KUSHINDA ROHO YA USINGIZI NA UZITO || PASTOR GEORGE MUKABWA
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2024
- #jrcchurch #jrctz #Tanzania
Jesus Restoration Center ni kanisa liliopo Mwanza, Tanzania (Kirumba Polisi Mwisho wa Lami) Likiongozwa na Pastor George Mukabwa.
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Asante Yesu kwa ajili ya Neema ya kumsikia mtumishi wako George,
Nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi mungu akubariki sana nimekua nikikufatilia sana
Hawwa ndio waubiri wa ukweli wazidishiwe kipawa na MUNGU zaidi
Baba nipe neeema ya kua macho kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen mtumishi nabarikiwa,najifunza
Mtumishi wa mungu nabariwa sana kwa maubiri wako inanijenga kiroho
Bwana yesu asifiwe pst George, mafundisho yako yananibariki sana yananiongeza hatuwa moja baada ya nyingine.
Jmn hili kanisa wamshukuru Mungu amewapa mtumishi wa kweli. Nawaonea wivu.
Oooh haleluya mungu ni mwema ❤❤❤❤❤ Kama si mungu nisingefika siku ya leo
Very strong message I am blessed and it's an eye opener in my life God bless you so much pastor. From Kenya.
Thanks pastor George
I don't know nilichelewa wapi kumfahamu mtumishi wa Mungu huyu but definitely kupitia mafundisho yako naona Mungu anazungunza na Mimi kabisa Praise the Lord no more darkness .🙏🙏🙏.
Mungu akubariki mno baba maaana niwengi tunapona kupitia mafundisho yako
Amena❤
Bwana asifiwe pastor,,nabarikiwa sana,, from Kenya ,westpokot county
Amen ,Mimi nahishi tu kwa NEEMA tu ya Mungu ,kama sio huyu YESU 😭😭 sijui ningelikuwa wapi ,, Glory Glory be to God ,,niniti Nguvu mungu wangu Ili nikutumikie nyakati zino za mwisho ,,natamani moyo wangu uwe na KIU ya NENO lako Eeee MUNGU wangu😭😭
Asante pasta kwa mafundisho mazuri mungu akubariki
Baba Mungu mkumbuke mtumishi wako huyu na uzidi mpa,maarifa
Amen Amen sina chakumrudisha Jehova
Amen
Amen 🙏 🙏 🙏 from kenya you are a blessing to many 🙏people
Same here 🇰🇪🇰🇪 this man of God is sually a God's sent
Nipo south Africa 🇿🇦 toka nianze kumfatilia pastor George nimebadilika saana
Your blessed Dad
Ameen,naliinua jina lako Mungu maana unastahili baba,kama siyo wewe Mungu sijui ningekuwa wapi,asante kwa ajili ya mtumishi wako mlinde na kumpa afya njema,muinue kwa viwango vya juu zaidi Baba
Amen 🙏
Asante pasta nimeamka kuanzia sasa
Bwana Yesu asifiwe pastor George Mukubwa, nabarikiwa sana na mafundisho yako. Nipo Dar es salaam. Nitafurahi siku moja nikikutana na wewe, you always speak about my life when you preach. Mungu akubariki sana
Karibu sana
@@ShamahMassoy asante sana
Ubarikiwe pastor mafundisho yako yananijenga sana kiroho.
@@ShamahMassoyMina mc unanibariki sanaaaaaaa 👏
Huwa nabarikiwa nafunguriwa namuona MUNGU KUPITIA kipidi hiki siku nikikuona nitafurahi sana
Amen. Ninapokea nguvu mpya 🙏
Utafika mbali sana baba,na mimi napita njia hizi,barikiwa baba🙏🙏nakupenda sana ipo siku tutaonana
SHALOM pastor George mukabwa Mungu akuzidishie mafuta
Amen and amen thank yesu
POWERFUL AND Amazing preachings from the greatest man of God❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hallelujah Hallelujah Amen
From Kenya, listening 🎧 from Arabia.......Who else is feeling the presence of God while listening this man of God Daily ananijenga kwa imani....aki Mungu amubariki🙏🙏🙏🙏🙏
Aki mimi.i wish nilimjua huyu mtumishi kitambo.ananibariki na kubadirisha mawazo yangu ninapomskiza.more grace unto him
Mafundisho ni mazuri sana Barikiwa
Amen mtumishi wa mungu akubariki sana Ninabarikiwa sana na mafundisho yako.mungu aendelee kukuinua zaidi katika viwango vya juu zaidi 🙏🙏🙏
Ooooh thank you Jesus for this far
Hakika Ni Mungu tu, Amen.
