JINSI YA KUOMBA MKOPO WA ELIMU KWA NGAZI YA DIPLOMA 2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Katika video hii ,nimeonyesha ni kwa jinsi gani unaweza kuomba mkopo wa elimu vyuo vya kati yaani diploma hatua kwa hatua kupitia mfumo wa OLAMS.
    Usisahau ku like,share video hii ili wengine wajifunze
    Kama unaswali uliza kwenye comments

КОМЕНТАРІ • 64

  • @yonamuhazi
    @yonamuhazi 5 місяців тому +1

    ahsante kwa ushirikiano wako

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 10 місяців тому +1

    Kama ndo kwanza unaenda mara yako ya kwanza diploma na katika post form four education unafanyaje na wala haujapita certificate

  • @jackson_vevo
    @jackson_vevo Рік тому +2

    Good Work

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Рік тому

      Thanks

    • @LiberatusLinus
      @LiberatusLinus Рік тому

      Me niliiomba mkopo diploma awamu yakwanza ilikuja your application is already please for next stage

  • @lilyansinienga826
    @lilyansinienga826 Рік тому +3

    kama ndo ni mwnaafunzi anaeanza DIPLOMA ONE nitattikiwa kubonyezaa FIRST YEAR STUDENT??

  • @danielmgeni5524
    @danielmgeni5524 Рік тому +1

    hapo education after form four inakuaje maana inaonesha ni kama wew unaomba lacal UD, na hata hapo kwako umeonesha ivo appl category as LUD, ila sasa education after form four inakuaje

  • @emmanuelbenjamin4656
    @emmanuelbenjamin4656 Рік тому +2

    Naomba msaada kwenye kipengele cha Education kwa mwanafunzi anayesoma Diploma mwaka wa tatu nikiweka post form four level inanidai hadi VAN na GPA lakn nikiweka Certificate inakubali ila nikipreview haionesha level of education after form four.. please nisaidie

  • @PrettyEMMY..
    @PrettyEMMY.. Місяць тому

    Asante asee🎉🎉🎉

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 11 місяців тому +1

    Kwa mfano haujasajili laini kwa kitambulisho chako namaanishia hauna kitambulisho unafanyaje? Utatia yeyote au vp?

  • @emmanuelbenjamin4656
    @emmanuelbenjamin4656 13 днів тому

    Video ya mwaka huu boss

  • @LiberatusLinus
    @LiberatusLinus Рік тому

    Me niliiomba mkopo diploma awamu yakwanza sijapata inakuja your application is already please for next stage mbna atupewi taarifa

  • @AminaIssa244
    @AminaIssa244 Рік тому

    Kwenye taarifa za kifo nimaja taarifa (tanzania bara na Vrification code ya death certificate) lakini nikicorfirm iaanakuwa faint kimaliza inaniambia death certificate are missing nashindwa kuelewa

  • @scholasticajames3458
    @scholasticajames3458 Рік тому

    Nimejaza kote na kuattach baada ya kusign lakin nikibonyeza submit haionesh kama zimefika

  • @trio_ceven9366
    @trio_ceven9366 Рік тому

    Vp hali bro .....naeza kupata muelekezo wa jinsi ya kuapply for diploma loan kama mtu ni non- necta student

  • @BernardKimila-bz3mt
    @BernardKimila-bz3mt Рік тому

    Jina langu kwenye cheti cha kuzaliwa limetofautiana herufi moja na vyeti vingine vya shule, vipi issue kama hii itakuwa na shida kwenye application yangu?

  • @LiberatusLinus
    @LiberatusLinus Рік тому

    Me niliiomba mkopo diploma awamu yakwanza ilikuja your application is already verification please for next stage

  • @AdorofinaBenjamin
    @AdorofinaBenjamin 4 місяці тому

    Ukimaliza tyu form four nakwenda chuo unaweza kupewa mkopo

  • @nardyrobert600
    @nardyrobert600 6 місяців тому +1

    Kwa anaye ingia mwaka wa kwanza kwahiyo mpaka awe ameshaconfirme chuo ndo afanye maombi ....?

  • @Johnybendera-ql7ui
    @Johnybendera-ql7ui Рік тому

    Kwani maombi ya mkopo Bado yanaendelea au mwisho lini?

  • @finmedia6625
    @finmedia6625 5 місяців тому

    Me taarifa nyingine zinakubali ila kweny kuingiza taarifa za bank pale mwanzon nikiingiza niki search account details inaniandikia "THE REQUEST TO THE REMOTE FPS TIMED OUT, PLEASE TRY AGAIN LATER"

  • @ShafiiIdd-m7d
    @ShafiiIdd-m7d 6 місяців тому

    Kwa wa mwaka wa kwanza je anaweza kupata ?

