongoza au kukutana nao inatosha kabisa ....pole kwa changamoto usikate tamaa kila kazi ina changamoto kama uliumwa kqeli pole
Asante mungu tumesikia sauti yake na kumuona kwa macho yetu
Asante mungu kwakuturudishia kipenzi chetu makonda wetu Allah akulinde
Mungu akufunike mbawani mwake kiongozi wetu
Mungu akupe maisha marefu kiongoz wetu Paul Makonda
Mungu ana mbawa tena duuh😢
Nimefurai sana na moyowangu umepata amani mungu aendelee kukulinda na akuepusha na mabaya yote maana bibilia inasema mtakula vyakufisha lakini havitawadhuru naiwehivyo kwakoo❤❤❤❤
Sina cha ku comment,, ila wale tulomuombea ndugu yetu PAUL MAKONDA naimani MUNGU ametujibu tena kwa wakati wake, hakika mioyo yetu imepata amani Sasa,, MUNGU azidi kumtia NGUVU kiongozi wetu na mtetezi wa wanyonge 🙏🙏🙏🙏🙏
Kabisa
Mungu ni mwema kila wakati Ee baba mwenyezi tunaomba utusaidie kutulindia Mh . Makonda ili aendelee kutusaidia ss watu wako Amina
God bless you
Asante Yesu naamini Yehovah Mungu ni mwema jamani msimwache kweli leo mwamba ameanza kazi jamani wanyonge tumefurahi sana ila kwa imani yangu nampenda sana na naomba aende kwa watumishi wa Mungu wakazifute zile kauli zote zilizonenwa dhidi yake mimi binafsi kuanzia kesho na keshokutwa nafunga na kusali kwa ajili yake na kukataa na kufuta yote aliyonenewa kwa hiki kipindi alichotoweka kazini bila kutuaga watanzania wote na siyo Arusha tu Mh Makonda tunakupenda mno anza kazi kijana jasiri na shujaa lakini umetuliza sana wanyonge hivyo tupe pole tuliumia sana maneno kwenye mtandao yametuliza sana leo tutalala usingizi mnono kweli
Makonda Rais 2030
Nampenda sana my brother makonda,I love you so much ❤❤❤❤❤❤❤❤
Nikimwangalia, alivyo ondoka na alivyo ludi, kuna utofauti muonekano wake, ni kama vile alikuwa mgonjwa(kapungua) sula.....
Kabisa, hata hajawa sawa bado
Nikweli tuzd kumuombea
sula tena dah
Nikweli anaonekana
Sahihi Kabsaaa Yaani 🙏
Daaa Sasa ndo nimeamini kweli Makonda yupo nilijua ni taarifa ya uongo Mungu akutangulie akupe Afya njema piga kazi kiongozi
Waaaoooo karibu sana kiongozi wetu jamani tulikumiss damu ya Yesu ikulinde.
Kutoka kwenye uvundo wa moyo wangu nimefarijika sana baada ya kumuona kaka Makonda kurudi kwenye masikio yangu akiwa hai maana moyo wangu ulikuwa hauna amani kabisa,Ahsante sana Mungu kwa kumlinda huyu kijana
Mungu ni meaminifu na ni mwema mnoo!!asante kwa ulinzi uliompa huyu kiongozi,,Jina la Bwana lihimidiwe
Maombi ya wateule hayapotei. Tunamtukuza Mungu kwa wingi wa rehema❤❤❤ chap kaziiiiiiii
Hongera Kwa kurudi mungu akulinde ila umepoa kweli umepungua hujachangamka km mwanzo umepowa Cha msingi tushukuru umepona
Daaaaah Asante Mungu wangu wa Mbinguni kwa kumlinda Mkuu wetu wa Mkoa Makonda yaani leo nina amani ya kutosha,.😢
The King is back
❤❤❤❤❤❤❤Mungu....ni wamilele......
Asante Mungu ❤❤
Asante mungu mlinde na umpe urinzi mjawako huyu makonda
Allahu Akbar!!Alhamdulillah wallahi.🤲
My leader 💪💪
Geveva of Tanzania.
