Nyumba Ya Milele - 20 Percent ft EBL Ebl DRuCuLa (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 911

  • @ShamteMtoteke
    @ShamteMtoteke Рік тому +13

    Broo kama broo abass hamis naelewa sana kazi zako

  • @hamadikamdela4144
    @hamadikamdela4144 3 роки тому +111

    Naupenda Sana muziki wako wa bila matusi wapi like zake

  • @fanikiojacob7730
    @fanikiojacob7730 3 роки тому +5

    Naomba uunganishe na silisi za maigizo kupitia nyimbo zako Mimi naona kabisa unachoimba nakile unacho andika unamaanisha ni stor ya kueleweka ukiweka mfumo wa seanson itapendeza Zaid na mashabiki tutaongezeka zaidi

  • @stevenkinenulonziku2068
    @stevenkinenulonziku2068 Рік тому +2

    20twent percent ukweli nyimbo zako zina ujumbe mzito mno mbaka machozi yananitoka mungu awe na wewe❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Fubufilmsfamily122
    @Fubufilmsfamily122 3 роки тому +129

    Nimeikubali Sana hii nyimbo Kama umenipenda nyimbo hii achia like

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 роки тому +4

      Sio " nimeikubali sana hii nyimbo"
      bali ni " nimeukubali sana huu wimbo"
      Nyimbo = wingi
      Wimbo = umoja
      Jamani eeh, tujitahidi kuienzi lugha yetu adhimu ya Kiswahili

    • @selestinsongola2787
      @selestinsongola2787 3 роки тому +4

      Unaona wenye nyimbo zao hadi moyo wangu unapatwa na hofu big up sana 20

    • @heshimagloire4158
      @heshimagloire4158 2 роки тому +1

      Nakunali muziki hii dungu

  • @shafiimpili2320
    @shafiimpili2320 3 роки тому +75

    Daaah,😪😭 kama una amini huyu jamaa bado yupo vizuri kwenye game basi dondosha like yako hapa twende sawa.🔥🔥

  • @immanuelpetermwelango2619
    @immanuelpetermwelango2619 3 роки тому +8

    Kaka muziki unaju sana ,sema matokeo wanapanga wao, Yote tumwachie MUNGU. Achia nyengine.

  • @amanisalim7939
    @amanisalim7939 3 роки тому +20

    Jaman like kwa Percent hakika kaka anaweza gonga like kama umeyakubal aya mashail

  • @toweman6484
    @toweman6484 3 роки тому +110

    Nikisikia kifo hata kulala siwezi 😭😭😭 nyumba ya milele hakuna kodi ,like Kwa 20%

  • @dadichipangula1960
    @dadichipangula1960 3 роки тому +56

    Twenty percent Ni mutu mwingine sana kwa nyimbo zisizo na matusi na zenye kuleta ujumbe muhimu,, like nyingi kwake twende sawa.

  • @mahirfauz1993
    @mahirfauz1993 3 роки тому +20

    Wewe ndo msanii KIOO cha JAMII wewe ndo maana halisi ya muziki .
    Nipeni like za LEGEND za kutosha.
    Peace ✌🏽nad Love ♥️

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 3 роки тому +17

    Msanii wangu wa mda ote tz twenty percent mtunzi Bora kabisa

  • @stevensimtowe4511
    @stevensimtowe4511 3 роки тому +43

    Kama umerudia kuicheki zaidi ya mala mbili Twende sawa🇹🇿

  • @LotitukelaizaLaiza-y9v
    @LotitukelaizaLaiza-y9v Рік тому +2

    Daaa machozi aisee Niko Zambia mimi najiskia kuja tz yetu 20%paaa waonyesha turiipamoo mwandii

  • @johnsaid9525
    @johnsaid9525 3 роки тому +54

    Hizi ndio nyimbo sasa achana Na kelele za siku hizi 20%asilimia chache sana lakin ina vitu vyingi ndan yake 🙏🙏🙏🔥🔥🔥

