Asante sana ndugu muandishi wa habari creez kwa interview hii pole sana kwa msiba mwenyewe Mungu awatie nguvu kwenye iki kipindi kigumu na tumuombe kwa Mungu azidi kupumzika kwa amani dr shika🙏
Mmmmmh.....kwa maelezo hayo nimeamini adui wa mtu ni wale wa Nyumbani mwake...R.I.P Dokta shika Alikuwa mtu mwema sana ila inaonekana amepotezwa kila mara na nyota yake ya umaarufu haikuwezekana kuzimwa ila walijizimia waliohisi wataipata hatimaye wamefaidi wengineo. RIP...Shika umetangulia ktk utakatifu mkuu.
Tanzania home sweet home. Huwezi kuwa na amani tele ukiwa unaishi ugenini. Mi kwingine siwekezi wala kufanya makazi Zaid ya Tanzania. Hapa hapa ntatoboa
mbona sio vibaya lakini, mzee mkapa alichagua kwao mbona kazikwa kwao, hata wewe unaweza kuchagua pia na utazikwa hapo utakapo chagua, na sio wewe tu hata mimi nimeshachagua nizikwe karibu na bibi yangu
Interview nzuri ila mngeweka namba ya simu ya mzee kuwasaidia maana kama mlivyomsikia kuuguza na msiba umewaacha vibaya kiuchumi na hao wanaojiita marafiki au waliotumia umaarufu wa jina lake hawakumsaidia alipoumwa au kusaidia familia na msiba!
Hv kwnn watu hawatolei macho ambayo yalimkuta urusi na kwann yani sehemu flani mkifika mnaficha hata kakake mmemsikia kasema alivokua urusi ila kuna mambo awezi kuzungumzia km mwanafamilia hv so what!!!
Kuna chakujifuza Kwaza tunavyo enda kutafuta maisha kwenye nchi zawatu tuwe tuna kumbuka nyumbani tuwe tunarudi nyumbani hata likizo tu na tukipata riziki kidogo tuwa kumbuke wazazi pamoja na ndugu , tisirudi nyumbani tukiwa tumepoteza dila , R. I. P docta shika🙏
Shika hakuwahi kwenda Urusi wala nje ya nchi yeye alitafuta kiki tu ajipatie umaarufu mbona wabongo ni wagumu kuelewa mambo ya kiki kwanza Urusi ni nchi masikini sasa angewezaje kupata hayo mabilioni
@@ashanalinga8719 na mbona shika hakuwasiliana na kaka yake kwa zaidi ya miaka 30 huyo kaka yake kamsikia shika kwenye mitandao kuwa alisema alikuwa anaishi urusi lakini shika na kaka yake hawakuwa na mawasiliano mpaka alipozidiwa na magonjwa
Putin alishawahi kusema kuwa africa iliumbwa kama eneo la makaburi tuu,kwamba watu wanaenda kutafuta ulaya,kutibiwa ulaya,kusoma ulaya,ila wakifa tuu wanakuja kuzikwa afrika.
Yy alivokuj alizungukazunguka lkn alieleza kinagaubaga yaliomkuta urusi,kwnn msianzie pale alipoeleza alipoishia,km yule aliekua anajiita mkuu wa mkoa makonda alimuita alimbeza, km kuna chizi mmoja anajiita dk shika cjui kaishia wp kaishia wp ume observe,we ndo utakua chizi makuzi kibaaaao mim mkuu wa mkoa mim mkuu wa mkoa mkuu wa mkoa utakua ww, mtu anasafa kivyake ww unakujakuja tu unamuita chizi mmoja, mtu mwenyew unatembelea migongo ya watu,em na ww safa kivyako km dk shika tuone km hujawa dk anguka,viongz wenzako kipnd kile wenye akili sasa kipnd kile waliamua kukuaa kimya w ndo kiherehere
Benny Mochiwa You can tell he was mentally ill with Delusional, wangekwenda kumuona, hujamuona ndugu yako miaka 30 ingekua mimi next day ningekua kwenye basi namfuata, angalia sasa kaka anavyo ongea anajifanya kama vile alimpenda sana, too late tumewajua ukoo wenu upo vipi,
@@ashaali7154 Noted though biblically when someone dies it doesn't mean he heads to Heaven rather waiting for ressurecton when Jesus Descends secondly.
