Ni kweli vijana wengi wavivu kulala kuangalia Nexlifix Yaani tena kaa nao mbali shishi wasikuone hapo ulifanya kazi hii muhimu wanaume na wanawake ubarikiwe wote
Inasikitisha kweli mwanamke anamka saa kumi anaji taarisha na mapambano ya siku hile anataarisha watoto, kwa mavazi, vyakula, kila unacho kijua wewe, mume kalala hapo hapo ana ngoja umuamshe tena si mara moja mara tatu ina boa sana...
Wanawake hawaeleweki siku zote, kwani kabra hajaingia nae kwenye mahusiano hakuliona hilo? Kinachotokea ni kuwa na yeye ni malaya tu hawezi kutulia na mwanaume mmoja ndiyo maana yupo na huyu mara huyu na hao tuofahamu
Wewe naona una akili sana,mwanaume ndio akuache kitandani afanye kazi ila kama mwanamke ndio kajaliwa zaidi sawa na mwanaume naye atafute kadiri ya uwezo❤
🤣🤣 wanaume tafteni hela mjue tu mwanaume akiwa na hela ni rahisi sana kuishi na mwanamke ambae Hana hata mia lkn sio mwanamke kuishi na mwanaume ambae Hana hela hawezi tuwape maua Yao wanaume jmniii wanaviti vyao pepon 😂🤣🤣
Hata na wanawake ukiwabadilisha tofauti tofauti Wana bad spirit na kujiongezea mikosi kwahyo sasaiv sio wanaume au wanawake wote hawaeleweki ni kutokana na maisha ya sasaiv na malezi ya mtu binafsi
Shilole mie mara yangu ya mwanzo kukusikiliza hodari sana umeelezea vizuri mungu akubariki. Tungependa uje ututembelee canada pia shilole, natamani hata mie nifungue restaurant au saloon lakini niko mbali
Olewa hta namia ,usiburie nawatoto wako kuolewa nawanaume kma waliokuoa ww.Unadhani kuwa najina kubwa pesa ndio sifa yakumvulia Kila mwanaume nguo.Utajikuta umeshazeeka kwabeba Kila kibenteni Wanakukubalia kwakuwa unavijisenti
MIMI BINAFSI NSMKUBALI SANA HUYU DADA NI MPAMBANAJI SANA ALAFU NAMPENDA ANAVYO JIAMINI YAANI HUYU NI IRON LADY NAMPENDA SANA HUYU MDADA JAMANI NI MPAMBANAJI ANAE JIAMINI
Mwana mke mzuri lakini tabia mhh huyu demu umalaya uko ndani ya damu kwahiyo wanaume tuwe makini nae tafauti na hiyo atawamemenda saaana mamaaaaeeeee zake
Nakupenda sana shishi kiukweli wewe kwangu ni zaidi ya mwalimu. Alooo najifunza mnoioo❤️❤️❤️❤️❤️✍🏻✍🏻✍🏻🙌🏻🙌🏻
😂😂😂 Ila Shishi kuna vipengele huwa unanifanya nicheke😂😂
Nakubaliii kwenye music ❤shishi trump,shishi baby! Mchawi Hela a! Tubless na Ngoma moja 2024
Shishi baby uwa hana maingizo 😂mashallah ❤kijituma upandilishe maisha uliyo toka
Hongera shishi Mungu aendelee kukuinua
Ni kweli vijana wengi wavivu kulala kuangalia Nexlifix
Yaani tena kaa nao mbali shishi wasikuone hapo ulifanya kazi hii muhimu wanaume na wanawake ubarikiwe wote
Inasikitisha kweli mwanamke anamka saa kumi anaji taarisha na mapambano ya siku hile anataarisha watoto, kwa mavazi, vyakula, kila unacho kijua wewe, mume kalala hapo hapo ana ngoja umuamshe tena si mara moja mara tatu ina boa sana...
Mimi sikuamshi nakuacha hapo sikuulizi kitu utajiongeza
Lkn si alimridhia yeye pia alijuwa mume hana kazi kwa nini alimkubali pia mwanamke akiwa na mali inafaa kumwiinuwa mume
Kabisa yaani umeongea point na huyu wa 2 anaonesha shishi anataka wanaume wasokuwa na kitu awaache hawadhalilishe si vizuri lakini@@mohammadoman8963
Very nice interview.
