KUSHINDA ROHO YA USINGIZI NA UZITO || PASTOR GEORGE MUKABWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 303

  • @Verrehverro
    @Verrehverro Рік тому +22

    Hawwa ndio waubiri wa ukweli wazidishiwe kipawa na MUNGU zaidi

  • @josephinemumia2907
    @josephinemumia2907 2 місяці тому +3

    Kwa kweli postor una roho ya ukweli ndani yako ,yaani mahubiri yako inabadlisha hali ya maisha, barikiwa sana 🙏

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 5 місяців тому +7

    I don't know nilichelewa wapi kumfahamu mtumishi wa Mungu huyu but definitely kupitia mafundisho yako naona Mungu anazungunza na Mimi kabisa Praise the Lord no more darkness .🙏🙏🙏.

  • @WinnieSanga-t4p
    @WinnieSanga-t4p 2 місяці тому +4

    Hakika sina Cha kumrudishia Mungu Kila nikifikiri aliyonitendea kwenye maisha yangu nabaki nasema ASANTE ASANTE YESU KRISTO hakuna wewe kwenye maisha yangu

  • @MariamKazungu
    @MariamKazungu Рік тому +6

    Baba nipe neeema ya kua macho kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @WinnieSanga-t4p
    @WinnieSanga-t4p 2 місяці тому +4

    Uyu ndiye mtumishi awalishi watu mikate iila anawalishe Kila neno linalotoka kinywani mwa Mungu na analifikisha kama lilivyo

  • @EuniceKadzo-c8q
    @EuniceKadzo-c8q 13 днів тому

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu ninapenda huduma zako zimenisongesha kiwango chengine

  • @fellisterjoel5592
    @fellisterjoel5592 3 дні тому

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananijenga mno

  • @LuciaVenance-nd2kd
    @LuciaVenance-nd2kd Рік тому +4

    Libarikiwe jina la bwana mungu wetu kama sio yeye sijui ningekuwa wapi mungu wetu ni muamnifu amejawa na neema na rehema tele❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @godfreyshubila9669
    @godfreyshubila9669 18 днів тому

    Amina mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua hakika tunabarikiwa sana kupitia mafundisho yako

  • @NicostratyNgoloma
    @NicostratyNgoloma Місяць тому

    Asante ashukuliwe Mungu wa haki kwa fadhili ulizonitendea.

  • @EvelineKisese
    @EvelineKisese Місяць тому

    Barikiwa mtumishi wa mungu nimepona kupitia mahubiri haya.hakika wewe ndie

  • @winifridazabroni2101
    @winifridazabroni2101 2 місяці тому +3

    Nimetoka leo Pastor,,Asante Mungu akutunze sana,,17/11/2024🙏

  • @RizikiRiziki-qb4iz
    @RizikiRiziki-qb4iz 8 місяців тому +8

    Bwana yesu asifiwe pst George, mafundisho yako yananibariki sana yananiongeza hatuwa moja baada ya nyingine.

  • @NeemaJay-s1q
    @NeemaJay-s1q 25 секунд тому

    Amina baba Mungu kupitia wewe anazidi kuniinua

  • @PastaBahariaWilliam-vi1jo
    @PastaBahariaWilliam-vi1jo 10 місяців тому +3

    Utafika mbali sana baba,na mimi napita njia hizi,barikiwa baba🙏🙏nakupenda sana ipo siku tutaonana

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Рік тому +26

    Amen ,Mimi nahishi tu kwa NEEMA tu ya Mungu ,kama sio huyu YESU 😭😭 sijui ningelikuwa wapi ,, Glory Glory be to God ,,niniti Nguvu mungu wangu Ili nikutumikie nyakati zino za mwisho ,,natamani moyo wangu uwe na KIU ya NENO lako Eeee MUNGU wangu😭😭

    • @brysonkaaya5151
      @brysonkaaya5151 Рік тому +1

      Asante pasta kwa mafundisho mazuri mungu akubariki

  • @ScholastikaMasawe
    @ScholastikaMasawe 3 місяці тому +2

    Mungu akutunze baba .azidi kukupa nguvu na neema y kutufundisha zaidi ❤

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz470 2 місяці тому +1

    Asante sana MZEE WANGU. Mwenyez MUNGU akutinze

  • @rimahsteve3738
    @rimahsteve3738 Рік тому +8

    Ameeen❤❤ thanks God for UA-cam watumishi kama hawa tungewapata wapi.

