CHANGAMOTO YA ENEO LA FEDHA KWENYE NDOA/MAHUSIANO - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 103

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Рік тому +7

    TYPES OF HUSBAND
    1. Baby husband
    2. Bachelor husband
    3. Parasite husband
    4. One generation husband.
    5. Ministry first husband
    6. Servior husband

  • @lucasmganga2811
    @lucasmganga2811 Рік тому +9

    Siwezi kuacha kusema wewe ni taa katika maisha yangu maana unanifanya najiona mtu ninae enda ku graduate PHD ya finencial na Self determinetion Education kupitia wewe bro mungu akubariki Sana 🙏🙏🙏🙏🙏💪💪

  • @onesmoalphonce3676
    @onesmoalphonce3676 Рік тому +11

    Sijawahii kukusikia akaacha kama nilivyo,God bless you vijana tunakuhaji zaidi mana you always positive na dunia leo imejaa vitu negative

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Рік тому +2

    Asante kaka Joel, kiukweli mimi kuna kipindi nilipitia magumu baada ya kuachwa na mwenzangu,niliona ulimwengu umeniekemea maana nilikua sijawahi fanya kazi zaidi ya kukaa nyumbani,nimiaka 14 sasa nina mshukuru Mungu nimeweza kujitegemea mwenyewe siyo wakulia tena hakika kupitia masomo haya yananifanya niwe mwanamke jasiri MUNGU akubariki sana 🙏

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 місяців тому +1

    Yan kaka joel mashalah..unajuwa sana yan.na unamatilio mengi sana kaka joel ..hongera na mungu akuweke na akujalie

  • @mbogonijoel5529
    @mbogonijoel5529 10 місяців тому +1

    Joel Bwana YESU asifiwe Mimi ni single husband nifanyaje ili nibadilike naomba ushauri wako nipo Dar es salaam

  • @JamalPaulo-jt1ju
    @JamalPaulo-jt1ju 4 місяці тому

    Nimekua na tabia ya kuota mara kwa mara nikiwa nasoma darasani . Ninanafuraha kupata darasa lako youtube najiona niko nawewe live . Big up sana nakuelewa sana ❤️

  • @sarahmtenga134
    @sarahmtenga134 Рік тому +1

    Joel,umenifundisha mambo mengi sana,tena umenibadilisha hata mtazamo wangu👍

  • @khadijamakunga-ql2jz
    @khadijamakunga-ql2jz 3 місяці тому

    Mungu akuongoze na akupe elimu zaidi uzidi kutuelimisha na akupe umri wenye mafanikio

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 Рік тому +1

    Kaka joel wanaume umejua kutupatia kwa haya mazungumzo n kwel kabisa tupo ivo

  • @chenkime3258
    @chenkime3258 Рік тому +2

    Finally jambo ninalo liwaza kilakukicha umelifundisha god bless you

  • @erickmakyara880
    @erickmakyara880 Рік тому +4

    Brother nakuombea sana, you have something special kwa ajili ya kusaidia maisha ya wengi

    • @kelvinarnold
      @kelvinarnold Рік тому

      Barkiwa sana mtumishi maana unavyovinena ni vitu ambayo vna uhalsia kwenye maisha yetu ya kila siku

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Рік тому +1

    Aisee kakaangu kila siku unanifungua akili yangu ninapo sikiliza elimu hiz Mungu Kubark sana

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 6 місяців тому

    Joeli Leo ume zungumuzia maisha yangu Nina kushukuru Kwa elimu yako sijutii kukusikiliza

  • @work24onme
    @work24onme 9 місяців тому

    Holy Spirit Amen 🙏🏼
    Asante sana kaka Joel kwa UFUNGUO WA THAMAMANI WA KUFUNGUA UFAHAMU TAKATIFU, kupitia mafunzo yote unayo toa napitia yote, UA-cam, Vitabu, Instagram, etc. Mwenyezi Mungu akutangulie 24hrs Amen 🙏🏼.

  • @mazwichannel2120
    @mazwichannel2120 6 місяців тому

    Nashukur Mungu leo nimeweza kuskiliza hii video maana nilikuwa naitaji msaada kama huu.Ni hali ambayo naipitia kwa 😢sasa yan mtu kabadirika kama simba mpaka anakwambia usinipigie sim wala kunifatilia nitakuua.I was shock kuambiwa nitauliwa changamoto iliyopo ni ya kifedha.Asante Kaka joel nitajitaidi nirudie hii video zaidi ya mara5 naamini nitapata relief..

  • @saumually3562
    @saumually3562 Рік тому +1

    Katika masomo yote ambayo huwa nayapata kwako hili la leo 🙌🙌🙌🙌🙌 nalihitaji liwepo kila siku nielewe kipengele hadi kipengele ubarikiwe sana kaka 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 somo hili kaka umeitengeniza dunia

  • @lilianjoseph1144
    @lilianjoseph1144 5 місяців тому

    Duh kumbeee! See me at the TOP.