Anayekufuatilia atapokea kitu kutoka bwana
Thank you pastor bwana akubariki na ukuogezee neema u
Amen! Amen! Amen May God bless you abundantly mtumishi wa Mungu
Hallelujah God bless you pastor George
Roho wa Mungu nisaidie
Ameen
Nashukuru kwa neema ya mungu amenipa siku ya leo aninunganishe na ushirika wa roho mtakatifu pamoja nanyi kwa jina la yesu krito mkombozi wetu Emen emen 🙏🙏🙏 mungu wa amani akulinde akupiganie kila wakati
Hakika matendo ya Mungu ni makuu sana maishani mwangu,huwa natafakari namna àmenipigaania katika ndoa yangu iliyokuwa na misukosuko mingi na upinzani mkubwa sana ,nilikua ndo kwanza nimeeolewa nikaiona ndoa ngumu sana nikiwa binti ila Mungu amenivusha ktk Hali ya ajabu sana nashindwa niseme nini Kwa Mungu wanguuu👏👏👏👌❤️Jesus ninaemtegemea maishani mwangu ,ninashuhuda nyingi jamani ,IPO nguvu ya ajabu sana ktk kuomba wapendwa!!🖐️🖐️
Ubarukiwe
Amen!!
Ame
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu,,nakutazama nikiwa Kenya na unabariki moto wangu sana,,,nimejifunza mengi Toka kwako,Nena neno kwa maisha yangu ya wokovu na pia kwa huduma yangu ya uimbaji na kuongoza maombi kanisani,,,ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
JRC mkumbukwe na Mungu daima asante kwa kuabudu pamoja nasi
Ubarikiwe mchungaji wangu Mimi hapo Pana nihusu Mungu anisaidie lazima nitoke
If you dont know where you ar going, everywhere you look like. God bless u pastor.
Pastor George, Nabarikiwa na mafunfisho yako Sana, kupitia mafundisho yako Kuna mahali nimetoka Mungu akubariki Sana, np Arusha
Asante Bwana,naomba uzidi kunifungua kupitia mahubiri haya kupitia mtumishi wako❤❤❤🙏🙏🙏
Ameen BABA MUNGU azidi kukulinda ,,unanibariki sana na mafundisho yako 🙏🙏🙏🥰
Pastor mungu akubariki 🙏 unanibariki na mafundisho yako ,,umenipa sababu ya kukuskiza Kila wakati nikiingia mtandaoni,,hakika umebadilisha mawazo yangu kwa mafunzo yako ,,ombi langu siku Moja nikutane na wewe
Blessed are the sheep under this shepherd pr George
Thank you son of the Most High GOD
Am from Kenya you bless me alot May our almighty give you strength for his work
Amen, ubarikiwe sana Pastor, kila unapo fundisha naona mwanga, Mungu akutunze mtumishi wa Bwana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu... Nashkuru Mungu umenitoa mahali.. Amen
Amen amen sina cha kukurudishia wewe Jehova🙏🏻🙏🏻
MUNGU akutunze kwa umri mrefu uendelee kua Baraka kwa wengi we love you so much
😭😭😭🙌🙌Mimi hata sijui asingelikuwa huyu Mungu kunitetea kwa mkono wake wa nguvu adui angelinimaliza nasema tena ASANTE YESU 🙏🙏
Amen amen 🙏🙏
Amina mtumishi ninaomba Mungu aniponye
Asanteh Mungu Kwa kunilinda kulinda familia asanteh kulinda mtumishi wako pia,
Kwa kweli mafundisho haya ni mazuri juu mimi nilikua ni melala usingizi lakn kuanzia sasa acha nifanyie kazi mafundisho haya mungu akubariki kwa mafundisho mchungaji
I need to be controlled spiritually by you oh lord
Amen and Amen and Amen and thanks to Jesus
Nabarikiwa na
Mahubiri yako Mungu wangu Nipe macho ya rohoni na nisilale usingizi wa mauti Amen
BARIKIWA MTUMISHI KWA MAFUNDISHO..AMEN AMEN 🙏
Aksante sana Mungu kwa ajili ya mtumishi wako past George Mukabwa.
