Laiti kama Mozambique tungekuwa na viongozi wenye msimamo kama wa mweshimiwa makonda, tungekuwa na maendeleo, lakini tunaishia 🤣🤣🤣. Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Serikali yetu inawaibia wananchi kwa MIDI’mi kama hii. Sheria hawa viongozi wenyewe hawazijui, hawaziheshimu. Wanaupiga mwingi. Ni dhuruma nchi nzima wanaccm wamepira ardhi Za wananchi. Ardhi zimeporwa.unyanyasaji wa watu . Wananchi wamekuwa watumwa nchini kwao. Ccm Oyee.
Siku ukigombea uraisi nitaa muka saa8 usiku ili niwahi kukupigia kula maana namuona magufuli ndani yako .mungu akubaliki sana siku moja uwe raisi ktka inchi hii haki itatendeka sana
Hahaha Labda tumuulize Tundu lissu kuhusu Makonda..😂😂 Kumbuka huyu jamaa alikuwa mkuu wa mkoa DSM unajua kuna mauchafu mangapi alifanya? Akataka kuwa mmbunge wa Kigamboni unajua kwa nini alikosa ubunge? Sasa huo uraisi ataupataje na nani atampa.. Ccm oyee..😂😂😂
Mhe. Ningetamani sana sana ujue dhuluma inayoendelea Tchibo estate mikataba yao tulitamani wananchi kujua, barabara mbaya tofauti na wawekezaji wengine
Angalau Makonda anatenda haki Sasa na kusuluhisha migogoro miwili mitatu Ila waziri wa Ardhi anawaua wananchi yaani hiyo bomoa bomoa inayoendelea si mchezo.
Makonda mungu akubaliki pia raisiwetu mama samia kwa kazi njema .ombi langu naiomba serikali na chama chetu ccm fikeni mbarali wananchi wana machozi juu ya arizi yao
Jamani nchi hii imeoza tunashauri mh. Rais asigombee muhula huu labda tubahatishe mwingine kama tutapata wa kutatua migogoro mikubwa hii la sivyo wanaichi wataishi kwa kupanga majumba ya wawekezaji na kufanya kazi mashamba ya wawekezaji mama hatuhurumii. Haya anayoongea makonda angekuwa anaongea Rais mwenyewe.
Sasa mtu wenu makonda kamwondowa sasa mnasemaje teuzi aliteuliwa kwa bahati mbaya mama tena kamwondowa watanzania poleni sana .mama ataleta mwingine kuweni wavumolivu..
Sasa mtu wenu makonda kamwondowa sasa mnasemaje teuzi aliteuliwa kwa bahati mbaya mama tena kamwondowa watanzania poleni sana .mama ataleta mwingine kuweni wavumolivu..
Walipo mumaliza John walifikiria kuwa wameimaliza Tanzania,Hila mungu nae ni mkuu akamuamusha maguu mwingine mwenye jina tofauti kuwa makonda,,twakushukuru shuja makonda
Eti heeeh 😂😂😂😂walipo muua Yesu walizani amekufa kumbe badala yake injili yaendelea, Makonda endeleza walicho kuanzisha Baba zetu wa taifa mwalimu Julias kambarage Nyerere pia Mwalimu Johnie pombe Magufuli hiyo ndio faida ya kuzaa viongozi hao wameonyesha uzalendo tunajifunza mengi.. Mungu pekee astahilie sifa zake njema na wakati wote akutangulie popote duniani
Makonda makonda makonda ardhi huwa ni ya serikali na Rais ana mamlaka ya kuigawa kwa wananchi ili waendeleze sasa sijajua kama cheo chako kiko juu ya Rais
Kihalali kabisa sioni haja kuwapora Wananchi Mali zao zozote hasa hata haya mashamba, thamani ni mwenye shamba auze shamba lake kwa anaemtaka, au kwa anaowataka.
Mnawafunga wadogo je wezi wa mabilioni huko juu mbona hawafungwi?jela ipo kwaajili ya wadogo kwa vyeo na maskini.Tanzania mahakama zipo kwaajili ya wanyonge
Ndugu makonda unatekeleza,nilicho soma shule ya msiingi kwamba chama kinatoa malengo serikali inatekeleza;sasa kama viongozi wa chama hawatekelezi waondolewe na kufikishwa mahakamani kwani wameapa,lkn anaenda kinginr na kiapo;Na nchi inahitaji viongozi kama ww.
