NILILALA NA FRED VUNJABEI / SIONGEI NA GIGY /MONI ALINITESA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 155

  • @salmaomary80
    @salmaomary80 3 роки тому +14

    Huyu dem ana jua kupangia maneno sana nakupenda sana my nilikua siku elewiii ila nita anza kukufatia my love

  • @giventweve8602
    @giventweve8602 3 роки тому +9

    Diva shikamooooooo jamn mlete fahma anajikutaga sana annakwepa intavyuu yaan nimekukubali

  • @andrewkazungu6542
    @andrewkazungu6542 Рік тому +2

    Nzr sana.

  • @narjey2611
    @narjey2611 3 роки тому +4

    Diva unakaba sanaaa😂😂😂😂😂wallahi dah adi raha unapaswa umuhoji fahima yule ng’ombe anajikutaga mgumu sana
    Fahima please nexttt

  • @merecianaleonidas6338
    @merecianaleonidas6338 3 роки тому +23

    2015 means ulikua form one, tayari unamjua Fred unaingia na kutoka Town.ha ha haa.hawa wasanii ni pasua kichwa na stories zao

    • @zenamgwao9751
      @zenamgwao9751 3 роки тому

      🤣🤣🤣🤣

    • @separatebetres5315
      @separatebetres5315 3 роки тому

      Sio watu hawa

    • @catherinemhagama7505
      @catherinemhagama7505 2 роки тому

      Mara form one 2015 Mara form two niliishi nae Moni Sasa mtt wa sec, unaishije kwa wanaume bado upo na wazazi. Napenda maswali ya Diva ya kisomi ila huyu Dada umizwa kichwa mengine SI mkweli.

    • @catherinemhagama7505
      @catherinemhagama7505 2 роки тому

      Umetisha Diva nakupenda buree

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 3 роки тому +11

    Fred ata wamaliza mastaa wa kike wa bongo Kwakweli mnajizalilisha bora ata mfanye biashara kuliko mnavyo achiana mabwana na maradhi haya

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 3 роки тому +2

      Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂

  • @johariyahya7886
    @johariyahya7886 3 роки тому +12

    Diva unawakaba sana na maswali khaaaaa 😀😀

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 3 роки тому +2

    Diva ni fireee🤗💟gigy bangi znamsumbua.haya mwaya pambana usiachie kitumbua kikaliwa na kila mmoja mwsho ataetaka kukuoa atakuja aone uwanja wa mkapaa...sawa nai?

  • @enjoomaliya1399
    @enjoomaliya1399 2 роки тому +1

    Nai , Niffer , nawapenda sana , afu wazuri ,

  • @giventweve8602
    @giventweve8602 3 роки тому +3

    Yaan diva ni diva tuu nakupenda we dada unasaut aisee

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 3 роки тому +5

    DIVA GOOD KUNA WAtu hawajuwemaswari ukonomaDiva

  • @nasinalaw8740
    @nasinalaw8740 3 роки тому +7

    Fredy kumbe malaya hivyo khaah😔

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 роки тому +7

    Divaaa maswali uko mbele 💥💥💥💥

  • @lordthelpus7577
    @lordthelpus7577 3 роки тому +1

    Ummm who are these ladies? Everything about this aesthetically? OMG! They killing it. Well done. 👏🏾👏🏾👏🏾 👁👄👁

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 3 роки тому +10

    Eti ni kawaida kuishi nyumba za millioni!? Wakati NYETI ZAKO NDIYO ZINAHANYA KWA KUBULUZWA KWA WANAUME WENYE NOTI ILI ULIPIWE KODI!! Khaa kweli mtoto mpumbavu ni Mzigo kwa WAZAZI WK🦉🦩🐉

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 роки тому +27

    Fred atawala wengi sana kwa sababu wadada wenzangu wanajilahisisha sana awasemi na njaa zao

  • @faridakidoti6734
    @faridakidoti6734 3 роки тому +5

    Duh Fred unawatumia Sana slay Queen

  • @rosetembe3785
    @rosetembe3785 3 роки тому +7

    Kama namuelewa hivyo, gigy anamchuchunge mchafu,na kujikutaga mnyamwezi kumbe fala tu

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 роки тому +5

    Mmmmh hiii tabu fred anatembea na vichaaa watamuanika hawa vicheche akome

  • @jackyjacob2105
    @jackyjacob2105 Рік тому

    Waah huyo fred noma anawachanganya mastar wote kweli pesa shkamoo 😅😅😅😅🙌

  • @joharibashiri2446
    @joharibashiri2446 3 роки тому +5

    Yani gigy kila nimuangaliapo Haki simsomi before nilikuwa nacukulia nimceshi Tu lakini now naona Kama Kuna kitu kashaanza hakipo Sawa kwenye ubongo wak