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz470 2 місяці тому +2

    Ahsante yesu

  • @kezziahbenson58
    @kezziahbenson58 10 місяців тому

    Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu,,nakutazama nikiwa Kenya na unabariki moto wangu sana,,,nimejifunza mengi Toka kwako,Nena neno kwa maisha yangu ya wokovu na pia kwa huduma yangu ya uimbaji na kuongoza maombi kanisani,,,ubarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @MercylineAoko
    @MercylineAoko 7 місяців тому +1

    From Kenya, listening 🎧 from Arabia.......Who else is feeling the presence of God while listening this man of God Daily ananijenga kwa imani....aki Mungu amubariki🙏🙏🙏🙏🙏

    • @marywambeti6369
      @marywambeti6369 4 місяці тому

      Aki mimi.i wish nilimjua huyu mtumishi kitambo.ananibariki na kubadirisha mawazo yangu ninapomskiza.more grace unto him

  • @SarahHaonga-rr9ln
    @SarahHaonga-rr9ln 9 місяців тому +2

    Oooh haleluya mungu ni mwema ❤❤❤❤❤ Kama si mungu nisingefika siku ya leo

  • @NeemaSimion-x4z
    @NeemaSimion-x4z Місяць тому

    Mingu qkibariki sana mtumishi mimi naitaji kuwa macho kiroho

  • @Jessica-qz1qw
    @Jessica-qz1qw 10 місяців тому +2

    Mafuñdizo yako postor kuna Mahali inanielekeza mungu akufunulie zaidi.

  • @loicesalano931
    @loicesalano931 Місяць тому

    ASANTE NIMEONA MKONO WAKO🙏🙏🙏

  • @KhadijaMvungi
    @KhadijaMvungi 2 місяці тому

    Asante Yesu ....leo tar 21/11/2024

  • @Elvinmaria56
    @Elvinmaria56 3 місяці тому

    Leo hii Nimepokea maono kwa jina la yesu🙏

  • @beatricemukulas8705
    @beatricemukulas8705 2 місяці тому

    Nabarikiwa sana from bukoba

  • @Patience763
    @Patience763 Рік тому +3

    Kwa kweli mafundisho haya ni mazuri juu mimi nilikua ni melala usingizi lakn kuanzia sasa acha nifanyie kazi mafundisho haya mungu akubariki kwa mafundisho mchungaji

  • @VictorSanga-qx7rw
    @VictorSanga-qx7rw 8 місяців тому +4

    Mungu akubariki mno baba maaana niwengi tunapona kupitia mafundisho yako

  • @kmtcuniversity9310
    @kmtcuniversity9310 10 місяців тому

    POWERFUL AND Amazing preachings from the greatest man of God❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @maggytonga8410
    @maggytonga8410 Рік тому +9

    Ameen,naliinua jina lako Mungu maana unastahili baba,kama siyo wewe Mungu sijui ningekuwa wapi,asante kwa ajili ya mtumishi wako mlinde na kumpa afya njema,muinue kwa viwango vya juu zaidi Baba

  • @PriscillaMroso
    @PriscillaMroso 10 місяців тому

    Ameen BABA MUNGU azidi kukulinda ,,unanibariki sana na mafundisho yako 🙏🙏🙏🥰

  • @dorcastumaini2224
    @dorcastumaini2224 4 місяці тому

    Asante Yesu kwa ajili ya Neema ya kumsikia mtumishi wako George,

  • @SiaRichati
    @SiaRichati 8 місяців тому +4

    Jmn hili kanisa wamshukuru Mungu amewapa mtumishi wa kweli. Nawaonea wivu.

