TAZAMA: Sauti ya Zuchu ilivyowaliza na kuwafariji waombolezaji Uwanja wa Uhuru

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 бер 2021
  • Moja ya wimbo ambao hayati John Magufuli alizipenda sana ni "Tanzania ya Leo" ulioimbwa na msanii Zuchu.
    Na leo hii wimbo huo umefanya kazi ya kuwaliwaza na kuwafariji watanzania kufuatia msiba wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli.
    Tazama hali ilivyokuwa wakati huo.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

КОМЕНТАРІ • 635

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 3 роки тому +18

    Jua letu limeteremka mama. Lo, usiku upite siku mpya lichomoze tena majonzi yageuke kuwa furaha ya kumbu kumbu kwetu daima na maisha yasonge mbele zaidi. 🙏💐💐

  • @okothomondi
    @okothomondi 2 роки тому +28

    Can't forget this day, found me in a Agan Hospital battling Covid-19. When I watch this funeral procession, the picture of me struggling for breath comes to mind. Rest in peace Magufuli, it isn't only Tanzanians that love you, some of us in Kenya were also your fan. May you continue resting in peace ☮️ Pombe.

  • @zenasambe3626
    @zenasambe3626 2 роки тому +19

    And am here today again😭and still can't hold back my tears😭😭😭😭continue resting LEGEND,,YOU ARE INDEED MISSED🙏

  • @ahmedmohammoha5729
    @ahmedmohammoha5729 3 роки тому +50

    From Kenya kifo chake kimeniguza sana RIP balii nitakukbuka Sana

  • @missmac5204
    @missmac5204 3 роки тому +69

    Rais wa Tanzania was loved by many. The pictures spreading on social media are evidence of this pure-love for a president. He will live to be forever a legend. His fear for God, his good heart, his good deeds and his development for his country Tanzania🇹🇿 will always be remembered many many years to come. Continue resting in peace His Excellency Mr. John Pombe Magufuli.

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 роки тому +61

    Hii nyimbo inafuraisha na leo tunaikumbuka kwa huzuni 😭😭😭akuna namna kwakwel Mungu mpokee baba etu

  • @mamanillan5417
    @mamanillan5417 3 роки тому +31

    Nenda babaaa 😭😭😭😭🙏🙏🙏 umeumaliza mwendooo salamaaa watanzaniaaaa tunaliaaaaa 😭😭😭🙏🙏🙏 punzikaaa kwa amaniii jemedali wetu

  • @idriskenna199
    @idriskenna199 3 роки тому +63

    What a great president de son and hero of Africa love you from Kenye we gonna miss you 😭😭😭

  • @lauraabass1077
    @lauraabass1077 3 роки тому +19

    Hii ni moja ya nyimbo ambazo Hayati Komando Magufuli aliipenda mno, inaniuma namkumbuka nikiiskia. Oh will allways love you baba mtetezi wa wanyonge mpenda maendeleo. Umeiacha Tanzania yako na sisi wanao, Rest in peace kipenz chetu 🙏

  • @neemajulius1256
    @neemajulius1256 3 роки тому +11

    Baba yetu hatutakuja kukusahau maisha yetu yote umetuliza Sana atakayetufuta machozi yetu ni Mungu mwenyewe

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 3 роки тому +50

    Jua limeteremka daah..! 😭😭😭 Maisha ya mwanadamu ni fumbo 🇰🇪🇰🇪

  • @ghinnerbobiholicnalutaaya2644
    @ghinnerbobiholicnalutaaya2644 3 роки тому +25

    A good heart has stopped beating, a good soul ascended to heaven we part wth our beloved in pain 😭😭rest in internal piece ur was so different, Humble😭😭may Allah judge ur soul with mercy 🙏🙏🙏

  • @yusuphabonike1050
    @yusuphabonike1050 7 днів тому +2

    Nakukumbuka sana Legend Magufuli Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi na akuangazie mwanga wa Milele huko uliko.2024 hii comment.