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 3 роки тому +7

    Bora hamisa ulivyo jikataa huyu fred ni malaya sana

    • @tsagytz6755
      @tsagytz6755 3 роки тому

      Ukiwa na ela lazma utafune nyama. No bakola tu

    • @sashoright8213
      @sashoright8213 2 роки тому

      Kwel Mana kamjua Ila anawza kua anazururaa nao kisa anione yy anapendeka kwasbb hamisa kamkataa ttzo ilo

  • @eunicemaduhu484
    @eunicemaduhu484 3 роки тому +6

    fred , fred, fred nakuita mara tatu , hilo pweza lako tuliza , jamani wote hao, wanaume tafuteni hela mtaishia kuwapa hi! shemeji

    • @brightluvanda2795
      @brightluvanda2795 3 роки тому

      Sema na huo ukimwi je?utawaacha? Hiv is real jamani!!"

    • @janethpallangyo2633
      @janethpallangyo2633 3 роки тому

      😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @benomdaile7271
      @benomdaile7271 3 роки тому

      Fredi vunjaa bei ana vunjaa bei Kwa madada

  • @fatumaabdallah6720
    @fatumaabdallah6720 3 роки тому +6

    Hahaaa Fred amekula hapo et kakayangu nyoooo unajikanyaga t kuongea ,,,,,,Ila wasichana wa bongo msipokuwa makini Fred atawala wote

    • @dottohamisi9844
      @dottohamisi9844 3 роки тому

      Wataliwa sana wanapenda mtelemko sana

    • @brightluvanda2795
      @brightluvanda2795 3 роки тому

      @@dottohamisi9844 na yeye fred ataliwa na ukimwi!!"?

    • @dottohamisi9844
      @dottohamisi9844 3 роки тому

      @@brightluvanda2795 😃😃😃😃😃hatali

    • @bonnysure8706
      @bonnysure8706 3 роки тому +1

      @@dottohamisi9844 We mwenyewe unamtaka Fredy acha upimbi

    • @dottohamisi9844
      @dottohamisi9844 3 роки тому +1

      @@bonnysure8706 mm hata sihitaji mwanaume

  • @cecymosha4528
    @cecymosha4528 3 роки тому +3

    Nakupenda nai

  • @marianajoachim9411
    @marianajoachim9411 3 роки тому +9

    2016 alikuwa 4m2🙄 Hawa wasanii wetu mbona kazi sana 😂 😂 😂

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 3 роки тому +10

    Huyu binti anaongea uongo mtu, ,

  • @jacksonnduna4419
    @jacksonnduna4419 3 роки тому +1

    Bongo kumpata seroius artist, yaani kwenye mia, unaweza upate wawili tu wengi wao ni vituko tu au kutafuta ku trend

  • @neemaratib6810
    @neemaratib6810 3 роки тому +7

    Mwanamke akiumizwa na mwanamume basi akili yake haifanyi kazi huangukia kwa mwanamume atakaye mpa bega la kulilia.

  • @jonsonigwakisa1162
    @jonsonigwakisa1162 2 роки тому +1

    Mwongo huyu 2016 form two

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 3 роки тому +4

    Hivi kuibiana ma bwana mnaona nidili jamani???atakutaka vipi na Kesha kulamba tayari Kesha kufunua mnatia mpaka kichefu chefu mxxxxxxxxxxxw 😏😏😏

  • @dallasfarmer924
    @dallasfarmer924 3 роки тому +7

    Hustler wanaichukuliaje Hawa 😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 роки тому +5

    🙄🙄🙄🙄Sasa siulele na dunia nzima na ww maisha Yenyew mafupi ay

  • @aboukefea6669
    @aboukefea6669 3 роки тому +5

    Wanaume WENZANGU tutafuteni hela...