  • @MariaLulenje-z4x
    @MariaLulenje-z4x 4 місяці тому +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi mungu akubariki sana nimekua nikikufatilia sana

  • @estermulungu3833
    @estermulungu3833 3 місяці тому +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, Neema ya uzima ikufunike,uishi miaka mingi nimejifunza na kupokea kwa kiwango kikubwa.

  • @cafrensartho
    @cafrensartho 10 місяців тому

    Nabarikiwa na
    Mahubiri yako Mungu wangu Nipe macho ya rohoni na nisilale usingizi wa mauti Amen

  • @JoyceMakau-ow7pl
    @JoyceMakau-ow7pl 2 місяці тому

    Asante mungu kwa huu ujumbe pastor mungu hakubariki sana

  • @ConsolathaTetty
    @ConsolathaTetty 29 днів тому

    Barikiwa sana

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Рік тому +2

    JRC mkumbukwe na Mungu daima asante kwa kuabudu pamoja nasi

    • @ElizabethAron-n3s
      @ElizabethAron-n3s Рік тому

      Ubarikiwe mchungaji wangu Mimi hapo Pana nihusu Mungu anisaidie lazima nitoke

  • @DevothaMbwama
    @DevothaMbwama 10 місяців тому

    Amen amen sina cha kukurudishia wewe Jehova🙏🏻🙏🏻

  • @stellanyato3644
    @stellanyato3644 Рік тому

    Amena Sana🙌🙌🙌🙌🙌

  • @JONASNGHOKA
    @JONASNGHOKA Рік тому +1

    Ujumbe mzuri

  • @everkivuyo8596
    @everkivuyo8596 Рік тому +3

    SHALOM pastor George mukabwa Mungu akuzidishie mafuta

  • @JeremieKasereka-b9q
    @JeremieKasereka-b9q 28 днів тому

    Kazi ya Mungu haina makosa neno la Mungu ni tamu kabisa

  • @Lucyiminza
    @Lucyiminza 8 місяців тому +2

    Amen 🙏 🙏 🙏 from kenya you are a blessing to many 🙏people

    • @LUCYANYONA-t9u
      @LUCYANYONA-t9u 7 місяців тому

      Same here 🇰🇪🇰🇪 this man of God is sually a God's sent

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Рік тому +11

    😭😭😭🙌🙌Mimi hata sijui asingelikuwa huyu Mungu kunitetea kwa mkono wake wa nguvu adui angelinimaliza nasema tena ASANTE YESU 🙏🙏

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Рік тому

    Amen!!!!Mungu naomba unipe maarifa yakuingia nakutoka. Niwe kichwa naniwe mkuuuuu sanaaaaa

  • @victoriasezi2469
    @victoriasezi2469 Рік тому +1

    Asante Bwana,naomba uzidi kunifungua kupitia mahubiri haya kupitia mtumishi wako❤❤❤🙏🙏🙏

  • @PatrickKiondo-t9o
    @PatrickKiondo-t9o Рік тому

    Mungu akubariki mtumishi ,mungu akupe maisha marefu ili akufunulie na mengine utufundishe zaidi ,tunatamani kumwona Mungu kupitia mafundisho yako , naitwa wema mbawala nipo ruvuma wilaya ya Mbinga ,fanya ziara na huku kusini

  • @genevievesunday
    @genevievesunday Рік тому +1

    Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa mafundisho. Nakuelewa sana unachofundisha ni maisha ya Bwana Yesu,. Tunapaswa kumfuata yeye.

    • @Zamdaswahibu
      @Zamdaswahibu 8 місяців тому

      Amen nashukuru sana Mtumishi wa Mung ubarikiwe

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt 10 місяців тому

    Mungu akubariki sana mtumishi nimejifunza kitu kipya

  • @EliadaMtifu-f9h
    @EliadaMtifu-f9h 3 місяці тому

    Kwakweli mchungaji mungu azidi kukubariki Kila siku unanipa kitu kipya ndani yangu ,

  • @NicksonWiliam
    @NicksonWiliam Рік тому +3

    Amen mtumishi wa mungu akubariki sana Ninabarikiwa sana na mafundisho yako.mungu aendelee kukuinua zaidi katika viwango vya juu zaidi 🙏🙏🙏