Ndio najiuliza, walimuona wa maana wakati jina linavuma(kina Kathrrine Kahabi meneja wake) lilipofifia mpaka akamkana hakuwahi kuwa meneja wake wakati kamera zinammulika hawakuwa mbali naye wakiuza sura zao!!! Shwaini wakubwa!! Ok, hata kama hamkuweza kusaidia matibabu basi mngetoa pole ya maana kwa wanafamilia waliomgharamia kwa matibabu!! Maushuzi wakubwa wote waliomtumia baadae kumtelekeza!!
Sidhani kama alisahau kwao......ila Maisha yalimpiga Ulaya then aibu kurdish nyumbanu mikono mitupu....Hata mimi nina almost similar situation ,nimeondoka home miaka 12 sasa ,maisha mabaya huku ila bado napambana..Najifunza hapa.
@@namirihamisi3899 Ahsante kwa ushauri wa kutia moyo ndugu yangu.Bado sijakata tamaa,na hata hutumia hulka yangu kuwahamasisha wenzangu wengi waliotoka hata nchi za jirani kama Kenya na Uganda wasikate tamaa.Inasikitisha kuna Jamaa mmoja anatoka Uganda yupo huku miaka 30 sasa.Amesha surrender kwenye pombe na crack na East Africa anayoijua yeye ni ya kina Remmy Ongala na Ivony Chakachaka.Serikali ya huku inmempa nyumba mara nyingi lakini kwa hali yake ya afya unakuta after three months nyumba imeota manyasi ndani sababu ya ukungu.
@@godwinmpazi1560 mtihani kwa kweli haya ndugu yangu mungu akuangazie nuru njema ili ufanikiwe mahitaji yako na kila uendapo mungu akutangulie akupe riziki yenye khery na ww Amiin yaraby.
Ndio najiuliza, walimuona wa maana wakati jina linavuma lilipofifia mpaka akamkana hakuwahi kuwa meneja wake wakati kamera zinammulika hawakuwa mbali naye wakiuza sura zao!!! Shwaini wakubwa!! Ok, hata kama hamkuweza kusaidia matibabu basi mngetoa pole ya maana kwa wanafamilia waliomgharamia!! Maushuzi wakubwa wote waliomtumia baadae kumtelekeza!!
Sasa mpaka wazazi wote wanakufa na hujawahi kuulizia wala kuzuru nyumbani kwenu kwa kisingizio eti uko ulaya, uko busy? Kwanza ana bahati sana ndugu zake wamemuhifadhi. Angekua kwenye koo za roho mbaya kama zetu angezikwa na manispaa.
Pengine nauli bro....Kumbuka zile aibu ku admit kwa ndugu kwamba umepigika wakuchangie urudi home....kumbuka hulka ya mtu pia kama kwa mujibu wa kaka yake kwamba Shika ni mpenda watu...meaning aliwapenda ndugu zake na kujutia mzigo wa matatizo alio nao kulinganisha na hali ya ndugu zake so anabaki kujutia na kuteseka Peke yake.... Kumbuka ashapoteza all matrimonial figures pia...ma mzazi ,dada nk...hawa watu mara nyingi wawapo hai huunganisha sana familia contrary na mkibaki madume watupu....
@@godwinmpazi1560 kulingana na maelezo yake ni kwamba alikua na hela ndefu sana, mda ndio hakuwa nao. They say make hay while the sun is shinning. Most so called "educated people" who live abroad are scared of upsetting the white man in their brains, ndio wanajisahaulisha kwenye nchi za wenyewe kwa kujisifu "I am the only black man running a successful business in Russia " mwisho wa kwisha unakuja kulala stendi mnazi mmoja. Nasema hivyo kwa sababu hata mimi niko abroad na najua nyumbani ni nyumbani, sioni sababu yoyote ya kumfanya mtu mweusi aliyezaliwa Africa kuishi ulaya miaka 30 bila kurudi nyumbani, tena Urusi?
