LEMA BALAA! AMUWASHIA MOTO MAKONDA NA MBUNGE WA ARUSHA MJINI | MWAMPOSA | "POLISI NJOONI MNIKAMATE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE UA-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

КОМЕНТАРІ • 324

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 Місяць тому +6

    Sasa chadema sera zenu ni nini jamani? Maana mnaishia kutukana tu, acheni ujinga mafala nyinyi

  • @user-ju5ee1gx2w
    @user-ju5ee1gx2w Місяць тому +25

    Ukiona mtu anatuka bila sababu yamsingi ujuwe ameishiwa selaa Tena anamtukana makonda mtetezi wa wanyonge wakati macho ya watanzania wanaona kazi za makonda,kweli Lema amefilisika kisela ?

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 Місяць тому +1

      makonda hafai ata kulinda choo

    • @maimunaabdullabi
      @maimunaabdullabi Місяць тому +1

      Ajira zote wamewapa watoto wawo shule wanasomeshwa ulaya kwa pesa ya watanzania

    • @user-jo3cs3yu3o
      @user-jo3cs3yu3o Місяць тому

      Lazma aseme hivyo. Ataishije!?? Ww unaensikiliza tu ,ndo uwe na Busara kwakumuelewa na kutambua KWAMBA amekosa kazi.

    • @richardkaula6847
      @richardkaula6847 Місяць тому

      Hana jipya ameishiwa sera huyooooooo,wewe kwenye viatu vya makonda huingii hata robo piga kelele ukalale.

    • @ramadhanrashidmthailand9553
      @ramadhanrashidmthailand9553 28 днів тому

      ​@@donaldmaziku7915wewe unaefaa unamsaada Gani hata kwenye familia yako!

  • @marymalema258
    @marymalema258 Місяць тому +5

    Makonda Mungu akupe maisha marefu kipenzi chetu

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 Місяць тому +7

    Mm ni chadema lkn makonda namkubali apo lema mm ujanishawishi chochote

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 Місяць тому +9

    Bila kuwa na connection inchi hii ni tabu

  • @vicentntamausu-gm3og
    @vicentntamausu-gm3og Місяць тому +4

    Makonda kamanda, mungu akulinde, hatuna chakusema zaidi ya kukuombea

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Місяць тому +4

    Mhhh tuu mwacheni makonda wetu

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb Місяць тому +2

    Lemaaaaa! Duhh kisiasa pumzika kwa amani!

  • @JosephLukumay-wh8sc
    @JosephLukumay-wh8sc Місяць тому +8

    Hapa dalili inaonesha tutarudi tena nyuma kuanza maandamano badala ya kufanya KAZI tupate chakula na maendeleo huyu pakuna hapa Tanzania anakimbilia Canada sisi tutaenda wapi hata Kenya hatujawahi kufika uuuwwwiiii Mungu atusaidie.

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Місяць тому +1

      Bora turudi maandamano ili tujipange,tujiongoze badala ya maneno matupu ya CCM

    • @nahlaaasidee1848
      @nahlaaasidee1848 Місяць тому

      Ukapimwe akili wewe​@@mataypanga5262

  • @user-gt4ki8js1u
    @user-gt4ki8js1u Місяць тому +3

    Makonda oyeee

  • @BorySaronge
    @BorySaronge Місяць тому +3

    Vijana wa Arusha angalieni maslahi ya wanawaarusha sio maneno ya huyo mpumbavu asiyejua lolote na mjinga kupindukia atawatia umaskini kuliko anavyosema kama hakuna faida unasimama hapo kufanya Nini acha ujinga

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 10 днів тому

    Arusha wanaongoza kwa MAIGIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA😢😢😢😢

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 18 днів тому +1

    Wewe kaa kimya huna jipya acha Makonda amalize shida za wananchi

  • @user-bc5sd9qv8w
    @user-bc5sd9qv8w Місяць тому +6

    Wewe una sera na matusi yako nan akupe kura achana na Makonda kawasaidia sana tena sana tena muombe radhi paulo

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 28 днів тому

      Makonda anafanya maigizo tu,utashindwAje kwelewa Mfumo huu niccm sheriambovu wamezitunga wao iliwajinufaishe,wenyewe Leo kiinamacho unachanaganikiw

  • @nahlaaasidee1848
    @nahlaaasidee1848 Місяць тому +4

    Hawa sindano za makonda zinawaingia na bado mpaka mtasema.

