UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 61

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 11 місяців тому +24

    The problem of being a lion in the jungle is that no one will ask you in the morning how are you doing. Kwasababu huwa tuna amini simba haumwi ,simba hachoki , simba haishiwi nguvu, simba Hana matatizo. So if you're strongest person in your family, hakuna mtu atapata muda wa kukuuliza unaendeleaje afya yako, hakuna mtu atakuuliza ulifanya checkup, kwasababu wana amini wewe ni mtu imara na hodari. Matokeo yake you will spend a good time of your life kwenye investment ya watu wengine, alafu utagundua wewe huja invest kwako na muda unapohitaji watu wengine, hawatajitoa kama wewe ulivyojitoa kwao. Alafu utalaumu na kulaani. Lakini tatizo hapo sio Lao ni lako. Binadamu ni wabinafsi so put yourself first wengine watakuja baada ya wewe kuwa umekuwa settled.

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 11 місяців тому +6

    Mimi nilikuwa ninadhani watu kama Joel wangepewa nafasi kubwa katika kuelimisha jamii. Mfano kwa sasa wanatumiwa wasanii kuburudisha tu wanaimba nyimbo za matusi tu ambazo hazina mchango mzuri kwenye ubongo wa watu .

    • @neemamaganga9774
      @neemamaganga9774 11 місяців тому +1

      Serikali ingewatumia watu kama Joel walau hata mara chache kutembea nao kwenye maeneo tofauti kwenye washa. Wangesaidia vijana wengi kujifunza vitu. Nakumbuka siku ya madawa ya kulevya alichukuliwa diamond kuburudisha ambapo hata nyimbo alizoimba haziendani na kupinga matumizi ya madawa ya kulevya. Badala yake msanii anakuwepo kama ushawishi wa watu kufika ila hakuna wanachojifunza.

  • @lazarorojha7042
    @lazarorojha7042 Рік тому +5

    Hakika MB zangu hazijaenda Bure nimejifunza mengi xaaana kutoka kwako Nanauka

  • @charlesoputi7101
    @charlesoputi7101 11 місяців тому +6

    Though it was women conference but we men also have benefited a lot especially me here. God bless you brother. @kenya

  • @chamiapolnaly
    @chamiapolnaly 3 дні тому

    Asante mwalimu nimerudia mara 5 ili ikae kichwani kabisa❤

  • @amanigeorge-xe2gb
    @amanigeorge-xe2gb 11 місяців тому +3

    Nimependa hii sa moja lakujifunza

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 11 місяців тому +4

    Kadri ninavyokusikiliza hatua zangu zinaimalika saaana,,💪💪💪👏👏👏🤝🤝🤝 kira la heri kutoka kwa Mungu liwe juu yako,,, amen.

  • @BarakadanielbarakaSulle
    @BarakadanielbarakaSulle 17 днів тому

    Sikuzote napenda kujifunza kupitia wewe joel❤🎉

  • @upendoloondokalembekela7748
    @upendoloondokalembekela7748 Місяць тому

    I am appreciate you letting me know that ,you’re doing great job,be blessed.

  • @Yohana-tt3sn
    @Yohana-tt3sn 11 місяців тому +2

    Neem iwe juu Yako Joel

  • @OmaryShaban-tp9hd
    @OmaryShaban-tp9hd 3 місяці тому

    Asante sanaa kwakuniongezea kitu ....
    Wewe ndiee kioo changu ,naomba nikuitee mwalim wangu naitaji nijifunze vingi kuoitia ww

  • @KichereTheDataScientist
    @KichereTheDataScientist Рік тому +2

    thanks much

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Рік тому +3

    Mwenyezi Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA Ndani Ya Nch Yetu Ya Tanzania na Hata Nje Ya Tanzania

  • @isaacmwailinga8921
    @isaacmwailinga8921 10 місяців тому +1

    Ahsante Sana kaka
    You're Future Awaits You

  • @jasminenorman3744
    @jasminenorman3744 3 місяці тому

    You are a full package

  • @BukelebeTv
    @BukelebeTv 11 місяців тому +2

    Kaka Joel Mungu akubariki sana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 8 місяців тому +1