  • @JONASNGHOKA
    @JONASNGHOKA Рік тому

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍 Amen nimeelewa

  • @edjenmakwai2310
    @edjenmakwai2310 3 місяці тому

    Huyu mtumishi ananibariki sana sana. Mungu akuzidishe akupake mafuta mabichi kila iitwapo leo

  • @Ambwene
    @Ambwene 8 місяців тому +3

    Nipo south Africa 🇿🇦 toka nianze kumfatilia pastor George nimebadilika saana

  • @PaulNjiku
    @PaulNjiku Рік тому

    Asanteh Mungu Kwa kunilinda kulinda familia asanteh kulinda mtumishi wako pia,

  • @UserUsed-p2r
    @UserUsed-p2r 3 місяці тому

    God bless you mafundisho yako iko sawa kbx Niko Saudi Arabia

  • @ulderonyango
    @ulderonyango 10 місяців тому

    I love the Sprit of prayer in you man of God

  • @edinamachumu2227
    @edinamachumu2227 Рік тому

    Namshukur Mungu kwa ajili yako Asante Sana nimekuelewa

  • @IssaKoloba
    @IssaKoloba 6 місяців тому +1

    Baba Mungu mkumbuke mtumishi wako huyu na uzidi mpa,maarifa

  • @MaryNasieku-if7qn
    @MaryNasieku-if7qn 3 місяці тому

    Amen mchungaji barikiwa sana🙏🙏

  • @leocardiamafwere6003
    @leocardiamafwere6003 11 місяців тому

    ❤amen Mungu anisaidie nishinde roho ya uzito kwanzia leo nimesikia neno la Mungu kupitia mtumishi wake

  • @josephwawuda3204
    @josephwawuda3204 Рік тому +1

    Ameen mtumishi asante kwa ujumbe huu mtumishi God bless you 🙏

    • @JONASNGHOKA
      @JONASNGHOKA Рік тому +1

      Amen

    • @elizanyarusi6154
      @elizanyarusi6154 Рік тому +1

      Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia.

  • @everlynecheposera
    @everlynecheposera 8 місяців тому +3

    Bwana asifiwe pastor,,nabarikiwa sana,, from Kenya ,westpokot county

  • @HendricaAjiambo
    @HendricaAjiambo 7 місяців тому

    Nashukuru kwa neema ya mungu amenipa siku ya leo aninunganishe na ushirika wa roho mtakatifu pamoja nanyi kwa jina la yesu krito mkombozi wetu Emen emen 🙏🙏🙏 mungu wa amani akulinde akupiganie kila wakati

  • @JaneKamene-p6r
    @JaneKamene-p6r 5 місяців тому

    Thank you pastor bwana akubariki na ukuogezee neema u

  • @IreneBeda-q9x
    @IreneBeda-q9x 3 місяці тому

    Nabarakiwa namafundisho Yako Bab Mungu azidi kukupa mafuo

  • @fayjeff3651
    @fayjeff3651 9 місяців тому

    Amen! Amen! Amen May God bless you abundantly mtumishi wa Mungu

  • @JescarOchieng
    @JescarOchieng 11 місяців тому

    Am watching from Nairobi, nimebarikiwa zaidi na Mungu akuzidishie uhai ili uendelee kutuelimisha❤❤❤ mafundisho.

  • @chacharehema
    @chacharehema Рік тому

    Asante mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenizaidia sana,kutoka Kenya.

  • @WemaKiondo
    @WemaKiondo Рік тому

    Mungu akubariki Sanaa mtumishi was bwana,nabarikiwa Sana na mafundisho yako baba ,Mungu akutunze akupe Tena maono siku Hadi siku,zaidi Mungu aongeze maarifa kwako ili nasi wasikiaji tupate kupona nafsi zetu ,naitwa wema naishi Ruvuma wilaya ya mbinga

  • @ElizabethKazimil-rv8zz
    @ElizabethKazimil-rv8zz Рік тому

    Aksante sana Mungu kwa ajili ya mtumishi wako past George Mukabwa.