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 3 роки тому +9

    Wow! Freedom Song. Njia bora zaidi ya kumuaga jasiri wa Afrika! #RIPMagufuli thank you Tanzania!

  • @mwanashabakari6499
    @mwanashabakari6499 3 роки тому +5

    Pole ndugu zetu Wa Tanzania mungu awape nguvu wakati huu wa huzuni.grt lov from kenya

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 роки тому +13

    What a wonderful send-off, this was indeed a great Leader and a Man of the People. Rest in Peace Mr. President.....Condolences from Kenya.

  • @jaxxjoo1973
    @jaxxjoo1973 3 роки тому +23

    Respect zuchu I was cry a lot bt 4 ur song !!

  • @petermusasia2232
    @petermusasia2232 3 роки тому +23

    I've just shed tears after watching this. The song is so nice. Go well Magufuli. The connection you had with your people was so strong. May God Receive you in heaven and rest in peace. Tanzania and East Africa will Miss you.

  • @mrishogange4276
    @mrishogange4276 3 роки тому +152

    Sijawah kumwaga choz kwa mtu ambaye sio ndugu yang,ila Magu ameniliza wallah

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 роки тому +31

    Mbele Yake nyuma yetu MW/MUNGU amlaze mahali pema peponi 🙏😭🇹🇿💔

  • @georgemhalla8853
    @georgemhalla8853 3 роки тому +4

    Najua tu, Rais wetu wamemuua, Ila sawa tu, pumzika kwa Amani Baba, your still my president in ❤️ forever & ever. Love you Sana Magufuli.

  • @millipeter7290
    @millipeter7290 3 роки тому +20

    I feel so sorry for Tanzania citizens,, they have lost a great hero,,, may Almighty God protect and see them through... It will be a tough road to walk,, but through by the power of God all will be well with them...

  • @patiencenimmoh3956
    @patiencenimmoh3956 3 роки тому +17

    Baba ulale salama na utuombee kwa Mwenyezi Mungu 😭😭😭😭😭

  • @Swahili14
    @Swahili14 3 роки тому +45

    *THANK YOU ZUCHU FOR THIS SONG IT WIPED OUT OUR TEARS* 😭💔🙏

  • @mariampaulsen8809
    @mariampaulsen8809 3 роки тому +3

    kai asante baba yetu Magufuri kwakutuachia mama
    so proud mwana mtanzania

  • @lindagirl9826
    @lindagirl9826 3 роки тому +32

    God please Comfort Tanzanian people 😭😭😭 I’m Ugandan live in USA but I can’t stop crying this is to much 😭😭😭 I know it can’t happen but I wish God can bring this man back 😭😭Rip the best president in Africa 🙏

    • @simonpure109
      @simonpure109 3 роки тому

      I cried for six straight days!!! I called sick...

  • @victoriouslife1688
    @victoriouslife1688 3 роки тому +5

    Poleni sana wa Tanzanians wa Ndugu zetu, tumewashika migongoni nyote, tumemutakia pziko lema , tunaamini kwamba ataendelea kuwa kielelezo kizuli kwa kila mtu, na msing ambae amewujenga musihalibu. Mungu ako upande wenyo pia ako tyali kuwaponya kidonda cha kifo cake msihogope wa pendwa.

  • @sweetmelody1191
    @sweetmelody1191 3 роки тому +43

    Kiukweli imewafariji Mungu aibariki sauti yako zuchu atleast umewavuta machozi

  • @shaqirhassan2352
    @shaqirhassan2352 3 роки тому +9

    Hadi kamanda mwanajeshi kalia sio mchezo daaah so sad watanzania tupendane ameacha alama kubwa sana tumuenzi kwa utendaji mzur wa kazi