  • @vascobenedict6519
    @vascobenedict6519 3 роки тому +26

    20% Mungu akubariki sana mimi hata usipoimba tena nyimbo zako zile zile nitazisikiliza milele mpaka kufa kwangu mimi furaha yangu kubwa ni hivyo tu ninavyokuona ukiwa mzima wa afya ya mwili na akili

  • @martinchabi3029
    @martinchabi3029 3 роки тому +32

    Indelea kuifunza dunia baba..natamani hata siku moja nikuone uso kwa uso daah!! 🇨🇩🇨🇩👋👋

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 2 роки тому

      Yupo karib ukiwa dsm tutakupa namba umpigie video call umuone wala usjal karib sana

  • @TandaleMgina
    @TandaleMgina Рік тому +3

    20%mungu akutie nguvu kwakweli❤❤❤❤❤❤

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 3 роки тому +18

    Kabla sijaangalia nimesha-like coz huna kazi mbovu

  • @JeniferJohn-x3l
    @JeniferJohn-x3l Рік тому +1

    🔥🔥💖 bonge la wimbo napendaga sana kusikiliza huu wimbo jaman

  • @eliasiroman1042
    @eliasiroman1042 3 роки тому +56

    Daaah mwamba anajua Sana like za kutosha 🙏🙏🏼🙏🙏🏼💪💪💪

  • @adelambilinyi3625
    @adelambilinyi3625 3 роки тому +26

    Daima nyimbo zako zina ujumbe sio kama wengine wanaimba mapenz tu

  • @dogosugu7517
    @dogosugu7517 3 роки тому +217

    Kama umemwelewa huyu nguli wa muziki shusha like zako hapaa 🔥🔥🔥🎶🎶🎶🎶🎵🎻

  • @cosmastitus1165
    @cosmastitus1165 3 роки тому +34

    Wewe ni mtu wa muhimu sana kwangu na wengine maana mimi najifunza kupitia nyimbo zako mungu akupe miaka mingi na heri duniani 20%

  • @yamaletax6769
    @yamaletax6769 3 роки тому +37

    We ndo mflme wa muziki tz👑👑20 paa % asilimia chache sana🙏🙏🇹🇿❤️❤️

  • @madisonjonathan4112
    @madisonjonathan4112 3 роки тому +25

    Kwann niseme uongo bn, hyu jamaa ninamkubali sana tangu enzi na enzi, hajawah haribu katika mziki, welcome back our legend 20%

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 3 роки тому +27

    Dah maile hakika ww ni mwanamuzik hodar Sana IPO cku tz na Africa nzima itaelewa we ni nan

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 3 роки тому +46

    Hii ngoma inatukumbush kumrudia na kumkumbuk mwenyezi Mungu Kila wakati.

  • @khamzalockymaster6008
    @khamzalockymaster6008 8 місяців тому +10

    2024 mko wapi? huu wimbo nausikiliza zaidi ya mala 1000 kwa siku✊✊ keep like

  • @ramadhankijana9442
    @ramadhankijana9442 2 роки тому +1

    Yaani mwamba huyu dah namkubali sana Mungu akujalie ndugu yangu yaani nyimbo zako zinaamasisha

  • @kamandamkuu4g57
    @kamandamkuu4g57 3 роки тому +31

    Itabaki daima milele yongoma ukitaka ubaki miaka 10 Uimbii iyo itakua Hit milele 20%🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar5067 5 місяців тому +1

    😢😢😢 Kamtaja Kanumba na Papa Wemba 😢 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @excellentizacalvajal297
    @excellentizacalvajal297 3 роки тому +3

    Kama unajua kwamba kaburi ndio nyumba yetu ya milele bula hodi hata kodi dondosha likes zako