Kuna wakati hizo zinakua ni deal za watu na zinakuaga na maelekezo kwamba iweje so hao wanajigongagonga lakini wanajua kisanga hapo ni nani wa kumvisha paka kengele
Ee Mungu ninaamini unasikia Kila kitu leo ombi langu kwako ulinde mh Makonda na mh Rais wetu Mama yetu Mpendwa Dr. Samia Suluhu Hassan aliyemteua licha ya wengi kumchafua lkn mama aliiona talanta yake ya uongozi kwa Kijana huyu mchapa kazi. Mungu ibariki Tanzania Amen
Yaani haki ya Mungu huyu diwani amenifanya nimetoa machozi kwa hayo maelezo yake especially hayo ya kwanza daaaaa!!! Nimegundua hii nchi wanyonge hawana sehemu ya kulalamikia, big up sana Makonda your a voice ya wanyonge, Mungu azidi kukuhifadhi kwaajiri ya hili taifa.
Lakini wananchi tuwamke jamani na tuacheni kuburutwa na C.C.M. kwani walikuwa wap miaka zote hizo mpaka leo miaka 60 wakitawala wananchi wake wakinyanyapaliwa? Lakini ikifika miaka kuelekea uchaguzi ndyo wanajitokeza kutuvumba macho kuwa wanatujali Sisi wanyonge ili wapate kula zetu ili waendelee kututawala. Na yote yakiwa yanafanyika wanaotawala ni wao wao tu C.C.M. Kwa hivyo niwaombe wananchi wenzetu tuwamke na tusiwe kama vile tumekorogwa na C.C.M.
Magufuli kwenye mwili wa Makonda..... Eeh mungu tunakushukuru!!!!
Duuuuuh kwenye kazi Kuna kazi
Kwa kwerli mzimu wa Magu umerudi katika nafsi ya Makonda
Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu Mwenez Ccm inogile
Sasa mazungumzo yanini wakati mnasema mwekezaji alifutiwa kweli bongo nyoso😂😢😅
Mh Rais tunashukuru Kwa kumteua Makonda ombi langu kama itakupendeza mteue na polepole washirikiane na huyu mwamba
😂😂😂😂😂Makonda Oyeeeeeeeee kuwaa.uyaonee😂😂😂😂😂😂😂 Manyaraa nziiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂
Kweli makonda anafanya nyayo za hayati magufuli
Cheo ulichonacho Ndg Makonda nahisi n kidogo na hakina meno. Nakuombea kwa Mungu upande zaid ya hapo hili utusaidie Watanzania.
Huyu mwamba 🎉🎉❤❤
Ungewai kuja hiki cheo walikuwa walikuwa wapi kukupatia. Mungu akupe uhai mrefu
Uhakika hao wengine akina pole pole walikuwa wapiga mapambio
Ni kweli kabisa wafanyakazi wa ardhi ndiyo chanzo cha migogolo na hata Mkoa wa Kagera mpaangalie kwa jicho la pili
MAKONDA UNASTAHILI KABISA KUONGOZA HII NCHI NA WATU WAKANYOOSHWA KAMA ALIVYO WANYOOSHA MAGUFULI
mungu akulinde siku zako zote
Mh. Makonda hongera umakua matumaini tena kwa watanzania
Hongera Sana mheshimiwa Makonda Kwa utendaji wako uliotukuka.
Hii kazi ilipendeza aifanye waziri mkuu ila ccm mjitafakari muda ni mrefu miaka zaidi ya 60 hatukupashwa kuyasikia haya ya enzi za ukoloni
Laiti kama Mozambique tungekuwa na viongozi wenye msimamo kama wa mweshimiwa makonda, tungekuwa na maendeleo, lakini tunaishia 🤣🤣🤣. Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Diwan naomba apande cheo
Diwani anafaa sana, anaongea vyema..bigup....na kijana Makonda you are doing wonders.
Mweshimiwa makonda mwenyezi mungu Akulinde Akukinge na Kila baya Akutunze uendelee kusaidia watanzania tunakuomba sana
Makonda umeshaiona hiyo ccm yako inavyotesa wananchi wa Tanzania???? Ccm sasa basi jamani!!😢😢😢😢
Aise mweshimiwa Makonda MUNGU akupemaisha marefu yakuwasaidia wananchi. Mwenyewe nimeipenda.