@@sankofaman4112 Ni kweli...kwa kweli mi ningekuwa na huo mshiko ningeshafanya mipango zamani na kurudi nyumbani... tena kijijini kwa bibi na babu nilime na kuvuta hewa safi. Ulaya pagumu naelewa sababu na mimi nipo hapa for 12yrs sasa na bado hakieleweki.Natamani sana kurudi home tatizo ni wakati naondoka nyumbani nilikuwa sijajijenga na nilikuwa bado kijana mdogo.Pia nishapoteza hata network toka baadhi ya ndugu hata walionipiga vizinga vya hapa na pale mwanzoni...I would almost imagine myself wearing Shika's shoes...I cried 😢
@@godwinmpazi1560 usikate tamaa brother. Jikaze, punguza matumizi utafaulu, kwetu Africa future bado iko. Wala usione aibu kuanza upya, just pick yourself up and start all over again " It's never too late for a man at rest to wake, the time that he wakes up is the time that he should rise " .
Interview ya mtu aliedai ni kaka yake mkubwa ilifanywa na channel ya MWANANCHI DIGITAL yenye kichwa cha habari cha NDG. WA DOKTA SHIKA. Hapo ndio ninapochanganya ni yupi hasa kaka yake kati ya huyu na yule wa awali.
Cjui n kwann huko Urusi wakiendaga wanarudi hawako sawa...kuna mmoja nae alienda kusomea udoctor amerud kama mwehu mwehu..maneno mengi hana A wala B yan ombaomba n changamoto nadhan kuna kitu huwa wanawawekea s bure
Ni kwel asee, kuna ndugu yangu alienda kakaa uko miaka 22 kaoa mzungu kazaa na watto uko, ila saiv karud hom ni mzee kijana na pombe na yy licha ya kuwa anaongea lugha 12 za mataifa makubwa ila anaonekana fala kabisa yan
Hivi huyu ni kaka wa tumbo moja au wa ukoo..? Maana kuna interview ya zamani kuna mzee mwingine yuko kijijini walikozikwa wazaz wa dr. Shika ndio alisema ni tumbo moja kabisa.. alisema wa kwanza ni dada na akafata huyo mzee na shika ni mtoto wa tano. Sasa huyu kanichanganya, mwandishi umeniacha njia panda hapo.
Huyu baba ana hekima sana! Mungu akubariki sana, poleni kwa msiba na familia kwa ujumla...Mungu awatie nguvu!
Kweli kabisaa
Wanaonekana ukoo wao ni wasomi hata huyu mzee anaonekana msomi
Huyu baba ni jilan yangu ila sikua najua km ni ndugu wa shika polen sana wanafamilia
Maskin anaongea kama yy😭
Mungu amuweke mahali pema peponi ameen
Asante sana ndugu muandishi wa habari creez kwa interview hii pole sana kwa msiba mwenyewe Mungu awatie nguvu kwenye iki kipindi kigumu na tumuombe kwa Mungu azidi kupumzika kwa amani dr shika🙏
Mlimuona mwehu unajua sisi watanzania tena hasa nyie media ndo mmemsababishia msongo wa mawazo coz mlikua mnamuona n chizi
Very humble mzee wa watu
Mungu ailaze roho yake pema peponi amina pesa na yote vilivyomo duniani Ni mali ya Mungu duh shika R.I.N BABAKE
Mzee wa Mia tisa itapendeza . R.I.P DR shika
Ndio yeye
Masikini poleni sana mungu awape wepesi
Wa wa wa poleni sana familia shika
Mzee safi sana, anazungumza vile vile kama marehemu, ako na busara sana. RIP DR Shika
Mmmmmh.....kwa maelezo hayo nimeamini adui wa mtu ni wale wa Nyumbani mwake...R.I.P Dokta shika Alikuwa mtu mwema sana ila inaonekana amepotezwa kila mara na nyota yake ya umaarufu haikuwezekana kuzimwa ila walijizimia waliohisi wataipata hatimaye wamefaidi wengineo. RIP...Shika umetangulia ktk utakatifu mkuu.
Babu unamaneno ya busara sana mungu akubariki na poleni kwa kumpoteza ndugu yenu Dr Shika...mungu amlaze mahala pema Ameen
Pole Sana
mzee anabusala sanaaa nimemkubali hana tamaa hajalaumu dr shika kuwaterekeza bila MAWASILIANO afu duh 🙌
Tanzania home sweet home. Huwezi kuwa na amani tele ukiwa unaishi ugenini. Mi kwingine siwekezi wala kufanya makazi Zaid ya Tanzania. Hapa hapa ntatoboa
poleni sana kwa msiba mungu amueke mahali pema.
