THE CLASSIC DAZ NUNDAZ PART 2 ep1 : FEROOZ ALIFUKUZWA SHULE KISA MUZIKI/UTUNZI WA JUU WA BARUA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Sehemu ya pili ya maongezi na moja ya makundi bora ya muda wote Daz Nundaz inaendelea ambapo wanaendela kutupatia hadithi muhimu za maisha yao na muziki.hii ni episode ya kwanza ya sehemu hii ya pili

КОМЕНТАРІ • 34

  • @jemaarsen6996
    @jemaarsen6996 Місяць тому +3

    Interview kama hisi sisi ndio tunataka, mnatufanya sis tunao penda nyimbo kama za akina Daz nundas tu enjoy, pia msisahau kuniletea story Mr 💙💙💙💙🔵🔵🔵

  • @h.jrugashaula1296
    @h.jrugashaula1296 Місяць тому +3

    Mungu aendelee kuwapa nguvu. Nakumbuka mbali sana ninaposikiliza nyimbo zao kwa maana mziki wao una umri sawa na usikivu wangu. Nilianza kuwasikiliza tangu walipoanza Game.

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Місяць тому +6

    Nimemuelewa mtangazaj at the beginning na Kwa uelewa wangu huenda hiyo ndio ilikuwa sababu ya kundi kupolomoka .. coz wakat ralumba alivytaka kuelezea tu feruz akamkata

    • @zclassicfashionz1573
      @zclassicfashionz1573 Місяць тому

      𝐍𝐚𝐦𝐢 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐭𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐮𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐳𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐧𝐠𝐨𝐦𝐚 𝐡𝐢𝐲𝐨

  • @thebeatmurder-he8xo
    @thebeatmurder-he8xo 7 днів тому

    Ninooma sana kipindi hicho

  • @aulidriver3102
    @aulidriver3102 Місяць тому +1

    Nawakubali sana Daz Nundaz ❤❤

  • @mohammedaliabdallah5508
    @mohammedaliabdallah5508 Місяць тому +1

    Hili jahazi la Daz 😍

  • @timothymikola2317
    @timothymikola2317 Місяць тому +2

    Hawa wawili hawa walikuwa wanauwezo sana feruz na daz

  • @PauloRenatus-i9b
    @PauloRenatus-i9b Місяць тому

    Sanaaaaa

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka7222 Місяць тому

    Kwa Daz Shuka Rhymes ndio wimbo bora...

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 Місяць тому +1

    Nipe tano

  • @DM_15
    @DM_15 Місяць тому

    Nimejaribu kufanya utafiti kwa wasanii nimegundua wasanii wliokua wana imbaimba wengi wali poromoka kiuchumi na walio kua wanarap wengi wako strong kiuchumi kiasi fulani

  • @user-fj7wu8ph1q
    @user-fj7wu8ph1q Місяць тому +2

    minakushauli kaka ungekuwa na studio apoapo wanapomaliza inte view wanaingia studio wanaacha nyimbo wamelekodi kisha inatoka niwazo2

  • @darkrhymes2927
    @darkrhymes2927 Місяць тому

    Ferouz kazngua, lazm kuwe na source ya idea, mnaandikaje wote bila wazo

    • @Lugongam
      @Lugongam Місяць тому

      tayari imeshasemwa idea ilianza kwa critic, ferouz aka divert kutoka siasa iwe mapenzi walipoipenda wakai progress kwa pamoja

  • @Lugongam
    @Lugongam Місяць тому

    kupitia hii intavyuu ndio nimeelewa maana ya ule mstari wa kwenye starehe "Kz camp masela", kumbe muhuni alisomea Kizuka TPDF Secondary School hahaha, i can imagine ni jinsi gani alikuwa anamsumbua dingi yake #Iwasthere

  • @spartachize122
    @spartachize122 Місяць тому

    Mi yaani kwa miaka yangu yote nilikua najua daz nundaz ni feruz na daz baba alafu wengine ni ft tu..... Kumbe kulikuwa na wengine dah i say

  • @jumakabota1231
    @jumakabota1231 Місяць тому

    Wimbo wa KAMANDA DAZ wa NUNDAZumefanana sana kimatini na wimbo KITAMBO KIDOGO wa BDP.

  • @erickodhiambo6994
    @erickodhiambo6994 Місяць тому

    Hawa jama waliumiza vichwa vyao Kwa uandishi Wa nyimbo zao

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata Місяць тому

    Hiyo 2004 ilikuwa hatariiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 Місяць тому

    Kuvi MISU

  • @khalifasaid1131
    @khalifasaid1131 Місяць тому

    Kuvi tuletee BDP

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Місяць тому

      Angalia interview za nyuma utawakuta

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y Місяць тому

    mbona dazi nundazi kachoka sana ivyo

  • @jrxavihernandez7319
    @jrxavihernandez7319 Місяць тому

    WAPI PABLO?

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Місяць тому

    𝐊𝐢𝐧𝐠 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐦𝐣𝐞𝐧𝐠𝐨𝐧𝐢....

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Місяць тому

    𝐑𝐚𝐥𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐦𝐮𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐲𝐚𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮 𝐳𝐨𝐨𝐨𝐭𝐞...