  • @work24onme
    @work24onme 9 місяців тому

    Nawaza kumleta huko kwako kaka Joel nisaidie apate msaada 😊Maana Naona yupo maeneo 2 na nusu 😂hivi! 🙏🏼

  • @user-gz1cd6kn5j
    @user-gz1cd6kn5j 6 місяців тому +1

    Kama we nimwana mke mm mwanaume natafuta mwanamke anae fatiria vitu kama Ivi wengi Wana wake hawana ndoto

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому

    Dah noel umenigusa sanahp tunapitia sana wanaume hv v2 hasa ukipata mitian

  • @Lucy-lr1ll
    @Lucy-lr1ll 9 місяців тому

    Yaan ndo nilie nae mm kama vile unajua saiz nimejifunza kitu hapa

  • @KabilaDamas
    @KabilaDamas Рік тому

    Aise mwalimu Mungu akubari Sana kwa elimhii unayotupatia...naamini kwaelimu hiilazima nifike ninakokwenda.

  • @MkbinladenNikunetotoz
    @MkbinladenNikunetotoz Рік тому

    Joel ukifa ujengewe sanamu 👨‍💻👨‍💻

  • @mapoluchalya280
    @mapoluchalya280 3 місяці тому

    ahsante kaka, tunakuhitaj Sana

  • @hamzaally2283
    @hamzaally2283 Рік тому +1

    MUNGU akupe maisha marefu dunia bado inakuhitaji sana

  • @eliamartine4720
    @eliamartine4720 Рік тому

    Umenipa madini ya kutosha sana unagusa maisha ya vijana wengine.

  • @mishentown3259
    @mishentown3259 Рік тому +1

    So good nec

  • @winnerbenjamin6265
    @winnerbenjamin6265 Рік тому

    Hivi najihuliza tungempata wapi mtu kama wewe? Ubadilisha maisha yangu sana.
    Mungu ahendelee kutimiza mipango yake kwako.

  • @constatinemtindi2386
    @constatinemtindi2386 Рік тому +2

    Barikiwa sana

  • @paschalmasanilo2617
    @paschalmasanilo2617 5 місяців тому

    My mentor 🎉

  • @rehemaedward9494
    @rehemaedward9494 Рік тому

    Bro asnte sana hii sehem inasumbua ndoa nyingi

  • @MichaelPaulo-xz6jq
    @MichaelPaulo-xz6jq 9 місяців тому

    Daah braza barikiwa sana,

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Рік тому +1

    Shukrani 📚📚📚 Ndugu Nanauka 🎙️

  • @zakariachacha7574
    @zakariachacha7574 9 місяців тому

    Natamani uje arusha nije na familia yangu wote

  • @michaeliraphael2720
    @michaeliraphael2720 Рік тому

    Kaka hongera mno, nipo naww tangu 2016 umenibadilisha pakubwa mno nakufuatiria kwamakini na Kwa ukaribu sana

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Рік тому

    Mkuu
    Upo sawa
    Kabisa umepiga sawasawa

  • @richardmartin6429
    @richardmartin6429 Рік тому

    Mungu aendelee kukutunza, Ahsante kwa Ujumbe mzuri.

  • @yoramusudayi
    @yoramusudayi 5 місяців тому

    Lazima Kila siku nikusikilize,Nina mabadiliko makubwa sana tangu nilivyoaanza kukusikiliza ndg

  • @innocentmwamundi4533
    @innocentmwamundi4533 Рік тому

    Mungu akubarik Mr Nanauka umenifungua akili yangu sana

  • @mozesdaniel7484
    @mozesdaniel7484 Рік тому

    Nimeweka bando lakutosha Izi nondo nadownlod
    Nimepata faida kubwa sana nimejiona kwenye savior husband natamani kutoka hapo....