Chris good job
pengine ana familiya huko ulaya lakini ndio basi tena washapotea.
Kajichagulia na sehemu ya kuzikwa dah nimejisikia vibaya
mbona sio vibaya lakini, mzee mkapa alichagua kwao mbona kazikwa kwao, hata wewe unaweza kuchagua pia na utazikwa hapo utakapo chagua, na sio wewe tu hata mimi nimeshachagua nizikwe karibu na bibi yangu
yaani mzee hataki kutowa siri ya marehemu anamstiri masikini pole sana baba.
Interview nzuri ila mngeweka namba ya simu ya mzee kuwasaidia maana kama mlivyomsikia kuuguza na msiba umewaacha vibaya kiuchumi na hao wanaojiita marafiki au waliotumia umaarufu wa jina lake hawakumsaidia alipoumwa au kusaidia familia na msiba!
Kweli kabisa,maana ugonjwa wa Figo kuna gharama sanaa,kama kuchuja sumu mara 2 au 3 kwa wiki na kila ni zaidi ya laki 2 dah
Baba mungu awape subra na jinsi ulivoongea mazuri kweli utu ni kitu
Hv kwnn watu hawatolei macho ambayo yalimkuta urusi na kwann yani sehemu flani mkifika mnaficha hata kakake mmemsikia kasema alivokua urusi ila kuna mambo awezi kuzungumzia km mwanafamilia hv so what!!!
Huyu mzee anapenda watto
HILI NI JINGA SANA.. LIACHE KWANINI MNAIHOJI HII MIDUDE PLEASE .. DUNIA NA MAMBO YAKE YANAPITA MUNGU NDIYE WA KUTOA HUKUMU.. AMEN
Kweli mzima wewe
Anaitwa dr.louis shika keji.
Pole Kwa safari Chris
poleni sana jamani mtihani
Jamaa alitengwa ila alikua mtu muhimu sana ktk Nchi hii,Ila sijui kwa nn naona serikali kama haikumpa kampan
Mzee mbusara sana Mungu awape subra wanafamilia.
Kweli
Poleni sana
V
Poleni jamani Mungu awatie nguvu
Mzee wa watu ameumwa mmeshindwa kumtangazia achangiwe matibabu sa ivi mnaenda kwao kufanya nn Sasa
washenzi sana hawa waandishi.
Mwenyezi Mungu Amlaze pema peponi Amin 🙏🏽
Mzee anabusara sana
Dam ni nzito kuliko maji pumzi tu nsio.zinatudanganya tupendane jamani.
Maneno ya busara sana, poleni sana kwa msiba ndugu.May his soul rest in Peace.
Mungu amumzishe kwa amani
Rest in peace docta shika 😢🙏
Mzee anajibu vizuri " poleni " " bado hatujapoa"
Kwa_kweli
Kumbe mlikuwa mkimpenda sasa mwena hamkumrafuta hapo dare?
Duuu poleni sana wapendwa
Mhh huyu karudishwa kiswahili kwao ndo mana karudi bila chochote
Mzee nae Yuko vzr kichwan
Mnaishia tu watu mlimuona mwehu,huyu ngg yake ila nilikua sjui, pumzi ndefu kuliko maji ah, yani mnazungumza vitu vyepesi vyepesi tu yani ndo nin sasa
Jamaniii
Poleni na msiba
Poleni wafiwa
wahenga walisema mla nawe si mzaliwa nae ila mfa nawe ni mzaliwa nawe.
daaaa mtihani sana
Kuna chakujifuza Kwaza tunavyo enda kutafuta maisha kwenye nchi zawatu tuwe tuna kumbuka nyumbani tuwe tunarudi nyumbani hata likizo tu na tukipata riziki kidogo tuwa kumbuke wazazi pamoja na ndugu , tisirudi nyumbani tukiwa tumepoteza dila , R. I. P docta shika🙏
Shika hakuwahi kwenda Urusi wala nje ya nchi yeye alitafuta kiki tu ajipatie umaarufu mbona wabongo ni wagumu kuelewa mambo ya kiki kwanza Urusi ni nchi masikini sasa angewezaje kupata hayo mabilioni
@@happynelson1136 Kwaiyo tumuamini nani Kaka ake au wewe? Kaka ake ndo Kasema ivo na yeye mwenyewe shika pia alisema ivoivo
nelson Mharo gani huu?