Nakupenda mpaka naumwa
Tukuue is typing 😂😂😂 but dada shish uko sahihi❤❤❤
💯💯👆Nimekuelwa saana. Wapo wengi hao majumbani
Kwahyo mwanamke ahudumiwe na kaz aendelee kufanya Sasa mwanamke hela zake zinaenda wap.masingo Maza wataxidi kujazana mtaan afu masela hawaowi😂😂
❤❤❤
DADAANGU HIYO SIO NZURI SI UNAWATOTO NDOA NYINGI SIO VYEMA KIDINI SIJAJUA ULIKO
Kweli wauliwe 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂shishi❤❤❤
Kwer kabisaa ❤❤
❤❤❤love u❤❤ wewe dada.unapambana.nakupenda ❤❤❤ mapenz bila pesa Nonses kwa kweli❤❤❤Nakutaman.sana❤❤❤❤❤
Nakukupenda tajiri huna baya
6:30
Wanawake hawaeleweki siku zote, kwani kabra hajaingia nae kwenye mahusiano hakuliona hilo? Kinachotokea ni kuwa na yeye ni malaya tu hawezi kutulia na mwanaume mmoja ndiyo maana yupo na huyu mara huyu na hao tuofahamu
Pesa zenu uwa ni zenu uwo ni uwongo mno.kuacha kazi ni sawa
😂😂😂🎉🎉
Kabla ujaolewa ulikua ujui mwanaume wko wa aina gani 😂😂😂 foolish
Utaolewa hata kwa ndoa 30 kwa Sheria ipi na kwa Dini gani mzinifu wewe mbwa
Hakika asie fanya kaz aende akapambane naujinga wake uchebe alikuw mme ww tuy ndo ulishidwa kufata masharti ya din angekuokoa kesho akhera
Shishi fungua shishi food mwanza
@@FloraJoseph-xd2kw sehem gan huko mwanza jaman nina milion 6 natafuta pakuweka hiyo sehem hebu nambie
Pambana Shishi! Umeongea point.. Bless you❤
MashaaAllah MashaaAllah nakupenda shish
Wewe naona una akili sana,mwanaume ndio akuache
kitandani afanye kazi ila kama mwanamke ndio kajaliwa zaidi
sawa na mwanaume naye atafute kadiri ya uwezo❤
🤣🤣 wanaume tafteni hela mjue tu mwanaume akiwa na hela ni rahisi sana kuishi na mwanamke ambae Hana hata mia lkn sio mwanamke kuishi na mwanaume ambae Hana hela hawezi tuwape maua Yao wanaume jmniii wanaviti vyao pepon 😂🤣🤣
Utakufa wanaume nao wana bad spirit Kuna shida dunia hii acha kuruka ruka tulia Mungu hawezi kukupa kila kitu be careful
Hata na wanawake ukiwabadilisha tofauti tofauti Wana bad spirit na kujiongezea mikosi kwahyo sasaiv sio wanaume au wanawake wote hawaeleweki ni kutokana na maisha ya sasaiv na malezi ya mtu binafsi
@@philemonmagesa5548iyo tatizo ipo pande zote
Olewa tu dada utampata wakuzikana nae tu kuliko kuzini sio ishu
Siyo kuzini ,anajipa raha😂
Daah umefanya kitu kizuri sana shishi allah akujaalie ulipopunguza
Yaani miwanaume ikiona mtu anapesa, haimpi, chochote hata zawadi, na ukweli ni kwamba tunahitaji pesa hata kama tunazo😊
Yaaan tunazitaka sana hata kama ni buku si ya kupewa jamani
Nimependa shishi kaongea ukweli wanaume wanapenda mtelemko sana ❤
Kwani yeye alipenda nini kwa yule mwanaume!!!
Tunatakiwa kuacha alama kwenye maisha ya watu📌
Na alama enyewe ndo hii
Anapenda vijana akiwachoka anakashifu sasa vijana wataish nae kama mshangaz.tu
Hapo kumsadia mungu atakulipa
Kwani toka mwanzo hukumuona? Sema umeshamchoka😂
Ila vido akaamua arudie silent ocean 😂😂cyo silence osen😢😅😅nakupenda sana dada shishi❤❤❤🎉🎉🎉
Au unasemaje suzy😂au unasemaje suzana🤷♀️🤣🤣🤣🙌🙌❤❤❤🎉🎉🎉
Mwanzoni ujanani alikua yuonekana Hana mwelekeo wa maisha...ila mashallah 😊
Mwanamke kuachwa zaidi ya mara 3,
Basi kwako ni DOA
na ujue ww mwanaume mwanamke huyo HAKUFAI,
Nagupenda sana Dada shishi ❤❤❤ from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Shilole mie mara yangu ya mwanzo kukusikiliza hodari sana umeelezea vizuri mungu akubariki. Tungependa uje ututembelee canada pia shilole, natamani hata mie nifungue restaurant au saloon lakini niko mbali
Shilole ulichomfanyia Ringo ni kikubwa mno🙏Baraka ikufate
Unajua binadamu tuna akili gani wewe furaha yako mpaka utuchangishe ili iweje wakati kuna uwezekano wa kufanya jambo Kwa uwezo wako
Mimi najiuliza kama uyo mwanaume alikuwa ajiwezi yeye shishi alifuata nini kwa uyo mwanaume😮
Hilo dongo nalo !😂
Mboo
My RÔLE MODEL jamani ...., Nakupenda saaana jmm
Shishi tupe ajira bc jamn
Chuma hicho kinahitaji UTULIVU TU.!! We huigopi😂😂
Shishi Ni Mtu Wa Mana Kweli Mungu Akubariki Kwa Moyo Wako Huo
Ukokuolewa nakuachika ukwosio kupambana ni kujizalilisha tatizo nimoja masikini akipata--------
Shilo wewe wabake tu wakumiminie kojo olewa tu uuuuuuuuwi bado zamu yangu.