    • @AugustinoSirong-eo3yj
      @AugustinoSirong-eo3yj Місяць тому

      @@nahlaaasidee1848 kama lema imempata, kajikuta si kitu.
      Nashangaa lema kulalamikia ubunifu wa Makonda mpaka anashuka jukwaa hajaeleza mkakati mbadala duh!

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 Місяць тому +2

    Lema tafuta AMANI kwenye haya maisha , Muache makonda kabisaaa,Kwanza ni Mtmish wamungu Muache Muache 🙌🙌🙏

    • @dicksonlusinde2830
      @dicksonlusinde2830 29 днів тому

      Peleka huko nywumbie ww mtumishi wa mungu unamjuwa ww acha uboya

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Місяць тому +4

    Toa hoja sio maneno makali kaka

  • @joseygaudence4922
    @joseygaudence4922 Місяць тому +2

    lema anatukana tukana tu hana habari mpya sera hamna anaongea nn sijui😂😂

  • @DanielMdota-gl4ru
    @DanielMdota-gl4ru 28 днів тому +1

    Fact , but we need action, bro... 👊👊

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Місяць тому +5

    Siasa za Lema bwana watu wanakuona komediani 😂😂😂😂

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 13 днів тому

    Tena muache makonda achape Kaz kenge madangaji wew

  • @bahatigewa4163
    @bahatigewa4163 Місяць тому +8

    Ebu achana na makonda kwanza, maana ni kipenzi chetu watanzania wote.

    • @dedankalinga6291
      @dedankalinga6291 Місяць тому +2

      Wote au ww na wajinga wenzio

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Місяць тому

      Kutojitambua pia ni ujinga, jitafakari halafu ukimaliza kitafakari uyambue kila mtu ana haki ya kuchagua anachoona kinafaa.​@@dedankalinga6291

    • @ShifaSinani-ed6po
      @ShifaSinani-ed6po 28 днів тому

      Uongo

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 28 днів тому

      Kumbe duniani kunawatu wanapenda uharifu yaani Makonda nimuuaji tenakatili

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y 15 днів тому

    huna sela sisi tunamwombeaMakonda Mungu amjaliye kama anaumwa au yuko likizo ulijee salama shujaa wetu

  • @deomushy2594
    @deomushy2594 16 днів тому

    Una mwonea makonda wivu kwa kaz njema Mungu atazid kujidhirisha ndan ya makonda

  • @user-up2zn1pt2m
    @user-up2zn1pt2m Місяць тому +3

    KIPI NI KIPI MKUU...MBONA HATUKUELEWI .......

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 Місяць тому +6

    Huyu watoto wake wako canada nä mimi niko sweden usituaribie tanzania yetu vita inaanza wenyekuumia niwale wako Ndani ya nchi wewe Na slaaa nä mbowe watoto Wenu hawako tz nä usiongelee juu makonda makonda ni dume

  • @user-eu5uy8vm6i
    @user-eu5uy8vm6i 19 днів тому +1

    Angekuwepo makonda usingeweza kuongea na kuvimba hivyo

  • @NicomedMartine
    @NicomedMartine 27 днів тому +1

    Lema UtakuaUmecjanganyikiwa wew

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko Місяць тому +4

    Wajanja wanashindana kwa hoja si kwa matusi,chadema mko vizuri ,ila matusi ndo yanakiangusha chama,(badirikeni

    • @Stevenmollel
      @Stevenmollel Місяць тому

      Makelele tu hakuna cha maana

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 28 днів тому

      ​@@Stevenmollelnakushangaa ebufanya tadhumini zauchaguzi ndipo utajuwa CCM haipokabisa isipokuwa mapolisi bebabeba tu,

  • @hassankilengah4786
    @hassankilengah4786 Місяць тому +2

    Kwa sera hizi amachemka

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 Місяць тому +3

    Toa sera sio vijembe wewe ndye unageuke kuwa boya

  • @PendoMlowosa
    @PendoMlowosa Місяць тому +2

    Wewe nae kakae hko

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 Місяць тому +7

    Lema umefiriska kifikra , lililo jema pongeza , siyo kupinga kila jambo, Arusha watu wametibiwa bule kwa ushawishi wa Makonda, na wengine kupewa haki yao nk

    • @Stevenmollel
      @Stevenmollel Місяць тому

      Bado hajaona yote ayo kwanz ajiulize aliongoza miaka mingp alifanya nn kwa ajir ya wananchi

    • @richardkaula6847
      @richardkaula6847 Місяць тому

      Duuuu hatuna upinzani Nchii hii,wanasiasa tuliowategemea sana wameishiwa hoja zenye nguvu, umebaki uwana harakati tu na matusi.