HONGERA SANA MHESHIMIWA MAKONDA. MTU KAZI. HUNA MBA MBA MBA. TUPO NYUMA YAKO. KAZI IENDELEE
Serikali yetu inawaibia wananchi kwa MIDI’mi kama hii. Sheria hawa viongozi wenyewe hawazijui, hawaziheshimu. Wanaupiga mwingi. Ni dhuruma nchi nzima wanaccm wamepira ardhi Za wananchi. Ardhi zimeporwa.unyanyasaji wa watu . Wananchi wamekuwa watumwa nchini kwao.
Ccm Oyee.
Siku ukigombea uraisi nitaa muka saa8 usiku ili niwahi kukupigia kula maana namuona magufuli ndani yako .mungu akubaliki sana siku moja uwe raisi ktka inchi hii haki itatendeka sana
Hahaha Labda tumuulize Tundu lissu kuhusu Makonda..😂😂 Kumbuka huyu jamaa alikuwa mkuu wa mkoa DSM unajua kuna mauchafu mangapi alifanya? Akataka kuwa mmbunge wa Kigamboni unajua kwa nini alikosa ubunge? Sasa huo uraisi ataupataje na nani atampa.. Ccm oyee..😂😂😂
Namimi pia❤
Mh makonda nakupenda sana na siku nikikuona nitapambana nikushike mkono ata kwa kupigwa na walinzi wako💯💯
Hahahaaaa
Hapa kwa makonda nakiona kiatu alichokua akikivaa magufuli taar kimepat mrithi . Mungu akulinde mh makonda
Mhe. Ningetamani sana sana ujue dhuluma inayoendelea Tchibo estate mikataba yao tulitamani wananchi kujua, barabara mbaya tofauti na wawekezaji wengine
MCHEZO WA AKILI KUSHIKA AKILI ZA WAPIGA KURA 2025. WALIOFANYA HAYO NI NANI KM CY CCM NA SERIKALI YAKE? UTOTO!
Angalau Makonda anatenda haki Sasa na kusuluhisha migogoro miwili mitatu Ila waziri wa Ardhi anawaua wananchi yaani hiyo bomoa bomoa inayoendelea si mchezo.
Wananchi wanateseka saana leo hii mtu kama Rostam anawekwa ni tajiri Africa kupitia uwekezaji wa ajabu
Mweshlmiwa hayo yako mengi njoo mokoa wapwani mkombozi wetu
Makonda mungu akubaliki pia raisiwetu mama samia kwa kazi njema .ombi langu naiomba serikali na chama chetu ccm fikeni mbarali wananchi wana machozi juu ya arizi yao
wakisema unakiherehere bora uwajibu nawatengenezea nchi nzuri watoto na kizazi endelevu waishi kwa haki na furaha na kuichukia tamaa"
Jamani nchi hii imeoza tunashauri mh. Rais asigombee muhula huu labda tubahatishe mwingine kama tutapata wa kutatua migogoro mikubwa hii la sivyo wanaichi wataishi kwa kupanga majumba ya wawekezaji na kufanya kazi mashamba ya wawekezaji mama hatuhurumii. Haya anayoongea makonda angekuwa anaongea Rais mwenyewe.
Mnisaidie nani wakulaumiwa?wasimamizi wa serikari au Wana CCM amba ndio huku ni wanachama na huku ni Wana CCM ni Kama mchezo wa kuigiza usioisha ....
Ndugu makonda wewe nimzalendo endelea kusimamia haki usiogope hatimayako anayo mola wa watu songambele asiekuwa na huruma usimuonee huruma wala usimuonee
Jamani kama huyu makonda ndivyo alivyo kweli c wampe urais tu km amevaa viatu vya Magufuli hv
Safi kabisa Paul na mungu akutangulie.
