Ebl DRuCuLa ft 20 percent -Wape Wembe (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 766

  • @prosperprotace9384
    @prosperprotace9384 4 роки тому +36

    Broo 20% mashabiki zako bado tupo hatujakutupa, kama na we nishabiki mwenzangu like apo chin

  • @raymondmboro7445
    @raymondmboro7445 4 роки тому +67

    Ngoma Kali.. Wangap tumemfat 20 Pasent

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 4 роки тому +7

    Roho mbaya cna chuki cna majivuno cnaa nimejaaliwa hekima heshima na utu uzimaa mola wangu WAPE WEMBE. Dah noma thana

  • @lovechance2905
    @lovechance2905 4 роки тому +3

    20% wewe ni ndugu ya mziki, maana huimba maana,shauri, 20% Mungu akusaidiye, katika Afrika sikulinganishe na mwengine mwana mziki, ipo siku nitakutafuta wewe,

  • @hassancharles4395
    @hassancharles4395 4 роки тому +92

    Good brooo badooo tunakupenda sanaa Kama we ni shabiki wa 20% like Kama zote tufike 1000 naa huyuu jaman anae mkumbka nazani huwezi pita bila like yako hapa

  • @livingstonekabantega
    @livingstonekabantega 4 роки тому +18

    Kama unamkubariiiiiiiii 20per cent eb gonga like yako hapa nione kwanza

    • @NelsonNasar
      @NelsonNasar 9 місяців тому

      mimi nakubalii tagu nikiwa mtoto mudogo nabali yimbo ya tamahambya nayakubali nipe namba yako nikupigiye kaka

    • @NelsonNasar
      @NelsonNasar 9 місяців тому

      akuna musaniyiii namukubalii kama wewe

  • @javamedia9616
    @javamedia9616 4 роки тому +136

    Nilivyojua yupo 20% nikaiwahi like zangu jaman kama unamkubal

  • @asadibakili4453
    @asadibakili4453 3 роки тому +3

    Dah nyimbo safy aseeeee hakuna matus matus.....😭😭😭🙏🙏🙏 Safy embu mtafute mpge nyimbo nyingine

  • @tumainijonas1765
    @tumainijonas1765 4 роки тому +59

    Kama unamkubar 20% gonga like!

  • @akbarmpemba6990
    @akbarmpemba6990 4 роки тому +3

    Mwanangu 20%sio mtu mzur yani wew kweli ni msanii wa kudumu hatareee yani.ushauli wangu tuu wekeza mno ktk music usiogope kutumia galama kubwa ktk video ili ufike mbali zai.yani namona ndani yako jah prayzah

  • @shukurulove5431
    @shukurulove5431 4 роки тому +158

    Naimani twent atadondosha mwakauhu nakuamini sana anaaye mwamini sana shusha like kama zote🔥🔥🔥

  • @cecilendasima9062
    @cecilendasima9062 3 роки тому +6

    ♥️ kwa msani wangu nimpendaye sana ,ninayo furaha kumba mnoo yakumuona tena akirudi ,%kweli wape wembe wanao jivuna !⚒️⚔️. ✌️🇨🇩🇨🇩

  • @norbertjeremia504
    @norbertjeremia504 4 роки тому +162

    Walio kuja baada ya kuona 20% like hapa👇👇

  • @dullysanto1672
    @dullysanto1672 4 роки тому +7

    kama kunamtu kaurudia huu wimbo zaid ya mara mbili gonga like tujuane

  • @josepharantony9992
    @josepharantony9992 4 роки тому +5

    Tulio angalia na wtt wetu bila aibu piga kelee kwa 20 ake we wewe weweweeeeee

  • @aeyzee4ever607
    @aeyzee4ever607 3 роки тому +1

    Huu ndio music wenye international melody kazeni Wana huu msic sio wa wanna pua

  • @jaromejonas5910
    @jaromejonas5910 4 роки тому +27

    Mziki mzuri haujifichi lazima wa2 wausikilize muda wote big up sana bro 20👏

  • @giliadypalangyo132
    @giliadypalangyo132 4 роки тому +6

    Nimeamua kuirudia tena aiseee ujumbe bomba sana wakina tembo wanaimba mapenz tu sijui wanafundisha uko nn