  • @otienojared8511
    @otienojared8511 2 роки тому +5

    Rest easy Rais John Pombe Magufuli we as Kenyan politicians we will remember you

  • @frdausmwawughanga9047
    @frdausmwawughanga9047 3 роки тому +10

    Jipen faraja aendako apokelewe kama mlivo mpenda Amin insha'Allah

  • @anganilekajigilikajigili2641
    @anganilekajigilikajigili2641 3 роки тому +3

    Wimbo naukubali sana had sio pw I love you Zuchu 😀👍👍👍💓❤❤❤

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 3 роки тому +13

    Jamani hata cc waoman tunalia saana .yaani huyu Rais Mashalhaa.ni mfano wa kuigwa.nipo chini ya Tv kumuaga.lkn cwezi uvumilivu ni kilio tu.yaani haijanipita cku mimi bila kumuangalia Huyu Rais.kwakweli alikuwa ni mtu mwema.Mungu amuweke mahala pema.poleni wa Tanzania woote.

  • @Wakio231
    @Wakio231 3 роки тому +4

    Baba Magufuli forever in our hearts ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇹🇿we will continue to love you even though you are not here with us.

  • @hakiiki1767
    @hakiiki1767 3 роки тому +11

    The world really lost Magufuli Allah rest his soul in internal peace Ameen

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 роки тому +5

    WE HAVE LOST THE LEGEND........ BUT GOD ALWAYS KNOWS BETTER

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 3 роки тому +10

    kidogo ata nacheza leo thenx zuchu 😭😭😥👏👏👏🕊️

  • @kyazzekeith8195
    @kyazzekeith8195 3 роки тому +34

    Magufuli was so human, and automatically with all these people mourning for him he gets a high rank in heaven, Museveni can you imagine your funeral, Rest in Peace JOHN POMBE MAGUFULI

    • @ericketer3168
      @ericketer3168 3 роки тому +1

      Did you just have to tag along Museveni???

    • @mr_edwin_barista
      @mr_edwin_barista 3 роки тому

      🤣🤣🤣museveni

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 роки тому

      🤣🤣🤣🤣 u have made my day .

    • @l.comics6348
      @l.comics6348 3 роки тому

      By the way he didn't attend the service in Dodoma. Where was he coz I have not heard from him.

  • @venasasende1474
    @venasasende1474 3 роки тому +28

    Wakwanza ku comment from 🇿🇦🇨🇩🇿🇦

    • @jaxxjoo1973
      @jaxxjoo1973 3 роки тому

      Kesho limetulia Sana Ila zuchu anatukumbusha tusilie tupambane as magu

  • @anastaziamoses4100
    @anastaziamoses4100 2 роки тому +23

    Nimekuja tena apa leo mwaka mpya bila wewe ila moyo unauma sana 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu nisamehe mimi kama kumlilia mtu ni zambi nashindwa kujizuia kwa huyu baba Magufuli 😭😭😭😭

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 роки тому

      😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @user-he3me7co9y
      @user-he3me7co9y 8 місяців тому

      Kabisa yaani 😭😭😭 naangalia 2023/10/10

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 роки тому +14

    Pumzika kwa AMANI shujaa Wetu 😭😭😭😭

  • @doricemichelle3614
    @doricemichelle3614 3 роки тому +31

    Imagine huu wimbo mara ya mwisho ulivyopigwauwanjani nayeye alikuwa anaucheza😌#TanzaniayaMagufuli😌

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva8245 3 роки тому +34

    Toka juzi nilikuwa siamini ila leo ndo nimeamini Jasiri muongoza njia ametangulia mbele za Haki kwakweli nimelia na sijajua Kama nitanyamaza maana nikikumbuka tu matendo ya Magufuli kwa wananchi wake nabaki nalia tu 😥😥😥😥

    • @jacksonkanzira9789
      @jacksonkanzira9789 3 роки тому

      Haupo mwenyewe kaka. Pole sana... Hata mimi nimelia sana

    • @felistamwashibanda7764
      @felistamwashibanda7764 Рік тому +1

      Tunalia wengi mm ni mwaka sasa na miez Bado nalia tu, 😭😭😭😭😭😭

  • @farmplanners
    @farmplanners 3 роки тому +5

    so sad the leaders wealthy at heart in Africa always leave as soon .i cant hold my tears each time i watch this R.I.P Dr ...you were loved by all of us #kenyanwhoadmired Tzprezzo

  • @robenapomola2395
    @robenapomola2395 3 роки тому +80

    Unaweza kuona mtu anacheza kwa furaha kumbe ni nguvu ya maumivu moyon da😭😭😭

    • @zuhurambonde1982
      @zuhurambonde1982 3 роки тому +8

      Wanajifariji Bila hivo dah tutapoteza wengi baba Maghufuli amejua kutuliza wananchi wake pumzika baba.