  • @lovenesssarungi2193
    @lovenesssarungi2193 3 роки тому +1

    Nai amejibu vizuri sana

  • @ashantyjojo5298
    @ashantyjojo5298 2 роки тому +1

    2016 upo forn 2017 ukaanza kukaa na bwana uwiii shule ikaishia apo

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 роки тому +5

    Big up Diva unajua kuwakaba!🤣🤣

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 3 роки тому +9

    Fred alikusapoti na dyudyu la yuyuuuu😂😂😂

  • @sarafinahmwakyusa1071
    @sarafinahmwakyusa1071 3 роки тому

    Say Ayeye

  • @sarafinahmwakyusa1071
    @sarafinahmwakyusa1071 3 роки тому

    Cool cool😊

  • @franklinmganga736
    @franklinmganga736 3 роки тому +5

    izo ndo ps za town 😂😂😂😂😂njaa hizi hataleee

  • @veeJesus
    @veeJesus 3 роки тому +10

    Nai anaongea kama wolper

  • @Bengo_OnlineTv
    @Bengo_OnlineTv 3 роки тому +4

    Nai unajua sana jinsi ya kujibu maswali nmekupenda bure

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 4 місяці тому

    Katika vitu hatar hapa duniani ni kudate na mtu ambaye anamahusiano mengi,hapo utakuwa unasubir ukimwi uhakika.

  • @lisahsamwel3508
    @lisahsamwel3508 3 роки тому +7

    2015 alijuana na fredy akiwa anakuja mjini 2016 alikua fom 2 uko kwao jamani 😅😅😅

    • @amaniomballa1855
      @amaniomballa1855 3 роки тому

      Duu inaonekan Alianza kupelekewa Moto toka form one maan kasem form two 2016 ...2015 Alikuwa Anaenda kwa Fredy

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 3 роки тому +4

    Hapa hamna kitu Fred ashajishindia

  • @tukaeamani7090
    @tukaeamani7090 Рік тому

    Muwe mnaangaliaga mawani ya kuvaa jamani , hiyo mawani kama fundi welding vipi kisha umevaa usiku, vua bana

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 3 роки тому +6

    Moni kasimama km man hata mm nisingekubali madharau

  • @Bengo_OnlineTv
    @Bengo_OnlineTv 3 роки тому +5

    Ujue sometimes sisi wanaume huwa tunazingua sana ujana uplayboy na tamaa ndio vinatufanya tuwalize sana mwanamke hebu tuache ili tuweze kuwa waaminifu kwa tuwapendao nmejifunza kitu hapo

    • @humphreyalbano3349
      @humphreyalbano3349 3 роки тому

      Kweli bro na wao wapunguze tamaa za pesa

    • @makulaikuku6909
      @makulaikuku6909 3 роки тому +1

      Ujengewe sanam lako posta😂

    • @azzamahamdu7039
      @azzamahamdu7039 3 роки тому

      Ulinzi unatakiwa kwa hyu kijana🤣

    • @Bengo_OnlineTv
      @Bengo_OnlineTv 3 роки тому +5

      Huwa naumia sana kuona mwanaume anamfanyia mwanamke ujinga ndio maana naogopa kumliza mtu nliyenae yan anafikia hatua ya kuniambia kuwa nikimuacha na yeye anajiua eti kisa sijawahi fanya kitu negative kwake kwenye swala la mapenzi pls mans hebu tuwe na huruma unakuta mwanaume anamcheat her girl kwa best yake alaf anachukulia fine kabisa ila sisi wanaume tutakuwa na moto wetu private siku ya mwisho

    • @esterngowi7159
      @esterngowi7159 3 роки тому +1

      @@Bengo_OnlineTv mungu akueke brother love thiz

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 роки тому +2

    Wanawake bhana wakisaidiwa kidogo tu wanajiachia duuh sio watu wakuwaamini!

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 3 роки тому

      Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 2 роки тому

    Tatizo ukuwa na mapesa wadada wanajileta wenyewe so kama huna msimamo aiseee utapiga sana.

  • @lizzydiy4590
    @lizzydiy4590 3 роки тому +4

    Wanyakyusa tuna comment wapi?

  • @salmahibrahimsalmahibrahim5427
    @salmahibrahimsalmahibrahim5427 3 роки тому +4

    Uyu nae

  • @erickmahona5357
    @erickmahona5357 3 роки тому +3

    Nai mbn sikuelew kweny vunj bei apo unaingia mala unatok

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 3 роки тому +1

    Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂

  • @mugwevenant1963
    @mugwevenant1963 3 роки тому +4

    Shikamoo pesa

  • @hatari9591
    @hatari9591 3 роки тому +1

    Uhuru gani huo?