Olewa hta namia ,usiburie nawatoto wako kuolewa nawanaume kma waliokuoa ww.Unadhani kuwa najina kubwa pesa ndio sifa yakumvulia Kila mwanaume nguo.Utajikuta umeshazeeka kwabeba Kila kibenteni Wanakukubalia kwakuwa unavijisenti
Hicho ni kiburi cha maisha tu ila fikiria baada ya kufa unakwenda wapi? Huo mwili wako utachunguliwa na wanaume wangapi? Huo ni ujinga tu
Ameongea vizuri si kwa ubaya...tena nimependa kipengele cha wote mume na mke kupambania kombe,hiyo nimeipenda sana....kukomaa
Watu wako commitment na kami zao😂😂😂
Hilo litakuwa shimo au mtaro? Utalipa kodi ya manispaa?
Hivi Shishi unajua ulijulikana sana baada kuonekana ktk Tamaa mbaya ya 20% ?
Uyu dada ana moyo waupendo sana ndio mana haanguki watu msiwe namikono mifupi kusaidia❤❤
Nakupendea shishi unavyoishi
Mbunifu sana kwenye biashara yako
Kuolewa ndoa nyingi pia ni mikosi, huyu anapenda kula viharage hawezi kaa kwenye ndoa
huwa napenda kicheko cha shishi, pambana dada yangu
Mbona uja fikisha ujumbe wa bwana mangulue kutaka kumuowa
Kweli dada Ake kikubwa furaha ya moyo.👌🌹🌹🌹♥️♥️♥️💯💯
MIMI BINAFSI NSMKUBALI SANA HUYU DADA NI MPAMBANAJI SANA ALAFU NAMPENDA ANAVYO JIAMINI YAANI HUYU NI IRON LADY NAMPENDA SANA HUYU MDADA JAMANI NI MPAMBANAJI ANAE JIAMINI
Wakti huna hela ulikuwa unasema mme,wangu je kama ni yota,yake inaitembeleq,agalia usije ukayumba
Kwani shilole uliitenbelea china yote manayangu😂
Ongera sana mwanamke mwenza
Maisha sio ku kaa tu , kushugulika pia., ❤❤❤
Interview ya shilole haichoshi majibu yake yapo on free stress
Nand kampa hela mumewe wamefungua biashara..mbona wewe usifanye hivyo
Mtangazaji huna kazi sasa unataka kujuwa nini bei ya 👜 handbang.???
Auna BAYA shishy baby enjoy dear
Shilole naomba nikuoe❤❤❤❤❤
Mimi ndo ntaquwa wifi yaqe au sio
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
Ndo utuonyeshe kwa nguvu iyo macho ma3 yako aya tushaona😂
Shishi food iko maeneo gan?
🎉 Asalam Alyekum waramahatualha wabarakatuh hongera mwenyezi mungu 🌹 Tunakuomba utujaalie
😂😂😂🎉🎉
Nakupenda shilole
kwan hukujua kama hajui kutafuta pesa
Wewe ni jasiri pambana mama❤❤❤❤❤❤❤
Wapo very committed na kazi yao.. na si wapo very commitment
Dada shishi emb nisaport laki mbili tuu jaman nikafanye biashara flani ivi nimeiplan
Embu?`Naomba'
Watu wako committed na kazi zao...sio commitment dadangu😅
Umekuwa mdada umepndz ubonge ulikuzeesha
Shishi tupe ajira basi mdada na sisi utuinue ndugu zako. one love sister
Wewe dada acha umalaya...tulia ktk ndoa,pesa isikuletee ujeuri wa kutokudumu ktk ndoa
Hiyo ni sababu mojawapo
Nyege zilivyoisha ndio unaona mwanaume analala 😂
Shilole eti sio kuleta mauwa tu😂😂
Berkin Hermès. 4000usd waaaouh
Olewo tu dada...Kwani kuna shido😂
Shilole mpambanaji tatoka mbali na apo anafika mbali
😂😂ila hili litoto la Igunga bana!!!nalipenda tu
Mwana mke mzuri lakini tabia mhh huyu demu umalaya uko ndani ya damu kwahiyo wanaume tuwe makini nae tafauti na hiyo atawamemenda saaana mamaaaaeeeee zake
Shishi usiende tena juu yakuongeza shepu,feki.tunataka mpango wa shishi chakula tu.
Shishi Ni mutu Na nusu
Silent oseni enyewe inasemaje
Hiyo itakuwa ni nyama au ni gerej kila gari yaingia
Duuh! hatar
Huyu Mwanamke anajiheshim sana na mzuri.
Ku-consider ku-provide 😅😅😅😅shishi umeua
Usiowe mwanamke aliye kuzidi kipato jamani