I don't know nilichelewa wapi kumfahamu mtumishi wa Mungu huyu but definitely kupitia mafundisho yako naona Mungu anazungunza na Mimi kabisa Praise the Lord no more darkness .🙏🙏🙏.
Hakika sina Cha kumrudishia Mungu Kila nikifikiri aliyonitendea kwenye maisha yangu nabaki nasema ASANTE ASANTE YESU KRISTO hakuna wewe kwenye maisha yangu
Amen ,Mimi nahishi tu kwa NEEMA tu ya Mungu ,kama sio huyu YESU 😭😭 sijui ningelikuwa wapi ,, Glory Glory be to God ,,niniti Nguvu mungu wangu Ili nikutumikie nyakati zino za mwisho ,,natamani moyo wangu uwe na KIU ya NENO lako Eeee MUNGU wangu😭😭
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu,,nakutazama nikiwa Kenya na unabariki moto wangu sana,,,nimejifunza mengi Toka kwako,Nena neno kwa maisha yangu ya wokovu na pia kwa huduma yangu ya uimbaji na kuongoza maombi kanisani,,,ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
From Kenya, listening 🎧 from Arabia.......Who else is feeling the presence of God while listening this man of God Daily ananijenga kwa imani....aki Mungu amubariki🙏🙏🙏🙏🙏
Kwa kweli mafundisho haya ni mazuri juu mimi nilikua ni melala usingizi lakn kuanzia sasa acha nifanyie kazi mafundisho haya mungu akubariki kwa mafundisho mchungaji
Ameen,naliinua jina lako Mungu maana unastahili baba,kama siyo wewe Mungu sijui ningekuwa wapi,asante kwa ajili ya mtumishi wako mlinde na kumpa afya njema,muinue kwa viwango vya juu zaidi Baba
Mungu akubariki mtumishi ,mungu akupe maisha marefu ili akufunulie na mengine utufundishe zaidi ,tunatamani kumwona Mungu kupitia mafundisho yako , naitwa wema mbawala nipo ruvuma wilaya ya Mbinga ,fanya ziara na huku kusini
Nashukuru kwa neema ya mungu amenipa siku ya leo aninunganishe na ushirika wa roho mtakatifu pamoja nanyi kwa jina la yesu krito mkombozi wetu Emen emen 🙏🙏🙏 mungu wa amani akulinde akupiganie kila wakati
Mungu akubariki Sanaa mtumishi was bwana,nabarikiwa Sana na mafundisho yako baba ,Mungu akutunze akupe Tena maono siku Hadi siku,zaidi Mungu aongeze maarifa kwako ili nasi wasikiaji tupate kupona nafsi zetu ,naitwa wema naishi Ruvuma wilaya ya mbinga
Hakika matendo ya Mungu ni makuu sana maishani mwangu,huwa natafakari namna àmenipigaania katika ndoa yangu iliyokuwa na misukosuko mingi na upinzani mkubwa sana ,nilikua ndo kwanza nimeeolewa nikaiona ndoa ngumu sana nikiwa binti ila Mungu amenivusha ktk Hali ya ajabu sana nashindwa niseme nini Kwa Mungu wanguuu👏👏👏👌❤️Jesus ninaemtegemea maishani mwangu ,ninashuhuda nyingi jamani ,IPO nguvu ya ajabu sana ktk kuomba wapendwa!!🖐️🖐️
Hawwa ndio waubiri wa ukweli wazidishiwe kipawa na MUNGU zaidi
Kwa kweli postor una roho ya ukweli ndani yako ,yaani mahubiri yako inabadlisha hali ya maisha, barikiwa sana 🙏
I don't know nilichelewa wapi kumfahamu mtumishi wa Mungu huyu but definitely kupitia mafundisho yako naona Mungu anazungunza na Mimi kabisa Praise the Lord no more darkness .🙏🙏🙏.
Hakika sina Cha kumrudishia Mungu Kila nikifikiri aliyonitendea kwenye maisha yangu nabaki nasema ASANTE ASANTE YESU KRISTO hakuna wewe kwenye maisha yangu
Baba nipe neeema ya kua macho kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏🙏
Uyu ndiye mtumishi awalishi watu mikate iila anawalishe Kila neno linalotoka kinywani mwa Mungu na analifikisha kama lilivyo
Barikiwa sana mtumishi wa mungu ninapenda huduma zako zimenisongesha kiwango chengine
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananijenga mno
Libarikiwe jina la bwana mungu wetu kama sio yeye sijui ningekuwa wapi mungu wetu ni muamnifu amejawa na neema na rehema tele❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amina mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua hakika tunabarikiwa sana kupitia mafundisho yako
Asante ashukuliwe Mungu wa haki kwa fadhili ulizonitendea.
Barikiwa mtumishi wa mungu nimepona kupitia mahubiri haya.hakika wewe ndie
Nimetoka leo Pastor,,Asante Mungu akutunze sana,,17/11/2024🙏
Bwana yesu asifiwe pst George, mafundisho yako yananibariki sana yananiongeza hatuwa moja baada ya nyingine.