Kweli jamani siku hizo 30 zimetuumiza sanaaa 🙏 tunamshukuru Mungu kwakuonekana kwake tena
I like him as well he's beste may Allah protect him.❤
Da afazali jembe lipo mungu akuweke sana mzee unaeleweka
Mungu akutangulie
Mhshmw, asante kwa uongozi wako na kazi zako nzuri sana, ila usisahau khs stendi ya Arusha imeshakua ndogo sana, tunaomba utuangalie ktk hili kiongozi
Haleluyaaaa utukufu kwa Bwana Yesu ❤
Kwakweli Sifa na Utukufu zimrudie Mungu mtenda maajabu 🙏
Alhadullilah yarabilyaalamini . Yarabi eee Mola wangu mlezi wa mbingu na nchi na duniani kote yarabil tunakushukuru maana wwe ndiwe Mungu wa rehema yaarabil asante kwa kukubali maombi yetu . Umemrejesha kipenzi chetu
Asante mungu kwakujibu maombi ya watanzania wote
Mwache Mungu aitwe Mungu nimefurahi mno kumuona mh Paul makonda Asante Mungu kwa kutujibu maombi ya wengi tulipo omba usalama wa ndugu yetu Paul makonda 🙏🙏🙏
Acha kabisa huyu Mungu, kweli ni Mungu mkuu
Nasema Mungu yupo na ninamtangaza yupo nimeona kazi yake.
Hongera sana kwa uhai uliopewa na mungu
Kweri kweri kweri mhe wetu uyoooooooooooooooo mungu akulinde sana❤🎉🤲🙏
Asante Yesu.
Namshukuru Mungu kwa kumuona makonda tena ninafuraha sana
Yaan hata ss Zanzibar tunamkubali muheshmiwa Paul makonda mungu azidi kukulinda rais wa tz 2030 inshaAllah
Innsha ALLAH
@@BilalMuhammad-jt6sq ammyn
@@AhmedAhmed-gf1rdin sha allah yarab
@@aishaalbalushaishabalush8291 آمين
2030 Ridhiwani Kikwete
Asante sana Mungu kwa mema yote unayotupatia
Mzee muombe sanaa munguwako watanzania wanakupenda sanaaaaaa
Asante mungu mwema sna
Pole sana makonda ila jiepushe kula nao hao
Mungu ni mwema hata siamini Kama namuona Tena makonda❤❤❤❤❤😅
Asante saana MUNGU 🙏
Mungu akulinde kaka katika maisha yako na familia yako na uendelee kutuabgalia sisi wanyonge ❤❤❤❤nimefurahi kwa kukuona kaka
Jembee kama jembeeee Kaz Kaz mungu akulinde🙏🙏🙏
Mungu azidi kukulinda. Tunamshukuru Mungu kwaajili yako🙏🙏
Waooo kumbe umelud magufulii wang 🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwema, karibu sana jembe letuu
Jina la mwenyezi Mungu na libarikiwe.
YESU KRISTO Wewe ni wa kushukuriwa asante kwa uzima wa poul makonda najua ulimlinda katika majukumu yake na bado utaendelea kumlinda kwa kila jambo asante BWANA YESU
Mungu ni mwema sana kwako mmeshimiwa wetu
Yesu ni mwma Kila wakati Mungu akupe maisha marefu
Umerudiiiiiiii, Asante MUNGU 👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏💯
Karibu tena. Arusha Ze Jembe🎉🎉
Hatimae Mwamba karejea 🙏
Ila kweli jamaa alikuwa anaumwa, kazeeka haraka sana
Atarudi kuwa sawa tu,ni swala la muda tu.
Amekonda atakukonda😢
Glory to God
Mungu akulinde kipenzi Cha watanzania tulisha poteana kwa mshangao makonda wetu Yuu wapi Leo tumeona yumzima Bado anaishiii Asante mungu wa mbinguni😁😁😁🙏🙏
Ahsante mwenyezi mungu.Jamani Hadi nikamuone Kwa macho yangu.Mwenyezi mungu Akuhifadhi chini ya mbawa lake
Mungu akulinde
Nimefurahi sana kukuona tena mpendwa wetu❤❤❤❤❤🎉
King makonda dah
Nakupenda jembe
Hakika Mungu ni Ebeneza.
Alhamdullilah kama siamini vlle dah mungu akuongoze
Jamaaaan makonda nimefrahi kukuona unawafaa watu unawatetea
Jembe Makonda welcome back!
Mungu ni mwema sana
Nimefurahi Sana Niko shinyanga nampenda Sana makonda nimelia Sana nimemuombea Sana nashukuru kumuona japo kwenye mitandao kazi iendelee
Viongozi Bora Tz
Asante mungu
Dah hongera sna mkuu Bora tumekuona maana tylikumiss sa
Kazii iendelee,
Baba kaeudi kazini kazi iendeleee karibu Tena baba wa Tanzania ya kaskazini ❤❤❤
Makonda 💯💯💯🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤makondaa
Mungu akulinde kipenzi Cha Arusha
Kila siku kila saaa Mungu ni mwaminifu
MUNGU wetu akutie nguvu mweshimiwa wetu.chapa kazi,tunakuombeya Kwa MUNGU wetu aliye hai❤