  • @elias4Keshi
    @elias4Keshi 4 роки тому +23

    From Burundi like nyingi hapa kwa 20%

  • @goodluckymassawe4718
    @goodluckymassawe4718 4 роки тому +163

    Kwatulielewa ngoma Hiyooo like Kama zoteeee

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 роки тому +1

    Aiseee bonge la kaz.....watu wazima wenzangu tumsapot20 kwa Hali na mali.

  • @saidndaro6630
    @saidndaro6630 4 роки тому +21

    Hebu hii song 20% irudie bila ya featuring imba pekeyako najua ingekua kali sana CHORUS sounds so so nice

  • @moureenmartin4125
    @moureenmartin4125 4 роки тому +22

    20% tunakupenda usikae kimya... tupo fans wako tutaview hadi kieleweke... sema huu wimbo ni🔥🔥🔥🔥

  • @razackhamis4375
    @razackhamis4375 4 роки тому +127

    Tulokuja sababu ya 20% tujuane kwa like na reply hapa

  • @filbertmakasi8493
    @filbertmakasi8493 4 роки тому +1

    Kwel nimeamin Panga la Zaman haliishi makali .....💪💪💪💪 kwako twenty

  • @einastykasola5120
    @einastykasola5120 3 роки тому +3

    Nikiwakilisha Kenya. Kaka ngoma zako zimenifunza mengi sana. Zidi kutuelimisha na kututumbuiza. One ❤️❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @fransiscosulle6981
    @fransiscosulle6981 4 роки тому +1

    Wape wembe kaka 😝😝😝😝😝 piga kazi bonge la song tisha sana 20% 100% kaka

  • @giliadypalangyo132
    @giliadypalangyo132 4 роки тому +4

    Mimi toka nianze kumfatilia 20 hajawahi kuimba nyimbo mbovu hakika zote nimashine

  • @africafreedom9621
    @africafreedom9621 4 роки тому +1

    Nyimbo ya kawaida saaaana labda ukiweka umakini kwa baadaye utaweza

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 3 роки тому +1

    Uyu ndio msniii wangu wamaisha yangu yote nauyu ndio tem yngu

  • @mohamedkitalima7546
    @mohamedkitalima7546 3 роки тому +2

    Dunia sio janja janja Kama Babu tale hivyo ndio nilivyockia au masikio yangu

  • @eliyaernest6327
    @eliyaernest6327 4 роки тому +14

    King 20% We ni Moto ludi Kaka tumechoka matusi mbele ya watoto wetu

    • @khasanmusa3508
      @khasanmusa3508 3 роки тому +2

      Pamoja sana

    • @samwelychomba6951
      @samwelychomba6951 3 роки тому +1

      MANENO YA MTOTO ALIEFUNZWA AKASIKILIZA YA WAZAZI NI MKUU DAAA KUNA ZINGINE UKIWA NA WANAO UNATOKA MBIOO MWENYEWE BILA KUFUKUZWA FULL RESPECT PAA ASILIMAILE

    • @samwelychomba6951
      @samwelychomba6951 3 роки тому +1

      KWELII TUPUUU NGOMA ZOTE MOTO💥🔥💥🔥💥🔥💥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @DocteurDeBrowski
    @DocteurDeBrowski 4 роки тому +2

    Mafala zote wa Nairobi na wapa wembe haki siyo Mimi%

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 4 роки тому +2

    Uwiiiiiiiiiiiii leo nmefurah sn nmeiakia hiii ngoma Kali kbsa wape wembe 20 percent nmeelewa noma sn hakika game unaliweza shabk zako tulikusubioi kwa ham sn sahv hamna kurud nyuma tunasonga mko vzur na huyo mkali

  • @moses_apple
    @moses_apple 4 роки тому +38

    from 254.... nairobi kenya
    ni kwa mara yangu ya kwanza kuwajua nyote wawili....
    mziki mzuri video safi yenye heshima na message safi
    nipeni like za kenya.... tukiendelea kusubscribe na kulike na kushare

  • @kallyskanerlo3797
    @kallyskanerlo3797 4 роки тому +38

    njoon msikie muziki na sio makelele mixer matusi...kama umenjoy zaid yangu like yako muhimu..