  • @tukaeamani7090
    @tukaeamani7090 Рік тому

    Kupendeza gani huko kama fundi Welding

  • @hiland255fundi5
    @hiland255fundi5 3 роки тому +3

    Umalaya shida kwel mtoto wa watu unajing'atA sana, Dunia iko mbio mno

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 3 роки тому +15

    Ila huyo Gigi money nae kila mtu unagombana nae hebu acha kujiamini Sanaa ujeuri umekujaa mdomo mchafu Sana yaani Gigi money huwa nakupenda ila kwa hizi bifu za kijinga na wenzio tu jirekebishe bhana unakera Sana Gigi

  • @elizabethhonere2931
    @elizabethhonere2931 3 роки тому +4

    Kumbe huyu Fred ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine anawapanga tu ukimuona huwezi kuamini

  • @انبنداملبن
    @انبنداملبن 3 роки тому

    Nice

  • @paulmarcel1026
    @paulmarcel1026 3 роки тому +1

    Ulisharubuniwa ww! Vp shule ulimaliza ?

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 Рік тому

    Mliingiliana nyie,lakini km mlishayamaliza potezea tu

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 3 роки тому +9

    We nai unajichubua naona vidole vinasugu veusi

    • @georgesikazwe5914
      @georgesikazwe5914 3 роки тому +4

      Jichubue na wewe..acha wivu

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 3 роки тому +2

      @@georgesikazwe5914 unateseka ukiwa wapi 😀😀😀

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 3 роки тому +1

      @@gillimangi5522 soon nitaanza kujichubua my 😄😄😄

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 3 роки тому +1

      @@gillimangi5522 kwani kwao ni wapi

    • @florencychilango9198
      @florencychilango9198 3 роки тому +1

      @@jenifajuma5395 Wadada tunawivu sana sasa unaangalia mahojiano au unaangalia maungo yake

  • @ginamulenga1878
    @ginamulenga1878 3 роки тому +4

    @Fred vunjabei Come See Your Trouble

  • @zenamgwao9751
    @zenamgwao9751 3 роки тому +4

    2016 form2 na 2017 anaish na mon🤔

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 3 роки тому +1

    Oky

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 3 роки тому +2

    Kuna bwanamumbaya unawezavumiriyaunashidwa japokuwa nyiye hamujaolewa niumalayatupu

  • @nasibukhingengena455
    @nasibukhingengena455 3 роки тому

    Tume drinks😂😂

  • @syphroseshazala6854
    @syphroseshazala6854 3 роки тому +1

    🔥🔥🔥

  • @speroachpaulsen
    @speroachpaulsen 3 роки тому +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @moseskitangita915
    @moseskitangita915 Рік тому

    dada zangu mumejitwisha dunia kwa tamaa inaonekana ww ulimchiti moni maongezi yako yanakusuta ww tamaa

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 3 роки тому +5

    Fred alimega kisela 🤣🤣

  • @aishahamissi3775
    @aishahamissi3775 3 роки тому +1

    Diva menakukubali unajuwa kuhoji kabisa

  • @bashirusalehenandoro3128
    @bashirusalehenandoro3128 3 роки тому +5

    Fred aisee amewakula sana hawa wadada 😂😀😃

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 3 роки тому +1

      Si wanapenda pesa wataliwa2

    • @saidramadhan5396
      @saidramadhan5396 3 роки тому +1

      Kwastaili hii amewala mnoo😅😅😅

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 3 роки тому +1

      @@saidramadhan5396 sana 🤣🤣🤣

    • @bashirusalehenandoro3128
      @bashirusalehenandoro3128 3 роки тому

      Na mwamba simu moja tu anapitisha piza analipa kod ya miez 3 alafu mbele huko utajitegemea

    • @dfinafriga9863
      @dfinafriga9863 3 роки тому +1

      Nipesatu🤣😂

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 3 роки тому +6

    Aka nakenyee aka katoke zake uko hakana utofauti na kuku kishingo

  • @aprow2059
    @aprow2059 2 роки тому +1

    Malaya tu wategemezi

  • @isackmaturo7331
    @isackmaturo7331 3 роки тому +1

    Kwahyo ulikua unasoma huku umeolewa namaanisha ulikua unatoka kwa mume unaenda shule

  • @fettyobah7855
    @fettyobah7855 3 роки тому

    Nilikua skupend we dda bt nw nimekuelewa, unaakili San

  • @nishaabias5694
    @nishaabias5694 3 роки тому +1

    I am mnyama mkali😂

  • @juniorjoseph7044
    @juniorjoseph7044 3 роки тому +1

    muongo

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 роки тому +1

    Pumbavu tupu

  • @lovelylee7296
    @lovelylee7296 3 роки тому +2

    Haha

  • @nyandabukombe9291
    @nyandabukombe9291 3 роки тому

    Mkukuje huku tulane

  • @jacksongidion2767
    @jacksongidion2767 3 роки тому +1

    Y

  • @kapeljjkapeljj5407
    @kapeljjkapeljj5407 3 роки тому +1

    Disgusting

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 роки тому +1

    Nice