Kama ndivyo askari wako walikua wanamkamata diwani kwa lipi
Au wanamuweka ndani au kumuita ili iweje
@@omaryjudasymwanga7172❤❤❤❤❤❤❤❤
Baba makonda nimechoka kuwa kinda namimi naomba niwe dereva Sasa hata 109 nitaendesha
Makonda Ukuje na kwetu Kunamajizi hatareee
Mh pomakonda nakupenda sana umenikumbusha mbalisanaa
Mweshimiwa karibu wa chama kama raisi alishasema shamba licutwe kann liridi tena kwa mwekesaji .wakati lilikuwa limetelekeswa? Hapo kuna thuluma
Tuletee winga teleza amflei polepole mueshimiwa raisi
Next president bila kupingwa
Sasa mtu wenu makonda kamwondowa sasa mnasemaje teuzi aliteuliwa kwa bahati mbaya mama tena kamwondowa watanzania poleni sana
.mama ataleta mwingine kuweni wavumolivu..
Sasa mtu wenu makonda kamwondowa sasa mnasemaje teuzi aliteuliwa kwa bahati mbaya mama tena kamwondowa watanzania poleni sana
.mama ataleta mwingine kuweni wavumolivu..
nyoosha mzeee usiwe na huruma kwa wasiotenda haki " usiogope kulogwa wala kufa maana kufa kupo tuu" piga kazi kaka
Ni nani wanaiharibu hii nchi kama hata cccm wanalalamika? Hii Makonda approach ndio suluhisho la haya mambo?
Kidum chama chetu hicho chuma sasa, Mungu akujalie
Walipo mumaliza John walifikiria kuwa wameimaliza Tanzania,Hila mungu nae ni mkuu akamuamusha maguu mwingine mwenye jina tofauti kuwa makonda,,twakushukuru shuja makonda
Eti heeeh 😂😂😂😂walipo muua Yesu walizani amekufa kumbe badala yake injili yaendelea, Makonda endeleza walicho kuanzisha Baba zetu wa taifa mwalimu Julias kambarage Nyerere pia Mwalimu Johnie pombe Magufuli hiyo ndio faida ya kuzaa viongozi hao wameonyesha uzalendo tunajifunza mengi.. Mungu pekee astahilie sifa zake njema na wakati wote akutangulie popote duniani
Makonda makonda makonda ardhi huwa ni ya serikali na Rais ana mamlaka ya kuigawa kwa wananchi ili waendeleze sasa sijajua kama cheo chako kiko juu ya Rais
Makonda nmkubali sana natamn awe raisi miak ijayo waskum wnfny kaz za haki
Yani nchi hii watu kama Makonda yatakiwa muwe kama mia mbili ndo mtaiweza hii nchi
huyu siyo makonda ni magufuli pacha wake
Mwekezaji atafutiwe eneo mbadala
Kihalali kabisa sioni haja kuwapora Wananchi Mali zao zozote hasa hata haya mashamba, thamani ni mwenye shamba auze shamba lake kwa anaemtaka, au kwa anaowataka.
Hao ndiyo wanao haribu sifa ya serikali yetu
Naamimi uongozi kipaji,Kwa halo hii Samia nakupa kula hii ndio haki
Watalaam wengi ni biashara binafsi.Wanamezwa na,kwenye ukwasi
Kuishi eneo moja kwa miaka mingi mtumishi mtalaam nalo nitatizo.
Makonda awe RAISI WETU
Siku ukigombea urais namka usiku wa manane kukupigia kula
Mnawafunga wadogo je wezi wa mabilioni huko juu mbona hawafungwi?jela ipo kwaajili ya wadogo kwa vyeo na maskini.Tanzania mahakama zipo kwaajili ya wanyonge
The coming presdent paul makonda❤
mikoa mingine hazifanyi kazi only mkonda baba fanyakazi
SISIEMU WANATUCHEZEA KAMA PS2😂😂😂😂😂
Maigizo ya kitoto sana
Ccm wanatuchezea akili ili tuendelee kuwaamini waigizaji hao hamna lolote 😂😂😂
Mh Mwenezi kuna box limefungwa la siri(Ebu wasaidie wananchi hao na diwani wao box hilo lifunguliwe.
Daa mngu akulinde muheshmia unakiatu kzto mtu mngne hawez kukivaa mngu skulinde mheshmiwa
M.mungu atakubariki makonda
Makonda ww ni jembe la mafisadi
Safi sana Makonda wakomeshe watanyooka tu hao mungu akulinde❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Good Mr. Makonda the next President 💪🏿
Ndugu makonda unatekeleza,nilicho soma shule ya msiingi kwamba chama kinatoa malengo serikali inatekeleza;sasa kama viongozi wa chama hawatekelezi waondolewe na kufikishwa mahakamani kwani wameapa,lkn anaenda kinginr na kiapo;Na nchi inahitaji viongozi kama ww.