Amen amen amen 🙏💖
Nabarikiwa sana🇰🇪🇰🇪
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa mafundisho. Nakuelewa sana unachofundisha ni maisha ya Bwana Yesu,. Tunapaswa kumfuata yeye.
Amen nashukuru sana Mtumishi wa Mung ubarikiwe
Ameen Asante Mungu nimebarikiwa
I love the Sprit of prayer in you man of God
Blessed from Kenya..azidishiwe hyo pastor
Asante sana mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana,kuna kitu umenibadilisha sana ktk maisha yng,Mungu akukumbuke uendelee kutufungua
❤amen Mungu anisaidie nishinde roho ya uzito kwanzia leo nimesikia neno la Mungu kupitia mtumishi wake
Mungu akubariki Sanaa mtumishi was bwana,nabarikiwa Sana na mafundisho yako baba ,Mungu akutunze akupe Tena maono siku Hadi siku,zaidi Mungu aongeze maarifa kwako ili nasi wasikiaji tupate kupona nafsi zetu ,naitwa wema naishi Ruvuma wilaya ya mbinga
Nabalikiwa sana na huduma zako
Amen Amen Amen
Halleluya Halleluya Halleluya Halleluya Amen Amen Amen Ameen unanifungua akili yangu Mtumishi wa mungu barikiwa sana, mungu akulinde uzidi kufungua vizazi vilivo potea babayetu wakihoro 🙏 🙏 🙏
Mafuñdizo yako postor kuna Mahali inanielekeza mungu akufunulie zaidi.
Libarikiwe jina la bwana mungu wetu kama sio yeye sijui ningekuwa wapi mungu wetu ni muamnifu amejawa na neema na rehema tele❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana. Ni abarikiwe sana na mafundisho yako.. Na Kufatilia kila siku. Hakikat unazidi kuninenga kiroho
Pastor you are a great blessing to me,I love your teaching..am from Nakuru county in Kenya
Ameeen❤❤ thanks God for UA-cam watumishi kama hawa tungewapata wapi.
Aminaa Mungu ninasema Asante Mungu mwaminifu maana nimeona mkono wako mkuu maana umenipe kibali tena mwezi moja pokea sifa na utukufu maana unasitaili Baba mtakatifu maana mim kwa akili yang nilipanga safari ukaniambia bado mda mwanangu Mungu Asante maana nakuona kila saa kwangu Mungu pia namwombea mfunike kwa Dam ya Yesu kiristo mtunze mlinde Mubarak san Amina 🙏🙏 🙏
48:08
Mungu akubariki mtumishi ,mungu akupe maisha marefu ili akufunulie na mengine utufundishe zaidi ,tunatamani kumwona Mungu kupitia mafundisho yako , naitwa wema mbawala nipo ruvuma wilaya ya Mbinga ,fanya ziara na huku kusini
Amina pastor .Mungu neema ya Mungu izidi kuwa nawe
Asante mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenizaidia sana,kutoka Kenya.
Amena Sana🙌🙌🙌🙌🙌
Amina Sana 🙌🙌🙌🙌🙌
Namshukur Mungu kwa ajili yako Asante Sana nimekuelewa
Amen 🇰🇪🇰🇪
Mungu Nina Ku rudishiya utukufu wako mwenyewe una stahili.
Mubariki paya mtumishi wako Pastor Gorge apekuwa baraka sana iwangu
😊😊😊😮
Ubarkiwe mtumish wa Mungu Kwa maarifa haya
Amina mtumishi hakika namshuru Mungu kwaajili yako, kunakitu nimepata kupitia mafundisho haya
That worship song really tarching
Asante mtumishi ubarikiwe
Ameen mtumishi asante kwa ujumbe huu mtumishi God bless you 🙏
Amen
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia.
Kwa kweli masomo yako yananibariki sana. Nami leo nakemea roho ya using ili na uzito ndani yangu kwa jina la Yesu.
Mungu akufanyie wepesi mtumishi wa Mungu
Hallelujah gory to God ❤❤❤
Amen amen karibu yesu moyoni mwangu utawale