THE CLASSIC TID:NILIACHA KURAP NI UJINGA/MADEM FAKE/ NILITANGAZA TANZANIA DUNIAN BILA MSAADA/ SIJALI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Top In Dar ama TID amefika kwenye The Classic katika episode hii ambae walau alipata nafasi ya kuelezea safari yake kwa ufupi na kuzungumzia nyakati za awali kabisa mpaka sasa alipofika na ameweza kubainisha mambo mengi ambayo pengine hukuwahi kuyafahamu usisahau ku subscribe ukimaliza kutazama for more

КОМЕНТАРІ • 53

  • @harakati1
    @harakati1 8 місяців тому +5

    “Siku kama hizi” one of the best song

  • @salaita2829
    @salaita2829 7 місяців тому +3

    Jabir saleh bonge moja la interviewer

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 7 місяців тому +1

    🇰🇪Nimetokea kumpenda sana TID baada ya hii interview. Huwaga nafikiri hayuko sober akiongea kumbe ni mcheshi tu in general. Good talent of all time

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 8 місяців тому +3

    Sema bro Jabir Saleh mjanja sn wkt unafanya interview kuna kitu nimenote ukiona msanii anaenda OP unachukua kipaza unasherehesha kidogo kwny point yko ile ile ulokusudia then unampa swal lingine unamuhamisha na mada yke y OP pind linaendelea 😂😂😂 Bip up sn bro

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 8 місяців тому +2

    Asha ni ngoma kubwa sana kuliko zeze

    • @arsenalic23
      @arsenalic23 8 місяців тому

      Sio kweli jomba. Zeze ngoma kubwa sana ikifuatiwa na Siamini halafu ndo Asha na Girlfriend

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 8 місяців тому +1

    Nipe nafasi Tid na fid q ndo ngoma kali zaidi ya Tid

  • @user-cn2ol4gk4b
    @user-cn2ol4gk4b 2 місяці тому

    eti wale wangu 🎉 wanaoniita TID ni wale wanaotoka mikoani .......kuma sana huyu janki

  • @barnabasmafuru6735
    @barnabasmafuru6735 7 місяців тому +1

    The industry doesn't pay enough respect to this legend but once he sleeps into 6" down a lot will pay shits 😢

  • @youngdula5409
    @youngdula5409 7 місяців тому

    Huyu Jamaa Anangoma nyingi sana Kali lakni sidhani kama Kuna ngoma Kali zaidi kama nyota Yako / Asha noma sana

    • @salaita2829
      @salaita2829 7 місяців тому

      Kuna siku kama hizi,rahisa

  • @justinmashala6944
    @justinmashala6944 8 місяців тому +1

    Sauti ya Dhahabu, one of the best album

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 8 місяців тому +1

    Dakika ya 4..KATA SIM KALALE 😂😂,,,tidi kichaa😅😅

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 7 місяців тому

    Consistent, Maji mengi Mtoto mdogo Legend🔥🔥🔥🔥

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 8 місяців тому

    Im proud of you top in dar. Umeuweka mziki wetu kweny ramani

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 8 місяців тому +1

    Huyu jamaa interview zake haziboeshi😂 TID Yuko vzury

  • @ConventionalViews
    @ConventionalViews 8 місяців тому

    Smart and funny dude

  • @user-cg3cm4qv4q
    @user-cg3cm4qv4q 8 місяців тому

    Ww msenge! unanichekesha sana

  • @imogimasta9077
    @imogimasta9077 8 місяців тому

    nakifwatilia sana hiki kipindi big up

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 8 місяців тому

    Siamini ni 🔥🔥🔥 mpaka kesho kutwa

  • @William_ngela
    @William_ngela 8 місяців тому

    Nakubali pindi

  • @sajo_lkm2781
    @sajo_lkm2781 8 місяців тому +3

    TID ni rnb gangster 😅

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 8 місяців тому +8

    Kwangu Mimi zeze sio mkubwa ila wimbo mkubwa ni ASHA❤❤ TID mpaka anakufa hatokuja kuimba wimbo mkali kama ASHA

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 8 місяців тому

      Nimkubwa Sana ilahapo mpak kufa hapana

    • @georgeburchard4872
      @georgeburchard4872 8 місяців тому +1

      Wewe tu sikio lako Ila ukweli zeze ndio wimbo mkubwa wa TID

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 8 місяців тому +1

      Hiyo Asha akati inatoka itakua ulitongozwa nayo😂 au ulitumiwa dedication

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 8 місяців тому

      @@aminmohammed4249 Sasa hizi ni zarau Mie mwanaume nitongozwe nitake radhi:::. Na istosha ASHA imetoka nilikua shule ya msingi nyumbani nilikua na redio so kwa habari ya burudani na mziki walikua wananiuliza Mimi 😂🤣😂🤣 ASHA for me is one of the best song, and I can say is greatest all the time ASHA mpigie makofi 2 Bwana TID

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 8 місяців тому +1

      @@joshuamuro9494 Sasa bro unataka kunambia huyu jamaa atakuja atoe nyimbo Kali kuliko alizoimba kipindi hicho? Kwa Sasa hawezi kuumiza kichwa kuandika wimbo mkali na badala ya atatoa nyimbo is just for fun

  • @destroyerban7364
    @destroyerban7364 8 місяців тому +1

    Zeze hat club inafaa kwa matumiz yetu

  • @sultansuleman1690
    @sultansuleman1690 8 місяців тому

    Kaimba vzuri hiyo nyimbo ya fally was good

  • @christianluvanga8148
    @christianluvanga8148 5 місяців тому

    Zeze,,tulivaa mpaka ma jeans mamaeee

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 8 місяців тому

    #watoto_wadogo_hawaelewiiii__😂😂 #vunjuvenga

  • @joelntile9078
    @joelntile9078 7 місяців тому

    TID Kituko sana 🤣

  • @kibakivideos
    @kibakivideos 8 місяців тому

    Ni Yeye mnyama ……….ni noma

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 8 місяців тому +3

    Kumbe ndio maana hili lijinga lilikua linapiga mziki mkubwa 😂😂😂 kumbe ni zao la hip hop mamaeeee

    • @sidiqmhina7823
      @sidiqmhina7823 8 місяців тому

      MNALIJINGA LINALOPIGA MZIKI MKUBWA NI MA LEGEND TU.

    • @salaita2829
      @salaita2829 7 місяців тому

      Zamani was all bout hip hop

    • @hiphopoldschoolkalama1405
      @hiphopoldschoolkalama1405 5 місяців тому

      Black gangstars. Hafu wasanii wa zamani walikua wasomi. Ziku izi kina modi hawamo kabisa.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 місяців тому

    👊👍✌️。

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 8 місяців тому

    kIGOGO warioba ni YEYE.

  • @user-ry6qo5lf3r
    @user-ry6qo5lf3r 8 місяців тому

    Anaongea mnyama 😂😂

  • @emmanuelchristopher6791
    @emmanuelchristopher6791 8 місяців тому

    Ngoma kali mimi ni nyota ndo kali sana

  • @emmanuelfungo2236
    @emmanuelfungo2236 6 місяців тому

    😂

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 8 місяців тому

    😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 8 місяців тому

    😂😂😂😂