    • @nyororotherock5567
      @nyororotherock5567 3 роки тому +5

      Hakika machozi tupu

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 3 роки тому

      @@zuhurambonde1982 kwel kbs

    • @francemzaga4045
      @francemzaga4045 3 роки тому

      J

    • @mudriqhamidu6031
      @mudriqhamidu6031 3 роки тому

      Inakubidi ujipe faraja t cz ukikaa na maumivu sn unaxidi jipa showck hunabudi kuwa hvyo

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 3 роки тому +16

    Real This song restores the happiness among us. RIP Nghosha

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 2 роки тому +5

    Kwa haya yanayofanyika hakika wewe uliuwawa kwa masilahi ya mafisadi,na watanzania wanyonge

  • @herrymollel7445
    @herrymollel7445 Рік тому +3

    Legend never die but live forever ❤

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 3 роки тому +5

    🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭💔💔💔💔aki zuchu wetuu na ville baba Magu alikuita kwa jukuaa...😭😭😭

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 роки тому +10

    Dah hadi askari wanalia hki ni maumivu mkli hasa tukikumbuka aliyoyafanya Baba yetu.Mungu akupokee mbinguni Kipenzi chetu

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 роки тому +5

    Yasni unaeza kuona km watu wanafurahi kumbe ni nguvu ya maumivu moyoni ,😭😭😭 ni uchungu sana jmni wimbo unafariji jmni japo uchungu sna dah

  • @agustinoctavian5406
    @agustinoctavian5406 3 роки тому +7

    Tunashukulu mungu

  • @sirkelvin5415
    @sirkelvin5415 3 роки тому +20

    Zuchu trying to bring hope to Tanzanians

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 роки тому +1

    Duuuuuh aisee yahni dunia hii kuna watu wamegusa mioyo ya watu kwa asilimia moja

  • @jenariomunene376
    @jenariomunene376 3 роки тому +18

    Huu wimbo umefanya nimwage machozi nikikumbuka Magufuli hatutawahi muona tena duniani. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

    • @floraladislaus1142
      @floraladislaus1142 2 роки тому

      Mungu ndo anajua uchungu walionao wananchi🤔 Sasa hivi ni mwendo wa😷

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 3 роки тому +5

    Corona ushindwe na ulegee kutu malizia watu mungu akuteketeze utukome waTanzania shetwani yeyuka katika taifa letu.😭😭😭

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu5015 3 роки тому +2

    Safiri salama magufuli the most loved leader by many in East Africa and at large

  • @abdulkadirsalum8362
    @abdulkadirsalum8362 3 роки тому +7

    Masiki mtu anacheza na uchungu huku machoziii yana bubujika mmhhh kweli chema Hakidumu

  • @sadikiclaude7917
    @sadikiclaude7917 3 роки тому +6

    Condolences to my neighbors Tanzania 🇹🇿

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 3 роки тому +15

    Kwa mara ya kwanza leo chozi limenitoka, dah......Tumepoteza mtu muhimu sana kwenye Taifa letu na Africa kwa ujumla, RIP John Pombe Magufuli, imani yetu na ushindi upo kwa Mama, na mimi binafsi sina wasiwasi nae kabisaaaa, anaweza kutuvusha hapa tuliposimamia kipindi hiki. Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

  • @paulodaki9015
    @paulodaki9015 3 роки тому +1

    Hongera jwtz kwa kutoruhusu geneza la rais wetu isiguswe na police hapo nomewakibali wanchi na jeshi lao la wananchi