  • @richardmloha1762
    @richardmloha1762 3 роки тому +2

    Muandishiii wa mzikii Kati ya waandishii hongeraa Sana kingg

  • @yasinndalu53
    @yasinndalu53 3 роки тому +19

    Unajua Sana mzee baba mtu unasikiliza nyimbo unatulia Kama unanyolewa Ani big up asilimia 20

  • @LotitukelaizaLaiza-y9v
    @LotitukelaizaLaiza-y9v Рік тому +2

    Shujaa Hafii hua anatulia Kwa mda wapeleee music

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 3 роки тому +32

    TUMERUDI KATIKA MISINGI YETU YA MIZIKI. GOOD MUSIC, GOOD SOUND. SASA NAELEWA KWA NINI MZEE WANGU ANASIKILIZA NYIMBO ZA 20 PERCENT. TUENDELEE KUELIMIKA NA KUBURUDIKA.

  • @salehemohamed3830
    @salehemohamed3830 3 роки тому +2

    Umenifurahisha sana kurudi kwenye gem nikikosa laha Kabisa kwakushitaki milikiwa sina nilikuwa malikia moyoni bado malo HUSSEN machozi

  • @alphoncejuma4874
    @alphoncejuma4874 3 роки тому +26

    Sijui kwanini Nimechelewa kusikiliza ngoma kama hii.my legend is back 🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍

  • @rodriguematabishilil7244
    @rodriguematabishilil7244 2 роки тому +1

    Lui c'est le vrai, cette chanson met fait pleurer 😭😭😭😭 donc soyons calme.

  • @mohdloushmoney9994
    @mohdloushmoney9994 3 роки тому +21

    Aisee twent huyu jamaa anajua sansana br💯💯 big up

  • @iddzuru4632
    @iddzuru4632 Рік тому +1

    20 Nihodari Sana muziki wake unahisia Sana nauna kumbusha Jambo big up

  • @laitonibalama3421
    @laitonibalama3421 3 роки тому +4

    Ngoja safi sana kaka twenty tena inaujumbe sana

  • @kaburaberchimas6515
    @kaburaberchimas6515 3 роки тому +6

    Hizi ndo zenyew sio Kama zile za TUNAWEKA WAAAH

  • @rbd15197
    @rbd15197 3 роки тому +10

    Nakukubaligi sana Kaka Siyosiri Nahishigi nawewe moyoni mzee wa mashairi yakikubwa💪💪

  • @hamisimwamatso2092
    @hamisimwamatso2092 2 роки тому +1

    haya ndio maisha uaukweli pray for might Allah type ujumbe watatiii ww ukumbuke umezaliwa na kipaji iyo ni super power from might God bless 2% and druculer 🙏🙏🙏

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 3 роки тому +14

    The best Msanii ,wimbo mzuri kutoka kwa Msanii Mbunifu 20% forever # softreggae@Muonekano mzuri