  • @user-ym5ko9ov2o
    @user-ym5ko9ov2o Місяць тому +2

    Wewe kwenye utawala wako ulifanya nini

  • @LijueNeno
    @LijueNeno 2 дні тому

    Wewe unatoa sifa, unaongelea usela Lakini hauna msaada kwa wananchi.. muda mwingine tafuta jinsi ya kuwasaidia watu wala siyo maneno

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m Місяць тому +4

    Acha ujinga lema boda boda wanakufa kila siku kwa ajali za barabarani hamuzioni acha ufala hata wew tukikupa hii tanzania huwezi kumfanya kila mtanzania awe tajili

  • @HamisiNguche
    @HamisiNguche 26 днів тому

    BIG UP LEMA.

  • @Shaabanhmakiya
    @Shaabanhmakiya 25 днів тому

    Wewe kima mdogo huna jipya😮😮😮😮

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Місяць тому +22

    Makonda baba lao

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu Місяць тому +2

    Watu wa Arusha ni wajanja midomo tu lakini Hakuna Cha wadudu mnatawaliwa na watu kutoka nje mnadanganywa na kina makonda Ina maana Hakuna mtu wa Arusha akawa mbunge

  • @user-ek7kq7fq4f
    @user-ek7kq7fq4f 6 днів тому

    Mungu hapendi matusi..toa hotuba bila kumtusi mtu,Wala chama nadhan utabarikiwa kuliko kutoka matusi na kutukn watu.ni ushaur tu

  • @user-zf3rj9bu4t
    @user-zf3rj9bu4t 21 день тому

    Lema Wewe hunaga Jema kila mtu Mbaya tafuta Sera angalia kile kizuri anachofanya Mwenzako umtie Moyo siyo kumkosoa tuu Makonda anapambana Sana halafu anaye hofu ya MUNGU

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 13 днів тому

    Yani wew nimsenge sana ukikalibia uchanguzi mnaaza kukashifu seriksli maneno Gani unayo ongea mbwa wew makonda kakufanyann makonda anapingamia haki za wanaichi wew wa na chama chako kipi mlicho Fanya wanaichi

  • @user-bc5sd9qv8w
    @user-bc5sd9qv8w Місяць тому +2

    Pigania ugali kuna mtu anapigania sehemu isiyo na makoti hizo sera tu saundi tu

  • @maulidimsingwa3263
    @maulidimsingwa3263 Місяць тому +1

    Laiti tungempata makonda mkoa wetu wa tanga,nina uhakika muheza ingekuwa na kiwanda chakusindika juice,mama samia tuletee makonda tanga,arusha hawamtaki.

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni Місяць тому +5

    Heshima Yako baba tupo pamoja

  • @user-if7qm5gj2z
    @user-if7qm5gj2z 25 днів тому

    Lema yupo saw sana achana na vicha wa Arusha wamechalogwa na makonda

    • @sarahyesaya6265
      @sarahyesaya6265 19 днів тому

      Mmmh! Kazi ya Makonda wewe usingeweza hata robo

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e Місяць тому +2

    Muda ufike tu huyo mbunge wao aondoke

  • @songeza
    @songeza 27 днів тому

    Mumgu akuponye RC nimeumia nimeumia nimeumia kama kweli amekufa kwa kweli itavuruga uchaguzi

  • @RobbinWalt
    @RobbinWalt 25 днів тому

    Huyo Lema ashapoteza dila bangi tupu Hana jipya

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Місяць тому +1

    Big brain 🧠 lema akilikubwa

  • @NdayishimyeJackson
    @NdayishimyeJackson 9 днів тому

    Lema hizo zote ni dalili za kushindwa siasa, umebakiza kumwaga sela za matusi?? hapo uko ukingoni!!!!