Shika hajakutana na huyo kaka yake kwa muda wa miaka 30 huyo kaka yake kajua kutoka kwenye mitandao kuwa shika alisema alikuwa anaishi urusi
@@ashanalinga8719 na mbona shika hakuwasiliana na kaka yake kwa zaidi ya miaka 30 huyo kaka yake kamsikia shika kwenye mitandao kuwa alisema alikuwa anaishi urusi lakini shika na kaka yake hawakuwa na mawasiliano mpaka alipozidiwa na magonjwa
Chukueni vitambulisho vyake endeni kwa embassy husika ya Russia na USA mtapata assets zake zote
Huwezi jua alifanya nn huko!!wanaeza fika wakatiwa ndani
😅😅😅😅
Russian ni wachawi namba moja labda walimufanyia kitu kibaya na pia wana roho chafu wawezi waka peana hela
@fatuma issa Yani anaongea kama warusi ni wajomba zake,eti watapatiwa just like that. Wazawa wenyewe kama makaratasi hayako vizuri hupati peni.
Mishono ya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe
ua-cam.com/video/iZ18UJA3f1A/v-deo.html
So sad 😞
Wasukuma huita watoto ma jina maneno yeyote wanayo sikia duniani. Kwaheri mzee Wetu wa m 19
Ulaya pagumu especially Urusi!!matapeli wengi popote duniani!!
Nchi gani umeisha Ulaya dadangu ?
Rip
Pole familia
Rip shika
Putin alishawahi kusema kuwa africa iliumbwa kama eneo la makaburi tuu,kwamba watu wanaenda kutafuta ulaya,kutibiwa ulaya,kusoma ulaya,ila wakifa tuu wanakuja kuzikwa afrika.
Gud work sns
Safi sns mtafika mbali
Heee 1988 hadi 2020
Yy alivokuj alizungukazunguka lkn alieleza kinagaubaga yaliomkuta urusi,kwnn msianzie pale alipoeleza alipoishia,km yule aliekua anajiita mkuu wa mkoa makonda alimuita alimbeza, km kuna chizi mmoja anajiita dk shika cjui kaishia wp kaishia wp ume observe,we ndo utakua chizi makuzi kibaaaao mim mkuu wa mkoa mim mkuu wa mkoa mkuu wa mkoa utakua ww, mtu anasafa kivyake ww unakujakuja tu unamuita chizi mmoja, mtu mwenyew unatembelea migongo ya watu,em na ww safa kivyako km dk shika tuone km hujawa dk anguka,viongz wenzako kipnd kile wenye akili sasa kipnd kile waliamua kukuaa kimya w ndo kiherehere
INAVYOONEKANA HAKUWA NAUSHIRIKIANO NA NDUGU KIPINDI AKIWA NAIZOELA HILI NIFUNDISHO
mzee anaongea ki busara zaidi na kifumbo sana yaanai mtu uwe unamapenzi na watu mpaka usahau uliozaliwa nao?? hii imekaaje hapo?
Alikua dar zaidi ya miaka 3 mbona hamkufuata? He needed love, you should made a first move to fetch him
He was lost needed love from close relative
Angerudi,sio wangemchukua alikuwa mtu mzima na shughuli zake
kwani yy alikua mtt Mdogo kusema hapajui nyumbani?
Benny Mochiwa
You can tell he was mentally ill with Delusional, wangekwenda kumuona, hujamuona ndugu yako miaka 30 ingekua mimi next day ningekua kwenye basi namfuata, angalia sasa kaka anavyo ongea anajifanya kama vile alimpenda sana, too late tumewajua ukoo wenu upo vipi,
R.I.P. Dr Shika you are in a better place now no more pain .
How sure are you?
@@japhethgeriad4519 May be you know better, good for you, but what I comment is my opinion and belief so let me be please.