Amina baba Mungu kupitia wewe anazidi kuniinua
Utafika mbali sana baba,na mimi napita njia hizi,barikiwa baba🙏🙏nakupenda sana ipo siku tutaonana
Amen ,Mimi nahishi tu kwa NEEMA tu ya Mungu ,kama sio huyu YESU 😭😭 sijui ningelikuwa wapi ,, Glory Glory be to God ,,niniti Nguvu mungu wangu Ili nikutumikie nyakati zino za mwisho ,,natamani moyo wangu uwe na KIU ya NENO lako Eeee MUNGU wangu😭😭
Asante pasta kwa mafundisho mazuri mungu akubariki
Mungu akutunze baba .azidi kukupa nguvu na neema y kutufundisha zaidi ❤
Asante sana MZEE WANGU. Mwenyez MUNGU akutinze
Ameeen❤❤ thanks God for UA-cam watumishi kama hawa tungewapata wapi.
Ahsante yesu
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu,,nakutazama nikiwa Kenya na unabariki moto wangu sana,,,nimejifunza mengi Toka kwako,Nena neno kwa maisha yangu ya wokovu na pia kwa huduma yangu ya uimbaji na kuongoza maombi kanisani,,,ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
From Kenya, listening 🎧 from Arabia.......Who else is feeling the presence of God while listening this man of God Daily ananijenga kwa imani....aki Mungu amubariki🙏🙏🙏🙏🙏
Aki mimi.i wish nilimjua huyu mtumishi kitambo.ananibariki na kubadirisha mawazo yangu ninapomskiza.more grace unto him
Oooh haleluya mungu ni mwema ❤❤❤❤❤ Kama si mungu nisingefika siku ya leo
Mingu qkibariki sana mtumishi mimi naitaji kuwa macho kiroho
Mafuñdizo yako postor kuna Mahali inanielekeza mungu akufunulie zaidi.
ASANTE NIMEONA MKONO WAKO🙏🙏🙏
Asante Yesu ....leo tar 21/11/2024
Leo hii Nimepokea maono kwa jina la yesu🙏
Nabarikiwa sana from bukoba
Kwa kweli mafundisho haya ni mazuri juu mimi nilikua ni melala usingizi lakn kuanzia sasa acha nifanyie kazi mafundisho haya mungu akubariki kwa mafundisho mchungaji
Mungu akubariki mno baba maaana niwengi tunapona kupitia mafundisho yako
POWERFUL AND Amazing preachings from the greatest man of God❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ameen,naliinua jina lako Mungu maana unastahili baba,kama siyo wewe Mungu sijui ningekuwa wapi,asante kwa ajili ya mtumishi wako mlinde na kumpa afya njema,muinue kwa viwango vya juu zaidi Baba
Amen 🙏
Asante pasta nimeamka kuanzia sasa
Ameen BABA MUNGU azidi kukulinda ,,unanibariki sana na mafundisho yako 🙏🙏🙏🥰
Asante Yesu kwa ajili ya Neema ya kumsikia mtumishi wako George,
Jmn hili kanisa wamshukuru Mungu amewapa mtumishi wa kweli. Nawaonea wivu.
Nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi mungu akubariki sana nimekua nikikufatilia sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, Neema ya uzima ikufunike,uishi miaka mingi nimejifunza na kupokea kwa kiwango kikubwa.
Nabarikiwa na
Mahubiri yako Mungu wangu Nipe macho ya rohoni na nisilale usingizi wa mauti Amen
Asante mungu kwa huu ujumbe pastor mungu hakubariki sana
Barikiwa sana
JRC mkumbukwe na Mungu daima asante kwa kuabudu pamoja nasi
Ubarikiwe mchungaji wangu Mimi hapo Pana nihusu Mungu anisaidie lazima nitoke
Amen amen sina cha kukurudishia wewe Jehova🙏🏻🙏🏻
Amena Sana🙌🙌🙌🙌🙌
Amina Sana 🙌🙌🙌🙌🙌
Ujumbe mzuri
SHALOM pastor George mukabwa Mungu akuzidishie mafuta
Kazi ya Mungu haina makosa neno la Mungu ni tamu kabisa
Amen 🙏 🙏 🙏 from kenya you are a blessing to many 🙏people
Same here 🇰🇪🇰🇪 this man of God is sually a God's sent
😭😭😭🙌🙌Mimi hata sijui asingelikuwa huyu Mungu kunitetea kwa mkono wake wa nguvu adui angelinimaliza nasema tena ASANTE YESU 🙏🙏
Amen!!!!Mungu naomba unipe maarifa yakuingia nakutoka. Niwe kichwa naniwe mkuuuuu sanaaaaa
Asante Bwana,naomba uzidi kunifungua kupitia mahubiri haya kupitia mtumishi wako❤❤❤🙏🙏🙏
Mungu akubariki mtumishi ,mungu akupe maisha marefu ili akufunulie na mengine utufundishe zaidi ,tunatamani kumwona Mungu kupitia mafundisho yako , naitwa wema mbawala nipo ruvuma wilaya ya Mbinga ,fanya ziara na huku kusini
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa mafundisho. Nakuelewa sana unachofundisha ni maisha ya Bwana Yesu,. Tunapaswa kumfuata yeye.