  • @audreyluteya5915
    @audreyluteya5915 3 роки тому +6

    😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪 was so early for him 😭😭😭 may his soul rest in peace 😭😭😭😭

  • @bobbiegatimu7124
    @bobbiegatimu7124 3 роки тому +2

    Poleni sana sana Tanzania

  • @marymumbua9436
    @marymumbua9436 3 роки тому +14

    Sometimes we accept things we cannot change. The day i heard about his death, my day was just bored. I have never been close to Magufuli president but I have been following Tanzania, I am a Kenyan anyway, but I love how Magufuli was good to not only Tanzanians, but also East Africa as well...May his soul find eternal rest

    • @africamwebaze4941
      @africamwebaze4941 3 роки тому

      Man am a Ugandan but i also remember when he was in Kenya telling Uhuru that wakule mayindi ya hapahapa

  • @dianamarua2632
    @dianamarua2632 2 роки тому +1

    Still crying ooh my GID such a good man continue resting in peace

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 роки тому +1

    Nitakukumbuka daima anko magufuli watanzania tulokupenda sana na tutaendelea kukupenda na kukuenzi R.I.P jpm😍

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 2 роки тому +2

    😭😭😭😭 miss You my Daddy 24/12/2021 kesho ningekuona kwenye Hbr yaani.
    R.I.P DADDY.😭😭😭

  • @amosjoliga7121
    @amosjoliga7121 2 роки тому

    Duuu Pumzika John Pumzika John Pumzika John,Amina I'm watching 19.03.2022

  • @panchovalentino5922
    @panchovalentino5922 3 роки тому +7

    R.I.P Mr President Magufuli 🕯️🕯️🕯️🕯️😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @alfredjustinian9588
    @alfredjustinian9588 3 роки тому +25

    Sometime nilisikiliza huu wimbo nakuwa na furaha jmn tangulia kwa amani tutakumic atr jmn

  • @Aisha-om9go
    @Aisha-om9go 3 роки тому +9

    Umeenda baba daah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @marianakalanzi7178
    @marianakalanzi7178 3 роки тому +6

    May his soul rest in eternal Peace, he was a great man

  • @raheliamosi9531
    @raheliamosi9531 3 роки тому +2

    Nenda salama baba yetu kipenzi! Malaika wa mungu wakupokee !!

  • @nero7941
    @nero7941 3 роки тому +3

    JPM kila siku namkumbuka mzee Daa R.I.p

  • @roseadhiambo5914
    @roseadhiambo5914 3 роки тому +12

    My heartfelt condolence to all Tanzanian s from kenya

  • @netti6556
    @netti6556 3 роки тому +3

    Sending love to beautiful mighty Tanzania ❤️ stay strong, I know you are

  • @shammyngude5060
    @shammyngude5060 3 роки тому +4

    Zuchu asante kwa kufuta machozi ya Watanzania

  • @rebeccafeaquee6655
    @rebeccafeaquee6655 3 роки тому +9

    My condolences to my Tanzanian brothers and sisters rest in peace Dr John Pombe Magufuli 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @alexkibwana7587
    @alexkibwana7587 3 роки тому +1

    Jamani Tanzania yetu 😘

  • @bahatimasinga2987
    @bahatimasinga2987 2 роки тому +2

    I'll never forget my president Magufuli through this Zuchu's song

  • @gabrielsixtus1718
    @gabrielsixtus1718 2 роки тому +2

    African hero one, we will remember your legacy. Rest in Paradise. Sir

  • @esterpantaleo246
    @esterpantaleo246 3 роки тому +2

    Daaaa! Huu wimbo uliupenda Magufuli jamn lkn leo hii auuchezi tena daaaa!