@@ashaali7154 Noted though biblically when someone dies it doesn't mean he heads to Heaven rather waiting for ressurecton when Jesus Descends secondly.
Utaratibu ungewekwa Dr Shika angeweza kuchangiwa na kutibiwa
Figo zikishaharibika sana hazitibiki, labda angewahiwa kabla hazijaharibika.
siyo kweliii
Polen sana
Apumzike kwa aman ila wanaishi mjifunze kutafuta watu wakiwa hai
Unasema kweli Mungu akubaliki
Ndio najiuliza, walimuona wa maana wakati jina linavuma(kina Kathrrine Kahabi meneja wake) lilipofifia mpaka akamkana hakuwahi kuwa meneja wake wakati kamera zinammulika hawakuwa mbali naye wakiuza sura zao!!! Shwaini wakubwa!! Ok, hata kama hamkuweza kusaidia matibabu basi mngetoa pole ya maana kwa wanafamilia waliomgharamia kwa matibabu!! Maushuzi wakubwa wote waliomtumia baadae kumtelekeza!!
Tatizo hata mzee shika alipokwenda ngambo alisahau kwao tujifunze kutokana na makosa nyumbani kwanza japo maiti haikosolewi.
Sidhani kama alisahau kwao......ila Maisha yalimpiga Ulaya then aibu kurdish nyumbanu mikono mitupu....Hata mimi nina almost similar situation ,nimeondoka home miaka 12 sasa ,maisha mabaya huku ila bado napambana..Najifunza hapa.
@@godwinmpazi1560 poleni sana ndugu zetu ila ukiona mambo magumu rudini kwanza nyumbani pengine riziki zenu zipo huku
@@namirihamisi3899 Ahsante kwa ushauri wa kutia moyo ndugu yangu.Bado sijakata tamaa,na hata hutumia hulka yangu kuwahamasisha wenzangu wengi waliotoka hata nchi za jirani kama Kenya na Uganda wasikate tamaa.Inasikitisha kuna Jamaa mmoja anatoka Uganda yupo huku miaka 30 sasa.Amesha surrender kwenye pombe na crack na East Africa anayoijua yeye ni ya kina Remmy Ongala na Ivony Chakachaka.Serikali ya huku inmempa nyumba mara nyingi lakini kwa hali yake ya afya unakuta after three months nyumba imeota manyasi ndani sababu ya ukungu.
@@godwinmpazi1560 mtihani kwa kweli haya ndugu yangu mungu akuangazie nuru njema ili ufanikiwe mahitaji yako na kila uendapo mungu akutangulie akupe riziki yenye khery na ww Amiin yaraby.
Pore babaangu
Leo mumekubali ni mtoto wenu!!!!!wanadamu hawaeleweki kweli
Kwani walimkataa au ni yeye alikataa kwenda nyumbani !!!!!!!??????
Meneja wake (Katherine Kahabi) hakufika?
Ndio najiuliza, walimuona wa maana wakati jina linavuma lilipofifia mpaka akamkana hakuwahi kuwa meneja wake wakati kamera zinammulika hawakuwa mbali naye wakiuza sura zao!!! Shwaini wakubwa!! Ok, hata kama hamkuweza kusaidia matibabu basi mngetoa pole ya maana kwa wanafamilia waliomgharamia!! Maushuzi wakubwa wote waliomtumia baadae kumtelekeza!!
Sasa mpaka wazazi wote wanakufa na hujawahi kuulizia wala kuzuru nyumbani kwenu kwa kisingizio eti uko ulaya, uko busy? Kwanza ana bahati sana ndugu zake wamemuhifadhi. Angekua kwenye koo za roho mbaya kama zetu angezikwa na manispaa.
😂😂😂 ni kweli kabisa!
Pengine nauli bro....Kumbuka zile aibu ku admit kwa ndugu kwamba umepigika wakuchangie urudi home....kumbuka hulka ya mtu pia kama kwa mujibu wa kaka yake kwamba Shika ni mpenda watu...meaning aliwapenda ndugu zake na kujutia mzigo wa matatizo alio nao kulinganisha na hali ya ndugu zake so anabaki kujutia na kuteseka Peke yake....