  • @emmanuelmhagama8519
    @emmanuelmhagama8519 Рік тому

    Oya we mwamba be blessed

  • @kailemboedgar3005
    @kailemboedgar3005 Рік тому

    Kaka mungu akubariki Sana sijawai kujutia muda wangu Kwa kukusikiliza

  • @dicksonsanuka
    @dicksonsanuka Рік тому

    Joel ahsante umenifungua sana

  • @abasimtowa4646
    @abasimtowa4646 8 місяців тому

    Good speech

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Рік тому

    Mungu akubariki Mr Joel ✨

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Рік тому

    Am waiting my brother

  • @zebedayodaniel-ci1uz
    @zebedayodaniel-ci1uz Рік тому

    Good content nanauka👋👋👍👍

  • @gloriosehakizimana3789
    @gloriosehakizimana3789 Рік тому

    Nikweli saana nikama unaniongerea mimi

  • @muszanzibarsafari2743
    @muszanzibarsafari2743 Рік тому +1

    Great lesson

  • @Kingpoo_tz1
    @Kingpoo_tz1 10 місяців тому

    Thanks so much broo

  • @clarasabutoke6907
    @clarasabutoke6907 Рік тому

    Dah,asante

  • @adventinanyella2557
    @adventinanyella2557 Рік тому

    Wonderfully. God bless you😊😊

  • @davidngowi1534
    @davidngowi1534 Рік тому

    Blessed

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 Рік тому

    Thank you God bless you

    • @rosemageka686
      @rosemageka686 Рік тому

      Asante sana mwl.mzuri Kwa mafunzo mazuri yaan umepiga mlemle. Be blessed man

  • @prisca4612
    @prisca4612 Рік тому

    Wow! Powerful 👌🙏🏿

  • @herbertbavuma7228
    @herbertbavuma7228 Рік тому

    Servor&bachelor husband niko hapa ngoja nijipange kubadlika slowly

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 Рік тому

    Mmmmmmmmmmmh nimekupata kaka

  • @zeshsulesh6084
    @zeshsulesh6084 6 місяців тому

    Hata kwenye saviour kuna mke pia sio mume tu

  • @michaelkayoka1615
    @michaelkayoka1615 Рік тому

    Amina

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Рік тому

    NI kweli kabisa

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 Рік тому

    Well said Joel

  • @abisaabisa3587
    @abisaabisa3587 Рік тому

    Ubarikiwe sana kaka Joel umekua msaada mkubwa sana katika maisha yangu......!!!!!!

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому +1

      Nafurahi kusikia hivyo Abisa

    • @veronica-op4fu
      @veronica-op4fu Рік тому

      Mungu akubariki sana,yote hayo tunayaona kwenye maisha yetu

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 Рік тому

    Asnte Dah yaani ni ukweli mtupu.

  • @eliethaudax9360
    @eliethaudax9360 Рік тому

    Asante

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Рік тому

    Asante sana

  • @user-zu9bz3se7q
    @user-zu9bz3se7q 6 місяців тому

    Kaka mungu akubarik Sana.

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 Рік тому

    Hi bro. next time when you go to preaching or to give some people training tell them to reduce piano sound. always I appreciate your preaching or motivation and I follow some tips in my life experience. God bless you and God bless me too.

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 Рік тому

    Hakikaa

  • @davidhamza8701
    @davidhamza8701 Рік тому

    hey Mr sijawah ona poster za semina zako nitawez vip taarifa ya semina kama hizo Mr. Joel

  • @josephnyanga5172
    @josephnyanga5172 Рік тому

    kaka Wakupe udaktari

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Рік тому

    Hapaimenighusa,natakakufahamu sana,ilikumfahamu mwenye nyotazinaendhana utamujuwaje?.manake hiliswala linachaghanya ndowanyinghi sana

  • @pleasethank2962
    @pleasethank2962 Рік тому

    Last born na first born changamoto zao nyingi wakiw ktk mahusiano kwenye masuala ya financial ni zipi? Ningependa kuzijuwa kiundani umetaja tu hapo hujachimba.

  • @atumssusa2269
    @atumssusa2269 Рік тому

    🙏🙏

  • @zebedayodaniel-ci1uz
    @zebedayodaniel-ci1uz Рік тому

    👍👍

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    💜

  • @filberthendry2651
    @filberthendry2651 Рік тому

    Kaka huwaga nikiangalia video lazima nizirudie mara 5

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    💃💃💃🔥🔨🔨

  • @AlexJuma-vq8uf
    @AlexJuma-vq8uf 10 місяців тому

    Umeongea vizuri ila mwisho si kweli yaan ndoa ivunjike kisa kusudi kwani kama mungu alikujua kabla maana yake hadi huyo mume au mke pia alimjua so vipimo ndoa ivunjike. ?

  • @daudkanyelele2017
    @daudkanyelele2017 Рік тому

    Kila nikiskia hoja zako nahsi tifauti kbsa kumbe naweza

  • @magejay4715
    @magejay4715 Рік тому

    Ubarikiwe kaka

  • @clarasabutoke6907
    @clarasabutoke6907 Рік тому

    Listening

  • @joramzakaria2994
    @joramzakaria2994 Рік тому

    I'm a survey husband some how please help me

  • @isayasemwali671
    @isayasemwali671 Рік тому

    Nondo za maana!! Savior husband nipo hapa naanza kubadilika '''' kuanzia leo huruma kwa heriiii

  • @mohhamedygideoni2205
    @mohhamedygideoni2205 Рік тому

    Gineus+

    • @annaprosper5052
      @annaprosper5052 Рік тому

      Be blessed kaka, Mungu azidi kukuinua na kukupa miaka mingi uzidi kuwa baraka kwa wengi🙏

    • @alexomary5611
      @alexomary5611 Рік тому

      Naomba namba zako Joel

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 Рік тому

    Me nimefuruh sana kwa parasite husband daa kaka Joel Mungu akubarki sana Kama namwona jamaaa angu anavokaa kwenye hii point hahahahha

  • @khadijamakunga-ql2jz
    @khadijamakunga-ql2jz 3 місяці тому

    Mungu akuongoze na akupe elimu zaidi uzidi kutuelimisha na akupe umri wenye mafanikio