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 3 роки тому +2

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nenda baba daa jamani MUNGU muangazie mwanga wa kaburi muondoshee adhabu za kaburi muweke mahali panapostahiki 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ommyTv194
    @ommyTv194 3 роки тому +11

    MUNGU weka mkono wako simama nasii Tazama Machozi yetu Baba

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 роки тому +9

    Haki Baba aliupenda sana huu wimbo mwenyewe kati ya nyimbo za zuchu huu ndo naupenda kliko zote jmnj

    • @Swahili14
      @Swahili14 3 роки тому +1

      Aliimba kwa hisia sana na sauti ya dhahabu so POWERFUL 😭😭😭♥️

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 роки тому +2

      aliupenda kwa sababu dictator alipenda kusifiwa .

    • @huntertm1514
      @huntertm1514 3 роки тому +1

      @@kiri5807 Asante kwa kuropoka na kuonyesha ... wako

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 3 роки тому

      @@huntertm1514 alienda huu na ule wa harmo rmx ya ngwangwaru

    • @sikuzanikhalfan618
      @sikuzanikhalfan618 3 роки тому

      @@kiri5807 Kuna wanadamu wengine waliletwa hapa Duniani siyo tu kumfuata shetani bali pia pia kumsaidia shetani bila shaka wewe @ Dioanoaye ni mmojawapo. RIP JPM, siku zote utaendelea kubaki kwenye mioyo yetu kwa mengi mazuri uliyotufanyia wa Tanzania.

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 Рік тому

    This memory will never get away from my mind, em glad that I was one of the ppl who go ther and giv our last respect to our one and only President,,,we dearly miss him,,we love him until the end of us,, THANK YOU MAGUFURI

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому +3

    Wimbo mzur sana na ule wakina Dai umelala jonh

    • @Swahili14
      @Swahili14 3 роки тому +1

      TRUE 😭 lala salama🔥🙌

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 2 роки тому

    ....baba mungu sisi binadamu siku zote ni wakosefu,tusamehe baba yetu..!!

  • @africatop-modele6397
    @africatop-modele6397 3 роки тому +2

    Reste paix RIP father brother we all africa we love you forever ✌️✌️🙏🙏🙏🙏✌️👏👏👏

  • @justinemalima6701
    @justinemalima6701 3 роки тому +6

    Magufuli Daima

  • @millhamissa7490
    @millhamissa7490 2 роки тому +1

    Nenda salama baba yetu mtetez wetu tutakuenz daima

  • @manfredgungah4246
    @manfredgungah4246 3 роки тому +2

    Tanzania msiupoteze wasia wa Baba Magufuli hak amelinda iiilinda Sana heshma ya watu wake pema Magufuli panamngojea Mungu iongoze safari yake 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @wickienaste5095
    @wickienaste5095 3 роки тому +4

    Shine ⭐✨on your way legend 😭😭😭

  • @johnbahati478
    @johnbahati478 2 роки тому +1

    One year now without you. Be blessed Dad

    • @johnbahati478
      @johnbahati478 Рік тому

      Two years since you left us, continue resting in Peace Daddy.

  • @teresiahkiarie8440
    @teresiahkiarie8440 3 роки тому +1

    Rest in peace John pombe makufuli poleni Wana Tanzania

  • @rosekulundu1136
    @rosekulundu1136 3 роки тому +3

    simba wa Tanzania, mchapa kazi shupavu , mwenye huruma kwa wanyonge , may your soul rest in peace baba wa wote!!

  • @bates6274
    @bates6274 2 роки тому +1

    Forever in our hearts 💕💕🥰

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому +2

    Uwo wimbo Wa, zuchu ilipendwa na wengi Ata mimi niliupenda, nikakumbuka shule kipande kile juwa lile litelemke mama walikuwa shule wakiimba basi nikawa naupendaga sana yani na ndo mana wa zuchu nikaja upenda

  • @carolinemakena1980
    @carolinemakena1980 3 роки тому +1

    rest in peace rip makufuli you have fight a good fight may God bless you.

  • @magalajafaari7605
    @magalajafaari7605 3 роки тому +3

    Rest in perfect peace Papa Magufuli