  • @tuyizereghadi1619
    @tuyizereghadi1619 2 роки тому +29

    Wengine wananipenda, baadhi wananiponda
    Wengine wananisifia, wengine wananipondea
    Sitoweza kuwatenga, sitoweza kuwatenga
    Hata kama wakiponda daima nitawapenda Wanaona nawabana, wao kuwa nayafanya
    Hali hii itakuwaje mi nitapoiaga dunia
    Wengi watalia, wengine watafurahia
    Siku itakapofikia mi utappoiaga dunia
    Wengi watalia, wengine watafurahia
    Siku itakapofikia mi nitapoiaga dunia
    Kwani kufa kufaana
    Na wengine kifo waaniombea
    Kwani kufa kufaana
    Na wengine kifo wanakuombea
    Nikifikiria kifo, kulala siwezi Sihitaji mpenzi na sifanyi ushenzi
    Nahitaji nikae tu, nimuombee Mwenyezi
    Siku ya kifo changu anipende mama kafi
    Ukimaliza kuteseka unakwenda kule
    Ile ndio nyumba ya milele
    Haina hodi hodi, haina kodi kodi
    Ukimaliza kuteseka unakwenda kule
    Ile ndio nyumba ya milele
    Haina hodi hodi, haina kodi kodi
    Maisha ni kutoka kisha kucheka
    Yaani ukishafika juu ni kudondoka
    Umepita kwenye raha shida ni balaa
    Pumzi umeshakata ndo unapanda motokaa
    Mpende mama mtenge baba ndicho umejenga
    The way utacholipwa ndicho umetenda
    Tuko up tuko down muda unakwenda
    Tupo njia ya Kanumba na Papa Wemba Dada mama, baba unanitenga
    Zikifika nitaondoka bila kupenda
    Unapojenga ukipenda funga renta
    Nitazima ka mshumaa kisha nakwenda
    Naona kunadondoka pigwa panga
    Chini hakuna godoro kuna michanga
    Mida ya kula modoo kufunga kanga
    Sasa legeza kidogo funga kamba
    Sitaki tena midoo nataka mwanga
    Upepo sina maji sina nipe sanda
    Ukimaliza kuteseka unakwenda kule
    Ile ndio nyumba ya milele
    Haina hodi hodi, haina kodi kodi
    Ukimaliza kuteseka unakwenda kule
    Ile ndio nyumba ya milele haina hodi hodi, haina kodi kodi

  • @terrietrizah3049
    @terrietrizah3049 3 роки тому +4

    Hakika 20 wewe ni mwamba nakupenda sana..mungu akuinue tena bro👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @stupidlyrapper8859
    @stupidlyrapper8859 2 роки тому +1

    Haukoseagi maneno unatufundisha mungu kakupa kipaji ACHA NAHAWA WAJINGA WA KUTUIMBIA UJINGA NYINGIII

  • @prof_ras
    @prof_ras 3 роки тому +3

    Yeah King. Mziki wako unaishi. Jah guide n protect...👏

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 Рік тому +1

    RIP George Kilanga Maganya Mungu ni mwema Kwa yote, ata anayetuonea ataifikia nymba île Mungu anamuona

  • @tresornamogo6477
    @tresornamogo6477 3 роки тому +7

    20% , Mungu akujaliye Neema maana mimi kufwata songs zako ni kama kwenda shule, nasubiri song Yako kwa ajili ya kifo cha Magufili, wengine wameimba ila hawaimbe, nakusubiri , hii song inaniachiya neno kubwa ila fanya ngivu, ipo siku natakuona live, greet drakula

  • @moradijoeli4985
    @moradijoeli4985 3 роки тому +15

    Wewe ndiye musani unaye towa vitu vya uhakika vyenye maadili (endelea kutoa vitu)

  • @danielchristopher7494
    @danielchristopher7494 3 роки тому +12

    Safi sanaaa.miondoko ya legelaga power

  • @victoriamaleko9699
    @victoriamaleko9699 Рік тому +1

    Ukweli ktk viwango vya juu sana 20%, Hongeza kwako na Timu yako

  • @gladsonbaltazary7449
    @gladsonbaltazary7449 3 роки тому +9

    Kaka unajua sana..unatufundisha sisi vijana tunaopitia mengi na haya maisha ...be blessed our beloved Brother 🙏🙏🙏🙏

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 2 роки тому +1

    Nimependa wimbo huu sana, kwanini sikusikiliza hii zamani najuta.