  • @HafsaHaroun-o9s
    @HafsaHaroun-o9s Рік тому

    Nimeapply kwa iyo link ya apply for diploma ila mwanzo system kwenye category zilikuwa znatokea za degree nkachagua zng Local undergraduates

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Рік тому

      local undergraduate ni degree

    • @HafsaHaroun-o9s
      @HafsaHaroun-o9s Рік тому

      Ndio ila ata iyooo fomu ulotolea maelekezo apooo
      Application category imekaaa local undergraduate
      Ila uku mwanzo kwenye kuchagua category ulichagua diploma loan
      Apooo sjaelewa why

    • @RamsoBoy-w8p
      @RamsoBoy-w8p Рік тому

      Sas tufanyeje

    • @RamsoBoy-w8p
      @RamsoBoy-w8p Рік тому

      Kwahiloo tatizo la LUG

  • @emmanuelbenjamin4656
    @emmanuelbenjamin4656 13 днів тому

    Mfumo wa zamani uliachwa

  • @asikiamangaza-zw8ls
    @asikiamangaza-zw8ls 7 місяців тому

    kama hujaenda popote baada ya form 4 nitajaza nn kwenye form 4 post education

  • @AzzahMussa
    @AzzahMussa 7 місяців тому

    Vp kwny kuomba mkopo wanaangalia result na vp wenye dvsn 4 wanapat??

  • @melckizedeckimmari-er1dy
    @melckizedeckimmari-er1dy Рік тому

    Napataje no birth certificate kk

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk 6 місяців тому

    Jee jinsi ya kupiga picha ya 120px x150px na 1MB

  • @ngosha_mtakatifu_og
    @ngosha_mtakatifu_og 6 місяців тому

    baada ya kukamilisha form nazipeleka posta au

  • @SamwelMahajile-uy7kj
    @SamwelMahajile-uy7kj 7 місяців тому

    Ivi kama nimelipia nikiwa na apply mkopo alafu sijamaliza nikitoka nalipia tena au inakuaje

  • @melckizedeckimmari-er1dy
    @melckizedeckimmari-er1dy Рік тому

    Nisaidie kupata verification no ya birth certificate maana ata sielewi

  • @snowking202
    @snowking202 Рік тому

    Apo kwenye mdhamini cjapaelewa.... kama hauna mdhamini inakuaje???

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Рік тому +1

      kuna option tatu za mdhamini
      1.Baba
      2.Mama
      3.Mlezi ( Anaweza akawa kaka,dada,baba mdogo,shangazi au ndugu yeyote wa karibu)
      Sasa sijaelewa unakosaje mdhamini?

    • @jackson_vevo
      @jackson_vevo Рік тому

      Huwezi kosa kabisa mdhamini lazima uwe nae

  • @MahmudOmar-f3x
    @MahmudOmar-f3x 7 місяців тому

    Vp broo mi nd ntaka nianze mwaka uu Yan mwez wa 9 apo vp nawez kupat mkopo

  • @lilyansinienga826
    @lilyansinienga826 Рік тому

    Yaniii nimetokaaa certificatee naingiaa diplomaaa 1 kwaio ntakiww kujazaa mwanafunzi anayeendelea na masomi

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Рік тому

      baada ya form four unaandika umeenda certificate hyo option ipo haoo..usijali

    • @lilyansinienga826
      @lilyansinienga826 Рік тому

      @@jackthedev21 Inakubali ila kwenye details ukimliza kila kitu inakuandikia baada ya form four umeenda form six apo ndo intuchangnya

    • @lilyansinienga826
      @lilyansinienga826 Рік тому

      Naongelea sehemu ya DEMOGRAPHIC kwa pale tunachaguaa first year student au kwa sisi tuliotokeaa certificate kuja diploma mwkaa huu tunaajaza continuing first time applicant au vip

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Рік тому

      @@lilyansinienga826 continuous ni wale wa diploma tayari kama bado ndo unatak kujiunga diploma..wew ni mwaka wa kwanza

    • @lilyansinienga826
      @lilyansinienga826 Рік тому

      @@jackthedev21 Unatuchngnyaa maana nimeona apo ukajaza details za certificate kwenye mahali per continous stidentss kwaio nachotaka kuukuliza kuwa NIMETOKA CHETII NAENDELEA APO APO DIPLOMA 1 KWAIO NATAKIWA KUJAZA FIRST YEAR STUDENT RIGHT??

  • @wasafiuswazitv5866
    @wasafiuswazitv5866 Рік тому

    Nacte na necta unachaguaje nacte

  • @pastoryemmanuel3277
    @pastoryemmanuel3277 Рік тому

    Oya mzee naomba nielekeze namna ya kudownload zile form za kusign na kuziattach kwenye maombi

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Рік тому

      Kama umeshamaliza kujaza nenda kwenye preview application hapo juu utaona button ya download

  • @HafsaHaroun-o9s
    @HafsaHaroun-o9s Рік тому

    Km huna iyo postal address unaacha

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Рік тому

      postal address si jambo la kukosa ndugu..jaza hata ya serikali ya kijiji au mtaa uliyopo

  • @RidhiwaniShemnga
    @RidhiwaniShemnga 6 місяців тому

    Je km umerist unafanyaje mkuu

  • @MahmudOmar-f3x
    @MahmudOmar-f3x 7 місяців тому

    Naitaj namb Yako y cm nkutafte wasap

  • @yonamuhazi
    @yonamuhazi 5 місяців тому

    ahsante kwa msaada wako

  • @MahmudOmar-f3x
    @MahmudOmar-f3x 7 місяців тому

    Vp broo mi nd ntaka nianze mwaka uu Yan mwez wa 9 apo vp nawez kupat mkopo

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  7 місяців тому

      Yes mkopo anapewa yeyote mwenye vigezo mkuu