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 4 роки тому +1

      VPL na EPL havifanan na ndo ata kwwny mziki wa tz kuna wengne wanafanya mziki wadunia na wengne wanafanya mziki wa watz tuu

    • @Madanstars
      @Madanstars 4 роки тому +2

      Tuliza mshono maaana yake nini
      Na neno nyege nyege maana take nini

    • @ebldrucula5319
      @ebldrucula5319  4 роки тому

      Kama unaimba nyege nyegezi unapaswa kuacha na uimbe nyimbo za maana lkn ukikatika nyege nyege nakupunguza Wenge kwahiyo unatuliza mshon

  • @millyjames3315
    @millyjames3315 4 роки тому +7

    Sure! Umeweza na sauti yako 20% iko vile vile nzuri

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 3 роки тому +3

    Ebl drucula maile mbish nyinyi ni hataree

  • @silasnnko1221
    @silasnnko1221 2 роки тому +1

    Mwamba usipotee tena shikilia nafasiyako kwamikonomiwil tulikumiss sanabroh welcome again for your Carie

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 роки тому +11

    Mmekosa jina LA kisanii kweli LA kumpa huyu mwamba mpaka kutumia *DluCuLa* 😂😂😂😂😂 jina gumu mnoooo linasahaulika ndani ya dakika 2

  • @johnmnary6618
    @johnmnary6618 4 роки тому +4

    Ngoma kal sana inaujumbe wakutosha hakuna tisi humu kama umegundua hilo gong lik twende saw

  • @hassansawasawa1941
    @hassansawasawa1941 4 роки тому +16

    Wenye muziki wao washarud mjin, honger San brother kaz buti

  • @bonphaceorihema7798
    @bonphaceorihema7798 4 роки тому +1

    jamaa huwa hakosei kabisa big up 20%

  • @samirahassan2834
    @samirahassan2834 4 роки тому +6

    Wenye wivu wajinyonge wataelewa tu ✌

  • @saidathuman1258
    @saidathuman1258 4 роки тому +3

    braza unajua unaimba vi2 vya kufundisha achana na wanaimba matusi

  • @vascobenedict488
    @vascobenedict488 4 роки тому +2

    Pamoja broo twenty ukiwa na kakaetu mpendwa druqla tunawapenda Dana

  • @mulikatvonleni5339
    @mulikatvonleni5339 4 роки тому +1

    Nakubari mwalimu wa muzik wa maisha tunataka yakufungia MWAKA 20% huyo mwanamzik wako yupo vzr abahatish kibampa aikatai

  • @jamesnkuba3236
    @jamesnkuba3236 2 роки тому

    Huyu ebl Dracula huyu daaah basi tu ....ili huyu jamaa anachan kipekee kbsa in short jamaa anajua San hazungumzwi maredio lkn ni 🔥 air time wanapewa weusi badala wapewe watu kma hawa Dracula ...🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @akbarmpemba6990
    @akbarmpemba6990 4 роки тому +2

    Jamani 20% ni jah prayzah wa bongo.ndio namuona hapo ebu isilize hiyo nyimbo malanyingi uone umsikie vizur jah prayzah