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 10 місяців тому

    Barikiwa San pastor shunjaa y😊🎉👏👏👏🙏🏽🙏🏽🙏🏽🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽😬😬

  • @RitaLameck
    @RitaLameck 4 місяці тому

    Ameen mtumishi nabarikiwa,najifunza

  • @TullyMwakibete-xt5xm
    @TullyMwakibete-xt5xm 8 місяців тому

    Asante sana mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana,kuna kitu umenibadilisha sana ktk maisha yng,Mungu akukumbuke uendelee kutufungua

  • @StephenWennwa
    @StephenWennwa 28 днів тому

    Thanks

  • @JONASNGHOKA
    @JONASNGHOKA Рік тому

    Mungu huu amoja nawe

  • @MoshaRobertKe
    @MoshaRobertKe Рік тому

    Amina pastor .Mungu neema ya Mungu izidi kuwa nawe

  • @MarthaPaul-j9c
    @MarthaPaul-j9c Рік тому

    Asante mtumishi na barikiwa sana nikisikiliza mahubili

  • @Hawi800
    @Hawi800 10 місяців тому

    Mungu akubariki mchungaji

  • @Mwx-zd4ov
    @Mwx-zd4ov 11 місяців тому

    Amen amen karibu yesu moyoni mwangu utawale

  • @stellahmwansimba603
    @stellahmwansimba603 7 місяців тому

    Amina mtumishi ninaomba Mungu aniponye

  • @rumariletimba7585
    @rumariletimba7585 Рік тому

    Amen,umenibariki mtumishi wa Bwana,ni Rumari Letimba nikiwa Kenya samburu

  • @IreeneMuthoni-g2p
    @IreeneMuthoni-g2p 11 місяців тому

    God bless you always 🙏🙏🙏 pastor powerful message

  • @JONASNGHOKA
    @JONASNGHOKA Рік тому

    Mungu akufanyie wepesi mtumishi wa Mungu

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Рік тому +3

    Amen. Ninapokea nguvu mpya 🙏

  • @joycelanda8987
    @joycelanda8987 Рік тому +3

    Hakika matendo ya Mungu ni makuu sana maishani mwangu,huwa natafakari namna àmenipigaania katika ndoa yangu iliyokuwa na misukosuko mingi na upinzani mkubwa sana ,nilikua ndo kwanza nimeeolewa nikaiona ndoa ngumu sana nikiwa binti ila Mungu amenivusha ktk Hali ya ajabu sana nashindwa niseme nini Kwa Mungu wanguuu👏👏👏👌❤️Jesus ninaemtegemea maishani mwangu ,ninashuhuda nyingi jamani ,IPO nguvu ya ajabu sana ktk kuomba wapendwa!!🖐️🖐️

  • @RuthMsuya-e1q
    @RuthMsuya-e1q Рік тому

    Naona nimepona niliulizwa moyo kiasi sitamani huduma Asante

  • @Eliudpiri
    @Eliudpiri 7 місяців тому

    Blessed from Kenya..azidishiwe hyo pastor

  • @WeddyKathambi-b6g
    @WeddyKathambi-b6g 10 місяців тому

    Blessed are the sheep under this shepherd pr George

  • @PriscillaTanui
    @PriscillaTanui 4 місяці тому

    Mtumishi wa mungu nabariwa sana kwa maubiri wako inanijenga kiroho

  • @lucykamau9463
    @lucykamau9463 4 місяці тому

    Very strong message I am blessed and it's an eye opener in my life God bless you so much pastor. From Kenya.

  • @Mwanza123-e6u
    @Mwanza123-e6u Рік тому +1

    ubarikwe pastor by sammy nakukumbuka sana🙏🏾🙏🏾

  • @MichaelBarasa-i8j
    @MichaelBarasa-i8j Рік тому

    Asante pst Kwa mafundisho ya lord Jesus.

  • @wilfredluhwago9246
    @wilfredluhwago9246 6 місяців тому

    Hallelujah God bless you pastor George