  • @khaledeahmedy7278
    @khaledeahmedy7278 3 роки тому +21

    Sijawahi kukupingaa
    Angusha like yko ap tujuane tunao mkubali mwamba

  • @augustinojonh4370
    @augustinojonh4370 3 роки тому +2

    Nikiwa malawi namsikiliza 20% . vipi wew ukiwa wapi? Gonga like

  • @pascolbahati6214
    @pascolbahati6214 3 роки тому +17

    Nmukbali sana twenty mungu ampe Maisha marefu🤲🤲🤲

  • @SamyBoudan
    @SamyBoudan 5 місяців тому +1

    Wa congomani🇨🇩 dje tupo wapi kwaku msapoti huyu mwamba♨️🔥

  • @hoseamwasile6459
    @hoseamwasile6459 3 роки тому +3

    Eeeeeeeeeeeee..... Very congregations@20per hakika we umeonyesha kuwa ni nguli wa mziki mhhhh keep it up bro

    • @paulokapinga1848
      @paulokapinga1848 3 роки тому +1

      Sijui nikuweke kundi gani Kaka 20% tambua wew ni mwanaume kweliii kweliii ktk music good brother.

  • @africanentertainment2124
    @africanentertainment2124 3 місяці тому +1

    Nakukubali sana tujuane wanao sikiliza wimbo huu 2024🔥🔥🔥🔥🔥

  • @stevenzombie3789
    @stevenzombie3789 3 роки тому +5

    Dah!! Mwamba aisee kal saan

  • @boazisanga746
    @boazisanga746 3 роки тому +1

    Safi Sana 20 per % sijawahi kuona ukiimba nyimbo zinazo husu mapenzi ,unaimba kitu kipo real in our life

  • @dogojanja6235
    @dogojanja6235 3 роки тому +11

    Nilikua wew ukiachia hukosei una mashaili yakufundisha sio kama wasanii wengine matusi tu Hakuna mafundisho sema Ile igizo ya Fulaha iko wapi brother ulisitaliwa kupewa tuzo ya wagizaji bora Tanzania kipindi kile ulijenga watu wengi nakuwatia moyo ukatufundish vijana

  • @aristoteplatinumz9908
    @aristoteplatinumz9908 3 роки тому +8

    Daahh mpaka naliya 😭😭😭jama anajiwa sana💯🔥🔥🔥💪🏽

  • @officiallanna9587
    @officiallanna9587 3 роки тому +4

    Legend dh bad tup nyum ako

  • @estatekisombola9251
    @estatekisombola9251 3 роки тому +4

    Mziki tulio kuwa tunasubiri umefika big up brother 🧡❤love from Australia ❤❤🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇨🇩🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺

  • @priscusshirima3941
    @priscusshirima3941 3 роки тому +7

    Aloo natamani one day nitoe wimbo na uyu mwamba

    • @paulokapinga1848
      @paulokapinga1848 3 роки тому

      Kizazi kinapotea Kaka 20% tuokoe please okay my brw.

  • @josefomoisestadeu106
    @josefomoisestadeu106 3 роки тому +1

    Twenty we nakukubali sana, nakupata wilaya mueda msumbiji

  • @bensonsabaha1838
    @bensonsabaha1838 3 роки тому +19

    Respect 20% umetisha kaka

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 Рік тому +1

    Hongera kwa ujumbe mzuri percent Mungu akulinde

  • @elkanaalkado3219
    @elkanaalkado3219 3 роки тому +7

    Jamaaa anaweza sanaaaaaaaa

  • @fikirimichael7800
    @fikirimichael7800 2 роки тому +1

    ,20%nakukubali jipemoyo mungu hamutupi mjawake

  • @didiersaidiilombe6268
    @didiersaidiilombe6268 3 роки тому +4

    Namkubali huyu ndugu. Kweli kipaji hakipotee alikuwa ametuhacha na kihuu cha mziki, nahona katukumbuka tena. Vraiment nalingi nzembo oyo makasi. Kutoka Canada 🇨🇦🇨🇩🇳🇦

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa2178 Рік тому +1

    20 pasent mzee wa tuzo 5....nakukubali

  • @jimmyyeyoo9771
    @jimmyyeyoo9771 3 роки тому +10

    Huyu ndo mwamba 20 per 20 asimiaile nguli huu ndo mziki tulioumiss

  • @shedomumbere2044
    @shedomumbere2044 3 роки тому +1

    Sijuwi ulitosha wapi neno kama izi,kwakusema kweli uendeleye ivo ivo tuuu. Congratulations man🎊🎉🎇

  • @godlovephilemon5626
    @godlovephilemon5626 3 роки тому +10

    Legendary @@@
    #kazi nzuri sana always!!!