  • @hamisjuma7696
    @hamisjuma7696 4 роки тому +1

    Sawa broo kaza game niyako hiii toka kitambo 2nalijua hilo

  • @dorkasialimasi8175
    @dorkasialimasi8175 4 роки тому +3

    Jamn ww kwa ukali uyo mko fresh kwel❤️💘

  • @jacksonmbogho6911
    @jacksonmbogho6911 4 роки тому +1

    20% wewe ndo kamanda wa music uko wapi babaaaa Leta vitu basi

  • @aizackcoster9799
    @aizackcoster9799 4 роки тому +1

    Pamoja sana ndugu pia tunaitaji mzik mzur na weny isia nzuri

  • @elinamisamwel2110
    @elinamisamwel2110 4 роки тому +4

    Saluti kwako 20 P tumemiss sana kaz zako salamu zikufikie popote ulipo

  • @augusteselemani4181
    @augusteselemani4181 4 роки тому +5

    Mziki mzuri unajipeleka mwenyewe ongereni sana from Canada 🇨🇦

  • @michaeljaphet6168
    @michaeljaphet6168 4 роки тому +13

    Kama bado unamkubali gonga like apooo...

  • @edigamumbere352
    @edigamumbere352 Рік тому +1

    Ngoma kali🇨🇩🇨🇩💪🚶🚶🚶🏃

  • @danielkaristo1697
    @danielkaristo1697 4 роки тому +17

    Respect sana mmetisha bonge la ngoma ya 🔥🔥🔥 mungu abless kazi za mikono yenu pamoja sana. 🙏🙏🙏

  • @hamismabilu2292
    @hamismabilu2292 4 роки тому +3

    Nimekubali mzazi bonge moja ya kazi..chorus umeitendea haki kma ilivyo kawaida yako huwa hukosei..ONE LOVE!

  • @jimsonmwakatundu677
    @jimsonmwakatundu677 4 роки тому +1

    20 unajua mzeeeeeeeee daaaaaah usikae muda mrefu boss unatunyima raha mashabiki zako.

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 3 роки тому +2

    Combinenga nzur Sana hii

  • @gibsongratian1340
    @gibsongratian1340 4 роки тому +1

    Nimekubali kazi Kali bonge la kazi anaejua anajua tu

  • @CharlesFrenk
    @CharlesFrenk 5 місяців тому

    Hii nyimbo inanikosha sana, hakika mmekutana vichwa vitupu,❤❤❤❤❤

  • @iradukundaarnaud8907
    @iradukundaarnaud8907 4 роки тому +1

    Nakupenda pia.napenda.ngoma
    Yako.20% nakuku Bali

  • @zuriathdasilver810
    @zuriathdasilver810 4 роки тому +1

    Jaman walimushiaga amekufa daa mungu akupe maisha marefu

  • @Sylvana-7
    @Sylvana-7 4 роки тому +14

    My favourite Tz artists, Respect from Canada 🇨🇦 to 20 Percent and EBL Drucula

  • @deboraneema3148
    @deboraneema3148 3 роки тому +2

    nyimbo kali sana nakwambia lakini mungu awajalie 🙏🏽🙏🏽❤️❤️and I love them so much

  • @selemanijeanclaude9203
    @selemanijeanclaude9203 4 роки тому +31

    Kama mumekubali kuwa tumekuja kupotesa miziki zamatusi piga like apa na kama umewakubali weka neno apo

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 4 роки тому +1

    Nyimbo za kuelimisha Jamii siyoo uchafuu Kama za wasafi

  • @eliasgembe5800
    @eliasgembe5800 4 роки тому +1

    Twent paa...20% katishaaa kwenye kolas

  • @andrewjulius6796
    @andrewjulius6796 4 роки тому +2

    20%,,,mshauri esha baba lao kujiweka kama msanii wa kisasa amekaa kama muimba nyimbo za kisukuma hata cheza yake.

  • @sisdell1779
    @sisdell1779 4 роки тому +3

    Mola wape wembe wajichane wenyewe, wimbo uliokomaa bado tunakupenda 20%

  • @abdallahseif7954
    @abdallahseif7954 4 роки тому +21

    Shusha mizigo bro once twenty always twenty

  • @mkonotv2120
    @mkonotv2120 4 роки тому +2

    Roho mbaya sina,chuki sina,majivuno sina
    Nimejaliwa hekima,heshima na utu uzima
    Tuwape wembe masnich ngoma inapepea!!!!!