Kumbuka ashapoteza all matrimonial figures pia...ma mzazi ,dada nk...hawa watu mara nyingi wawapo hai huunganisha sana familia contrary na mkibaki madume watupu....
@@godwinmpazi1560 kulingana na maelezo yake ni kwamba alikua na hela ndefu sana, mda ndio hakuwa nao. They say make hay while the sun is shinning. Most so called "educated people" who live abroad are scared of upsetting the white man in their brains, ndio wanajisahaulisha kwenye nchi za wenyewe kwa kujisifu "I am the only black man running a successful business in Russia " mwisho wa kwisha unakuja kulala stendi mnazi mmoja. Nasema hivyo kwa sababu hata mimi niko abroad na najua nyumbani ni nyumbani, sioni sababu yoyote ya kumfanya mtu mweusi aliyezaliwa Africa kuishi ulaya miaka 30 bila kurudi nyumbani, tena Urusi?
@@sankofaman4112 Ni kweli...kwa kweli mi ningekuwa na huo mshiko ningeshafanya mipango zamani na kurudi nyumbani... tena kijijini kwa bibi na babu nilime na kuvuta hewa safi.
Ulaya pagumu naelewa sababu na mimi nipo hapa for 12yrs sasa na bado hakieleweki.Natamani sana kurudi home
tatizo ni wakati naondoka nyumbani nilikuwa sijajijenga na nilikuwa bado kijana mdogo.Pia nishapoteza hata network toka baadhi ya ndugu hata walionipiga vizinga vya hapa na pale mwanzoni...I would almost imagine myself wearing Shika's shoes...I cried 😢
@@godwinmpazi1560 usikate tamaa brother. Jikaze, punguza matumizi utafaulu, kwetu Africa future bado iko. Wala usione aibu kuanza upya, just pick yourself up and start all over again " It's never too late for a man at rest to wake, the time that he wakes up is the time that he should rise " .
Interview ya mtu aliedai ni kaka yake mkubwa ilifanywa na channel ya MWANANCHI DIGITAL yenye kichwa cha habari cha NDG. WA DOKTA SHIKA. Hapo ndio ninapochanganya ni yupi hasa kaka yake kati ya huyu na yule wa awali.
wa kule bariadiii? au
.
Cjui n kwann huko Urusi wakiendaga wanarudi hawako sawa...kuna mmoja nae alienda kusomea udoctor amerud kama mwehu mwehu..maneno mengi hana A wala B yan ombaomba n changamoto nadhan kuna kitu huwa wanawawekea s bure
Mtu akienda urusi.harudi salaama
Kwa nini
Ni kwel asee, kuna ndugu yangu alienda kakaa uko miaka 22 kaoa mzungu kazaa na watto uko, ila saiv karud hom ni mzee kijana na pombe na yy licha ya kuwa anaongea lugha 12 za mataifa makubwa ila anaonekana fala kabisa yan
@@alexmurithi1327 kwa sababu wakiona unahakiri wanakuharibu.niwacawi saana.
daaa mtihani sana
Kweli kabisaa
Mzee shika ni makmuga alitanua akasau familia na amerudi empty wakampokea nakumzika... #Nimepatafunzo
Mh toka 88 hadi leo 2020 ni 32 mbona miaka mingi ndugu wa dam kuto kuonana
Mzee una busara sana
Miaka 32 hujarudi kwenu unaakili kweli ww
Usihukumu Kwa usichokijua
Hivi huyu ni kaka wa tumbo moja au wa ukoo..? Maana kuna interview ya zamani kuna mzee mwingine yuko kijijini walikozikwa wazaz wa dr. Shika ndio alisema ni tumbo moja kabisa.. alisema wa kwanza ni dada na akafata huyo mzee na shika ni mtoto wa tano. Sasa huyu kanichanganya, mwandishi umeniacha njia panda hapo.
Kama aliuguzwa hapa ndo ujiongeze huyu ndie
Huyu wanne dokta shika wa tano
Poleni sana
Sasa leo kafa na wamejua kwenda kwao kuuriza ukweli, to late
Mahojiano mngeyatafuta alipkua anvuma akiwa mia 9 itapendezea kujua mtamsaidiaje kupata fedha zake.. Haya sasa kafariki mnauliza mjue nini