Amen nashukuru sana Mtumishi wa Mung ubarikiwe
Mungu akubariki sana mtumishi nimejifunza kitu kipya
Kwakweli mchungaji mungu azidi kukubariki Kila siku unanipa kitu kipya ndani yangu ,
Amen mtumishi wa mungu akubariki sana Ninabarikiwa sana na mafundisho yako.mungu aendelee kukuinua zaidi katika viwango vya juu zaidi 🙏🙏🙏
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍 Amen nimeelewa
Huyu mtumishi ananibariki sana sana. Mungu akuzidishe akupake mafuta mabichi kila iitwapo leo
Nipo south Africa 🇿🇦 toka nianze kumfatilia pastor George nimebadilika saana
Asanteh Mungu Kwa kunilinda kulinda familia asanteh kulinda mtumishi wako pia,
God bless you mafundisho yako iko sawa kbx Niko Saudi Arabia
I love the Sprit of prayer in you man of God
Namshukur Mungu kwa ajili yako Asante Sana nimekuelewa
Baba Mungu mkumbuke mtumishi wako huyu na uzidi mpa,maarifa
Amen mchungaji barikiwa sana🙏🙏
❤amen Mungu anisaidie nishinde roho ya uzito kwanzia leo nimesikia neno la Mungu kupitia mtumishi wake
Ameen mtumishi asante kwa ujumbe huu mtumishi God bless you 🙏
Amen
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia.
Bwana asifiwe pastor,,nabarikiwa sana,, from Kenya ,westpokot county
Nashukuru kwa neema ya mungu amenipa siku ya leo aninunganishe na ushirika wa roho mtakatifu pamoja nanyi kwa jina la yesu krito mkombozi wetu Emen emen 🙏🙏🙏 mungu wa amani akulinde akupiganie kila wakati
Thank you pastor bwana akubariki na ukuogezee neema u
Nabarakiwa namafundisho Yako Bab Mungu azidi kukupa mafuo
Amen! Amen! Amen May God bless you abundantly mtumishi wa Mungu
Am watching from Nairobi, nimebarikiwa zaidi na Mungu akuzidishie uhai ili uendelee kutuelimisha❤❤❤ mafundisho.
Asante mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenizaidia sana,kutoka Kenya.
Mungu akubariki Sanaa mtumishi was bwana,nabarikiwa Sana na mafundisho yako baba ,Mungu akutunze akupe Tena maono siku Hadi siku,zaidi Mungu aongeze maarifa kwako ili nasi wasikiaji tupate kupona nafsi zetu ,naitwa wema naishi Ruvuma wilaya ya mbinga
Aksante sana Mungu kwa ajili ya mtumishi wako past George Mukabwa.
Barikiwa San pastor shunjaa y😊🎉👏👏👏🙏🏽🙏🏽🙏🏽🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽😬😬
Ameen mtumishi nabarikiwa,najifunza
Asante sana mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana,kuna kitu umenibadilisha sana ktk maisha yng,Mungu akukumbuke uendelee kutufungua
Thanks
Mungu huu amoja nawe
Amina pastor .Mungu neema ya Mungu izidi kuwa nawe
Asante mtumishi na barikiwa sana nikisikiliza mahubili
Mungu akubariki mchungaji
Amen amen karibu yesu moyoni mwangu utawale
Amina mtumishi ninaomba Mungu aniponye
Amen,umenibariki mtumishi wa Bwana,ni Rumari Letimba nikiwa Kenya samburu
God bless you always 🙏🙏🙏 pastor powerful message
Mungu akufanyie wepesi mtumishi wa Mungu
Amen. Ninapokea nguvu mpya 🙏
Hakika matendo ya Mungu ni makuu sana maishani mwangu,huwa natafakari namna àmenipigaania katika ndoa yangu iliyokuwa na misukosuko mingi na upinzani mkubwa sana ,nilikua ndo kwanza nimeeolewa nikaiona ndoa ngumu sana nikiwa binti ila Mungu amenivusha ktk Hali ya ajabu sana nashindwa niseme nini Kwa Mungu wanguuu👏👏👏👌❤️Jesus ninaemtegemea maishani mwangu ,ninashuhuda nyingi jamani ,IPO nguvu ya ajabu sana ktk kuomba wapendwa!!🖐️🖐️
Ubarukiwe
Amen!!
Ame
Amina baba ubarikiwe
Amen
Naona nimepona niliulizwa moyo kiasi sitamani huduma Asante
Blessed from Kenya..azidishiwe hyo pastor
Blessed are the sheep under this shepherd pr George
Mtumishi wa mungu nabariwa sana kwa maubiri wako inanijenga kiroho
Very strong message I am blessed and it's an eye opener in my life God bless you so much pastor. From Kenya.
ubarikwe pastor by sammy nakukumbuka sana🙏🏾🙏🏾
Asante pst Kwa mafundisho ya lord Jesus.
Hallelujah God bless you pastor George