  • @user-qx7jg4gh6i
    @user-qx7jg4gh6i 27 днів тому

    Bora makondaa Mara Mia kuliko lemaa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Місяць тому +2

    We lifisiemu tuache tusikilize lema akili kubwa

  • @ChugaKazi
    @ChugaKazi 25 днів тому

    Mbunge Kama mbunge ❤❤❤

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Місяць тому +2

    Kuna aina ya kufikisha ujumbe kwa raia ila lema wewe ni genius be blessed okoa wasio jitambua machawa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Місяць тому +3

    Lema Hana kitu badala ya kuongea Sera na kuikosoa serikali pale ambapo inakosea mnakaa kutukana watu ovyoo sana

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Місяць тому +1

    Ukitaka kuamnini makonda yupo juuu ya hawa kunguni...waweke..mdahalo na kila mtu aelezeee chama chake..huyu..atasepa bila mtu kuku huyuuuuuu..hajui siasa....siasa ni sera sio matusi na porojo porojo..watu wanataka udeal na kero zao ..sio tatalinta

  • @evancetarimo1310
    @evancetarimo1310 26 днів тому

    Lema mm naipenda chadema lkn ukitaka tukosane endelea kumtaja Makonda

  • @user-zq2vl2nf2w
    @user-zq2vl2nf2w 29 днів тому +2

    Huyu mental case sio akili ya kawaida Wana wa Arusha kuweni Makini na huyo mtu kila siku atasababisha watu kuwa vilema kwa maandamano

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Місяць тому +3

    Nape nauye is not a politician has got no capacity of been politician makonda kwa god bless lema naona pazito maybe makonda use police force can challenge God bless lema without that makonda will face big challenge from God bless lema chadema on my research l have seen that

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 Місяць тому +1

    uko sahihi

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko Місяць тому +4

    MAKONDA tunayaona anayofanya,wewe lema umefanya jambo gani ili wananchi wakuelewe,shikamana na MAKONDA ili Arusha ipate maendeleo makubwa zaidi

    • @mossespallangyo2345
      @mossespallangyo2345 28 днів тому

      Elewa mtu anayepambana kwa ajili ya taifa kwa ujumla na sio upande mmoja wala mkoa mmoja,Mmeletewa makonda awafunge macho ili mama abinafsishe vit vingine

  • @mohamedbakari2874
    @mohamedbakari2874 26 днів тому

    Hizi siasa za lema ndio anasema Arusha wajanja Kwa uhuni Kwa sera za upinzani kama ndio hizi Mimi acha niendelee kufunga mkono chama Cha mapinduzi

  • @mirajimtoi8511
    @mirajimtoi8511 22 дні тому

    Ila Lema alikua mwizi basi sema ilikua njaa sawa

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Місяць тому

    Kweli kabisa kamanda ✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @BenjaminChombo-o8o
    @BenjaminChombo-o8o Місяць тому +2

    Huna jipya brother.

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l Місяць тому +4

    Lema na wewe umechema sana mwaposa unamuwekaje tena kwenye aiese

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 13 днів тому

    Kama huna sela kaa kimy mbwa wew

  • @NicomedMartine
    @NicomedMartine 27 днів тому

    Lema Umechoka Na Siasa Kapunzike Tu Kaleee Watoto Hua Mnachukia Kiongozi Anaetetea Wanyonge Sasa Bc Kwa Hayo Kashfa Unayo YaOngea Utakosa Hata Hiyo Nafasi Hufai Kua Kiongozi Hewatu

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Місяць тому +3

    jamaa ni matusi tu hatupati mpango Kazi wowote tuambie nn mtafanya mkipata nafasi

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 Місяць тому +1

    Boda boda nikaz kama kaz zingne

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 28 днів тому

    Unamponda makonda kwa mbadala upi kama sio kuchezea akili za vijana, huna lolote

  • @AbeidKibuga78
    @AbeidKibuga78 День тому

    Peleka hoja lema kwa wananchi sijakuelewa hoja yako

  • @annanasoro3007
    @annanasoro3007 23 дні тому

    Aliekufa niani mbona vyombi vya habari havijasema unamchafua tu siku zote upo mbona ujatatua anayoyatatua makonda

  • @user-ce9pr3zs6b
    @user-ce9pr3zs6b 27 днів тому

    Hata wewe upewe nchi, utatubadilishiya luga ya kutuambiya muongo mmoja.