NDUGU MUENEZI NYOOSHA HADI TARIME VIJIJINI -GANYANGE KUNA BIBI ANAITWA MATINDE NYANDEGE KANYANGANYWA ARDHI NA WANA UKOO
KIKWETE SIYO DAKTARI NI KAPTENI .
Baba Makonda watu wanakuagaliya
Diwaani pita hapa Safiiii..mh MAKONDA.❤❤❤❤
Wanazingua
Huyu mkuu razima apewe urais
Makinda amebadilika sana utoto umemtoka amekua sasa anajua majukumu . Kudoss to his mentor hayati magufuli😢
Magufuli ameacha mbegu
Duu! Tanzania tunakazi kuna mijitu haina upendo, Mh Makonda big up,kazi nzuri ila uko pekeyako. God bles you.
Ww hayuko pekeake uyo ..kapewa kazi maalum na ana watu uyo..na Ujue watu walimbeza sana mwanzoni
Mh Makonda mungu akupe maisha marefu
Upigaji upigaji upigaji
Namkubali sana diwani,
Namkubali sana makonda
Kuna wakati hizo zinakua ni deal za watu na zinakuaga na maelekezo kwamba iweje so hao wanajigongagonga lakini wanajua kisanga hapo ni nani wa kumvisha paka kengele
Ona mzee anavyowanyoosha viongozi kwamba uongozi haupo vizuri kwenye maamuzi
Hongera sana Makonda ❤
Watendaji nihatari
Mtachezewa sangoma na ccm mpaka muwe mazombi
Makonda njia yako Ni nzuri lakini nikama umeshika njia yako Kama ya Magufuli kwasasa wengine hawana shida na wananchi tunaomba ugombee urais
Utachezewa wewe
Huyu si ndo yule fisadi
Hii nchi haki haipo yan kuna uozo sana wananchi wanalia
Makonda ipo siku mungu utaongoza hii inchi
Tunaomba hata baada ya uchaguzi liendelee maana ni jambo zuri. #makonda nakutabiria UWAZIRI MKUU
Njoo mazinde korogwe Tanga hii mambo imekithili
Jibu ndio au hapana sio maelezo.
Sasa Mzee kulikuwa na ukazima gani wa kuvaa nguo ya chama kama sio unafiki! Ungevaa kawaida tu
😂😂
Ee Mungu ninaamini unasikia Kila kitu leo ombi langu kwako ulinde mh Makonda na mh Rais wetu Mama yetu Mpendwa Dr. Samia Suluhu Hassan aliyemteua licha ya wengi kumchafua lkn mama aliiona talanta yake ya uongozi kwa Kijana huyu mchapa kazi. Mungu ibariki Tanzania Amen
Yaani haki ya Mungu huyu diwani amenifanya nimetoa machozi kwa hayo maelezo yake especially hayo ya kwanza daaaaa!!! Nimegundua hii nchi wanyonge hawana sehemu ya kulalamikia, big up sana Makonda your a voice ya wanyonge, Mungu azidi kukuhifadhi kwaajiri ya hili taifa.
❤AMEN. Mungu azidi kumuinua.
Lakini wananchi tuwamke jamani na tuacheni kuburutwa na C.C.M. kwani walikuwa wap miaka zote hizo mpaka leo miaka 60 wakitawala wananchi wake wakinyanyapaliwa? Lakini ikifika miaka kuelekea uchaguzi ndyo wanajitokeza kutuvumba macho kuwa wanatujali Sisi wanyonge ili wapate kula zetu ili waendelee kututawala. Na yote yakiwa yanafanyika wanaotawala ni wao wao tu C.C.M. Kwa hivyo niwaombe wananchi wenzetu tuwamke na tusiwe kama vile tumekorogwa na C.C.M.
Hata mimi machozi yamenitoka
😅yaan mtathimin anajistaki mwenyewe
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! WEWE NDIO UNAFAA KUWA RAIS WETU 2025! TAFADHALI CHUKUA FOMU!! MAKONDA HOYEEEEEE!!!!