KUMFAHAMU ROHO MTAKATIFU KATIKA MAISHA YAKO || PASTOR GEORGE MUKABWA
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2023
- SUNDAY SERVICE AT JESUS RESTORATION CENTER WITH PASTOR GEORGE MUKABWA(SENIOR PASTOR)
#pastorgeorgemukabwa #jrcchurch Gospel Teachings for soul winning Purpose. - Фільми й анімація
Nami nimejiungamanisha na madhabahu hii, ee Mungu neno lako ni mbegu nipe Roho mtakatifu afungue mlango wa mbingu ili nirudi na kelele za shangwe, na karo kuimbia wimbo mpya.
Pokea sadaka yangu ikawe kumbukumbu ya kukukumbusha Kwa ajili ya ibada hii na kuomba Roho mtakatifu afanye kazi ndani yangu🙏
Paster mugu akubariki sana kbs kila mara ninapo fwata mambo yako mabadiliko yanakuwa kwenye maisha yangu.
Ubarikiwe Mch, kwa somo zuri la Roho Mtakatifu
Mpaka natamani kuhamia mwanza,jamani nyinyi ambao huyu ni mchungaji wenu msiichezee hii neema . yaani Mimi bando yangu natumia kujifunza kupitia huyu mchungaji.
Ahsante baba Kwa maarifa haya,Mungu azidi kukufunulia Siri zake Kwa ajili ya watu wake.
Ukurasa mpya unafungiluwa wangu leo kwa jina la yesu
nakushukulu mungu asubui ya Leo nimelisikiliza neno kutoka kwa mtumishi wako limenibariki na kunijenga kiiman mungu akubariki mutumishi wangu
Namshukuru Bwana kwa somo hili,limenifungua ufahamu kwa kiasi kikubwa sana,Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu,na Mungu azidi kukupa neema
Saa nane usiku i’m here watching this!!! And i’m blessed!! Thank u pastor
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho
Yaani huyu mtumishi wa Mungu anafumdisha vitu vya kilindini,barikiwa Baba mchungaji
Pastas barikiwa sana kiukweli ninajengwa sana baba. Barkiwa baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Roho Wa Mungu kaa ndani yangu.
akika mtumishii wa Mungu unanibariki kwa mafundisho yako yaliyojaaa hekima maarifa Mungu azidi kukutia nguvu kwa ajili ya utumishi wake 🙏🇱🇷🇱🇷
Amen ❤
MUNGU wa madhabu ii ainuliwe sn nakuzidi.mtumishi Roho azidi kuku shibisha neno ili mimi Nile kupitia kwako,shallom
Waaah 😭 😭😭😭 kupitia hili somo 🙏🙏baba leo nimepata majibu ya mateso yangu
Nashukuru
Kwa
Mafundisho
Mema
Nimebarikiwa
Roho mtakatifu karibu katika maishani mwangu
Amen and Amen and thanks to Jesus connected from Kenya Nairobi
Holly spirit change my life. Be blessed pastor
Amen
Amen.
Hio ndio hali yangu pastor.....Leo inaisha kwa jina la yesu👋🙏🙏🙏🙏naamin leo ni mwisjo
..eeeh, Mungu naomba mafuta mabichi katika maisha yangu. Asante kwa somo pastor, sasa nina ufahamu kuhusu nafasi ya roho mtakatifu...barikiwa amen 🙏 🙏
Roho matakatifu tawala ndani ya maisha yangu na watoto wangu karibu ndani ya maisha yangu from today in jesus name
Asante sana mtumishi nabarikiwa. Naneno zur lamungu
baba ni shushii roho mutakatifu
Amen, Amen.
Naomba ee Roho wa Mungu ingia Tena ndani yangu uifanye upya Roho iliyotulia ndani yangu ili nikupe wewe nafasi ya kutawala maishani mwangu,🙏
Kiukweli mtumishi kama MUNGU aishivyo akuinue sana
Ameen❤🎉🎉
Mafundisho mazuri sana ya anibariki ubarikiwe sana mtumishi
Asante sana mtumishi hapa Mungu kasema na moyo wangu ubarikiwe sana baba Mungu akutunze sana.
May the lord bless you nimebarikiwa sana umenitoa kiwango kimoja Hadi kingine
Ameen
Amen lord I need your grace
🙏🙏
❤
Karibu roho mtakatifu
niongoze kwakira jambo nirifanyaro
Rohoo mtakatifu ingia ndani mwangu nimechoka kujitawala nimeona hasara za kujitawala sasa nakukaribisha ndani mwangu kwenye familia yangu na watt wangu oooh rohoo mtakatifu shuka ndani mwangu tawala biashara yangu
Mungu ana kitu juu yangu leo namuona Mungu kupitia somo hili
Ubalikiwe paster umenikuza kiroho
😭😭😭😭😭Eee roho mtakatifu karibu ingia ndani yangu tawala maisha yangu ,bila uwepo wako ndani yangu mimi ni kama kapi.
Amen hili nenonilaku 1:07:07 pats nisahitie sana
Bw azidi kukuinua mtumishi wa Mungu
Amen amen God bless you
Sijui kama hao waumini wanaelewa kama mimi?huyo ni mtumishi wa kipekee sana sana
Amina, God of restoration.
Barikiwa pastor
Roho mtakatifu tengeneza maisha yangu ya kiroho 🙏🙏😭😭😭nimechoka na mateso ya mizimu ya ukoo
Thank You pastor😊
Sitapotea kwa jina la Yesu 🙏
Amen and amen
MUNGU akubariki pastor
Amen 🙏🙏 ubarikiwe
Roho mtakatifu naomba uniingikie nda0ni yngu
Barikiwa sana pastor
Hallelujah
Amen Amen 🙏🙏
Ubarikiwe sana
Amen and Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Sifa na hutukufu ni zake daima...
Amen!!!!!!
Yan ninamis sana ibada kiukweli lkn Mungu ni mwema ipo siku kazi zitaludi mwanza na mambo yatanda vizuli ubalikiwe sana baba
Amina
Yesu wastahili sifa na utukufu.
Asante sana
Amen 🇰🇪🇰🇪
Yaani weweza muuliza Mungu maswali ila Mungu akubarikii zaidi na zaidi ninaposikiliza kidogo tu sitoki Bure nakuuliza hai ulio nao hapo wanayo neema kubwa barikiwa tu
Tukiwa na pastor kama huyu kwa kila Nchi watu wengi wataokoka
Bless you Pastor 👏
Hakika Ni kwa Neema tu, Niko jinsi nilivyo.
Amen nimeguswa sana
Ameeen
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nina shida kuanzia usichana wangu loho mtakatifu ingia kwangu
Una madini MUNGU akutumie sawa sawa,nabarikiwa saana na mafundisho haya japo Sina muda mrefu kukufatilia Nina siku tuu ila nimepata vitu ambavyo sijawahi pata
Natakakua kama huyu baba mungu unipe akili za huyu kiongozi naupamo kama wake ❤
Upako Kama yeye
Smen
Jamani ibada hii ni ya pili au ya kwanza
Neno langu Ili mtumish wa Mungu
Ninawaonea shauku watu mnaoabudu chini ya huyu mtumishi,ninatamani na kuwaonea wivu,laiti ningalikuwa Mwanza
Roho mtakatifu nijaze ndani yangu nibadilike nakuhitaji
Wastahili mwana WA MUNGU ,,Niko hapa Nikumbuke ,nimechoka na haya maisha ,nahitaji Mahisha mapia kwako ,eeeh YESU 😭😭
Amen
Amen and amen
Amina
Ameeen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen and amen
Amen
Amen