  • @salehemohamed3830
    @salehemohamed3830 3 роки тому +1

    Ujui tu watanzania tunavo kupenda usitepote tena bila twent muziki hamna labda matusi na mipasho ludi mjini. Jumla

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 4 роки тому +3

    Brother 20 aisee tulikumis San kaka kalibu tupo kaz nzuri jikaze kaka hata Kama game ni ngum bhna b💪 Dr sauti ile ile Yan

  • @hadijaothman5586
    @hadijaothman5586 4 роки тому +1

    Aisee 20%nakupendaga siku zote ebu rudi kwa game basi

  • @bongeiddy7270
    @bongeiddy7270 4 роки тому +2

    kaka mkubwa nakukubari sana kazi buti mzee

  • @bnuktabmbogoshi845
    @bnuktabmbogoshi845 3 роки тому +1

    Kizazi sana...!!

  • @paulomtweve9174
    @paulomtweve9174 3 роки тому +1

    Na kweli 20 unaga rombaya wala majivuno nakukubali kinoma

  • @officialdadys3547
    @officialdadys3547 4 роки тому +3

    20 per njoo ututoe katika huu mziki wa kisasa maana saivi wazee hawapigi nyimbo za kibongo kabisaaa

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 4 роки тому +5

    20% wewe ni fire nyimbo nzuri sana kweli wewe regend

  • @emannueljohn3502
    @emannueljohn3502 4 роки тому +1

    Twent mwenye mziki wakeee heshima kwako

  • @callebombogo5545
    @callebombogo5545 4 роки тому +51

    My favourite Tanzania artist, 20%kenya loves you 🇰🇪

  • @sefumusamsodo8082
    @sefumusamsodo8082 4 роки тому +3

    Daaah ngoma Kali sana honger trent

  • @allybin08
    @allybin08 4 роки тому +1

    Wee jamaaa unajuwa wengine wanazingua tu

  • @jay-kl9gk
    @jay-kl9gk 4 роки тому +1

    Nampendaga sana huyu kaka jamani uwii hajawahi nitokaga kwa kweli

  • @princelucang4317
    @princelucang4317 4 роки тому +1

    Oooh karud mwenye mzk wake

  • @barakakayeba5206
    @barakakayeba5206 4 роки тому +2

    Nakubali DRA cula Feat twenty percent,sasa mfanye cruel kabisa,iwe kama mmekuja kivinge mtoa track NYINGI,then ndio kila mtu afanye kivyake

  • @Godelivanana
    @Godelivanana Рік тому +1

    Tumekumis 20%😢💞💞 now humerudi kwenye game

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 4 роки тому +7

    🔥🔥🔥🔥 song
    20% tulikumiss sana

  • @mariacharles8906
    @mariacharles8906 3 роки тому +2

    Hivi kwnn huwa mnaomba like

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 4 роки тому

    20 paaaaaaaaaa sauti ya kipekee.Nakukubal mpk basi👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @asukulumceleca2104
    @asukulumceleca2104 4 роки тому +22

    Here we go! the waiting is over 20% the best artist of all time
    Hongereni sana sana kwa wimbo mzuri. Elb.

  • @baddesmoney99
    @baddesmoney99 4 роки тому +41

    20% Iposti kwako please ni kali sana🔥🔥🔥🔥

  • @lucasnchora5535
    @lucasnchora5535 4 роки тому +7

    Hello Tanzania 20pacenty is back never foget you my brood never give up you are so tarent man

  • @samuelmwangome8797
    @samuelmwangome8797 4 роки тому +1

    Twenty imba peke yako ungetisha Sana kwa hii ngoma bt sio mbaya ata ivo

  • @user1873anon5
    @user1873anon5 3 роки тому +4

    Big Up DruCula na Hekma za Asilimaile tangu Enzi zile. Definition ya Msanii for Real. Mad props from the 254

  • @Summerbtz
    @Summerbtz 3 роки тому +1

    .much love 20% wewe ni mwanamuziki

  • @mauayusufumauayusufu7862
    @mauayusufumauayusufu7862 4 роки тому +1

    Kichupa💪💪😘😘20 pacent ludi mjini babaa