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y 15 днів тому

    sioni pointi unapoongea kinachomshawishi mwananchi Makonda ndiyo kiboko yako

  • @MarthaWambura-kz5xb
    @MarthaWambura-kz5xb Місяць тому

    Toooo interesting 😅😅 DOGO ANA WENGEEE ....
    acha ujinga LEMA MAKONDA HE IS ANOTHER MAN 👊👊👊👊

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 13 днів тому

    Hata muongee nn hampati urais hata ule umengonoka hampati ursisi hata siku moja

  • @StevinGodfrey
    @StevinGodfrey 18 днів тому

    lemaa ana lolotee makondaa oyee

  • @user-qx7jg4gh6i
    @user-qx7jg4gh6i 27 днів тому

    Mbona wewe uliongoza miaka tano Mbona walikuwa wanaedesha pikpiki hatukuona mabadiko uliyofanya?

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 29 днів тому

    Kwenda zako nawewe usie na point

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq Місяць тому +1

    Big up Mr lema

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 Місяць тому +4

    Katika hili analoongea lema niukweli ila kwawajinga hawaoni hilo

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 Місяць тому

      Chadomoooooooooo. Moja ya sera ya kufirisika ni kuishia kutukana tu.

  • @janethrwambali2782
    @janethrwambali2782 Місяць тому

    LEMA HATUKUPENDI RUDI CANADA. ACHANA NA MAKONDA KIPENZIIIII CHETU❤

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Місяць тому +7

    Leta sera mambo ya mke wa makonda ayatuusu yeye makonda mbona ajaongera mke wako unaferi best

    • @davidchihimba9489
      @davidchihimba9489 Місяць тому +2

      Umetumwa wewe hapo hampati kitu Arusha ina wenyewe

    • @faustinejemsi1488
      @faustinejemsi1488 Місяць тому +1

      Umeona mm Niko Kenya nafatiria lema mupeni jimbo lake

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Місяць тому +1

      Kwani Makonda ana sera gani, kudanganya wajinga tu😂

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 Місяць тому +2

    Kazi ni nini? Ni shughuli halali inayompatia kipato. Boda boda lema anaowadharau leo wamejenga nyumba, wana viwanja nk.

  • @deomushy2594
    @deomushy2594 16 днів тому

    imejengwa na neno

  • @JoshuaSamunge
    @JoshuaSamunge 19 днів тому

    Sasa waambie sere wewe unawasaidiaje watu kosoa Kwa hoja , ukiwaambia bodaboda wao wafanye nin Sasa ,jaribu kutupa sera zenye mantic

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 28 днів тому

    Lema wewe ni msenge nakukubaligi kumbe chenga tu yani unakaa kumzungumzia Makonda mpumbavu mkubwa ww ,fanya mambo yako ila Makonda muache aseeh chalii etu

  • @EliasAbel-qr8pz
    @EliasAbel-qr8pz Місяць тому

    Acha kuchongani sha Sana nch😊

  • @ayubukivuyo2904
    @ayubukivuyo2904 Місяць тому

    If you don't scratch your brain, you will scratch your private ............

  • @HassanSeringo
    @HassanSeringo 19 днів тому

    Hatasimuelewiy

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y 15 днів тому

    huna sela huna chochote unapiga kelele

  • @MarthaWambura-kz5xb
    @MarthaWambura-kz5xb Місяць тому

    Mimi n8 chadema lakini MAKONDA hebu usi muongelee ...shughulika na hao maboya wengine ulio wataja

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam2754 Місяць тому

    Mkuu Mimi simwanasiasa Ila makonda hajakosea kuandaa tamasha ni anajali vipaji Viwe fursa nanikwambie Mimi hua ndioninaratibu MASHINDANO YA PIKIPIKI nikwambie siasa zenu zielekezeni KATIKA KUSAIDIA jamii na msiwaponde wanaogusa maisha ya WATU Ila nikwambie kaka HAKUNA MCHEZAJI ALIEKUFA, HIZO TAARIFA ULIEPEWA ZA WATU8 ZICHUNGUZE SIOKWELI KAKA.

  • @charlesngalison7554
    @charlesngalison7554 Місяць тому +1

    Lema unakuwa nyota Tanzania

  • @Mudymudy-u5k
    @Mudymudy-u5k 17 днів тому

    Anatafuta Kula Hana lolote ndio walewale tu

  • @user-bl6xr8ru5j
    @user-bl6xr8ru5j Місяць тому

    No one is perfect aongelee maendeleo hana issue

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Місяць тому

    Huna jipya!