THE CLASSIC DAZ NUNDAZ PART 2 ep1 : FEROOZ ALIFUKUZWA SHULE KISA MUZIKI/UTUNZI WA JUU WA BARUA
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Sehemu ya pili ya maongezi na moja ya makundi bora ya muda wote Daz Nundaz inaendelea ambapo wanaendela kutupatia hadithi muhimu za maisha yao na muziki.hii ni episode ya kwanza ya sehemu hii ya pili
Interview kama hisi sisi ndio tunataka, mnatufanya sis tunao penda nyimbo kama za akina Daz nundas tu enjoy, pia msisahau kuniletea story Mr 💙💙💙💙🔵🔵🔵
Mungu aendelee kuwapa nguvu. Nakumbuka mbali sana ninaposikiliza nyimbo zao kwa maana mziki wao una umri sawa na usikivu wangu. Nilianza kuwasikiliza tangu walipoanza Game.
Nimemuelewa mtangazaj at the beginning na Kwa uelewa wangu huenda hiyo ndio ilikuwa sababu ya kundi kupolomoka .. coz wakat ralumba alivytaka kuelezea tu feruz akamkata
𝐍𝐚𝐦𝐢 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐭𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐮𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐳𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐧𝐠𝐨𝐦𝐚 𝐡𝐢𝐲𝐨
Ninooma sana kipindi hicho
Nawakubali sana Daz Nundaz ❤❤
Hili jahazi la Daz 😍
Hawa wawili hawa walikuwa wanauwezo sana feruz na daz
Sanaaaaa
Kwa Daz Shuka Rhymes ndio wimbo bora...
Nipe tano
Nimejaribu kufanya utafiti kwa wasanii nimegundua wasanii wliokua wana imbaimba wengi wali poromoka kiuchumi na walio kua wanarap wengi wako strong kiuchumi kiasi fulani
minakushauli kaka ungekuwa na studio apoapo wanapomaliza inte view wanaingia studio wanaacha nyimbo wamelekodi kisha inatoka niwazo2
We kuweza
Ferouz kazngua, lazm kuwe na source ya idea, mnaandikaje wote bila wazo
tayari imeshasemwa idea ilianza kwa critic, ferouz aka divert kutoka siasa iwe mapenzi walipoipenda wakai progress kwa pamoja
kupitia hii intavyuu ndio nimeelewa maana ya ule mstari wa kwenye starehe "Kz camp masela", kumbe muhuni alisomea Kizuka TPDF Secondary School hahaha, i can imagine ni jinsi gani alikuwa anamsumbua dingi yake #Iwasthere
Mi yaani kwa miaka yangu yote nilikua najua daz nundaz ni feruz na daz baba alafu wengine ni ft tu..... Kumbe kulikuwa na wengine dah i say
Wimbo wa KAMANDA DAZ wa NUNDAZumefanana sana kimatini na wimbo KITAMBO KIDOGO wa BDP.
Hawa jama waliumiza vichwa vyao Kwa uandishi Wa nyimbo zao
Hiyo 2004 ilikuwa hatariiiiiiiiiiiiiiiiiii
2002 hiyo
Kuvi MISU
Kuvi tuletee BDP
Angalia interview za nyuma utawakuta
mbona dazi nundazi kachoka sana ivyo
Unamaanisha Daz Baba? Nundaz ni kundi
Mteja
Ulaji wa mboga za majani za kukausha kupita kiasi nihatari sana.
WAPI PABLO?
Amefariki
@@KuviFactsM.A.P
𝐊𝐢𝐧𝐠 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐦𝐣𝐞𝐧𝐠𝐨𝐧𝐢....
𝐑𝐚𝐥𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐦𝐮𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐲𝐚𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮 𝐳𝐨𝐨𝐨𝐭𝐞...