  • @brownstar4949
    @brownstar4949 3 роки тому +1

    Oner love ujio mpyaa wa 20 wengi tumefulahi ❤ ❤ kama naww umependa ujio wake like kwa wingi hapo

  • @mnomahboybright4743
    @mnomahboybright4743 3 роки тому +8

    Dude kama rege hivii sema 20 fundi sana kaka yangu

  • @mselikibinga9240
    @mselikibinga9240 3 роки тому +2

    Tupe makali man.Sema wachanaji sio mpango ,hii nyimbo ilienda poa bila huyo jombaa.Anaweza ila sio kwa hii.Asante

  • @sweenykayson9725
    @sweenykayson9725 2 роки тому +9

    I have been following 20 percent since I was young. I Used to love his song "Mama Neema" because this song is the story of my life. I was also abandoned.
    From Malawi but a Tanzanian by from Kilimanjaro.

  • @hurumasanga9840
    @hurumasanga9840 3 роки тому +2

    Huyu mwamba anajua sana mimi ni shabiki wake mkubwa kila akitoa ngoma lazima niitafute, saluti kwake

  • @dogosugu7517
    @dogosugu7517 3 роки тому +80

    Kama unamkubali huyu Mwambaa shusha like zako hapaa 🔥🔥🔥🥰

  • @nkubawasso574
    @nkubawasso574 Рік тому +1

    20 power unajuwa Imbaaaaa sana music bakuache ako kaka

  • @kichelkanah5550
    @kichelkanah5550 3 роки тому +4

    Ancoo kaz nzr nakubar xana

  • @ommynevertzprince7713
    @ommynevertzprince7713 2 роки тому +1

    Duuuh unamaanisha kaka mpaka tunaogopaa!!

  • @evpetersamweliofficial2425
    @evpetersamweliofficial2425 3 роки тому +6

    Nimekuelewa Sana kaka

  • @fransistanganyika6964
    @fransistanganyika6964 2 роки тому +1

    Kweli kaka unaimba siwezi kukulinganisha daimond

  • @migstranger8142
    @migstranger8142 3 роки тому +4

    I'm here since 1k na sasa ni 1002k mdogo mdogo tunarudi kwenye game. Kazi nzuri 20%👏👏👏

  • @ibrahimgemsa6343
    @ibrahimgemsa6343 3 роки тому +2

    Nice music song Kaka Bado tupo na wewe Usije hisi upo pekee Yako🙏🙏🙏Mungu Akupe Nguvu na Akili Zaidi usiangalie mwenzio kafanya Nini angalia unahitaji Ku-focus Vip 🙏🙏

  • @iamgoldn4235
    @iamgoldn4235 3 роки тому +26

    This man is GOAT he deserves more one of the most underrated legend ⚜️⚜️

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki1273 3 роки тому +1

    Mungu bado hajatuonea huruma afute hii ki2!

  • @bdraper6036
    @bdraper6036 3 роки тому +6

    Nice Song Mzee Baba, one love, Tuijenge Jamii

  • @oasechurchtz70
    @oasechurchtz70 3 роки тому +1

    Safi kaka tengeneza bendi ya rege boss, imelda vizuri

  • @bekamajo9656
    @bekamajo9656 3 роки тому +21

    Mziki wako mzr br ila toka urud naona mzki wako unapooza sana kila ngoma naziona km zinaendana uwezo wako sote tunaujuwa dua 20%

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 роки тому +4

    Twenty asante Kwa ujumbe mzuri✍️🔥