    Kwanza mungu kwanza alafu ndo mtu sahihi

  • @user-ux3vl6rj9j
    @user-ux3vl6rj9j 11 місяців тому +2

    Naskia vzur San kwa maneno yako

  • @ailennkya892
    @ailennkya892 Рік тому +3

    God bless you life coach

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 11 місяців тому +2

    Mungu akubariki sana

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 2 місяці тому

    Mashaalah

  • @omanjalan582
    @omanjalan582 11 місяців тому +1

    Asante sana mr joel hua nakuelewa saana

  • @alyaniabdallahmwalimu2785
    @alyaniabdallahmwalimu2785 11 місяців тому +1

    Stay blessed
    Mafunzo yamenyooka JN.

  • @marthabrayson7328
    @marthabrayson7328 Рік тому +2

    Aiiiiiiiih! Blue ni mimi kabisa😂 asantee kwa somo zuri👏 Mungu akulinde tuendelee kupata madini

  • @hildahmathew7800
    @hildahmathew7800 10 місяців тому

    Asante kwa somo zuri.....nahitaji kujifunza zaidi kuhusu negotion

  • @sweetbertmbowe3284
    @sweetbertmbowe3284 8 місяців тому

    Nice mdogo wangu,nakuelewa sana

  • @mwarikimwariki2653
    @mwarikimwariki2653 10 місяців тому +1

    Sawa

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Рік тому +2

    Ahsante

  • @davidtumbo7034
    @davidtumbo7034 8 місяців тому +1

    blessings👏

  • @user-ru1in1sl9d
    @user-ru1in1sl9d 6 місяців тому

    Nimependa sana hili somo bro!Mungu akubariki sana

  • @user-qn7xd2uu8j
    @user-qn7xd2uu8j Рік тому +2

    Asante sana kaka

  • @user-cx3xg9vq2d
    @user-cx3xg9vq2d Рік тому +1

    Asante

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    We joel jamani..

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 8 місяців тому

    ❤❤ Ubarikiwe mnoooo

  • @MCmakore
    @MCmakore Рік тому +1

    Mwalimu ahsante

  • @user-jh6jf2vr4o
    @user-jh6jf2vr4o Місяць тому

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira1259 8 місяців тому

    Kweli mdogo wangu unakipaji. Nimefurahia presentations zako. Kweli nimenufaika

  • @nkwabison
    @nkwabison Рік тому +2

    ☑️

  • @husseinsalehe9511
    @husseinsalehe9511 Рік тому +1

    wow

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Рік тому +2

    Asante sana

  • @user-hd4tg3wt1u
    @user-hd4tg3wt1u 6 місяців тому

    hum vrement 😮

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 11 місяців тому +1

    mimi napenda nihudhurie mikutano ila sjui inafanyika wap

  • @jasminerashidi2782
    @jasminerashidi2782 8 місяців тому

    Pastor Joel mie nqpataje Hilo darasa lako na ili hali sipo Tanzania

  • @muddyhamza9606
    @muddyhamza9606 10 місяців тому

    Nimejipata kumbe mimi Blue na Gold😂

  • @-mv5f
    @-mv5f 4 місяці тому

    Ni mwamba huyu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 11 місяців тому

    ✍️

  • @apis_tv
    @apis_tv 7 місяців тому

    Napendekeza uwe unauza ideas za vitabu vyako kwa Makampuni au Mashirika ya Movies na Tamthilia naimani kuna mabadiliko tutayaona kwenye tasnia ya filamu Tanzania

    • @user-yb7kx7hk9i
      @user-yb7kx7hk9i 2 місяці тому

      I totally agree yaan management yake iwatafute

  • @byishimongirvmufasha6973
    @byishimongirvmufasha6973 Рік тому +3

    Joel nanauka tunakufuatilia American tunatamani sikumoja use huku tukuone.

    • @titusk.kariuki5510
      @titusk.kariuki5510 Рік тому

      Akifika nijulishe.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому +1

      Namahukuru Mungu, tuendelee kuombeana nitafika siku
      Moja

    • @fredkangethe7497
      @fredkangethe7497 11 місяців тому +1

      ​@@joelnanaukahuku Kenya na ujuaji wetu twakuthamini sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  11 місяців тому

      @@fredkangethe7497nashukuru sanaa